<?xml version="1.0"?>
<?xml-stylesheet type="text/css" href="http://sw.gospeltranslations.org/w/skins/common/feed.css?239"?>
<feed xmlns="http://www.w3.org/2005/Atom" xml:lang="sw">
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/w/index.php?feed=atom&amp;target=May_Adhyambo&amp;title=Maalum%3AMichango%2FMay_Adhyambo</id>
		<title>Gospel Translations Swahili - Michango ya watumiaji [sw]</title>
		<link rel="self" type="application/atom+xml" href="http://sw.gospeltranslations.org/w/index.php?feed=atom&amp;target=May_Adhyambo&amp;title=Maalum%3AMichango%2FMay_Adhyambo"/>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Maalum:Michango/May_Adhyambo"/>
		<updated>2026-04-04T06:52:12Z</updated>
		<subtitle>Kutoka Gospel Translations Swahili</subtitle>
		<generator>MediaWiki 1.16alpha</generator>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Upendo_wa_Kweli</id>
		<title>Upendo wa Kweli</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Upendo_wa_Kweli"/>
				<updated>2011-01-24T19:34:57Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;May Adhyambo: &lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|True Love}}&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
UPENDO WA KWELI&lt;br /&gt;
“Unachohitaji ni upendo tu” ndivyo walivyoimba kikundi cha Beatles.  Wangalikuwa  wanaimba kuhusu upendo wa Mungu, taarifa hii ingekuwa na chembe cha ukweli. Lakini kitu kinachoitwa upendo katika utamaduni  maarufu, si upendo halisi kamwe. Bali ni kejeli. Mbali na kuwa “chote unachohitaji” ni kitu ambacho wafaa kujiepusha nacho kabisa.&lt;br /&gt;
Mtume Paulo anaonyesha hoja hii dhahiri shahiri katika Waefeso 5:1-3. Anaandika, “Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto  wapendwao, ,kiishi maisha ya upendo, kama vile Kristo alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu. Lakini uasherati, usitajwe miongoni mwenu, wala uchafu wa aina yo yote, wala tamaa, kwa sababu mambo haya hayastahili miongoni mwa watakatifu.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Amri rahisi ya mstari wa pili (“mkiishi maisha ya upendo kama vile Kristo alivyotuenda sisi “) inajumuisha jukumu lote la kimaadili la mkristo. Kwani, upendo wa Mungu ndio kanuni moja kuu  inayoeleza faradhi  yote ya mkristo. Upendo wa aina hii ndiyo “chote unachohitaji” Warumi 13:8-10 inasema , “kwa maana yeye ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria. Kwa kuwa amri….zinajumlishwa katika amri hii moja: ‘‘Mpende jirani yako kama nafsi yako.’’ Upendo haumfanyii jirani mabaya, kwa hivyo upendo ni matimizo ya amri ya Mungu.  Wagalatia 5:14 inasisitiza ukweli huu ‘Kwa maana sheria yote hukamilika katika amri moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.” Yesu vilevile alifunza ya kwamba  Torati na manabii  wanaegemea  itikadi hizi mbili za kimsingi –amri kuu ya kwanza na ya pili (Matayo 22:38-40).  Kwa maneno mengine,  ”Upendo…..ndio unaofunga kila kitu pamoja katika amani kamilifu.” (Wakolosai 3 :14)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo anapotuamrisha kutembea kwa upendo,mazingira yanatufunulia kuwa, kwa uzuri, anaongea kuhusu kuwa wafadhili,wenye kuhurumiana ninyi kwa ninyi, na wenye kusameheana (Waefeso 4 :32). Mfano wa upendo huu usio wa kibinafsi ni Kristo, ambaye alijitoa kafara ili kuwaokoa watu wake kutokana na dhambi zao. “Hakuna mtu mwenye upendo mkuu kuliko huu, mtu kuutoa uhai wake kwa ajili ya rafiki zake”(Yohana 15:13) Na “kama Mungu alitupenda sisi hivi, imetupasa na sisi kupendana “ (1 Yohana 4 :11)&lt;br /&gt;
Kwa maneno mengine, upendo wa kweli  daima hujitoa kafara, hujitolea, huhurumia, hurehemu, hufadhili na husubiri.  Hizi na sifa nyinginezo  (angalia 1 Wakorinto 13:4-8) ndizo Bibilia inahusisha na upendo wa Mungu&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini  katika Waefeso 5 tunaonyeshwa upande mwingine pia. Yeyote ambaye anawapenda wengine kwa kweli jinsi Kristo anavyotupenda lazima akatae kila aina ya upendo bandia . Mtume Paulo anavitaja vipengele fulani vya udanganyifu huu wa kishetani kama vile usherati, unajisi na  tamaa. Kifungu kinaeleza zaidi : “Wala pasiwepo  mazungumzo machafu ya aibu, au maneno ya upuzi au mzaha, ambayo hayafai, badala yake mshukuruni Mungu, Kwa habari ya mambo haya mjue hakika kwamba: Mwasherati, wala mtu mwovu, wala mwenye tamaa mbaya, mtu kama huyo ni mwabudu sanamu, ambaye kamwe hataurithi Ufalme wa Kristo na wa Mungu. Mtu ye yote na asiwadanganye kwa maneno matupu, kwa kuwa hasira ya Mungu huwaka kwa sababu ya mambo kama haya juu ya wale wasiomtii.Kwa hiyo, msishirikiane nao.(mstari 4-7)&lt;br /&gt;
Katika kizazi chetu usherati  mara nyingi huwa mbadala wa upendo.Paulo anatumia neno la kiyunani porneia linalojumuisha kila aina ya usherati. Utamaduni maarufu  hautambui tofauti baina ya upendo wa kweli na ashiki ya kuzinzi.  Lakini kuzini huku ni upotoshaji wa upendo wa kweli kwa sababu hutafuta kujinufaisha badala ya kunufaisha wengine. &lt;br /&gt;
 &lt;br /&gt;
Upotovu wa upendo wa kishetani wa namna nyingine ni unajisi. Hapa Paulo anatumia kigiriki akarthasia inayojumuisha kila aina ya aina ya uchafu na unajisi. Hasa, Paulo akilini anamaanisha uchafu, maneno ya upuzi au mzaha, ni sifa geni  za usuhuba ovu. Usuhuba wa aina hii hauna uhusiano wowote na upendo wa kweli na mtume anadhihirisha haifai katika maisha ya kikristo.&lt;br /&gt;
Tamaa ni mfano mwingine wa upendo bandia inayotokana na  nia batili ya kujinufaisha.Ni kinyume na mfano uliowekwa na Kristo alipokuwa  “akijitoa kwa ajili yetu”(mstari 2) Katika mstari wa 5, Paulo anasawisha tamaa na kuabudu sanamu. Na mara nyingine tena, jambo hili halifai katika maisha ya kikristo, na kulingana na mstari wa 5, mtu afanyaye hivi “hataurithi ufalme wa Kristo na wa Mungu.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Dhambi kama hizi, Paulo asema, “zisitajwe miongoni mwenu , kwa sababu mambo haya hayastahili miongoni mwa watakatifu.(mstari wa 3) Kwa wale wanaoyatenda haya, anatuambia, “ msishirikiane nao”&lt;br /&gt;
Kwa maneno  mengine , hatuonyeshi upendo halisi hadi pale ambapo  hatuwezi kuvumilia upotovu wowote wa upendo.&lt;br /&gt;
Mazungumzo mengi ya siku hizi yanayohusu upendo hayazingatii kanuni hii. “Upendo ” umeelezwa upya  kama uvumilivu  mpana   unaopuuza dhambi tena unaokumbatia wema na uovu kwa usawa. Huo si upendo bali ni kutojali.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Upendo wa Mungu hauwi hivyo. Kumbuka, dhihirisho kuu la upendo wa Mungu ni msalabani , pahali Kristo ‘alitupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu’ (mstari 2). Hivyo, Maandishi yanatueleza kuhusu upendo wa Mungu kutumia dhabihu na upatanisho  - “Huu ndio upendo, si kwamba tulimpenda Mungu, bali Yeye alitupenda, akamtuma Mwanawe, ili Yeye awe dhabihu ya kipatanisho kwa ajili ya dhambi zetu.”(I Yohana 4:10). Kwa maneno mengine Kristo alijitoa  kafara ili kugeuza hasira ya Mungu aliyekwazwa . Mbali na  kuondoa dhambi zetu kwa uvumilivu, Mungu alimtoa mwanawe kama sadaka ya dhambi, kukidhi hasira yake Mwenyewe na kuleta   haki katika wokovu wa wenye dhambi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hicho ndicho kiini cha injili. Mungu anaonyesha upendo wake kwa njia ambayo inadumisha utakatifu, haki na uongofu  bila kurudi nyuma. Upendo wa kweli “haufurahii mabaya bali  hufurahi pamoja na kweli” (1 Wakorinto 13:6). Wito wetu ni kutembea kwa upendo wa aina hii.Ni upendo ambao kwanza ni takatifu kisha wenye amani.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>May Adhyambo</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/%22Askari_Walio_Umia_Tu_Ndio_Huhudumu%22</id>
		<title>&quot;Askari Walio Umia Tu Ndio Huhudumu&quot;</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/%22Askari_Walio_Umia_Tu_Ndio_Huhudumu%22"/>
				<updated>2009-10-01T18:54:14Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;May Adhyambo: &lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|&amp;quot;Only Wounded Soldiers Can Serve&amp;quot;}}&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Askari walio umia tu ndio huhudumu.'''&lt;br /&gt;
Wengine wenu mnapitia  vitu wakati huu ambavyo ni vichungu ili kuwatayarisha kwa utumishi bora wa Bwana. Mtu afikapo mwisho hata kuhisi ni kama amegonga mwamba, wakati mwingine huwa ameugonga Mwamba Imara.&lt;br /&gt;
  Nakumbuka  mstari mmoja kutoka Zaburi 138:8 ambayo tulisoma Jumamosi katika ibada yetu ya asubuhi inayosema “Ee BWANA, upendo wako wadumu milele, usiziache kazi za mikono yako.”  Naam, hata Musa anavyosema katika Kumbukumbu za Torati 33:27 “27Mungu wa milele ni kimbilio lako,na chini kuna mikono ya milele.”&lt;br /&gt;
 Ndio, Yeye anakuona hata unapotetemeka na kuteleza . Ana uwezo (na mara nyingi amefanya hivo) wa kukushika kabla ya kuanguka kwako. Lakini wakati huu ana mafunzo mapya. Zaburi 119:71 yasema, “Ilikuwa vyema mimi kupata shida ili nipate kujifunza amri zako.” Hatuambiwi kuwa shida hizo zilikuwa rahisi au raha bali. “Ilikuwa vyema.”&lt;br /&gt;
  Wiki jana nilikuwa nikisoma kitabu kilichoandikwa na James Stewart ambaye ni mhubiri kutoka Uskoti. James alisema katika utumishi wa upendo, ni askari walioumia tu ndio huhudumu. Ni kwa sababu hii na amini wengine wenu mnatayarishwa kwa huduma hii. Unapoumia usije ukafikiri kuwa maumivu yako yamekujia kinyume na mpango wa Mungu . Tena katika kumbukumbu la torati 32:29 asema . “Hakuna Mungu mwingine ila Mimi…..Mimi nimejeruhi na Mimi nitaponya.”&lt;br /&gt;
  Nawaombea ninyi nyote mlio na maumivu. Zaidi ya hayo nangoja kwa hamu wororo upya wa Upendo mtakao funzwa katika maumivu haya.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>May Adhyambo</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/%22Askari_Walio_Umia_Tu_Ndio_Huhudumu%22</id>
		<title>&quot;Askari Walio Umia Tu Ndio Huhudumu&quot;</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/%22Askari_Walio_Umia_Tu_Ndio_Huhudumu%22"/>
				<updated>2009-10-01T18:49:36Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;May Adhyambo: /* Matini ya kichwa cha habari */&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|&amp;quot;Only Wounded Soldiers Can Serve&amp;quot;}}&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Askari walio umia tu ndio huhudumu'''&lt;br /&gt;
'''Askari walio umia tu ndio huhudumu.'''&lt;br /&gt;
Wengine wenu mnapitia  vitu wakati huu ambavyo ni vichungu ili kuwatayarisha kwa utumishi bora wa Bwana. Mtu afikapo mwisho hata kuhisi ni kama amegonga mwamba, wakati mwingine huwa ameugonga Mwamba Imara.&lt;br /&gt;
  Nakumbuka  mstari mmoja kutoka Zaburi 138:8 ambayo tulisoma Jumamosi katika ibada yetu ya asubuhi inayosema “Ee BWANA, upendo wako wadumu milele, usiziache kazi za mikono yako.”  Naam hata Musa anavyosema katika Kumbukumbu za torati 33:27 “27Mungu wa milele ni kimbilio lako,na chini kuna mikono ya milele.”&lt;br /&gt;
 Ndio, Yeye anakuona hata unapotetemeka na kuteleza . Ana uwezo (na mara nyingi amefanya hivo) wa kukushika kabla ya kuanguka kwako. Lakini wakati huu ana mafunzo mapya. Zaburi 119:71 yasema, “Ilikuwa vyema mimi kupata shida ili nipate kujifunza amri zako.” Hatuambiwi kuwa shida hizo zilikuwa rahisi au raha bali. “Ilikuwa vyema.”&lt;br /&gt;
  Wiki jana nilikuwa nikisoma kitabu kilichoandikwa na James Stewart ambaye ni mhubiri kutoka Uskoti. James alisema katika utumishi wa upendo, ni askari walioumia tu ndio huhudumu. Ni kwa sababu hii na amini wengine wenu mnatayarishwa kwa huduma hii. Unapoumia usije ukafikiri kuwa maumivu yako yamekujia kinyume na mpango wa Mungu . Tena katika kumbukumbu la torati 32:29 asema . “Hakuna Mungu mwingine ila Mimi…..Mimi nimejeruhi na Mimi nitaponya.”&lt;br /&gt;
  Nawaombea ninyi nyote mlio na maumivu. Zaidi ya hayo nangoja kwa hamu wororo upya wa Upendo mtakao funzwa katika maumivu haya.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>May Adhyambo</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/%22Askari_Walio_Umia_Tu_Ndio_Huhudumu%22</id>
		<title>&quot;Askari Walio Umia Tu Ndio Huhudumu&quot;</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/%22Askari_Walio_Umia_Tu_Ndio_Huhudumu%22"/>
				<updated>2009-10-01T18:48:47Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;May Adhyambo: &lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|&amp;quot;Only Wounded Soldiers Can Serve&amp;quot;}}&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Askari walio umia tu ndio huhudumu'''&lt;br /&gt;
== Matini ya kichwa cha habari ==&lt;br /&gt;
.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wengine wenu mnapitia  vitu wakati huu ambavyo ni vichungu ili kuwatayarisha kwa utumishi bora wa Bwana. Mtu afikapo mwisho hata kuhisi ni kama amegonga mwamba, wakati mwingine huwa ameugonga Mwamba Imara.&lt;br /&gt;
  Nakumbuka  mstari mmoja kutoka Zaburi 138:8 ambayo tulisoma Jumamosi katika ibada yetu ya asubuhi inayosema “Ee BWANA, upendo wako wadumu milele, usiziache kazi za mikono yako.”  Naam hata Musa anavyosema katika Kumbukumbu za torati 33:27 “27Mungu wa milele ni kimbilio lako,na chini kuna mikono ya milele.”&lt;br /&gt;
 Ndio, Yeye anakuona hata unapotetemeka na kuteleza . Ana uwezo (na mara nyingi amefanya hivo) wa kukushika kabla ya kuanguka kwako. Lakini wakati huu ana mafunzo mapya. Zaburi 119:71 yasema, “Ilikuwa vyema mimi kupata shida ili nipate kujifunza amri zako.” Hatuambiwi kuwa shida hizo zilikuwa rahisi au raha bali. “Ilikuwa vyema.”&lt;br /&gt;
  Wiki jana nilikuwa nikisoma kitabu kilichoandikwa na James Stewart ambaye ni mhubiri kutoka Uskoti. James alisema katika utumishi wa upendo, ni askari walioumia tu ndio huhudumu. Ni kwa sababu hii na amini wengine wenu mnatayarishwa kwa huduma hii. Unapoumia usije ukafikiri kuwa maumivu yako yamekujia kinyume na mpango wa Mungu . Tena katika kumbukumbu la torati 32:29 asema . “Hakuna Mungu mwingine ila Mimi…..Mimi nimejeruhi na Mimi nitaponya.”&lt;br /&gt;
  Nawaombea ninyi nyote mlio na maumivu. Zaidi ya hayo nangoja kwa hamu wororo upya wa Upendo mtakao funzwa katika maumivu haya.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>May Adhyambo</name></author>	</entry>

	</feed>