<?xml version="1.0"?>
<?xml-stylesheet type="text/css" href="http://sw.gospeltranslations.org/w/skins/common/feed.css?239"?>
<feed xmlns="http://www.w3.org/2005/Atom" xml:lang="sw">
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/w/index.php?feed=atom&amp;target=Pcain&amp;title=Maalum%3AMichango</id>
		<title>Gospel Translations Swahili - Michango ya watumiaji [sw]</title>
		<link rel="self" type="application/atom+xml" href="http://sw.gospeltranslations.org/w/index.php?feed=atom&amp;target=Pcain&amp;title=Maalum%3AMichango"/>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Maalum:Michango/Pcain"/>
		<updated>2026-04-07T12:42:13Z</updated>
		<subtitle>Kutoka Gospel Translations Swahili</subtitle>
		<generator>MediaWiki 1.16alpha</generator>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_kinachotendeka_katika_kuzaliwa_upya%3F_sehemu_ya_2</id>
		<title>Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya? sehemu ya 2</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_kinachotendeka_katika_kuzaliwa_upya%3F_sehemu_ya_2"/>
				<updated>2018-08-17T20:06:44Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya? sehemu ya 2&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|What Happens in the New Birth? Part 2}}&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Basi palipokuwa na mtu mmoja wa mafarisayo jina lake Nikodemo mkuu wa wayahudi. Huyo alimjia usiku akamwambia,”Rabi,twajua kuwa u mwalimu umetoka kwa Mungu ,kwa maana hakuna awezaye kuzifanya ishara hizi uzifanyayo wewe usipokuwa Mungu yu pamoja naye.” Yesu akajibu akamwambia, “Amin amin nakuambia,mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuona ufalme wa Mungu.” Nikodemo akamwambia, &amp;quot;Awezaje mtu kuzaliwa akiwa mzee? Awezo kuingia tumboni mwa mamaye mara ya pili akazaliwa?” Yesu akajibu, “Amin Amin nakuambia,mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho hawezi kuingia ufalme wa Mungu. Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili na kilichozaliwa kwa Roho ni Roho. Usistaajabu kwa kuwa nilikwambia, “Hamna budi kuzaliwa mara ya pili.” “Upepo huvuma upendako na sauti yake waisikia, lakini hujui unakotoka walaunakokwenda: kadhalika na hali yake kila mtu aliyezaliwa kwa Roho” Nikodemo akajibu, akamwambia , ”Yawezaje kuwa mambo haya?” Yesu akajibu akamwambia, “Je wewe u mwalimu wa Israeli na mambo haya huyafahamu?”&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Leo tunamaliza ujumbe wa wiki iliyopita kuhusu kinachofanyika katika kuzaliwa upya.Yesu alimwambia Nikodemo katika Yohana3:7, “Usistaajabu kuwa nilikuambia, “hauna budi kuzaliwa mara ya pili,” Vilevile kwenye mstari wa 3,Alimwambia—nasi pia—kwamba uzima wetu wa milele hutegemea kuzaliwa mara ya pili: Amin amin nakuambia, mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuuona ufalme wa Mungu.Basi hatuhusiki kwa jambo ambalo ni la kufikiria wala si ya lazima wala si la kurembesha katika maisha ya Ukristo. Kuzaliwa upya si kama mapambo ambayo wahifadhi maiti hutumia kwa maiti ili aonekane kana kwamba yu hai. Kuzaliwa mara ya pili ni uumbaji wa uzima wa kiroho si uigizaji wa maisha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tulianza kwa kujibu swali: Nini hufanyika katika kuzaliwa upya&amp;amp;nbsp;?Wakati uliopita kwa maelezo mawili 1) Kuzaliwa upya si kupata dini mpya bali uzima mpya 2) Kuzaliwa upya si kuthibitisha tu uungu ndani ya Yesu bali ni kushuhudia uungu ndani yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Uzima mpya kupitia Roho mtakatifu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nikodemo alikuwa mfarisayo na alikuwa mengi kuhusu dini. Lakini hakuwa na uzima wa kiroho. Aliona kazi ya kiuungu ya Mungu ndani ya Yesu lakini hakushuhudia haya ndani yake.Tukiweka maelezo yetu pamoja tangia muda uliopita,kile Nikodemo alikihitaji, Yesu akamwambia&amp;amp;nbsp;; ni uzima mpya wa kiroho ambao hupatiwa kwa njia ya kiungu kupitia Roho mtakatifu. Kinachofanya uzima mpya kuwa wa kiroho na wa kiungu ni kuwa ni kazi ya Mungu Roho. Ni kitu ambacho ni zaidi ya maisha ya Asili ya mwili wa moyo wetu na ubongo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari wa 6, Yesu anasema&amp;amp;nbsp;: Kilichozaliwa kwa mwilini mwili na kilichozaliwa kwa Roho ni Roho.”Mwili una uzima wa aina yake. Kila mwanadamu ni mwili wenye uzima. Lakini si kila binadamu ana Roho yenye uhai. Kuwa na Roho yenye uzima au kuwa na uzima wa kiroho, Yesu anasema, lazima “Tuzaliwe katika Roho.” Mwili huzalisha uzima wa aina moja. Roho naye huzalisha aiina nyingine ya uzima. Bila kuwa na uzima wa pili (wa Roho) hatuwezi kuuona ufalme wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kwa Roho ndani ya Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi tulivyotamatisha wakati uliopita,tuligundua mambo mawili muhimu:Uhusiano kati ya kuzaliwa upya kwa Yesu na kuzaliwa upya kwa imani. Yesu alisema, “Mimi ndimi njia ukweli na uzima.” (Yohana 14:6). Mitume Yohana alisema, “Mungu hutupa uzima wa milele na uzima huu umo katika mwanawe. Yeye alliye naye Mwana, anao huo uzima; asiye naye Mwana wa Mungu hana huo uzima (1 Yohana 5:11-12) Sasa kwa upande mwingine, uzima mpya tunaohitaji. “umo ndani ya Mwana”—Yesu ndiye uzima huo. ukiwa naye una uzima mpya wa kiroho na wa milele. Kwa upande mwingine katika Yohana 6:63 Yesu anasema “Roho ndiye aitiaye uzima.” na mtu asipozaliwa kwa Roho hawezi kuingia kwenye ufalme wa Mungu” Yohana 3:5&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi tuna uzima kwa kuunganishwa na Mwana wa Mungu ambaye ni uzima wetu na tuna uzima huo kwa kazi ya Roho. Tulimalizia basi kwamba kazi ya Roho kwa huisho ni kutia uzima mpya kwetu kwa kutuunganisha na kristo. John Calvin anaifafanua hivi, “Roho mtakatifu ndiye kiunganishi ambacho kristo hutuunganisha nayo kwake kikamilifu? (Chuo cha III, 1, 1)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuunganishwa na Yesu kupitia Imani ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tulifanya unganisho na Imani hivi: Yohana 20: 31 inasema “Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo Mwana wa Mungu na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake.” Na 1 Yohana 5:4 inasema “Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu, hiyo Imani yetu.” Kilichozaliwa na Mungu. Ufunguo wa ushindi.Imani ufunguo wa ushindi. Kwa kuwa Imani ndiyo njia tunayoshuhudia kuzaliwa na Mungu. Basi tuliweka kwa ufupi kwa pamoja ujumbe wa wiki uliopita hivi: ''Katika kuzaliwa upya Roho mtakatifu kwa njia ya kiungu hutupa uzima mpya wa kiroho kwa kutuunganisha sisi na Yesu Kristo kwa njia ya Imani.''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuzaliwa upya: Kiumbe kipya si kuimarisha ya kale ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii inatuleta kwenye njia ya tatu ya kueleza kinachofanyika katika kuzaliwa upya.kinachotendeka katika kuzaliwa upya si kuimarishwa umbile wako wa kale bali uumbaji wa asili mpya—asili ambayo hakika ni wewe aliyesamehewa na kutakaswa na asili ambayo ni hakika mpya, na inafanywa kukaa ndani yenu kupitia Roho ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nitakuelekeza kwa andiko fupi ambalo lilinifanya niufikie mtazamo huu. Katika Yohana 3:5, Yesu anamwambia Nikodemo, “Amin Amin nakwambia mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho hawezi kuingia ufalme wa Mungu.Kwa kutaja maneno haya Yesu anamaanisha nini? “Kwa maji na kwa Roho” Madhehebu mengine yanaamini kuwa hii ni asilia ya ubatizo wa maji kama vile Roho hutuunganisha na Kristo. Kwa mfano matandao mmoja unaueleza hivi.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Ubatizo takatifu ni msingi wa uzima kikamilifu wa Mkristo, lango la kuingia uzimani katika Roho na mlango unaotupa uwezekano wa kufikia sakramenti zingine.Kupitia ubatizo tuko huru kutoka kwa dhambi zetu na kuzaliwa upya kama wana wa Mungu; tunakuwa washirika na Kristo, tumejumuishwa kwenye kanisa na kufanywa washirika katika huduma yake: “Ubatizo ni sakramenti ya huisho kupitia maji katika neno.”&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Milioni ya watu wamefunzwo kuwa kubatizwa kwao kuliwafanya kuzaliwa mara ya pili.Kama hii si kweli, basi ni balaa kubwa ulimwenguni. Na mimi siyaamini kuwa ni kweli. Sasa basi Kristo anamaanisha nini?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kwa nini “Maji” si asilia ya ubatizo katika Yohana 3 ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapa pana sababu kadhaa kwa kufikiria kuwa maji kama ni asilia ya ubatizo ya Wakristo si kweli. Hatimaye tutaona yaliyomo yanatuelekeza wapi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1) Hakuna mtajo wa ubatizo katika Sehemu iliyobaki ya Sura hii''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwanza kama hii ingekuwa asilia kuwa ubatizo wa ukristo na kuwa muhimu kwa kuzaliwa upya,(kama wengine wanavyosema),inaonekana geni kuwa imeachwa nje ya kile Yesu anasema katika sura hii,anapotuambia njia ya kupata uzima wa milele. Mistari wa 15: ”Kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye.” Mstari wa 16: kila mtu amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele. Mstari wa 18: “Amwaminiye yeye haukumiwi? Itaonekana ya kushangaza, kama ubatizo ungekuwa muhimu, haingetajwa pamoja na imani.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2) Ubatizo haitoshi kufananishwa na upepo''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Pili, ufananisho na upepo kwenye mstari wa 8 ungeshangaza kama kuzaliwa mara ya pili kungeunganishwa imara na ubatizo wa maji. Yesu anasema, “upepo huvuma upendako, na na sauti yake waisikia,lakini hujui unakotako wala unakokwenda; kadhalika na hali yake kila mtu aliyezaliwa kwa Roho.Kadhalika na hali yake kila mtu aliyezaliwa kwa kwa Roho. Hii ni kuonekana kusema kuwa Mungu yuko huru kama upepo kufanya huisho. Lakini kama itafanyika kila wakati mtoto akuapo haitaonekana kuwa kweli. Kwa sababu hii upepo ungezuiliwa katika sakramenti.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3) Ubatizo haitoshi kwenye maneno ya kukaripia ya Yesu kwa Nikodemo ''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tatu, kama Yesu anamaanisha ubatizo wa ukristo, ingeonekana ajabu kwamba angemwambia Nikodemo Mfarisayo, kwenye mstari wa 10, “Je, wewe u mwalimu wa Israeli, na mambo haya huyafahamu?” Hiyo ina maana Yesu anapotaja kitu kilichofundishwa katika agano la kale,lakini kama ana maanisha ubatizo hiyo ingekuwa baadaye na kupata maana kutoka kwa uzima na mauti ya Yesu,haionekani kana kwamba angekaripia Nikodemo kuwa ni mwalimu wa Israeli na hajui asemacho.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''4) Maji na Roho zimeunganishwa katika ahadi za agano jipya''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hatimaye maelezo hayo kwenye mstari wa 10 yaturejesha kwenye agano la kale kwa chimbuko, tunapata kuwa maji na Roho zina uhusiano wa karibu katika ahadi za agano jipya,hasa Ezekiel 36. Basi wacha tutazame hapo pamoja.Yaliomo hapa ndiyo msingi wa sehemu ya ujumbe uliosalia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Maji na Roho katika Ezekiel 36  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ezekieli anasisitiza kile Mungu atafanyia watu wake anapowarejesha kutoka kwa nchi geni ya Babiloni.Matokeo hapa ni makubwa zaidi siyo tu kwa wana wa Israeli; kwa kuwa Yesu anadai kulinda agano jipya katika damu yake kwa wote wamtumainio (Luka 22:30) na hili ni andiko ambalo ni la ahadi za agano jipya kama katika Yeremia 31:31. Tusome pamoja Ezekieli 36:24-28:&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Maana nitawatwaa kati ya mataifa nami nitawakusanya na kuwatoa katika nchi zote na kuwarudisha katika nchi yenu wenyewe.nami nitawanyunyuzia maji safi,nanyi mtakuwa safi, nitawatakaseni na uchafu wenyu wote, na vinyago vyenu vyote. Nami nitawapa ninyi moyo mpya,nami nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili wenu nami nitawapa moyo wa nyama. Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu nanyi mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda. Nanyi mtakaa katika nchi ile niliowapa baba zenu, nanyi mtakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wenu.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Ninafikiria kuwa ufahamu huu ndiyo uliofanya Yesu kuongea maneno haya: “Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.” Anamwambia nani.” Nitawanyunyuzia maji safi nami nitakuwa Mungu wenu.” (Mist 28)? Mstari wa 25: Kwa wale ambao anawaambia,“ Nami nitawanyunyuzia maji safi, nanyi mtakuwa safi nitawatakaseni na uchafu wenu wote.” Na mstari wa 26. Kwa wale ambao nawaambia,” Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatia Roho mpya, ndani yenu.” Kwa maneno mengine anasema, wale watakao ingia katika ufalme ni walio na upya wenye utakaso na usafi wa ya kale ni uumbaji wa upya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ninamaliza nikisema ”Maji na Roho” zinamaanisha hali aina mbili katika upya wetu tukizaliwa mara ya pili.Na sababu zote mbili ni muhimu ni hii: Tunaposema Roho mpya,moyo mpya tumepewa hatumaanishi kwamba tukome kuwa wanadamu—wanaoajibika kimaadili—ambayo tumekuwa siku zote. Mimi John Piper nilikuwa binadamu kibinafsi kabla nizaliwe mara ya pili na mimi bado ni binadamu kibinafsi baada ya kuzaliwa mara ya pili.Kuna kuendelea. Hii ndiyo sababu lazima kuwe na utakaso. Kama mtu wa kale John Piper, angeangamizwa, mawazo ya msamaha kwa jumla na utakaso hayangekuwa na maana. Hakungebakia chochote kwa ya kale kumsamehe na kumtakasa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunajua bibilia inavyosema kwa utu wetu wa kale ulisulubishwa pamoja na Kristo (Warumi 6:6) na kwamba tumekufa pamoja na Kristo (Wakolosai 3:3) “tuchukulie kuwa tumekufa” (Warumi 6:11) na “tuvue utu wa kale” (Waefeso 4:22). Lakini haya yote haimaanishi kuwa Binadamu huyo hayuko tena kwenye uzima tunaouona.Ina maana kwamba kulikuwa na utu wa kale na tabia zake, utawala wake na uharibifu ambao wahitaji kuondolewa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa njia ya kufikiria kuhusu mioyo yenu mpya,roho mpya,asili mpya ni kwamba bado ni nyinyi tu na mwahitaji msamaha na utakaso—hii ndiyo sababu ya kutaja maji. Maovu yangu ni lazima yaoshwe mbali. Utakaso kwa njia ya maji ni taswira hii.Yeremia 33:8 inaeleza hivi: Nami nitawasafisha na uovu wao wote ,ambao kwa hou waminitenda dhambi:nami nitawasamehe maovu yao yote ambayo kwa hayo wamenitendea dhambi na kukosa juu yangu.” Sasa utu wetuambao unaendelea kuishi—ni sharti usamehewe na uovu wake usafishwe mbali.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hitaji ya kuwa upya ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini msamaha na kusafishwa hayatoshi. Ninahitajika kuwa mpya. Kubadilishwa. Na kuwa na uzima. Nahitaji mtazamo mpya ya kuona,kufikiria na kuthamini.Ndiposa Ezekieli anena kuhusu moyo mpya na Roho mpya katika mstari wa 26 na 27: “Nami nitawapa ninyi moyo mpya,nami nitatia roho mpya,ndani yenu nami nitatia roho mpya,ndani yenu name nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili yenu name nitawapa moyo wa nyama. Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu nanyi mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivi ndivyo ninavyoelewa mistari hii: Kuwa na uhakika moyo wa jiwe una maana ya moyo uliokufa usioweza kuhisi na kuitikia ukweli wa roho—moyo mliokuwa nao kabla ya kuzaliwa upya ungehisi: ungeitika kwa mapenzi na tamaa ya vitu vingi. Lakini ni jiwe kuhusu ukweli wa kiroho na uzuri wa Kristo, Utukufu wa Mungu na njia ya utakatifu. Hii ndiyo sharti ibadilike iwapo tutaona ufalme wa Mungu. Basi katika kuzaliwa upya Mungu huondoa moyo wa jiwe na kutia moyo wa nyama. Hapa neno nyama halimaanishi “tu binadamu” kama katika Yohana 3:6. Inamaanisha mwororo, unaoishi, kuitikia, na kuhisi, badala ya jiwe bila uhai.Katika kuzaliwa upya kufa kwetu na kuchoka na Kristo hubadilishwa na moyo unaoohisi (hisia za kiroho) umuhimu wa Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ezekieli anasema katika mstari 26 na 27, “Roho mpya nitatia ndani yenu . . . na kuwaendesha katika sheria zangu,” nafikiria kuwa anamaanisha ya kwamba katika kuzaliwa upya, Mungu hutia kwenye mioyo yetu uzima wa kiungu na wa kiroho—na huyo Roho mpya ni kazi ya Roho mtakatifu mwenye atiaye umbo na sura katika mioyo yetu mipya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Taswira ninayo kwenye mawazo ni kuwa moyo mpya huu changamfu, wa kuguzwa,na wa kuitika ni kama tuta laini la udongo na Roho mtakatifu anapenya ndani yake na kumpa sura na maadili ya kiroho kulingana na umbo lake mwenyewe. Kwa kuwa yeye binafsi ndani yetu,mioyo na akili zetu zachukua tabia zake—Roho yake. (Waefeso 4:23). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mpokee kama hazina yako ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hebu sasa tuweze kuhitimisha wiki hizi mbili. Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya? Roho mtakatifu kwa njia ya kiungu hutupa uzima mpya wa kiroho, kwa kutuunganisha na Yesu Kristo kwa njia ya imani. Kwa njia nyingine, Roho hutujumulisha na Kristo mahali pana utakaso wa dhambi zetu na kubadilisha ugumu na kutoitika kwa moyo mwororo ambao unamthamini Yesu kuliko vitu vyote na kubadilishwa kwa uwepo wa Roho kuwa aina ya moyo wa unaopenda kutenda mapenzi ya Mungu. (Ezekieli 36:27).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa kuwa unaweza kuyashuhudia yote haya kwa imani,nakualika sasa katika Jina la Yesu na nguvu za Roho yake, umpokee kama anayesamehe na anayebadilisha hazina ya uzima wako.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_kinachotendeka_katika_kuzaliwa_upya%3F_sehemu_ya_2</id>
		<title>Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya? sehemu ya 2</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_kinachotendeka_katika_kuzaliwa_upya%3F_sehemu_ya_2"/>
				<updated>2018-08-17T20:06:35Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|What Happens in the New Birth? Part 2}}&amp;lt;br&amp;gt;  &amp;lt;blockquote&amp;gt; Basi palipokuwa na mtu mmoja wa mafarisayo jina lake Nikodemo mkuu wa wayahudi. Huyo alimjia usiku akamwambia,”...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|What Happens in the New Birth? Part 2}}&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Basi palipokuwa na mtu mmoja wa mafarisayo jina lake Nikodemo mkuu wa wayahudi. Huyo alimjia usiku akamwambia,”Rabi,twajua kuwa u mwalimu umetoka kwa Mungu ,kwa maana hakuna awezaye kuzifanya ishara hizi uzifanyayo wewe usipokuwa Mungu yu pamoja naye.” Yesu akajibu akamwambia, “Amin amin nakuambia,mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuona ufalme wa Mungu.” Nikodemo akamwambia, &amp;quot;Awezaje mtu kuzaliwa akiwa mzee? Awezo kuingia tumboni mwa mamaye mara ya pili akazaliwa?” Yesu akajibu, “Amin Amin nakuambia,mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho hawezi kuingia ufalme wa Mungu. Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili na kilichozaliwa kwa Roho ni Roho. Usistaajabu kwa kuwa nilikwambia, “Hamna budi kuzaliwa mara ya pili.” “Upepo huvuma upendako na sauti yake waisikia, lakini hujui unakotoka walaunakokwenda: kadhalika na hali yake kila mtu aliyezaliwa kwa Roho” Nikodemo akajibu, akamwambia , ”Yawezaje kuwa mambo haya?” Yesu akajibu akamwambia, “Je wewe u mwalimu wa Israeli na mambo haya huyafahamu?”&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Leo tunamaliza ujumbe wa wiki iliyopita kuhusu kinachofanyika katika kuzaliwa upya.Yesu alimwambia Nikodemo katika Yohana3:7, “Usistaajabu kuwa nilikuambia, “hauna budi kuzaliwa mara ya pili,” Vilevile kwenye mstari wa 3,Alimwambia—nasi pia—kwamba uzima wetu wa milele hutegemea kuzaliwa mara ya pili: Amin amin nakuambia, mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuuona ufalme wa Mungu.Basi hatuhusiki kwa jambo ambalo ni la kufikiria wala si ya lazima wala si la kurembesha katika maisha ya Ukristo. Kuzaliwa upya si kama mapambo ambayo wahifadhi maiti hutumia kwa maiti ili aonekane kana kwamba yu hai. Kuzaliwa mara ya pili ni uumbaji wa uzima wa kiroho si uigizaji wa maisha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tulianza kwa kujibu swali: Nini hufanyika katika kuzaliwa upya&amp;amp;nbsp;?Wakati uliopita kwa maelezo mawili 1) Kuzaliwa upya si kupata dini mpya bali uzima mpya 2) Kuzaliwa upya si kuthibitisha tu uungu ndani ya Yesu bali ni kushuhudia uungu ndani yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Uzima mpya kupitia Roho mtakatifu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nikodemo alikuwa mfarisayo na alikuwa mengi kuhusu dini. Lakini hakuwa na uzima wa kiroho. Aliona kazi ya kiuungu ya Mungu ndani ya Yesu lakini hakushuhudia haya ndani yake.Tukiweka maelezo yetu pamoja tangia muda uliopita,kile Nikodemo alikihitaji, Yesu akamwambia&amp;amp;nbsp;; ni uzima mpya wa kiroho ambao hupatiwa kwa njia ya kiungu kupitia Roho mtakatifu. Kinachofanya uzima mpya kuwa wa kiroho na wa kiungu ni kuwa ni kazi ya Mungu Roho. Ni kitu ambacho ni zaidi ya maisha ya Asili ya mwili wa moyo wetu na ubongo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari wa 6, Yesu anasema&amp;amp;nbsp;: Kilichozaliwa kwa mwilini mwili na kilichozaliwa kwa Roho ni Roho.”Mwili una uzima wa aina yake. Kila mwanadamu ni mwili wenye uzima. Lakini si kila binadamu ana Roho yenye uhai. Kuwa na Roho yenye uzima au kuwa na uzima wa kiroho, Yesu anasema, lazima “Tuzaliwe katika Roho.” Mwili huzalisha uzima wa aina moja. Roho naye huzalisha aiina nyingine ya uzima. Bila kuwa na uzima wa pili (wa Roho) hatuwezi kuuona ufalme wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kwa Roho ndani ya Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi tulivyotamatisha wakati uliopita,tuligundua mambo mawili muhimu:Uhusiano kati ya kuzaliwa upya kwa Yesu na kuzaliwa upya kwa imani. Yesu alisema, “Mimi ndimi njia ukweli na uzima.” (Yohana 14:6). Mitume Yohana alisema, “Mungu hutupa uzima wa milele na uzima huu umo katika mwanawe. Yeye alliye naye Mwana, anao huo uzima; asiye naye Mwana wa Mungu hana huo uzima (1 Yohana 5:11-12) Sasa kwa upande mwingine, uzima mpya tunaohitaji. “umo ndani ya Mwana”—Yesu ndiye uzima huo. ukiwa naye una uzima mpya wa kiroho na wa milele. Kwa upande mwingine katika Yohana 6:63 Yesu anasema “Roho ndiye aitiaye uzima.” na mtu asipozaliwa kwa Roho hawezi kuingia kwenye ufalme wa Mungu” Yohana 3:5&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi tuna uzima kwa kuunganishwa na Mwana wa Mungu ambaye ni uzima wetu na tuna uzima huo kwa kazi ya Roho. Tulimalizia basi kwamba kazi ya Roho kwa huisho ni kutia uzima mpya kwetu kwa kutuunganisha na kristo. John Calvin anaifafanua hivi, “Roho mtakatifu ndiye kiunganishi ambacho kristo hutuunganisha nayo kwake kikamilifu? (Chuo cha III, 1, 1)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuunganishwa na Yesu kupitia Imani ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tulifanya unganisho na Imani hivi: Yohana 20: 31 inasema “Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo Mwana wa Mungu na kwa kuamini mwe na uzima kwa jina lake.” Na 1 Yohana 5:4 inasema “Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu, hiyo Imani yetu.” Kilichozaliwa na Mungu. Ufunguo wa ushindi.Imani ufunguo wa ushindi. Kwa kuwa Imani ndiyo njia tunayoshuhudia kuzaliwa na Mungu. Basi tuliweka kwa ufupi kwa pamoja ujumbe wa wiki uliopita hivi: ''Katika kuzaliwa upya Roho mtakatifu kwa njia ya kiungu hutupa uzima mpya wa kiroho kwa kutuunganisha sisi na Yesu Kristo kwa njia ya Imani.''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuzaliwa upya: Kiumbe kipya si kuimarisha ya kale ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii inatuleta kwenye njia ya tatu ya kueleza kinachofanyika katika kuzaliwa upya.kinachotendeka katika kuzaliwa upya si kuimarishwa umbile wako wa kale bali uumbaji wa asili mpya—asili ambayo hakika ni wewe aliyesamehewa na kutakaswa na asili ambayo ni hakika mpya, na inafanywa kukaa ndani yenu kupitia Roho ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nitakuelekeza kwa andiko fupi ambalo lilinifanya niufikie mtazamo huu. Katika Yohana 3:5, Yesu anamwambia Nikodemo, “Amin Amin nakwambia mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho hawezi kuingia ufalme wa Mungu.Kwa kutaja maneno haya Yesu anamaanisha nini? “Kwa maji na kwa Roho” Madhehebu mengine yanaamini kuwa hii ni asilia ya ubatizo wa maji kama vile Roho hutuunganisha na Kristo. Kwa mfano matandao mmoja unaueleza hivi.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Ubatizo takatifu ni msingi wa uzima kikamilifu wa Mkristo, lango la kuingia uzimani katika Roho na mlango unaotupa uwezekano wa kufikia sakramenti zingine.Kupitia ubatizo tuko huru kutoka kwa dhambi zetu na kuzaliwa upya kama wana wa Mungu; tunakuwa washirika na Kristo, tumejumuishwa kwenye kanisa na kufanywa washirika katika huduma yake: “Ubatizo ni sakramenti ya huisho kupitia maji katika neno.”&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Milioni ya watu wamefunzwo kuwa kubatizwa kwao kuliwafanya kuzaliwa mara ya pili.Kama hii si kweli, basi ni balaa kubwa ulimwenguni. Na mimi siyaamini kuwa ni kweli. Sasa basi Kristo anamaanisha nini?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kwa nini “Maji” si asilia ya ubatizo katika Yohana 3 ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapa pana sababu kadhaa kwa kufikiria kuwa maji kama ni asilia ya ubatizo ya Wakristo si kweli. Hatimaye tutaona yaliyomo yanatuelekeza wapi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1) Hakuna mtajo wa ubatizo katika Sehemu iliyobaki ya Sura hii''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwanza kama hii ingekuwa asilia kuwa ubatizo wa ukristo na kuwa muhimu kwa kuzaliwa upya,(kama wengine wanavyosema),inaonekana geni kuwa imeachwa nje ya kile Yesu anasema katika sura hii,anapotuambia njia ya kupata uzima wa milele. Mistari wa 15: ”Kila mtu aaminiye awe na uzima wa milele katika yeye.” Mstari wa 16: kila mtu amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele. Mstari wa 18: “Amwaminiye yeye haukumiwi? Itaonekana ya kushangaza, kama ubatizo ungekuwa muhimu, haingetajwa pamoja na imani.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2) Ubatizo haitoshi kufananishwa na upepo''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Pili, ufananisho na upepo kwenye mstari wa 8 ungeshangaza kama kuzaliwa mara ya pili kungeunganishwa imara na ubatizo wa maji. Yesu anasema, “upepo huvuma upendako, na na sauti yake waisikia,lakini hujui unakotako wala unakokwenda; kadhalika na hali yake kila mtu aliyezaliwa kwa Roho.Kadhalika na hali yake kila mtu aliyezaliwa kwa kwa Roho. Hii ni kuonekana kusema kuwa Mungu yuko huru kama upepo kufanya huisho. Lakini kama itafanyika kila wakati mtoto akuapo haitaonekana kuwa kweli. Kwa sababu hii upepo ungezuiliwa katika sakramenti.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3) Ubatizo haitoshi kwenye maneno ya kukaripia ya Yesu kwa Nikodemo ''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tatu, kama Yesu anamaanisha ubatizo wa ukristo, ingeonekana ajabu kwamba angemwambia Nikodemo Mfarisayo, kwenye mstari wa 10, “Je, wewe u mwalimu wa Israeli, na mambo haya huyafahamu?” Hiyo ina maana Yesu anapotaja kitu kilichofundishwa katika agano la kale,lakini kama ana maanisha ubatizo hiyo ingekuwa baadaye na kupata maana kutoka kwa uzima na mauti ya Yesu,haionekani kana kwamba angekaripia Nikodemo kuwa ni mwalimu wa Israeli na hajui asemacho.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''4) Maji na Roho zimeunganishwa katika ahadi za agano jipya''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hatimaye maelezo hayo kwenye mstari wa 10 yaturejesha kwenye agano la kale kwa chimbuko, tunapata kuwa maji na Roho zina uhusiano wa karibu katika ahadi za agano jipya,hasa Ezekiel 36. Basi wacha tutazame hapo pamoja.Yaliomo hapa ndiyo msingi wa sehemu ya ujumbe uliosalia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Maji na Roho katika Ezekiel 36  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ezekieli anasisitiza kile Mungu atafanyia watu wake anapowarejesha kutoka kwa nchi geni ya Babiloni.Matokeo hapa ni makubwa zaidi siyo tu kwa wana wa Israeli; kwa kuwa Yesu anadai kulinda agano jipya katika damu yake kwa wote wamtumainio (Luka 22:30) na hili ni andiko ambalo ni la ahadi za agano jipya kama katika Yeremia 31:31. Tusome pamoja Ezekieli 36:24-28:&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Maana nitawatwaa kati ya mataifa nami nitawakusanya na kuwatoa katika nchi zote na kuwarudisha katika nchi yenu wenyewe.nami nitawanyunyuzia maji safi,nanyi mtakuwa safi, nitawatakaseni na uchafu wenyu wote, na vinyago vyenu vyote. Nami nitawapa ninyi moyo mpya,nami nitatia roho mpya ndani yenu, nami nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili wenu nami nitawapa moyo wa nyama. Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu nanyi mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda. Nanyi mtakaa katika nchi ile niliowapa baba zenu, nanyi mtakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wenu.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Ninafikiria kuwa ufahamu huu ndiyo uliofanya Yesu kuongea maneno haya: “Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.” Anamwambia nani.” Nitawanyunyuzia maji safi nami nitakuwa Mungu wenu.” (Mist 28)? Mstari wa 25: Kwa wale ambao anawaambia,“ Nami nitawanyunyuzia maji safi, nanyi mtakuwa safi nitawatakaseni na uchafu wenu wote.” Na mstari wa 26. Kwa wale ambao nawaambia,” Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatia Roho mpya, ndani yenu.” Kwa maneno mengine anasema, wale watakao ingia katika ufalme ni walio na upya wenye utakaso na usafi wa ya kale ni uumbaji wa upya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ninamaliza nikisema ”Maji na Roho” zinamaanisha hali aina mbili katika upya wetu tukizaliwa mara ya pili.Na sababu zote mbili ni muhimu ni hii: Tunaposema Roho mpya,moyo mpya tumepewa hatumaanishi kwamba tukome kuwa wanadamu—wanaoajibika kimaadili—ambayo tumekuwa siku zote. Mimi John Piper nilikuwa binadamu kibinafsi kabla nizaliwe mara ya pili na mimi bado ni binadamu kibinafsi baada ya kuzaliwa mara ya pili.Kuna kuendelea. Hii ndiyo sababu lazima kuwe na utakaso. Kama mtu wa kale John Piper, angeangamizwa, mawazo ya msamaha kwa jumla na utakaso hayangekuwa na maana. Hakungebakia chochote kwa ya kale kumsamehe na kumtakasa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunajua bibilia inavyosema kwa utu wetu wa kale ulisulubishwa pamoja na Kristo (Warumi 6:6) na kwamba tumekufa pamoja na Kristo (Wakolosai 3:3) “tuchukulie kuwa tumekufa” (Warumi 6:11) na “tuvue utu wa kale” (Waefeso 4:22). Lakini haya yote haimaanishi kuwa Binadamu huyo hayuko tena kwenye uzima tunaouona.Ina maana kwamba kulikuwa na utu wa kale na tabia zake, utawala wake na uharibifu ambao wahitaji kuondolewa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa njia ya kufikiria kuhusu mioyo yenu mpya,roho mpya,asili mpya ni kwamba bado ni nyinyi tu na mwahitaji msamaha na utakaso—hii ndiyo sababu ya kutaja maji. Maovu yangu ni lazima yaoshwe mbali. Utakaso kwa njia ya maji ni taswira hii.Yeremia 33:8 inaeleza hivi: Nami nitawasafisha na uovu wao wote ,ambao kwa hou waminitenda dhambi:nami nitawasamehe maovu yao yote ambayo kwa hayo wamenitendea dhambi na kukosa juu yangu.” Sasa utu wetuambao unaendelea kuishi—ni sharti usamehewe na uovu wake usafishwe mbali.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hitaji ya kuwa upya ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini msamaha na kusafishwa hayatoshi. Ninahitajika kuwa mpya. Kubadilishwa. Na kuwa na uzima. Nahitaji mtazamo mpya ya kuona,kufikiria na kuthamini.Ndiposa Ezekieli anena kuhusu moyo mpya na Roho mpya katika mstari wa 26 na 27: “Nami nitawapa ninyi moyo mpya,nami nitatia roho mpya,ndani yenu nami nitatia roho mpya,ndani yenu name nitatoa moyo wa jiwe uliomo ndani ya mwili yenu name nitawapa moyo wa nyama. Nami nitatia roho yangu ndani yenu, na kuwaendesha katika sheria zangu nanyi mtazishika hukumu zangu, na kuzitenda.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivi ndivyo ninavyoelewa mistari hii: Kuwa na uhakika moyo wa jiwe una maana ya moyo uliokufa usioweza kuhisi na kuitikia ukweli wa roho—moyo mliokuwa nao kabla ya kuzaliwa upya ungehisi: ungeitika kwa mapenzi na tamaa ya vitu vingi. Lakini ni jiwe kuhusu ukweli wa kiroho na uzuri wa Kristo, Utukufu wa Mungu na njia ya utakatifu. Hii ndiyo sharti ibadilike iwapo tutaona ufalme wa Mungu. Basi katika kuzaliwa upya Mungu huondoa moyo wa jiwe na kutia moyo wa nyama. Hapa neno nyama halimaanishi “tu binadamu” kama katika Yohana 3:6. Inamaanisha mwororo, unaoishi, kuitikia, na kuhisi, badala ya jiwe bila uhai.Katika kuzaliwa upya kufa kwetu na kuchoka na Kristo hubadilishwa na moyo unaoohisi (hisia za kiroho) umuhimu wa Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ezekieli anasema katika mstari 26 na 27, “Roho mpya nitatia ndani yenu . . . na kuwaendesha katika sheria zangu,” nafikiria kuwa anamaanisha ya kwamba katika kuzaliwa upya, Mungu hutia kwenye mioyo yetu uzima wa kiungu na wa kiroho—na huyo Roho mpya ni kazi ya Roho mtakatifu mwenye atiaye umbo na sura katika mioyo yetu mipya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Taswira ninayo kwenye mawazo ni kuwa moyo mpya huu changamfu, wa kuguzwa,na wa kuitika ni kama tuta laini la udongo na Roho mtakatifu anapenya ndani yake na kumpa sura na maadili ya kiroho kulingana na umbo lake mwenyewe. Kwa kuwa yeye binafsi ndani yetu,mioyo na akili zetu zachukua tabia zake—Roho yake. (Waefeso 4:23). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mpokee kama hazina yako ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hebu sasa tuweze kuhitimisha wiki hizi mbili. Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya? Roho mtakatifu kwa njia ya kiungu hutupa uzima mpya wa kiroho, kwa kutuunganisha na Yesu Kristo kwa njia ya imani. Kwa njia nyingine, Roho hutujumulisha na Kristo mahali pana utakaso wa dhambi zetu na kubadilisha ugumu na kutoitika kwa moyo mwororo ambao unamthamini Yesu kuliko vitu vyote na kubadilishwa kwa uwepo wa Roho kuwa aina ya moyo wa unaopenda kutenda mapenzi ya Mungu. (Ezekieli 36:27).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa kuwa unaweza kuyashuhudia yote haya kwa imani,nakualika sasa katika Jina la Yesu na nguvu za Roho yake, umpokee kama anayesamehe na anayebadilisha hazina ya uzima wako.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Uzazi_kwa_Imani_katika_nyakati_mbaya</id>
		<title>Uzazi kwa Imani katika nyakati mbaya</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Uzazi_kwa_Imani_katika_nyakati_mbaya"/>
				<updated>2018-07-24T19:40:11Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Uzazi kwa Imani katika nyakati mbaya&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Parenting with Hope in the Worst of Times}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Taabu gani hii niliyo nayo! Nimefanana na Yule akusanyaye matunda ya kiangazi, aokotaye masazo baada ya kuvunwa shamba la mizabibu, hakuna kishada chenye matunda ya kula, hakuna hata ile tin iya mwanzoni ninayoitamani. 2 Wanaomcha Mungu wameondolewa kutoka kkwa nchi,hakuna mtu mnyofu hat mmoja aliyebaki. Watu wote wanavizia kumwaga damu,kila mmoja anamwinda ndugu yake kwa wavu. 3 Mikono yake yote miwili ni hodari katika kufanya ubaya, mtawala anadai zawadi, hakimu anapokea rushwa , wenye nguvu wanaamuru wanachotaka, wote wanafanya shauri baya pamoja. 4 Aliye mwema kupita wote kati yao ni kama mchongoma, anayeonekana mnyofu zaidi miongoni mwao ni mbaya kuliko uzio wa miiba. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Siku ya walinzi wako imewadia, siku atakoyotembela Mungu. Sasa ni wakati wao wa kuchanganyikiwa. 5 Usimtumaini jirani usiweke matumaini kwa rafiki. Hata kwa Yule alalaye kifuani mwako uwe mwangalifu kwa maneno yako. 6 Kwa kuwa mwana humdharau baba yake, binti huinuka dhidi ya mama yake, mkwe kuwa kinyume na mama mkwe wake, adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake hasa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
7 Lakini mimi namtazama BWANA kwa matumaini, namngoja Mungu Mwokozi wangu. Mungu wangu atanisikia mimi. 8 Usifurahie msiba wangu Ee adui yangu! Ingawa nimeanguka nitainuka. Japo ninaketi gizani, BWANA atakuwa nuru yangu. 9 Kwa sababu nimetenda dhambi dhidi yake nitabeba ghadhabu ya BWANA, mpaka atakaponitetea shauri langu na kuithibitisha haki yangu. Atanileta nje kwenye mwanga, nami nitaiona haki yake. 10 Kisha adui yangu ataliona naye atafunikwa na aibu, Yule aliyeniambia , “Yu wapi BWANA Mungu wako?” Macho yangu yataona kuanguka kwake, hata sasa atakanyangwa chini ya mguu kama tope barabarani.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
11 Siku ya kujenga kuta zako itawadia , siku ya kupanua mipaka yako. 12 Siku hiyo watu watakuja kwako kutoka ashuru na miji ya Misri, hata kutoka Misri hadi Eufrati na kutoka bahari hadi bahari na kutoka mlima hadi mlima. 13 Dunia itakuwa ukiwa kwa sababu ya wakazi wake, kwa sababu ya matunda ya matendo yao.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
14 Wachunge watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako, ambalo linaishi pekee yake msituni, katika nchi yenye malisho ya rutuba. Waache alishe katika Bashani na Gileadi kama ilivyokwa siku za kale. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
15 “Kama siku zile mlipotoka Misri, nitawaonyesha maajabu yangu.”16 Mataifa yataona na kuaibika waliondolewa nguvu zao zote. Wataweka mikono yao kwenye vinywa vyao na masikio yao yatakuwa na uziwi. 17 Wataramba mavumbi kama nyoka, kama viumbe vitambaavyo juu ya ardhi. Watatoka nje ya mipango yao wakitetemeka, watamgeukia BWANA Mungu wetu kwa hofu nao watakuogopa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
18 Ni nani Mungu kama wewe, ambaye anaachilia dhambi na kusamehe makosa ya mabaki ya urithi wake? Wewe huwi na hasira milele bali unafurahia kuonyesha rehema. 19 Utatuhurumia tena utazikanyaga dhambi zetu chini ya nyayozako na kutupa maovu yetu yote katika vilindi vya bahari. 20 Utakuwa wa kweli kwa Yakobo, nawe utamwonyesha Abrahamu rehema, kama ulivyowaahidi kwa kiapo baba zetu siku za kale.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Tunatamatisha msururu wa mafunzo kuhusu uzazi wa kiroho leo. Dibaji ambalo nimechagua kwa ujumbe huu wa mwisho ni “Uzazi kwa imani katika nyakati mbaya.” Hakuna nyakati rahisi ya kuzaa na kuwalea watoto. Jambo lililoko katika Mwanzo 3, ni kuwa vile tu dhambi iliingia ulimwenguni, kuzaa na kulea watoto umekuwa ngumu sana. Bwana akamwambia Hawa, “Nitakuzidishia sana utungu wakati wa kuzaa kwako, kwa utungu utazaa watoto” (Mwanzo 3:16) Na baada ya yeye pamoja na Adamu walikwisha kuwalea wanaume wawili, mmoja wao akaua mwenzake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Njia Ya kipekee ya Kuwa Huru  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jambo katika hadithi hiyo ni kwamba sasa dhambi imo ulimwenguni—katika kila mzazi na mtoto. Ni hiki ndicho kitu dhambi itendacho. Inaharibu watu na inaharibu familia. Shida kuu ulimwenguni ni nguvu kukaa katika dhambi. Na ni nguvu. Ni mvuto, ni kiwewe, kizuizi, ufisadi moyoni mwa mwanadamu. Si msururu wa chaguo la bure. Dhambi ni kifungo chenye nguvu uharibiayo uhuru wa binadamu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Njia ya kipekee ya mwanadamu kuwa huru-kwa mzazi au mtoto kuwa huru-ni kuzaliwa mara ya pili kwa roho ya Mungu; Kumbatia Yesu Kristo kama mwokozi; usamehewe dhambi kupitia muumba wa mbingu na nchi; na upokee Roho mtakatifu kama nguvu ya kipekee ya kushindana na nguvu za dhambi. Hilo ndilo tumaini la pekee kwa ulimwengu na watoto na wazazi. Hili huwa kweli katika kila umri.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hakuna Nyakati Rahisi katika Uzazi  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hakuna nyakati rahisi ya kuzaa na kuwalea watoto katika unyenyekevu, upendo, haki ubunifu, wenye manufaa, watu wazima wanaotukuza Kristo. Hakuna nyakati rahisi. Lakini nyakati zingine ni ngumu kushinda zingine. Na kuwa kwao vigumu ama rahisi inalingana na hali yako ya kibanfsi ama ya kijamii.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Shauku yangu leo ni kukusaidia wewe mzazi na tumaini katika hali iliyo ngumu zaidi. Na ninamaanisha hali zote mbaya zote kinyumbani na kitamaduni. Na kwa wale ambao sio wazazi, yale yote ninayosema yanawahusu, kwa sababu jinsi ya kuwa na tumaini katika nyakati mbaya ni sawa kwa kila mtu. Tunaihitaji kwa sababu tofauti tofauti.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nabii Mika ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nabi wa kiyahudi Mika alihubiri wakati wa utawala wa Jothamu, Ahazi na Hezekia, Wafalme wa Yuda. (Mika 1:1). Hiyo ni karibu miaka ya 750 hadi 687 kabla ya kuja kwa Kristo. Neno lililo wazi zaidi ya kuja kwake limepeanwa katika Mika 3:8.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Lakini kuhusu mimi, nimejazwa nguvu&amp;lt;br&amp;gt; Nimejazwa Roho ya BWANA, Haki na uweza&amp;lt;br&amp;gt; Kumtangazia Yakobo kosa lake,&amp;lt;br&amp;gt; Na Israeli dhambi yake.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
==== Kutangaza Hukumu na Rehema ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu aliwatuma manabii kuwaambia watu dhambi zao kwa wazi. Na kupitia dhambi yao manabii walitamka hukumu, na rehema. Hivi ndivyo ilivyo katika Bibilia yote: Hukumu na Rehema. Mungu ni mtukufu na mwenye haki, na analeta hukumu juu ya watu wenye dhambi. Na Mungu ni mwenye rehema na utulivu na mwenye huruma, na anawaokoa wenye dhambi toka kwa hukumu yake. Mika anadhihirisha hii katika Mika 4:10,&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Gaa-gaa kwa utungu, Ee Binti Sayuni&amp;lt;br&amp;gt; Kama mwanamke mwenye utungu wa kuzaa,&amp;lt;br&amp;gt; Kwa kuwa sasa ni lazima uuache mji,&amp;lt;br&amp;gt; Na ukapige kambi uwanjani.&amp;lt;br&amp;gt; Utakwenda Babeli&amp;lt;br&amp;gt; Huko utaokolewa.&amp;lt;br&amp;gt; Huko BWANA atakukomboa&amp;lt;br&amp;gt; Kutoka mkononi mwa adui zako.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Bwana atawatuma Babeli katika hukumu. Na atawarejesha nchini kwao kwa rehema.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hukumu Inakuja ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Katika fungu la 7, Mika anaongea kuhusu uzazi katika nyakati mbaya-Mbaya sana nyumbani pamoja na kitamaduni. Mstari 1. “Taabu gani hili niliyo nayo! Nimefanana na Yule akusanyaye matunda ya kiangazi, aokotaye masazo baada ya kuvunwa shamba la mzabibu, hakuna kushada chenye matunda ya kula, hakuna hata ile tini ya mwanzoni ninayoitamani. Anaweza kuwa anaongea juu ya vile ana tamaa ya chakula. Lakini nahisi anaongea kimafumbo juu ya kukosa marafiki ya kiungu na washirika. Kwa sababu anaendelea kusema, mistari 2-3: “Wanaomcha Mungu wameondolewa kutoka katika nchi, hakuna mtu mnyofu hata mmoja aliyebaki. Watu wote wanavizia kumwaga damu, kila mmoja anamwinda ndugu yake kwa wavu. Mikono yote miwili ni hodari katika kufanya mbaya, mtawala anadai zawadi, hakimu anapokea rushwa, wenye nguvu wanaamuru wanachotaka, wote wanafanya shauri baya pamoja. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari 4: “Aliye mwema kupita wote kati yao ni kama mchongoma, anayeonekana mnyofu zaidi miongoni mwao ni mbaya kuliko uzio wa miiba.” Mika anajaribu kuwakaribia, wanamshikisha. “Siku ya walinzi wako imewadia siku atakayokutembelea Mungu. Sasa ni wakati wao wa kuchanganyikiwa. Basi mlinzi ambaye ameteuliwa kuchungulia adui anapokuja-siku yake imewadia. Hukumu inakuja.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hata Bibi na Watoto  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa Mika nanaileta kutoka kwa tamaduni hadi ujirani na familia. Mstari 5:Usimtumaini jirani, usiweke matumaini kwa rafiki. Hata kwa Yule alalaye kifuani mwako uwe mwangalifu kwa maneno yako. “Kwa maneno mengine, dhambi na ufisadi na uwongo yana athari za kimwili ambapo inastahili uyachunge usije ukasalitiwa na bibi yako—“Yule alalaye kifuani mwako.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa kwa watoto. Mstari 6: “Kwa kuwa mwana humdharau baba yake, binti huinuka dhidi ya mama yake, mkwe kuwa kinyume na mama mkwe wake, adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake hasa.” Kuna watu watano katika taswira hii. Baba na mama. Mwana wa Kiume na binti na mkwe. Basi mwana ameoa. Mika tayari amesema kuwa mambo si ya hakika kati ya bwana na bibi ( “Kuwa mwangalifu kwa maneno yako hata kwa Yule alalaye kifuani mwako”). Na sasa anasema kwamba mwana anamdharau baba yake, binti huinuka dhidi ya mama yake, mkwe pamoja na binti kuwa kinyume na mama mkwe wake. Mika hata anawaita maadui wa mwanaume. Mwishoni mwa mstari wa 6: “Adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake hasa.” Anamaanisha tu wana wa kiume. Inaonekana kwamba mabinti wanaelekeza hasira zao kwa bibiye. Lakini anaihisi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa hii yavunja moyo. Wengine wenu wanaishi katika hali kama hii. Hii ndiyo nyakati mbaya zaidi . Utamaduni umejawa ufisadi, na ndoa na familia iko katika hali mbaya. Hiyo ndiyo taswira katika Mika 7. Kwa wengine wenu, hiyo ndiyo taswira ya leo. Na kwa wengine, itakuwa kesho.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yesu analetaje hii? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kabla niwatajie tumaini la Mika katika hali hii, nataka muone ile Yesu alifanya na taswira hii ya familia katika mstari wa 6. Fungua Mathayo 10:34-36. Yesu anaongea kuhusu athari za kuja kwake: “Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga. [Halafu anatumia Mika 7:6] Kwa kuwa nimekuja kumfanya mwana kumdharau baba yake, binti kuinuka dhidi ya mama yake, mkwe kuwa kinyume na mama mkwe wake. Adui wa watu watakuwa wale wa nyumbani mwake hasa.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapa ndio wale wale watu watano, ambao wametajwa kama maadui wa nyumba yako, ila tu tofauti mmoja tu. Yesu anasema kuwa aliuleta. Mstari 35: “Nimekuja kufanya mwana kuinuka dhidi ya baba yake . . . .” Haimaanishi, kwa hakika, kuwa anapenda kuvunja familia. Kile anamaanisha ni kwamba mwito wake kuu kwa uanafunzi hauleti uhasama katika uhusiano. Mmoja anaamini, mwingine haamini. Baba anamfuata Yesu, mwana hamfuati. Mwana anamfuata Yesu, baba hamfuati.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kwa nini Yesu hapa? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lengo la kuleta Yesu katika taswira hii kwanza ni kuonyesha kwamba uhasama katika familia wakati wa Mika haukuwa hakika ni juu ya ufisadi katika familia. Inaweza kuwa ni kwa sababu ya haki iliiyoko katika familia. Kila kitu kinaweza kuwa kilikuwa kikiendelea vyema mpaka mtu alipochukua Mungu kwa uzito, na agano lake na neno lake. Ndipo lawama ikaanza kuibuka. “Sasa unadhani wewe ni mzuri sana, kwa sababu una dini! Mambo yalikuwa sawa, na sasa unadhani kwamba sisi tuliozalia inafaa turekebishwe.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na sababu nyingine ya kutajwa kwa Yesu akitumia andiko hili ni kuonyesha kuwa hakukuwa na jambo lisilokuwa la kawaida katika nyakati za Mika. Ilikuwa kweli katika karne la 8 kabla kuja kwa Kristo. Na ni kweli katika karne ya 21. Kwa mtu fulani, huwa ni nyakati mbaya sana, hata kama si mbaya kwako&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni nini, basi, Mika anataka kusema kuhusu uzazi kwa tumaini katika nyakati mbaya sana?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kile Mika anataka kusema: Ujasiri kwa moyo uliovunjika ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Anaongea kumhusu-nahisi kama mwakilishi wa baba na wana wa Israeli- Ni msimamo ambao anauchukua ni ile ya ujasiri kwa moyo uliovunjika. Huo ndio mwelekeo ya ule ninataka kukuambia kuhusu ulezi katika nyakati mbaya. Uifanye kwa msimamo wa ujasiri wa moyo uliovunjika. Na ndio nikikishe kuwa mnajua kile mnaimaanisha kwa “moyo uliovunjika” na “ujasiri”, inafaa tuulize: ''Ni nini imemfanya akavunjika moyo?'' ''Na ni kwa msingi gani anastahili kuwa mjasiri?'' Tutazame mistari 7-9 ndipo tupate jibu la maswali hayo mawili.''Ni nini imemfanya akavunjika moyo?'' ''Na ni kwa msingi gani anastahili kuwa mjasiri?'' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Si kwa Haki ya Kibinafsi  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Baada tu ya kusema katika mstari 6, “Adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake hasa.” Anasema katika mstari wa 7, “lakini mimi, namtazama BWANA kwa matumaini, namngoja Mungu mwokozi wangu, Mungu wangu atanisikia mimi.” Basi katika nyakati mbaya sana, tunainua macho yetu kwa Bwana. Yawezekana kuwa tumejaribu kuinua macho yetu kwingine. Hakuna kinachofanyika. Vyote vyaharibika. Tulidhani kuwa labda tungeweza kuleta utangamano katika familia. Labda watoto hawa walikuwa chini ya mamlaka yetu ya kuwatunza kwa njia tuchaguayo. Labda kwa vitabu vizuri vya ndoa, wana hofu itokao kilindini mwa moyo na heshima na kupendeza na upendo ungekuwa kwa nguvu zetu. Na sasa tunainua macho yetu kwa Bwana.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini jihadhari: Je, Mika anainua macho yake kwa Bwana katika haki ya kibinafsi? Jambo kama hilo lawezekana. Je, anasema, “Niliyatenda yote yaliyo haki-yale baba afaa afanye. Kama mambo hayaendi sawa katika familia hii moyo wangu unavunjika, lakini mimi si shida. Wao ndio shida.” Je, ndio msimamo wa huyu mtu? La! Hasha. Na natumaini haitakuwa yako pia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tulikosea lakini Tunafahamu Kosa Letu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sikiza yale anasema katika mistari 8 na 9. Sikiza kwa ujasiri na kwa kuvunjika. Kwa nini amevunjika?&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Usifurahie msiba wangu, Ee adui wangu! Ingawa nimeanguka nitainuka. Japo ninaketi gizani, Bwana atakuwa nuru yangu. Kwa sababu nimetenda dhambi dhidi yake, nitabeba ghadhabu ya Bwana mpaka atakaponitetea shauri langu na kudhibitisha haki yangu. Atanileta nje kwenye mwanga, nami nitaiona haki yake. &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Usiukose mwanzo wa mstari wa 9, “Kwa sababu nimetenda dhambi dhidi yake, nitabeba ghadhabu ya Bwana.” Sababu ya kufanya hili liwe muhimu kwa wachumba na wazazi kuona ni kwa sababu anaisema kwa uambatanisho na kutendewa dhambi kwa hakika. Katika mstari wa 8, anaambia adui yake (labda mwanawe ama mkewe), “Usifurahi msiba wangu, Ee adui yangu.” Usifurahi juu yangu. Na katika mstari wa 9 katikati anasema, Bwana atanitetea shauri langu na kutoa hukumu upande wangu, sio juu yangu. “Atanileta nje kwenye mwanga, nami nitaiona haki yake.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa maneno mengine anajua kwamba anakosewa. Anajua kuwa baadhi ya madai yao ni ya uongo. Anajua kuwa Mungu yuko upande wake wala sio kinyume naye. Mungu atamleta nje kwenye mwanga; na ataona haki yake. Ni mjasiri kati hali hii na tamshi hili. Mjasiri wa ajabu. Ingawaje, yale anavutia hisia zetu ili kueleza ghadhabu ya Mungu na giza yake mwenyewe ambayo ni dhambi yake. Nitabeba ghadhabu ya Bwana, sababu nimetenda dhambi dhidi yake.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kwa nini Kuvunjika Moyo Sana ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi hapa ni jibu langu la swali:''Ni nini imemfanya akavunjika moyo?'' Si kwamba anatendewa dhambi katika familia, bali kwamba anatenda dhambi. Msimamo wa ulezi kwa imani katika nyakati mbaya ni msimamo wa ujasiri wa kuvunjika moyo. Na kuvunjika kwa moyo kwanza ni kwa ajili ya dhmbi zake, na hatimaye anatendewa dhambi. Hii ndio vita kuu tunaokumbana nayo. Je, kwa neema ya Mungu tutapata aina ya unyenyekevu unaotuwezesha kuona familia zetu na sisi wenyewe kwa njia hiyo?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ujasiri wa kiasi gani ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Swali la pili: ''anawezaje kuwa mjasiri, kama tayari ametendewa dhambi?'' Anawezaje kuongea kwa njia hii kama dhambi yake imejaa sana moyoni mwake? Ujasiri wa aina hii unatokea wapi? “Usifurahie msiba wangu, Ee adui yangu! Ingawa nimeanguka, nitainuka . . . Mungu atanitetea shauri langu. Atanileta nje kwenye mwanga, nami nitaiona haki yake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jibu lapeanwa mwishoni mwa fungu. Na kwa kuwa inakuja kama kitu cha mwisho kwenye kitabu mzima, na kuwa inakuja na mkazo kama hii, inaonyesha vile ni muhimu sana katika kitabu hiki- Hakika, katika Bibilia yote. Mistari 18-19:&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Ni nani Mungu kama wewe, ambaye anaachilia dhambi na kusamehe makosa ya mabaki ya urithi wake? Wewe huwi na hasira milele, bali unafurahia kuonyesha rehema. Utatuhurumia tena, utazikanyaga dhambi zetu kwa nyayo zako na kutupa maovu yetu yote katika vilindi vya bahari.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Sababu Mika ni mjasiri sana katika kuvunjika kwake ni kwa sababu anamjua Mungu. Anajua yale ya ajabu na ya kipekee kuhusu Mungu. “Nani Mungu kama wewe?” Inamaanisha: Hakuna Mungu kama wewe. Njia zako ni kuu kuliko zetu. Njia zako ni kuu kulikoviumbe vikuu duniani. Na nini isiyokuwa kawaida kwako? Unaachilia dhambi na kusamehe makosa ya watu wako. Hivyo basi kutokuwa kawaida kwa Mungu wa Bibilia—Na hakuna Mungu mwingine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuingia ndani kwa Msamaha wa Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je, basi unaleaje kwa tumaini katika nyakati mbaya sana? Unaeleaje kwa Imani wakati familia yako wanaweza kuwa wamegawanyika watatu kwa wawili ama wawili kwa watatu? Unamtazamia Bwana. Unamlilia Bwana (Mstari 7). Na unamlilia kwa shauku mbili ya kiundani. Kwanza kuwa wewe ni mtenda dhambi na kuwa hustahili chochote kutoka kwake. Hatujakuwa wazazi wakamilifu. Tumetenda dhambi. Sisi ni wapumbavu. Tunajua kuwa pia tumekosewa. Na kila kitu kilicho mwilini mwetu kinataka kukumbuka kuhusu hiyo. Ni Roho mtakatifu tu anayeweza kutufanya kutambua dhambi zetu. Ni Roho mtakatifu tu ndiye anaweza kutufanya tuhisi hatia zetu. Ni shauku moja ya kiundani.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nyingine ni kwamba, hakuna Mungu mwingine aliye kama Mungu wetu, anayeachilia dhambi na kusamehe kosa na kuondoa ghadhabu, naufurahia katika upendo unaodumu. Tumeshawishika kindani kuhusu hii vile tulivyo kuwa tumewakosea wachumba wetu, watoto wetu, na kwa hayo yote dhidi ya Mungu. Unaona vile yote ni ya muhimu. Vile vinafanya kazi kwa pamoja, kila mmoja ikifanya ndani ya nyingine kuwezekana? Usipohisi dhambi na kosa lako, hutaenda ndani na msamaha wa Mungu. Lakini inafanya kazi kwa njia nyingine, na hii ni muhimu kwa familia: Kama hujui undani wa msamaha wa Mungu, hutaenda ndani pamoja na dhambi zako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Shauku hizi mbili za kindani zinaleta mtazamo wa ''ujasiri wa moyo uliovunjika''. Na hiyo ndiyo taswira ya ulezi kwa imani katika nyakati mbaya zaidi. ''Tumevunjika'' kwa ajili ya dhambi kwa njia ya kukosewa, tu wajasiri kwa sababu, “Ni nani Mungu asamehaye kama wewe!”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ujasiri wa Moyo uliovunjika—Ulioimarishwa kwa Yesu  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na kwa Wakristo nusu zote za mtazamo huu umekita mizizi na kuimarishwa kwa kujua Yesu Kristo na yale aliyotutendea msalabani. Kwa Mika, Yesu alikuwa tumaini la pekee katika fungu la 5: “Lakini wewe Bethlehemu Efrata . . . kutoka kwako atatokea kwa ajili yangu yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli . . . Atasimama na kulichunga kundi lake katika nguvu ya BWANA.” (Mika 5:2-4). Mchungaji huyu mwema aliutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo (Yohana 10:11). Na alipotoa uhai wake, tuliona kwa uwazi kuu kuliko yote ukuu wa dhambi zetu (ambayo ilistahili kiasi ya mateso) na ukuu wa jitihada ya Mungu ya kuusamehe. Na hivyo basi uvunjikaji wa moyo na ujasiri unaimarishwa. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi kama unalea katika nyakati mbaya sana, ama unajianda kulea katika nyakati mbaya sana, ama unataka kutarajia nyakati mbaya sana, tazama Mika na Yesu na uuchukuwe msimamo huu. Kuvunjika kwa ajili ya dhambi zako, na ujasiri kwa ajili ya Kristo. Hatimaye kwa nguvu za Roho Mtakatifu, tia moyo wako kuwa mzazi mzuri asiyekamilika vile unavyoweza—Kwa ajili ya Yesu.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Uzazi_kwa_Imani_katika_nyakati_mbaya</id>
		<title>Uzazi kwa Imani katika nyakati mbaya</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Uzazi_kwa_Imani_katika_nyakati_mbaya"/>
				<updated>2018-07-24T19:39:57Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|Parenting with Hope in the Worst of Times}}  &amp;lt;blockquote&amp;gt; Taabu gani hii niliyo nayo! Nimefanana na Yule akusanyaye matunda ya kiangazi, aokotaye masazo baada ya kuvunwa s...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Parenting with Hope in the Worst of Times}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Taabu gani hii niliyo nayo! Nimefanana na Yule akusanyaye matunda ya kiangazi, aokotaye masazo baada ya kuvunwa shamba la mizabibu, hakuna kishada chenye matunda ya kula, hakuna hata ile tin iya mwanzoni ninayoitamani. 2 Wanaomcha Mungu wameondolewa kutoka kkwa nchi,hakuna mtu mnyofu hat mmoja aliyebaki. Watu wote wanavizia kumwaga damu,kila mmoja anamwinda ndugu yake kwa wavu. 3 Mikono yake yote miwili ni hodari katika kufanya ubaya, mtawala anadai zawadi, hakimu anapokea rushwa , wenye nguvu wanaamuru wanachotaka, wote wanafanya shauri baya pamoja. 4 Aliye mwema kupita wote kati yao ni kama mchongoma, anayeonekana mnyofu zaidi miongoni mwao ni mbaya kuliko uzio wa miiba. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Siku ya walinzi wako imewadia, siku atakoyotembela Mungu. Sasa ni wakati wao wa kuchanganyikiwa. 5 Usimtumaini jirani usiweke matumaini kwa rafiki. Hata kwa Yule alalaye kifuani mwako uwe mwangalifu kwa maneno yako. 6 Kwa kuwa mwana humdharau baba yake, binti huinuka dhidi ya mama yake, mkwe kuwa kinyume na mama mkwe wake, adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake hasa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
7 Lakini mimi namtazama BWANA kwa matumaini, namngoja Mungu Mwokozi wangu. Mungu wangu atanisikia mimi. 8 Usifurahie msiba wangu Ee adui yangu! Ingawa nimeanguka nitainuka. Japo ninaketi gizani, BWANA atakuwa nuru yangu. 9 Kwa sababu nimetenda dhambi dhidi yake nitabeba ghadhabu ya BWANA, mpaka atakaponitetea shauri langu na kuithibitisha haki yangu. Atanileta nje kwenye mwanga, nami nitaiona haki yake. 10 Kisha adui yangu ataliona naye atafunikwa na aibu, Yule aliyeniambia , “Yu wapi BWANA Mungu wako?” Macho yangu yataona kuanguka kwake, hata sasa atakanyangwa chini ya mguu kama tope barabarani.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
11 Siku ya kujenga kuta zako itawadia , siku ya kupanua mipaka yako. 12 Siku hiyo watu watakuja kwako kutoka ashuru na miji ya Misri, hata kutoka Misri hadi Eufrati na kutoka bahari hadi bahari na kutoka mlima hadi mlima. 13 Dunia itakuwa ukiwa kwa sababu ya wakazi wake, kwa sababu ya matunda ya matendo yao.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
14 Wachunge watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako, ambalo linaishi pekee yake msituni, katika nchi yenye malisho ya rutuba. Waache alishe katika Bashani na Gileadi kama ilivyokwa siku za kale. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
15 “Kama siku zile mlipotoka Misri, nitawaonyesha maajabu yangu.”16 Mataifa yataona na kuaibika waliondolewa nguvu zao zote. Wataweka mikono yao kwenye vinywa vyao na masikio yao yatakuwa na uziwi. 17 Wataramba mavumbi kama nyoka, kama viumbe vitambaavyo juu ya ardhi. Watatoka nje ya mipango yao wakitetemeka, watamgeukia BWANA Mungu wetu kwa hofu nao watakuogopa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
18 Ni nani Mungu kama wewe, ambaye anaachilia dhambi na kusamehe makosa ya mabaki ya urithi wake? Wewe huwi na hasira milele bali unafurahia kuonyesha rehema. 19 Utatuhurumia tena utazikanyaga dhambi zetu chini ya nyayozako na kutupa maovu yetu yote katika vilindi vya bahari. 20 Utakuwa wa kweli kwa Yakobo, nawe utamwonyesha Abrahamu rehema, kama ulivyowaahidi kwa kiapo baba zetu siku za kale.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Tunatamatisha msururu wa mafunzo kuhusu uzazi wa kiroho leo. Dibaji ambalo nimechagua kwa ujumbe huu wa mwisho ni “Uzazi kwa imani katika nyakati mbaya.” Hakuna nyakati rahisi ya kuzaa na kuwalea watoto. Jambo lililoko katika Mwanzo 3, ni kuwa vile tu dhambi iliingia ulimwenguni, kuzaa na kulea watoto umekuwa ngumu sana. Bwana akamwambia Hawa, “Nitakuzidishia sana utungu wakati wa kuzaa kwako, kwa utungu utazaa watoto” (Mwanzo 3:16) Na baada ya yeye pamoja na Adamu walikwisha kuwalea wanaume wawili, mmoja wao akaua mwenzake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Njia Ya kipekee ya Kuwa Huru  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jambo katika hadithi hiyo ni kwamba sasa dhambi imo ulimwenguni—katika kila mzazi na mtoto. Ni hiki ndicho kitu dhambi itendacho. Inaharibu watu na inaharibu familia. Shida kuu ulimwenguni ni nguvu kukaa katika dhambi. Na ni nguvu. Ni mvuto, ni kiwewe, kizuizi, ufisadi moyoni mwa mwanadamu. Si msururu wa chaguo la bure. Dhambi ni kifungo chenye nguvu uharibiayo uhuru wa binadamu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Njia ya kipekee ya mwanadamu kuwa huru-kwa mzazi au mtoto kuwa huru-ni kuzaliwa mara ya pili kwa roho ya Mungu; Kumbatia Yesu Kristo kama mwokozi; usamehewe dhambi kupitia muumba wa mbingu na nchi; na upokee Roho mtakatifu kama nguvu ya kipekee ya kushindana na nguvu za dhambi. Hilo ndilo tumaini la pekee kwa ulimwengu na watoto na wazazi. Hili huwa kweli katika kila umri.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hakuna Nyakati Rahisi katika Uzazi  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hakuna nyakati rahisi ya kuzaa na kuwalea watoto katika unyenyekevu, upendo, haki ubunifu, wenye manufaa, watu wazima wanaotukuza Kristo. Hakuna nyakati rahisi. Lakini nyakati zingine ni ngumu kushinda zingine. Na kuwa kwao vigumu ama rahisi inalingana na hali yako ya kibanfsi ama ya kijamii.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Shauku yangu leo ni kukusaidia wewe mzazi na tumaini katika hali iliyo ngumu zaidi. Na ninamaanisha hali zote mbaya zote kinyumbani na kitamaduni. Na kwa wale ambao sio wazazi, yale yote ninayosema yanawahusu, kwa sababu jinsi ya kuwa na tumaini katika nyakati mbaya ni sawa kwa kila mtu. Tunaihitaji kwa sababu tofauti tofauti.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nabii Mika ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nabi wa kiyahudi Mika alihubiri wakati wa utawala wa Jothamu, Ahazi na Hezekia, Wafalme wa Yuda. (Mika 1:1). Hiyo ni karibu miaka ya 750 hadi 687 kabla ya kuja kwa Kristo. Neno lililo wazi zaidi ya kuja kwake limepeanwa katika Mika 3:8.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Lakini kuhusu mimi, nimejazwa nguvu&amp;lt;br&amp;gt; Nimejazwa Roho ya BWANA, Haki na uweza&amp;lt;br&amp;gt; Kumtangazia Yakobo kosa lake,&amp;lt;br&amp;gt; Na Israeli dhambi yake.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
==== Kutangaza Hukumu na Rehema ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu aliwatuma manabii kuwaambia watu dhambi zao kwa wazi. Na kupitia dhambi yao manabii walitamka hukumu, na rehema. Hivi ndivyo ilivyo katika Bibilia yote: Hukumu na Rehema. Mungu ni mtukufu na mwenye haki, na analeta hukumu juu ya watu wenye dhambi. Na Mungu ni mwenye rehema na utulivu na mwenye huruma, na anawaokoa wenye dhambi toka kwa hukumu yake. Mika anadhihirisha hii katika Mika 4:10,&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Gaa-gaa kwa utungu, Ee Binti Sayuni&amp;lt;br&amp;gt; Kama mwanamke mwenye utungu wa kuzaa,&amp;lt;br&amp;gt; Kwa kuwa sasa ni lazima uuache mji,&amp;lt;br&amp;gt; Na ukapige kambi uwanjani.&amp;lt;br&amp;gt; Utakwenda Babeli&amp;lt;br&amp;gt; Huko utaokolewa.&amp;lt;br&amp;gt; Huko BWANA atakukomboa&amp;lt;br&amp;gt; Kutoka mkononi mwa adui zako.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Bwana atawatuma Babeli katika hukumu. Na atawarejesha nchini kwao kwa rehema.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hukumu Inakuja ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Katika fungu la 7, Mika anaongea kuhusu uzazi katika nyakati mbaya-Mbaya sana nyumbani pamoja na kitamaduni. Mstari 1. “Taabu gani hili niliyo nayo! Nimefanana na Yule akusanyaye matunda ya kiangazi, aokotaye masazo baada ya kuvunwa shamba la mzabibu, hakuna kushada chenye matunda ya kula, hakuna hata ile tini ya mwanzoni ninayoitamani. Anaweza kuwa anaongea juu ya vile ana tamaa ya chakula. Lakini nahisi anaongea kimafumbo juu ya kukosa marafiki ya kiungu na washirika. Kwa sababu anaendelea kusema, mistari 2-3: “Wanaomcha Mungu wameondolewa kutoka katika nchi, hakuna mtu mnyofu hata mmoja aliyebaki. Watu wote wanavizia kumwaga damu, kila mmoja anamwinda ndugu yake kwa wavu. Mikono yote miwili ni hodari katika kufanya mbaya, mtawala anadai zawadi, hakimu anapokea rushwa, wenye nguvu wanaamuru wanachotaka, wote wanafanya shauri baya pamoja. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari 4: “Aliye mwema kupita wote kati yao ni kama mchongoma, anayeonekana mnyofu zaidi miongoni mwao ni mbaya kuliko uzio wa miiba.” Mika anajaribu kuwakaribia, wanamshikisha. “Siku ya walinzi wako imewadia siku atakayokutembelea Mungu. Sasa ni wakati wao wa kuchanganyikiwa. Basi mlinzi ambaye ameteuliwa kuchungulia adui anapokuja-siku yake imewadia. Hukumu inakuja.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hata Bibi na Watoto  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa Mika nanaileta kutoka kwa tamaduni hadi ujirani na familia. Mstari 5:Usimtumaini jirani, usiweke matumaini kwa rafiki. Hata kwa Yule alalaye kifuani mwako uwe mwangalifu kwa maneno yako. “Kwa maneno mengine, dhambi na ufisadi na uwongo yana athari za kimwili ambapo inastahili uyachunge usije ukasalitiwa na bibi yako—“Yule alalaye kifuani mwako.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa kwa watoto. Mstari 6: “Kwa kuwa mwana humdharau baba yake, binti huinuka dhidi ya mama yake, mkwe kuwa kinyume na mama mkwe wake, adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake hasa.” Kuna watu watano katika taswira hii. Baba na mama. Mwana wa Kiume na binti na mkwe. Basi mwana ameoa. Mika tayari amesema kuwa mambo si ya hakika kati ya bwana na bibi ( “Kuwa mwangalifu kwa maneno yako hata kwa Yule alalaye kifuani mwako”). Na sasa anasema kwamba mwana anamdharau baba yake, binti huinuka dhidi ya mama yake, mkwe pamoja na binti kuwa kinyume na mama mkwe wake. Mika hata anawaita maadui wa mwanaume. Mwishoni mwa mstari wa 6: “Adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake hasa.” Anamaanisha tu wana wa kiume. Inaonekana kwamba mabinti wanaelekeza hasira zao kwa bibiye. Lakini anaihisi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa hii yavunja moyo. Wengine wenu wanaishi katika hali kama hii. Hii ndiyo nyakati mbaya zaidi . Utamaduni umejawa ufisadi, na ndoa na familia iko katika hali mbaya. Hiyo ndiyo taswira katika Mika 7. Kwa wengine wenu, hiyo ndiyo taswira ya leo. Na kwa wengine, itakuwa kesho.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yesu analetaje hii? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kabla niwatajie tumaini la Mika katika hali hii, nataka muone ile Yesu alifanya na taswira hii ya familia katika mstari wa 6. Fungua Mathayo 10:34-36. Yesu anaongea kuhusu athari za kuja kwake: “Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga. [Halafu anatumia Mika 7:6] Kwa kuwa nimekuja kumfanya mwana kumdharau baba yake, binti kuinuka dhidi ya mama yake, mkwe kuwa kinyume na mama mkwe wake. Adui wa watu watakuwa wale wa nyumbani mwake hasa.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapa ndio wale wale watu watano, ambao wametajwa kama maadui wa nyumba yako, ila tu tofauti mmoja tu. Yesu anasema kuwa aliuleta. Mstari 35: “Nimekuja kufanya mwana kuinuka dhidi ya baba yake . . . .” Haimaanishi, kwa hakika, kuwa anapenda kuvunja familia. Kile anamaanisha ni kwamba mwito wake kuu kwa uanafunzi hauleti uhasama katika uhusiano. Mmoja anaamini, mwingine haamini. Baba anamfuata Yesu, mwana hamfuati. Mwana anamfuata Yesu, baba hamfuati.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kwa nini Yesu hapa? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lengo la kuleta Yesu katika taswira hii kwanza ni kuonyesha kwamba uhasama katika familia wakati wa Mika haukuwa hakika ni juu ya ufisadi katika familia. Inaweza kuwa ni kwa sababu ya haki iliiyoko katika familia. Kila kitu kinaweza kuwa kilikuwa kikiendelea vyema mpaka mtu alipochukua Mungu kwa uzito, na agano lake na neno lake. Ndipo lawama ikaanza kuibuka. “Sasa unadhani wewe ni mzuri sana, kwa sababu una dini! Mambo yalikuwa sawa, na sasa unadhani kwamba sisi tuliozalia inafaa turekebishwe.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na sababu nyingine ya kutajwa kwa Yesu akitumia andiko hili ni kuonyesha kuwa hakukuwa na jambo lisilokuwa la kawaida katika nyakati za Mika. Ilikuwa kweli katika karne la 8 kabla kuja kwa Kristo. Na ni kweli katika karne ya 21. Kwa mtu fulani, huwa ni nyakati mbaya sana, hata kama si mbaya kwako&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni nini, basi, Mika anataka kusema kuhusu uzazi kwa tumaini katika nyakati mbaya sana?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kile Mika anataka kusema: Ujasiri kwa moyo uliovunjika ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Anaongea kumhusu-nahisi kama mwakilishi wa baba na wana wa Israeli- Ni msimamo ambao anauchukua ni ile ya ujasiri kwa moyo uliovunjika. Huo ndio mwelekeo ya ule ninataka kukuambia kuhusu ulezi katika nyakati mbaya. Uifanye kwa msimamo wa ujasiri wa moyo uliovunjika. Na ndio nikikishe kuwa mnajua kile mnaimaanisha kwa “moyo uliovunjika” na “ujasiri”, inafaa tuulize: ''Ni nini imemfanya akavunjika moyo?'' ''Na ni kwa msingi gani anastahili kuwa mjasiri?'' Tutazame mistari 7-9 ndipo tupate jibu la maswali hayo mawili.''Ni nini imemfanya akavunjika moyo?'' ''Na ni kwa msingi gani anastahili kuwa mjasiri?'' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Si kwa Haki ya Kibinafsi  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Baada tu ya kusema katika mstari 6, “Adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake hasa.” Anasema katika mstari wa 7, “lakini mimi, namtazama BWANA kwa matumaini, namngoja Mungu mwokozi wangu, Mungu wangu atanisikia mimi.” Basi katika nyakati mbaya sana, tunainua macho yetu kwa Bwana. Yawezekana kuwa tumejaribu kuinua macho yetu kwingine. Hakuna kinachofanyika. Vyote vyaharibika. Tulidhani kuwa labda tungeweza kuleta utangamano katika familia. Labda watoto hawa walikuwa chini ya mamlaka yetu ya kuwatunza kwa njia tuchaguayo. Labda kwa vitabu vizuri vya ndoa, wana hofu itokao kilindini mwa moyo na heshima na kupendeza na upendo ungekuwa kwa nguvu zetu. Na sasa tunainua macho yetu kwa Bwana.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini jihadhari: Je, Mika anainua macho yake kwa Bwana katika haki ya kibinafsi? Jambo kama hilo lawezekana. Je, anasema, “Niliyatenda yote yaliyo haki-yale baba afaa afanye. Kama mambo hayaendi sawa katika familia hii moyo wangu unavunjika, lakini mimi si shida. Wao ndio shida.” Je, ndio msimamo wa huyu mtu? La! Hasha. Na natumaini haitakuwa yako pia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tulikosea lakini Tunafahamu Kosa Letu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sikiza yale anasema katika mistari 8 na 9. Sikiza kwa ujasiri na kwa kuvunjika. Kwa nini amevunjika?&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Usifurahie msiba wangu, Ee adui wangu! Ingawa nimeanguka nitainuka. Japo ninaketi gizani, Bwana atakuwa nuru yangu. Kwa sababu nimetenda dhambi dhidi yake, nitabeba ghadhabu ya Bwana mpaka atakaponitetea shauri langu na kudhibitisha haki yangu. Atanileta nje kwenye mwanga, nami nitaiona haki yake. &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Usiukose mwanzo wa mstari wa 9, “Kwa sababu nimetenda dhambi dhidi yake, nitabeba ghadhabu ya Bwana.” Sababu ya kufanya hili liwe muhimu kwa wachumba na wazazi kuona ni kwa sababu anaisema kwa uambatanisho na kutendewa dhambi kwa hakika. Katika mstari wa 8, anaambia adui yake (labda mwanawe ama mkewe), “Usifurahi msiba wangu, Ee adui yangu.” Usifurahi juu yangu. Na katika mstari wa 9 katikati anasema, Bwana atanitetea shauri langu na kutoa hukumu upande wangu, sio juu yangu. “Atanileta nje kwenye mwanga, nami nitaiona haki yake.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa maneno mengine anajua kwamba anakosewa. Anajua kuwa baadhi ya madai yao ni ya uongo. Anajua kuwa Mungu yuko upande wake wala sio kinyume naye. Mungu atamleta nje kwenye mwanga; na ataona haki yake. Ni mjasiri kati hali hii na tamshi hili. Mjasiri wa ajabu. Ingawaje, yale anavutia hisia zetu ili kueleza ghadhabu ya Mungu na giza yake mwenyewe ambayo ni dhambi yake. Nitabeba ghadhabu ya Bwana, sababu nimetenda dhambi dhidi yake.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kwa nini Kuvunjika Moyo Sana ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi hapa ni jibu langu la swali:''Ni nini imemfanya akavunjika moyo?'' Si kwamba anatendewa dhambi katika familia, bali kwamba anatenda dhambi. Msimamo wa ulezi kwa imani katika nyakati mbaya ni msimamo wa ujasiri wa kuvunjika moyo. Na kuvunjika kwa moyo kwanza ni kwa ajili ya dhmbi zake, na hatimaye anatendewa dhambi. Hii ndio vita kuu tunaokumbana nayo. Je, kwa neema ya Mungu tutapata aina ya unyenyekevu unaotuwezesha kuona familia zetu na sisi wenyewe kwa njia hiyo?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ujasiri wa kiasi gani ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Swali la pili: ''anawezaje kuwa mjasiri, kama tayari ametendewa dhambi?'' Anawezaje kuongea kwa njia hii kama dhambi yake imejaa sana moyoni mwake? Ujasiri wa aina hii unatokea wapi? “Usifurahie msiba wangu, Ee adui yangu! Ingawa nimeanguka, nitainuka . . . Mungu atanitetea shauri langu. Atanileta nje kwenye mwanga, nami nitaiona haki yake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jibu lapeanwa mwishoni mwa fungu. Na kwa kuwa inakuja kama kitu cha mwisho kwenye kitabu mzima, na kuwa inakuja na mkazo kama hii, inaonyesha vile ni muhimu sana katika kitabu hiki- Hakika, katika Bibilia yote. Mistari 18-19:&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Ni nani Mungu kama wewe, ambaye anaachilia dhambi na kusamehe makosa ya mabaki ya urithi wake? Wewe huwi na hasira milele, bali unafurahia kuonyesha rehema. Utatuhurumia tena, utazikanyaga dhambi zetu kwa nyayo zako na kutupa maovu yetu yote katika vilindi vya bahari.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Sababu Mika ni mjasiri sana katika kuvunjika kwake ni kwa sababu anamjua Mungu. Anajua yale ya ajabu na ya kipekee kuhusu Mungu. “Nani Mungu kama wewe?” Inamaanisha: Hakuna Mungu kama wewe. Njia zako ni kuu kuliko zetu. Njia zako ni kuu kulikoviumbe vikuu duniani. Na nini isiyokuwa kawaida kwako? Unaachilia dhambi na kusamehe makosa ya watu wako. Hivyo basi kutokuwa kawaida kwa Mungu wa Bibilia—Na hakuna Mungu mwingine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuingia ndani kwa Msamaha wa Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je, basi unaleaje kwa tumaini katika nyakati mbaya sana? Unaeleaje kwa Imani wakati familia yako wanaweza kuwa wamegawanyika watatu kwa wawili ama wawili kwa watatu? Unamtazamia Bwana. Unamlilia Bwana (Mstari 7). Na unamlilia kwa shauku mbili ya kiundani. Kwanza kuwa wewe ni mtenda dhambi na kuwa hustahili chochote kutoka kwake. Hatujakuwa wazazi wakamilifu. Tumetenda dhambi. Sisi ni wapumbavu. Tunajua kuwa pia tumekosewa. Na kila kitu kilicho mwilini mwetu kinataka kukumbuka kuhusu hiyo. Ni Roho mtakatifu tu anayeweza kutufanya kutambua dhambi zetu. Ni Roho mtakatifu tu ndiye anaweza kutufanya tuhisi hatia zetu. Ni shauku moja ya kiundani.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nyingine ni kwamba, hakuna Mungu mwingine aliye kama Mungu wetu, anayeachilia dhambi na kusamehe kosa na kuondoa ghadhabu, naufurahia katika upendo unaodumu. Tumeshawishika kindani kuhusu hii vile tulivyo kuwa tumewakosea wachumba wetu, watoto wetu, na kwa hayo yote dhidi ya Mungu. Unaona vile yote ni ya muhimu. Vile vinafanya kazi kwa pamoja, kila mmoja ikifanya ndani ya nyingine kuwezekana? Usipohisi dhambi na kosa lako, hutaenda ndani na msamaha wa Mungu. Lakini inafanya kazi kwa njia nyingine, na hii ni muhimu kwa familia: Kama hujui undani wa msamaha wa Mungu, hutaenda ndani pamoja na dhambi zako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Shauku hizi mbili za kindani zinaleta mtazamo wa ''ujasiri wa moyo uliovunjika''. Na hiyo ndiyo taswira ya ulezi kwa imani katika nyakati mbaya zaidi. ''Tumevunjika'' kwa ajili ya dhambi kwa njia ya kukosewa, tu wajasiri kwa sababu, “Ni nani Mungu asamehaye kama wewe!”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ujasiri wa Moyo uliovunjika—Ulioimarishwa kwa Yesu  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na kwa Wakristo nusu zote za mtazamo huu umekita mizizi na kuimarishwa kwa kujua Yesu Kristo na yale aliyotutendea msalabani. Kwa Mika, Yesu alikuwa tumaini la pekee katika fungu la 5: “Lakini wewe Bethlehemu Efrata . . . kutoka kwako atatokea kwa ajili yangu yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli . . . Atasimama na kulichunga kundi lake katika nguvu ya BWANA.” (Mika 5:2-4). Mchungaji huyu mwema aliutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo (Yohana 10:11). Na alipotoa uhai wake, tuliona kwa uwazi kuu kuliko yote ukuu wa dhambi zetu (ambayo ilistahili kiasi ya mateso) na ukuu wa jitihada ya Mungu ya kuusamehe. Na hivyo basi uvunjikaji wa moyo na ujasiri unaimarishwa. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi kama unalea katika nyakati mbaya sana, ama unajianda kulea katika nyakati mbaya sana, ama unataka kutarajia nyakati mbaya sana, tazama Mika na Yesu na uuchukuwe msimamo huu. Kuvunjika kwa ajili ya dhambi zako, na ujasiri kwa ajili ya Kristo. Hatimaye kwa nguvu za Roho Mtakatifu, tia moyo wako kuwa mzazi mzuri asiyekamilika vile unavyoweza—Kwa ajili ya Yesu.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Tumeona_utukufu_wake,_amejaa_neema_na_kweli</id>
		<title>Tumeona utukufu wake, amejaa neema na kweli</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Tumeona_utukufu_wake,_amejaa_neema_na_kweli"/>
				<updated>2018-07-06T20:17:55Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Tumeona utukufu wake, amejaa neema na kweli&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|We Beheld His Glory, Full of Grace and Truth}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi takauona utukufu Wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli. 15 (Yohana alishuhudia habari Zake, akapiga kelele akisema, “Huyu ndiye yule niliyewaambia kwamba, ‘Yeye ajaye baada yangu ni mkuu kuliko mimi, kwa kuwa alikuwako kabla yangu.’ &amp;quot;) 16 Kutokana na ukamilifu Wake, sisi sote tumepokea neema juu ya neema. 17 Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Mose, lakini neema na kweli imekuja kupitia Yesu Kristo. 18 Hakuna mtu ye yote aliyemwona Mungu wakati wo wote, ila ni Mungu Mwana pekee, aliye kifuani mwa Baba ndiye ambaye amemdhihirisha.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Na tuanzie mstari 14: ili tuone mambo makuu &amp;amp;nbsp;katika aya hii. “Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi takauona utukufu Wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli.” Rejelea mstari wa 1 ili ukumbuke huyu neno ni nani. “Hapo, mwanzo alikuwako, naye neno alikuweko kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu.” Yohana 1:1. Hivyo ''Neno'' lina maana ya Mungu &amp;amp;nbsp;Mwana.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ninatumia neno ''Mwana'' kwa sababu limedokezwa katika mstari wa 14 Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi takauona utukufu Wake, utukufu kama wa ''Mwana'' pekee atokaye kwa Baba.” Hivyo Neno ni Mwana wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mungu mmoja, watu watatu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Waislamu hujikwaza juu ya hili neno Mwana, kama vile wengine wafanyao. Baadhi yao hufikiria kuwa Mungu alifanya mapenzi na Mariamu na kumzaa Mwana. Hii si kile Biblia inachomaanisha Yohana 1:1: “Hapo mwanzo alikuwako Neno.” Huyo ni Mwana wa Mungu. Na hakuwa na mwanzo wake. Alikuweko tangu mwanzo. Alikuweko umbali wa mwanzo uwezavyo kwenda—milele. Mstari wa 3 unasema, “Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye, wala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa.” Hii ina maana kuwa yeye hakuumbwa. Yeye si sehemu ya kiumbe kwa vyovyote vile. Na haya ndiyo tunayojua kuhusu Mwana wa Mungu. 1) Yeye ni Mungu, 2) Baba yake pia ni Mungu 3) Mwana si Baba, alikuweko na Baba 4) Yeye hakuumbwa na ni wa Milele.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna mengi ya kusema kuhusu fundisho la utatu—Mafundisho ya kwamba Mungu yuko kama Mungu mmoja katika watu watatu, Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Lakini kwa sasa, hifadhi mengi haya kwenye mawazo na moyo wako. Mwana na Baba ni Mungu mmoja, lakini ni watu wawili. Wana maumbile ya kiungu mmoja. Wao ni Mungu mmoja wenye hisia mbili.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mungu alifanyika binadamu—bila kukoma kuwa Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa kile mstari wa 14 inasema—na hii ndio tukio ambao ni muhimu zaidi katika historia —kwamba Neno, Mwana, alifanyika binadamu bila kukoma kuwa Mungu. Ujumbe huu ndio tutaangalia zaidi kwa muda wa wiki mbili: Tunajuaje kuwa huu ndio uhakika, na je hii ina maana gani kwetu binafsi? &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
“Neno alifanyika mwili” yaani, Neno la Kiungu, Mwana wa Kiungu wa Mungu, alifanyika binadamu bila kukoma kuwa Mungu. Je, twafahamu vipi mambo haya? Na je ina maana gani kwetu sisi? Tutauchukua muda wetu wote leo kwa kujibu haya kutoka mstari wa 14.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Neno ''Alikaa miongoni mwetu'' ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu ya kwanza tunasema kuwa neno la kiungu halikukoma kuwa na uungu wakati alipofanyika binadamu ni tamko ilioko katika mstari wa 14. ya kwamba Neno “alikaa miongoni mwetu.” Mada la kitenzi ''alikaa ni Neno''. Na neno ni Mungu. Hivyo njia ya kawaida ya kuchukua hii ni kwamba Mungu, ambaye ni Neno, alikaa miongoni mwetu. Hii ndiyo sababu malaika alisema katika Mathayo 1:23. “Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita jina lake Imanueli’’ (maana yake, ''Mungu pamoja nasi''). Neno ambaye ni Mwana, hakuacha kuwa Mungu alipofanyika binadamu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Utukufu kama mwana wa pekee wa Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu yetu ya pili, ya kuamini hii ni tamko ifuatayo katika mstari 14, “Nasi tukaona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba. Utukufu wa nani? Utukufu wa Neno—Neno ambaye ni Mungu. Na je, hii ni utukufu wa aina gani? Ni “Utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yohana anaposema utukufu wa neo kuwa mwili ni “utukufu kama tu wa Mwana pekee atokaye kwa Baba,” je, neno ''kama'' lina maana kuwa ni utukufu wa kuigizwa? Si utukufu hakika wa Mwana bali kama utukufu wa Mwana? Sidhani ni hivyo. Nikisema, kwa mfano, “Nina kitabu cha kupeana na ningependa nikupe wewe kama chaguo langu la kwanza,” na ukose kuitika, “mimi si chaguo lako la kwanza; Mimi ni kama tu chaguo lako la kwanza.” La sivyo neno ''kama'' halimaanishi hivyo nikisema, “Ninakupa wewe kama chaguo langu la kwanza.” Ina maanisha kuwa: ninakupa kwa kuwa ''hakika wewe ni'' chaguo langu la kwanza. Yohana anaposema, “Tumeona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana wa pekee atokaye kwa Baba,” anamaanisha, “Tumeona utukufu wake, utukufu vile ilivyo kwa hakika—utukufu wa Mwana wa Mungu.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunajua haya kwa sababu, katika sehe—mu ya kwanza wa mstari 14, Yohana alisema kwa utaratibu kwamba , “tumeona utukufu wake”—hakuna hitimu! Utukufu wa nani? Utukufu wa Neno wa milele, ambaye ni Mwana. “Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi takauona utukufu Wake.” Hivyo hamna kupunguka kwa ajabu ya kutwa utu. Neno ikawa mwili, na alifanya hivyo bila kuwacha kuwa Mungu. Yeye hudhihirisha utukufu wa Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hii ina maana gani kwetu? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mistari ya 15-18 inaeleza sababu zaidi&amp;amp;nbsp;ili kuamini kuwa Neno alifanyika mwili bila kuacha kuwa Mungu. Tutafafanua haya wiki ijayo, Mungu akitujalia. Lakini kwa sasa, wacha tujiulize kwenye mstari wa 14 kinachomaanisha kwetu sisi ya kuwa Neno alifanyika mwili—kwamba Mwana wa Mungu alifanyika binadamu bila kukoma kuwa Mungu. Haja gani niulize swali hili? Kwanza, ni kwa sababu fungu hili inatupa jawabu. Lakini pia kuna sababu nyingine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kukuza tamaduni wa kihusiano ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je, wakumbuka miezi michache iliyopita. Niliyahubiri ujumbe kadhaa nikimsihi Mungu kwamba azitumie ili kukuza kinachoitwa ''tamaduni wa kihusiano'' wa kanisa yetu? Nilifafanua nilichomaanisha katika asilia ya Wafilipi 2:3-4, “Msitende jambo lolote kwa nia ya kujitukuza, bali kwa unyenyekevu, kila mtu akimhesabu mwingine bora kuliko nafsi yake. Kila mmoja wenu asiangalie mambo yake mwenyewe tu, bali pia ajishughulishe kwa faida ya wengine.” Kwa maneno mengine, wacha na tukue kama kanisa kwa mienendo yetu nje ya ubinafsi, tuhudumie wengine na kufikiria mambo yao.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na je, mnakumbuka ni nini msingi wa huo utumishi na mawazo wa uhusiano? Mistari inaofuata inaeleza: “Tuweni na nia ile ile aliyokuwa nayo Kristo Yesu. Yeye ingawa alikuwa sawa na Mungu, hakuona kule kuwa sawa na Mungu ni kitu cha kushikamana nacho, bali alijifanya si kitu, akajifanya sawa na mtumwa, akazaliwa katika umbo la mwanadamu” (Wafilipi 2:5-7). Kwa vingine, msingi wa kujidhili, utumwa, upendo na kufanywa upya utamaduni wa kihusiano pale Bethlehemu ulikuwa: ''Neno alifanyika mwili naye alikaa miongoni mwetu—na akatufia.''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kufanyika mwili na utekelezaji ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu yangu kuu ya kuelezea haya ni kwamba tusije tukasema, “Nam, tulifanya haba kwa kutilia mkazo uhusiano majira ya kiangazi iliyopita, na sasa tuko katika theolojia.” Hapana. Theolojia ambayo inahesabika kwa vyovyote ni ile aina ya Wafilipi 2, ambayo iko sawa na Injili ya Yohana. Inatusaidia kujua Kristo na utukufu wake. Pamoja na kubadilishwa na Kristo kwa ajili ya upendo. (13:34; 15:12)— ina maana kuwa inabadilisha kanisa letu kihusiano. Inatufanya kupenda zaidi, kusaidiana zaidi, kuhudumiana na kujaliana bila majivuno, bil ubinafsi na kutohusika.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ndio mana nisemapo, “tusiache mstari wa 14 hadi tujiulize ni maana gani kwetu kwamba “Neno alifanyika mwili,” waweza kusikia baadhi ya fikira ilioko nyuma ya swali hilo. Huwa ninajiuliza tofauti gani hii theolojia kuu inafanya katika maisha zetu za kibinafsi na za kihusiano.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ndani ya Yesu tunaona utukufu wa Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
“Tumeona utukufu wake, utukufu kama Mwana wa pekee atokaye kwa Baba amejaa neema na ukweli.” Ina maana ya kuwa ndani ya Yesu tunaweza kuona utukufu wa Mungu. Na ina maana kuwa utukufu wa Mungu ambao unafunuliwa katika Yesu haututeketezi katika dhambi zetu. Walakini, “Umejawa neema na ukweli.” Yaani, utukufu wa Mungu ndani ya Kristo ni dhihirisho ya neema kwetu bila kusaza ukweli na uaminifu wake mwenyewe. Na hii dhihirisho wa neema ni kuu sana. Ndiposa ametumia neno ''jaa''—neno ''jaa'' inaeleza zaidi kuhusu ''utukufu''. Utukufu wa Mwana wa Mungu umejazwa na neema kwetu sisi wenye dhambi bila kusaza ukweli wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Amejaa neema . . . ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hili kwa hakika ni habari njema. Mungu angechagua kufanyika mwili na kuwa hakimu na mhukumu. Na &amp;amp;nbsp;sote tungepatikana na hatia na kuhukumiwa adhabu ya milele. Lakini hakufanyika mwili kwa njia hiyo. Neno, Mwana, ambaye ni Mungu alifanyika mwili ili kufunua utukufu wa kiungu iliyo “''jaa neema na ukweli''.” Neno la Mungu likafanyika mwili ili awe mwema kwetu. Neno alifanyika mwili ili hii wema wake kwetu iwe sawia na ukweli wa Mungu. Hii haiwezi kuwa neema wa dufu, usiyo na msimamo au hisia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii itakuwa neema wa haki wa kumuinua Mungu na wa gharama. Itaelekea moja kwa moja hadi Kifo cha Yesu msalabani. Kwa hakika hii ndiyo sababu alifanyika mwili. Ilimpasa kuwa na mwili ili afe. Ilimbidi kuwa mwanadamu ili afe kama Mungu-Mtu badala yetu (Waebrania 2:14-15). Neno alifanyika mwili ili kifo cha Yesu kingewezekana. Msalabani ndipo ukamilifu wa neema uling’aa zaidi. Ilifanyika pale na kununuliwa pale.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== . . . Na ukweli ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na sababu ilifanyika kupitia kifo ni kwamba Mwana wa Mungu amejawa neema ''na ukweli.'' Mungu ni wa mwema kwetu na mwaminifu kwake. Hivyo basi, Mwanawe akija, alijawa na neema na ukweli. Yesu alipokufa, Mungu ''alikuwa mwaminifu'' kwake mwenyewe, maanake dhambi iliadhibiwa. Na Kristo alipokufa, Mungu ''alikuwa mwema kwetu, ''kwa sababu Kristo aliubeba adhabu bali sio sisi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
“Neno alifanyika mwili” lina maana kwetu kuwa utukufu wa Mungu umedhihirishwa katika historia, jinsi haujawahi fanyika, yaani, kwa ukamilifu wa neema na ukamilifu wa ukweli unaong’aa zaidi katika kifo cha Yesu kwa wenye dhambi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuona urembo wa kiroho ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jihadhari sana ili usiseme, “Nam, sikuwepo ili nimwone kwa hivyo utukufu huo haupo kwangu &amp;amp;nbsp;ili niuone. Nyinyi wenye dini &amp;amp;nbsp;mnaweza sema vyovyote kuhusu utukufu wa Mwana wa Mungu, lakini hayupo hapa ili tumwone.” Jihadhari. Usidhani utukufu huu katika mstari wa 14: Kama tu kung’aa au urembo wa nje. Yesu hakung’aa au kuwa na urembo wa kimwili. “Hakuwa na hadhi au umbo la kuweza kufanya tumtazame, hata urembo wa kutamanika” (Isaya 53:2).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na usifikirie utukufu huu katika mstari wa 14 kama tu maonyesho ya miujiza. Kuna wale walioona miujiza, kuna waliyefahamu yaliyotendeka, na hawakuona chochote kizuri au cha utukufu. Walitaka kumuua (Yohana 11:45-48).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapana, “utukufu” uliofunuliwa wa Mwana wa Mungu, utukufu wa Neno, utukufu wa Yesu Kristo, alipokuja mara ya kwanza, ni utukufu kuu wa kiroho, uzuri wa kiroho. Hili si jambo la kuona kwa macho ya kimwili lakini kwa macho ya kiroho (Waefeso 1:18). Tunatazama jinsi anavyoongea, matendo yake, upendo na kufa, na kwa neema twaona utukufu au urembo wa kiungu unaojidhihirisha kwa wazi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Uchanganyiko&amp;amp;nbsp;usio na kifani&amp;amp;nbsp;wa neema na ukweli  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo asema hivi katika 2 Wakorintho 4:4 “Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu.” “Utukufu wa Kristo aliye sura ya Mungu” ndiyo Yohana 1:14 inaita “utukufu wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na ukumbuke, Paulo anasema na watu ambao hawakumwona Yesu akiwa humu duniani, naye Yohana anaandika injili kwa watu ambao hawakumwona Yesu humu duniani—watu kama sisi. Utukufu wa Yohana 1:14 na utukufu wa 2 Wakorintho 4:4 ni utukufu ambao ''unaonekana'' tu kwa kiroho ''unaposikia'' hadithi za Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hauhitajiki kumwona kimwili. Yesu alisema katika Yohana 20:29. “Wamebarikiwa wale ambao hawajaona lakini wameamini.” Unakutana naye katika Injili ya Yohana na maandiko mengine katika Biblia. Unapo kutana naye, kupitia hizi hadithi za maneno na matendo yake yaliyovutiwa pumzi, utukufu wake una ng’aa—urembo unaojithibitisha binafsi wa huo uchanganyiko&amp;amp;nbsp;usio na kifani&amp;amp;nbsp;wa neema na ukweli. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuzaliwa upya kupitia injili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Si ajali kwamba mstari wa 12-13 unaeleza kuzaliwa mara ya pili, na mstari 14 unaeleza juu ya kuona utukufu wa Mwana wa Mungu. Mistari ya 12-14: &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Bali wote ''waliompokea'', aliwapa uwezo wa ''kufanyika watoto wa Mungu'', ndio wale ''waliaminio'' Jina Lake. Hawa watoto ''wamezaliwa'' si kwa damu wala kwa mapenzi ya mwili au kwa mapenzi ya mtu, bali kwa mapenzi ''ya'' Mungu. Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi ''takauona'' utukufu Wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Kumbuka mstari wa 4: “Ndani Yake ndimo ulimokuwa uzima na huo uzima ulikuwa nuru ya watu.” Wakati ''uzima'' mpya wa kiroho umepewa, ''nuru'' mpya hufanyika. Nuru hii si ya kimwili. Ni nuru ya kiroho ya utukufu wa Mwana wa Mungu ambao umeelezwa katika mstari wa 14: Hivi ndivyo tunavyopata kuona!&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na je, hiyo maisha mpya ya kiroho inafanyika kwetu kwa jinsi gani? Mstari 13 inasema inafanyika tunapozaliwa si kwa mapenzi ya mwili bali kwa Mungu. Inafanyika tu katika kuzaliwa mara ya pili. Hivyo ndivyo twafikia imani na kumpokea Kristo na kuwa watoto wa Mungu. (Yohana 1:12).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa Injili—kwa kusikiza hadithi za matendo na maneno za Yesu ambayo yanaokoa— Mungu anaumba ndani mwetu ''uzima'' wa kiroho. Tunazaliwa kwa Mungu kupitia Injili (1 Petro 1:23-25). Na huo uzima wa kiroho huona ''nuru'' ya utukufu wa &amp;amp;nbsp;Kristo (Yohana 1:4). Inafanya hivyo mara moja. Ndiposa Yohana 8:12 unautaja “Nuru ya Uzima.” Unapopewa uzima wa kiroho, utauona utukufu wa kiroho.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tazama utukufu  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kusema kwa njia nyingine, kulingana na mstari 12, ni kwamba huu uzima upya na mtazamo huu ''unaamini'' nuru na ''unaupokea ''nuru kama ukweli na utukufu wa Yesu Kristo, Mwana wa Mungu. Na katika huo ''uzima ''na ''nuru'' na ''kuamini'' na ''kupokea'', mstari 12 unasema tunapata haki ya kuitwa watoto wa Mungu. Yaani, sisi ''ni'' wana wa Mungu kwa sababu huu uzima na nuru na kuamini na kupokea ni haki yetu kuwa watoto wa&amp;amp;nbsp;Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa ninainua mbele yenu Mwana wa Mungu aliyefanyika mwili: ''Neno alifanyika mwili na akakaa miongoni mwetu bali kuwacha kuwa Mungu. ''Tazama utukufu wake, utukufu kama Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli. Mtazame, kwa utukufu vile alivyo, na uishi. Amina.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Tumeona_utukufu_wake,_amejaa_neema_na_kweli</id>
		<title>Tumeona utukufu wake, amejaa neema na kweli</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Tumeona_utukufu_wake,_amejaa_neema_na_kweli"/>
				<updated>2018-07-06T20:17:38Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|We Beheld His Glory, Full of Grace and Truth}}  &amp;lt;blockquote&amp;gt; Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi takauona utukufu Wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye ...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|We Beheld His Glory, Full of Grace and Truth}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi takauona utukufu Wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli. 15 (Yohana alishuhudia habari Zake, akapiga kelele akisema, “Huyu ndiye yule niliyewaambia kwamba, ‘Yeye ajaye baada yangu ni mkuu kuliko mimi, kwa kuwa alikuwako kabla yangu.’ &amp;quot;) 16 Kutokana na ukamilifu Wake, sisi sote tumepokea neema juu ya neema. 17 Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Mose, lakini neema na kweli imekuja kupitia Yesu Kristo. 18 Hakuna mtu ye yote aliyemwona Mungu wakati wo wote, ila ni Mungu Mwana pekee, aliye kifuani mwa Baba ndiye ambaye amemdhihirisha.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Na tuanzie mstari 14: ili tuone mambo makuu &amp;amp;nbsp;katika aya hii. “Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi takauona utukufu Wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli.” Rejelea mstari wa 1 ili ukumbuke huyu neno ni nani. “Hapo, mwanzo alikuwako, naye neno alikuweko kwa Mungu, naye neno alikuwa Mungu.” Yohana 1:1. Hivyo ''Neno'' lina maana ya Mungu &amp;amp;nbsp;Mwana.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ninatumia neno ''Mwana'' kwa sababu limedokezwa katika mstari wa 14 Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi takauona utukufu Wake, utukufu kama wa ''Mwana'' pekee atokaye kwa Baba.” Hivyo Neno ni Mwana wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mungu mmoja, watu watatu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Waislamu hujikwaza juu ya hili neno Mwana, kama vile wengine wafanyao. Baadhi yao hufikiria kuwa Mungu alifanya mapenzi na Mariamu na kumzaa Mwana. Hii si kile Biblia inachomaanisha Yohana 1:1: “Hapo mwanzo alikuwako Neno.” Huyo ni Mwana wa Mungu. Na hakuwa na mwanzo wake. Alikuweko tangu mwanzo. Alikuweko umbali wa mwanzo uwezavyo kwenda—milele. Mstari wa 3 unasema, “Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye, wala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa.” Hii ina maana kuwa yeye hakuumbwa. Yeye si sehemu ya kiumbe kwa vyovyote vile. Na haya ndiyo tunayojua kuhusu Mwana wa Mungu. 1) Yeye ni Mungu, 2) Baba yake pia ni Mungu 3) Mwana si Baba, alikuweko na Baba 4) Yeye hakuumbwa na ni wa Milele.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna mengi ya kusema kuhusu fundisho la utatu—Mafundisho ya kwamba Mungu yuko kama Mungu mmoja katika watu watatu, Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Lakini kwa sasa, hifadhi mengi haya kwenye mawazo na moyo wako. Mwana na Baba ni Mungu mmoja, lakini ni watu wawili. Wana maumbile ya kiungu mmoja. Wao ni Mungu mmoja wenye hisia mbili.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mungu alifanyika binadamu—bila kukoma kuwa Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa kile mstari wa 14 inasema—na hii ndio tukio ambao ni muhimu zaidi katika historia —kwamba Neno, Mwana, alifanyika binadamu bila kukoma kuwa Mungu. Ujumbe huu ndio tutaangalia zaidi kwa muda wa wiki mbili: Tunajuaje kuwa huu ndio uhakika, na je hii ina maana gani kwetu binafsi? &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
“Neno alifanyika mwili” yaani, Neno la Kiungu, Mwana wa Kiungu wa Mungu, alifanyika binadamu bila kukoma kuwa Mungu. Je, twafahamu vipi mambo haya? Na je ina maana gani kwetu sisi? Tutauchukua muda wetu wote leo kwa kujibu haya kutoka mstari wa 14.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Neno ''Alikaa miongoni mwetu'' ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu ya kwanza tunasema kuwa neno la kiungu halikukoma kuwa na uungu wakati alipofanyika binadamu ni tamko ilioko katika mstari wa 14. ya kwamba Neno “alikaa miongoni mwetu.” Mada la kitenzi ''alikaa ni Neno''. Na neno ni Mungu. Hivyo njia ya kawaida ya kuchukua hii ni kwamba Mungu, ambaye ni Neno, alikaa miongoni mwetu. Hii ndiyo sababu malaika alisema katika Mathayo 1:23. “Tazama, bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, nao watamwita jina lake Imanueli’’ (maana yake, ''Mungu pamoja nasi''). Neno ambaye ni Mwana, hakuacha kuwa Mungu alipofanyika binadamu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Utukufu kama mwana wa pekee wa Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu yetu ya pili, ya kuamini hii ni tamko ifuatayo katika mstari 14, “Nasi tukaona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba. Utukufu wa nani? Utukufu wa Neno—Neno ambaye ni Mungu. Na je, hii ni utukufu wa aina gani? Ni “Utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yohana anaposema utukufu wa neo kuwa mwili ni “utukufu kama tu wa Mwana pekee atokaye kwa Baba,” je, neno ''kama'' lina maana kuwa ni utukufu wa kuigizwa? Si utukufu hakika wa Mwana bali kama utukufu wa Mwana? Sidhani ni hivyo. Nikisema, kwa mfano, “Nina kitabu cha kupeana na ningependa nikupe wewe kama chaguo langu la kwanza,” na ukose kuitika, “mimi si chaguo lako la kwanza; Mimi ni kama tu chaguo lako la kwanza.” La sivyo neno ''kama'' halimaanishi hivyo nikisema, “Ninakupa wewe kama chaguo langu la kwanza.” Ina maanisha kuwa: ninakupa kwa kuwa ''hakika wewe ni'' chaguo langu la kwanza. Yohana anaposema, “Tumeona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana wa pekee atokaye kwa Baba,” anamaanisha, “Tumeona utukufu wake, utukufu vile ilivyo kwa hakika—utukufu wa Mwana wa Mungu.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunajua haya kwa sababu, katika sehe—mu ya kwanza wa mstari 14, Yohana alisema kwa utaratibu kwamba , “tumeona utukufu wake”—hakuna hitimu! Utukufu wa nani? Utukufu wa Neno wa milele, ambaye ni Mwana. “Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi takauona utukufu Wake.” Hivyo hamna kupunguka kwa ajabu ya kutwa utu. Neno ikawa mwili, na alifanya hivyo bila kuwacha kuwa Mungu. Yeye hudhihirisha utukufu wa Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hii ina maana gani kwetu? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mistari ya 15-18 inaeleza sababu zaidi&amp;amp;nbsp;ili kuamini kuwa Neno alifanyika mwili bila kuacha kuwa Mungu. Tutafafanua haya wiki ijayo, Mungu akitujalia. Lakini kwa sasa, wacha tujiulize kwenye mstari wa 14 kinachomaanisha kwetu sisi ya kuwa Neno alifanyika mwili—kwamba Mwana wa Mungu alifanyika binadamu bila kukoma kuwa Mungu. Haja gani niulize swali hili? Kwanza, ni kwa sababu fungu hili inatupa jawabu. Lakini pia kuna sababu nyingine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kukuza tamaduni wa kihusiano ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je, wakumbuka miezi michache iliyopita. Niliyahubiri ujumbe kadhaa nikimsihi Mungu kwamba azitumie ili kukuza kinachoitwa ''tamaduni wa kihusiano'' wa kanisa yetu? Nilifafanua nilichomaanisha katika asilia ya Wafilipi 2:3-4, “Msitende jambo lolote kwa nia ya kujitukuza, bali kwa unyenyekevu, kila mtu akimhesabu mwingine bora kuliko nafsi yake. Kila mmoja wenu asiangalie mambo yake mwenyewe tu, bali pia ajishughulishe kwa faida ya wengine.” Kwa maneno mengine, wacha na tukue kama kanisa kwa mienendo yetu nje ya ubinafsi, tuhudumie wengine na kufikiria mambo yao.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na je, mnakumbuka ni nini msingi wa huo utumishi na mawazo wa uhusiano? Mistari inaofuata inaeleza: “Tuweni na nia ile ile aliyokuwa nayo Kristo Yesu. Yeye ingawa alikuwa sawa na Mungu, hakuona kule kuwa sawa na Mungu ni kitu cha kushikamana nacho, bali alijifanya si kitu, akajifanya sawa na mtumwa, akazaliwa katika umbo la mwanadamu” (Wafilipi 2:5-7). Kwa vingine, msingi wa kujidhili, utumwa, upendo na kufanywa upya utamaduni wa kihusiano pale Bethlehemu ulikuwa: ''Neno alifanyika mwili naye alikaa miongoni mwetu—na akatufia.''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kufanyika mwili na utekelezaji ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu yangu kuu ya kuelezea haya ni kwamba tusije tukasema, “Nam, tulifanya haba kwa kutilia mkazo uhusiano majira ya kiangazi iliyopita, na sasa tuko katika theolojia.” Hapana. Theolojia ambayo inahesabika kwa vyovyote ni ile aina ya Wafilipi 2, ambayo iko sawa na Injili ya Yohana. Inatusaidia kujua Kristo na utukufu wake. Pamoja na kubadilishwa na Kristo kwa ajili ya upendo. (13:34; 15:12)— ina maana kuwa inabadilisha kanisa letu kihusiano. Inatufanya kupenda zaidi, kusaidiana zaidi, kuhudumiana na kujaliana bila majivuno, bil ubinafsi na kutohusika.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ndio mana nisemapo, “tusiache mstari wa 14 hadi tujiulize ni maana gani kwetu kwamba “Neno alifanyika mwili,” waweza kusikia baadhi ya fikira ilioko nyuma ya swali hilo. Huwa ninajiuliza tofauti gani hii theolojia kuu inafanya katika maisha zetu za kibinafsi na za kihusiano.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ndani ya Yesu tunaona utukufu wa Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
“Tumeona utukufu wake, utukufu kama Mwana wa pekee atokaye kwa Baba amejaa neema na ukweli.” Ina maana ya kuwa ndani ya Yesu tunaweza kuona utukufu wa Mungu. Na ina maana kuwa utukufu wa Mungu ambao unafunuliwa katika Yesu haututeketezi katika dhambi zetu. Walakini, “Umejawa neema na ukweli.” Yaani, utukufu wa Mungu ndani ya Kristo ni dhihirisho ya neema kwetu bila kusaza ukweli na uaminifu wake mwenyewe. Na hii dhihirisho wa neema ni kuu sana. Ndiposa ametumia neno ''jaa''—neno ''jaa'' inaeleza zaidi kuhusu ''utukufu''. Utukufu wa Mwana wa Mungu umejazwa na neema kwetu sisi wenye dhambi bila kusaza ukweli wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Amejaa neema . . . ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hili kwa hakika ni habari njema. Mungu angechagua kufanyika mwili na kuwa hakimu na mhukumu. Na &amp;amp;nbsp;sote tungepatikana na hatia na kuhukumiwa adhabu ya milele. Lakini hakufanyika mwili kwa njia hiyo. Neno, Mwana, ambaye ni Mungu alifanyika mwili ili kufunua utukufu wa kiungu iliyo “''jaa neema na ukweli''.” Neno la Mungu likafanyika mwili ili awe mwema kwetu. Neno alifanyika mwili ili hii wema wake kwetu iwe sawia na ukweli wa Mungu. Hii haiwezi kuwa neema wa dufu, usiyo na msimamo au hisia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii itakuwa neema wa haki wa kumuinua Mungu na wa gharama. Itaelekea moja kwa moja hadi Kifo cha Yesu msalabani. Kwa hakika hii ndiyo sababu alifanyika mwili. Ilimpasa kuwa na mwili ili afe. Ilimbidi kuwa mwanadamu ili afe kama Mungu-Mtu badala yetu (Waebrania 2:14-15). Neno alifanyika mwili ili kifo cha Yesu kingewezekana. Msalabani ndipo ukamilifu wa neema uling’aa zaidi. Ilifanyika pale na kununuliwa pale.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== . . . Na ukweli ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na sababu ilifanyika kupitia kifo ni kwamba Mwana wa Mungu amejawa neema ''na ukweli.'' Mungu ni wa mwema kwetu na mwaminifu kwake. Hivyo basi, Mwanawe akija, alijawa na neema na ukweli. Yesu alipokufa, Mungu ''alikuwa mwaminifu'' kwake mwenyewe, maanake dhambi iliadhibiwa. Na Kristo alipokufa, Mungu ''alikuwa mwema kwetu, ''kwa sababu Kristo aliubeba adhabu bali sio sisi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
“Neno alifanyika mwili” lina maana kwetu kuwa utukufu wa Mungu umedhihirishwa katika historia, jinsi haujawahi fanyika, yaani, kwa ukamilifu wa neema na ukamilifu wa ukweli unaong’aa zaidi katika kifo cha Yesu kwa wenye dhambi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuona urembo wa kiroho ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jihadhari sana ili usiseme, “Nam, sikuwepo ili nimwone kwa hivyo utukufu huo haupo kwangu &amp;amp;nbsp;ili niuone. Nyinyi wenye dini &amp;amp;nbsp;mnaweza sema vyovyote kuhusu utukufu wa Mwana wa Mungu, lakini hayupo hapa ili tumwone.” Jihadhari. Usidhani utukufu huu katika mstari wa 14: Kama tu kung’aa au urembo wa nje. Yesu hakung’aa au kuwa na urembo wa kimwili. “Hakuwa na hadhi au umbo la kuweza kufanya tumtazame, hata urembo wa kutamanika” (Isaya 53:2).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na usifikirie utukufu huu katika mstari wa 14 kama tu maonyesho ya miujiza. Kuna wale walioona miujiza, kuna waliyefahamu yaliyotendeka, na hawakuona chochote kizuri au cha utukufu. Walitaka kumuua (Yohana 11:45-48).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapana, “utukufu” uliofunuliwa wa Mwana wa Mungu, utukufu wa Neno, utukufu wa Yesu Kristo, alipokuja mara ya kwanza, ni utukufu kuu wa kiroho, uzuri wa kiroho. Hili si jambo la kuona kwa macho ya kimwili lakini kwa macho ya kiroho (Waefeso 1:18). Tunatazama jinsi anavyoongea, matendo yake, upendo na kufa, na kwa neema twaona utukufu au urembo wa kiungu unaojidhihirisha kwa wazi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Uchanganyiko&amp;amp;nbsp;usio na kifani&amp;amp;nbsp;wa neema na ukweli  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo asema hivi katika 2 Wakorintho 4:4 “Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu.” “Utukufu wa Kristo aliye sura ya Mungu” ndiyo Yohana 1:14 inaita “utukufu wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na ukumbuke, Paulo anasema na watu ambao hawakumwona Yesu akiwa humu duniani, naye Yohana anaandika injili kwa watu ambao hawakumwona Yesu humu duniani—watu kama sisi. Utukufu wa Yohana 1:14 na utukufu wa 2 Wakorintho 4:4 ni utukufu ambao ''unaonekana'' tu kwa kiroho ''unaposikia'' hadithi za Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hauhitajiki kumwona kimwili. Yesu alisema katika Yohana 20:29. “Wamebarikiwa wale ambao hawajaona lakini wameamini.” Unakutana naye katika Injili ya Yohana na maandiko mengine katika Biblia. Unapo kutana naye, kupitia hizi hadithi za maneno na matendo yake yaliyovutiwa pumzi, utukufu wake una ng’aa—urembo unaojithibitisha binafsi wa huo uchanganyiko&amp;amp;nbsp;usio na kifani&amp;amp;nbsp;wa neema na ukweli. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuzaliwa upya kupitia injili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Si ajali kwamba mstari wa 12-13 unaeleza kuzaliwa mara ya pili, na mstari 14 unaeleza juu ya kuona utukufu wa Mwana wa Mungu. Mistari ya 12-14: &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Bali wote ''waliompokea'', aliwapa uwezo wa ''kufanyika watoto wa Mungu'', ndio wale ''waliaminio'' Jina Lake. Hawa watoto ''wamezaliwa'' si kwa damu wala kwa mapenzi ya mwili au kwa mapenzi ya mtu, bali kwa mapenzi ''ya'' Mungu. Neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi ''takauona'' utukufu Wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Kumbuka mstari wa 4: “Ndani Yake ndimo ulimokuwa uzima na huo uzima ulikuwa nuru ya watu.” Wakati ''uzima'' mpya wa kiroho umepewa, ''nuru'' mpya hufanyika. Nuru hii si ya kimwili. Ni nuru ya kiroho ya utukufu wa Mwana wa Mungu ambao umeelezwa katika mstari wa 14: Hivi ndivyo tunavyopata kuona!&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na je, hiyo maisha mpya ya kiroho inafanyika kwetu kwa jinsi gani? Mstari 13 inasema inafanyika tunapozaliwa si kwa mapenzi ya mwili bali kwa Mungu. Inafanyika tu katika kuzaliwa mara ya pili. Hivyo ndivyo twafikia imani na kumpokea Kristo na kuwa watoto wa Mungu. (Yohana 1:12).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa Injili—kwa kusikiza hadithi za matendo na maneno za Yesu ambayo yanaokoa— Mungu anaumba ndani mwetu ''uzima'' wa kiroho. Tunazaliwa kwa Mungu kupitia Injili (1 Petro 1:23-25). Na huo uzima wa kiroho huona ''nuru'' ya utukufu wa &amp;amp;nbsp;Kristo (Yohana 1:4). Inafanya hivyo mara moja. Ndiposa Yohana 8:12 unautaja “Nuru ya Uzima.” Unapopewa uzima wa kiroho, utauona utukufu wa kiroho.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tazama utukufu  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kusema kwa njia nyingine, kulingana na mstari 12, ni kwamba huu uzima upya na mtazamo huu ''unaamini'' nuru na ''unaupokea ''nuru kama ukweli na utukufu wa Yesu Kristo, Mwana wa Mungu. Na katika huo ''uzima ''na ''nuru'' na ''kuamini'' na ''kupokea'', mstari 12 unasema tunapata haki ya kuitwa watoto wa Mungu. Yaani, sisi ''ni'' wana wa Mungu kwa sababu huu uzima na nuru na kuamini na kupokea ni haki yetu kuwa watoto wa&amp;amp;nbsp;Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa ninainua mbele yenu Mwana wa Mungu aliyefanyika mwili: ''Neno alifanyika mwili na akakaa miongoni mwetu bali kuwacha kuwa Mungu. ''Tazama utukufu wake, utukufu kama Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na kweli. Mtazame, kwa utukufu vile alivyo, na uishi. Amina.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Hapo_Mwanzo,_Alikuwako_Neno</id>
		<title>Hapo Mwanzo, Alikuwako Neno</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Hapo_Mwanzo,_Alikuwako_Neno"/>
				<updated>2018-07-02T20:10:45Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Hapo Mwanzo, Alikuwako Neno&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|In the Beginning Was the Word}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Hapo mwanzo alikuwako Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye neno alikuwa Mungu. 2 Tangu mwanzo huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu. 3. Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye, wala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Habari ya Yohana Mtakatifu ni picha ya Kristo Yesu na kazi zake za kuokoa. Inaongea kuhusu miaka mitatu ya mwisho ya maisha ya Yesu—na hasa juu ya kifo na ufufuo wake. Jukumu lake ni wazi katika Yohana 20: 30-31: “ Yesu alifanya Miujiza mengine mingi mbele za wanafunzi wake, ambayo haikuandikwa katika kitabu hiki. Lakini haya yameandikwa ili muweze kuamini ya kuwa Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu na kumwamini mpate uzima katika Jina lake.” Kitabu hiki kimeandikwa kusaidia watu kuamini Kristo na kupokea uzima wa milele.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kimeandikwa kwa Wakristo na wasio Wakristo ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Usifikiri kuwa kitabu hiki kimeandikwa tu kwa wasioamini. Waaminiyo Yesu lazima waendelee kuamini ndipo wapate waokolewe mwishoni. Yesu alisema katika Yohana 15:6. “Mtu yeyote asipokaa ndani yangu, hutupwa nje kama tawi na kunyauka. Matawi kama hayo hukusanywa na kutupwa motoni, yakateketea.” Na katika Yohana 8:3, Alisema, “Kama mkidumu katika maneno yangu, mtakuwa wanafunzi wangu kweli kweli.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa wakati Yohana anasema kwamba, “Haya yameandikwa ili mweze kuamini ya kuwa Yesu ndiye kristo, Mwana wa Mungu na kumwamini mpate uzima katika jina lake.” Alimaanisha kuwa alikuwa anaandika kuamsha imani kwa wasioamini na kudumisha imani kwa wanaoamin—na katika njia hiyo aelekeza wote uzimani milele. Na huenda kuwa hakuna kitabu kingine kizuri zaidi katika biblia ambacho kitakusaidia kuendelea kuamini na kumdhamini Kristo Yesu juu ya yote.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Neno la Shahidi ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Picha hii ya Yesu imeandikwa na shahidi ambaye aliyashuhudia matukio haya makuu. Mara tano katika Injili hii takatifu tunakumbana na maneno matano yasiyo ya kawaida. “mwanafunzi aliyependwa na Yesu.”(13:23; 19:26; 20:2,7, 21:20). Kwa mfano, mwishoni inasema katika Yohana 21:20 “Petro akageuka akamwona ''mwanafunzi aliyependwa na Yesu'' akiwafuata.” Mistari minne baadaye (21:240 inasema, “Huyu ndiye Yule mwanafunzi anayeshuhudia mambo haya na ndiye ambaye ameandika habari hizi.” Ni yule anaitwa “mwanafunzi aliyependwa na Yesu” ambaye alikuwa ameegema kifuani Mwake walipokula naye chakula cha mwisho (13:23)—Aliandika kitabu hiki kwa uweza wa Mungu ili iwe kama kumbukumbu la matukio ya maisha ya Yesu na yale yalimaanisha kwetu sisi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kupewa ari ya Kiungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu mmoja ya kufanya uiseme ''imepewa ari ya kiungu'' ni kuwa haya ndiyo Yesu aliahidi kutenda. Alisema katika Yohana 14:26, “Lakini huyo msaidizi, yaani, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwenu kwa jina langu, atawafundisha mambo yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia. Katika Yohana 16:13, alisema, “Atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza awatie katika kweli yote. Yeye hatanena kwa ajili yake mwenyewe, bali atanena yale yote atakayosikia, naye atawaonyesha mambo yajayo.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa neno lingine, Yesu aliteua mitume wake kama waakilishi wake, akawaokoa, akawafundisha, akawatuma, na akawapeana kupitia Roho Mtakatifu, mwongozo wa kiroho katika kuandika nyaraka kwa msingi wa kanisa/jiwe la pembeni (Waefeso 2:20). Tunaamini kuwa Injili ya Yohana ndilo neno lililopewa ari ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mistari Mitatu ya Utangulizi Katika Yohana Mtakatifu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Maneno hayo—“Neno la Mungu”—yanatuleta katika maneno ya kwanza ya Injili ya Yohana. Yohana 1:1-3, “Hapo mwanzo, Alikuwako Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 2. Tangu mwanzo huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu. 3. Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye, wala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa. Mistari hii ndio tutaangalia kwa leo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== “Neno”: Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwanza tunatazama tamshi ''Neno'' “Hapo mwanzo, Alikuwako Neno” jambo la muhimu zaidi ya kujua juu ya hili Neno linapatikana katika aya ya 14: “Na Neno likafanyika mwili, akakua miongoni mwetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na Kweli.” Neno inamaanisha Kristo Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yohana anajua yale anataka kuandika katika milango hii 21. Anaendelea kutuambia hadithi kuhusu kazi za Yesu Kristo na huduma yake. Hiki ni kitabu kuhusu maisha na huduma ya Yesu Kristo—mtu ambaye Yohana alimfahamu, akamwona, akamsikikiza na kumguza na mkono wake (1 Yohana 1:1). Alikuwa na nyama na damu. Hakuwa pepo ama kiumbe pepo linaloonekana na kisha kutoweka. Alikuwa anakunywa na kuchoka na Yohana alimjua kwa undani. Mamake Yesu aliishi na Yohana sehemu za mwisho ya maisha yake (Yohana 19:26).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi, yale Yohana anafanya katika Yohana 1:1-3 ni kutambua mambo ya hakiaka kuhusu Yesu vile anaweza. Ilimchukua Yohana zaidi ya miaka tatu kufahamu ukamilifu wa vile Yesu yupo. Lakini hataki wasomaji wake wachukue zaidi ya mistari mitatu kuelewa yale yaliyomchukua muda mrefu kufahamu. Anataka mawazoni mwetu tuwe, wazi na kudumu, kuanzia mwanzo wa injili yake, utukufu wa milele, mkimo wa Mungu na haki ya muumbaji wetu yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yesu katika Utakatifu Wake  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hilo ndilo jambo katika mstari 1-3. Anatuhitaji tusome injili hii kwa kuabudu, kwa kunyenyekea, kwa unyofu, kwa uoga, kuwa kijana harusini na kisimani na milimani ndiye muumba wa dunia. Je unasikia na kuhisi haya. Huu sio mpango wangu. Huu sio mpangilio yangu ya mafundisho. Ni muundo wa kitabu hiki. Yohana aliandika hivi—jinsi Mungu alikusudia aiweke pamoja. Wewe pamoja nami tungeliandika kwa njia ya kufanya kitambulisho ya Yesu ikue pole pole kwa wasomaji ili washangae, ''Huyu Mtu ni nani?'' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini Yohana anakataa. “katika neno langu la kwanza, nitakushtua, na kukupoteza na kitambulisho cha huyu Mtu ambaye alifanyika nyama na kuishi miongoni mwetu. Basi hakuna kukosea.” Yohana anatuhitaji tusome neno la Injili hii kwa uwazi, umoja na maarifa kwamba Yesu kristo alikuwa pamoja na Mungu na alikuwa Mungu na akatoa uhai wake kwa ajili Yetu (Yohana 15:13) aliumba dunia. Yohana anataka ujue na kuamini Mwokozi mwema. Chochote ambacho unaweza kufurahia juu ya Yesu, Yohana anataka ufahamu na kuthamini Yesu katika utukufu wake mkuu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kwa Nini “Neno”? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini yafaa tuulize tena, ''kwa nini aliamua kuita Yesu “Neno”''? “Hapo mwanzo alikuwako Neno.” Jibu langu kwa hili swali ni hili: Yohana anamwita Yesu''Neno'' kwa sababu alikwisha kuona maneno ya Yesu kama ukweli wa Mungu na maumbile ya Yesu kama ukweli wa Mungu katika njia ya kijumla mpaka Yesu mwenyewe—katika kuja kwake, na huduma yake, mafundisho yake, kifo chake na kufufuka—''alikuwa Neno la mwisho na uamuzi wa Mungu.'' Ama liweke hivi: ''yale Mungu alikusudia kutuambia sio tu yale Yesu alisema, lakini yule Yesu alikuwa na yale aliyoyatenda.'' Maneno yake yalimweleza wazi na huduma yake. Lakini Yeye mwenyewe na huduma yake ndio ukweli kamili Mungu alikuwa anadhihirisha. Mimi ni kweli Yesu akasema (Yohana 14:6)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Alikuja kushuhudia ukweli (Yohana 18:37) na Yeye ndiye kweli (Yohana 14:6). Ushuhuda Wake na maumbile Yake yalikuwa Neno la kweli. Alisema, “ Kama mkidumu katika maneno yangu, mtakuwa wanafunzi wangu wa kweli” (Yohana 8:31), na akasema, “Kaa ndani yangu (Yohana 15:7). Tunapodumu ndani ya Yesu, tunadumu ndani ya Neno lake. Anasema kazi zile afanyazo, “zinashuhudia” juu yake.(Yohana 5:36; 10:25). Kwa maneno mengine, katika huduma yake alikuwa Neno.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yesu: Ujumbe wa Mungu Dhahiri na wa Mwisho ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Katika Ufunuo 19:13 (lililoandikwa na mwandishi mmoja na Injili), anafafanua kurudi kwa Yesu kwa utukufu, “Alikuwa amevaa vazi lililochovywa kwenye damu na jina lake ni ''Neno la Mungu.”'' Yesu anaitwa ''Neno la Mungu,'' wakati anaporudi duniani. Mistari miwili baadaye Yohana anasema “Kinywani mwake mlitoka upanga mkali” (Ufunuo 19:15). Maanake, Yesu anayaangusha mataifa kwa nguvu za Neno la Mungu analolinena—upanga wa Roho mtakatifu (Waefeso 6:17). Lakini nguvu za neno hili limeunganika na Yesu mwenyewe na Yohana anasema kuwa hana tu upanga wa Neno la Mungu litokalo kinywani mwake, lakini Yeye ndiye Neno la Munugu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo Yohana anapoanzisha Injili yake, anayo dhihirisho yote ya ufunuo, ukweli yote, ushuhuda yote, utukufu yote, nuru yote, maneno yote yatokayo kwa Yesu kupitia kuishi kwake, mafundisho yake, kifo chake na kufufuka kwake, anajumulisha ufunuo yote ya Mungu kwa jina: “Yeye ndiye Neno”—mwanzo, mwisho, wakipekee, bila pingamizi, kweli mtupu na Neno la kuaminika. Maana yake ni sawa na Waebrania 1:1-2: “Zama za kale, Mungu alisema na babu zetu kwa njia ya Manabii mara nyingi na kwa njia mbali mbali, lakini katika siku hizi za mwisho anasema nasi kwa njia ya Mwanawe.” Mwana wa Mungu aliyefanyika binadamu ni uhondo wa Mungu na Neno lake kwa ulimwengu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Maelezo Manne kuhusu Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa ni jambo gani ya kwanza ambayo Yohana anataka kutuambia kuhusu Yesu kristo ambaye matendo yake na maneno yake yanajaza nakala za injili hii? Anataka kutueleza mambo manne kuhusu Kristo Yesu: 1) wakati wa kuwepo kwake 2) maana ya kitambulisho chake 3) uhusiano wake na Mungu 4) uhusiano wake kwa walimwengu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1) Wakati wa Kuwepo Kwake'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari 1: “Hapo mwanzo alikuweko Neno.” Maneno “Hapo mwanzo” yanafanana kwa kigiriki na maneno mawili ya kwanza katika agano la kale la kigiriki: “Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na dunia.” Sio ajali, kwa sababu jambo la kwanza Yohana anaenda kutuambia kuwa yesu alifanya ni kuumba dunia. Hilo ndilo anasema katika mstari wa tatu. Sasa maneno “Hapo mwanzo” yanamaanisha: Kabla ya kiumbe chochote, alikuwako Neno, ambaye ni Mwana wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kumbuka: “Haya yameandikwa ili mpate kuamini kuwa Yesu ni Kristo, ''Mwana wa Mungu”'' (Yohana 20:31). Yohana anaanzisha Injili yake kwa kumtambua Yesu, ambaye ni Kristo, Mwana wa Mungu, kulingana na kuwepo, yaani ''kabla ya'' wakati. Yuda anafurahia katika ukweli huu kwa sifa kuu: “Yeye Mungu pekee, mwokozi wetu kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza, na mamlaka vina Yeye tangu milele, sasa hata milele. Amina” (Yuda 1:25). Paulo anasema katika 2 Timotheo 1:9 kuwa Mungu alitupatia neema kupitia Kristo Yesu “kabla ya wakati wa jadi.” Sasa kabla ya wakati wowote ama kiumbe chochote Alikuwa Neno, Yesu Kristo, Mwana wa Mungu. Yey ndiye tutakutana naye katika Injili hii.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2) ''''''Kiini cha''''''Utambulisho''''''Wake'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari 1, mwishoni: “Neno alikuwa Mungu.” Alama mojawapo katika Injili hii ni kuwa mambo yenye uzito mkuu yanaletwa kwa maneno rahisi sana. Haingeweza kuwa rahisi zaidi ya hii—na haingekuwa na uzito zaidi. Neno, ambaye alifanyika kuwa nyama anaishi kati yetu, Yesu Kristo, alikuwa, na bado ni Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha ijulikane kwa sauti kuu na iwe wazi kuwa katika mji wa Bethlehemu—hakika , katika makanisa yote ya Kristo ya kweli—tunaabudu Yesu kristo kama Mungu. Tunaanguka chini na Thomasi mbele ya Yesu katika Yohana 20:28 na kukiri kwa furaha na mshangao, “Bwana wangu na Mungu wangu!”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wakati tunasikia viongozi wa Kiyahudi wakisema katika Yohana 10:33, “Hatukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyoyatenda, bali ni kwa kuwa umekufuru. Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu,” Tunalia tukisema, “La hii ''sio'' kufuru. Ndiye Yeye, mwokozi wetu, Bwana wetu, Mungu wetu.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je, unaona kile hiki kinamaanisha katika msururu wetu juu ya Injili ya Yohana? Inamaanisha kuwa tutachukua wiki baada ya wiki tukitafuta kujua Mungu, vile tunaendelea kumjua Yesu. Je unataka kumjua Mungu? Njoo nasi, na ualike wengine, waje wakutane na Mungu, tunapokutana na Yesu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Iwapo Mshahidi wa Jehova ama Muislamu atakuambia: “Hii ni tafsiri isiyo ya kweli. Halingelisoma, “Neno Alikuwa Mungu.” inafaa isome “neno ilikuwa mungu” Kuna njia hapa ya katika andiko ambalo inaweza kufanya ujue lililo uwongo hata kama hufahamu kigiriki. Nitawaonyesha baada ya muda si mrefu kama neno la mwisho. Lakini kwanza tuangalie uhusiano wake na Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3) Uhusiano Wake na Mungu'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari 1, katikati ya mstari: “Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu.” “Hapo mwanzo alikuwa Neno, na huyo ''neno alikuwa pamoja na Mungu'', naye Neno alikuwa Mungu.” Huu ndio moyo wa torati kuu la Utatu. Siku moja ninaweza kuhubiri ujumbe kuhusu torati hii mbali na Yohana na maandiko mengine. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini kwa sasa wacha tu neno hili la wazi likadumu ndani ya akili yako na moyoni mwako. Neno, Yesu Kristo alikuwa pamoja na Mungu, na Alifanyika Mungu. Naye ni Mungu, na ni mfano wa Mungu, anadhihirisha kikamilifu yale ambayo ni Mungu na Anasimama wima kutoka milele kama ukamilifu wa hali mmoja ya kiungu na watu watatu—jopo tatu la ufahamu. Mbili kati yao yametajwa hapa. Baba na Mwana. Tutajifundisha majina hayo baadaye katika kitabu hiki. Roho mtakatifu atazungumziwa baadaye.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ingawa tunaona taswira kama ya kwenye kioo na tunamfahamu kwa sehemu (1 Wakorintho 13:9, 12), usishangae kama haya yanabaki yasijulikane. Lakini usiitupilie mbali. Kama Yesu kristo si Mungu, hangeweza kutimiliza wokovu wako (Waebrania 2:14-15). Na utukufu wake haungetosha kusababisha tamaa yako ya milele ya uvumbuzi mpya wa urembo. Ukitupilia mbali, uungu wa Yesu Kristo, unatupilia roho yako na furaha yako ya miaka ijayo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tumeona 1) wakati wa kuwepo kwake (kabla ya nyakati zote), 2) maana ya utambulisho wake (neno alikuwa Mungu), na 3) uhusiano wake na Mungu (Neno alikuwa pamoja na Mungu). Sasa tunamalizia na uhusiano Wake na ulimwengu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''4) Uhusiano Wake na Ulimwengu''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari 2-3: “Tangu mwanzo huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu. Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye, wala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa.” Neno akafanyika mwili na kukaa ndani yetu, akatufundisha, akatuponya, kutukemea, kutulinda, akatufilia, ''aliumba'' Dunia. Kumbuka kuhifadhi fumbo [siri] kwa Utatu kuanzia msitari wa 1. Usiiachilie mara tu utakapofika katika mstari wa tatu. “Vyote viliumbwa kwa Yeye” Kweli, mwingine alikuwa akitenda ''kupitia'' Neno. Mungu alikuwa. Lakini Neno ni Mungu. Basi, usijiruhusu kuzima ukuu wa kazi ya Kristo kama Muumba. Alikuwa mwakilishi wa Baba, ama ''Neno'', katika uumbaji wa vitu vyote. Lakini katika kuifanya, Alikuwa Mungu. Mungu Neno , Aliumba dunia. Mwokozi wako, Bwana wako, Rafiki yako—Yesu ni muumbaji wako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yesu Hakuumbwa ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa, ikiwa Muislamu ama Mshahidi wa Yehova ama mtu wa dhehebu lolote la Ariania (neno la zama za kale la karne ya nne ambalo haliambatani na imani) akisema, “Yesu hakuwa Mungu, hakuwa wa milele—si asiyeumbwa—bali Yesu aliumbwa. Alikuwa wa kwanza katika maumbile. Mkuu wa malaika wakuu” ama vile waarania walivyosema kuwa, “Kulikuwa wakati hakuwa.” Yohana ameandika mstari 3 kwa uwazi ambao umeifanya hiyo iwe wa kutowezekana.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hakusema tu, “Vitu vyote viliuimbwa kwa Yeye.” Unaweza kufikiri kuwa hiyo inaweza kuikamilisha. Yeye sio kiumbe; aliumba viumbe. Lakini mwingine anaweza kusema kwa kuashiria kuwa, “kweli, lakini ‘kila chochote’ hakimjumulishi hata Yeye. Inajumulisha kila kitu ila tu Yeye. Basi aliumbwa na Baba, lakini pamoja na Baba akaumba vitu vingine vyote.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini Yohana hakuiachilia hapo. Kwa kuongezea, alisema (katika sehemu ya mwisho wa mstari wa 3), “ . . . wala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ''ambacho kimeumbwa.''” Maneno ya mwisho yanasemaje “ambacho kimeumbwa” ukiongeza na maana ya “wala pasipo yeye hakuna chochote kilichoumbwa?” “wala pasipo yeye hakuna chochote kilichoumbwa ''ambacho kimeumbwa''” wanaongeza hili: Wanakifanya kionekane na kijidhihirishe kuwa ''chochote'' katika kikundi hiki cha ''kuumbwa'', Kristo alikiumba. Hivyo basi, Kristo hakuumbwa. Kwa sababu kabla ya kuwepo, huwezi ukajileta kuwa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kristo hakuumbwa. Hilo ndilo linamaanisha kuwa Mungu. Na Neno alikuwa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Bwana na atusaidie tuone utukufu wake. Na tumwabudu. Amina.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Hapo_Mwanzo,_Alikuwako_Neno</id>
		<title>Hapo Mwanzo, Alikuwako Neno</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Hapo_Mwanzo,_Alikuwako_Neno"/>
				<updated>2018-07-02T20:10:19Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|In the Beginning Was the Word}}  &amp;lt;blockquote&amp;gt; Hapo mwanzo alikuwako Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye neno alikuwa Mungu. 2 Tangu mwanzo huyo Neno alikuwa pamo...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|In the Beginning Was the Word}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Hapo mwanzo alikuwako Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye neno alikuwa Mungu. 2 Tangu mwanzo huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu. 3. Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye, wala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Habari ya Yohana Mtakatifu ni picha ya Kristo Yesu na kazi zake za kuokoa. Inaongea kuhusu miaka mitatu ya mwisho ya maisha ya Yesu—na hasa juu ya kifo na ufufuo wake. Jukumu lake ni wazi katika Yohana 20: 30-31: “ Yesu alifanya Miujiza mengine mingi mbele za wanafunzi wake, ambayo haikuandikwa katika kitabu hiki. Lakini haya yameandikwa ili muweze kuamini ya kuwa Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu na kumwamini mpate uzima katika Jina lake.” Kitabu hiki kimeandikwa kusaidia watu kuamini Kristo na kupokea uzima wa milele.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kimeandikwa kwa Wakristo na wasio Wakristo ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Usifikiri kuwa kitabu hiki kimeandikwa tu kwa wasioamini. Waaminiyo Yesu lazima waendelee kuamini ndipo wapate waokolewe mwishoni. Yesu alisema katika Yohana 15:6. “Mtu yeyote asipokaa ndani yangu, hutupwa nje kama tawi na kunyauka. Matawi kama hayo hukusanywa na kutupwa motoni, yakateketea.” Na katika Yohana 8:3, Alisema, “Kama mkidumu katika maneno yangu, mtakuwa wanafunzi wangu kweli kweli.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa wakati Yohana anasema kwamba, “Haya yameandikwa ili mweze kuamini ya kuwa Yesu ndiye kristo, Mwana wa Mungu na kumwamini mpate uzima katika jina lake.” Alimaanisha kuwa alikuwa anaandika kuamsha imani kwa wasioamini na kudumisha imani kwa wanaoamin—na katika njia hiyo aelekeza wote uzimani milele. Na huenda kuwa hakuna kitabu kingine kizuri zaidi katika biblia ambacho kitakusaidia kuendelea kuamini na kumdhamini Kristo Yesu juu ya yote.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Neno la Shahidi ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Picha hii ya Yesu imeandikwa na shahidi ambaye aliyashuhudia matukio haya makuu. Mara tano katika Injili hii takatifu tunakumbana na maneno matano yasiyo ya kawaida. “mwanafunzi aliyependwa na Yesu.”(13:23; 19:26; 20:2,7, 21:20). Kwa mfano, mwishoni inasema katika Yohana 21:20 “Petro akageuka akamwona ''mwanafunzi aliyependwa na Yesu'' akiwafuata.” Mistari minne baadaye (21:240 inasema, “Huyu ndiye Yule mwanafunzi anayeshuhudia mambo haya na ndiye ambaye ameandika habari hizi.” Ni yule anaitwa “mwanafunzi aliyependwa na Yesu” ambaye alikuwa ameegema kifuani Mwake walipokula naye chakula cha mwisho (13:23)—Aliandika kitabu hiki kwa uweza wa Mungu ili iwe kama kumbukumbu la matukio ya maisha ya Yesu na yale yalimaanisha kwetu sisi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kupewa ari ya Kiungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu mmoja ya kufanya uiseme ''imepewa ari ya kiungu'' ni kuwa haya ndiyo Yesu aliahidi kutenda. Alisema katika Yohana 14:26, “Lakini huyo msaidizi, yaani, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwenu kwa jina langu, atawafundisha mambo yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia. Katika Yohana 16:13, alisema, “Atakapokuja huyo Roho wa kweli atawaongoza awatie katika kweli yote. Yeye hatanena kwa ajili yake mwenyewe, bali atanena yale yote atakayosikia, naye atawaonyesha mambo yajayo.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa neno lingine, Yesu aliteua mitume wake kama waakilishi wake, akawaokoa, akawafundisha, akawatuma, na akawapeana kupitia Roho Mtakatifu, mwongozo wa kiroho katika kuandika nyaraka kwa msingi wa kanisa/jiwe la pembeni (Waefeso 2:20). Tunaamini kuwa Injili ya Yohana ndilo neno lililopewa ari ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mistari Mitatu ya Utangulizi Katika Yohana Mtakatifu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Maneno hayo—“Neno la Mungu”—yanatuleta katika maneno ya kwanza ya Injili ya Yohana. Yohana 1:1-3, “Hapo mwanzo, Alikuwako Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. 2. Tangu mwanzo huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu. 3. Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye, wala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa. Mistari hii ndio tutaangalia kwa leo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== “Neno”: Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwanza tunatazama tamshi ''Neno'' “Hapo mwanzo, Alikuwako Neno” jambo la muhimu zaidi ya kujua juu ya hili Neno linapatikana katika aya ya 14: “Na Neno likafanyika mwili, akakua miongoni mwetu, nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba, amejaa neema na Kweli.” Neno inamaanisha Kristo Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yohana anajua yale anataka kuandika katika milango hii 21. Anaendelea kutuambia hadithi kuhusu kazi za Yesu Kristo na huduma yake. Hiki ni kitabu kuhusu maisha na huduma ya Yesu Kristo—mtu ambaye Yohana alimfahamu, akamwona, akamsikikiza na kumguza na mkono wake (1 Yohana 1:1). Alikuwa na nyama na damu. Hakuwa pepo ama kiumbe pepo linaloonekana na kisha kutoweka. Alikuwa anakunywa na kuchoka na Yohana alimjua kwa undani. Mamake Yesu aliishi na Yohana sehemu za mwisho ya maisha yake (Yohana 19:26).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi, yale Yohana anafanya katika Yohana 1:1-3 ni kutambua mambo ya hakiaka kuhusu Yesu vile anaweza. Ilimchukua Yohana zaidi ya miaka tatu kufahamu ukamilifu wa vile Yesu yupo. Lakini hataki wasomaji wake wachukue zaidi ya mistari mitatu kuelewa yale yaliyomchukua muda mrefu kufahamu. Anataka mawazoni mwetu tuwe, wazi na kudumu, kuanzia mwanzo wa injili yake, utukufu wa milele, mkimo wa Mungu na haki ya muumbaji wetu yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yesu katika Utakatifu Wake  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hilo ndilo jambo katika mstari 1-3. Anatuhitaji tusome injili hii kwa kuabudu, kwa kunyenyekea, kwa unyofu, kwa uoga, kuwa kijana harusini na kisimani na milimani ndiye muumba wa dunia. Je unasikia na kuhisi haya. Huu sio mpango wangu. Huu sio mpangilio yangu ya mafundisho. Ni muundo wa kitabu hiki. Yohana aliandika hivi—jinsi Mungu alikusudia aiweke pamoja. Wewe pamoja nami tungeliandika kwa njia ya kufanya kitambulisho ya Yesu ikue pole pole kwa wasomaji ili washangae, ''Huyu Mtu ni nani?'' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini Yohana anakataa. “katika neno langu la kwanza, nitakushtua, na kukupoteza na kitambulisho cha huyu Mtu ambaye alifanyika nyama na kuishi miongoni mwetu. Basi hakuna kukosea.” Yohana anatuhitaji tusome neno la Injili hii kwa uwazi, umoja na maarifa kwamba Yesu kristo alikuwa pamoja na Mungu na alikuwa Mungu na akatoa uhai wake kwa ajili Yetu (Yohana 15:13) aliumba dunia. Yohana anataka ujue na kuamini Mwokozi mwema. Chochote ambacho unaweza kufurahia juu ya Yesu, Yohana anataka ufahamu na kuthamini Yesu katika utukufu wake mkuu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kwa Nini “Neno”? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini yafaa tuulize tena, ''kwa nini aliamua kuita Yesu “Neno”''? “Hapo mwanzo alikuwako Neno.” Jibu langu kwa hili swali ni hili: Yohana anamwita Yesu''Neno'' kwa sababu alikwisha kuona maneno ya Yesu kama ukweli wa Mungu na maumbile ya Yesu kama ukweli wa Mungu katika njia ya kijumla mpaka Yesu mwenyewe—katika kuja kwake, na huduma yake, mafundisho yake, kifo chake na kufufuka—''alikuwa Neno la mwisho na uamuzi wa Mungu.'' Ama liweke hivi: ''yale Mungu alikusudia kutuambia sio tu yale Yesu alisema, lakini yule Yesu alikuwa na yale aliyoyatenda.'' Maneno yake yalimweleza wazi na huduma yake. Lakini Yeye mwenyewe na huduma yake ndio ukweli kamili Mungu alikuwa anadhihirisha. Mimi ni kweli Yesu akasema (Yohana 14:6)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Alikuja kushuhudia ukweli (Yohana 18:37) na Yeye ndiye kweli (Yohana 14:6). Ushuhuda Wake na maumbile Yake yalikuwa Neno la kweli. Alisema, “ Kama mkidumu katika maneno yangu, mtakuwa wanafunzi wangu wa kweli” (Yohana 8:31), na akasema, “Kaa ndani yangu (Yohana 15:7). Tunapodumu ndani ya Yesu, tunadumu ndani ya Neno lake. Anasema kazi zile afanyazo, “zinashuhudia” juu yake.(Yohana 5:36; 10:25). Kwa maneno mengine, katika huduma yake alikuwa Neno.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yesu: Ujumbe wa Mungu Dhahiri na wa Mwisho ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Katika Ufunuo 19:13 (lililoandikwa na mwandishi mmoja na Injili), anafafanua kurudi kwa Yesu kwa utukufu, “Alikuwa amevaa vazi lililochovywa kwenye damu na jina lake ni ''Neno la Mungu.”'' Yesu anaitwa ''Neno la Mungu,'' wakati anaporudi duniani. Mistari miwili baadaye Yohana anasema “Kinywani mwake mlitoka upanga mkali” (Ufunuo 19:15). Maanake, Yesu anayaangusha mataifa kwa nguvu za Neno la Mungu analolinena—upanga wa Roho mtakatifu (Waefeso 6:17). Lakini nguvu za neno hili limeunganika na Yesu mwenyewe na Yohana anasema kuwa hana tu upanga wa Neno la Mungu litokalo kinywani mwake, lakini Yeye ndiye Neno la Munugu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo Yohana anapoanzisha Injili yake, anayo dhihirisho yote ya ufunuo, ukweli yote, ushuhuda yote, utukufu yote, nuru yote, maneno yote yatokayo kwa Yesu kupitia kuishi kwake, mafundisho yake, kifo chake na kufufuka kwake, anajumulisha ufunuo yote ya Mungu kwa jina: “Yeye ndiye Neno”—mwanzo, mwisho, wakipekee, bila pingamizi, kweli mtupu na Neno la kuaminika. Maana yake ni sawa na Waebrania 1:1-2: “Zama za kale, Mungu alisema na babu zetu kwa njia ya Manabii mara nyingi na kwa njia mbali mbali, lakini katika siku hizi za mwisho anasema nasi kwa njia ya Mwanawe.” Mwana wa Mungu aliyefanyika binadamu ni uhondo wa Mungu na Neno lake kwa ulimwengu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Maelezo Manne kuhusu Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa ni jambo gani ya kwanza ambayo Yohana anataka kutuambia kuhusu Yesu kristo ambaye matendo yake na maneno yake yanajaza nakala za injili hii? Anataka kutueleza mambo manne kuhusu Kristo Yesu: 1) wakati wa kuwepo kwake 2) maana ya kitambulisho chake 3) uhusiano wake na Mungu 4) uhusiano wake kwa walimwengu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1) Wakati wa Kuwepo Kwake'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari 1: “Hapo mwanzo alikuweko Neno.” Maneno “Hapo mwanzo” yanafanana kwa kigiriki na maneno mawili ya kwanza katika agano la kale la kigiriki: “Hapo mwanzo, Mungu aliumba mbingu na dunia.” Sio ajali, kwa sababu jambo la kwanza Yohana anaenda kutuambia kuwa yesu alifanya ni kuumba dunia. Hilo ndilo anasema katika mstari wa tatu. Sasa maneno “Hapo mwanzo” yanamaanisha: Kabla ya kiumbe chochote, alikuwako Neno, ambaye ni Mwana wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kumbuka: “Haya yameandikwa ili mpate kuamini kuwa Yesu ni Kristo, ''Mwana wa Mungu”'' (Yohana 20:31). Yohana anaanzisha Injili yake kwa kumtambua Yesu, ambaye ni Kristo, Mwana wa Mungu, kulingana na kuwepo, yaani ''kabla ya'' wakati. Yuda anafurahia katika ukweli huu kwa sifa kuu: “Yeye Mungu pekee, mwokozi wetu kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza, na mamlaka vina Yeye tangu milele, sasa hata milele. Amina” (Yuda 1:25). Paulo anasema katika 2 Timotheo 1:9 kuwa Mungu alitupatia neema kupitia Kristo Yesu “kabla ya wakati wa jadi.” Sasa kabla ya wakati wowote ama kiumbe chochote Alikuwa Neno, Yesu Kristo, Mwana wa Mungu. Yey ndiye tutakutana naye katika Injili hii.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2) ''''''Kiini cha''''''Utambulisho''''''Wake'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari 1, mwishoni: “Neno alikuwa Mungu.” Alama mojawapo katika Injili hii ni kuwa mambo yenye uzito mkuu yanaletwa kwa maneno rahisi sana. Haingeweza kuwa rahisi zaidi ya hii—na haingekuwa na uzito zaidi. Neno, ambaye alifanyika kuwa nyama anaishi kati yetu, Yesu Kristo, alikuwa, na bado ni Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha ijulikane kwa sauti kuu na iwe wazi kuwa katika mji wa Bethlehemu—hakika , katika makanisa yote ya Kristo ya kweli—tunaabudu Yesu kristo kama Mungu. Tunaanguka chini na Thomasi mbele ya Yesu katika Yohana 20:28 na kukiri kwa furaha na mshangao, “Bwana wangu na Mungu wangu!”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wakati tunasikia viongozi wa Kiyahudi wakisema katika Yohana 10:33, “Hatukupigi mawe kwa sababu ya mambo mema uliyoyatenda, bali ni kwa kuwa umekufuru. Wewe ingawa ni mwanadamu unajifanya kuwa Mungu,” Tunalia tukisema, “La hii ''sio'' kufuru. Ndiye Yeye, mwokozi wetu, Bwana wetu, Mungu wetu.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je, unaona kile hiki kinamaanisha katika msururu wetu juu ya Injili ya Yohana? Inamaanisha kuwa tutachukua wiki baada ya wiki tukitafuta kujua Mungu, vile tunaendelea kumjua Yesu. Je unataka kumjua Mungu? Njoo nasi, na ualike wengine, waje wakutane na Mungu, tunapokutana na Yesu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Iwapo Mshahidi wa Jehova ama Muislamu atakuambia: “Hii ni tafsiri isiyo ya kweli. Halingelisoma, “Neno Alikuwa Mungu.” inafaa isome “neno ilikuwa mungu” Kuna njia hapa ya katika andiko ambalo inaweza kufanya ujue lililo uwongo hata kama hufahamu kigiriki. Nitawaonyesha baada ya muda si mrefu kama neno la mwisho. Lakini kwanza tuangalie uhusiano wake na Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3) Uhusiano Wake na Mungu'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari 1, katikati ya mstari: “Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu.” “Hapo mwanzo alikuwa Neno, na huyo ''neno alikuwa pamoja na Mungu'', naye Neno alikuwa Mungu.” Huu ndio moyo wa torati kuu la Utatu. Siku moja ninaweza kuhubiri ujumbe kuhusu torati hii mbali na Yohana na maandiko mengine. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini kwa sasa wacha tu neno hili la wazi likadumu ndani ya akili yako na moyoni mwako. Neno, Yesu Kristo alikuwa pamoja na Mungu, na Alifanyika Mungu. Naye ni Mungu, na ni mfano wa Mungu, anadhihirisha kikamilifu yale ambayo ni Mungu na Anasimama wima kutoka milele kama ukamilifu wa hali mmoja ya kiungu na watu watatu—jopo tatu la ufahamu. Mbili kati yao yametajwa hapa. Baba na Mwana. Tutajifundisha majina hayo baadaye katika kitabu hiki. Roho mtakatifu atazungumziwa baadaye.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ingawa tunaona taswira kama ya kwenye kioo na tunamfahamu kwa sehemu (1 Wakorintho 13:9, 12), usishangae kama haya yanabaki yasijulikane. Lakini usiitupilie mbali. Kama Yesu kristo si Mungu, hangeweza kutimiliza wokovu wako (Waebrania 2:14-15). Na utukufu wake haungetosha kusababisha tamaa yako ya milele ya uvumbuzi mpya wa urembo. Ukitupilia mbali, uungu wa Yesu Kristo, unatupilia roho yako na furaha yako ya miaka ijayo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tumeona 1) wakati wa kuwepo kwake (kabla ya nyakati zote), 2) maana ya utambulisho wake (neno alikuwa Mungu), na 3) uhusiano wake na Mungu (Neno alikuwa pamoja na Mungu). Sasa tunamalizia na uhusiano Wake na ulimwengu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''4) Uhusiano Wake na Ulimwengu''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari 2-3: “Tangu mwanzo huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu. Vitu vyote viliumbwa kwa Yeye, wala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ambacho kimeumbwa.” Neno akafanyika mwili na kukaa ndani yetu, akatufundisha, akatuponya, kutukemea, kutulinda, akatufilia, ''aliumba'' Dunia. Kumbuka kuhifadhi fumbo [siri] kwa Utatu kuanzia msitari wa 1. Usiiachilie mara tu utakapofika katika mstari wa tatu. “Vyote viliumbwa kwa Yeye” Kweli, mwingine alikuwa akitenda ''kupitia'' Neno. Mungu alikuwa. Lakini Neno ni Mungu. Basi, usijiruhusu kuzima ukuu wa kazi ya Kristo kama Muumba. Alikuwa mwakilishi wa Baba, ama ''Neno'', katika uumbaji wa vitu vyote. Lakini katika kuifanya, Alikuwa Mungu. Mungu Neno , Aliumba dunia. Mwokozi wako, Bwana wako, Rafiki yako—Yesu ni muumbaji wako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yesu Hakuumbwa ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa, ikiwa Muislamu ama Mshahidi wa Yehova ama mtu wa dhehebu lolote la Ariania (neno la zama za kale la karne ya nne ambalo haliambatani na imani) akisema, “Yesu hakuwa Mungu, hakuwa wa milele—si asiyeumbwa—bali Yesu aliumbwa. Alikuwa wa kwanza katika maumbile. Mkuu wa malaika wakuu” ama vile waarania walivyosema kuwa, “Kulikuwa wakati hakuwa.” Yohana ameandika mstari 3 kwa uwazi ambao umeifanya hiyo iwe wa kutowezekana.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hakusema tu, “Vitu vyote viliuimbwa kwa Yeye.” Unaweza kufikiri kuwa hiyo inaweza kuikamilisha. Yeye sio kiumbe; aliumba viumbe. Lakini mwingine anaweza kusema kwa kuashiria kuwa, “kweli, lakini ‘kila chochote’ hakimjumulishi hata Yeye. Inajumulisha kila kitu ila tu Yeye. Basi aliumbwa na Baba, lakini pamoja na Baba akaumba vitu vingine vyote.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini Yohana hakuiachilia hapo. Kwa kuongezea, alisema (katika sehemu ya mwisho wa mstari wa 3), “ . . . wala pasipo Yeye hakuna chochote kilichoumbwa ''ambacho kimeumbwa.''” Maneno ya mwisho yanasemaje “ambacho kimeumbwa” ukiongeza na maana ya “wala pasipo yeye hakuna chochote kilichoumbwa?” “wala pasipo yeye hakuna chochote kilichoumbwa ''ambacho kimeumbwa''” wanaongeza hili: Wanakifanya kionekane na kijidhihirishe kuwa ''chochote'' katika kikundi hiki cha ''kuumbwa'', Kristo alikiumba. Hivyo basi, Kristo hakuumbwa. Kwa sababu kabla ya kuwepo, huwezi ukajileta kuwa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kristo hakuumbwa. Hilo ndilo linamaanisha kuwa Mungu. Na Neno alikuwa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Bwana na atusaidie tuone utukufu wake. Na tumwabudu. Amina.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ndoa:_Onyesho_la_Mungu_ya_Agano_itimizayo_neema</id>
		<title>Ndoa: Onyesho la Mungu ya Agano itimizayo neema</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ndoa:_Onyesho_la_Mungu_ya_Agano_itimizayo_neema"/>
				<updated>2018-06-22T20:16:56Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Ndoa: Onyesho la Mungu ya Agano itimizayo neema&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Marriage: God's Showcase of Covenant-Keeping Grace}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutotahiriwa kwa mwili wenu, Mungu aliwafanya hai pamoja naye, akiisha kutusamehe makosa yote: 14 akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushtaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu; akaliondowa lisiwepo tena, akaigongomea msalabani; 15 akisha kuzivua enzi na mamlaka na kuzifanya kuwa mkongo kwa ujasiri, akizishangilia katika msalaba huo . . . 3:12 Basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema unyenyekevu, upole, uvumilivu 13 Mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi. 14 Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo, ndiyo kifungo cha ukamilifu. 15 Na amani ya Kristo iamue moyoni mwenu, ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani. 16 Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; Huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu. 17 Na kila mfanyalo kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkishukuru Mungu baba kwa Yeye. 18 Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana. 19 Ninyi waume, wapendeni wake zenu msiwe na uchungu nao. &amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Yale tumeona kwa wiki mbili zilizopita ni kwamba, jambo la msingi sana unayo weza kusema kuhusu ndoa ni kwamba, ni tendo la Mungu na jambo la mwisho unaweza sema kuhusu ndoa ni kwamba ni ya onyesho la Mungu. Hoja haya mawili yamesemwa na Musa katika mwanzo 2. Lakini yanafanywa wazi sana na Yesu na Paulo katika agano jipya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yesu: Ndoa ni tendo la Mungu  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu aweka hoja hili sawa zaidi yakuwa ndoa ni tendo la Mungu. Mariko 10:6-9''', '''“ lakini tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, aliwafanya mume na mke.” [Mwanzo 1''':'''27]Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja [Mwanzo 2:24]. Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asitenganishe.” Msemo huu ni ya wazi na ya kueleweka kwa urahisi katika Bibilia yakuwa, ndoa si tendo tu la mwanadamu. Neno “alichokiunganisha” inamaanisha ni tendo la Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Paulo: Ndoa ni onyesho la Mungu  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo aweka hoja hii wazi na sawa zaidi yakuwa, ndoa imeundwa ili iwe onyesho la Mungu. Katika Waefeso 5:31-32, ananukuu Mwanzo 2:24 na kisha atuelezea kuhusu siri iliyositiriwa ambayo imekuwa nayo kila wakati. “Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja.” Siri hili lililo sitiriwa ni kuu, na nasema yakuwa Inaashiria Kristo na Kanisa.” Kwa njia nyingine, agano ambayo imehusishwa katika kuwaacha mama na baba na kuambatana na mke na kuwa mwili mmoja ni ishara ya agano kati ya Kristo na kanisa lake. Ndoa upo kabisa, kabisa kuonyesha agano ya upendo kati ya Kristo na kanisa lake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kielelezo ya Kristo na Kanisa  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nilimuliza Noel kama kuna chochote angependa niseme leo aksema. “hauwezi sema mara kwa mara yakuwa ndoa ni kielelezo ya Kristo na Kanisa.” Nadhani yuko sawa na kunayo angalau sababu tatu: 1) Hii inainuwa ndoa kutoka kwa picha za ''Sordid Sitcom ''na kuipa maana kuu zaidi ambayo Mungu alimaanisha iwe nayo: 2) Hii inapea ndoa msingi dhabiti katika neema, Kwa kuwa Mungu alimpata na kumlinda mchumba wake kwa neema pekee; 3) Hii inaonyesha yakuwa uongozi wa mume na kutii kwa mke ni muhimu na yamesulubishwa. Hii ni kusema, yamesukwa ndani ya maana ya ndoa kama onyesho ya Kristo na Kanisa, lakini yote mawili yameelezwa na kazi ya Kristo msalabani ili kibuuri yao na utumwa wao utupiliwe mbali. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tulitumia ujumbe mbili za kwanza kwa sababu hizi za kwanza: Kupeana msingi ya ndoa kama onyesho ya agano ya upendo wa Mungu. Ndoa ni agano kati ya mume na mke ambapo wana ahidiana kuwa waaminifu kama mume na mke katika upatanisho wa mwili mmoja kadri wanvyo ishi. Agano hili, limewekwa muhuri na ahadi za kweli na ya kumaanisha na kuungana ki ngono. Imeeeundwa kuonyesha neema ya mungu ya kulinda agano. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Msingi dhabiti katika neema  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiyo ndiyo mada ya siku ya leo; “Ndoa; Onyesho la Mungu kuhusu neema ilindavyo neema.” Basi tunaenda kwa sababu ya pili, niliyoeleza kuwa Noel alieleza ukweli ya kuwa huwezi kusema kila wakati, ndoa ni kielelezo ya Kristo na kanisa: kwa sababu ya kuwa hili lina ipa ndoa msingi dhabiti katika neema kwa sababu kuanzia kitambo Kristo alimpata na kumlinda bibi harusi kwa neema pekee. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa njia nyingine; hoja muhimu ya leo ni kuwa tangu a gano jipya ya Kristo na kanisa lake liiumbwa na kulindwa kwa neema iliyonunuliwa na damu, kwa hivyo, ndoa ya wanandamu yamemaanisha kuonyesha hiyo neema ya agano jipya. Na wanaionyesha kwa njia ya kupumzika kwa neema ya Mungu na kuikunja kutoka kwa kumlenga Kristo hadi uwepo unaomlenga mke na mume. Kwa mswemo mwingine ni kuwa, katika ndoa unaishi saa baada ya nyingine katika furaha ukiutumainia msamaha wa Mungu, na kufanywa haki na ahadi ya neema ya usoni, na unaelekeza kwa mke au mume wako kila saa baada ya nyingine—kama onyesho la msamaha wa Mungu na kufanywa haki na usaidizi ulio ahidiwa. Hiyo ndiyo hoja ya leo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kiini cha msamaha, Neema ifanyayo haki  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nina ufahamu ya kuwa wakristo wote wanafaa kufannya hili katika uhusiano wenu wote (Sio tu wakristo walio okoka): Ishi saa baada ya nyingine kwa neema ya Mungu ipeanayo yote na inayo samehe, ifanyayo haki na kisha uielekeze kwa wengine wote maishani mwako. Na Yesu asema kuwa maisha yetu yote ni onyesho ya utukufu wa Mungu (Matahyo 5:16). Lakini, njdoa imeundwa ili iwe onyesho la kipekee la agano ya neema ya Mungu, kwa sabau tofauti na uhusiano zingine zote za wanadamu, mke na mume wamefungwa na agano katika uhusiano wa karibu iwezekanavyo maishani mwao wote. Kunayo majukumu mengi ya kipekee ya uongozi na kutii, lakini hiyo si hoja langu leo. Hiyo itakuja baadaye. Leo na watazama mume na mke kama wakristo tu na siyo kama vile wanafanana kwaa kichwa na mwili. Kabla mume na mke kutenda yale yako kwenye maandiko na kwa neema ya kipekee matendo ya ukichwa na kutii, wanafaa kugundua maana ya kujenga maisha yao kwa uwepo shazari ya msamaha na kufanywa haki na usaidizi ulio ahidiwa na kisha waukunje nje kwa usambamba kwa wachumba wao. Hiyo ndio mtazamo wetu leo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Au kuiweka kwa mtazamo wa ujumbe wa wiki uliopita: Ufunguo wa kuwa uchi na bila aibu. (Mwanzo 2:25), Wakati, kwa uhakika, mume na mke wanatenda matendo ambayo wanapaswa kuaibika kwayo, ni uwepo shazari wa msamaha wa Mungu, neema ifanyayo haki umekunjwa nje kwa usambamba kwa kila mmoja na kuonyeshwa ulimwenguni. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ghadhabu ya Mungu inayokuja  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa ufupi, acha tuone msingi huu wa ukweli katika Wakolosai. Tutaanza na Wakolosai 3:6''',''' “Kwaajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.&amp;quot; Ukisema yakuwa, “Kitu cha mwisho ningependa kusikia kuhusu ndao yangu ni ghadhabu ya Mungu,” Wewe ni kama mvuvi ambaye ameshushwa moyo katika magharibi ya bahari kule Indonesia wakati wa Desemba 26, 2004, ukisema “Kitu cha mwisho ningependa kusikia katika biashara yangu hii ya uvuvi yenye shida nyingi ni Tsunami.” Kuelewa kwa njia kuu na uwoga wa ghadhabu ya Mungu ndio kwa hakika yale ndoa nyingi yana hitaji, kwa sababu bila hiyo, injili itakuwa imetiwa maji hadi kiwango cha uhusiano iwe kati ya wanadamu tu na kupoteza utukufu wake wa kibiblia. Na bila hiyo, utajaribu kufikiria kuwa ghadhabu yako—hasira yako—dhidi ya mke au mume wako ni kuu zaidi kupita, kwa sababu hauja onja kwa hakika na kuona ghadhabu kuu zaidi ambayo imeshindwa na neema, mfano, ghadhabu ya Mungu dhidi yako. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ondoleo la ghadhabu ya Mungu  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivo tunaanza na ghadhabu ya Mungu na Ondoleo lake. Sasa rejea nami kule Wakolosai 2:13-14, “ Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutotairiwa kwa mwili wenu, aliwafanya hai pamoja naye [Kristo], akiisha kutu samehe makosa yote; akiisha kuifuta ile hati ilioandikwa kutushtaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu, akaiondoa isiwepo tena akaigongomea msalabani.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Maneno hayo ya mwisho ndio ya msingi zaidi. Hati hii ya deni ambayo ilisimama dhidi yetu—Mungu aliweka kando na kuigongomea msalabani. Ulitendeka wakati gani? Miaka elfu mbili iliyopita. Haikufanyika ndani yako, na haikufanyika na usaidizi kutoka kwako. Mungu alikufanyia hayo na pasipo wewe kabla hata uzaliwe, hii ndiyo kiini kuu zaidi ya uwokovu wetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hati ya deni imefutiliwa mbali msalabani  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hakikisha unaona hii ukweli nzuri zaidi na ya kushangaza zaidi kushinda zote: Mungu alichukuwa hati ya dhambi zetu zote ambayo ilikufanya mwenye deni kwa ghadhabu (Dhambi ni matendo maovu dhidi ya Mungu ambayo inaleta ghadhabu yake kwetu), na badala ya kuibeba mbele ya uso wako na kuitumia kama lesesni ya kukutupa jehanamu, anauweka katika kiganja cha mwanawke na kuweka msumari kwayo msalabani. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Dhambi za nani ziligongomewa msalabani? Dhambi za nani ziliteswa msalabani? Jibu! Dhambi zangu na Dhambi za Noeli—Dhambi za Mike wangu na dhambi zangu—Dhambi za wale wote wamekata tama ya kujiokoa wenyewe na kumtumainia Kristo pekee. Mikono ya nani ilipigwa misumari msalabani? Nani aliteswa msalabani? Yesu ndiye. kunayo jina rembo kwa hili. Linaitwa mbadala. Mungu aklihukumu dhambi zangu katika mwili wa Kristo (Warumi 8:3) Mabwana, hamuwezi kuamini haya kwa nguvu, mabibi hamuwezi kuamini haya kwa nguvu sana. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuhesabiwa haki ni zaidi ya msamaha  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na tukirudi nyuma na tutoe hapo kuelewa kwetu kwa kufanywa haki kutoka kwa Warumi twaweza sema mengi. Kuhesabiwa haki inaenda zaidi ya msamaha, hatujasamehewa tu kwa sababu ya Kristo bali Mungu anatuhesabu watakatifu kwa sababu ya Kristo. Mungu anahitaji mambo mawili kutoka kwetu: Kuadhibiwa kwa dhambi zetu na kuwa bila mawaa maishani mwetu. Dhambi zetu lazima ziadhibiwe na maisha yetu lazima iwe takatifu. Lakini hatuwezi beba dhawabu yetu sisi (Zaburi 49:7-8), na hatuwezi peana utakatifu wetu wenyewe. Hakuna mtakatifu hata mmoja (Warumi 3:10). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi, Mungu kwa upendo wake usio na kipimo alitupa mwanawe kufanya yote mawili. Kristo anabeba adhabu zetu na tena Kristo anafanya utakatifu wetu. Na tunapompokea Kristo (Yohana1:12), adhabu zetu zote na utakatifu wake wote unahesabiwa kwetu (Warumi 4:6; 5:19;5:1'''; '''8:1'''; '''10:14; Wafilipi 3:8-9; 2 Wakorintho 5:21). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kufanywa haki ambao umeelekezwa nje  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ni ukweli shazari ambayo inafaa kuelezwa nje kwa usambaba kwa wake na waume wetu, ikiwa ndoa inapaswa kuonyesha kutengenezwa kwa agano na agaano inayolinmda neema ya Mungu. Tunaona haya katika Wakolosai 3:12-13, “basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, Watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu, mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyo wasamehe ninyi vivyo na ninyi.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
“Kama Bwana alivyo wasamehe ninyi, vivyo na ninyi”— Kwa mke au mume wako. Kama vile Mungu anavyo wastahimmili nanyi pia inafaa kumstahimili mke au mume wako. Mungu anakustahimili kila siku unapo pungua kufikia mapenzi yake. Kwa kweli, umbali ya yale Mungu ana tarajia kutoka kwako na yale unafanikiwa kutenda ni kuu zaidi kuliko umbali ya yale unatarajia kutoka kwa mke au mume wako na yale anafanikiwa kutenda. Kristo kila wakati anasamehe zaidi na anastahimili mengi kutuliko. Samehe jinsi ulivyo samehewa. Stahimili jinsi anavyo stahimili nawe. Hili linabakia hata kama umeolewea na mwamini au asiyeamini. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Acha kiwango cha neema ya Mungu kwako katika msalaba wa Kristo iwe kiwango cha neema yako kwa mke au mume wako na ikiwa umeolewa na mwamini unaweza ongeza haya: kama vile Bwana anakuhesabu mwenye haki katika Kristo, ingawa hauko katika tabia au mawazo asili, kwa hivyo, hesabu mke au mume wako mwenye haki katika Kristo ingawa yeye siyo hivyo—Kwa njia nyingine, Wakolosai 3 yasema, Chukua neema shazari ya msamaha na kufanywa haki na kuyaelekeza nje kwa usambamba kwa mke au mume wako. Hii ndiyo sababu ya ndoa, kwa hatima zaidi—Onyesho la agano ifanyayo neema ya Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuhitajika kwa hekima iliyo na mizizii katika injili  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi hapa, ma mia ya hali ngumu hujitokeza na ambayo zinalilia hekima ya kindani ya kiroho ambayo ina mizizi katika ukweli wa injili na katika miaka nyingi ya uchungu na mapito ya Imani. Kwa maneno mengine, hakuna njia nyingine ningeweza kuwasilisha ujumbe huu, kwa mahitaji ya kila mtu. Kando na kuhubiri twahitaji roho mtakatifu, twahitaji maombi, twahitaji kutafakari neno, kwa ajili yetu sisi, tunahitaji kusoma hekima ya wengine, twahitaji ushauri wa marafiki walio na hekima na ambao wamepitia mateso, twahitaji kanisa itusaidie wakati kila kitu hafanyi kazi tena. Kwa hivyo sina uongo au udanganyifu yakuwa ninaweza kusema yote ambayo yanahitajika kusemwa ili ikusaidie. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuishi kwa ushazari kisha kuukunja nje  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Inaweza kusaidia kufunga kwa kupeana sababu kadhaa, kwa nini ninasisitiza agano ya upendo kama msamaha na kumhhesabu huyo mwingine mwenye haki. Je, siamini kufurahishwa katika huyo mtu mwingine? Ndio. Uzoefu na Bibilia inatusukuma pale. Ili uwe na uhakika Yesu ameoa Bi harusi wake amabaye ni kanisa, na kwa wazi inawezekana na pia ni vyema kumfurahisha Bwana (Wakolosai 1:10). Na kwa uhakika anastahili sana kutosheka kwetu ndani yake. Hili ndilo hali nzuri katika ndoa. Watu wawili wananyenyekea na kubadilika kwa njia ya uungu ambayo inamfurahisiha wake au waume wetu na kutosheleza mahitaji ya kimwili na hisia au kuwafurahisha kwa njia yote nzuri. Ndio. Uhusiano wa Kristo na Kanisa imehuhsisha hayo yote. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini sababu ya kusistiza kuishi kwa ushazari kutoka kwa neema ya Mungu na kisha kuukunja nje kwa usambamba wa msamaha na kufanywa haki kwa mke au mume wako 1) Kwa sababu kunaenda kuwa na mzozoo ambayo imesababiishwa na dhambi na kutokuwa kawaida (Na hamtaweza hata kukubaliana kati yenu kuhusu kile kisicho cha kawaida kati yenu na kilicho dhambi); na 2) Kwa sababu kazi ngumu na kisichonyooka ya kuvumilia na kusamehe ndio inauwezesha upendo kukuwa wakati unaonekana kuwa umekufa. 3) Kwa sababu Mungu anapata utukufu wakati watu wawili tofauti sana na wasio kamilifu wanatengeneza maisha ya uaminifu katika moto wa mateso kwa kumtegemea Kristo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Katika Kristo, Mungu amekusamehe wewe na mke au mume wako  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa ntaendelea kutoka hapa wakati mwingine na niwaambie kuhusu uvumbuzi ambayo mimi na Noel tulifanya. Natabiri ya kuwa ujumbe utaitwa “Ujumbe wa jaa la mbolea.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hadi wakati huo wake kwa waume wekeni ukweli haya kwenye dhamiri yenu—Ukweli makubwa kuliko shida yoyote katika ndoa yenu—yakuwa Mungu “ameshatusamehe makosa yetu yote kwa kufutilia mbali ile hati ya deni iliyosimama dhidi yetu na mahitaji yake ya kisheria. Hii aliuweka kando akaugongomea msalabani.” Amini haya na roho yako yote na uyakunje ukiyaelekezea mke au mume wako.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ndoa:_Onyesho_la_Mungu_ya_Agano_itimizayo_neema</id>
		<title>Ndoa: Onyesho la Mungu ya Agano itimizayo neema</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ndoa:_Onyesho_la_Mungu_ya_Agano_itimizayo_neema"/>
				<updated>2018-06-22T20:16:36Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: &lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Marriage: God's Showcase of Covenant-Keeping Grace}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutotahiriwa kwa mwili wenu, Mungu aliwafanya hai pamoja naye, akiisha kutusamehe makosa yote: 14 akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushtaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu; akaliondowa lisiwepo tena, akaigongomea msalabani; 15 akisha kuzivua enzi na mamlaka na kuzifanya kuwa mkongo kwa ujasiri, akizishangilia katika msalaba huo . . . 3:12 Basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema unyenyekevu, upole, uvumilivu 13 Mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi. 14 Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo, ndiyo kifungo cha ukamilifu. 15 Na amani ya Kristo iamue moyoni mwenu, ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani. 16 Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; Huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu. 17 Na kila mfanyalo kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkishukuru Mungu baba kwa Yeye. 18 Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana. 19 Ninyi waume, wapendeni wake zenu msiwe na uchungu nao. &amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Yale tumeona kwa wiki mbili zilizopita ni kwamba, jambo la msingi sana unayo weza kusema kuhusu ndoa ni kwamba, ni tendo la Mungu na jambo la mwisho unaweza sema kuhusu ndoa ni kwamba ni ya onyesho la Mungu. Hoja haya mawili yamesemwa na Musa katika mwanzo 2. Lakini yanafanywa wazi sana na Yesu na Paulo katika agano jipya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yesu: Ndoa ni tendo la Mungu  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu aweka hoja hili sawa zaidi yakuwa ndoa ni tendo la Mungu. Mariko 10:6-9''', '''“ lakini tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, aliwafanya mume na mke.” [Mwanzo 1''':'''27]Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja [Mwanzo 2:24]. Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asitenganishe.” Msemo huu ni ya wazi na ya kueleweka kwa urahisi katika Bibilia yakuwa, ndoa si tendo tu la mwanadamu. Neno “alichokiunganisha” inamaanisha ni tendo la Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Paulo: Ndoa ni onyesho la Mungu  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo aweka hoja hii wazi na sawa zaidi yakuwa, ndoa imeundwa ili iwe onyesho la Mungu. Katika Waefeso 5:31-32, ananukuu Mwanzo 2:24 na kisha atuelezea kuhusu siri iliyositiriwa ambayo imekuwa nayo kila wakati. “Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja.” Siri hili lililo sitiriwa ni kuu, na nasema yakuwa Inaashiria Kristo na Kanisa.” Kwa njia nyingine, agano ambayo imehusishwa katika kuwaacha mama na baba na kuambatana na mke na kuwa mwili mmoja ni ishara ya agano kati ya Kristo na kanisa lake. Ndoa upo kabisa, kabisa kuonyesha agano ya upendo kati ya Kristo na kanisa lake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kielelezo ya Kristo na Kanisa  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nilimuliza Noel kama kuna chochote angependa niseme leo aksema. “hauwezi sema mara kwa mara yakuwa ndoa ni kielelezo ya Kristo na Kanisa.” Nadhani yuko sawa na kunayo angalau sababu tatu: 1) Hii inainuwa ndoa kutoka kwa picha za ''Sordid Sitcom ''na kuipa maana kuu zaidi ambayo Mungu alimaanisha iwe nayo: 2) Hii inapea ndoa msingi dhabiti katika neema, Kwa kuwa Mungu alimpata na kumlinda mchumba wake kwa neema pekee; 3) Hii inaonyesha yakuwa uongozi wa mume na kutii kwa mke ni muhimu na yamesulubishwa. Hii ni kusema, yamesukwa ndani ya maana ya ndoa kama onyesho ya Kristo na Kanisa, lakini yote mawili yameelezwa na kazi ya Kristo msalabani ili kibuuri yao na utumwa wao utupiliwe mbali. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tulitumia ujumbe mbili za kwanza kwa sababu hizi za kwanza: Kupeana msingi ya ndoa kama onyesho ya agano ya upendo wa Mungu. Ndoa ni agano kati ya mume na mke ambapo wana ahidiana kuwa waaminifu kama mume na mke katika upatanisho wa mwili mmoja kadri wanvyo ishi. Agano hili, limewekwa muhuri na ahadi za kweli na ya kumaanisha na kuungana ki ngono. Imeeeundwa kuonyesha neema ya mungu ya kulinda agano. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Msingi dhabiti katika neema  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiyo ndiyo mada ya siku ya leo; “Ndoa; Onyesho la Mungu kuhusu neema ilindavyo neema.” Basi tunaenda kwa sababu ya pili, niliyoeleza kuwa Noel alieleza ukweli ya kuwa huwezi kusema kila wakati, ndoa ni kielelezo ya Kristo na kanisa: kwa sababu ya kuwa hili lina ipa ndoa msingi dhabiti katika neema kwa sababu kuanzia kitambo Kristo alimpata na kumlinda bibi harusi kwa neema pekee. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa njia nyingine; hoja muhimu ya leo ni kuwa tangu a gano jipya ya Kristo na kanisa lake liiumbwa na kulindwa kwa neema iliyonunuliwa na damu, kwa hivyo, ndoa ya wanandamu yamemaanisha kuonyesha hiyo neema ya agano jipya. Na wanaionyesha kwa njia ya kupumzika kwa neema ya Mungu na kuikunja kutoka kwa kumlenga Kristo hadi uwepo unaomlenga mke na mume. Kwa mswemo mwingine ni kuwa, katika ndoa unaishi saa baada ya nyingine katika furaha ukiutumainia msamaha wa Mungu, na kufanywa haki na ahadi ya neema ya usoni, na unaelekeza kwa mke au mume wako kila saa baada ya nyingine—kama onyesho la msamaha wa Mungu na kufanywa haki na usaidizi ulio ahidiwa. Hiyo ndiyo hoja ya leo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kiini cha msamaha, Neema ifanyayo haki  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nina ufahamu ya kuwa wakristo wote wanafaa kufannya hili katika uhusiano wenu wote (Sio tu wakristo walio okoka): Ishi saa baada ya nyingine kwa neema ya Mungu ipeanayo yote na inayo samehe, ifanyayo haki na kisha uielekeze kwa wengine wote maishani mwako. Na Yesu asema kuwa maisha yetu yote ni onyesho ya utukufu wa Mungu (Matahyo 5:16). Lakini, njdoa imeundwa ili iwe onyesho la kipekee la agano ya neema ya Mungu, kwa sabau tofauti na uhusiano zingine zote za wanadamu, mke na mume wamefungwa na agano katika uhusiano wa karibu iwezekanavyo maishani mwao wote. Kunayo majukumu mengi ya kipekee ya uongozi na kutii, lakini hiyo si hoja langu leo. Hiyo itakuja baadaye. Leo na watazama mume na mke kama wakristo tu na siyo kama vile wanafanana kwaa kichwa na mwili. Kabla mume na mke kutenda yale yako kwenye maandiko na kwa neema ya kipekee matendo ya ukichwa na kutii, wanafaa kugundua maana ya kujenga maisha yao kwa uwepo shazari ya msamaha na kufanywa haki na usaidizi ulio ahidiwa na kisha waukunje nje kwa usambamba kwa wachumba wao. Hiyo ndio mtazamo wetu leo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Au kuiweka kwa mtazamo wa ujumbe wa wiki uliopita: Ufunguo wa kuwa uchi na bila aibu. (Mwanzo 2:25), Wakati, kwa uhakika, mume na mke wanatenda matendo ambayo wanapaswa kuaibika kwayo, ni uwepo shazari wa msamaha wa Mungu, neema ifanyayo haki umekunjwa nje kwa usambamba kwa kila mmoja na kuonyeshwa ulimwenguni. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ghadhabu ya Mungu inayokuja  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa ufupi, acha tuone msingi huu wa ukweli katika Wakolosai. Tutaanza na Wakolosai 3:6''',''' “Kwaajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.&amp;quot; Ukisema yakuwa, “Kitu cha mwisho ningependa kusikia kuhusu ndao yangu ni ghadhabu ya Mungu,” Wewe ni kama mvuvi ambaye ameshushwa moyo katika magharibi ya bahari kule Indonesia wakati wa Desemba 26, 2004, ukisema “Kitu cha mwisho ningependa kusikia katika biashara yangu hii ya uvuvi yenye shida nyingi ni Tsunami.” Kuelewa kwa njia kuu na uwoga wa ghadhabu ya Mungu ndio kwa hakika yale ndoa nyingi yana hitaji, kwa sababu bila hiyo, injili itakuwa imetiwa maji hadi kiwango cha uhusiano iwe kati ya wanadamu tu na kupoteza utukufu wake wa kibiblia. Na bila hiyo, utajaribu kufikiria kuwa ghadhabu yako—hasira yako—dhidi ya mke au mume wako ni kuu zaidi kupita, kwa sababu hauja onja kwa hakika na kuona ghadhabu kuu zaidi ambayo imeshindwa na neema, mfano, ghadhabu ya Mungu dhidi yako. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ondoleo la ghadhabu ya Mungu  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivo tunaanza na ghadhabu ya Mungu na Ondoleo lake. Sasa rejea nami kule Wakolosai 2:13-14, “ Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutotairiwa kwa mwili wenu, aliwafanya hai pamoja naye [Kristo], akiisha kutu samehe makosa yote; akiisha kuifuta ile hati ilioandikwa kutushtaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu, akaiondoa isiwepo tena akaigongomea msalabani.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Maneno hayo ya mwisho ndio ya msingi zaidi. Hati hii ya deni ambayo ilisimama dhidi yetu—Mungu aliweka kando na kuigongomea msalabani. Ulitendeka wakati gani? Miaka elfu mbili iliyopita. Haikufanyika ndani yako, na haikufanyika na usaidizi kutoka kwako. Mungu alikufanyia hayo na pasipo wewe kabla hata uzaliwe, hii ndiyo kiini kuu zaidi ya uwokovu wetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hati ya deni imefutiliwa mbali msalabani  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hakikisha unaona hii ukweli nzuri zaidi na ya kushangaza zaidi kushinda zote: Mungu alichukuwa hati ya dhambi zetu zote ambayo ilikufanya mwenye deni kwa ghadhabu (Dhambi ni matendo maovu dhidi ya Mungu ambayo inaleta ghadhabu yake kwetu), na badala ya kuibeba mbele ya uso wako na kuitumia kama lesesni ya kukutupa jehanamu, anauweka katika kiganja cha mwanawke na kuweka msumari kwayo msalabani. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Dhambi za nani ziligongomewa msalabani? Dhambi za nani ziliteswa msalabani? Jibu! Dhambi zangu na Dhambi za Noeli—Dhambi za Mike wangu na dhambi zangu—Dhambi za wale wote wamekata tama ya kujiokoa wenyewe na kumtumainia Kristo pekee. Mikono ya nani ilipigwa misumari msalabani? Nani aliteswa msalabani? Yesu ndiye. kunayo jina rembo kwa hili. Linaitwa mbadala. Mungu aklihukumu dhambi zangu katika mwili wa Kristo (Warumi 8:3) Mabwana, hamuwezi kuamini haya kwa nguvu, mabibi hamuwezi kuamini haya kwa nguvu sana. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuhesabiwa haki ni zaidi ya msamaha  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na tukirudi nyuma na tutoe hapo kuelewa kwetu kwa kufanywa haki kutoka kwa Warumi twaweza sema mengi. Kuhesabiwa haki inaenda zaidi ya msamaha, hatujasamehewa tu kwa sababu ya Kristo bali Mungu anatuhesabu watakatifu kwa sababu ya Kristo. Mungu anahitaji mambo mawili kutoka kwetu: Kuadhibiwa kwa dhambi zetu na kuwa bila mawaa maishani mwetu. Dhambi zetu lazima ziadhibiwe na maisha yetu lazima iwe takatifu. Lakini hatuwezi beba dhawabu yetu sisi (Zaburi 49:7-8), na hatuwezi peana utakatifu wetu wenyewe. Hakuna mtakatifu hata mmoja (Warumi 3:10). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi, Mungu kwa upendo wake usio na kipimo alitupa mwanawe kufanya yote mawili. Kristo anabeba adhabu zetu na tena Kristo anafanya utakatifu wetu. Na tunapompokea Kristo (Yohana1:12), adhabu zetu zote na utakatifu wake wote unahesabiwa kwetu (Warumi 4:6; 5:19;5:1'''; '''8:1'''; '''10:14; Wafilipi 3:8-9; 2 Wakorintho 5:21). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kufanywa haki ambao umeelekezwa nje  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ni ukweli shazari ambayo inafaa kuelezwa nje kwa usambaba kwa wake na waume wetu, ikiwa ndoa inapaswa kuonyesha kutengenezwa kwa agano na agaano inayolinmda neema ya Mungu. Tunaona haya katika Wakolosai 3:12-13, “basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, Watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu, mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyo wasamehe ninyi vivyo na ninyi.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
“Kama Bwana alivyo wasamehe ninyi, vivyo na ninyi”— Kwa mke au mume wako. Kama vile Mungu anavyo wastahimmili nanyi pia inafaa kumstahimili mke au mume wako. Mungu anakustahimili kila siku unapo pungua kufikia mapenzi yake. Kwa kweli, umbali ya yale Mungu ana tarajia kutoka kwako na yale unafanikiwa kutenda ni kuu zaidi kuliko umbali ya yale unatarajia kutoka kwa mke au mume wako na yale anafanikiwa kutenda. Kristo kila wakati anasamehe zaidi na anastahimili mengi kutuliko. Samehe jinsi ulivyo samehewa. Stahimili jinsi anavyo stahimili nawe. Hili linabakia hata kama umeolewea na mwamini au asiyeamini. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Acha kiwango cha neema ya Mungu kwako katika msalaba wa Kristo iwe kiwango cha neema yako kwa mke au mume wako na ikiwa umeolewa na mwamini unaweza ongeza haya: kama vile Bwana anakuhesabu mwenye haki katika Kristo, ingawa hauko katika tabia au mawazo asili, kwa hivyo, hesabu mke au mume wako mwenye haki katika Kristo ingawa yeye siyo hivyo—Kwa njia nyingine, Wakolosai 3 yasema, Chukua neema shazari ya msamaha na kufanywa haki na kuyaelekeza nje kwa usambamba kwa mke au mume wako. Hii ndiyo sababu ya ndoa, kwa hatima zaidi—Onyesho la agano ifanyayo neema ya Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuhitajika kwa hekima iliyo na mizizii katika injili  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi hapa, ma mia ya hali ngumu hujitokeza na ambayo zinalilia hekima ya kindani ya kiroho ambayo ina mizizi katika ukweli wa injili na katika miaka nyingi ya uchungu na mapito ya Imani. Kwa maneno mengine, hakuna njia nyingine ningeweza kuwasilisha ujumbe huu, kwa mahitaji ya kila mtu. Kando na kuhubiri twahitaji roho mtakatifu, twahitaji maombi, twahitaji kutafakari neno, kwa ajili yetu sisi, tunahitaji kusoma hekima ya wengine, twahitaji ushauri wa marafiki walio na hekima na ambao wamepitia mateso, twahitaji kanisa itusaidie wakati kila kitu hafanyi kazi tena. Kwa hivyo sina uongo au udanganyifu yakuwa ninaweza kusema yote ambayo yanahitajika kusemwa ili ikusaidie. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuishi kwa ushazari kisha kuukunja nje  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Inaweza kusaidia kufunga kwa kupeana sababu kadhaa, kwa nini ninasisitiza agano ya upendo kama msamaha na kumhhesabu huyo mwingine mwenye haki. Je, siamini kufurahishwa katika huyo mtu mwingine? Ndio. Uzoefu na Bibilia inatusukuma pale. Ili uwe na uhakika Yesu ameoa Bi harusi wake amabaye ni kanisa, na kwa wazi inawezekana na pia ni vyema kumfurahisha Bwana (Wakolosai 1:10). Na kwa uhakika anastahili sana kutosheka kwetu ndani yake. Hili ndilo hali nzuri katika ndoa. Watu wawili wananyenyekea na kubadilika kwa njia ya uungu ambayo inamfurahisiha wake au waume wetu na kutosheleza mahitaji ya kimwili na hisia au kuwafurahisha kwa njia yote nzuri. Ndio. Uhusiano wa Kristo na Kanisa imehuhsisha hayo yote. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini sababu ya kusistiza kuishi kwa ushazari kutoka kwa neema ya Mungu na kisha kuukunja nje kwa usambamba wa msamaha na kufanywa haki kwa mke au mume wako 1) Kwa sababu kunaenda kuwa na mzozoo ambayo imesababiishwa na dhambi na kutokuwa kawaida (Na hamtaweza hata kukubaliana kati yenu kuhusu kile kisicho cha kawaida kati yenu na kilicho dhambi); na 2) Kwa sababu kazi ngumu na kisichonyooka ya kuvumilia na kusamehe ndio inauwezesha upendo kukuwa wakati unaonekana kuwa umekufa. 3) Kwa sababu Mungu anapata utukufu wakati watu wawili tofauti sana na wasio kamilifu wanatengeneza maisha ya uaminifu katika moto wa mateso kwa kumtegemea Kristo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Katika Kristo, Mungu amekusamehe wewe na mke au mume wako  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa ntaendelea kutoka hapa wakati mwingine na niwaambie kuhusu uvumbuzi ambayo mimi na Noel tulifanya. Natabiri ya kuwa ujumbe utaitwa “Ujumbe wa jaa la mbolea.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hadi wakati huo wake kwa waume wekeni ukweli haya kwenye dhamiri yenu—Ukweli makubwa kuliko shida yoyote katika ndoa yenu—yakuwa Mungu “ameshatusamehe makosa yetu yote kwa kufutilia mbali ile hati ya deni iliyosimama dhidi yetu na mahitaji yake ya kisheria. Hii aliuweka kando akaugongomea msalabani.” Amini haya na roho yako yote na uyakunje ukiyaelekezea mke au mume wako.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ndoa:_Onyesho_la_Mungu_ya_Agano_itimizayo_neema</id>
		<title>Ndoa: Onyesho la Mungu ya Agano itimizayo neema</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ndoa:_Onyesho_la_Mungu_ya_Agano_itimizayo_neema"/>
				<updated>2018-06-22T20:16:03Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|Marriage: God’s Showcase of Covenant-Keeping Grace}}  &amp;lt;blockquote&amp;gt; Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutotahiriwa kwa mwili wenu, Mungu aliwafanya ...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Marriage: God’s Showcase of Covenant-Keeping Grace}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutotahiriwa kwa mwili wenu, Mungu aliwafanya hai pamoja naye, akiisha kutusamehe makosa yote: 14 akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushtaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu; akaliondowa lisiwepo tena, akaigongomea msalabani; 15 akisha kuzivua enzi na mamlaka na kuzifanya kuwa mkongo kwa ujasiri, akizishangilia katika msalaba huo . . . 3:12 Basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema unyenyekevu, upole, uvumilivu 13 Mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi. 14 Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo, ndiyo kifungo cha ukamilifu. 15 Na amani ya Kristo iamue moyoni mwenu, ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani. 16 Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu katika hekima yote, mkifundishana na kuonyana kwa zaburi, na nyimbo, na tenzi za rohoni; Huku mkimwimbia Mungu kwa neema mioyoni mwenu. 17 Na kila mfanyalo kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkishukuru Mungu baba kwa Yeye. 18 Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana. 19 Ninyi waume, wapendeni wake zenu msiwe na uchungu nao.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Yale tumeona kwa wiki mbili zilizopita ni kwamba, jambo la msingi sana unayo weza kusema kuhusu ndoa ni kwamba, ni tendo la Mungu na jambo la mwisho unaweza sema kuhusu ndoa ni kwamba ni ya onyesho la Mungu. Hoja haya mawili yamesemwa na Musa katika mwanzo 2. Lakini yanafanywa wazi sana na Yesu na Paulo katika agano jipya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yesu: Ndoa ni tendo la Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu aweka hoja hili sawa zaidi yakuwa ndoa ni tendo la Mungu. Mariko 10:6-9''', '''“ lakini tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, aliwafanya mume na mke.” [Mwanzo 1''':'''27]Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja [Mwanzo 2:24]. Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asitenganishe.” Msemo huu ni ya wazi na ya kueleweka kwa urahisi katika Bibilia yakuwa, ndoa si tendo tu la mwanadamu. Neno “alichokiunganisha” inamaanisha ni tendo la Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Paulo: Ndoa ni onyesho la Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo aweka hoja hii wazi na sawa zaidi yakuwa, ndoa imeundwa ili iwe onyesho la Mungu. Katika Waefeso 5:31-32, ananukuu Mwanzo 2:24 na kisha atuelezea kuhusu siri iliyositiriwa ambayo imekuwa nayo kila wakati. “Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja.” Siri hili lililo sitiriwa ni kuu, na nasema yakuwa Inaashiria Kristo na Kanisa.” Kwa njia nyingine, agano ambayo imehusishwa katika kuwaacha mama na baba na kuambatana na mke na kuwa mwili mmoja ni ishara ya agano kati ya Kristo na kanisa lake. Ndoa upo kabisa, kabisa kuonyesha agano ya upendo kati ya Kristo na kanisa lake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kielelezo ya Kristo na Kanisa ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nilimuliza Noel kama kuna chochote angependa niseme leo aksema. “hauwezi sema mara kwa mara yakuwa ndoa ni kielelezo ya Kristo na Kanisa.” Nadhani yuko sawa na kunayo angalau sababu tatu: 1) Hii inainuwa ndoa kutoka kwa picha za ''Sordid Sitcom ''na kuipa maana kuu zaidi ambayo Mungu alimaanisha iwe nayo: 2) Hii inapea ndoa msingi dhabiti katika neema, Kwa kuwa Mungu alimpata na kumlinda mchumba wake kwa neema pekee; 3) Hii inaonyesha yakuwa uongozi wa mume na kutii kwa mke ni muhimu na yamesulubishwa. Hii ni kusema, yamesukwa ndani ya maana ya ndoa kama onyesho ya Kristo na Kanisa, lakini yote mawili yameelezwa na kazi ya Kristo msalabani ili kibuuri yao na utumwa wao utupiliwe mbali.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tulitumia ujumbe mbili za kwanza kwa sababu hizi za kwanza: Kupeana msingi ya ndoa kama onyesho ya agano ya upendo wa Mungu. Ndoa ni agano kati ya mume na mke ambapo wana ahidiana kuwa waaminifu kama mume na mke katika upatanisho wa mwili mmoja kadri wanvyo ishi. Agano hili, limewekwa muhuri na ahadi za kweli na ya kumaanisha na kuungana ki ngono. Imeeeundwa kuonyesha neema ya mungu ya kulinda agano.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Msingi dhabiti katika neema ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiyo ndiyo mada ya siku ya leo; “Ndoa; Onyesho la Mungu kuhusu neema ilindavyo neema.” Basi tunaenda kwa sababu ya pili, niliyoeleza kuwa Noel alieleza ukweli ya kuwa huwezi kusema kila wakati, ndoa ni kielelezo ya Kristo na kanisa: kwa sababu ya kuwa hili lina ipa ndoa msingi dhabiti katika neema kwa sababu kuanzia kitambo Kristo alimpata na kumlinda bibi harusi kwa neema pekee.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa njia nyingine; hoja muhimu ya leo ni kuwa tangu a gano jipya ya Kristo na kanisa lake liiumbwa na kulindwa kwa neema iliyonunuliwa na damu, kwa hivyo, ndoa ya wanandamu yamemaanisha kuonyesha hiyo neema ya agano jipya. Na wanaionyesha kwa njia ya kupumzika kwa neema ya Mungu na kuikunja kutoka kwa kumlenga Kristo hadi uwepo unaomlenga mke na mume. Kwa mswemo mwingine ni kuwa, katika ndoa unaishi saa baada ya nyingine katika furaha ukiutumainia msamaha wa Mungu, na kufanywa haki na ahadi ya neema ya usoni, na unaelekeza kwa mke au mume wako kila saa baada ya nyingine—kama onyesho la msamaha wa Mungu na kufanywa haki na usaidizi ulio ahidiwa. Hiyo ndiyo hoja ya leo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kiini cha msamaha, Neema ifanyayo haki ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nina ufahamu ya kuwa wakristo wote wanafaa kufannya hili katika uhusiano wenu wote (Sio tu wakristo walio okoka): Ishi saa baada ya nyingine kwa neema ya Mungu ipeanayo yote na inayo samehe, ifanyayo haki na kisha uielekeze kwa wengine wote maishani mwako. Na Yesu asema kuwa maisha yetu yote ni onyesho ya utukufu wa Mungu (Matahyo 5:16). Lakini, njdoa imeundwa ili iwe onyesho la kipekee la agano ya neema ya Mungu, kwa sabau tofauti na uhusiano zingine zote za wanadamu, mke na mume wamefungwa na agano katika uhusiano wa karibu iwezekanavyo maishani mwao wote. Kunayo majukumu mengi ya kipekee ya uongozi na kutii, lakini hiyo si hoja langu leo. Hiyo itakuja baadaye. Leo na watazama mume na mke kama wakristo tu na siyo kama vile wanafanana kwaa kichwa na mwili. Kabla mume na mke kutenda yale yako kwenye maandiko na kwa neema ya kipekee matendo ya ukichwa na kutii, wanafaa kugundua maana ya kujenga maisha yao kwa uwepo shazari ya msamaha na kufanywa haki na usaidizi ulio ahidiwa na kisha waukunje nje kwa usambamba kwa wachumba wao. Hiyo ndio mtazamo wetu leo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Au kuiweka kwa mtazamo wa ujumbe wa wiki uliopita: Ufunguo wa kuwa uchi na bila aibu. (Mwanzo 2:25), Wakati, kwa uhakika, mume na mke wanatenda matendo ambayo wanapaswa kuaibika kwayo, ni uwepo shazari wa msamaha wa Mungu, neema ifanyayo haki umekunjwa nje kwa usambamba kwa kila mmoja na kuonyeshwa ulimwenguni.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ghadhabu ya Mungu inayokuja  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa ufupi, acha tuone msingi huu wa ukweli katika Wakolosai. Tutaanza na Wakolosai 3:6''',''' “Kwaajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.&amp;quot; Ukisema yakuwa, “Kitu cha mwisho ningependa kusikia kuhusu ndao yangu ni ghadhabu ya Mungu,” Wewe ni kama mvuvi ambaye ameshushwa moyo katika magharibi ya bahari kule Indonesia wakati wa Desemba 26, 2004, ukisema “Kitu cha mwisho ningependa kusikia katika biashara yangu hii ya uvuvi yenye shida nyingi ni Tsunami.” Kuelewa kwa njia kuu na uwoga wa ghadhabu ya Mungu ndio kwa hakika yale ndoa nyingi yana hitaji, kwa sababu bila hiyo, injili itakuwa imetiwa maji hadi kiwango cha uhusiano iwe kati ya wanadamu tu na kupoteza utukufu wake wa kibiblia. Na bila hiyo, utajaribu kufikiria kuwa ghadhabu yako—hasira yako—dhidi ya mke au mume wako ni kuu zaidi kupita, kwa sababu hauja onja kwa hakika na kuona ghadhabu kuu zaidi ambayo imeshindwa na neema, mfano, ghadhabu ya Mungu dhidi yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ondoleo la ghadhabu ya Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivo tunaanza na ghadhabu ya Mungu na Ondoleo lake. Sasa rejea nami kule Wakolosai 2:13-14, “ Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutotairiwa kwa mwili wenu, aliwafanya hai pamoja naye [Kristo], akiisha kutu samehe makosa yote; akiisha kuifuta ile hati ilioandikwa kutushtaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu, akaiondoa isiwepo tena akaigongomea msalabani.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Maneno hayo ya mwisho ndio ya msingi zaidi. Hati hii ya deni ambayo ilisimama dhidi yetu—Mungu aliweka kando na kuigongomea msalabani. Ulitendeka wakati gani? Miaka elfu mbili iliyopita. Haikufanyika ndani yako, na haikufanyika na usaidizi kutoka kwako. Mungu alikufanyia hayo na pasipo wewe kabla hata uzaliwe, hii ndiyo kiini kuu zaidi ya uwokovu wetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hati ya deni imefutiliwa mbali msalabani ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hakikisha unaona hii ukweli nzuri zaidi na ya kushangaza zaidi kushinda zote: Mungu alichukuwa hati ya dhambi zetu zote ambayo ilikufanya mwenye deni kwa ghadhabu (Dhambi ni matendo maovu dhidi ya Mungu ambayo inaleta ghadhabu yake kwetu), na badala ya kuibeba mbele ya uso wako na kuitumia kama lesesni ya kukutupa jehanamu, anauweka katika kiganja cha mwanawke na kuweka msumari kwayo msalabani.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Dhambi za nani ziligongomewa msalabani? Dhambi za nani ziliteswa msalabani? Jibu! Dhambi zangu na Dhambi za Noeli—Dhambi za Mike wangu na dhambi zangu—Dhambi za wale wote wamekata tama ya kujiokoa wenyewe na kumtumainia Kristo pekee. Mikono ya nani ilipigwa misumari msalabani? Nani aliteswa msalabani? Yesu ndiye. kunayo jina rembo kwa hili. Linaitwa mbadala. Mungu aklihukumu dhambi zangu katika mwili wa Kristo (Warumi 8:3) Mabwana, hamuwezi kuamini haya kwa nguvu, mabibi hamuwezi kuamini haya kwa nguvu sana.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuhesabiwa haki ni zaidi ya msamaha ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na tukirudi nyuma na tutoe hapo kuelewa kwetu kwa kufanywa haki kutoka kwa Warumi twaweza sema mengi. Kuhesabiwa haki inaenda zaidi ya msamaha, hatujasamehewa tu kwa sababu ya Kristo bali Mungu anatuhesabu watakatifu kwa sababu ya Kristo. Mungu anahitaji mambo mawili kutoka kwetu: Kuadhibiwa kwa dhambi zetu na kuwa bila mawaa maishani mwetu. Dhambi zetu lazima ziadhibiwe na maisha yetu lazima iwe takatifu. Lakini hatuwezi beba dhawabu yetu sisi (Zaburi 49:7-8), na hatuwezi peana utakatifu wetu wenyewe. Hakuna mtakatifu hata mmoja (Warumi 3:10).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi, Mungu kwa upendo wake usio na kipimo alitupa mwanawe kufanya yote mawili. Kristo anabeba adhabu zetu na tena Kristo anafanya utakatifu wetu. Na tunapompokea Kristo (Yohana1:12), adhabu zetu zote na utakatifu wake wote unahesabiwa kwetu (Warumi 4:6; 5:19;5:1'''; '''8:1'''; '''10:14; Wafilipi 3:8-9; 2 Wakorintho 5:21).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kufanywa haki ambao umeelekezwa nje ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ni ukweli shazari ambayo inafaa kuelezwa nje kwa usambaba kwa wake na waume wetu, ikiwa ndoa inapaswa kuonyesha kutengenezwa kwa agano na agaano inayolinmda neema ya Mungu. Tunaona haya katika Wakolosai 3:12-13, “basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, Watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu, mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyo wasamehe ninyi vivyo na ninyi.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
“Kama Bwana alivyo wasamehe ninyi, vivyo na ninyi”— Kwa mke au mume wako. Kama vile Mungu anavyo wastahimmili nanyi pia inafaa kumstahimili mke au mume wako. Mungu anakustahimili kila siku unapo pungua kufikia mapenzi yake. Kwa kweli, umbali ya yale Mungu ana tarajia kutoka kwako na yale unafanikiwa kutenda ni kuu zaidi kuliko umbali ya yale unatarajia kutoka kwa mke au mume wako na yale anafanikiwa kutenda. Kristo kila wakati anasamehe zaidi na anastahimili mengi kutuliko. Samehe jinsi ulivyo samehewa. Stahimili jinsi anavyo stahimili nawe. Hili linabakia hata kama umeolewea na mwamini au asiyeamini. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Acha kiwango cha neema ya Mungu kwako katika msalaba wa Kristo iwe kiwango cha neema yako kwa mke au mume wako na ikiwa umeolewa na mwamini unaweza ongeza haya: kama vile Bwana anakuhesabu mwenye haki katika Kristo, ingawa hauko katika tabia au mawazo asili, kwa hivyo, hesabu mke au mume wako mwenye haki katika Kristo ingawa yeye siyo hivyo—Kwa njia nyingine, Wakolosai 3 yasema, Chukua neema shazari ya msamaha na kufanywa haki na kuyaelekeza nje kwa usambamba kwa mke au mume wako. Hii ndiyo sababu ya ndoa, kwa hatima zaidi—Onyesho la agano ifanyayo neema ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuhitajika kwa hekima iliyo na mizizii katika injili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi hapa, ma mia ya hali ngumu hujitokeza na ambayo zinalilia hekima ya kindani ya kiroho ambayo ina mizizi katika ukweli wa injili na katika miaka nyingi ya uchungu na mapito ya Imani. Kwa maneno mengine, hakuna njia nyingine ningeweza kuwasilisha ujumbe huu, kwa mahitaji ya kila mtu. Kando na kuhubiri twahitaji roho mtakatifu, twahitaji maombi, twahitaji kutafakari neno, kwa ajili yetu sisi, tunahitaji kusoma hekima ya wengine, twahitaji ushauri wa marafiki walio na hekima na ambao wamepitia mateso, twahitaji kanisa itusaidie wakati kila kitu hafanyi kazi tena. Kwa hivyo sina uongo au udanganyifu yakuwa ninaweza kusema yote ambayo yanahitajika kusemwa ili ikusaidie. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuishi kwa ushazari kisha kuukunja nje ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Inaweza kusaidia kufunga kwa kupeana sababu kadhaa, kwa nini ninasisitiza agano ya upendo kama msamaha na kumhhesabu huyo mwingine mwenye haki. Je, siamini kufurahishwa katika huyo mtu mwingine? Ndio. Uzoefu na Bibilia inatusukuma pale. Ili uwe na uhakika Yesu ameoa Bi harusi wake amabaye ni kanisa, na kwa wazi inawezekana na pia ni vyema kumfurahisha Bwana (Wakolosai 1:10). Na kwa uhakika anastahili sana kutosheka kwetu ndani yake. Hili ndilo hali nzuri katika ndoa. Watu wawili wananyenyekea na kubadilika kwa njia ya uungu ambayo inamfurahisiha wake au waume wetu na kutosheleza mahitaji ya kimwili na hisia au kuwafurahisha kwa njia yote nzuri. Ndio. Uhusiano wa Kristo na Kanisa imehuhsisha hayo yote.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini sababu ya kusistiza kuishi kwa ushazari kutoka kwa neema ya Mungu na kisha kuukunja nje kwa usambamba wa msamaha na kufanywa haki kwa mke au mume wako 1) Kwa sababu kunaenda kuwa na mzozoo ambayo imesababiishwa na dhambi na kutokuwa kawaida (Na hamtaweza hata kukubaliana kati yenu kuhusu kile kisicho cha kawaida kati yenu na kilicho dhambi); na 2) Kwa sababu kazi ngumu na kisichonyooka ya kuvumilia na kusamehe ndio inauwezesha upendo kukuwa wakati unaonekana kuwa umekufa. 3) Kwa sababu Mungu anapata utukufu wakati watu wawili tofauti sana na wasio kamilifu wanatengeneza maisha ya uaminifu katika moto wa mateso kwa kumtegemea Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Katika Kristo, Mungu amekusamehe wewe na mke au mume wako ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa ntaendelea kutoka hapa wakati mwingine na niwaambie kuhusu uvumbuzi ambayo mimi na Noel tulifanya. Natabiri ya kuwa ujumbe utaitwa “Ujumbe wa jaa la mbolea.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hadi wakati huo wake kwa waume wekeni ukweli haya kwenye dhamiri yenu—Ukweli makubwa kuliko shida yoyote katika ndoa yenu—yakuwa Mungu “ameshatusamehe makosa yetu yote kwa kufutilia mbali ile hati ya deni iliyosimama dhidi yetu na mahitaji yake ya kisheria. Hii aliuweka kando akaugongomea msalabani.” Amini haya na roho yako yote na uyakunje ukiyaelekezea mke au mume wako.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Tutapendaje_jirani_wetu_ambaye_ni_Muisilamu%3F</id>
		<title>Tutapendaje jirani wetu ambaye ni Muisilamu?</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Tutapendaje_jirani_wetu_ambaye_ni_Muisilamu%3F"/>
				<updated>2018-06-21T20:29:56Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Tutapendaje jirani wetu ambaye ni Muisilamu?&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|How Shall We Love Our Muslim Neighbor?}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna majibu mengi kwa swali hili vile ilivyo njia nyingi ya kutenda wema badala ya maovu. “Upendo hautendi maovu kwa jirani” (Warumi 13:10.) “Upendo huvumilia kila kitu, huamini kila kitu, hutumaini kila kitu, huvumilia kila kitu” (Wakorintho 13:4). Haya ni vitu, ambavyo kwangu vyaonekana, vinastahili kutiliwa mkazo katika nyakati zetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
[''Jambo jipya'': Kusema tupende maadui yetu haijakusudiwa kumaanisha kuwa Waisilamu wote wanahisi ama wanatenda mambo kwa njia ya kiadui kwa Wakristo. La! Hasha. Mara nyingi ni wakarimu na wanajali. Jambo ni kwamba hata kama mtu anatuchukua kwa njia ya kiadui (haijalishi ni wa dini ama si wa dini), inatupasa tuendele kupenda. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Maelezo mengine yahitajika katika hali yetu ya sasa. Ninaposema kuwa upendo unatihimiza kutenda wema katika njia zinazoonekana ya kukimu mahitaji yetu ya kimwili si maanishi kuwa usaidizi huu upeanwe tu wakati Muislamu amekuwa Mkristo. Upendo wa kudhihirika ni ushuhuda wa upendo wa Kristo. Mshuhuda hafichwi pahali anahitajika zaidi. Gumzo ambazo zimeshurutishwa kwa nguvu ama kwa fedha zinaenda kinyume na umbile wa imani iokoayo. Imani iokoayo ni kuukumbatia Yesu kama mwokozi wetu, Bwana wetu, na hazina kuu kwa hiari. Sio njia ya hazina. Yeye ni hazina.] &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1. Waombe Baraka zote kutoka kwa Kristo hata kama wanakupenda ama hawakupendi.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Luka 6:28 -Wabarikini wale wanaowalaani waombeni wale wanao watendea mabaya. &lt;br /&gt;
*Warumi 12:14 -Wabarikini wale wanaowatesa, barikini na msiwalaani. &lt;br /&gt;
*I Wakorintho 4:12 -Tunapolaani tunabariki.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2. Watende wema kwa njia zinazoonekana ambazo zinatimiza mahitaji yao ya kimwili.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Luka 6:27 - Wapendeni adui zenu .Watendeni wema wanaowachukia. &lt;br /&gt;
*Luka 6:31 - Watendeni wengine kama ambavyo mngetaka wawatendee ninyi. &lt;br /&gt;
*I Wathesolanika 5:15 - Angalieni kuwa mtu asilipe uovu kwa uovu, bali siku zote tufuateni kutendeana mema. &lt;br /&gt;
*Warumi 12:20 - Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula, akiwa na kiu, mnyweshe. Maana ukifanya hivyo, utampaalia makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.&amp;lt;br&amp;gt;&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3. Usilipize uovu kwa uovu ukiwa umetendewa mabaya.'''&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*I Petero 3:9 - Msilipe uovu kwa uovu, au jeuri kwa ujeuri, bali barikini, kwa maana hili ndilo mliloiitiwa ili mpate kuridhi Baraka. &lt;br /&gt;
*Warumi12:17, 19 - Msilipe mtu yeyote ovu kwa ovu . . . Wapendwa msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Kisasi ni juu yangu, mimi nitalipa, asema Bwana.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''4. Kaeni nao kwa amani ikiwezekana kwa kuwa inakutegemea wewe''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Warumi 12:18 - Kama inawezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''5. Watafutie furaha ya uhuru kutoka kwa dhambi na hukumu kwa kuwaambia ukweli wa Kristo.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Yohana 8:31-32 - Kisha Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, “Kama mkihudumu katika maneno yangu, mtakuwa wanafunzi wangu kweli kweli. Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''6. Kwa hakika tamani kuwa wajiunge nawe mbinguni kwa Baba kuwaonyesha njia, yaani Kristo Yesu.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Warumi 10:1 - Ndugu zangu, shauku ya moyo wangu . . . kwao ni kwamba waokolewe. &lt;br /&gt;
*Yohana 14:6 - Yesu akawaambia, “Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kwa kupitia kwangu. &lt;br /&gt;
*Yohana 3:16 - “Yeyote amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''7. Tafuta kufahamu yale wanayoyasema, ndipo unayokubali ama kukaripia yanatokana na kuelewa kwa kweli, sio mkanganyiko ama picha tatanishi.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*I Wakorintho 3:16 - Upendo haufurahii mabaya bali hufurahia pamoja na kweli.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''8. Wakanye kwa machozi kuwa wale ambao hawatapokea Kristo Yesu kama mwokozi aliyekufa na kufufuka ambaye anaondoa dhambi za ulimwengu, wataangamia kwa ghadhabu za Mungu.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Yohana1:12 - Bali wote waliompokea, aliwapa uwezo wa kufanyika wana wa Mungu, walioamini jina lake. &lt;br /&gt;
*Warumi 10:9 - Kwa sababu kama ukikiri kwa kinywa chako kwamba “Yesu ni Bwana.” Na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokoka. &lt;br /&gt;
*Wafilipi 3:18 - Kama nilivyokwisha kuwaambia mara nyingi kabla, nami sasa nasema tena hata kwa machozi watu wengi wanaishi kama adui wa msalaba wa Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''9. Usiwaelekeze kwa njia mbaya ama kuwapa tumaini lisilo la kweli kwa kusema “Waisilamu wanamwabudu Mungu wa kweli.”''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Neno hili linaonyesha karibu kila mtu taswira sahihi ya moyo wa Muisilamu ujuao, upendao na kumcha Mungu wa kweli. Lakini Yesu anafanya jibu la kibinafsi ya mtu mwenyewe kama jaribio la uhakika wa mtu katika kumcha Mungu. Na yeye ni wazi kuwa mtu akimkataa kama mtauwa apeanaya maisha yake kama fidia kwa ajili ya dhambi na amefufuka tena—Huyo mtu hajui, wala kupenda ama kumcha Mungu wa kweli.&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Yohana 8:19 - Ndipo wakamuuliza [Yesu], “Huyo Baba yako yuko wapi?” yesu akawajibu, “Ninyi hamnifahamu mimi ni nani, wala hamfahamu Baba yangu. Kama mngenifahamu mimi, mngefahamu na Baba Yangu.” &lt;br /&gt;
*Yohana 5:23 - Ili wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Yeyote asiyemheshimu mwana, hamheshimu aliyemtuma. &lt;br /&gt;
*Yohana 5:42-43 - [Yesu akasema], “Lakini mnajua kwamba hamna upendo wa Mungu mioyoni mwenu. Mimi nimekuja kwa jina la Baba yangu, nanyi hamnipokei.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Upendo hautaelekeza Waisilamu, ama wale wanaowajali kwa njia mbaya, kwa kusema kuwa ‘wanamjua’ ama ‘kumcha’ na ‘kumpenda’ Mungu wa kweli kama hawatampokea Yesu vile alivyo. Hatuwezi kuiona mioyo ya watu. Tunajuaje kama wanamjua na kumcha Mungu wa kweli? Tunaweka chini uhai wetu ili kuwapa Yesu. Wakimpokea, wanajua na kupenda na kumcha Mungu. Wasipompokea Yesu, naye Mungu pia hawajampokea. Yesu ndiye jawabu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hilo ndilo hoja katika neno la Yesu katika Luka 10:16’ “Yeye amkataaye mimi amkataa yeye aliyenituma.” Na katika Mathayo 10:40, “Yeyote atakaye nipokea mimi atakuwa amepokea Yeye aliyenituma.” Na katika Yohana 5:46, “kama mngelimwamini Musa, mngeliniamini Mimi.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kitu cha kupendeza ambacho tunaweza kuwafanyia Waisilamu ama mtu yeyote Yule, ni kuwaambia ukweli kamili kuhusu Yesu, kwa njia ya tunzo la kidhabihu kwao na kuwa tayari kuteseka kwa ajili yao badala ya kuwaacha, na halafu kuwasihi kuacha “kuabudu isiyo faida” (Mariko 7:7) na kuupokea Kristo kama mwokozi aliyesulubishwa na kufufuka kwa ajili ya msamaha wa dhambi zao na tumaini ya uzima wa milele. Hii ingekuwa furaha yetu kuu—Kuwa na ndugu na dada kutoka kwa Waisilamu ulimwenguni.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Tutapendaje_jirani_wetu_ambaye_ni_Muisilamu%3F</id>
		<title>Tutapendaje jirani wetu ambaye ni Muisilamu?</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Tutapendaje_jirani_wetu_ambaye_ni_Muisilamu%3F"/>
				<updated>2018-06-21T20:29:41Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: &lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|How Shall We Love Our Muslim Neighbor?}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna majibu mengi kwa swali hili vile ilivyo njia nyingi ya kutenda wema badala ya maovu. “Upendo hautendi maovu kwa jirani” (Warumi 13:10.) “Upendo huvumilia kila kitu, huamini kila kitu, hutumaini kila kitu, huvumilia kila kitu” (Wakorintho 13:4). Haya ni vitu, ambavyo kwangu vyaonekana, vinastahili kutiliwa mkazo katika nyakati zetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
[''Jambo jipya'': Kusema tupende maadui yetu haijakusudiwa kumaanisha kuwa Waisilamu wote wanahisi ama wanatenda mambo kwa njia ya kiadui kwa Wakristo. La! Hasha. Mara nyingi ni wakarimu na wanajali. Jambo ni kwamba hata kama mtu anatuchukua kwa njia ya kiadui (haijalishi ni wa dini ama si wa dini), inatupasa tuendele kupenda. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Maelezo mengine yahitajika katika hali yetu ya sasa. Ninaposema kuwa upendo unatihimiza kutenda wema katika njia zinazoonekana ya kukimu mahitaji yetu ya kimwili si maanishi kuwa usaidizi huu upeanwe tu wakati Muislamu amekuwa Mkristo. Upendo wa kudhihirika ni ushuhuda wa upendo wa Kristo. Mshuhuda hafichwi pahali anahitajika zaidi. Gumzo ambazo zimeshurutishwa kwa nguvu ama kwa fedha zinaenda kinyume na umbile wa imani iokoayo. Imani iokoayo ni kuukumbatia Yesu kama mwokozi wetu, Bwana wetu, na hazina kuu kwa hiari. Sio njia ya hazina. Yeye ni hazina.] &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1. Waombe Baraka zote kutoka kwa Kristo hata kama wanakupenda ama hawakupendi.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Luka 6:28 -Wabarikini wale wanaowalaani waombeni wale wanao watendea mabaya. &lt;br /&gt;
*Warumi 12:14 -Wabarikini wale wanaowatesa, barikini na msiwalaani. &lt;br /&gt;
*I Wakorintho 4:12 -Tunapolaani tunabariki.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2. Watende wema kwa njia zinazoonekana ambazo zinatimiza mahitaji yao ya kimwili.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Luka 6:27 - Wapendeni adui zenu .Watendeni wema wanaowachukia. &lt;br /&gt;
*Luka 6:31 - Watendeni wengine kama ambavyo mngetaka wawatendee ninyi. &lt;br /&gt;
*I Wathesolanika 5:15 - Angalieni kuwa mtu asilipe uovu kwa uovu, bali siku zote tufuateni kutendeana mema. &lt;br /&gt;
*Warumi 12:20 - Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula, akiwa na kiu, mnyweshe. Maana ukifanya hivyo, utampaalia makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.&amp;lt;br&amp;gt;&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3. Usilipize uovu kwa uovu ukiwa umetendewa mabaya.'''&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*I Petero 3:9 - Msilipe uovu kwa uovu, au jeuri kwa ujeuri, bali barikini, kwa maana hili ndilo mliloiitiwa ili mpate kuridhi Baraka. &lt;br /&gt;
*Warumi12:17, 19 - Msilipe mtu yeyote ovu kwa ovu . . . Wapendwa msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Kisasi ni juu yangu, mimi nitalipa, asema Bwana.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''4. Kaeni nao kwa amani ikiwezekana kwa kuwa inakutegemea wewe''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Warumi 12:18 - Kama inawezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''5. Watafutie furaha ya uhuru kutoka kwa dhambi na hukumu kwa kuwaambia ukweli wa Kristo.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Yohana 8:31-32 - Kisha Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, “Kama mkihudumu katika maneno yangu, mtakuwa wanafunzi wangu kweli kweli. Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''6. Kwa hakika tamani kuwa wajiunge nawe mbinguni kwa Baba kuwaonyesha njia, yaani Kristo Yesu.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Warumi 10:1 - Ndugu zangu, shauku ya moyo wangu . . . kwao ni kwamba waokolewe. &lt;br /&gt;
*Yohana 14:6 - Yesu akawaambia, “Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kwa kupitia kwangu. &lt;br /&gt;
*Yohana 3:16 - “Yeyote amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''7. Tafuta kufahamu yale wanayoyasema, ndipo unayokubali ama kukaripia yanatokana na kuelewa kwa kweli, sio mkanganyiko ama picha tatanishi.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*I Wakorintho 3:16 - Upendo haufurahii mabaya bali hufurahia pamoja na kweli.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''8. Wakanye kwa machozi kuwa wale ambao hawatapokea Kristo Yesu kama mwokozi aliyekufa na kufufuka ambaye anaondoa dhambi za ulimwengu, wataangamia kwa ghadhabu za Mungu.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Yohana1:12 - Bali wote waliompokea, aliwapa uwezo wa kufanyika wana wa Mungu, walioamini jina lake. &lt;br /&gt;
*Warumi 10:9 - Kwa sababu kama ukikiri kwa kinywa chako kwamba “Yesu ni Bwana.” Na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokoka. &lt;br /&gt;
*Wafilipi 3:18 - Kama nilivyokwisha kuwaambia mara nyingi kabla, nami sasa nasema tena hata kwa machozi watu wengi wanaishi kama adui wa msalaba wa Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''9. Usiwaelekeze kwa njia mbaya ama kuwapa tumaini lisilo la kweli kwa kusema “Waisilamu wanamwabudu Mungu wa kweli.”''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Neno hili linaonyesha karibu kila mtu taswira sahihi ya moyo wa Muisilamu ujuao, upendao na kumcha Mungu wa kweli. Lakini Yesu anafanya jibu la kibinafsi ya mtu mwenyewe kama jaribio la uhakika wa mtu katika kumcha Mungu. Na yeye ni wazi kuwa mtu akimkataa kama mtauwa apeanaya maisha yake kama fidia kwa ajili ya dhambi na amefufuka tena—Huyo mtu hajui, wala kupenda ama kumcha Mungu wa kweli.&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Yohana 8:19 - Ndipo wakamuuliza [Yesu], “Huyo Baba yako yuko wapi?” yesu akawajibu, “Ninyi hamnifahamu mimi ni nani, wala hamfahamu Baba yangu. Kama mngenifahamu mimi, mngefahamu na Baba Yangu.” &lt;br /&gt;
*Yohana 5:23 - Ili wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Yeyote asiyemheshimu mwana, hamheshimu aliyemtuma. &lt;br /&gt;
*Yohana 5:42-43 - [Yesu akasema], “Lakini mnajua kwamba hamna upendo wa Mungu mioyoni mwenu. Mimi nimekuja kwa jina la Baba yangu, nanyi hamnipokei.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Upendo hautaelekeza Waisilamu, ama wale wanaowajali kwa njia mbaya, kwa kusema kuwa ‘wanamjua’ ama ‘kumcha’ na ‘kumpenda’ Mungu wa kweli kama hawatampokea Yesu vile alivyo. Hatuwezi kuiona mioyo ya watu. Tunajuaje kama wanamjua na kumcha Mungu wa kweli? Tunaweka chini uhai wetu ili kuwapa Yesu. Wakimpokea, wanajua na kupenda na kumcha Mungu. Wasipompokea Yesu, naye Mungu pia hawajampokea. Yesu ndiye jawabu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hilo ndilo hoja katika neno la Yesu katika Luka 10:16’ “Yeye amkataaye mimi amkataa yeye aliyenituma.” Na katika Mathayo 10:40, “Yeyote atakaye nipokea mimi atakuwa amepokea Yeye aliyenituma.” Na katika Yohana 5:46, “kama mngelimwamini Musa, mngeliniamini Mimi.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kitu cha kupendeza ambacho tunaweza kuwafanyia Waisilamu ama mtu yeyote Yule, ni kuwaambia ukweli kamili kuhusu Yesu, kwa njia ya tunzo la kidhabihu kwao na kuwa tayari kuteseka kwa ajili yao badala ya kuwaacha, na halafu kuwasihi kuacha “kuabudu isiyo faida” (Mariko 7:7) na kuupokea Kristo kama mwokozi aliyesulubishwa na kufufuka kwa ajili ya msamaha wa dhambi zao na tumaini ya uzima wa milele. Hii ingekuwa furaha yetu kuu—Kuwa na ndugu na dada kutoka kwa Waisilamu ulimwenguni.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Tutapendaje_jirani_wetu_ambaye_ni_Muisilamu%3F</id>
		<title>Tutapendaje jirani wetu ambaye ni Muisilamu?</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Tutapendaje_jirani_wetu_ambaye_ni_Muisilamu%3F"/>
				<updated>2018-06-21T20:29:02Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|How Shall We Love Our Muslim Neighbor?}}   Kuna majibu mengi kwa swali hili vile ilivyo njia nyingi ya kutenda wema badala ya maovu. “Upendo hautendi maovu kwa jirani”...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|How Shall We Love Our Muslim Neighbor?}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna majibu mengi kwa swali hili vile ilivyo njia nyingi ya kutenda wema badala ya maovu. “Upendo hautendi maovu kwa jirani” (Warumi 13:10.) “Upendo huvumilia kila kitu, huamini kila kitu, hutumaini kila kitu, huvumilia kila kitu” (Wakorintho 13:4). Haya ni vitu, ambavyo kwangu vyaonekana, vinastahili kutiliwa mkazo katika nyakati zetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
[''Jambo jipya'': Kusema tupende maadui yetu haijakusudiwa kumaanisha kuwa Waisilamu wote wanahisi ama wanatenda mambo kwa njia ya kiadui kwa Wakristo. La! Hasha. Mara nyingi ni wakarimu na wanajali. Jambo ni kwamba hata kama mtu anatuchukua kwa njia ya kiadui (haijalishi ni wa dini ama si wa dini), inatupasa tuendele kupenda.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Maelezo mengine yahitajika katika hali yetu ya sasa. Ninaposema kuwa upendo unatihimiza kutenda wema katika njia zinazoonekana ya kukimu mahitaji yetu ya kimwili si maanishi kuwa usaidizi huu upeanwe tu wakati Muislamu amekuwa Mkristo. Upendo wa kudhihirika ni ushuhuda wa upendo wa Kristo. Mshuhuda hafichwi pahali anahitajika zaidi. Gumzo ambazo zimeshurutishwa kwa nguvu ama kwa fedha zinaenda kinyume na umbile wa imani iokoayo. Imani iokoayo ni kuukumbatia Yesu kama mwokozi wetu, Bwana wetu, na hazina kuu kwa hiari. Sio njia ya hazina. Yeye ni hazina.]&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1. Waombe Baraka zote kutoka kwa Kristo hata kama wanakupenda ama hawakupendi.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Luka 6:28 -Wabarikini wale wanaowalaani waombeni wale wanao watendea mabaya. &lt;br /&gt;
*Warumi 12:14 -Wabarikini wale wanaowatesa, barikini na msiwalaani. &lt;br /&gt;
*I Wakorintho 4:12 -Tunapolaani tunabariki. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2. Watende wema kwa njia zinazoonekana ambazo zinatimiza mahitaji yao ya kimwili.'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Luka 6:27 - Wapendeni adui zenu .Watendeni wema wanaowachukia. &lt;br /&gt;
*Luka 6:31 - Watendeni wengine kama ambavyo mngetaka wawatendee ninyi.&lt;br /&gt;
*I Wathesolanika 5:15 - Angalieni kuwa mtu asilipe uovu kwa uovu, bali siku zote tufuateni kutendeana mema. &lt;br /&gt;
*Warumi 12:20 - Adui yako akiwa na njaa, mpe chakula, akiwa na kiu, mnyweshe. Maana ukifanya hivyo, utampaalia makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3. Usilipize uovu kwa uovu ukiwa umetendewa mabaya.'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*I Petero 3:9 - Msilipe uovu kwa uovu, au jeuri kwa ujeuri, bali barikini, kwa maana hili ndilo mliloiitiwa ili mpate kuridhi Baraka. &lt;br /&gt;
*Warumi12:17, 19 - Msilipe mtu yeyote ovu kwa ovu . . . Wapendwa msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Kisasi ni juu yangu, mimi nitalipa, asema Bwana.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''4. Kaeni nao kwa amani ikiwezekana kwa kuwa inakutegemea wewe''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Warumi 12:18 - Kama inawezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''5. Watafutie furaha ya uhuru kutoka kwa dhambi na hukumu kwa kuwaambia ukweli wa Kristo.'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Yohana 8:31-32 - Kisha Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, “Kama mkihudumu katika maneno yangu, mtakuwa wanafunzi wangu kweli kweli. Ndipo mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''6. Kwa hakika tamani kuwa wajiunge nawe mbinguni kwa Baba kuwaonyesha njia, yaani Kristo Yesu.'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Warumi 10:1 - Ndugu zangu, shauku ya moyo wangu . . . kwao ni kwamba waokolewe. &lt;br /&gt;
*Yohana 14:6 - Yesu akawaambia, “Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kwa kupitia kwangu. &lt;br /&gt;
*Yohana 3:16 - “Yeyote amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''7. Tafuta kufahamu yale wanayoyasema, ndipo unayokubali ama kukaripia yanatokana na kuelewa kwa kweli, sio mkanganyiko ama picha tatanishi.'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*I Wakorintho 3:16 - Upendo haufurahii mabaya bali hufurahia pamoja na kweli.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''8. Wakanye kwa machozi kuwa wale ambao hawatapokea Kristo Yesu kama mwokozi aliyekufa na kufufuka ambaye anaondoa dhambi za ulimwengu, wataangamia kwa ghadhabu za Mungu.'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Yohana1:12 - Bali wote waliompokea, aliwapa uwezo wa kufanyika wana wa Mungu, walioamini jina lake. &lt;br /&gt;
*Warumi 10:9 - Kwa sababu kama ukikiri kwa kinywa chako kwamba “Yesu ni Bwana.” Na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokoka. &lt;br /&gt;
*Wafilipi 3:18 - Kama nilivyokwisha kuwaambia mara nyingi kabla, nami sasa nasema tena hata kwa machozi watu wengi wanaishi kama adui wa msalaba wa Kristo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''9. Usiwaelekeze kwa njia mbaya ama kuwapa tumaini lisilo la kweli kwa kusema “Waisilamu wanamwabudu Mungu wa kweli.”'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Neno hili linaonyesha karibu kila mtu taswira sahihi ya moyo wa Muisilamu ujuao, upendao na kumcha Mungu wa kweli. Lakini Yesu anafanya jibu la kibinafsi ya mtu mwenyewe kama jaribio la uhakika wa mtu katika kumcha Mungu. Na yeye ni wazi kuwa mtu akimkataa kama mtauwa apeanaya maisha yake kama fidia kwa ajili ya dhambi na amefufuka tena—Huyo mtu hajui, wala kupenda ama kumcha Mungu wa kweli.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Yohana 8:19 - Ndipo wakamuuliza [Yesu], “Huyo Baba yako yuko wapi?” yesu akawajibu, “Ninyi hamnifahamu mimi ni nani, wala hamfahamu Baba yangu. Kama mngenifahamu mimi, mngefahamu na Baba Yangu.” &lt;br /&gt;
*Yohana 5:23 - Ili wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Yeyote asiyemheshimu mwana, hamheshimu aliyemtuma. &lt;br /&gt;
*Yohana 5:42-43 - [Yesu akasema], “Lakini mnajua kwamba hamna upendo wa Mungu mioyoni mwenu. Mimi nimekuja kwa jina la Baba yangu, nanyi hamnipokei.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Upendo hautaelekeza Waisilamu, ama wale wanaowajali kwa njia mbaya, kwa kusema kuwa ‘wanamjua’ ama ‘kumcha’ na ‘kumpenda’ Mungu wa kweli kama hawatampokea Yesu vile alivyo. Hatuwezi kuiona mioyo ya watu. Tunajuaje kama wanamjua na kumcha Mungu wa kweli? Tunaweka chini uhai wetu ili kuwapa Yesu. Wakimpokea, wanajua na kupenda na kumcha Mungu. Wasipompokea Yesu, naye Mungu pia hawajampokea. Yesu ndiye jawabu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hilo ndilo hoja katika neno la Yesu katika Luka 10:16’ “Yeye amkataaye mimi amkataa yeye aliyenituma.” Na katika Mathayo 10:40, “Yeyote atakaye nipokea mimi atakuwa amepokea Yeye aliyenituma.” Na katika Yohana 5:46, “kama mngelimwamini Musa, mngeliniamini Mimi.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kitu cha kupendeza ambacho tunaweza kuwafanyia Waisilamu ama mtu yeyote Yule, ni kuwaambia ukweli kamili kuhusu Yesu, kwa njia ya tunzo la kidhabihu kwao na kuwa tayari kuteseka kwa ajili yao badala ya kuwaacha, na halafu kuwasihi kuacha “kuabudu isiyo faida” (Mariko 7:7) na kuupokea Kristo kama mwokozi aliyesulubishwa na kufufuka kwa ajili ya msamaha wa dhambi zao na tumaini ya uzima wa milele. Hii ingekuwa furaha yetu kuu—Kuwa na ndugu na dada kutoka kwa Waisilamu ulimwenguni.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_kinachotendeka_katika_kuzaliwa_upya</id>
		<title>Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_kinachotendeka_katika_kuzaliwa_upya"/>
				<updated>2018-05-29T20:50:54Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya umesogezwa hapa Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya? sehemu ya 1&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;#REDIRECT [[Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya? sehemu ya 1]]&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_kinachotendeka_katika_kuzaliwa_upya%3F_sehemu_ya_1</id>
		<title>Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya? sehemu ya 1</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_kinachotendeka_katika_kuzaliwa_upya%3F_sehemu_ya_1"/>
				<updated>2018-05-29T20:50:54Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya umesogezwa hapa Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya? sehemu ya 1&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|What Happens in the New Birth? Part 1}}&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;amp;gt; Basi palikuwa na mtu mmoja wa mafarisayo jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi. Huyu alimjia usiku akamwambia.’Rabii twajua ya kuwa u mwalimu, umetoka kwa Mungu,kwa maana hakuna mtu awezaye kuzifanya ishara hizi uzifanyazo wewe.isipokuwa munu yu pamoja naye.” Yesu akajibu,”Akamwambia Amini, amini na kuambia mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” Nikodemo akamwambia, “Awezaje mtu kuzaliwa akiwa mzee? Aweza kuingia tumboni mara ya pili akazaliwa?” Yesu akajibu,”Amin Amin nakuambiamtu asipozaliwa kwa maji na kwa roho hawezi kuingia ufalme wa Mungu. Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili na kilichozaliwa kwa roho ni roho. Usistaajabu kwa kuwa nilikuambia, hamna budi kuzaliwa mara ya pili.” Upepo huvuma upendako na sauti yake waisikia, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda; kadhalika na hali yake kule mtu aliyezaliwa kwa Roho.” Nikodemo akajibu akamwambia, Yawezaje kuwa mambo haya?” Yesu akajibu, akamwambia,”Je! Wewe u mwalimu wa Israeli, na mambo haya huyafahamu?” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tumeuanzisha mfululizo wa ujumbe wa kuzaliwa upya. Yesu alimwambia Nikodemo katika Yohana 3:3 “Amin Amin na kuambia mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” Alikuwa akinenea na sisi sote aliposema haya. Nikodemo hakuwa mtu maalum. Wewe na mimi sharti kuzaliwa mara ya pili,la sivyo hatutaona ufalme wa Mungu. Kumaanisha hatutaokoka; hatutakuwa sehemu ya familia ya Mungu wala hatutaenda Mbinguni bali jehanamu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nikodemo alikuwa mmoja wa wafarisayo, kiongozi wa kichini wa wayahudi.Yesu akawaambia katika Mathayo 23:15 na 33. “Ole wenu waandishi na mafarisayo wanafiki! Kwa kuwa mnazunguka katika bahari na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja kuwa mwongofu: na kiisha kufanyika mnamfanya kuwa mwana jehanamu mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe….Enyi nyoka,wana wa majoka,mtaikimbiaje hukumu wa jehanamu?”Sasa somo tuliomaliza si somo la kufikiria, ni ya msingi.umilele huangikwa kwenye mizani tunaponena kuhusu kuzaliwa upya.Mpaka mtu azaliwe mara ya pili hawezi kuona ufalme wa Mungu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuzaliwa Upya Hakutulizi ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwenye ujumbe wa kwanza wakati uliopita tuliangazia kuhusu somo hili na baadhi ya maswali tutakayouliza. Swali la leo ni:Ni nini kinachofanyika katika kuzaliwa upya? Kabla ya kujibu swali hili, hebu nitaje kuhusika kwangu kuhusu njia jumbe hizi zitakavyo sikizwa. Ninajua kuwa msururu mafunzo ya jumbe hizi hazitafanya wengi wenu kutulia-Kama vile maneno ya Yesu haufanyi wengi wetu watulie tunapoichukua kwa mkazo. Kuna zaidi ya udhuru tatu: &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1) Kwa Sababu ya hali yetu ya kukosa Tumaini ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mafunzo ya Yesu kuhusu kuzaliwa upya yanatuvamia katika hali zetu za kukosa matumaini kiroho, kimaadili na hali ya kisheria kando na neema ya Mungu inayohuisha. Kabla ya kuzaliwa upya kutendeka kwetu tumekufa kiroho. Tumejawa uasi na kukosa maadili. Vile vile tuna hatia mbele za sheria na chini ghadhabu ya Mungu. Yesu anapotuambia kuwa sharti tuzaliwe mara ya pili anatueleza kuwa hali yetu ya sasa hauajibiki kwa kukosa tumaini, uharibifu na hatia. Kando na neema kuu kwa maisha yetu hatutaki kusikiza haya sisi wenyewe. Basi haitulizi Yesu anapotuambia lazima tuzaliwe mara ya pili. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2) Kwa Sababu hatuwezi kusababisha kuzaliwa upya ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mafunzo kuhusu kuzaliwa upya hayatulizi kwa kuwa yanamaanisha jambo linalofanyika kwetu si tunalofanya wenyewe. Yohana 1:13 linasisitiza zaidi. Hii ni kuwa watoto wa Mungu wale ambao “waliozaliwa si kwa damu wala si kwa mapenzi ya mwili wala si kwa mapenzi ya mtu bali kwa Mungu.”Petero anatilia mkazo jambo lilo hilo. “Ahimidiwe mungu Baba wa Bwana wetu Yesu! Ambaye kwa neema zake nyingi alituzoa mara ya pili.” 1 Petero 1:3. Sisi hatufanyi kuzaliwa upya. Yaani kuzaliwa upya hakupo mikononi mwetu wala si kwa udhabiti wetu. Sasa inatuingilia katika ukosefu wetu wa tumaini na kumtegemea mtu aliye nje ya nafsi zetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii haiwezi kutuliza. Tumeambiwa ya kwamba hatuwezi kuona ufalme wa Mungu kama hatutazaliwa mara ya pili.Pia tumeambiwa kuwa hatuwezi fanya sisi wenyewe kuzaliwa mara ya pili.Hii haitulizi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 3) Kwa sababu uhuru kamili ya Mungu unatuvamia tu: ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu ya tatu katika mafunzo ya Yesu kuhusu kuzaliwa upya kutotuliza ni kwamba inatuvamia na uhuru kamili ya Mungu. Mbali na Mungu, tumekufa kiroho katika ubinafsi na uasi wetu,kiasili sisi ni wana wa ghadhabu Wafeso 2:3 Kuasi kwetu ni kuingia zaidi ya kutogundua wala kutamani Kristo katika Injili (2. Wakorintho 4:4) Kama tutazaliwa mara ya pili utategemea uamuzi wa Mungu.Uamuzi wake kutaweka hai hautategemea sisi tuliokufa kiroho tunavyofanya lakini tunachotenda kitakuwa matokeo ya kutufanya hai.Kwa wengi mwanzoni haitulizi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tumaini langu kuthibitika na kuokoka bali si kutotulia tu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ninavyoanza fumo hili najua vile mafundisho haya hayatatuliza kuhusu kuzaliwa upya. Na lo! Kiasi gani nahitaji kuwa mwangalifu. Sitaki nitie wasi wasi usio na maana kwa nafsi thabiti.;sitaki niwape tumaini ya uwongo kwa wale waliochanganyisha maadili au dini kwa maisha ya kiroho. Nawasihi mniombee najihisi kwamba nazichukua nafsi za milele mikononi mwangu siku hizi. Ilhali nafahamu kwamba mimi sina nguvu ndani yangu kuwapa uzima lakini Mungu anaweza. Nina matumaini kwamba atafanya anavyosema katika Waefeso 2:4-5 lakini Mungu kwa kuwa ni mwingi wa rehema kwa mapenzi yake makuu aliyotupenda,hata wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu,alituhusisha pamoja na kristo-tumeokolewa kwa neema.” Mungu angependa kudhihirisha wingi wa neema yake iletayo uzima mahali Yesu ameinuliwa katika kweli. Ndio tumaini langu: Kwamba funzo hili halitakutuliza tu lakini kukuthibiti na kukuokoa &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nini kinafanyika katika kuzaliwa upya? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tulitazame sasa swali hili: Nini hufanyika katika kuzaliwa upya?Nitajaribu kuweka jibu katika maelezo matatu: mawili ya asilani tutayafafanua leo na la tatu tutashughulikia (Mungu akipenda) wiki ijayo. 1) Kinachofanyika kwa kuzaliwa upya si kupata dini mpya bali uzima upya. 2)kinachofanyika katika kuzaliwa upya si kuonyesha uungu ndani ya Kristo bali kushuhudia uungu ndani yako. 3) yanayotendeka katika kuzaliwa upya si kustawisha maumbile yako ya asilia bali kuumbwa kwa ubinadamu wa asilia mpya -Asili ambayo kwa hakika ni wewe na imesamehewa,kusafishwa na ni asilia ambayo kweli ni mpya na inaundwa kwa ukaaji wa roho wa Mungu.Hebu tuyafafanue moja baada ya nyingine. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1) Uzima mpya,si dini mpya. ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kinachotendeka katika kuzaliwa upya si kupata dini mpya bali uzima mpya.soma nami mistari ya kwanza tatu ya Yohana 3: “Basi palikuwa na mtu mmoja wa mafarisayo jina lake Nikodemo mkuu wa wayahudi.Huyu alimjia Yesu usiku moja akamwambia ,“Rabi twajua ya kuwa u mwalimu,umetoka kwa Mungu,kwa maana hakuna mtu awezaye kufanya ishara hizi uzifanyazo wewe , isipokuwa Mungu yu pamoja naye. Yesu akajibu akamwambia “Amin Amin nakuambia mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuuona mfalme wa Mungu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yohana anahakikisha kuwa tunafahamu Nikodemo kama mfarisayo aidha mkuu wa Wayahudi. Wafarisayo ndio walikuwa wataua wa dini kuliko wayahudi wote. Kwa lili Yesu anamwambia (Katika Mstari wa 3) “amin amin nakuambia mtu asipolzaliwa mara ya pili hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” Zaidi kibinafsi mstari wa 7:”Huna budi kuzaliwa mara ya pili.” Jambo la Kwanza muhimu la Yohana ni&amp;amp;nbsp;:Katika kila kitu cha Nikodemo:Dini,uwalimu wake wa ufarisayo,heshima utiifu wa sheria-haviwezi kubadilisha kuhitaji kwa kuzaliwa upya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kile Nikodemo anahitaji pamoja na wewe na mimi si dini bali uzima. Sababu ya kutaja kuzaliwa upya ni uzao huu unaleta uzima mpya ulimwenguni.Kwa hisia hakika Nikodemo yu hai,anapumua,uweza kufikiri,ana hisia,ana vitendo ni mwanadamu aliyeumbwa kwa sura ya Mungu. Lakini kwa dhibitisho Yesu anafikiria amekufa. Hakuna maisha ya kiroho kwa Nikodemo kiroho hajazaliwa. Anahitaji uzima wala si kazi ya dini wala nguvu na uwezo wa dini ziada.Tayari anazo zakutosha. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je,wakumbuka kile Yesu alisema katika Luka 9:60 kwa Yule aliyekataa kumfuata Yesu ili aende akamzike baba yake? “Waache wafu wawazike wafu wao.” Kumaanisha kuwa kuna wale wliokufa kimwili wanaohitaji kuzikwa na kuna wafu kiroho ambao wapaswa kuwazika. Kwa maneno mengine: Yesu aliwafikiria kama watu ambao watembea wakiwa wazima dhahiri bali ni wafu. Katika mfano wa mwana mpotevu baba anasema “Kwa kuwa mwanangu alikuwa amekufa na amefufuka.” (Luka 15-24) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nikodemo alikuwa ahitaji dini lakini uzima wa Kiroho.Kinachotendeka kwa kuzaliwa upya ni kwamba uzima ambao haukuwa mwanzo huja.Uzima mpya hufanyika katika kuzaliwa upya. Hii si kazi ya dini wala heshima wala uamuzi. Hii ni kuja kuwepo kwa uzima. Hii ndiyo njia ya kwanza ya kufafanua kinachofanyika kwenye kuzaliwa upya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2) Kushuhudia uungu si tu kuonyesha ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kinachotendeka katika kuzaliwa upya si tu kuonyesha uungu ndani ya Yesu bali kushuhudia uungu ndani yako. Katika mstari wa 2, Nikodemo anasema, “Rabi twajua ya kuwa u mwalimu umetoka kwa Mungu, kwa maana hakuna mtu awezaye kuzifanya Ishara hizi uzifanyazo isipokuwa Mungu yu pamoja naye.”kwa maneno mengine:Nikodemo anaona ndani ya Yesu tendo la kiungu halisi. Anakubali kuwa yesu ametoka kwa Mungu. Yesu anatenda kazi za Mungu. Yesu hujibu kw akusema,Ningesihi kila mmoja wa palestina angeona ukweli unaona ndani yangu.badala yake anasema ,”Lazima uzaliwe mara ya pili la sivyo hutauona ufalme wa Mungu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuona ishara na maajabu na kustajabia, kushukuru kazi yake ya miujiza kwamba ametoka kwa Mungu haziwezi kuokoa mtu yeyote. Hii ni moja wapo wa hatari za Ishara na maajabu. Huitaji moyo mpya ili ushangazwe nazo. Yule utu wa kale ulioasi ndiye anayehitajika ili astaajabie ishara na maajabu. Mtu wa kale aliyeasi anapenda kusema kuwa anayetenda kazi ya muijiza ametoka kwa Mungu. Shetani mwenyewe amejua kuwa Yesu ni mwana wa Mungu na anatenda miujiza (Mariko 1:24). Kwa Nikodemo kuniona kama atendaye miujiza aliyetumwa na Mungu si kibali cha kuingia katika ufalme wa Mungu. “Amin amin nakwambia mpaka uzaliwe mara ya pili ndipo utakapoingia kwa ufalme wa Mungu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yaani, kilicho muhimu si tu kudhibitisha tu uungu ndani ya Yesu bali kushuhudia uungu huu ndani yako.Kuzaliwa upya ni ya kiungu si asili.Haihesabiki kwa mambo ambayo hupatikana ulimwenguni. Mstari wa 6 unasisitiza asili ya uungu katika kuzaliwa upya.”Kilichozaliwa na mwili ni mwili na kilichozaliwa na roho ni roho.”Mwili ndiyo tuko kiasili. Roho wa Mungu ni mtu wa kiungu aletaye kuzaliwa upya.Yesu anasema haya tena katika mstari wa 8: “Upepo huvuma upendako,na sauti yake waisikia lakini hujui unakotoka wala unakokwenda,kadhalika na hali yake kile mtu aliyezaliwa kwa Roho.”Roho si sehemu ya ulimwengu asili. Ni zaidi ya asili.Yeye ni wa kiuungu. Kwa hakika ni Mungu.Yeye ndiye kwa karibu huleta kuzaliwa upya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa Nikodemo, Yesu anamwambia kinachotendeka katika kuzaliwa upya si tu kudhibitisha uungu ndani yangu bali kushuhudia uungu ndani yako. Lazima uzaliwe mara ya pili.Si kwa mfano yoyote ya kiasili bali kwa njia ya kiungu. Mungu roho mtakatifu lazima aje juu yako na kuleta uzima mpya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tutachunguza wakati mwingine maneno kwenye mistari wa 5: Amin amin nakuambia mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho huwezi kuungia ufalme wa mungu.” Maji na Roho yana maana gani hapa? Na inatusaidia vipi kufahamu yanayotendeka katika kuzaliwa upya &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yesu ndiye uzima ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunafunga kwa leo kwa kufanya uunganifu muhimu kati ya kuzaliwa mara ya pili katika roho na kuwa na uzima wa milele kwa imani ndani ya Yesu. Kile ambacho tumeona ni kuwa kinachotendeka kwenye uzao mpya ni kiungu ndani ya Roho mtakatifu aletaye uzima wa kiroho mahali haupatikani.Yesu alisema tena katika Yohana 6:63 Ni Roho ndiyo atiaye uzima ,mwili haufai kitu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Walakini injli ya Yohana inafafanua jambo jingine vile vile kwa uwazi:Yesu ndiye uzima ambao roho mtakatifu hutupa au tuseme uzima wa kiroho ambao hutupa tu kulingana na uunganifu na Yesu. Hapo ndipo tunashuhudia uzima wa kiroho tena wa kiungu.Yesu alisema katika Yohana 14;6 “mimi ndimi njia,na kweli, na uzima.Mtu haji kwa baba ila kwa njia yangu mimi. Katika Yohana 6;35 alisema “mimi ndimi chakula cha uzima “na katika 20;31 Yohana anasema “lakini hizi zimeaandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye kristo,mwana wa Mungu na kwa kuamini muwe na uzima kwa jina lake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hakuna Uzima bila Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa hakuna uzima wa kiroho wala wa milele bila kuunganishwa na Yesu na kumwamini. Tutakuwa na mengi ya kusema kuhusu uhusiano baina ya kuzaliwa upya na kumwamini Yesu. Wacha tuiweke hivi kwa sasa&amp;amp;nbsp;:katika kuzaliwa upya Roho mtakatifu hutuunganisha na Kristo katika muungano ulio hai. Yesu ni uzima.Yesu ni mzabibu patokapo uzima. Sisi ni matawi (Yohana 15:1) kinachotendeka kwa kuzaliwa upya ni maumbile ya kiungu ya uzima wa kiroho mpya,na huumbwa kupitia kuunganishwa na Yesu Kristo.Roho mtakatifu hutuleta kwenye muungano huu muhimu na Kristo ambaye ndiye njia ,kweli na uzima. Hili ndilo lengo la hakika la kinachotendeka katika kuzaliwa upya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa upande wetu- vile tunavyoshuhudia haya ni kwamba imani kwa Yesu huinuliwa katika mioyo yetu, uzima wa kiroho na imani kwa Yesu yanaja kwa pamoja. Maisha au uzima mpya huwezesha imani na kwamba uzima wa kiroho huinua na kuonyesha imani basi hakuna uzima bila Imani kwa Yesu. Basi haifai kutenganisha kuzaliwa upya na kumwamini Yesu. Upande wa Mungu ni kuwa tumeunganishwa na Kristo katika kuzaliwa upya .Hii ndiyo Roho mtakatifu hutenda. Kwa upande wetu tunashuhudia muungano huu tukiwa tumemwamini Yesu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Usiwahi Kamwe kutenganisha kuzaliwa upya na kumwamini Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sikiza vile Yohana anavyoiweka pamoja katika 1 Yohana 5:4 Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu,na huku ndiko kuushinda kuushindako ulimwengu.Kuzaliwa na Mungu ndiyo ufunguo wa ushindi. Imani ni ufunguo wa Ushindi.kwa sababu imani ndiyo njia tunayoshuhudia kuzaliwa na Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Au sikiza Yohana anavyosema katika 1 Yohana 5:11-12 “Na huu ndio ushuhuda ya kwamba Mungu alitupa uzima wa milele na uzima huu umo katika mwanawe.Yeye aliye naye Mwana,anao huo uzima; asiye naye Mwana wa Mungu hana huo uzima.”Basi Yesu anaposema, “Ni Roho atiaye uzima, mwili haufai chochote” Yohana 6:63 na anaposema, “Lazima uzaliwe kwa Roho ili kuwa na uzima ana maana kuwa&amp;amp;nbsp;:Katika kuzaliwa upya Roho mtakatifu kwa njia ya kiungu hutupa uzima wa kiroho mpya kwa kutuunganisha na Kristo kupitia imani. Kwa kuwa Yesu ni Uzima. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi usitenganishe misemo hii miwili katika Yohana 3. “Mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” (Mstari 3) na “Amwaminiye Mwana wa Mungu ana uzima wa milele” (Mstari 36) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;br&amp;gt;&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_kinachotendeka_katika_kuzaliwa_upya%3F_sehemu_ya_1</id>
		<title>Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya? sehemu ya 1</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_kinachotendeka_katika_kuzaliwa_upya%3F_sehemu_ya_1"/>
				<updated>2018-05-29T20:49:36Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|What Happens in the New Birth? Part 1}}&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;amp;gt; Basi palikuwa na mtu mmoja wa mafarisayo jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi. Huyu alimjia usiku akamwambia.’Rabii twajua ya kuwa u mwalimu, umetoka kwa Mungu,kwa maana hakuna mtu awezaye kuzifanya ishara hizi uzifanyazo wewe.isipokuwa munu yu pamoja naye.” Yesu akajibu,”Akamwambia Amini, amini na kuambia mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” Nikodemo akamwambia, “Awezaje mtu kuzaliwa akiwa mzee? Aweza kuingia tumboni mara ya pili akazaliwa?” Yesu akajibu,”Amin Amin nakuambiamtu asipozaliwa kwa maji na kwa roho hawezi kuingia ufalme wa Mungu. Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili na kilichozaliwa kwa roho ni roho. Usistaajabu kwa kuwa nilikuambia, hamna budi kuzaliwa mara ya pili.” Upepo huvuma upendako na sauti yake waisikia, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda; kadhalika na hali yake kule mtu aliyezaliwa kwa Roho.” Nikodemo akajibu akamwambia, Yawezaje kuwa mambo haya?” Yesu akajibu, akamwambia,”Je! Wewe u mwalimu wa Israeli, na mambo haya huyafahamu?” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tumeuanzisha mfululizo wa ujumbe wa kuzaliwa upya. Yesu alimwambia Nikodemo katika Yohana 3:3 “Amin Amin na kuambia mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” Alikuwa akinenea na sisi sote aliposema haya. Nikodemo hakuwa mtu maalum. Wewe na mimi sharti kuzaliwa mara ya pili,la sivyo hatutaona ufalme wa Mungu. Kumaanisha hatutaokoka; hatutakuwa sehemu ya familia ya Mungu wala hatutaenda Mbinguni bali jehanamu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nikodemo alikuwa mmoja wa wafarisayo, kiongozi wa kichini wa wayahudi.Yesu akawaambia katika Mathayo 23:15 na 33. “Ole wenu waandishi na mafarisayo wanafiki! Kwa kuwa mnazunguka katika bahari na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja kuwa mwongofu: na kiisha kufanyika mnamfanya kuwa mwana jehanamu mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe….Enyi nyoka,wana wa majoka,mtaikimbiaje hukumu wa jehanamu?”Sasa somo tuliomaliza si somo la kufikiria, ni ya msingi.umilele huangikwa kwenye mizani tunaponena kuhusu kuzaliwa upya.Mpaka mtu azaliwe mara ya pili hawezi kuona ufalme wa Mungu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuzaliwa Upya Hakutulizi ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwenye ujumbe wa kwanza wakati uliopita tuliangazia kuhusu somo hili na baadhi ya maswali tutakayouliza. Swali la leo ni:Ni nini kinachofanyika katika kuzaliwa upya? Kabla ya kujibu swali hili, hebu nitaje kuhusika kwangu kuhusu njia jumbe hizi zitakavyo sikizwa. Ninajua kuwa msururu mafunzo ya jumbe hizi hazitafanya wengi wenu kutulia-Kama vile maneno ya Yesu haufanyi wengi wetu watulie tunapoichukua kwa mkazo. Kuna zaidi ya udhuru tatu: &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1) Kwa Sababu ya hali yetu ya kukosa Tumaini ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mafunzo ya Yesu kuhusu kuzaliwa upya yanatuvamia katika hali zetu za kukosa matumaini kiroho, kimaadili na hali ya kisheria kando na neema ya Mungu inayohuisha. Kabla ya kuzaliwa upya kutendeka kwetu tumekufa kiroho. Tumejawa uasi na kukosa maadili. Vile vile tuna hatia mbele za sheria na chini ghadhabu ya Mungu. Yesu anapotuambia kuwa sharti tuzaliwe mara ya pili anatueleza kuwa hali yetu ya sasa hauajibiki kwa kukosa tumaini, uharibifu na hatia. Kando na neema kuu kwa maisha yetu hatutaki kusikiza haya sisi wenyewe. Basi haitulizi Yesu anapotuambia lazima tuzaliwe mara ya pili. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2) Kwa Sababu hatuwezi kusababisha kuzaliwa upya ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mafunzo kuhusu kuzaliwa upya hayatulizi kwa kuwa yanamaanisha jambo linalofanyika kwetu si tunalofanya wenyewe. Yohana 1:13 linasisitiza zaidi. Hii ni kuwa watoto wa Mungu wale ambao “waliozaliwa si kwa damu wala si kwa mapenzi ya mwili wala si kwa mapenzi ya mtu bali kwa Mungu.”Petero anatilia mkazo jambo lilo hilo. “Ahimidiwe mungu Baba wa Bwana wetu Yesu! Ambaye kwa neema zake nyingi alituzoa mara ya pili.” 1 Petero 1:3. Sisi hatufanyi kuzaliwa upya. Yaani kuzaliwa upya hakupo mikononi mwetu wala si kwa udhabiti wetu. Sasa inatuingilia katika ukosefu wetu wa tumaini na kumtegemea mtu aliye nje ya nafsi zetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii haiwezi kutuliza. Tumeambiwa ya kwamba hatuwezi kuona ufalme wa Mungu kama hatutazaliwa mara ya pili.Pia tumeambiwa kuwa hatuwezi fanya sisi wenyewe kuzaliwa mara ya pili.Hii haitulizi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 3) Kwa sababu uhuru kamili ya Mungu unatuvamia tu: ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu ya tatu katika mafunzo ya Yesu kuhusu kuzaliwa upya kutotuliza ni kwamba inatuvamia na uhuru kamili ya Mungu. Mbali na Mungu, tumekufa kiroho katika ubinafsi na uasi wetu,kiasili sisi ni wana wa ghadhabu Wafeso 2:3 Kuasi kwetu ni kuingia zaidi ya kutogundua wala kutamani Kristo katika Injili (2. Wakorintho 4:4) Kama tutazaliwa mara ya pili utategemea uamuzi wa Mungu.Uamuzi wake kutaweka hai hautategemea sisi tuliokufa kiroho tunavyofanya lakini tunachotenda kitakuwa matokeo ya kutufanya hai.Kwa wengi mwanzoni haitulizi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tumaini langu kuthibitika na kuokoka bali si kutotulia tu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ninavyoanza fumo hili najua vile mafundisho haya hayatatuliza kuhusu kuzaliwa upya. Na lo! Kiasi gani nahitaji kuwa mwangalifu. Sitaki nitie wasi wasi usio na maana kwa nafsi thabiti.;sitaki niwape tumaini ya uwongo kwa wale waliochanganyisha maadili au dini kwa maisha ya kiroho. Nawasihi mniombee najihisi kwamba nazichukua nafsi za milele mikononi mwangu siku hizi. Ilhali nafahamu kwamba mimi sina nguvu ndani yangu kuwapa uzima lakini Mungu anaweza. Nina matumaini kwamba atafanya anavyosema katika Waefeso 2:4-5 lakini Mungu kwa kuwa ni mwingi wa rehema kwa mapenzi yake makuu aliyotupenda,hata wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu,alituhusisha pamoja na kristo-tumeokolewa kwa neema.” Mungu angependa kudhihirisha wingi wa neema yake iletayo uzima mahali Yesu ameinuliwa katika kweli. Ndio tumaini langu: Kwamba funzo hili halitakutuliza tu lakini kukuthibiti na kukuokoa &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nini kinafanyika katika kuzaliwa upya? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tulitazame sasa swali hili: Nini hufanyika katika kuzaliwa upya?Nitajaribu kuweka jibu katika maelezo matatu: mawili ya asilani tutayafafanua leo na la tatu tutashughulikia (Mungu akipenda) wiki ijayo. 1) Kinachofanyika kwa kuzaliwa upya si kupata dini mpya bali uzima upya. 2)kinachofanyika katika kuzaliwa upya si kuonyesha uungu ndani ya Kristo bali kushuhudia uungu ndani yako. 3) yanayotendeka katika kuzaliwa upya si kustawisha maumbile yako ya asilia bali kuumbwa kwa ubinadamu wa asilia mpya -Asili ambayo kwa hakika ni wewe na imesamehewa,kusafishwa na ni asilia ambayo kweli ni mpya na inaundwa kwa ukaaji wa roho wa Mungu.Hebu tuyafafanue moja baada ya nyingine. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1) Uzima mpya,si dini mpya. ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kinachotendeka katika kuzaliwa upya si kupata dini mpya bali uzima mpya.soma nami mistari ya kwanza tatu ya Yohana 3: “Basi palikuwa na mtu mmoja wa mafarisayo jina lake Nikodemo mkuu wa wayahudi.Huyu alimjia Yesu usiku moja akamwambia ,“Rabi twajua ya kuwa u mwalimu,umetoka kwa Mungu,kwa maana hakuna mtu awezaye kufanya ishara hizi uzifanyazo wewe , isipokuwa Mungu yu pamoja naye. Yesu akajibu akamwambia “Amin Amin nakuambia mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuuona mfalme wa Mungu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yohana anahakikisha kuwa tunafahamu Nikodemo kama mfarisayo aidha mkuu wa Wayahudi. Wafarisayo ndio walikuwa wataua wa dini kuliko wayahudi wote. Kwa lili Yesu anamwambia (Katika Mstari wa 3) “amin amin nakuambia mtu asipolzaliwa mara ya pili hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” Zaidi kibinafsi mstari wa 7:”Huna budi kuzaliwa mara ya pili.” Jambo la Kwanza muhimu la Yohana ni&amp;amp;nbsp;:Katika kila kitu cha Nikodemo:Dini,uwalimu wake wa ufarisayo,heshima utiifu wa sheria-haviwezi kubadilisha kuhitaji kwa kuzaliwa upya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kile Nikodemo anahitaji pamoja na wewe na mimi si dini bali uzima. Sababu ya kutaja kuzaliwa upya ni uzao huu unaleta uzima mpya ulimwenguni.Kwa hisia hakika Nikodemo yu hai,anapumua,uweza kufikiri,ana hisia,ana vitendo ni mwanadamu aliyeumbwa kwa sura ya Mungu. Lakini kwa dhibitisho Yesu anafikiria amekufa. Hakuna maisha ya kiroho kwa Nikodemo kiroho hajazaliwa. Anahitaji uzima wala si kazi ya dini wala nguvu na uwezo wa dini ziada.Tayari anazo zakutosha. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je,wakumbuka kile Yesu alisema katika Luka 9:60 kwa Yule aliyekataa kumfuata Yesu ili aende akamzike baba yake? “Waache wafu wawazike wafu wao.” Kumaanisha kuwa kuna wale wliokufa kimwili wanaohitaji kuzikwa na kuna wafu kiroho ambao wapaswa kuwazika. Kwa maneno mengine: Yesu aliwafikiria kama watu ambao watembea wakiwa wazima dhahiri bali ni wafu. Katika mfano wa mwana mpotevu baba anasema “Kwa kuwa mwanangu alikuwa amekufa na amefufuka.” (Luka 15-24) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nikodemo alikuwa ahitaji dini lakini uzima wa Kiroho.Kinachotendeka kwa kuzaliwa upya ni kwamba uzima ambao haukuwa mwanzo huja.Uzima mpya hufanyika katika kuzaliwa upya. Hii si kazi ya dini wala heshima wala uamuzi. Hii ni kuja kuwepo kwa uzima. Hii ndiyo njia ya kwanza ya kufafanua kinachofanyika kwenye kuzaliwa upya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2) Kushuhudia uungu si tu kuonyesha ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kinachotendeka katika kuzaliwa upya si tu kuonyesha uungu ndani ya Yesu bali kushuhudia uungu ndani yako. Katika mstari wa 2, Nikodemo anasema, “Rabi twajua ya kuwa u mwalimu umetoka kwa Mungu, kwa maana hakuna mtu awezaye kuzifanya Ishara hizi uzifanyazo isipokuwa Mungu yu pamoja naye.”kwa maneno mengine:Nikodemo anaona ndani ya Yesu tendo la kiungu halisi. Anakubali kuwa yesu ametoka kwa Mungu. Yesu anatenda kazi za Mungu. Yesu hujibu kw akusema,Ningesihi kila mmoja wa palestina angeona ukweli unaona ndani yangu.badala yake anasema ,”Lazima uzaliwe mara ya pili la sivyo hutauona ufalme wa Mungu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuona ishara na maajabu na kustajabia, kushukuru kazi yake ya miujiza kwamba ametoka kwa Mungu haziwezi kuokoa mtu yeyote. Hii ni moja wapo wa hatari za Ishara na maajabu. Huitaji moyo mpya ili ushangazwe nazo. Yule utu wa kale ulioasi ndiye anayehitajika ili astaajabie ishara na maajabu. Mtu wa kale aliyeasi anapenda kusema kuwa anayetenda kazi ya muijiza ametoka kwa Mungu. Shetani mwenyewe amejua kuwa Yesu ni mwana wa Mungu na anatenda miujiza (Mariko 1:24). Kwa Nikodemo kuniona kama atendaye miujiza aliyetumwa na Mungu si kibali cha kuingia katika ufalme wa Mungu. “Amin amin nakwambia mpaka uzaliwe mara ya pili ndipo utakapoingia kwa ufalme wa Mungu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yaani, kilicho muhimu si tu kudhibitisha tu uungu ndani ya Yesu bali kushuhudia uungu huu ndani yako.Kuzaliwa upya ni ya kiungu si asili.Haihesabiki kwa mambo ambayo hupatikana ulimwenguni. Mstari wa 6 unasisitiza asili ya uungu katika kuzaliwa upya.”Kilichozaliwa na mwili ni mwili na kilichozaliwa na roho ni roho.”Mwili ndiyo tuko kiasili. Roho wa Mungu ni mtu wa kiungu aletaye kuzaliwa upya.Yesu anasema haya tena katika mstari wa 8: “Upepo huvuma upendako,na sauti yake waisikia lakini hujui unakotoka wala unakokwenda,kadhalika na hali yake kile mtu aliyezaliwa kwa Roho.”Roho si sehemu ya ulimwengu asili. Ni zaidi ya asili.Yeye ni wa kiuungu. Kwa hakika ni Mungu.Yeye ndiye kwa karibu huleta kuzaliwa upya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa Nikodemo, Yesu anamwambia kinachotendeka katika kuzaliwa upya si tu kudhibitisha uungu ndani yangu bali kushuhudia uungu ndani yako. Lazima uzaliwe mara ya pili.Si kwa mfano yoyote ya kiasili bali kwa njia ya kiungu. Mungu roho mtakatifu lazima aje juu yako na kuleta uzima mpya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tutachunguza wakati mwingine maneno kwenye mistari wa 5: Amin amin nakuambia mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho huwezi kuungia ufalme wa mungu.” Maji na Roho yana maana gani hapa? Na inatusaidia vipi kufahamu yanayotendeka katika kuzaliwa upya &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yesu ndiye uzima ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunafunga kwa leo kwa kufanya uunganifu muhimu kati ya kuzaliwa mara ya pili katika roho na kuwa na uzima wa milele kwa imani ndani ya Yesu. Kile ambacho tumeona ni kuwa kinachotendeka kwenye uzao mpya ni kiungu ndani ya Roho mtakatifu aletaye uzima wa kiroho mahali haupatikani.Yesu alisema tena katika Yohana 6:63 Ni Roho ndiyo atiaye uzima ,mwili haufai kitu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Walakini injli ya Yohana inafafanua jambo jingine vile vile kwa uwazi:Yesu ndiye uzima ambao roho mtakatifu hutupa au tuseme uzima wa kiroho ambao hutupa tu kulingana na uunganifu na Yesu. Hapo ndipo tunashuhudia uzima wa kiroho tena wa kiungu.Yesu alisema katika Yohana 14;6 “mimi ndimi njia,na kweli, na uzima.Mtu haji kwa baba ila kwa njia yangu mimi. Katika Yohana 6;35 alisema “mimi ndimi chakula cha uzima “na katika 20;31 Yohana anasema “lakini hizi zimeaandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye kristo,mwana wa Mungu na kwa kuamini muwe na uzima kwa jina lake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hakuna Uzima bila Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa hakuna uzima wa kiroho wala wa milele bila kuunganishwa na Yesu na kumwamini. Tutakuwa na mengi ya kusema kuhusu uhusiano baina ya kuzaliwa upya na kumwamini Yesu. Wacha tuiweke hivi kwa sasa&amp;amp;nbsp;:katika kuzaliwa upya Roho mtakatifu hutuunganisha na Kristo katika muungano ulio hai. Yesu ni uzima.Yesu ni mzabibu patokapo uzima. Sisi ni matawi (Yohana 15:1) kinachotendeka kwa kuzaliwa upya ni maumbile ya kiungu ya uzima wa kiroho mpya,na huumbwa kupitia kuunganishwa na Yesu Kristo.Roho mtakatifu hutuleta kwenye muungano huu muhimu na Kristo ambaye ndiye njia ,kweli na uzima. Hili ndilo lengo la hakika la kinachotendeka katika kuzaliwa upya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa upande wetu- vile tunavyoshuhudia haya ni kwamba imani kwa Yesu huinuliwa katika mioyo yetu, uzima wa kiroho na imani kwa Yesu yanaja kwa pamoja. Maisha au uzima mpya huwezesha imani na kwamba uzima wa kiroho huinua na kuonyesha imani basi hakuna uzima bila Imani kwa Yesu. Basi haifai kutenganisha kuzaliwa upya na kumwamini Yesu. Upande wa Mungu ni kuwa tumeunganishwa na Kristo katika kuzaliwa upya .Hii ndiyo Roho mtakatifu hutenda. Kwa upande wetu tunashuhudia muungano huu tukiwa tumemwamini Yesu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Usiwahi Kamwe kutenganisha kuzaliwa upya na kumwamini Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sikiza vile Yohana anavyoiweka pamoja katika 1 Yohana 5:4 Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu,na huku ndiko kuushinda kuushindako ulimwengu.Kuzaliwa na Mungu ndiyo ufunguo wa ushindi. Imani ni ufunguo wa Ushindi.kwa sababu imani ndiyo njia tunayoshuhudia kuzaliwa na Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Au sikiza Yohana anavyosema katika 1 Yohana 5:11-12 “Na huu ndio ushuhuda ya kwamba Mungu alitupa uzima wa milele na uzima huu umo katika mwanawe.Yeye aliye naye Mwana,anao huo uzima; asiye naye Mwana wa Mungu hana huo uzima.”Basi Yesu anaposema, “Ni Roho atiaye uzima, mwili haufai chochote” Yohana 6:63 na anaposema, “Lazima uzaliwe kwa Roho ili kuwa na uzima ana maana kuwa&amp;amp;nbsp;:Katika kuzaliwa upya Roho mtakatifu kwa njia ya kiungu hutupa uzima wa kiroho mpya kwa kutuunganisha na Kristo kupitia imani. Kwa kuwa Yesu ni Uzima. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi usitenganishe misemo hii miwili katika Yohana 3. “Mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” (Mstari 3) na “Amwaminiye Mwana wa Mungu ana uzima wa milele” (Mstari 36) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;br&amp;gt;&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_kinachotendeka_katika_kuzaliwa_upya%3F_sehemu_ya_1</id>
		<title>Ni nini kinachotendeka katika kuzaliwa upya? sehemu ya 1</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_kinachotendeka_katika_kuzaliwa_upya%3F_sehemu_ya_1"/>
				<updated>2018-05-29T20:49:20Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|What Happens in the New Birth? Part 1}}&amp;lt;br&amp;gt;   &amp;amp;gt; Basi palikuwa na mtu mmoja wa mafarisayo jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi. Huyu alimjia usiku akamwambia.’Rabii tw...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|What Happens in the New Birth? Part 1}}&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;amp;gt; Basi palikuwa na mtu mmoja wa mafarisayo jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi. Huyu alimjia usiku akamwambia.’Rabii twajua ya kuwa u mwalimu, umetoka kwa Mungu,kwa maana hakuna mtu awezaye kuzifanya ishara hizi uzifanyazo wewe.isipokuwa munu yu pamoja naye.” Yesu akajibu,”Akamwambia Amini, amini na kuambia mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” Nikodemo akamwambia, “Awezaje mtu kuzaliwa akiwa mzee? Aweza kuingia tumboni mara ya pili akazaliwa?” Yesu akajibu,”Amin Amin nakuambiamtu asipozaliwa kwa maji na kwa roho hawezi kuingia ufalme wa Mungu. Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili na kilichozaliwa kwa roho ni roho. Usistaajabu kwa kuwa nilikuambia, hamna budi kuzaliwa mara ya pili.” Upepo huvuma upendako na sauti yake waisikia, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda; kadhalika na hali yake kule mtu aliyezaliwa kwa Roho.” Nikodemo akajibu akamwambia, Yawezaje kuwa mambo haya?” Yesu akajibu, akamwambia,”Je! Wewe u mwalimu wa Israeli, na mambo haya huyafahamu?” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tumeuanzisha mfululizo wa ujumbe wa kuzaliwa upya. Yesu alimwambia Nikodemo katika Yohana 3:3 “Amin Amin na kuambia mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” Alikuwa akinenea na sisi sote aliposema haya. Nikodemo hakuwa mtu maalum. Wewe na mimi sharti kuzaliwa mara ya pili,la sivyo hatutaona ufalme wa Mungu. Kumaanisha hatutaokoka; hatutakuwa sehemu ya familia ya Mungu wala hatutaenda Mbinguni bali jehanamu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nikodemo alikuwa mmoja wa wafarisayo, kiongozi wa kichini wa wayahudi.Yesu akawaambia katika Mathayo 23:15 na 33. “Ole wenu waandishi na mafarisayo wanafiki! Kwa kuwa mnazunguka katika bahari na nchi kavu ili kumfanya mtu mmoja kuwa mwongofu: na kiisha kufanyika mnamfanya kuwa mwana jehanamu mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe….Enyi nyoka,wana wa majoka,mtaikimbiaje hukumu wa jehanamu?”Sasa somo tuliomaliza si somo la kufikiria, ni ya msingi.umilele huangikwa kwenye mizani tunaponena kuhusu kuzaliwa upya.Mpaka mtu azaliwe mara ya pili hawezi kuona ufalme wa Mungu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuzaliwa Upya Hakutulizi ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwenye ujumbe wa kwanza wakati uliopita tuliangazia kuhusu somo hili na baadhi ya maswali tutakayouliza. Swali la leo ni:Ni nini kinachofanyika katika kuzaliwa upya? Kabla ya kujibu swali hili, hebu nitaje kuhusika kwangu kuhusu njia jumbe hizi zitakavyo sikizwa. Ninajua kuwa msururu mafunzo ya jumbe hizi hazitafanya wengi wenu kutulia-Kama vile maneno ya Yesu haufanyi wengi wetu watulie tunapoichukua kwa mkazo. Kuna zaidi ya udhuru tatu: &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1) Kwa Sababu ya hali yetu ya kukosa Tumaini ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mafunzo ya Yesu kuhusu kuzaliwa upya yanatuvamia katika hali zetu za kukosa matumaini kiroho, kimaadili na hali ya kisheria kando na neema ya Mungu inayohuisha. Kabla ya kuzaliwa upya kutendeka kwetu tumekufa kiroho. Tumejawa uasi na kukosa maadili. Vile vile tuna hatia mbele za sheria na chini ghadhabu ya Mungu. Yesu anapotuambia kuwa sharti tuzaliwe mara ya pili anatueleza kuwa hali yetu ya sasa hauajibiki kwa kukosa tumaini, uharibifu na hatia. Kando na neema kuu kwa maisha yetu hatutaki kusikiza haya sisi wenyewe. Basi haitulizi Yesu anapotuambia lazima tuzaliwe mara ya pili. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2) Kwa Sababu hatuwezi kusababisha kuzaliwa upya ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mafunzo kuhusu kuzaliwa upya hayatulizi kwa kuwa yanamaanisha jambo linalofanyika kwetu si tunalofanya wenyewe. Yohana 1:13 linasisitiza zaidi. Hii ni kuwa watoto wa Mungu wale ambao “waliozaliwa si kwa damu wala si kwa mapenzi ya mwili wala si kwa mapenzi ya mtu bali kwa Mungu.”Petero anatilia mkazo jambo lilo hilo. “Ahimidiwe mungu Baba wa Bwana wetu Yesu! Ambaye kwa neema zake nyingi alituzoa mara ya pili.” 1 Petero 1:3. Sisi hatufanyi kuzaliwa upya. Yaani kuzaliwa upya hakupo mikononi mwetu wala si kwa udhabiti wetu. Sasa inatuingilia katika ukosefu wetu wa tumaini na kumtegemea mtu aliye nje ya nafsi zetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii haiwezi kutuliza. Tumeambiwa ya kwamba hatuwezi kuona ufalme wa Mungu kama hatutazaliwa mara ya pili.Pia tumeambiwa kuwa hatuwezi fanya sisi wenyewe kuzaliwa mara ya pili.Hii haitulizi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 3) Kwa sababu uhuru kamili ya Mungu unatuvamia tu: ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu ya tatu katika mafunzo ya Yesu kuhusu kuzaliwa upya kutotuliza ni kwamba inatuvamia na uhuru kamili ya Mungu. Mbali na Mungu, tumekufa kiroho katika ubinafsi na uasi wetu,kiasili sisi ni wana wa ghadhabu Wafeso 2:3 Kuasi kwetu ni kuingia zaidi ya kutogundua wala kutamani Kristo katika Injili (2. Wakorintho 4:4) Kama tutazaliwa mara ya pili utategemea uamuzi wa Mungu.Uamuzi wake kutaweka hai hautategemea sisi tuliokufa kiroho tunavyofanya lakini tunachotenda kitakuwa matokeo ya kutufanya hai.Kwa wengi mwanzoni haitulizi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tumaini langu kuthibitika na kuokoka bali si kutotulia tu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ninavyoanza fumo hili najua vile mafundisho haya hayatatuliza kuhusu kuzaliwa upya. Na lo! Kiasi gani nahitaji kuwa mwangalifu. Sitaki nitie wasi wasi usio na maana kwa nafsi thabiti.;sitaki niwape tumaini ya uwongo kwa wale waliochanganyisha maadili au dini kwa maisha ya kiroho. Nawasihi mniombee najihisi kwamba nazichukua nafsi za milele mikononi mwangu siku hizi. Ilhali nafahamu kwamba mimi sina nguvu ndani yangu kuwapa uzima lakini Mungu anaweza. Nina matumaini kwamba atafanya anavyosema katika Waefeso 2:4-5 lakini Mungu kwa kuwa ni mwingi wa rehema kwa mapenzi yake makuu aliyotupenda,hata wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu,alituhusisha pamoja na kristo-tumeokolewa kwa neema.” Mungu angependa kudhihirisha wingi wa neema yake iletayo uzima mahali Yesu ameinuliwa katika kweli. Ndio tumaini langu: Kwamba funzo hili halitakutuliza tu lakini kukuthibiti na kukuokoa &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nini kinafanyika katika kuzaliwa upya? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tulitazame sasa swali hili: Nini hufanyika katika kuzaliwa upya?Nitajaribu kuweka jibu katika maelezo matatu: mawili ya asilani tutayafafanua leo na la tatu tutashughulikia (Mungu akipenda) wiki ijayo. 1) Kinachofanyika kwa kuzaliwa upya si kupata dini mpya bali uzima upya. 2)kinachofanyika katika kuzaliwa upya si kuonyesha uungu ndani ya Kristo bali kushuhudia uungu ndani yako. 3) yanayotendeka katika kuzaliwa upya si kustawisha maumbile yako ya asilia bali kuumbwa kwa ubinadamu wa asilia mpya -Asili ambayo kwa hakika ni wewe na imesamehewa,kusafishwa na ni asilia ambayo kweli ni mpya na inaundwa kwa ukaaji wa roho wa Mungu.Hebu tuyafafanue moja baada ya nyingine. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1) Uzima mpya,si dini mpya. ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kinachotendeka katika kuzaliwa upya si kupata dini mpya bali uzima mpya.soma nami mistari ya kwanza tatu ya Yohana 3: “Basi palikuwa na mtu mmoja wa mafarisayo jina lake Nikodemo mkuu wa wayahudi.Huyu alimjia Yesu usiku moja akamwambia ,“Rabi twajua ya kuwa u mwalimu,umetoka kwa Mungu,kwa maana hakuna mtu awezaye kufanya ishara hizi uzifanyazo wewe , isipokuwa Mungu yu pamoja naye. Yesu akajibu akamwambia “Amin Amin nakuambia mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuuona mfalme wa Mungu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yohana anahakikisha kuwa tunafahamu Nikodemo kama mfarisayo aidha mkuu wa Wayahudi. Wafarisayo ndio walikuwa wataua wa dini kuliko wayahudi wote. Kwa lili Yesu anamwambia (Katika Mstari wa 3) “amin amin nakuambia mtu asipolzaliwa mara ya pili hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” Zaidi kibinafsi mstari wa 7:”Huna budi kuzaliwa mara ya pili.” Jambo la Kwanza muhimu la Yohana ni&amp;amp;nbsp;:Katika kila kitu cha Nikodemo:Dini,uwalimu wake wa ufarisayo,heshima utiifu wa sheria-haviwezi kubadilisha kuhitaji kwa kuzaliwa upya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kile Nikodemo anahitaji pamoja na wewe na mimi si dini bali uzima. Sababu ya kutaja kuzaliwa upya ni uzao huu unaleta uzima mpya ulimwenguni.Kwa hisia hakika Nikodemo yu hai,anapumua,uweza kufikiri,ana hisia,ana vitendo ni mwanadamu aliyeumbwa kwa sura ya Mungu. Lakini kwa dhibitisho Yesu anafikiria amekufa. Hakuna maisha ya kiroho kwa Nikodemo kiroho hajazaliwa. Anahitaji uzima wala si kazi ya dini wala nguvu na uwezo wa dini ziada.Tayari anazo zakutosha. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je,wakumbuka kile Yesu alisema katika Luka 9:60 kwa Yule aliyekataa kumfuata Yesu ili aende akamzike baba yake? “Waache wafu wawazike wafu wao.” Kumaanisha kuwa kuna wale wliokufa kimwili wanaohitaji kuzikwa na kuna wafu kiroho ambao wapaswa kuwazika. Kwa maneno mengine: Yesu aliwafikiria kama watu ambao watembea wakiwa wazima dhahiri bali ni wafu. Katika mfano wa mwana mpotevu baba anasema “Kwa kuwa mwanangu alikuwa amekufa na amefufuka.” (Luka 15-24) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nikodemo alikuwa ahitaji dini lakini uzima wa Kiroho.Kinachotendeka kwa kuzaliwa upya ni kwamba uzima ambao haukuwa mwanzo huja.Uzima mpya hufanyika katika kuzaliwa upya. Hii si kazi ya dini wala heshima wala uamuzi. Hii ni kuja kuwepo kwa uzima. Hii ndiyo njia ya kwanza ya kufafanua kinachofanyika kwenye kuzaliwa upya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2) Kushuhudia uungu si tu kuonyesha ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kinachotendeka katika kuzaliwa upya si tu kuonyesha uungu ndani ya Yesu bali kushuhudia uungu ndani yako. Katika mstari wa 2, Nikodemo anasema, “Rabi twajua ya kuwa u mwalimu umetoka kwa Mungu, kwa maana hakuna mtu awezaye kuzifanya Ishara hizi uzifanyazo isipokuwa Mungu yu pamoja naye.”kwa maneno mengine:Nikodemo anaona ndani ya Yesu tendo la kiungu halisi. Anakubali kuwa yesu ametoka kwa Mungu. Yesu anatenda kazi za Mungu. Yesu hujibu kw akusema,Ningesihi kila mmoja wa palestina angeona ukweli unaona ndani yangu.badala yake anasema ,”Lazima uzaliwe mara ya pili la sivyo hutauona ufalme wa Mungu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuona ishara na maajabu na kustajabia, kushukuru kazi yake ya miujiza kwamba ametoka kwa Mungu haziwezi kuokoa mtu yeyote. Hii ni moja wapo wa hatari za Ishara na maajabu. Huitaji moyo mpya ili ushangazwe nazo. Yule utu wa kale ulioasi ndiye anayehitajika ili astaajabie ishara na maajabu. Mtu wa kale aliyeasi anapenda kusema kuwa anayetenda kazi ya muijiza ametoka kwa Mungu. Shetani mwenyewe amejua kuwa Yesu ni mwana wa Mungu na anatenda miujiza (Mariko 1:24). Kwa Nikodemo kuniona kama atendaye miujiza aliyetumwa na Mungu si kibali cha kuingia katika ufalme wa Mungu. “Amin amin nakwambia mpaka uzaliwe mara ya pili ndipo utakapoingia kwa ufalme wa Mungu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yaani, kilicho muhimu si tu kudhibitisha tu uungu ndani ya Yesu bali kushuhudia uungu huu ndani yako.Kuzaliwa upya ni ya kiungu si asili.Haihesabiki kwa mambo ambayo hupatikana ulimwenguni. Mstari wa 6 unasisitiza asili ya uungu katika kuzaliwa upya.”Kilichozaliwa na mwili ni mwili na kilichozaliwa na roho ni roho.”Mwili ndiyo tuko kiasili. Roho wa Mungu ni mtu wa kiungu aletaye kuzaliwa upya.Yesu anasema haya tena katika mstari wa 8: “Upepo huvuma upendako,na sauti yake waisikia lakini hujui unakotoka wala unakokwenda,kadhalika na hali yake kile mtu aliyezaliwa kwa Roho.”Roho si sehemu ya ulimwengu asili. Ni zaidi ya asili.Yeye ni wa kiuungu. Kwa hakika ni Mungu.Yeye ndiye kwa karibu huleta kuzaliwa upya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa Nikodemo, Yesu anamwambia kinachotendeka katika kuzaliwa upya si tu kudhibitisha uungu ndani yangu bali kushuhudia uungu ndani yako. Lazima uzaliwe mara ya pili.Si kwa mfano yoyote ya kiasili bali kwa njia ya kiungu. Mungu roho mtakatifu lazima aje juu yako na kuleta uzima mpya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tutachunguza wakati mwingine maneno kwenye mistari wa 5: Amin amin nakuambia mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho huwezi kuungia ufalme wa mungu.” Maji na Roho yana maana gani hapa? Na inatusaidia vipi kufahamu yanayotendeka katika kuzaliwa upya &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yesu ndiye uzima ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunafunga kwa leo kwa kufanya uunganifu muhimu kati ya kuzaliwa mara ya pili katika roho na kuwa na uzima wa milele kwa imani ndani ya Yesu. Kile ambacho tumeona ni kuwa kinachotendeka kwenye uzao mpya ni kiungu ndani ya Roho mtakatifu aletaye uzima wa kiroho mahali haupatikani.Yesu alisema tena katika Yohana 6:63 Ni Roho ndiyo atiaye uzima ,mwili haufai kitu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Walakini injli ya Yohana inafafanua jambo jingine vile vile kwa uwazi:Yesu ndiye uzima ambao roho mtakatifu hutupa au tuseme uzima wa kiroho ambao hutupa tu kulingana na uunganifu na Yesu. Hapo ndipo tunashuhudia uzima wa kiroho tena wa kiungu.Yesu alisema katika Yohana 14;6 “mimi ndimi njia,na kweli, na uzima.Mtu haji kwa baba ila kwa njia yangu mimi. Katika Yohana 6;35 alisema “mimi ndimi chakula cha uzima “na katika 20;31 Yohana anasema “lakini hizi zimeaandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye kristo,mwana wa Mungu na kwa kuamini muwe na uzima kwa jina lake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hakuna Uzima bila Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa hakuna uzima wa kiroho wala wa milele bila kuunganishwa na Yesu na kumwamini. Tutakuwa na mengi ya kusema kuhusu uhusiano baina ya kuzaliwa upya na kumwamini Yesu. Wacha tuiweke hivi kwa sasa&amp;amp;nbsp;:katika kuzaliwa upya Roho mtakatifu hutuunganisha na Kristo katika muungano ulio hai. Yesu ni uzima.Yesu ni mzabibu patokapo uzima. Sisi ni matawi (Yohana 15:1) kinachotendeka kwa kuzaliwa upya ni maumbile ya kiungu ya uzima wa kiroho mpya,na huumbwa kupitia kuunganishwa na Yesu Kristo.Roho mtakatifu hutuleta kwenye muungano huu muhimu na Kristo ambaye ndiye njia ,kweli na uzima. Hili ndilo lengo la hakika la kinachotendeka katika kuzaliwa upya. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa upande wetu- vile tunavyoshuhudia haya ni kwamba imani kwa Yesu huinuliwa katika mioyo yetu, uzima wa kiroho na imani kwa Yesu yanaja kwa pamoja. Maisha au uzima mpya huwezesha imani na kwamba uzima wa kiroho huinua na kuonyesha imani basi hakuna uzima bila Imani kwa Yesu. Basi haifai kutenganisha kuzaliwa upya na kumwamini Yesu. Upande wa Mungu ni kuwa tumeunganishwa na Kristo katika kuzaliwa upya .Hii ndiyo Roho mtakatifu hutenda. Kwa upande wetu tunashuhudia muungano huu tukiwa tumemwamini Yesu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Usiwahi Kamwe kutenganisha kuzaliwa upya na kumwamini Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sikiza vile Yohana anavyoiweka pamoja katika 1 Yohana 5:4 Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu,na huku ndiko kuushinda kuushindako ulimwengu.Kuzaliwa na Mungu ndiyo ufunguo wa ushindi. Imani ni ufunguo wa Ushindi.kwa sababu imani ndiyo njia tunayoshuhudia kuzaliwa na Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Au sikiza Yohana anavyosema katika 1 Yohana 5:11-12 “Na huu ndio ushuhuda ya kwamba Mungu alitupa uzima wa milele na uzima huu umo katika mwanawe.Yeye aliye naye Mwana,anao huo uzima; asiye naye Mwana wa Mungu hana huo uzima.”Basi Yesu anaposema, “Ni Roho atiaye uzima, mwili haufai chochote” Yohana 6:63 na anaposema, “Lazima uzaliwe kwa Roho ili kuwa na uzima ana maana kuwa&amp;amp;nbsp;:Katika kuzaliwa upya Roho mtakatifu kwa njia ya kiungu hutupa uzima wa kiroho mpya kwa kutuunganisha na Kristo kupitia imani. Kwa kuwa Yesu ni Uzima. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi usitenganishe misemo hii miwili katika Yohana 3. “Mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuuona ufalme wa Mungu.” (Mstari 3) na “Amwaminiye Mwana wa Mungu ana uzima wa milele” (Mstari 36) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;br&amp;gt;&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Asili_Yenye_Dhambi_ya_Mwana_wa_Daudi</id>
		<title>Asili Yenye Dhambi ya Mwana wa Daudi</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Asili_Yenye_Dhambi_ya_Mwana_wa_Daudi"/>
				<updated>2018-04-13T20:03:41Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Asili Yenye Dhambi ya Mwana wa Daudi&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|The Sinful Origin of the Son of David}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ni ujumbe wa sita kati ya msururu saba za ujumbe uitwayo ''dhambi ya asili na lengo leo ulimwenguni kwa utukufu wa Kristo.'' Ujumbe huu unaitwa. “asili yenye dhambi ya Mwana wa Daudi.” Jambo ni hili: Ufalme wa Israeli—kwa kuwa Israeli ilikuwa na wafalme—ilitokana na dhambi. Ilikuwa dhambi mbaya kwa watu wa Mungu kumwambia Muumba na Mkombozi wao, “Tunataka kuwa kama mataifa. Hatutaki uwe mfalme wetu. Tunataka mfalme ambaye ni mwanadamu.” Hiyo ni dhambi kuu. Samueli anaiita, katika mstari 17, uovu mkuu. Ingawa, kama Israeli haikuwa na utawala kwa kifalme, Yesu Kristo hangekuja kama Mfalme wa Israeli na Mwana wa Daudi na Mfalme wa wafalme. Lakini utawala wa Kristo wa kifalme juu ya Israeli na juu ya ulimwengu si wazo la kando moyoni mwa Mungu. Halikuwa jibu lisilopangwa kwa dhambi ya Israeli. Ilikuwa sehemu ya mpango wake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kwa nini kuufanya kwa njia hii? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Swali letu ni hii: Kama Mungu aliona dhambi hii mbaya ikija na kujua kuwa atairuhusu na hivyo basi akafanya utawala wa kifalme ya Israeli kuwa sehemu ya mpango wake ya kutukuza Kristo kama mfalme wa Wafalme, Kwa nini hakufanya utawala wa kifalme kuwa sehemu ya utawala wa Israeli tangia mwanzo? Kwa nini hakufanya Musa mfalme wa kwanza? Hatimaye Joshua na wengine wengi? Kwa nini kupanga utawala wa kifalme kutoka kwake yeye mwenyewe hapo mwanzo na baadaye kuleta utawala wa kifalme wa mwanadamu katika historia ya Israeli hapo baadaye kupitia dhambi mbaya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Abrahamu na Utawala wa Kifalme Ujao ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha tuanze na hadithi yenyewe. Mungu aliteua Abrahamu kama Baba ya wana wa Israeli. Katika Mwanzo 12 na anamwahidi kwamba kupitia uzao wake watu wote wa ulimwengu watabarikiwa (Mwanzo 12:1-3). Masiya, Yesu Kristo, atakuja kutoka shina hili. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mojawapo ya vitu vitukiapo kwa Abrahamu ni kuwa anakutana na mtu asiyemjua aitwaye Melchizedeki katika Mwanzo14:18. Anaitwa “kuhani wa Mungu Aliye Juu sana” na “Mfalme wa Salemu.” Jina lake lamaanisha “mfalme wa haki.” Mwandishi wa kitabu cha Waebrania, katika Agano Jipya,anaona Melkizedeki kama mfano, sura ya kabla, ama taswira ya kutangulia ya Kristo, kwa sababu Zaburi 110:4 inasema kuwa mfalme wa kimasiya ajaye pia ni “Kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” Basi Waebrania inasema, “Melkizedeki…ni wa kwanza, kwa tafsiri la jina lake, mfalme wa haki, na halafu yeye ni mfalme wa Salemu, kusema, mfalme wa amani . . . anayefanana na Mwana wa Mungu . . . ” (Waebrania 7:1-3)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hannah na utawala wa kifalme uujao ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi kulingana na kusudio la Mungu, Masiya ajaye atakuwa kuhani-mfalme. Uamuzi wa yeye kuwa mfalme haukuja baadaye. Tunaona hii tena katika hadithi ya kuzaliwa na kukabidhiwa kwa Samweli. Mnakumbuka kuwa mamake Hannah alikuwa tasa. Halafu Eli alitabiri kuwa atapata mtoto. Samweli akazaliwa na Hannah anamleta hekaluni na kumkabidhi kwa Bwana. Baadhi ya mambo ya ajabu Hannah asemayo ni haya katika 1 Samweli 2:10—na ukumbuke, hii miongo kabla kuwa na mfalme yeyote katika Israeli (Wakati Samueli amekuwa mtu mkubwa ndipo watu wakamsukuma kuwapa mfalme). Anasema, “wale wampingao Bwana wataharibiwa kabisa. Atapiga radi dhidi yao kutoka mbinguni, Bwana ataihukumu mwisho wa dunia. “atampa nguvu mfalme wake na kutukuza pembe ya mpakwa mafuta wake.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Musa na utawala wa Kifalme Ujao ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tukirudia Kumbukumbu la Torati 17:14-20 Musa alishapeana maagizo juu ya utawala wa kifalme ikiwa watu walitaka kuenenda katika upande huo. Na Kumbukumbu la Torati 28:36 uliongea juu ya kupelekwa kwa watu katika taifa wasiolijua pamoja na mfalme wao kama wangemuasi Bwana. Basi naamini kuwa yaliyotukia katika 1 Samueli 12 haikuwa mshtuko kwa Mungu. Alijua kuwa atairuhusu. Na Mungu akikusudia kuruhusu kitu, analifanya kwa hekima, si kipumbavu. Basi, dhambi hii mbaya ni sehemu ya lengo kuu ya Mungu kwa utukufu wa Mwanawe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Vile Utawala wa kifalme ulivyokuja ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha tuione vile ilikuja kabla ya kutafakari ni kwa nini angeufanya kwa njia hii. Hoja ya kuwa na mfalme ulianza katika sura ya 8 ya kitabu cha 1 Samueli, lakini tutachukulia kwanza 12. Msatri 8b: BWANA “aliwatoa baba zenu kutoka Misri na kuwakilisha mahali hapa.” Mstari 9 “Lakini wakamsahau Bwana Mungu wao hivyo Mungu akawauza katika mkono wa Sisera, jemedari wa Moabu, ambaye alipigana dhidi yao.” Mstari 10: “Wakamlilia (Wana wa Israeli) Bwana na Kusema. ‘Tumetenda dhambi tumemwacha BWANA na kutumikia Mabaali na Maashtorethi. Lakini sasa tuokoe kutoka katika mikono ya adui zetu, nasi tutakutumikia.” Mstari 11. “Ndipo BWANA akawatumia Yeru-Baali, Baraka, Yeftha na Samueli, naye akawaokoa kutoka katika mikono ya adui zenu kila upande, ili ninyi mpate kukaa salama.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Watu waliukata Utawala wa Kifalme wa Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lengo la mistari hiyo ni kuonyesha kwamba Mungu alikuwa mwaminifu kama mfalme mwenye uweza. Walipomlilia aliwaokoa. Aliwapa ulinzi. Hilo ndilo jukumu la mfalme-kuwapa watu amani. Na nini jibu lao? Mstari 12. “Lakini nilipomwona yule Nahashi mfalme wa Waamoni anakuja dhidi yenu mliniambia [Samueli]’ Hapana, tunataka mfalme atutawale, hata ingawa BWANA Mungu wenu alikuwa mfalme wenu.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Unaweza kusikia hali ya kutoamini katika sauti ya Samueli. Mlihitaji mfalme, hata ingawa Bwana Mungu wenu alikuwa mfalme wenu! Samueli atafanyaje? Tayari Bwana alikwisha mwambia katika 1 Samueli 8:7-9, “Sikiliza yale yote watu wanayokuambia, si wewe ambaye wamekukataa, bali wamenikataa mimi kuwa mfalme wao . . . sasa wasikilize, l akini waonye kwa makini na uwafahamishe yale watakayotendewa na mfalme atakayewatawala.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Dhambi ya kushangaza: “Uovu wenu ni mkuu” ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi samuelki anasema katika 1 Samueli 12:13b. “Tazameni BWANA amemweka mfalme juu yenu .” Kisha anamwomba Bwana kuwapa ishara kwa ngurumo na mvua, na anasema kuwa dhambi zao ni kama uovu mkuu. Mstari 17: “Je, sasa si mavuno ya ngano? Nitamwomba BWANA ili alete ngurumo na mvua. Nanyi mtatambua jambo hili lilivyo baya mlilolifanya mbele za macho ya Bwana mlipoomba mfalme.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na ili kuhakikisha kwamba hatujakosa kazi takatifu ya Mungu katika uovu huu usio takatifu, Paulo katika Matendo 13:20-22, anauweka wazi kwamba ni Mungu aliyewaapa Israeli mfalme wa Kwanza. “Mungu akawaapa waamuzi mpaka wakati wa nabii Samueli. Ndipo watu wakaomba wapewe mfalme, naye Mungu akawapa Sauli mwana wa Kishi wa kabila ya Benyamini, aliyetawala kwa miaka arobaini. Baada ya kumuondoa Sauli katika ufalme, akawainulia Daudi kuwa mfalme wao.” Tumeona hii ikirudiliwa katika dhambi ya kihistoria ya kushangaza. Mwanadamu aliukusudia kwa uovu, na Mungu akaukusudia kwa wema.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tunajifunza nini kutoka kwa hii? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Swali basi ni hili. Kama Mungu alishaona dhambi hii ya kushangaza ikija na akajua kuwa atairuhusu na hivyo basi akafanya utawala ya kifalme juu ya Israeli kuwa sehemu ya lengo lake la kutukuza Kristo kama mfalme wa wafalme, kwa nini hakufanya utawala wa kifalme kuwa sehemu ya utawala juu ya Israeli kutokea mwanzo? Kwa nini hakufanya Musa kuwa mfalme wa kwanza? Hatimaye Yoshua na wengine wengi? Kwa nini Mungu alianza na Yeye mwenyewe kama mfalme, hala halafu kuleta ufalme wa kibinadamu katika historia ya Israeli baadaye kupitia dhambi ya kushangaza? Tunajifunza nini kutokana na haya?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zaidi ya vitu sita.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1) Sisi ni Shingo Nguvu, Waasi na Wasio na Shukrani.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yafaa tujifunze kutoka kwa hii vile tulivyo na shingo ngumu, waasi na wasio na shukrani. Ndiyo maana 1 Samueli 12 inaanza vile ilivyo kwa kukumbusha watu vile Mungu alivyowakomboa kutoka kwa nchi ya Misri na kuwapa ahadi na halafu baadaye akawaokoa kutoka kwa wafalme waovu. Na kila mara wanamsahau Mungu na kufuata vitu vingine. Hiyo sio tu hadithi ya Israeli. Ni hadithi ya ubinadamu. Ni hadithi kuhusu maisha yako na yangu. Hata ingawa sisi ni Wakristo, hatuna ukakamavu katika upendo wetu kwa Mungu. Tuko na siku ya shukrani na siku zingine isiyo ya shukrani. Na hata siku zetu za shukrani hazina shukrani kwa viwango vinavyohitajika. Hebu fikiria vile utajawa na furaha na shukrani kama moyo wako utauitikia Mungu mwenyewe na zawadi zake elfu kumi kwa kutamani na shukrani ambayo anastahili. Basi Mungu anatupatia taswira yetu katika hadithi kama hii. Anawaruhusu watu wake kusogelea katika aina ya nyakati isiyo na shukrani na ya kuabudiwa kwa miungu ndipo kila kinywa kifungwe na ulimwengu wote watoe habari zao mbele za Mungu (Warumi 3:19)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2) Mungu ni mwaminifu katika jina lake mwenyewe.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yafaa tujifunze kutoka kwa hii vile Mungu ni mwaminifu kwa jina lake mwenyewe. Tazama mstari 22: “Ilimpendeza BWANA kuwafanya kuwa wake mwenyewe.” Ni nini msingi wa ndani kabisa ya uaminifu wa Mungu? Utiifu wa Jina lake mwenyewe. Ila na shauku lake kwa utukufu wake mwenyewe. Soma mstari huu kwa utaratibu na huku ukitafakari: “Kwa ajili ya jina lake kuu BWANA hatawakataa watu wake.” Haisemi kwa ajili ya “jina lao kuu” bali kwa ajili ya jina lake mwenyewe. Hivyo basi hadithi kama hizi ziko katika Bibilia kutufundisha kwamba njia za Mungu hutawalwa kwa hekima isiyo na kifani ukiongozwa na thamani isiyo na kikomo ya jina lake&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3) Neema Zatiririka kwa Wenye Dhambi kupitia Egemeo kuu la Mungu katika Jina Lake.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yafaa tujifunze kutoka kwa hii vile neema ya ajabu kwa wenye dhambi kama sisi zatiririka kupitia egemeo kuu la Mungu katika Jina lake kati kati mwa dhambi. Tazama taswira ya ajabu katika mistari hii 19-22. “Katika mstari 19, watu wana uoga juu ya dhambi ya kushangaza ambazo wamezitenda dhidi ya Mungu. Wanasema, “Mwombe BWANA Mungu wako, kwa ajili ya watumishi wako ili tusije tukafa, kwa kuwa tumeongeza uovu juu ya dhambi zetu nyingine kwa kuomba mfalme.” Maneno yanayofuata hii ni taswira ya injili ya bure ya neema kwa wenye dhambi Samueli akawajibu (mstari 20), Msiogope mmefanya uovu huu wote.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hebu komea hapo na ushangae. “Msiogope, mmefanya uovu huu wote.” Je hiyo ni maandishi ya kosa? Je inafaa iseme, “Muogope; mmefanya uovu huu wote.” Lakini inasema, “Msiogope, mmefanya uovu huu wote.” Hiyo ni neema kamili. Neema ya Mungu inatupeleka katika njia ambayo hatustahili: “Muogope mmefanya uovu huu wote.” Lakini kuliko vile tunavyostahili: “Msiogope mmefanya uovu huu wote.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii yawezekanaje? Ni nini chanzo cha neema hii? Sio sisi! Tumetenda tu uovu. Nini basi? Tayari tumeiona. Mstari 22: Msiogope kwa ajili ya jina lake kuu BWANA hatawakata watu wake.” Egemeo la Mungu kwa ajili ya jina lake ndiyo msingi y a uaminifu wake kwako. Kama Mungu angeliacha egemeo lake kuu kwake mwenyewe, hakungekuwa na neema kwetu sisi. Kama angelisisitisha ukarimu wake wa thamani yetu, hangekuwa na ukarimu kwetu sisi. Sisi ni shingo ngumu, waasi, na wasio na shukrani. Neema ya bure na isiyo na kipimo ndio tumaini letu la kuwa vingine. Na chanzo cha neema hiyo sio thamani ya majina yetu, lakini ni thamani isiyo na kifani ya jina lake la Mungu. Kumbuka 2 Timotheo 2:13: “Kama tusipoamini, Yeye hudumu kuwa mwaminifu-kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.” Mungu anatukusudia tujifunze kutoka kwa dhambi hii ya kushangaza kuwa neema ya wokovu wetu hakika umethibitishwa sio kwa thamani yetu bali kwa thamani yake Mungu mwenyewe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''4) Utawala wa kifalme ni wa Mungu pekee.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yafaa tujifunze kutokana na njia ya Mungu ya kuleta utawala wa kifalme katika Israeli kuwa utawala wa kifalme ni wa Bwana pekee. Mungu anatawaza uhusiano wake na Israeli bila mfalme mwanadamu ili kufanya wazi kabisa kuwa Mungu pekee ndiye anastahili kuwa mfalme wa Israeli. Mungu pekee ndiye mfalme. Wakati Israeli walipoomba kuwa na mfalme, walikuwa wakikataa ukweli huu. Mungu anaisema wazi katika 1 Samueli 8:7 “Wamenikataa Mimi kuwa mfalme wao.”Kama Mungu angeuanzisha historia ya Israeli kwa Musa na Yoshua kuwa wafalme wa kwanza, haungekuwa wazi kuwa ni Mungu pekee anaweza kuwa mfalme wa Israeli. Hatakuwa na washindani wanadamu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''5) Mwanadamu-Mungu lazima awe Mfalme.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yamkini, yafaa tujifunze kutoka kwa njia ya Mungu ya kutawaza mfalme mwanadamu kuwa malengo yake ni kutawaza shina la wafalme wanadamu ambao wote watashindwa hadi mfalme aje ambaye hakuwa tu mwanadamu bali pia Mungu, kwa sababu ni Mungu tu anaweza kuwa mfalme wa Israeli. Jambo ni kwamba Mungu pekee ndiye mfalme wa Israeli, na kuna mfalme ajae, Mwana wa Daudi, ambaye hatashindwa kama wengine. Hatakuwa kama mwanadamu mwingine mwenye dhambi. Atakuwa mwanadamu ambaye ni Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Swali la mwisho kinywani mwa Yesu ambalo linanyamazisha Wafarisayo latolewa kwenye Zaburi 110:1, pahali Daudi asemavyo, “BWANA [Yahwe] anamwambia Bwana wangu [Mfalme ajaye na Masiya]: “Keti mkono wangu wa kuume, mpaka niwafanye adui zako kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”Yesu ananukuu haya halafu anawauliza wapinzani wake, “Hivyo basi Daudi anamwita Bwana, basi anakuwaje mwanawe?” Kwa maneno mengine, kwa wale wako na masikio na wasikie, Yesu ni zaidi ya Mwana wa Daudi. Ni zaidi ya mfalme mwanadamu tu. “Hapo mwanzo alikuwako Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu . . . Na neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi tukaona utukufu Wake, utukufu kama wa mwana Pekee atokaye kwa Baba.” (Yohana 1:1, 14) Ni Mungu pekee ndiye anaweza kuwa mfalme wa mwisho na mwenye haki juu ya Israeli.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''6) Mfalme alifilia watu wake.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mwisho yafaa tujifunze kutoka kwa vile Mungu anavyoleta mfalme mwanadamu kwa Israeli kuwa kulihitajika kuwa na mfalme mwanadamu. Ni Mungu pekee anaweza kuwa mfalme mwenye haki wa Israeli. Kulihitajika kuwe na mfalme mwanadamu. Kwa nini? Kwa sababu ndipo Mungu awe na watu wa kutawala na kuwapenda, ambao hawakuwa jehanamu kwa sababu ya dhambi, mfalme alihitajika kufa kwa ajili ya watu. Basi mfalme wa Israeli ndiye Mungu-mwanadamu ndipo mfalme aweze kuwa Mungu, lakini yeye pia ni Mungu-Mwanadamu ndipo mfalme aweze kufa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wakati Samueli alisema, “Msiogope, ninyi waasi, watenda dhambi wasio na shukrani; mmetenda uovu huu wote” (1 Samueli 12:20). Ni nini kilikuwa chanzo cha neema hii? Ilikuwa thamani ya jina la Mungu. “Kwa ajili ya jina lake kuu BWANA hatawakataa watu wake” (Mstari 22). Kuinuliwa na kuburai kwa jina la Mungu ni chanzo cha neema. Na ni wapi hiyo kuburai kulionyeshwa kwa uwazi na kwa uhisho? Jibu: Msalabani mwa Kristo. Warumi 3:25: “Yeye ambaye Mungu alimtoa awe dhabibu ya upatanisho kwa njia ya Imani katika damu yake. Alifanya hivi ili kuonyesha haki yake, kwa sababu kwa ustahimili Wake aliziachilia zile dhambi zilizotangulia kufanywa.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Msalabani, kwa ajili ya Jina Lake ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hakika alifanya. Katika siku hiyo wakati watu walistahili kuangamizwa kwa sababu ya kuomba mfalme, Mungu aliwasamehe na kuwaachilia dhambi zaok—kwa ajili ya jina lake. Lakini huwezi kuficha dhambi chini ya mkeka wa ulimwengu na bado uliinue jina lake kama Mungu mwenye haki na takatifu. Dhambi lazima ishughulikiwe. Lazima iadhibiwe. Na ndipo wakati Yesu alitufilia. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu pekee ambayo watu wenye dhambi kama sisi wanaweza kuwa na mfalme aliye mkuu, na tukufu na mwenye nguvu na mwema na mtakatifu na mwenye hekima kama Yesu bila kumezwa na dhambi zetu ni kuwa Mungu alipanga mfalme afilie watu wake na kufufuka tena. Katika kila Injili, Yesu anaulizwa kabla tu afe, “Je, wewe ni mfalme wa Wayahudi? Na anjibu, “Unasema hivyo” (Mathayo 27:11; Marko 15:2; Luka 23:3; Yohana 18:33)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mfalme wa wote ajaye ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na si tu mfalme wa wayahudi, lakini wa wote—haswa wale wanaomtumaini. Ameketi katika mkono wa kuume wa Baba sasa hadi maadui wake watakapowekwa chini ya miguu yake na wateule wake waote wamekusanyika kutoka kwa watu wote wa ulimwengu. Hatimaye mwisho utafika. Naye Kristo atakuja mara ya pili, si ili kuchukua dhambi bali kuwaletea wokovu wanaomngoja kwa shauku” (Waebrania 9:28). Na “kwenye vazi lake na paja lake liliandikwa jina hili”—Si mfalme wa Wayahudi lakini “MFALME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA” (Ufunuo wa Yohana 19:16). Amina. Kuja, Yesu mfalme.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Asili_Yenye_Dhambi_ya_Mwana_wa_Daudi</id>
		<title>Asili Yenye Dhambi ya Mwana wa Daudi</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Asili_Yenye_Dhambi_ya_Mwana_wa_Daudi"/>
				<updated>2018-04-13T20:00:52Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|The Sinful Origin of the Son of David}}   Hii ni ujumbe wa sita kati ya msururu saba za ujumbe uitwayo ''dhambi ya asili na lengo leo ulimwenguni kwa utukufu wa Kristo.'' ...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|The Sinful Origin of the Son of David}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ni ujumbe wa sita kati ya msururu saba za ujumbe uitwayo ''dhambi ya asili na lengo leo ulimwenguni kwa utukufu wa Kristo.'' Ujumbe huu unaitwa. “asili yenye dhambi ya Mwana wa Daudi.” Jambo ni hili: Ufalme wa Israeli—kwa kuwa Israeli ilikuwa na wafalme—ilitokana na dhambi. Ilikuwa dhambi mbaya kwa watu wa Mungu kumwambia Muumba na Mkombozi wao, “Tunataka kuwa kama mataifa. Hatutaki uwe mfalme wetu. Tunataka mfalme ambaye ni mwanadamu.” Hiyo ni dhambi kuu. Samueli anaiita, katika mstari 17, uovu mkuu. Ingawa, kama Israeli haikuwa na utawala kwa kifalme, Yesu Kristo hangekuja kama Mfalme wa Israeli na Mwana wa Daudi na Mfalme wa wafalme. Lakini utawala wa Kristo wa kifalme juu ya Israeli na juu ya ulimwengu si wazo la kando moyoni mwa Mungu. Halikuwa jibu lisilopangwa kwa dhambi ya Israeli. Ilikuwa sehemu ya mpango wake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kwa nini kuufanya kwa njia hii? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Swali letu ni hii: Kama Mungu aliona dhambi hii mbaya ikija na kujua kuwa atairuhusu na hivyo basi akafanya utawala wa kifalme ya Israeli kuwa sehemu ya mpango wake ya kutukuza Kristo kama mfalme wa Wafalme, Kwa nini hakufanya utawala wa kifalme kuwa sehemu ya utawala wa Israeli tangia mwanzo? Kwa nini hakufanya Musa mfalme wa kwanza? Hatimaye Joshua na wengine wengi? Kwa nini kupanga utawala wa kifalme kutoka kwake yeye mwenyewe hapo mwanzo na baadaye kuleta utawala wa kifalme wa mwanadamu katika historia ya Israeli hapo baadaye kupitia dhambi mbaya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Abrahamu na Utawala wa Kifalme Ujao ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha tuanze na hadithi yenyewe. Mungu aliteua Abrahamu kama Baba ya wana wa Israeli. Katika Mwanzo 12 na anamwahidi kwamba kupitia uzao wake watu wote wa ulimwengu watabarikiwa (Mwanzo 12:1-3). Masiya, Yesu Kristo, atakuja kutoka shina hili. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mojawapo ya vitu vitukiapo kwa Abrahamu ni kuwa anakutana na mtu asiyemjua aitwaye Melchizedeki katika Mwanzo14:18. Anaitwa “kuhani wa Mungu Aliye Juu sana” na “Mfalme wa Salemu.” Jina lake lamaanisha “mfalme wa haki.” Mwandishi wa kitabu cha Waebrania, katika Agano Jipya,anaona Melkizedeki kama mfano, sura ya kabla, ama taswira ya kutangulia ya Kristo, kwa sababu Zaburi 110:4 inasema kuwa mfalme wa kimasiya ajaye pia ni “Kuhani milele, kwa mfano wa Melkizedeki.” Basi Waebrania inasema, “Melkizedeki…ni wa kwanza, kwa tafsiri la jina lake, mfalme wa haki, na halafu yeye ni mfalme wa Salemu, kusema, mfalme wa amani . . . anayefanana na Mwana wa Mungu . . . ” (Waebrania 7:1-3)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hannah na utawala wa kifalme uujao ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi kulingana na kusudio la Mungu, Masiya ajaye atakuwa kuhani-mfalme. Uamuzi wa yeye kuwa mfalme haukuja baadaye. Tunaona hii tena katika hadithi ya kuzaliwa na kukabidhiwa kwa Samweli. Mnakumbuka kuwa mamake Hannah alikuwa tasa. Halafu Eli alitabiri kuwa atapata mtoto. Samweli akazaliwa na Hannah anamleta hekaluni na kumkabidhi kwa Bwana. Baadhi ya mambo ya ajabu Hannah asemayo ni haya katika 1 Samweli 2:10—na ukumbuke, hii miongo kabla kuwa na mfalme yeyote katika Israeli (Wakati Samueli amekuwa mtu mkubwa ndipo watu wakamsukuma kuwapa mfalme). Anasema, “wale wampingao Bwana wataharibiwa kabisa. Atapiga radi dhidi yao kutoka mbinguni, Bwana ataihukumu mwisho wa dunia. “atampa nguvu mfalme wake na kutukuza pembe ya mpakwa mafuta wake.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Musa na utawala wa Kifalme Ujao ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tukirudia Kumbukumbu la Torati 17:14-20 Musa alishapeana maagizo juu ya utawala wa kifalme ikiwa watu walitaka kuenenda katika upande huo. Na Kumbukumbu la Torati 28:36 uliongea juu ya kupelekwa kwa watu katika taifa wasiolijua pamoja na mfalme wao kama wangemuasi Bwana. Basi naamini kuwa yaliyotukia katika 1 Samueli 12 haikuwa mshtuko kwa Mungu. Alijua kuwa atairuhusu. Na Mungu akikusudia kuruhusu kitu, analifanya kwa hekima, si kipumbavu. Basi, dhambi hii mbaya ni sehemu ya lengo kuu ya Mungu kwa utukufu wa Mwanawe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Vile Utawala wa kifalme ulivyokuja ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha tuione vile ilikuja kabla ya kutafakari ni kwa nini angeufanya kwa njia hii. Hoja ya kuwa na mfalme ulianza katika sura ya 8 ya kitabu cha 1 Samueli, lakini tutachukulia kwanza 12. Msatri 8b: BWANA “aliwatoa baba zenu kutoka Misri na kuwakilisha mahali hapa.” Mstari 9 “Lakini wakamsahau Bwana Mungu wao hivyo Mungu akawauza katika mkono wa Sisera, jemedari wa Moabu, ambaye alipigana dhidi yao.” Mstari 10: “Wakamlilia (Wana wa Israeli) Bwana na Kusema. ‘Tumetenda dhambi tumemwacha BWANA na kutumikia Mabaali na Maashtorethi. Lakini sasa tuokoe kutoka katika mikono ya adui zetu, nasi tutakutumikia.” Mstari 11. “Ndipo BWANA akawatumia Yeru-Baali, Baraka, Yeftha na Samueli, naye akawaokoa kutoka katika mikono ya adui zenu kila upande, ili ninyi mpate kukaa salama.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Watu waliukata Utawala wa Kifalme wa Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lengo la mistari hiyo ni kuonyesha kwamba Mungu alikuwa mwaminifu kama mfalme mwenye uweza. Walipomlilia aliwaokoa. Aliwapa ulinzi. Hilo ndilo jukumu la mfalme-kuwapa watu amani. Na nini jibu lao? Mstari 12. “Lakini nilipomwona yule Nahashi mfalme wa Waamoni anakuja dhidi yenu mliniambia [Samueli]’ Hapana, tunataka mfalme atutawale, hata ingawa BWANA Mungu wenu alikuwa mfalme wenu.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Unaweza kusikia hali ya kutoamini katika sauti ya Samueli. Mlihitaji mfalme, hata ingawa Bwana Mungu wenu alikuwa mfalme wenu! Samueli atafanyaje? Tayari Bwana alikwisha mwambia katika 1 Samueli 8:7-9, “Sikiliza yale yote watu wanayokuambia, si wewe ambaye wamekukataa, bali wamenikataa mimi kuwa mfalme wao . . . sasa wasikilize, l akini waonye kwa makini na uwafahamishe yale watakayotendewa na mfalme atakayewatawala.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Dhambi ya kushangaza: “Uovu wenu ni mkuu” ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi samuelki anasema katika 1 Samueli 12:13b. “Tazameni BWANA amemweka mfalme juu yenu .” Kisha anamwomba Bwana kuwapa ishara kwa ngurumo na mvua, na anasema kuwa dhambi zao ni kama uovu mkuu. Mstari 17: “Je, sasa si mavuno ya ngano? Nitamwomba BWANA ili alete ngurumo na mvua. Nanyi mtatambua jambo hili lilivyo baya mlilolifanya mbele za macho ya Bwana mlipoomba mfalme.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na ili kuhakikisha kwamba hatujakosa kazi takatifu ya Mungu katika uovu huu usio takatifu, Paulo katika Matendo 13:20-22, anauweka wazi kwamba ni Mungu aliyewaapa Israeli mfalme wa Kwanza. “Mungu akawaapa waamuzi mpaka wakati wa nabii Samueli. Ndipo watu wakaomba wapewe mfalme, naye Mungu akawapa Sauli mwana wa Kishi wa kabila ya Benyamini, aliyetawala kwa miaka arobaini. Baada ya kumuondoa Sauli katika ufalme, akawainulia Daudi kuwa mfalme wao.” Tumeona hii ikirudiliwa katika dhambi ya kihistoria ya kushangaza. Mwanadamu aliukusudia kwa uovu, na Mungu akaukusudia kwa wema.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tunajifunza nini kutoka kwa hii? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Swali basi ni hili. Kama Mungu alishaona dhambi hii ya kushangaza ikija na akajua kuwa atairuhusu na hivyo basi akafanya utawala ya kifalme juu ya Israeli kuwa sehemu ya lengo lake la kutukuza Kristo kama mfalme wa wafalme, kwa nini hakufanya utawala wa kifalme kuwa sehemu ya utawala juu ya Israeli kutokea mwanzo? Kwa nini hakufanya Musa kuwa mfalme wa kwanza? Hatimaye Yoshua na wengine wengi? Kwa nini Mungu alianza na Yeye mwenyewe kama mfalme, hala halafu kuleta ufalme wa kibinadamu katika historia ya Israeli baadaye kupitia dhambi ya kushangaza? Tunajifunza nini kutokana na haya?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zaidi ya vitu sita.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1) Sisi ni Shingo Nguvu, Waasi na Wasio na Shukrani.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yafaa tujifunze kutoka kwa hii vile tulivyo na shingo ngumu, waasi na wasio na shukrani. Ndiyo maana 1 Samueli 12 inaanza vile ilivyo kwa kukumbusha watu vile Mungu alivyowakomboa kutoka kwa nchi ya Misri na kuwapa ahadi na halafu baadaye akawaokoa kutoka kwa wafalme waovu. Na kila mara wanamsahau Mungu na kufuata vitu vingine. Hiyo sio tu hadithi ya Israeli. Ni hadithi ya ubinadamu. Ni hadithi kuhusu maisha yako na yangu. Hata ingawa sisi ni Wakristo, hatuna ukakamavu katika upendo wetu kwa Mungu. Tuko na siku ya shukrani na siku zingine isiyo ya shukrani. Na hata siku zetu za shukrani hazina shukrani kwa viwango vinavyohitajika. Hebu fikiria vile utajawa na furaha na shukrani kama moyo wako utauitikia Mungu mwenyewe na zawadi zake elfu kumi kwa kutamani na shukrani ambayo anastahili. Basi Mungu anatupatia taswira yetu katika hadithi kama hii. Anawaruhusu watu wake kusogelea katika aina ya nyakati isiyo na shukrani na ya kuabudiwa kwa miungu ndipo kila kinywa kifungwe na ulimwengu wote watoe habari zao mbele za Mungu (Warumi 3:19)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2) Mungu ni mwaminifu katika jina lake mwenyewe.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yafaa tujifunze kutoka kwa hii vile Mungu ni mwaminifu kwa jina lake mwenyewe. Tazama mstari 22: “Ilimpendeza BWANA kuwafanya kuwa wake mwenyewe.” Ni nini msingi wa ndani kabisa ya uaminifu wa Mungu? Utiifu wa Jina lake mwenyewe. Ila na shauku lake kwa utukufu wake mwenyewe. Soma mstari huu kwa utaratibu na huku ukitafakari: “Kwa ajili ya jina lake kuu BWANA hatawakataa watu wake.” Haisemi kwa ajili ya “jina lao kuu” bali kwa ajili ya jina lake mwenyewe. Hivyo basi hadithi kama hizi ziko katika Bibilia kutufundisha kwamba njia za Mungu hutawalwa kwa hekima isiyo na kifani ukiongozwa na thamani isiyo na kikomo ya jina lake&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3) Neema Zatiririka kwa Wenye Dhambi kupitia Egemeo kuu la Mungu katika Jina Lake.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yafaa tujifunze kutoka kwa hii vile neema ya ajabu kwa wenye dhambi kama sisi zatiririka kupitia egemeo kuu la Mungu katika Jina lake kati kati mwa dhambi. Tazama taswira ya ajabu katika mistari hii 19-22. “Katika mstari 19, watu wana uoga juu ya dhambi ya kushangaza ambazo wamezitenda dhidi ya Mungu. Wanasema, “Mwombe BWANA Mungu wako, kwa ajili ya watumishi wako ili tusije tukafa, kwa kuwa tumeongeza uovu juu ya dhambi zetu nyingine kwa kuomba mfalme.” Maneno yanayofuata hii ni taswira ya injili ya bure ya neema kwa wenye dhambi Samueli akawajibu (mstari 20), Msiogope mmefanya uovu huu wote.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hebu komea hapo na ushangae. “Msiogope, mmefanya uovu huu wote.” Je hiyo ni maandishi ya kosa? Je inafaa iseme, “Muogope; mmefanya uovu huu wote.” Lakini inasema, “Msiogope, mmefanya uovu huu wote.” Hiyo ni neema kamili. Neema ya Mungu inatupeleka katika njia ambayo hatustahili: “Muogope mmefanya uovu huu wote.” Lakini kuliko vile tunavyostahili: “Msiogope mmefanya uovu huu wote.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii yawezekanaje? Ni nini chanzo cha neema hii? Sio sisi! Tumetenda tu uovu. Nini basi? Tayari tumeiona. Mstari 22: Msiogope kwa ajili ya jina lake kuu BWANA hatawakata watu wake.” Egemeo la Mungu kwa ajili ya jina lake ndiyo msingi y a uaminifu wake kwako. Kama Mungu angeliacha egemeo lake kuu kwake mwenyewe, hakungekuwa na neema kwetu sisi. Kama angelisisitisha ukarimu wake wa thamani yetu, hangekuwa na ukarimu kwetu sisi. Sisi ni shingo ngumu, waasi, na wasio na shukrani. Neema ya bure na isiyo na kipimo ndio tumaini letu la kuwa vingine. Na chanzo cha neema hiyo sio thamani ya majina yetu, lakini ni thamani isiyo na kifani ya jina lake la Mungu. Kumbuka 2 Timotheo 2:13: “Kama tusipoamini, Yeye hudumu kuwa mwaminifu-kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.” Mungu anatukusudia tujifunze kutoka kwa dhambi hii ya kushangaza kuwa neema ya wokovu wetu hakika umethibitishwa sio kwa thamani yetu bali kwa thamani yake Mungu mwenyewe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''4) Utawala wa kifalme ni wa Mungu pekee.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yafaa tujifunze kutokana na njia ya Mungu ya kuleta utawala wa kifalme katika Israeli kuwa utawala wa kifalme ni wa Bwana pekee. Mungu anatawaza uhusiano wake na Israeli bila mfalme mwanadamu ili kufanya wazi kabisa kuwa Mungu pekee ndiye anastahili kuwa mfalme wa Israeli. Mungu pekee ndiye mfalme. Wakati Israeli walipoomba kuwa na mfalme, walikuwa wakikataa ukweli huu. Mungu anaisema wazi katika 1 Samueli 8:7 “Wamenikataa Mimi kuwa mfalme wao.”Kama Mungu angeuanzisha historia ya Israeli kwa Musa na Yoshua kuwa wafalme wa kwanza, haungekuwa wazi kuwa ni Mungu pekee anaweza kuwa mfalme wa Israeli. Hatakuwa na washindani wanadamu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''5) Mwanadamu-Mungu lazima awe Mfalme.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yamkini, yafaa tujifunze kutoka kwa njia ya Mungu ya kutawaza mfalme mwanadamu kuwa malengo yake ni kutawaza shina la wafalme wanadamu ambao wote watashindwa hadi mfalme aje ambaye hakuwa tu mwanadamu bali pia Mungu, kwa sababu ni Mungu tu anaweza kuwa mfalme wa Israeli. Jambo ni kwamba Mungu pekee ndiye mfalme wa Israeli, na kuna mfalme ajae, Mwana wa Daudi, ambaye hatashindwa kama wengine. Hatakuwa kama mwanadamu mwingine mwenye dhambi. Atakuwa mwanadamu ambaye ni Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Swali la mwisho kinywani mwa Yesu ambalo linanyamazisha Wafarisayo latolewa kwenye Zaburi 110:1, pahali Daudi asemavyo, “BWANA [Yahwe] anamwambia Bwana wangu [Mfalme ajaye na Masiya]: “Keti mkono wangu wa kuume, mpaka niwafanye adui zako kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”Yesu ananukuu haya halafu anawauliza wapinzani wake, “Hivyo basi Daudi anamwita Bwana, basi anakuwaje mwanawe?” Kwa maneno mengine, kwa wale wako na masikio na wasikie, Yesu ni zaidi ya Mwana wa Daudi. Ni zaidi ya mfalme mwanadamu tu. “Hapo mwanzo alikuwako Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye Neno alikuwa Mungu . . . Na neno alifanyika mwili, akakaa miongoni mwetu, nasi tukaona utukufu Wake, utukufu kama wa mwana Pekee atokaye kwa Baba.” (Yohana 1:1, 14) Ni Mungu pekee ndiye anaweza kuwa mfalme wa mwisho na mwenye haki juu ya Israeli.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''6) Mfalme alifilia watu wake.''' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mwisho yafaa tujifunze kutoka kwa vile Mungu anavyoleta mfalme mwanadamu kwa Israeli kuwa kulihitajika kuwa na mfalme mwanadamu. Ni Mungu pekee anaweza kuwa mfalme mwenye haki wa Israeli. Kulihitajika kuwe na mfalme mwanadamu. Kwa nini? Kwa sababu ndipo Mungu awe na watu wa kutawala na kuwapenda, ambao hawakuwa jehanamu kwa sababu ya dhambi, mfalme alihitajika kufa kwa ajili ya watu. Basi mfalme wa Israeli ndiye Mungu-mwanadamu ndipo mfalme aweze kuwa Mungu, lakini yeye pia ni Mungu-Mwanadamu ndipo mfalme aweze kufa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wakati Samueli alisema, “Msiogope, ninyi waasi, watenda dhambi wasio na shukrani; mmetenda uovu huu wote” (1 Samueli 12:20). Ni nini kilikuwa chanzo cha neema hii? Ilikuwa thamani ya jina la Mungu. “Kwa ajili ya jina lake kuu BWANA hatawakataa watu wake” (Mstari 22). Kuinuliwa na kuburai kwa jina la Mungu ni chanzo cha neema. Na ni wapi hiyo kuburai kulionyeshwa kwa uwazi na kwa uhisho? Jibu: Msalabani mwa Kristo. Warumi 3:25: “Yeye ambaye Mungu alimtoa awe dhabibu ya upatanisho kwa njia ya Imani katika damu yake. Alifanya hivi ili kuonyesha haki yake, kwa sababu kwa ustahimili Wake aliziachilia zile dhambi zilizotangulia kufanywa.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Msalabani, kwa ajili ya Jina Lake ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hakika alifanya. Katika siku hiyo wakati watu walistahili kuangamizwa kwa sababu ya kuomba mfalme, Mungu aliwasamehe na kuwaachilia dhambi zaok—kwa ajili ya jina lake. Lakini huwezi kuficha dhambi chini ya mkeka wa ulimwengu na bado uliinue jina lake kama Mungu mwenye haki na takatifu. Dhambi lazima ishughulikiwe. Lazima iadhibiwe. Na ndipo wakati Yesu alitufilia. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu pekee ambayo watu wenye dhambi kama sisi wanaweza kuwa na mfalme aliye mkuu, na tukufu na mwenye nguvu na mwema na mtakatifu na mwenye hekima kama Yesu bila kumezwa na dhambi zetu ni kuwa Mungu alipanga mfalme afilie watu wake na kufufuka tena. Katika kila Injili, Yesu anaulizwa kabla tu afe, “Je, wewe ni mfalme wa Wayahudi? Na anjibu, “Unasema hivyo” (Mathayo 27:11; Marko 15:2; Luka 23:3; Yohana 18:33)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mfalme wa wote ajaye ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na si tu mfalme wa wayahudi, lakini wa wote—haswa wale wanaomtumaini. Ameketi katika mkono wa kuume wa Baba sasa hadi maadui wake watakapowekwa chini ya miguu yake na wateule wake waote wamekusanyika kutoka kwa watu wote wa ulimwengu. Hatimaye mwisho utafika. Naye Kristo atakuja mara ya pili, si ili kuchukua dhambi bali kuwaletea wokovu wanaomngoja kwa shauku” (Waebrania 9:28). Na “kwenye vazi lake na paja lake liliandikwa jina hili”—Si mfalme wa Wayahudi lakini “MFALME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA” (Ufunuo wa Yohana 19:16). Amina. Kuja, Yesu mfalme.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kuuzwa_kwa_Yusufu_na_Mwana_wa_Mungu</id>
		<title>Kuuzwa kwa Yusufu na Mwana wa Mungu</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kuuzwa_kwa_Yusufu_na_Mwana_wa_Mungu"/>
				<updated>2018-03-23T20:08:57Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Kuuzwa kwa Yusufu na Mwana wa Mungu&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|The Sale of Joseph and the Son of God}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Maneno ya kushangaza kwa Abramu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kabla niwambie hadithi ya Yusufu na dhambi ya asili ya ndugu zake, lengo lake duniani kwa utukufu wa Kristo Yesu, wacha tuiambatanishe na Mwanzo 12. Abramu ameteuliwa na Mungu miongoni mwa watu wa ulimwengu kupitia neema ya bure na tena bila kumdai kitu chochote. Katika kitabu cha Mwanzo 12:2-3, Mungu anampa ahadi: “mimi nitakufanya taifa kubwa na nitakubariki, Nitalikuza jina lako, nawe utakuwa Baraka.3 Nitabariki wale wanakubariki, yeyote akulaaniye nitamlaani na kupitia kwa mataifa yote duniani yatabarikiwa.” Huu ndio mwanzo wana wa Israeli kupitia kwao, Yesu Kristo Mwana wa Mungu atakuja ulimwenguni kutuokoa kutoka dhambi zetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Katika mstari wa kumi na tano, Mungu anafanya agano la dharura na Abramu. Anatumia matendo ya kudhihirika na maneno mengine ya kustaajabisha. Anamwambia Abramu katika Mwanzo 15:13-16, “Ujue hakika kwamba wazao wako watakuwa wageni kwenye nchi ambayo sio yao wenyewe, nao watakuwa watumwa na kuteswa kwa miaka mia nne. Lakini nitaliadhibu taifa lile wanaolitumikia kama watumwa, hatimaye watatoka huko na mali nyingi. Wewe, hata hivyo utakwenda kwa baba zako kwa amani na kuzikwa katika uzee wema. Katika kizazi cha nne wazao wako watarudi hapa, kwa maana dhambi ya Waamori bado haijafika kipimo kilichojaa.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Miaka mia nne! ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mwanzoni mwa uhusiano wake wa Agano na watu wake wateule, Mungu anatabiri kuishi kwao kwa miaka 400 Misri na kurudi kwa nchi ya ahadi. “Watateseka kwa miaka 400” Yuko na sababu zake zizizoeleweka, ya kuwafanya watoroke kwa karne 4 (tafakari) kabla ya kuridhi nchi ya ahadi sasa, anasema katika mstari 15. “dhambi ya Waamori bado haijafika kipimo kilichojaa.” Wakati wana wa Israeli watakaporudi kunyakua nchi ya ahadi kupitia uongozi wa Yoshua, katika miaka 400, wataharibu mataifa haya. Tunaweza kuelewaje haya? Kumbukumbu la Torati 9:5 inatupatia jibu la Mungu. “Si kwa sababu ya haki yenu na uadilifu wenu kwamba nitamiliki nchi yao, lakini kwa sababu ya uovu wa mataifa haya, Bwana Mungu wenu atawafukuza mbele yenu, lile aliloapa kwa baba zenu, kwa Abrahamu, Isaki, na Yakobo.” Unyakuzi wa nchi ya ahadi ni uamuzi wa Mungu kwa ukamilifu wa karne ya uovu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Watu wa Mungu wanaingia kupitia majaribu mengi ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa sasa, Mungu asema kuwa watu wake watakuwa wageni katika nchi ambayo sio yao na watateseka kwa miaka 400, hii ni katika nchi ya Misri. Basi kuna mpango wa Mungu kwa watu wanaoenda katika haji – picha ya maisha yako duniani hadi mbinguni. Kama Mungu anapanga miaka 400 ya mateso kwa watu wake (Mwanzo 15:13) mbele ya nchi ya ahadi, tusishtuke wakati anatuambia, “kupitia mateso mengi ni hakika utaingia katika ufalme wa Mungu” (Matendo ya Mitume 14:22).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Utabiri uliotimika kutokana na dhambi ya asili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Swali kwetu leo ni: Itawezekanaje watu wa Mungu wakusanyike Misri? Na Mungu anataka kutufundisha nini juu ya njia zake na Mwanawe kupitia kwa kuishi kama wageni katika nchi ya Misri? Jibu ni kwamba Mungu anatimiza utabiri wake kupitia dhambi ya asili. Kupitia dhambi hizi, anahifadhi, sio tu agano lake hai lakini pia uhai wa wana wa Israeli, na pia jamii ambayo Simba wa Yuda atakuja kupitia ili aokoe na kutawala juu ya watu. Hivyo mambo makuu yamo katika hadithi hii ya Yusufu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Abrahamu, Isaki na Yakobo ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tukirudi kwake Abramu, wacha tulete hadithi hii hadi kwake Yusufu. Abramu ana mwana aitwaye Isaki. Isaki ana mwana ambaye ni Yakobo (kwa jina lingine Israeli), na Yakobo ana wana kumi na wawili ambao ni baba ya makabila kumi na miwili ya Israeli. Mojawapo ya wanawe kumi na miwili, mabayeni Yusufu, anazo ndoto mbili. Kwa ndoto zote mbili, ndugu zake kumi na mmoja na wazazi wake wanamwinamia, Mwanzo 37:8 inasema ndugu zake walimchukia kwa sababu ya ndoto hizi. Na mstari wa 11 inasema walishikwa na wivu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuangamiza muotaji ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Siku ilitimia kwao kudhihirisha hasira yao dhidi ya ndugu yao. Babake anamtuma kwenda kuhakikisha kuwa ndugu zake wako katika hali nzuri. (Mwanzo 37:14). Wanamwona akija na kusema katika mstari wa 19 hadi 20. “Yule mwota ndoto anakuja! Njooni sasa, tumwue na kumtupa katika shimo mojawapo na tuseme kwamba mnyama mkali amemrarua. Kisha tutaona matokeo za ndoto zake.” Reubeni anajaribu kumwokoa Yusufu lakini kujaribu kwake kunafaulu tu kwa kiasi kidogo wakati ndugu zake wanauza Yusufu kama mtumwa kwa msururu wa Waishmaeli waliokuwa wakielekea Misri (Mstari 25). Wanaliweka joho lake lililorembeshwa vizuri, kulichovya katika damu la mnyama, na babake anafikiria kuwa ameraruliwa na mnyama mkali. Ndugu zake wanafikiria kuwa huo ndio mwisho.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mkono usioonekana imo kazini ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini hawatambui yale yanayotukia. Hawatambui mkono wa Mungu usioonekana katika matendo yao. Hawajui kuwa katika jitihada zote za kuangamiza mwota ndoto huyu, wanatimiza ndoto za Yusufu. Kweli, kwa mara ngapi Mungu hufanya kazi sawa na hii! Anachukua dhambi za waharibifu wenyewe na kuzifanya njia za kukomboa waharibifu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Potifa, gereza na riziki ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Katika nchi ya Misri, Yusufu ananuliwa na Potifa, afisa wa Farao na Mkuu wa ulinzi (Mwanzo 37:36). Hapo Yusufu ananyenyekea katika riziki usioeleweka wa Mungu na anamtumikia Potifa kwa uaminifu.Anainuka kwa uaminifu na umarufu dhidi ya nyumba ya Potifa. Na unaweza kufikiria kuwa watu wa haki wataendelea. Lakini inakaa kinyume. Bibiye Potifa anajaribu kumtongoza Yusufu. Yusufu anahepa uzinifu. Na mwanamke aliyekataliwa anapandwa na mori na kudanganyana juu ya Yusufu. Ijapokuwa ni mwenye haki, anawekwa korokoroni.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Humo korokoroni, tena, bila kufahamu yale Mungu anafanya katika mapito haya yote, anamtumikia tena mhukumu kwa uaminifu na anapatiwa jukumu na kuaminika. Kupitia kwa kufasiri ndoto ya mnyweshaji na mwokaji wa Farao, Yusufu hatimaye anatolewa korokoroni kufasiri mojawapo ya ndoto za Farao. Ufasiri wake unatimia kuwa kweli na hekima yake yasisimua Farao na Yusufu akafanywa kuwa msimamizi wa jumba la kifalme,” Farao asema, “na watu wangu wote watatii amri zako. Ni kuhusu kiti cha ufalme tu nitakuwa mkuu kuliko wewe” (Mwanzo 41:40).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ndoto zilizotimilika ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Miaka saba ya neema ukifuatwa na miaka saba ya njaa yalikuwa juu ya nchi, jinsi Yusufu alivyosema. Yusufu anajiandaa kwa njaa juu ya nchi ya Misri kwa kuhifadhi nafaka nyingi katika miaka saba za neema. Hatimaye, nduguze Yusufu wanasikia kuna nafaka katika nchi ya Misri na wanaenda kutafuta msaada. Mara ya kwanza hawamtambui Yusufu, lakini mwishowe Yusufu anajitambulisha kwao. Alikuwa na umri wa miaka kumi na saba wakati aliuzwa kama mtumwa. (mstari 37:2) na wakati anajitambulisha kwao yuko na umri wa miaka thelathini na tisa (41:46,53; 45:60). Miaka ishirini na mmoja ilikuwa imepita. Wanapatwa na hofu kuu. Walijaribu kumwondosha mwota ndoto na katika hiyo hali ya kumwondosha, walitimiliza ndoto yake. Ndugu wa Yusufu mwishowe wanamwinamia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Anawaalika kuja kuishi naye katika nchi ya Misiri kuokoa maisha yao, na utimilizo wa utabiri wa jadi kuwa uzao wa Abramu wataishi kama wageni kwa nchi isiyo yao unaanza. Itawezekanaje kuwa watu wa Mungu walijipata Misiri kulingana na mipango yake? Na Mungu anataka kutufundisha nini kuhusu njia zake na za Mwanawe katika kuishi usiotarajiwa katika nchi ya kigeni ya Misri?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Maelezo mawili kutoka kwa Biblia kuhusu utimilizo huu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jibu la vile watu walijikuta wamejumuika katika nchi ya Misri unajidhihriisha kwa hatua mmoja. Walifika huko kupitia dhambi ya asili ya kujaribu kuua, kuuza kama mtumwa kwa ulafi, na uwongo wa kutofikiria kama ya mzee ambaye ana moyo wa uchungu. Je, Biblia inasemaje kuhusu utabiri huu wa Mungu ulivyotimilika? Kwa njia mbili.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1) Mungu alituma Yusufu kuokoa maisha'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwanza, katika Mwanzo 45:5, Yusufu anasema kwa ndugu zake wanaomwogopa. “Sasa msihuzunike wala msijichukie wenyewe kwa kuniuza huku, kwa sababu Mungu alinituma niwatangulie ninyi.” Njia ya kwanza Biblia inaeleza juu ya dhambi ya asili ya nduguze ni kuwa ilikuwa njia ya Mungu kumtuma Yusufu nchini Misri ili apate kuokoka maisha ya wale waliojaribu kumua. “Mungu alinituma mbele yenu.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tusije tukafikiri kuwa ni neno tu ambalo halina maana, tumesoma yaya haya katika Zaburi 105:16-17—ni kiwango tu ndicho kimepandishwa juu. Mungu hakuwa akitawala tu matendo ya nduguze kupeleka Yusufu katika nchi ya Misri, bali alikuwa akitawala hata njaa pia. “Akaamrisha njaa juu ya nchi na kuharibu chakula chao chote, naye akatuma mtu mbele yao, Yusufu, aliyeuzwa kama mtumwa.” Basi toa mawazoni mwako kuwa Mungu tayari alishaona mbeleni njaa ikizuka kivyake ama ikiwakumba kutoka kwa shetani. Mungu aliamrisha njaa na akatayarisha ukombozi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2) Kilichoumbwa na mwanadamu kwa ajili ya uovu, Mungu aliumba kwa mema'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Njia ya kwanza Biblia inafafanua utimilizo wa utabiri wa Mungu kuwa watu wake watakuja Misri ni kusema Mungu alituma Yusufu mbele yao. Njia ya pili biblia inafafanua utabiri huu ni ya kupenyeza na ya kufagilia. Nduguze Yusufu wanakuja mbele zake tena, wakati huu, baada ya kifo cha babao, na wana uoga kuwa atalipisha kisasi dhidi yao. Katika Mwanzo 50:19-20, Yusufu anasema, “Msiogope. Je, mimi ni badala ya Mungu? Mlikusudia kunidhuru, lakini Mungu alikusudia mema ili alitie hili linalofanyika sasa, kuokoa maisha ya wengi.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Njia ya pili biblia inaeleza njia ya Mungu kutimiliza utabiri wake ni: Nduguze Yusufu walikusudia kuuzwa kwake kwa uovu lakini Mungu kusudi lake lilikuwa kwa wema. Tazama haisemi kuwa Mungu alitumia uovu wao kwa wema baada yao kuikusudia kuwa uovu, Inasema kwamba katika hicho kitendo chenyewe kiovu, Mungu alikuwa akiunda wema.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuelekeza, dhambi zinazookoa maisha ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiki ndicho tumekiona na tutakiona tena na tena. Kile mwanadamu anakiunda—ama miundo za kishetani—kwa uovu, Mungu anakiunda kwa ajili ya wema wa ajabu. Wema kuu umetajwa katika Mwanzo 45:5 ni “kuhifadhi maisha.” Na wema kuu ambao umetajwa katika Mwanzo 50:20 ni “alikusudia mema ili litimie hili linalofanyika sasa, kuokoa maisha ya watu wengi.” Lakini katika maneno hayo, hadithi yote ya vile Mungu anaokoa watu wake ni viegemeo vya lengo la dhambi hii—dhambi hii ya kuokoa—kwa utukufu wa Yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Viegemeo vitatu vya utukufu wa Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha tuyaangalie mambo matatu katika hadithi hii yanayotutayarisha kuona utukufu wa Yesu na vile Yeye alivyo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1) Wokovu unakuja kupitia dhambi na mateso'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwanza, tunaona mtindo unaojirudia rudia katika biblia, uitwalo, ushindi wa Mungu unaookoa watu wake mara kwa mara huja kupitia dhambi na mateso. Nduguze Yusufu walitenda dhambi dhidi yake na akateseka kwa ajili yake. Na katika haya yote, Mungu yu kazini kuokoa watu wake—wakiwemo wale wanajaribu kuangamiza mwokozi. Kuja kwa Yesu kwa njia hii haingeshangaza watu wengi vile ilivyofanyika.Kuwa dhambi ilitendeka dhidi yake na akapitia mateso katika harakati ya kuokoa watu wake ndio inastahili tutarajie kupitia mtindo huu unajirudia rudia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Katika hadithi ya Yusufu na dhambi asili ya ndugu zake, tutaandaliwa kuona utukufu wa Kristo—Uvumilivu wake na kunyenyekea kwakena kutumika kwake, wakati huu woteakiokoa wale waliokuwa wakijaribu kumwondosha.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
''Alikufa kwa ajili Yangu, ambaye alisababisha uchungu wake—kwa ajili yangu ambaye katika kifo nilifuata?Upendo wa ajabu, inawezekanaje kuwa wewe, Mungu wangu, ufe kwa ajili yangu?''&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''2) Yule anateseka ni mwenye haki'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ya pili, hadithi ya Yusufu na dhambi ya asili ya ndugu zake inatuandaa kuona Yesu sio tu kwa sababu ni mtindo wa kawaida kuwa ushindi wa Mungu unaookoa kwa watu wake kila mara huja kwa mateso na dhambi, lakini katika hali ya kipekee, kwa sababu Yule anateseka na dhambi inatendwa dhidi yake ni mwenye haki sana. Yusufu anajidhihirisha kwa kusimama wima kwake wa ajabu na uaminifu wake katika kila uhusianio. Hata katika utumwa isiyostahili, anakuwa mwaminifu kwa Potifa na msimamizi wa gereza Mwanzo 39:22: “kwa hiyo msimamizi wa gereza akaweka Yusufu awe mkuu wa wafungwa pamoja na kusimamia yote ambayo yalitendeka mle gerezani.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na ni nini iilikuwa dhawabu ya Yusufu? Mke wa Potifa alisema uongo juu yake, na Mnyweshaji wa Farao ambaye Yusufu alifasiri ndoto yake, bila shukrani alimsahau akiwa gerezani muda wa miaka mbili baada ya ndoto zake. Jambo la kujifunza kutoka kwa haya matukio sio tu kuwa kuna dhambi na mateso na kuwa Mungu anafanya jitihada ya kuokoa watu wake. Hakika ni kuwa mwenye haki, na wale wanateswa kwa muda mrefu, mwishowe wanaokolewa na Mungu. Ingawa wengine wamemkataa huu jiwe wa haki, Mungu anamfamya jiwe kuu la pembeni (Mathayo 21:420). Kuachiliwa kwake unakuwa njia ile ya kuokoa watesi wake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu Kristo ndiye mwisho na wa kipekee na Mwenye haki kamilifu. (Matendo 7:52). Ilionekana kwa wengine kana kwamba maisha yake ulikuwa umechukua mwelekeo mbaya na hakika alikuwa mtenda dhambi. Lakini mwishowe, uovu juu yake, na mateso aliyoyavumulia katika haki kamilifu, ikaelekeza kwa ukombozi wake na kwa ajili ya hiyo wokovu wetu. Kama Yusufu ni wa kustajabisha katika kusimama kwake, Yesu ni wa kustajabisha mara elfu kumi, kwa sababu alipitia mateso mara elfu kumi na hakuistahili mara elfu kumi, na alisimama wima kwa ukamilifu na uaminifu, na haki katika haya yote.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3) Fimbo la ufalme halitaondoka kwa Yuda'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna mambo sambamba katika hadithi kati ya Yusufu na Yesu, lakini tunaegemea kwa jambo muhimu zaidi katika hadithi hii ya Yesu na si sambamba na ile ya Yusufu. Ni utabiri kuhusu kuja kwa Yesu, ambalo halingefanyika kama wana waovu wa Yakobo wangekufa katika janga hili la njaa. Dhambi ya asili ya hawa ndugu ilikuwa njia ya Mungu ya kuokoa kabila la Yuda kutoweka ili kwamba Simba wa Yuda, Yesu Kristo, akazaliwe, afe, afufuke na kutawala juu ya watu wote wa ulimwengu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapa yanadhihirika katika Mwanzo 49:8-10. Yakobo, baba, anakaribia kufa na kabla ya kuaga, anatamka Baraka uliotabiriwa juu ya wana wake wote. Hivi ndivyio asema kuhusu mwanawe Yuda:&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Yuda, ndugu zako watakusifu, mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako. Wana wa baba yako watakusujudia. Ee Yuda, wewe ni mwana Simba, unarudi toka mawindoni, mwanangu. Kama simba humnyemelea na kulala chini, kama simba jike, nani adhubutiye kumwamusha? Fimbo la ufalme haitaondoka kwa Yuda wala fimbo ya mtawala kati ya miguu yake, ambaye miliki ni yake, ambaye utii wa mataifa ni wake.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Hii ni utabiri wa kuja kwa mfalme wa Israeli, Simba wa yuda, mesia. Tazama. katika mstari wa 10 kuwa fimbo ya ufalme—fimbo ya mtawala, mfano wa mfalme—itakuwa katika ukoo wa Yuda mpaka aje mfalme asiye wa kawaida, kwa sababu watu wote, sio tu Israeli, watamtii. Mstari 10b: “Ambaye utii wa mataifa ni wake.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Inatimilika katika Yesu. Sikiza vile Yohana anasema kuhusu jukumu la Yesu mbinguni baada ya kusulubishwa na kufufuka kwake: “Usilie! Tazama, Simba wa kabila la Yuda, wa uzao wa Daudi, ameshinda, ili kwamba aweze kukifungua hicho kitabu na kuvunja hizo lakiri zake saba . . . Nao wakaimba wimbo mpya wakisema “wewe unastahili kukitwaa kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu Yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa. Kumtumikia Mungu wetu, wewe umewafanya hawa wawe ufalme na makuhani kumtumikia Mungu wetu, nao watamiliki katika dunia” (Ufunuo Wa Yohana 5:5; 9-10).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Simba wa Yuda ndiye kondoo aliyechinjwa ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jambo la kustajabisha sana kulihusu Simba kutoka kabila la Yuda katika utimilizo wa ubashiri wa Yakobo ni kuwa anajidhihirisha katika unyenyekevu wa watu wote ulimwenguni sio kwa hila na kushurutishwa kujisalimisha, lakini kubeba shauku zetu na kutukomboa ili tumpende na kumsifu na kumtii kwa furaha milele. Simba wa Yuda ndiye kondoo aliyechinjwa. Anashindia utiifu wetu kwa kutusamehe dhambi zetu na kufanya utiifu wake, kwa ukamilifu wake kama mwenye haki, msingi wetu wa kukubalika kwa Mungu. Na hakika hali hii ya ulinzi usio kifani na furaha- hii yote ni kupitia mateso yake na haki na kifo na ufufuo—anashindania uhuru na utiifu wetu wa furaha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hadithi ya Yusufu ni hadithi ya mwenye haki ambaye ametendewa uovu na anateseka ndipo kabila la Yuda ihifadhiliwe na Simba azaliwe, na atadhihirisha kuwa kama Simba aliye kama kondoo, kupitia kwa mateso yake na kifo chake, kununua na kuhimiza furaha ya kutii katika mataifa yote—hata kwa wale wanaomtia hata kifoni. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je ana chako?&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kuuzwa_kwa_Yusufu_na_Mwana_wa_Mungu</id>
		<title>Kuuzwa kwa Yusufu na Mwana wa Mungu</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kuuzwa_kwa_Yusufu_na_Mwana_wa_Mungu"/>
				<updated>2018-03-23T20:08:49Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|The Sale of Joseph and the Son of God}}   ==== Maneno ya kushangaza kwa Abramu ====  Kabla niwambie hadithi ya Yusufu na dhambi ya asili ya ndugu zake, lengo lake duniani ...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|The Sale of Joseph and the Son of God}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Maneno ya kushangaza kwa Abramu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kabla niwambie hadithi ya Yusufu na dhambi ya asili ya ndugu zake, lengo lake duniani kwa utukufu wa Kristo Yesu, wacha tuiambatanishe na Mwanzo 12. Abramu ameteuliwa na Mungu miongoni mwa watu wa ulimwengu kupitia neema ya bure na tena bila kumdai kitu chochote. Katika kitabu cha Mwanzo 12:2-3, Mungu anampa ahadi: “mimi nitakufanya taifa kubwa na nitakubariki, Nitalikuza jina lako, nawe utakuwa Baraka.3 Nitabariki wale wanakubariki, yeyote akulaaniye nitamlaani na kupitia kwa mataifa yote duniani yatabarikiwa.” Huu ndio mwanzo wana wa Israeli kupitia kwao, Yesu Kristo Mwana wa Mungu atakuja ulimwenguni kutuokoa kutoka dhambi zetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Katika mstari wa kumi na tano, Mungu anafanya agano la dharura na Abramu. Anatumia matendo ya kudhihirika na maneno mengine ya kustaajabisha. Anamwambia Abramu katika Mwanzo 15:13-16, “Ujue hakika kwamba wazao wako watakuwa wageni kwenye nchi ambayo sio yao wenyewe, nao watakuwa watumwa na kuteswa kwa miaka mia nne. Lakini nitaliadhibu taifa lile wanaolitumikia kama watumwa, hatimaye watatoka huko na mali nyingi. Wewe, hata hivyo utakwenda kwa baba zako kwa amani na kuzikwa katika uzee wema. Katika kizazi cha nne wazao wako watarudi hapa, kwa maana dhambi ya Waamori bado haijafika kipimo kilichojaa.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Miaka mia nne! ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mwanzoni mwa uhusiano wake wa Agano na watu wake wateule, Mungu anatabiri kuishi kwao kwa miaka 400 Misri na kurudi kwa nchi ya ahadi. “Watateseka kwa miaka 400” Yuko na sababu zake zizizoeleweka, ya kuwafanya watoroke kwa karne 4 (tafakari) kabla ya kuridhi nchi ya ahadi sasa, anasema katika mstari 15. “dhambi ya Waamori bado haijafika kipimo kilichojaa.” Wakati wana wa Israeli watakaporudi kunyakua nchi ya ahadi kupitia uongozi wa Yoshua, katika miaka 400, wataharibu mataifa haya. Tunaweza kuelewaje haya? Kumbukumbu la Torati 9:5 inatupatia jibu la Mungu. “Si kwa sababu ya haki yenu na uadilifu wenu kwamba nitamiliki nchi yao, lakini kwa sababu ya uovu wa mataifa haya, Bwana Mungu wenu atawafukuza mbele yenu, lile aliloapa kwa baba zenu, kwa Abrahamu, Isaki, na Yakobo.” Unyakuzi wa nchi ya ahadi ni uamuzi wa Mungu kwa ukamilifu wa karne ya uovu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Watu wa Mungu wanaingia kupitia majaribu mengi ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa sasa, Mungu asema kuwa watu wake watakuwa wageni katika nchi ambayo sio yao na watateseka kwa miaka 400, hii ni katika nchi ya Misri. Basi kuna mpango wa Mungu kwa watu wanaoenda katika haji – picha ya maisha yako duniani hadi mbinguni. Kama Mungu anapanga miaka 400 ya mateso kwa watu wake (Mwanzo 15:13) mbele ya nchi ya ahadi, tusishtuke wakati anatuambia, “kupitia mateso mengi ni hakika utaingia katika ufalme wa Mungu” (Matendo ya Mitume 14:22).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Utabiri uliotimika kutokana na dhambi ya asili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Swali kwetu leo ni: Itawezekanaje watu wa Mungu wakusanyike Misri? Na Mungu anataka kutufundisha nini juu ya njia zake na Mwanawe kupitia kwa kuishi kama wageni katika nchi ya Misri? Jibu ni kwamba Mungu anatimiza utabiri wake kupitia dhambi ya asili. Kupitia dhambi hizi, anahifadhi, sio tu agano lake hai lakini pia uhai wa wana wa Israeli, na pia jamii ambayo Simba wa Yuda atakuja kupitia ili aokoe na kutawala juu ya watu. Hivyo mambo makuu yamo katika hadithi hii ya Yusufu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Abrahamu, Isaki na Yakobo ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tukirudi kwake Abramu, wacha tulete hadithi hii hadi kwake Yusufu. Abramu ana mwana aitwaye Isaki. Isaki ana mwana ambaye ni Yakobo (kwa jina lingine Israeli), na Yakobo ana wana kumi na wawili ambao ni baba ya makabila kumi na miwili ya Israeli. Mojawapo ya wanawe kumi na miwili, mabayeni Yusufu, anazo ndoto mbili. Kwa ndoto zote mbili, ndugu zake kumi na mmoja na wazazi wake wanamwinamia, Mwanzo 37:8 inasema ndugu zake walimchukia kwa sababu ya ndoto hizi. Na mstari wa 11 inasema walishikwa na wivu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuangamiza muotaji ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Siku ilitimia kwao kudhihirisha hasira yao dhidi ya ndugu yao. Babake anamtuma kwenda kuhakikisha kuwa ndugu zake wako katika hali nzuri. (Mwanzo 37:14). Wanamwona akija na kusema katika mstari wa 19 hadi 20. “Yule mwota ndoto anakuja! Njooni sasa, tumwue na kumtupa katika shimo mojawapo na tuseme kwamba mnyama mkali amemrarua. Kisha tutaona matokeo za ndoto zake.” Reubeni anajaribu kumwokoa Yusufu lakini kujaribu kwake kunafaulu tu kwa kiasi kidogo wakati ndugu zake wanauza Yusufu kama mtumwa kwa msururu wa Waishmaeli waliokuwa wakielekea Misri (Mstari 25). Wanaliweka joho lake lililorembeshwa vizuri, kulichovya katika damu la mnyama, na babake anafikiria kuwa ameraruliwa na mnyama mkali. Ndugu zake wanafikiria kuwa huo ndio mwisho.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mkono usioonekana imo kazini ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini hawatambui yale yanayotukia. Hawatambui mkono wa Mungu usioonekana katika matendo yao. Hawajui kuwa katika jitihada zote za kuangamiza mwota ndoto huyu, wanatimiza ndoto za Yusufu. Kweli, kwa mara ngapi Mungu hufanya kazi sawa na hii! Anachukua dhambi za waharibifu wenyewe na kuzifanya njia za kukomboa waharibifu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Potifa, gereza na riziki ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Katika nchi ya Misri, Yusufu ananuliwa na Potifa, afisa wa Farao na Mkuu wa ulinzi (Mwanzo 37:36). Hapo Yusufu ananyenyekea katika riziki usioeleweka wa Mungu na anamtumikia Potifa kwa uaminifu.Anainuka kwa uaminifu na umarufu dhidi ya nyumba ya Potifa. Na unaweza kufikiria kuwa watu wa haki wataendelea. Lakini inakaa kinyume. Bibiye Potifa anajaribu kumtongoza Yusufu. Yusufu anahepa uzinifu. Na mwanamke aliyekataliwa anapandwa na mori na kudanganyana juu ya Yusufu. Ijapokuwa ni mwenye haki, anawekwa korokoroni.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Humo korokoroni, tena, bila kufahamu yale Mungu anafanya katika mapito haya yote, anamtumikia tena mhukumu kwa uaminifu na anapatiwa jukumu na kuaminika. Kupitia kwa kufasiri ndoto ya mnyweshaji na mwokaji wa Farao, Yusufu hatimaye anatolewa korokoroni kufasiri mojawapo ya ndoto za Farao. Ufasiri wake unatimia kuwa kweli na hekima yake yasisimua Farao na Yusufu akafanywa kuwa msimamizi wa jumba la kifalme,” Farao asema, “na watu wangu wote watatii amri zako. Ni kuhusu kiti cha ufalme tu nitakuwa mkuu kuliko wewe” (Mwanzo 41:40).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ndoto zilizotimilika ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Miaka saba ya neema ukifuatwa na miaka saba ya njaa yalikuwa juu ya nchi, jinsi Yusufu alivyosema. Yusufu anajiandaa kwa njaa juu ya nchi ya Misri kwa kuhifadhi nafaka nyingi katika miaka saba za neema. Hatimaye, nduguze Yusufu wanasikia kuna nafaka katika nchi ya Misri na wanaenda kutafuta msaada. Mara ya kwanza hawamtambui Yusufu, lakini mwishowe Yusufu anajitambulisha kwao. Alikuwa na umri wa miaka kumi na saba wakati aliuzwa kama mtumwa. (mstari 37:2) na wakati anajitambulisha kwao yuko na umri wa miaka thelathini na tisa (41:46,53; 45:60). Miaka ishirini na mmoja ilikuwa imepita. Wanapatwa na hofu kuu. Walijaribu kumwondosha mwota ndoto na katika hiyo hali ya kumwondosha, walitimiliza ndoto yake. Ndugu wa Yusufu mwishowe wanamwinamia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Anawaalika kuja kuishi naye katika nchi ya Misiri kuokoa maisha yao, na utimilizo wa utabiri wa jadi kuwa uzao wa Abramu wataishi kama wageni kwa nchi isiyo yao unaanza. Itawezekanaje kuwa watu wa Mungu walijipata Misiri kulingana na mipango yake? Na Mungu anataka kutufundisha nini kuhusu njia zake na za Mwanawe katika kuishi usiotarajiwa katika nchi ya kigeni ya Misri?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Maelezo mawili kutoka kwa Biblia kuhusu utimilizo huu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jibu la vile watu walijikuta wamejumuika katika nchi ya Misri unajidhihriisha kwa hatua mmoja. Walifika huko kupitia dhambi ya asili ya kujaribu kuua, kuuza kama mtumwa kwa ulafi, na uwongo wa kutofikiria kama ya mzee ambaye ana moyo wa uchungu. Je, Biblia inasemaje kuhusu utabiri huu wa Mungu ulivyotimilika? Kwa njia mbili.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1) Mungu alituma Yusufu kuokoa maisha'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwanza, katika Mwanzo 45:5, Yusufu anasema kwa ndugu zake wanaomwogopa. “Sasa msihuzunike wala msijichukie wenyewe kwa kuniuza huku, kwa sababu Mungu alinituma niwatangulie ninyi.” Njia ya kwanza Biblia inaeleza juu ya dhambi ya asili ya nduguze ni kuwa ilikuwa njia ya Mungu kumtuma Yusufu nchini Misri ili apate kuokoka maisha ya wale waliojaribu kumua. “Mungu alinituma mbele yenu.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tusije tukafikiri kuwa ni neno tu ambalo halina maana, tumesoma yaya haya katika Zaburi 105:16-17—ni kiwango tu ndicho kimepandishwa juu. Mungu hakuwa akitawala tu matendo ya nduguze kupeleka Yusufu katika nchi ya Misri, bali alikuwa akitawala hata njaa pia. “Akaamrisha njaa juu ya nchi na kuharibu chakula chao chote, naye akatuma mtu mbele yao, Yusufu, aliyeuzwa kama mtumwa.” Basi toa mawazoni mwako kuwa Mungu tayari alishaona mbeleni njaa ikizuka kivyake ama ikiwakumba kutoka kwa shetani. Mungu aliamrisha njaa na akatayarisha ukombozi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2) Kilichoumbwa na mwanadamu kwa ajili ya uovu, Mungu aliumba kwa mema'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Njia ya kwanza Biblia inafafanua utimilizo wa utabiri wa Mungu kuwa watu wake watakuja Misri ni kusema Mungu alituma Yusufu mbele yao. Njia ya pili biblia inafafanua utabiri huu ni ya kupenyeza na ya kufagilia. Nduguze Yusufu wanakuja mbele zake tena, wakati huu, baada ya kifo cha babao, na wana uoga kuwa atalipisha kisasi dhidi yao. Katika Mwanzo 50:19-20, Yusufu anasema, “Msiogope. Je, mimi ni badala ya Mungu? Mlikusudia kunidhuru, lakini Mungu alikusudia mema ili alitie hili linalofanyika sasa, kuokoa maisha ya wengi.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Njia ya pili biblia inaeleza njia ya Mungu kutimiliza utabiri wake ni: Nduguze Yusufu walikusudia kuuzwa kwake kwa uovu lakini Mungu kusudi lake lilikuwa kwa wema. Tazama haisemi kuwa Mungu alitumia uovu wao kwa wema baada yao kuikusudia kuwa uovu, Inasema kwamba katika hicho kitendo chenyewe kiovu, Mungu alikuwa akiunda wema.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuelekeza, dhambi zinazookoa maisha ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiki ndicho tumekiona na tutakiona tena na tena. Kile mwanadamu anakiunda—ama miundo za kishetani—kwa uovu, Mungu anakiunda kwa ajili ya wema wa ajabu. Wema kuu umetajwa katika Mwanzo 45:5 ni “kuhifadhi maisha.” Na wema kuu ambao umetajwa katika Mwanzo 50:20 ni “alikusudia mema ili litimie hili linalofanyika sasa, kuokoa maisha ya watu wengi.” Lakini katika maneno hayo, hadithi yote ya vile Mungu anaokoa watu wake ni viegemeo vya lengo la dhambi hii—dhambi hii ya kuokoa—kwa utukufu wa Yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Viegemeo vitatu vya utukufu wa Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha tuyaangalie mambo matatu katika hadithi hii yanayotutayarisha kuona utukufu wa Yesu na vile Yeye alivyo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1) Wokovu unakuja kupitia dhambi na mateso'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwanza, tunaona mtindo unaojirudia rudia katika biblia, uitwalo, ushindi wa Mungu unaookoa watu wake mara kwa mara huja kupitia dhambi na mateso. Nduguze Yusufu walitenda dhambi dhidi yake na akateseka kwa ajili yake. Na katika haya yote, Mungu yu kazini kuokoa watu wake—wakiwemo wale wanajaribu kuangamiza mwokozi. Kuja kwa Yesu kwa njia hii haingeshangaza watu wengi vile ilivyofanyika.Kuwa dhambi ilitendeka dhidi yake na akapitia mateso katika harakati ya kuokoa watu wake ndio inastahili tutarajie kupitia mtindo huu unajirudia rudia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Katika hadithi ya Yusufu na dhambi asili ya ndugu zake, tutaandaliwa kuona utukufu wa Kristo—Uvumilivu wake na kunyenyekea kwakena kutumika kwake, wakati huu woteakiokoa wale waliokuwa wakijaribu kumwondosha.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
''Alikufa kwa ajili Yangu, ambaye alisababisha uchungu wake—kwa ajili yangu ambaye katika kifo nilifuata?Upendo wa ajabu, inawezekanaje kuwa wewe, Mungu wangu, ufe kwa ajili yangu?''&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''2) Yule anateseka ni mwenye haki'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ya pili, hadithi ya Yusufu na dhambi ya asili ya ndugu zake inatuandaa kuona Yesu sio tu kwa sababu ni mtindo wa kawaida kuwa ushindi wa Mungu unaookoa kwa watu wake kila mara huja kwa mateso na dhambi, lakini katika hali ya kipekee, kwa sababu Yule anateseka na dhambi inatendwa dhidi yake ni mwenye haki sana. Yusufu anajidhihirisha kwa kusimama wima kwake wa ajabu na uaminifu wake katika kila uhusianio. Hata katika utumwa isiyostahili, anakuwa mwaminifu kwa Potifa na msimamizi wa gereza Mwanzo 39:22: “kwa hiyo msimamizi wa gereza akaweka Yusufu awe mkuu wa wafungwa pamoja na kusimamia yote ambayo yalitendeka mle gerezani.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na ni nini iilikuwa dhawabu ya Yusufu? Mke wa Potifa alisema uongo juu yake, na Mnyweshaji wa Farao ambaye Yusufu alifasiri ndoto yake, bila shukrani alimsahau akiwa gerezani muda wa miaka mbili baada ya ndoto zake. Jambo la kujifunza kutoka kwa haya matukio sio tu kuwa kuna dhambi na mateso na kuwa Mungu anafanya jitihada ya kuokoa watu wake. Hakika ni kuwa mwenye haki, na wale wanateswa kwa muda mrefu, mwishowe wanaokolewa na Mungu. Ingawa wengine wamemkataa huu jiwe wa haki, Mungu anamfamya jiwe kuu la pembeni (Mathayo 21:420). Kuachiliwa kwake unakuwa njia ile ya kuokoa watesi wake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu Kristo ndiye mwisho na wa kipekee na Mwenye haki kamilifu. (Matendo 7:52). Ilionekana kwa wengine kana kwamba maisha yake ulikuwa umechukua mwelekeo mbaya na hakika alikuwa mtenda dhambi. Lakini mwishowe, uovu juu yake, na mateso aliyoyavumulia katika haki kamilifu, ikaelekeza kwa ukombozi wake na kwa ajili ya hiyo wokovu wetu. Kama Yusufu ni wa kustajabisha katika kusimama kwake, Yesu ni wa kustajabisha mara elfu kumi, kwa sababu alipitia mateso mara elfu kumi na hakuistahili mara elfu kumi, na alisimama wima kwa ukamilifu na uaminifu, na haki katika haya yote.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3) Fimbo la ufalme halitaondoka kwa Yuda'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna mambo sambamba katika hadithi kati ya Yusufu na Yesu, lakini tunaegemea kwa jambo muhimu zaidi katika hadithi hii ya Yesu na si sambamba na ile ya Yusufu. Ni utabiri kuhusu kuja kwa Yesu, ambalo halingefanyika kama wana waovu wa Yakobo wangekufa katika janga hili la njaa. Dhambi ya asili ya hawa ndugu ilikuwa njia ya Mungu ya kuokoa kabila la Yuda kutoweka ili kwamba Simba wa Yuda, Yesu Kristo, akazaliwe, afe, afufuke na kutawala juu ya watu wote wa ulimwengu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapa yanadhihirika katika Mwanzo 49:8-10. Yakobo, baba, anakaribia kufa na kabla ya kuaga, anatamka Baraka uliotabiriwa juu ya wana wake wote. Hivi ndivyio asema kuhusu mwanawe Yuda:&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Yuda, ndugu zako watakusifu, mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako. Wana wa baba yako watakusujudia. Ee Yuda, wewe ni mwana Simba, unarudi toka mawindoni, mwanangu. Kama simba humnyemelea na kulala chini, kama simba jike, nani adhubutiye kumwamusha? Fimbo la ufalme haitaondoka kwa Yuda wala fimbo ya mtawala kati ya miguu yake, ambaye miliki ni yake, ambaye utii wa mataifa ni wake.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Hii ni utabiri wa kuja kwa mfalme wa Israeli, Simba wa yuda, mesia. Tazama. katika mstari wa 10 kuwa fimbo ya ufalme—fimbo ya mtawala, mfano wa mfalme—itakuwa katika ukoo wa Yuda mpaka aje mfalme asiye wa kawaida, kwa sababu watu wote, sio tu Israeli, watamtii. Mstari 10b: “Ambaye utii wa mataifa ni wake.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Inatimilika katika Yesu. Sikiza vile Yohana anasema kuhusu jukumu la Yesu mbinguni baada ya kusulubishwa na kufufuka kwake: “Usilie! Tazama, Simba wa kabila la Yuda, wa uzao wa Daudi, ameshinda, ili kwamba aweze kukifungua hicho kitabu na kuvunja hizo lakiri zake saba . . . Nao wakaimba wimbo mpya wakisema “wewe unastahili kukitwaa kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu Yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa. Kumtumikia Mungu wetu, wewe umewafanya hawa wawe ufalme na makuhani kumtumikia Mungu wetu, nao watamiliki katika dunia” (Ufunuo Wa Yohana 5:5; 9-10).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Simba wa Yuda ndiye kondoo aliyechinjwa ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jambo la kustajabisha sana kulihusu Simba kutoka kabila la Yuda katika utimilizo wa ubashiri wa Yakobo ni kuwa anajidhihirisha katika unyenyekevu wa watu wote ulimwenguni sio kwa hila na kushurutishwa kujisalimisha, lakini kubeba shauku zetu na kutukomboa ili tumpende na kumsifu na kumtii kwa furaha milele. Simba wa Yuda ndiye kondoo aliyechinjwa. Anashindia utiifu wetu kwa kutusamehe dhambi zetu na kufanya utiifu wake, kwa ukamilifu wake kama mwenye haki, msingi wetu wa kukubalika kwa Mungu. Na hakika hali hii ya ulinzi usio kifani na furaha- hii yote ni kupitia mateso yake na haki na kifo na ufufuo—anashindania uhuru na utiifu wetu wa furaha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hadithi ya Yusufu ni hadithi ya mwenye haki ambaye ametendewa uovu na anateseka ndipo kabila la Yuda ihifadhiliwe na Simba azaliwe, na atadhihirisha kuwa kama Simba aliye kama kondoo, kupitia kwa mateso yake na kifo chake, kununua na kuhimiza furaha ya kutii katika mataifa yote—hata kwa wale wanaomtia hata kifoni. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je ana chako?&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Muulize_Babako_aliye_mbinguni</id>
		<title>Muulize Babako aliye mbinguni</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Muulize_Babako_aliye_mbinguni"/>
				<updated>2018-02-20T20:51:12Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Muulize Babako aliye mbinguni&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|&lt;br /&gt;
Ask Your Father in Heaven&lt;br /&gt;
}}&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa mlango. 8 Kwa maana kila aombaye hupewa, naye atafutaye huona, naye abishaye hufunguliwa mlango. 9 Au ni nani miongo mwenu ambaye mwanawe akimwomba mkate atampa jiwe? 10 Au mwanawe akimwomba samaki atampa nyoka? 11 Ikiwa ninyi basi mlio waovu mnajua jinsi ya kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri, wale wamwombapo! Basi chochote mnataka wengi wawafanyie, nanyi pia muwafanyie.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Unaposimama kidogo kuchunguza kuwa Mungu ana nguvu isiyokoma na anaweza kufanya kile apendacho, na ana haki isiyokoma ndipo anafanya kilicho tu haki, na ana uzuri usiokoma kuwa kila mara anajua hakika mema, na ana hekima isiyokoma na kila mara hujua hakika yaliyomema na yaliyo haki, na ana upendo usiokoma na kuwa katika nguvu zake zote na uzuri wake na hekima yake anainua furaha ya milele ya wapendwa juu kama inavyoweza kuinuliwa—unapokaa na kuchunguza hii basimwito wa ajabu wa Mungu huyu ya kumuuliza vitu vizuri kwa ahadi kuwa atavipeana, ni ya ajabu mno.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Msiba wa ukosefu wa maombi ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Maanake mojawapo wa majanga wa muda mfupi kanisani sana sana ni uchache tunao katika mwelekeo katika maombi. Mwaliko mkuu zaidi ulimwenguni umepeanwa kwetu, na bila kufahamu, kila mara tunageukia vitu vingine. Ni kana kwamba Mungu alitualika katika karamu kuu kuwahi kufanyika halafu tunamrudishia jibu kwamba, “Nimenunua shamba, lazima niende kuliona,” ama, “Ndipo tu nimenunua jozi tano za ng’ombe wa kulima nami nitakwenda kuwajaribu,” ama “Nimeoa mke, kwa hivyo siwezi kuja.” (Luka 14:18-20)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Egemeo mpya wa kuomba ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hakika, hiyo ilikuwa wakati huo. Lakini ombi langu ni kuwa Mungu atatumia ujumbe huu na neno hili kutoka kwa Yesu katika Mathayo 7, na matukio mengine katika maisha yako, ili aamshe mwinuko mpya unaoshawishi kwa kuomba itimiapo mwaka wa 2007. Natumaini kwamba utauliza Mungu afanye hiyo tunapoendelea na andiko hili.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tutaifanya kwa hatua mbili, kwanza tutaangalia himizo nane ya kuomba katika Mathayo 7:7-11. Pili, tutajaribu kujibu swali ya vile inafaa tufahamu ahadi tutakayozipokea tunapouliza, na kuzipokea wakati tutatafuta, na tunapofunguliwa mlango wakati tutakapobisha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Himizo nane ya kuomba kutoka kwa Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sita kati ya himizo hizi zadhihirika wazi katika andiko hili na mbili ni thabiti. Inadhihirika kwangu kuwa lengo kuu ya Yesu katika mistari hii ni kutuhimiza na kutupa motisha ya kuomba. Anataka tuombe. Anatuhimizaje?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1. Anatualilka tuombe  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mara tatu anatualika tuombe—ama, unaweza sema, utakapoisikia kwa upendo, mara tatu anatuamrisha tuombe—kumwomba yale tunayohitaji. Ni idadi ya vile anatualika ambayo inavuta hisia zetu. Mstari 7-8 “Ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa mlango. Kwa maana kila aombaye hupewa, naye atafutaye huona, naye abishaye hufunguliwa mlango.” Marudio inakusudiwa kusema, “Namaanisha hii.” Nataka mfanye hii. Mmuulize baba yako yale unayoyahitaji. Mtafute Baba yako kwa usaidizi juu ya mahitaji yako. Bisha malango wa Baba yako naye atafungua na kukupa yale unayohitaji. Uliza, tafuta, bisha. Nakualika mara tatu kwa sababu kwa hakika nataka ufurahie usaidizi wa Baba yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2. Anatuahidi tunapoomba  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Vyema zaidi na ya ajabu kuliko mialiko mitatu ni ahadi saba. Mstari 7-8, “Uliza na [#1] utapewa; tafuta, na [#2] utapata; bisha, na [#3] utafunguliwa kwa kuwa yeyote aulizaye [#4] ataupokea, na yeyote atafutaye [#5] atapata, na Yule abishaye [#6] atafunguliwa.” Hatimaye mwishoni mwa mistari 11b [#7], “Si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao!”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ahadi saba utapokea. Utapata. Utafunguliwa. Aombaye anapokea. Atafutaye anapata. Abishaye anafunguliwa mlango. Baba yenu atawapa vitu vizuri. Hakika lengo la msururu huu wa ahadi za kifahari ni kutuambia kwamba: Himizwa ili uje. Mwombe. Si bure unapoomba. Mungu hafanyi mzaha nawe. Anajibu. Anapeana vitu vizuri unapoomba. Jipe moyo. Omba kila mara, omba wakati wote, omba kwa ujasiri katika mwaka wa 2007.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 3. Mungu anapatikana katika ngazi mbali mbali  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu anatuhimiza sio tu kwa idadi ya mwaliko na ahadi bali kwa mwaliko ya aina tofauti tofauti mara tatu. Kwa maneno mengine, Mungu anasimama wima kujibu kwa njia inayofaa unapompata katika hatua tofauti tofauti ya kumfikia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Omba. Tafuta. Bisha. Ikiwa babake mtoto apatikana, anamwomba yale anayohitaji. Ikiwa babake mtoto yuko pahali fulani katika nyumba lakini haonekani, anatafuta babake kwa ajili ya yale anayohitaji. Ikiwa atamtafuta na kumpata ndani ya chumba chake cha kusoma, anabisha ili apate anachohitaji. Jambo linaloonekana ni kwamba haijalishi kuwa utapata Mungu mara moja kwa karibu, pahali unaweza kumguza kwa ukaribu wake, ama kuwa ngumu kuona na vilevile kuwa na vizuizi kati kati, atasikia, na atakupa vitu vizuri kwa sababu ulimwomba na sio mwingine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 4. Kila aombaye atapata  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu anatuhimiza tuombe kwa kuifanya wazi kuwa ''kila'' aombaye atapata, sio tu wengine. Wa 8: &amp;quot;Kwa maana ''kila'' aombaye hupewa, naye atafutaye huona, naye abishaye hufunguliwa mlango.” Anapoongeza neno ''kila'' katika mstari wa 8, Anataka kuondoa woga na kusita kwetu ya kwamba kwa namna Fulani itafanyikia watu wengine lakini si kwetu sisi. Bila shaka, anakuzungumza juu ya wana wa Mungu hapa, na si binadamu wote kwa jumla. Kama hatutakuwa na Yesu kama Mwokozi na Mungu kama Baba yetu, basi ahadi hizi hautumiki kwetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yohana 1:12 inasema, “kwa wale waliompokea [Yesu], walioliamini Jina Lake aliwapa uwezo wa kuwa wana wa Mungu.” Ili kuwa mtoto wa Mungu, ni lazima tumpokee Mwana wa Mungu, Yesu Kristo, ambaye anatupa mamlaka ya kufanywa wana. Hao ndio ambao ahadi hizi ni kwa ajili yao.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa wale wanaompokea Yesu, ''kila'' mmoja wao, anayeomba atapewa vitu vizuri kutoka kwa Baba yake. Jambo ni kwamba hakuna mtoto wake yeyote ambaye ameachwa nje. Wote wamekaribishwa na wanahimizwa waje. Martin Lurther aliona vile Yesu anapeana motisha hapa: &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Anajua kwamba sisi ni waoga na wenye haya, kwamba tunajiona kama hatustahili na hivyo hatufai kuwasilisha mahitaji yetu kwa Mungu . . . Tunafikiria kuwa Mungu ni mkuu sana na sisi ni duni mno ambapo hatudhubutu kuomba . . . Ndio maana Kristo anataka kutuondoa mbali na hisia hizo za uoga, kuondoa shaka zetu, na kutufanya tupate kuendelea mbele kwa ujasiri na tukiwa imara.” (''The Sermon on the Mount'', iliyotafsiriwa na Jaroslav Pelikan, Vol 21. Ya ''Luther’s Works'', [Concordia, 1956], p 234.)&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
==== 5. Tunakuja kwa Baba yetu.  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tumeidokeza, wacha sasa tuiseme kwa wazi na nguvu zake: Tunapokuja kwa Mungu kupitia Yesu, tunakuja kwa ''Baba'' wetu. Mstari 11 “Ikiwa ninyi basi mlio waovu mnajua jinsi ya kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana ''Baba'' wenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri, wale wamwombapo!” ''Baba'' hakuwa kibandiko cha kutupwa kwa Yesu. Ni mojawapo ya ukweli yote mkuu zaidi. Mungu ni Baba wetu. Maana ni kwamba hatawahi kamwe ku tupatia yaliyo mabaya kwetu. La hasha. Ni Baba wetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 6. Baba yetu aliye mbinguni ni bora zaidi kuliko Baba yetu duniani.  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hatimaye Yesu anatuhimiza kuomba kwa kutuonyesha kwamba Baba yetu aliye mbinguni ni bora zaidi kuliko baba Yetu aliye duniani na kwa hakika atatupatia vitu vizuri zaidi ya yale waliotupatia. Hakuna uovu kwa Baba yetu aliye mbinguni vile ilivyo kwa baba yetu aliye duniani. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari 11 tena: “Ikiwa ninyi basi, ''mlio waovu'', mnajua jinsi ya kuwapa watoto wenu vitu vizuri, ''si zaidi sana'' Baba wenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao!”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ninafahamu, na Yesu alifahamu zaidi, kwamba baba zetu walio duniani ni wenye dhambi. Ndiyo sababu Bibilia kila mara inaonyesha sio tu mambo yanayofanana kati ya baba waliye duniani na Baba aliye mbinguni, bali pia tofauti kati yao (Kwa mfano Waebrania 12:9-11; Matahayo5:48).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi Yesu anaendelea zaidi ya himizo ya kusema kwamba Mungu ni Baba yako, na tena ni mzuri zaidi kuliko baba yako aliye duniani, kwa sababu baba wote walio duniani ni waovu na Mungu si mwovu. Yesu ni wazi sana na hayumbiyumbi hapa. Hili ni tukio la wazi la kuamini kwa Yesu katika dhambi ya asili kwa binadamu. Anachukulia kuwa wanafunzi wake wote ni waovu—Hachagui neno lililo laini (kama ''dhambi'', au ''dhaifu''). Anasema tu kwamba wanafunzi wake ni waovu (''ponēroi''). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Usifikishe tu ufahamu wako wa Mungu kuwa Baba kwa yale ambayo umeyaona kupitia baba yako. Walakini, jipe moyo kuwa Mungu hana dhambi yoyote ama upungufu ama udhaifu ama yanayosushe kama ya baba yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na yale Yesu anajaribu kutilia mkazo ni: hata baba ambao wamepugukiwa, na wenye dhambi huwa na neema ya kawaida ya kutosha ya kuwapatia watoto wao vitu vizuri. Kuna Baba ambao ni wadhalimu sana. Lakini, mahali pengi duniani, baba ni wenye wivu kwa wema wa watototo wao, hata wasipofahamu yaliyo nzuri kwao. Lakini Mungu ni zaidi. Kwake hakuna uovu. Basi, pingamizi ni kubwa: Ikiwa baba yako aliye duniani alikupatia vitu vizuri (ama hata kama hakukupatia!), si zaidi sana Baba yenu wa mbinguni atawapa vitu vizuri—Kila mara vitu vizuri vinakuja kwa wale waombao.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na kuna kitu cha kututamatisha hapa kinacho onyesha himizo #4 hapa juu—Neno ''kila''—“Kila aombaye hupewa.” Ikiwa Yesu atawaambia wanafunzi wake kuwa, “Ninyi ni waovu,” basi wale tu ambao wanaweza kuja kwa Mungu kupitia maombi ni wana wa Mungu walio waovu. Ninyi ni wana wa Mungu. Na ninyi ni waovu. Kwa maneno mengine, hata baada ya kupokelewa na Mungu katika familia yake, dhambi bado inabaki ndani yako. Lakini Yesu asema, ''kila'' atakayenipokea—''kila'' mmoja wa wana''waovu'' wa Mungu! Tunaona ni kwa nini punde tu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 7. Tunaweza amini Wema wa Mungu kwa sababu tayari ametufanya wana wake.  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Huu ni himizo mwingine wa kutatanisha kwa kuomba: Mungu atatupatia vitu vizuri kama wana wake kwa sababu tayari ametupatia karama ''ya kuwa'' wana wake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wazo hili lilitoka kwa St. Augustine: “Basi ni nini hatawapa wana wanapomwomba, ikiwa tayari amepeana kitu hicho hicho, kwamba, ndipo wafanywe wana?” Tayari tumeona kwamba kuwa mwana wa Mungu ni karama tunaoupokea tukija kwa Yesu (Yohana 1:12). Yesu aliwaambia Wafarisayo katika Yohana 8:42''',''' “Kama Mungu angekuwa Baba yenu, mngenipenda.” Lakini Mungu si baba yao. Walimkataa Yesu. Basi, sio kila mmoja ni mwana wa Mungu. Lakini kama Mungu ametufanya wana kwa hiari, si zaidi atatupa yale tunayohitaji?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 8. Msalaba ndio msingi wa maombi  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hatimaye, yanayotatanisha katika maneno haya ni msalaba wa Kristo kama msingi wa majibu yote ya ombi letu. Sababu ya kunifanya niseme hivi ni kwamba anatuita waovu na bali pia anasema sisi ni wana wa Mungu. Inawezekanaje kuwa watu waovu wanapokelewa na Mungu mtakatifu juu ya yote? Tunaweza kubaliwaje kuwa wana, wacha tu kuomba na kutaraji kupokea, na kutafuta na kutarajia kupata, na kubisha na kutarajia mlango ufunguliwe?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu alipeana jibu mara kadhaa. Katika Mathayo 20:28, alisema, “Kama vile ambavyo mwana wa Adamu hakuja ili kutumikiwa, bali kutumika na kuutoa uhai wake uwe fidia kwa ajili ya wengi.” Aliutoa uhai wake ili atufidie kutoka kwa ghadhabu ya Mungu na akatuweka katika hali ya wana wanaopokea tu vitu vizuri. Na katika Mathayo 26:28''',''' alisema katika karamu ya mwisho,” Hii ndiyo damu yangu ya agano, ile imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondeleo la dhambi.” Kupitia damu ya Kristo, dhambi zetu zimesamehewa tunapomwamini. Ndiyo maana ingawa Yesu anatuita ''waovu'', tunaweza kuwa wana wa Mungu na kumtegemea kutupatia vitu vizuri tunavyomwomba.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kifo cha Yesu ndicho msingi ya ahadi zote za Mungu na majibu yote ya maombi tunayoyapokea. Ndiyo maana tunasema “Katika Jina la Yesu” mwishoni mwa maombi yetu. Kila kitu chamtegemea.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Muhtasari hadi sasa ni kuwa Yesu ananuia kutuhimiza kuomba. Kwa nini aongee hivi kuhusu maombi ikiwa lengo lake kwetu katika mwaka wa 2007 sio eti tuombe. Hivyo basi anetupa himizo baada ya himizo, kwa kiasi kidogo kisichopungua nane kwayo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Swali mmoja la mwisho ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Swali la mwisho: Je, tutazielewaje ahadi hizi sita katika mstari 7 na 8: “Ombeni nanyi ''mtapewa, ''tafuteni nanyi ''mtapata'', bisheni nanyi ''mtafunguliwa mlango''. Kwa maana kila aombaye ''hupewa'', naye atafutaye ''huona, ''naye abishaye ''hufunguliwa mlang&amp;quot;?''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je, inamaanisha kwamba chochote mwana wa Mungu aombacho hupewa?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nadhani huu muktadha unatosha kujibu swala huu. La, hatupati vyote tuombavyo na hatufai na hatungependa hivyo. Sababu ninasema hatustahili ni kuwa katika hali hiyo tutafanyika Mungu kama Mungu angetupa vyote tuombavyo afanye. Hatustahili kuwa Mungu. Mungu anastahili kuwa Mungu. Na sababu nasema kuwa hatuhitaji kupata kila kitu tulichokiomba ni kwamba basi itatulazimu kuubeba mzigo wa hekima isiyokoma ambayo hatuna. Hatujui kwa kukata kauli usiopungua vile kila hatua itakavyokuwa na vile tukio linalofuata katika maisha yetu, wacha hata historia, vile inapaswa iwe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini sababu ninasema kwamba hatupokei yote tunayoomba ni kwa sababu nakala inadokeza hivyo. Yesu anasema katika mistari 9-10 kwamba Mungu baba hatampa mwanawe jiwe ikiwa amemwomba mkate, na vile vile hatampa nyoka ikiwa amemwomba samaki. Maelezo haya yanatufanya tuulize, “Itakuwaje iwapo mtoto atamwomba nyoka?” Je, andiko linatupatia jibu kama Baba aliye mbinguni atampa?” Ndio, inatupatia majibu. Katika mstari 11, Yesu analeta ukweli huu katika maneno: si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yeye hupeana tu vitu vizuri ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Anapeana vitu vizuri. Vitu vizuri pekee yake. Hawapi watoto nyoka. Basi andiko lenyewe linadokeza sawia katika kibwagizo ya kuwa ''Ombeni nanyi mtapewa ''kumaanisha ''Ombeni na mtapokea kile mlichoomba mnapouliza kwa njia inayostahili mkiombee''. Haisemi hilo. Na haimanishi hilo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tukichukuwa aya hii kwa ujumla, inasema kuwa tunapoomba, na kutafuta na kubisha—tunapoomba kama watoto wenye hitaji bila kutazama mali tulionayo kwa Baba wetu wa mbinguni ambaye ni wa kuaminika—atatusikia na kutupatia vitu vizuri. Saa zingine ''yale tu'' ambayo tumemwomba. Wakati mwingine ''kwa wakati tu ''ambayo tumemwomba. Wakati mwingine kwa ''ile njia tu'' tunavyotamani. Na wakati mwingine anatupatia vitu bora zaidi, ama kwa wakati ambao anajua ni bora zaidi. Na kwa njia ile anajua ni nzuri. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na hakika hii inajaribu imani yetu. Kwa sababu kama tulidhani kuwa kitu kingine ni bora zaidi, tungekiomba mara ya kwanza. Lakini sisi si Mungu. Hatujaimarika bila kikomo, ama kuwa na haki isiokoma, ama kuwa wenye hekima isiokoma, ama kuwa na upendo usiokoma. Na hivyo basi, ni neema kuu kwetu na kwa ulimwengu kutopata yote tunayoyaomba.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tii Yesu kwa Neno Lake ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tukitii neno la Yesu, Lo! ni kiasi gani cha baraka tunakosa kwa sababu hatuombi na kutafuta na kubisha—baraka kwetu, kwa familia zetu, kanisa letu, nchi yetu, dunia yetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi jiunge nami katika juhudi mpya ya kutenga wakati wa kuomba pekee yako na katika familia na katika vikundi katika mwaka wa 2007. Wiki hii inayosalia ya maombi, na kijitabu chake maalum ambacho kimeandaliwa kwako, imekusudiwa kama kielelezo cha kuendeleza mahubiri hii.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Muulize_Babako_aliye_mbinguni</id>
		<title>Muulize Babako aliye mbinguni</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Muulize_Babako_aliye_mbinguni"/>
				<updated>2018-02-20T20:49:51Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info| Ask Your Father in Heaven }}&amp;lt;br&amp;gt;  &amp;lt;blockquote&amp;gt; Ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa mlango. 8 Kwa maana kila aombaye hupewa, naye ataf...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|&lt;br /&gt;
Ask Your Father in Heaven&lt;br /&gt;
}}&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa mlango. 8 Kwa maana kila aombaye hupewa, naye atafutaye huona, naye abishaye hufunguliwa mlango. 9 Au ni nani miongo mwenu ambaye mwanawe akimwomba mkate atampa jiwe? 10 Au mwanawe akimwomba samaki atampa nyoka? 11 Ikiwa ninyi basi mlio waovu mnajua jinsi ya kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri, wale wamwombapo! Basi chochote mnataka wengi wawafanyie, nanyi pia muwafanyie.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Unaposimama kidogo kuchunguza kuwa Mungu ana nguvu isiyokoma na anaweza kufanya kile apendacho, na ana haki isiyokoma ndipo anafanya kilicho tu haki, na ana uzuri usiokoma kuwa kila mara anajua hakika mema, na ana hekima isiyokoma na kila mara hujua hakika yaliyomema na yaliyo haki, na ana upendo usiokoma na kuwa katika nguvu zake zote na uzuri wake na hekima yake anainua furaha ya milele ya wapendwa juu kama inavyoweza kuinuliwa—unapokaa na kuchunguza hii basimwito wa ajabu wa Mungu huyu ya kumuuliza vitu vizuri kwa ahadi kuwa atavipeana, ni ya ajabu mno.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Msiba wa ukosefu wa maombi ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Maanake mojawapo wa majanga wa muda mfupi kanisani sana sana ni uchache tunao katika mwelekeo katika maombi. Mwaliko mkuu zaidi ulimwenguni umepeanwa kwetu, na bila kufahamu, kila mara tunageukia vitu vingine. Ni kana kwamba Mungu alitualika katika karamu kuu kuwahi kufanyika halafu tunamrudishia jibu kwamba, “Nimenunua shamba, lazima niende kuliona,” ama, “Ndipo tu nimenunua jozi tano za ng’ombe wa kulima nami nitakwenda kuwajaribu,” ama “Nimeoa mke, kwa hivyo siwezi kuja.” (Luka 14:18-20)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Egemeo mpya wa kuomba ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hakika, hiyo ilikuwa wakati huo. Lakini ombi langu ni kuwa Mungu atatumia ujumbe huu na neno hili kutoka kwa Yesu katika Mathayo 7, na matukio mengine katika maisha yako, ili aamshe mwinuko mpya unaoshawishi kwa kuomba itimiapo mwaka wa 2007. Natumaini kwamba utauliza Mungu afanye hiyo tunapoendelea na andiko hili.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tutaifanya kwa hatua mbili, kwanza tutaangalia himizo nane ya kuomba katika Mathayo 7:7-11. Pili, tutajaribu kujibu swali ya vile inafaa tufahamu ahadi tutakayozipokea tunapouliza, na kuzipokea wakati tutatafuta, na tunapofunguliwa mlango wakati tutakapobisha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Himizo nane ya kuomba kutoka kwa Yesu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sita kati ya himizo hizi zadhihirika wazi katika andiko hili na mbili ni thabiti. Inadhihirika kwangu kuwa lengo kuu ya Yesu katika mistari hii ni kutuhimiza na kutupa motisha ya kuomba. Anataka tuombe. Anatuhimizaje?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1. Anatualilka tuombe  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mara tatu anatualika tuombe—ama, unaweza sema, utakapoisikia kwa upendo, mara tatu anatuamrisha tuombe—kumwomba yale tunayohitaji. Ni idadi ya vile anatualika ambayo inavuta hisia zetu. Mstari 7-8 “Ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtapata, bisheni nanyi mtafunguliwa mlango. Kwa maana kila aombaye hupewa, naye atafutaye huona, naye abishaye hufunguliwa mlango.” Marudio inakusudiwa kusema, “Namaanisha hii.” Nataka mfanye hii. Mmuulize baba yako yale unayoyahitaji. Mtafute Baba yako kwa usaidizi juu ya mahitaji yako. Bisha malango wa Baba yako naye atafungua na kukupa yale unayohitaji. Uliza, tafuta, bisha. Nakualika mara tatu kwa sababu kwa hakika nataka ufurahie usaidizi wa Baba yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2. Anatuahidi tunapoomba  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Vyema zaidi na ya ajabu kuliko mialiko mitatu ni ahadi saba. Mstari 7-8, “Uliza na [#1] utapewa; tafuta, na [#2] utapata; bisha, na [#3] utafunguliwa kwa kuwa yeyote aulizaye [#4] ataupokea, na yeyote atafutaye [#5] atapata, na Yule abishaye [#6] atafunguliwa.” Hatimaye mwishoni mwa mistari 11b [#7], “Si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao!”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ahadi saba utapokea. Utapata. Utafunguliwa. Aombaye anapokea. Atafutaye anapata. Abishaye anafunguliwa mlango. Baba yenu atawapa vitu vizuri. Hakika lengo la msururu huu wa ahadi za kifahari ni kutuambia kwamba: Himizwa ili uje. Mwombe. Si bure unapoomba. Mungu hafanyi mzaha nawe. Anajibu. Anapeana vitu vizuri unapoomba. Jipe moyo. Omba kila mara, omba wakati wote, omba kwa ujasiri katika mwaka wa 2007.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 3. Mungu anapatikana katika ngazi mbali mbali  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu anatuhimiza sio tu kwa idadi ya mwaliko na ahadi bali kwa mwaliko ya aina tofauti tofauti mara tatu. Kwa maneno mengine, Mungu anasimama wima kujibu kwa njia inayofaa unapompata katika hatua tofauti tofauti ya kumfikia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Omba. Tafuta. Bisha. Ikiwa babake mtoto apatikana, anamwomba yale anayohitaji. Ikiwa babake mtoto yuko pahali fulani katika nyumba lakini haonekani, anatafuta babake kwa ajili ya yale anayohitaji. Ikiwa atamtafuta na kumpata ndani ya chumba chake cha kusoma, anabisha ili apate anachohitaji. Jambo linaloonekana ni kwamba haijalishi kuwa utapata Mungu mara moja kwa karibu, pahali unaweza kumguza kwa ukaribu wake, ama kuwa ngumu kuona na vilevile kuwa na vizuizi kati kati, atasikia, na atakupa vitu vizuri kwa sababu ulimwomba na sio mwingine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 4. Kila aombaye atapata  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu anatuhimiza tuombe kwa kuifanya wazi kuwa ''kila'' aombaye atapata, sio tu wengine. Wa 8: &amp;quot;Kwa maana ''kila'' aombaye hupewa, naye atafutaye huona, naye abishaye hufunguliwa mlango.” Anapoongeza neno ''kila'' katika mstari wa 8, Anataka kuondoa woga na kusita kwetu ya kwamba kwa namna Fulani itafanyikia watu wengine lakini si kwetu sisi. Bila shaka, anakuzungumza juu ya wana wa Mungu hapa, na si binadamu wote kwa jumla. Kama hatutakuwa na Yesu kama Mwokozi na Mungu kama Baba yetu, basi ahadi hizi hautumiki kwetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yohana 1:12 inasema, “kwa wale waliompokea [Yesu], walioliamini Jina Lake aliwapa uwezo wa kuwa wana wa Mungu.” Ili kuwa mtoto wa Mungu, ni lazima tumpokee Mwana wa Mungu, Yesu Kristo, ambaye anatupa mamlaka ya kufanywa wana. Hao ndio ambao ahadi hizi ni kwa ajili yao.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa wale wanaompokea Yesu, ''kila'' mmoja wao, anayeomba atapewa vitu vizuri kutoka kwa Baba yake. Jambo ni kwamba hakuna mtoto wake yeyote ambaye ameachwa nje. Wote wamekaribishwa na wanahimizwa waje. Martin Lurther aliona vile Yesu anapeana motisha hapa: &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Anajua kwamba sisi ni waoga na wenye haya, kwamba tunajiona kama hatustahili na hivyo hatufai kuwasilisha mahitaji yetu kwa Mungu . . . Tunafikiria kuwa Mungu ni mkuu sana na sisi ni duni mno ambapo hatudhubutu kuomba . . . Ndio maana Kristo anataka kutuondoa mbali na hisia hizo za uoga, kuondoa shaka zetu, na kutufanya tupate kuendelea mbele kwa ujasiri na tukiwa imara.” (''The Sermon on the Mount'', iliyotafsiriwa na Jaroslav Pelikan, Vol 21. Ya ''Luther’s Works'', [Concordia, 1956], p 234.)&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
==== 5. Tunakuja kwa Baba yetu.  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tumeidokeza, wacha sasa tuiseme kwa wazi na nguvu zake: Tunapokuja kwa Mungu kupitia Yesu, tunakuja kwa ''Baba'' wetu. Mstari 11 “Ikiwa ninyi basi mlio waovu mnajua jinsi ya kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana ''Baba'' wenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri, wale wamwombapo!” ''Baba'' hakuwa kibandiko cha kutupwa kwa Yesu. Ni mojawapo ya ukweli yote mkuu zaidi. Mungu ni Baba wetu. Maana ni kwamba hatawahi kamwe ku tupatia yaliyo mabaya kwetu. La hasha. Ni Baba wetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 6. Baba yetu aliye mbinguni ni bora zaidi kuliko Baba yetu duniani.  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hatimaye Yesu anatuhimiza kuomba kwa kutuonyesha kwamba Baba yetu aliye mbinguni ni bora zaidi kuliko baba Yetu aliye duniani na kwa hakika atatupatia vitu vizuri zaidi ya yale waliotupatia. Hakuna uovu kwa Baba yetu aliye mbinguni vile ilivyo kwa baba yetu aliye duniani. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari 11 tena: “Ikiwa ninyi basi, ''mlio waovu'', mnajua jinsi ya kuwapa watoto wenu vitu vizuri, ''si zaidi sana'' Baba wenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao!”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ninafahamu, na Yesu alifahamu zaidi, kwamba baba zetu walio duniani ni wenye dhambi. Ndiyo sababu Bibilia kila mara inaonyesha sio tu mambo yanayofanana kati ya baba waliye duniani na Baba aliye mbinguni, bali pia tofauti kati yao (Kwa mfano Waebrania 12:9-11; Matahayo5:48).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi Yesu anaendelea zaidi ya himizo ya kusema kwamba Mungu ni Baba yako, na tena ni mzuri zaidi kuliko baba yako aliye duniani, kwa sababu baba wote walio duniani ni waovu na Mungu si mwovu. Yesu ni wazi sana na hayumbiyumbi hapa. Hili ni tukio la wazi la kuamini kwa Yesu katika dhambi ya asili kwa binadamu. Anachukulia kuwa wanafunzi wake wote ni waovu—Hachagui neno lililo laini (kama ''dhambi'', au ''dhaifu''). Anasema tu kwamba wanafunzi wake ni waovu (''ponēroi''). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Usifikishe tu ufahamu wako wa Mungu kuwa Baba kwa yale ambayo umeyaona kupitia baba yako. Walakini, jipe moyo kuwa Mungu hana dhambi yoyote ama upungufu ama udhaifu ama yanayosushe kama ya baba yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na yale Yesu anajaribu kutilia mkazo ni: hata baba ambao wamepugukiwa, na wenye dhambi huwa na neema ya kawaida ya kutosha ya kuwapatia watoto wao vitu vizuri. Kuna Baba ambao ni wadhalimu sana. Lakini, mahali pengi duniani, baba ni wenye wivu kwa wema wa watototo wao, hata wasipofahamu yaliyo nzuri kwao. Lakini Mungu ni zaidi. Kwake hakuna uovu. Basi, pingamizi ni kubwa: Ikiwa baba yako aliye duniani alikupatia vitu vizuri (ama hata kama hakukupatia!), si zaidi sana Baba yenu wa mbinguni atawapa vitu vizuri—Kila mara vitu vizuri vinakuja kwa wale waombao.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na kuna kitu cha kututamatisha hapa kinacho onyesha himizo #4 hapa juu—Neno ''kila''—“Kila aombaye hupewa.” Ikiwa Yesu atawaambia wanafunzi wake kuwa, “Ninyi ni waovu,” basi wale tu ambao wanaweza kuja kwa Mungu kupitia maombi ni wana wa Mungu walio waovu. Ninyi ni wana wa Mungu. Na ninyi ni waovu. Kwa maneno mengine, hata baada ya kupokelewa na Mungu katika familia yake, dhambi bado inabaki ndani yako. Lakini Yesu asema, ''kila'' atakayenipokea—''kila'' mmoja wa wana''waovu'' wa Mungu! Tunaona ni kwa nini punde tu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 7. Tunaweza amini Wema wa Mungu kwa sababu tayari ametufanya wana wake.  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Huu ni himizo mwingine wa kutatanisha kwa kuomba: Mungu atatupatia vitu vizuri kama wana wake kwa sababu tayari ametupatia karama ''ya kuwa'' wana wake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wazo hili lilitoka kwa St. Augustine: “Basi ni nini hatawapa wana wanapomwomba, ikiwa tayari amepeana kitu hicho hicho, kwamba, ndipo wafanywe wana?” Tayari tumeona kwamba kuwa mwana wa Mungu ni karama tunaoupokea tukija kwa Yesu (Yohana 1:12). Yesu aliwaambia Wafarisayo katika Yohana 8:42''',''' “Kama Mungu angekuwa Baba yenu, mngenipenda.” Lakini Mungu si baba yao. Walimkataa Yesu. Basi, sio kila mmoja ni mwana wa Mungu. Lakini kama Mungu ametufanya wana kwa hiari, si zaidi atatupa yale tunayohitaji?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 8. Msalaba ndio msingi wa maombi  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hatimaye, yanayotatanisha katika maneno haya ni msalaba wa Kristo kama msingi wa majibu yote ya ombi letu. Sababu ya kunifanya niseme hivi ni kwamba anatuita waovu na bali pia anasema sisi ni wana wa Mungu. Inawezekanaje kuwa watu waovu wanapokelewa na Mungu mtakatifu juu ya yote? Tunaweza kubaliwaje kuwa wana, wacha tu kuomba na kutaraji kupokea, na kutafuta na kutarajia kupata, na kubisha na kutarajia mlango ufunguliwe?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu alipeana jibu mara kadhaa. Katika Mathayo 20:28, alisema, “Kama vile ambavyo mwana wa Adamu hakuja ili kutumikiwa, bali kutumika na kuutoa uhai wake uwe fidia kwa ajili ya wengi.” Aliutoa uhai wake ili atufidie kutoka kwa ghadhabu ya Mungu na akatuweka katika hali ya wana wanaopokea tu vitu vizuri. Na katika Mathayo 26:28''',''' alisema katika karamu ya mwisho,” Hii ndiyo damu yangu ya agano, ile imwagikayo kwa ajili ya wengi kwa ondeleo la dhambi.” Kupitia damu ya Kristo, dhambi zetu zimesamehewa tunapomwamini. Ndiyo maana ingawa Yesu anatuita ''waovu'', tunaweza kuwa wana wa Mungu na kumtegemea kutupatia vitu vizuri tunavyomwomba.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kifo cha Yesu ndicho msingi ya ahadi zote za Mungu na majibu yote ya maombi tunayoyapokea. Ndiyo maana tunasema “Katika Jina la Yesu” mwishoni mwa maombi yetu. Kila kitu chamtegemea.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Muhtasari hadi sasa ni kuwa Yesu ananuia kutuhimiza kuomba. Kwa nini aongee hivi kuhusu maombi ikiwa lengo lake kwetu katika mwaka wa 2007 sio eti tuombe. Hivyo basi anetupa himizo baada ya himizo, kwa kiasi kidogo kisichopungua nane kwayo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Swali mmoja la mwisho ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Swali la mwisho: Je, tutazielewaje ahadi hizi sita katika mstari 7 na 8: “Ombeni nanyi ''mtapewa, ''tafuteni nanyi ''mtapata'', bisheni nanyi ''mtafunguliwa mlango''. Kwa maana kila aombaye ''hupewa'', naye atafutaye ''huona, ''naye abishaye ''hufunguliwa mlang&amp;quot;?''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je, inamaanisha kwamba chochote mwana wa Mungu aombacho hupewa?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nadhani huu muktadha unatosha kujibu swala huu. La, hatupati vyote tuombavyo na hatufai na hatungependa hivyo. Sababu ninasema hatustahili ni kuwa katika hali hiyo tutafanyika Mungu kama Mungu angetupa vyote tuombavyo afanye. Hatustahili kuwa Mungu. Mungu anastahili kuwa Mungu. Na sababu nasema kuwa hatuhitaji kupata kila kitu tulichokiomba ni kwamba basi itatulazimu kuubeba mzigo wa hekima isiyokoma ambayo hatuna. Hatujui kwa kukata kauli usiopungua vile kila hatua itakavyokuwa na vile tukio linalofuata katika maisha yetu, wacha hata historia, vile inapaswa iwe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini sababu ninasema kwamba hatupokei yote tunayoomba ni kwa sababu nakala inadokeza hivyo. Yesu anasema katika mistari 9-10 kwamba Mungu baba hatampa mwanawe jiwe ikiwa amemwomba mkate, na vile vile hatampa nyoka ikiwa amemwomba samaki. Maelezo haya yanatufanya tuulize, “Itakuwaje iwapo mtoto atamwomba nyoka?” Je, andiko linatupatia jibu kama Baba aliye mbinguni atampa?” Ndio, inatupatia majibu. Katika mstari 11, Yesu analeta ukweli huu katika maneno: si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yeye hupeana tu vitu vizuri ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Anapeana vitu vizuri. Vitu vizuri pekee yake. Hawapi watoto nyoka. Basi andiko lenyewe linadokeza sawia katika kibwagizo ya kuwa ''Ombeni nanyi mtapewa ''kumaanisha ''Ombeni na mtapokea kile mlichoomba mnapouliza kwa njia inayostahili mkiombee''. Haisemi hilo. Na haimanishi hilo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tukichukuwa aya hii kwa ujumla, inasema kuwa tunapoomba, na kutafuta na kubisha—tunapoomba kama watoto wenye hitaji bila kutazama mali tulionayo kwa Baba wetu wa mbinguni ambaye ni wa kuaminika—atatusikia na kutupatia vitu vizuri. Saa zingine ''yale tu'' ambayo tumemwomba. Wakati mwingine ''kwa wakati tu ''ambayo tumemwomba. Wakati mwingine kwa ''ile njia tu'' tunavyotamani. Na wakati mwingine anatupatia vitu bora zaidi, ama kwa wakati ambao anajua ni bora zaidi. Na kwa njia ile anajua ni nzuri. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na hakika hii inajaribu imani yetu. Kwa sababu kama tulidhani kuwa kitu kingine ni bora zaidi, tungekiomba mara ya kwanza. Lakini sisi si Mungu. Hatujaimarika bila kikomo, ama kuwa na haki isiokoma, ama kuwa wenye hekima isiokoma, ama kuwa na upendo usiokoma. Na hivyo basi, ni neema kuu kwetu na kwa ulimwengu kutopata yote tunayoyaomba.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tii Yesu kwa Neno Lake ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tukitii neno la Yesu, Lo! ni kiasi gani cha baraka tunakosa kwa sababu hatuombi na kutafuta na kubisha—baraka kwetu, kwa familia zetu, kanisa letu, nchi yetu, dunia yetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi jiunge nami katika juhudi mpya ya kutenga wakati wa kuomba pekee yako na katika familia na katika vikundi katika mwaka wa 2007. Wiki hii inayosalia ya maombi, na kijitabu chake maalum ambacho kimeandaliwa kwako, imekusudiwa kama kielelezo cha kuendeleza mahubiri hii.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Mungu_hututia_nguvu_kwa_Injili</id>
		<title>Mungu hututia nguvu kwa Injili</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Mungu_hututia_nguvu_kwa_Injili"/>
				<updated>2018-02-16T20:59:38Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Mungu hututia nguvu kwa Injili&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|God Strengthens Us by the Gospel}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Sasa na atukuzwe yeye awezaye kuwafanya imara, sawasawa na injili yangu na kwa kuhubiriwa kwake Yesu Kristo, sawasawa na ufunuo wa ile siri iliyositirika tangu zamani za milele 26. Ikadhirishwa wakati huu kwa maandiko ya manabii ikajulikana na mataifa yote kama alivyoamuru Mungu wa milele, ili waitii Imani— 27. Ndiye Mungu mwenye hekima pekee yake. Utukufu una yeye kwa Yesu Kristo, milele na milele! Amina.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Leo tunaanza ibara ya mwisho ya waraka kuu zaidi kuwahi kuandikwa, barua ya Paulo kwa warumi. Baadhi yenu watauliza swali: Je! Tumemalizana na kitabucha warumi kabisa? Wengi wenu hawakuapo tulipoanza kitabu hiki Aprili 26, 1998, Miaka saba na nusu iliyopita. Wengi wataja tarehezao kwa kufika Bethlehemu na sura ya Warumi walipowasili. Sasa mwisho umekaribia. Kuondoa wasiwasi na kukuandaa kwa mabadiliko, nitakueleza mpango&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kutua kwenye matayarishoya sherehe za Krismasi polepole na taratibu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ayah ii ya mwisho (Warumi 16:25-27) inaibua kwa pamoja mada muhimu kwa barua hii kuwa inaanda njia mzuri kwa kutua polep ole tena taratibu. Miaka yetu saba katika kupaa pamoja hakutakoma ghafla. Ni jeti kubwa na haianguki tu kutoka angani kama kilabu ya Piper (kucheza tunduni). Nini mpango wa kutumia wikitano kwa mistari hii, kumaanisha natarajia kukamilisha kitabu cha Warumi Jumapili, Desemba 24 mkesha wa krismasi. Mkesha wa krismasikuwa kilele. Nawasihi muombe namiiuli Mungu afanye Jumapili hizi za maandfalizi ya Krismasi (kuanzia wiki ijayo) kuwa msimu wenye nguvu kuwahi kuwa nayo kumhimidi Kristo na kuona watu wabadlishwa kwa imani na kujengwa ndani yake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mfumo wa sifa huvutia kwa utukufu wa Mungu  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mistari tatu ya mwisho kwenye kitabu cha Warumi ndiyo mara nyingi tunaita Mfumo wa sifa. Neno Mfumo wa sifa yatoka kwenye neno la kigiriki doxa linalomaanisha Utukufu na logos ambalo ni neno. Mfumo wa sifa linafafanua utukufu wa Mungu. Hukumu uliopo katika agano jipya kwa mfumo wa sifa ni kuwa kila kitu kilichoko na kinachotendeka huvutia kwa utukufu wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ndiyo sababu mfumo wa sifa huwa ni kilele na mwisho wakatiwa kuhubiri au kuandika. Namuunga Paulo mkono anaposema kuwa kila kitu anacho asema hata sas. Ninaomba, kivutie kwa utukufu wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa Paulo anaanza mfumo wake wa sifa kumalizia katika mstari wa 25 (Sasa na kwake . . . ), na anapoandika hayo akilini ana neno la mwisho la mfumo wa Sifa kuhusu kumrudisha Mungu utukufu na hawezi kuleta hali ya kuachilia kiurahisi kuwa “Sasa utukufu na uwe wake.” Badala yake analeta kifungu baada ya kifungukuhusu yeye. Yaani Mungu Baba na kuhusu injili yake amekuwa akiandika kwenye sura hizi kumi na sita. Halafu akiandika kwenye sura hii kumi na sita. Halafu anaja kurudisha utukufu kwenye mstari wa 27, neno la mwisho kwenye kitabu hiki. Anaweka mwanzo na mwisho pamoja kwenye utangulizi wa mstari wa 25. Na kuanzia mstari wa 27. “Sasa kwake yeye (27) Ndiye Mungu mwenye hekima pekee yake utukufu una yeye milele na milele kwa Yesu Kristo! Amina.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapa si mahali pekee Paulo ametumia mfumo wa sifa. Kulikuwa na moja katika Warumi 11:36 kwa kilele cha mistari kumi na mmoja kabla ya Paulo kuanza kufunua mengi ya matokeo ya moja kwa moja ya kile amefunza.” Kwa kuwa vitu vyote vyatoka kwake viko kwa uweza wake, tena vinarejea kwake. Utukufu una yeye milele Amina.” Tazama (Wafilipi 4:20 na Waefeso 3:20-21)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na Paulo pekee siye ndiye aliyependa mfumo wa sifa. Petero alisema katika I Petero 4:11 “Utukufu ni wake na maamlaka milele na milele, Amina. Yohana mtume alisema katika Ufunuo 1:5-6. “Kwake aliyetupenda na kutuweka huru kutoka kwa dhambi kwa damu yake na kutufanya kwa ufalme na makuhani kwa Mungu, naye ni baba yake. Utukufu naukuu una yeye hata milele na milele Amina. Vile vile Juda nduguye Bwana aliandika mfumo wa Sifa unaojulikana sana zaidi ya yote (Juda 1:24-25) “Yeye awezaye kuwalinda nyinyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu. Yeye aliye Mungu pekee, Mwokozi wetu kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu una yeye, na ukuu, na uwezo, na nguvu tangu milele, na sasa, na hata milele.” Amina.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi unaposikia mfumo wa sifa ukikaririwa na kuimbwa, ujue kuwa ni kulingana na Bibilia njia ya kuongea kwa mitume ambayo shina yake ni umuhimu wote na kushikilia ukweli kuwa kila kitu kiko kuvutia kwa utukufu wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiyo ndiyo twashughulikia katika wiki tano za mwisho. (kitatu cha Warumi). Ni pana zaidi katika mfumo wa sifa na kina uzito kwenye ukweli kuhusu Mungu na Injili. Unaweza kuwa na uhakika kuwa Paulo anatamatisha kilichokuwa kwake barua ndefuna kuu zaidi ambayo amewahi kuandika, hangetumia maneno yasiyo na uzima wowote. Maneno yote yana maana. Haya ni maneno yake ya mwisho kwaWarumi. Paidha yanawezaya mwisho kwako. Natumaini mtasikiza kwa makini na mtarejea kwenye wiki hizi za mwisho wa mwaka, ili kuona malaika watano katika mfumo huu wa sifa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mungu hutumia Injili kuwatia nguvu Waumini ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Leo ningependa kuwa na mtazamokwenye ujumbe huu kuwa Mungu huwatia nguvu watu wake kulingana na injili yake. Mstari wa 25 “sasa na atukuzwe awezaye kufanya imara sawasawa na injili ambayo inawaimarisha waumini. Injili hii inayoimarisha ni “Mahubiri ya Yesu Kristo.” (Mis 25b). Yesu ndiye kigezo cha uhakika ya Injili. Injili hii ni “Kulingana na ufumo wa ssiri kwa Mataifa yaliyojaa wazalendo na Wayahudi walioamini Kristo kwa Imani. (Waefeso 3:6). Habari hii njema “sasa imefichuliwa. ”(Mist. 26b) wenyewe ambao Paulo anawatumia kudhihirisha sisi hii kwa mataifa yote (Mist 26b). Habari hii njema kwa mataifa ni “ amri ya Mungu wa milele.” na inalenga”utiifu wa imani.” (Mist wa 26c)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kufunuliwa kote hukukwa injili katika mstari wa 25 ambayo mungu anaitumia kuimarisha waumini ili waweze, kwa uhakika, kustahimili katika utiifu wa imani na kuvutia kwa utukufu wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mtazamo wa leo ni kwa hoja wa ajabu: Mwishoni mwa kitabu hiki, vile Paulo anavyoweka mdomoni maneno yake kwenye mfumo wa sifa, kile anachokichagua kumrudishia Mungu ni kwamba Mungu ana uwezo wa kukutia mvuto kwa utukufu wa Mungu, nafanya hivyo kwa njia inayofanya utkufu ung’ae zaidi kwa Mungu kuwaimarisha watu wake wanaoiamini injili.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mungu anayeimarisha kwa utukufu wake  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa kuna jambo hapa la ajabu sitaki kulipita kwa haraka huenda ukalikosa. Basi wacha niseme kinacho julikana na kisichojulikana kinachojulikana ni kuwa kwa vitu vyote angesema kuhusu kile Mungu anafanya au kutenda ambavyo vyavutia kwa utukufu wake, kwa yote thenashara ya makuu ya matendo ya Mungu na uweza mkuu wake anachagua kuangazia kimoja: “''Sasa kwake awezaye kukuimarisha'' . . . utukufu una yeye milele na milele . . . ” anasema kuwa Mungu mwenye hekjima aliuficha kitu kwa miaka mingi na aliufichua kwa ajili ya mataifa na aliyafanya yote kwa amri yake ya milele. Ndiyo, lakini vile Paulo alivyounda mfumo wake wa sifa, kwa yote yanayosaidia na kutoa maelezo juu ya jambo lili moja ni: Mungu ana uwezo wa kukuimarisha. “Sasa kwa yeye awezaye kukufanya imara . . . Utukufu una yeye milele hata milele . . .”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa hii ndiyo hoja inayojulikana: Hii ndiyo isiyojulikana lakini ya muhimu wazi ikiwa mtu ataitambulisha kwetu. Wafalme wengi katika historian a watawala wa kiimla wa leo wanataka wapokee utukufu. Wanataka wajulikane kuwa ni wenye nguvu, matajiri na wenye hekima. Wameifanya vipi? Kwa kuwaweka raia kuwa dhaifu maskini na kutoelimika. Aliyeelimika hatari kwa muimla watu aliostawi kiasi ni kikwazo kwa muimla. Watu wenye nguvu ni kiwewe kwa nguvu za muimla. Basi wao hufanya nini. “Wanalinda nguvu zao wenyewe kwa kuwaweka raia wao dhaifu. Wanapokea utukufu wao kwa kusimama mgongoni mwa waliovunjika. Hebu tazama utawala wa Islom Karimov katika nchi ya Uzbekistani. Na tunaweza kuwataja wengi—wafalme wadogo wanaofanya watu wao dhaifu ili wawe na utajiri na nguvu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Utukufu wa Mungu Katika Injili huimarisha ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini sasa tofautiana na njia Paulo avutia kwa Utukufu wa Mungu. Kama kuna mfalme aliye na haki ya kuonyesha utukufu wake wote kwa kukanyaga migongo ya watu waasi na Mungu. Lakini ni nini anachokifanya? Anadhihirisha utukufu wake kwa kufanya watu wake wawena nguvu. “Sasa kwake yeye aliye na uwezo wa kuimarisha . . . uwe utukufu hata milele na milele . . . ” Mungu hudhihirisha utukufu wake kwa kuwafanya imara katika injili yake. Mungu hana hisia za hatari kamwe kutokana na nguvu zako. Kwa uhakika, kadiriunaimarika kwa imani, tumaini na upendo kupitia injili ya Yesu Kristo ndivyo anavyonekana mkuu zaidi. Munu halindi nguvu zake kwa kuwaweka watu wake dhaifu. Huinua utukufu wa nguvu zake kwa kuwafanya watu wake wenye nguvu. “Sasa kwake aliye na uwezo wa kuwafanya imara . . . atukuzwa.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi Paulo anapofanya utukufu wa Mungu kuwa malengo makuu ya Injili . . . anapomalizia barua yake kuu zaidi kwa kuvutia kwake ukuu wa thamani wa utukufu wa Mungu. Hii si habari mbaya kwetu. Iwe tu kama twahitaji utukufu huo sisi wenyewe. Kwa nini hii isiwe habari mbaya kwetu. Iwe tu kama twahitaji utukufu huo sisi wenyewe. Kwa nini hii isiwe habari mbaya kwetu? Kwa sababu Mungu wetu huvutia kwa utukufu wake kwa kufanya watu wake wasiostahili kuwa na nguvu. Kadiri utukufu wa Mungu unavyokuwa kubwa ndivyo chanzo chetu cha kutiwa nguvu zaidi. Kadiri utele na maajabu ya utrukufu wa Mungu, ndivyo utele na maajabu wa chanzo cha nguvu zetu. “Sasa kwake yeye aliye na uwezo wa kuwafanya imara . . . Utukufu una yeye milele na milele.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nguvu katika injili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni nguvu za aina gani Paulo ana maanisha kuwa Mungu anaweza kutupatia? Hakika mungu anaweza kupeana aina zozote za nguvu ambazo anataka—“Kwa Mungu wangu naruka ukuta.” (Zaburi 18:29) Hapa an maanisha nguvu ya aina moja katika Warumi 1:11-12. “Kwa maana ninatamani sana kuwaona, niwape kuwapa karama ya rohoni, ili mfanywe imara (''ste’rikthe’nai ''neno sawa na mstari wa 16:25)—Yaani ili tufarijiane, kila mtu kwa imaniya mwenzake, yenu na yangu? Bayana ya nguvu hii ni Imani kwake Yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nguvu za akina mama katika injili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Si nguvu ulimwengu unafahamu wala kupeana. Wanawake, vigoi mnafikiria nini mkiwa mnatafakari kuwa mama mwenye nguvu? Au msichana mdogo unapofikiria kukua mzima mama mwenye nguvu unaota vipi? Kupata ubayana ni muhimu kwa kuwa Mungu anakutaka kuwa na nguvu na zote mbili kibibilia na kiujuzi zinakueleza kwamba kwa hisia moja kuwa wewe ni chombo kidhaifu (1 Petero 3:7) asilimia tisini na tano ya mwanaume aliyekomaa ulimwenguni wa nguvu zaidi kuliko asilimia tisini na tano ya wanawake waliokomaa. Unapoota kuwa mwanamke mwenye nguvu inafaa uotaje.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ulimwengu utakuelekeza katika njia tatu za kutafuta nguvu zako (1) Kwa kuwa na mahaba, kujivaa kimahaba, kuwa na tabia za kimahaba, kwa sababu wanaume wanawapenda, unaweza kuwazidi nguvu kwa njia hiyo. (2) kuwa na msimamo mkali, mwenye nguvu, mkwenye mabavu na kujiamini. (3) Kuwa nadhifu na kupitia zote zinazokuelekeza katika nafasi ya Utawala. Hakuna hata moja Paulo anaongea juu yake anaposema. “Sasa kwake yeye alioye na uwezo wa kuwatia nguvu . . .”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mawazoni Paulo ana uwezo wa ndani ambao Petero anautaja kwa wanawake. Katrika (1 Petero 3:6) Mahali Petero anasema kwa wanawake kuwa kama Sara na wanawake watakatifu kwa wakati huo: “Nanyi ni watoto wake, mfanyapo mema wala hamtishiki kwa hofu yoyote,” na aina ya nguvu ambao Methali 31:25 inaongea kuhusu inaposema, “Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake na anaucheka wakati ujao.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa maneno mengine, lwanawake, vigoli na wasichana wadogo huwa na ndoto kuwa wajasiri kwa Mungu, na ambao wako ndani ya Mungu kama mabanati wa mfalme wa mbingu na nchi na katika alichotenda kwenu na ahadi za kufanya kwako na kuwa yako ndani ya yesu Kristo, kwamba haugopi chochote ila Mungu cheka wakati ujao—Bila kujali umebeba nini. Mahaba kwayo nakuahidi utakosa na kupoteza—mwanamume atakayempata kwa mahabasi anayemtaka. Msimamo mkali utawafukuza wao hao ambao unawahitaji kando yako. Nafasi ya uongozi ni kama nyasi, upepo huivumia na hutoweka. Lakini nguvu Mungu hutupa kupitia Injili hudumu milele. “Sasa kwake yeye aliye na uwezo wa kufanya imara kulingana na Injili yangu . . . utukufu una yeye milele hata milele.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nguvu za Wanaume katika Injili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wanaume, ghulamu je nyinyi? Mnapoota kuwa na nguvu, mwaota nini? Ambayo kwa siku moja mshikilie mkebe wa altoid na kuutazama kwa tamaa kubwa “Kwa nguvu”? Au kluiwa mchezaji bora kwenye mchezo Au kuwa kama mdudu (kiwavi shina) na kutumia mamlaka ya pesa? Au kuelimika na kusoma Atlantiki kila mwezi aidha kusizika NPR na kutaja majina yasiyoeleweka katika mdahalo wa sherehe ya mvinyo?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapana! Hasha! Wapumbavu ndio watakao nguvu zinazofifia, nguvu za kupeana wakati tu unapohitaji zaidi. Nitakueleza aina ya nguvu Mungu ana uwezo wa kukupatia kwa njia ya injili. Ni nguvu za kuongoza mke wako na familia katika kuabudu: nguvu za kusema maneno rahisi ya ukweli kama hata umeilimika zaidi kwa mambo ya kiulimwengu, au mwenye daraja ya juu. Nguvu za kusimama imara na kusema hapana kwa tabia za dhambi hata kama unaitwa dhaifu. Nguvu za kupenya na kuendelea dhidi ya kila vikwazo ili kuleta haki, huruma na ukweli ukihisia kuwa hakuna tena himizo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nguvu kwa wote katika Injili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu ana uwezo wa kuwaimarisha nyinyi nyote, wake kwa waume kwa nguvu za ndani ya nafsi kupitia imani ndani ya Yesu ambayo inakutia nguvu katika machela kuliko samaki (taa) elfu kumi wanaoogelea kwa miguu miwili kwenye upepo wa bahari wenye asili ya kisasa. Tunachohitaji ni aina ya nguvu ambazo zitakuwepo hapa ulemazwapo na kuweza tu kujibu maswali kwa ukope wa macho yetu. Tunafahamu zinatoka wapi: “Sasa, kwake yeye aliye na uwezo wa kuwafanya imara . . . Utukufu una yeye milele na milele.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hatuibui mahitaji yetu katika Injili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na mtazamo muhimu wa mwisho ambao tutakuwa nao imekuwa ikifunuliwa kwa miaka saba na utakuwa ukifunuliwa kwa mafunzo manne zaidi kutoka kwa Warumi na ninaomba kila funzo hadi yesu arudi kuwa—“Mungu atutie nguvu kupitia injili.” “Sasa, kwake yeye aliye na uwezo wa kuwafanya Imara . . . kulingana na injili yangu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kiini cha injili ni kuwa Yesu Kristo, mwenye haki alikufa kwa ajili ya dhambi zetu na akafufuka tena akawa na ushindi wa milele dhidi ya adui zake, ili kwamba sasa hakuna hukumu bali furaha ya milele kwa wale wanaomtumaini. Sasa basi kamwe usiibue mahitaji kwa injili hii. Usianze mwendo wa ukristo hivi halafubaadaye uiache nyuma na kujengeka katika jambo jingine. Mungu hutafanya imara kwa injili hadi siku ya kufa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nguvu ya injili dhidi ya Saratani ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nitawapa kielelezo bayana kutokana na maisha yangu, na wengi wana hadithi kubwa kubwa ya kusimulia kuliko mimi kwa kuwa nguvu zenu zimejaribiwa kwa undani zaidi. Bali nitawakumbusha kwa kile Mungu alinitendea hapo nyuma Febuari wakati utafiti wa saratani ulipoletwa. Mungu alinitia nguvu kupita injili. Unaweza kuyambuka maandiko ambayo aliyatumia. Hakuna yaliyokuwa ya muhimu kwangu. 1 Wathesolonia 5:9-10, “Kwa kuwa Mungu hakutuweka kwa hasira yake, bali tupate wokovu, kwa bwana wetu Yesu Kristo ambaye alikufa kwa ajili yetu ili tuishi pamoja naye, kwamba twakesha au kwamba twalala.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa kila kitu ndani yangu kinasema na kutumaini kusema wakati uchunguzi wa mwisho utakapokuja, “Sasa kwake yeye aliye na uwezo wa kunifanya imara kulingana na Injili yangu . . . Utukufu una yeye milele na milele kwa Yesu Kristo!” Amina.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu wetu ametenda kazi katika historia kushinda dhambi na Shetani, jehanamu na mauti. Alifanya haya kupitiaInjili ya Yesu Kristo kumbatia Injili hii kama hazina kuu katika maisha yako. Mungu atadhihirisha utukufu wake kwa kukufanya Imara.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Mungu_hututia_nguvu_kwa_Injili</id>
		<title>Mungu hututia nguvu kwa Injili</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Mungu_hututia_nguvu_kwa_Injili"/>
				<updated>2018-02-16T20:59:29Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|God Strengthens Us by the Gospel}}  &amp;lt;blockquote&amp;gt; Sasa na atukuzwe yeye awezaye kuwafanya imara, sawasawa na injili yangu na kwa kuhubiriwa kwake Yesu Kristo, sawasawa na u...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|God Strengthens Us by the Gospel}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Sasa na atukuzwe yeye awezaye kuwafanya imara, sawasawa na injili yangu na kwa kuhubiriwa kwake Yesu Kristo, sawasawa na ufunuo wa ile siri iliyositirika tangu zamani za milele 26. Ikadhirishwa wakati huu kwa maandiko ya manabii ikajulikana na mataifa yote kama alivyoamuru Mungu wa milele, ili waitii Imani— 27. Ndiye Mungu mwenye hekima pekee yake. Utukufu una yeye kwa Yesu Kristo, milele na milele! Amina.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Leo tunaanza ibara ya mwisho ya waraka kuu zaidi kuwahi kuandikwa, barua ya Paulo kwa warumi. Baadhi yenu watauliza swali: Je! Tumemalizana na kitabucha warumi kabisa? Wengi wenu hawakuapo tulipoanza kitabu hiki Aprili 26, 1998, Miaka saba na nusu iliyopita. Wengi wataja tarehezao kwa kufika Bethlehemu na sura ya Warumi walipowasili. Sasa mwisho umekaribia. Kuondoa wasiwasi na kukuandaa kwa mabadiliko, nitakueleza mpango&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kutua kwenye matayarishoya sherehe za Krismasi polepole na taratibu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ayah ii ya mwisho (Warumi 16:25-27) inaibua kwa pamoja mada muhimu kwa barua hii kuwa inaanda njia mzuri kwa kutua polep ole tena taratibu. Miaka yetu saba katika kupaa pamoja hakutakoma ghafla. Ni jeti kubwa na haianguki tu kutoka angani kama kilabu ya Piper (kucheza tunduni). Nini mpango wa kutumia wikitano kwa mistari hii, kumaanisha natarajia kukamilisha kitabu cha Warumi Jumapili, Desemba 24 mkesha wa krismasi. Mkesha wa krismasikuwa kilele. Nawasihi muombe namiiuli Mungu afanye Jumapili hizi za maandfalizi ya Krismasi (kuanzia wiki ijayo) kuwa msimu wenye nguvu kuwahi kuwa nayo kumhimidi Kristo na kuona watu wabadlishwa kwa imani na kujengwa ndani yake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mfumo wa sifa huvutia kwa utukufu wa Mungu  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mistari tatu ya mwisho kwenye kitabu cha Warumi ndiyo mara nyingi tunaita Mfumo wa sifa. Neno Mfumo wa sifa yatoka kwenye neno la kigiriki doxa linalomaanisha Utukufu na logos ambalo ni neno. Mfumo wa sifa linafafanua utukufu wa Mungu. Hukumu uliopo katika agano jipya kwa mfumo wa sifa ni kuwa kila kitu kilichoko na kinachotendeka huvutia kwa utukufu wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ndiyo sababu mfumo wa sifa huwa ni kilele na mwisho wakatiwa kuhubiri au kuandika. Namuunga Paulo mkono anaposema kuwa kila kitu anacho asema hata sas. Ninaomba, kivutie kwa utukufu wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa Paulo anaanza mfumo wake wa sifa kumalizia katika mstari wa 25 (Sasa na kwake . . . ), na anapoandika hayo akilini ana neno la mwisho la mfumo wa Sifa kuhusu kumrudisha Mungu utukufu na hawezi kuleta hali ya kuachilia kiurahisi kuwa “Sasa utukufu na uwe wake.” Badala yake analeta kifungu baada ya kifungukuhusu yeye. Yaani Mungu Baba na kuhusu injili yake amekuwa akiandika kwenye sura hizi kumi na sita. Halafu akiandika kwenye sura hii kumi na sita. Halafu anaja kurudisha utukufu kwenye mstari wa 27, neno la mwisho kwenye kitabu hiki. Anaweka mwanzo na mwisho pamoja kwenye utangulizi wa mstari wa 25. Na kuanzia mstari wa 27. “Sasa kwake yeye (27) Ndiye Mungu mwenye hekima pekee yake utukufu una yeye milele na milele kwa Yesu Kristo! Amina.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapa si mahali pekee Paulo ametumia mfumo wa sifa. Kulikuwa na moja katika Warumi 11:36 kwa kilele cha mistari kumi na mmoja kabla ya Paulo kuanza kufunua mengi ya matokeo ya moja kwa moja ya kile amefunza.” Kwa kuwa vitu vyote vyatoka kwake viko kwa uweza wake, tena vinarejea kwake. Utukufu una yeye milele Amina.” Tazama (Wafilipi 4:20 na Waefeso 3:20-21)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na Paulo pekee siye ndiye aliyependa mfumo wa sifa. Petero alisema katika I Petero 4:11 “Utukufu ni wake na maamlaka milele na milele, Amina. Yohana mtume alisema katika Ufunuo 1:5-6. “Kwake aliyetupenda na kutuweka huru kutoka kwa dhambi kwa damu yake na kutufanya kwa ufalme na makuhani kwa Mungu, naye ni baba yake. Utukufu naukuu una yeye hata milele na milele Amina. Vile vile Juda nduguye Bwana aliandika mfumo wa Sifa unaojulikana sana zaidi ya yote (Juda 1:24-25) “Yeye awezaye kuwalinda nyinyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu. Yeye aliye Mungu pekee, Mwokozi wetu kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu una yeye, na ukuu, na uwezo, na nguvu tangu milele, na sasa, na hata milele.” Amina.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi unaposikia mfumo wa sifa ukikaririwa na kuimbwa, ujue kuwa ni kulingana na Bibilia njia ya kuongea kwa mitume ambayo shina yake ni umuhimu wote na kushikilia ukweli kuwa kila kitu kiko kuvutia kwa utukufu wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiyo ndiyo twashughulikia katika wiki tano za mwisho. (kitatu cha Warumi). Ni pana zaidi katika mfumo wa sifa na kina uzito kwenye ukweli kuhusu Mungu na Injili. Unaweza kuwa na uhakika kuwa Paulo anatamatisha kilichokuwa kwake barua ndefuna kuu zaidi ambayo amewahi kuandika, hangetumia maneno yasiyo na uzima wowote. Maneno yote yana maana. Haya ni maneno yake ya mwisho kwaWarumi. Paidha yanawezaya mwisho kwako. Natumaini mtasikiza kwa makini na mtarejea kwenye wiki hizi za mwisho wa mwaka, ili kuona malaika watano katika mfumo huu wa sifa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mungu hutumia Injili kuwatia nguvu Waumini ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Leo ningependa kuwa na mtazamokwenye ujumbe huu kuwa Mungu huwatia nguvu watu wake kulingana na injili yake. Mstari wa 25 “sasa na atukuzwe awezaye kufanya imara sawasawa na injili ambayo inawaimarisha waumini. Injili hii inayoimarisha ni “Mahubiri ya Yesu Kristo.” (Mis 25b). Yesu ndiye kigezo cha uhakika ya Injili. Injili hii ni “Kulingana na ufumo wa ssiri kwa Mataifa yaliyojaa wazalendo na Wayahudi walioamini Kristo kwa Imani. (Waefeso 3:6). Habari hii njema “sasa imefichuliwa. ”(Mist. 26b) wenyewe ambao Paulo anawatumia kudhihirisha sisi hii kwa mataifa yote (Mist 26b). Habari hii njema kwa mataifa ni “ amri ya Mungu wa milele.” na inalenga”utiifu wa imani.” (Mist wa 26c)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kufunuliwa kote hukukwa injili katika mstari wa 25 ambayo mungu anaitumia kuimarisha waumini ili waweze, kwa uhakika, kustahimili katika utiifu wa imani na kuvutia kwa utukufu wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mtazamo wa leo ni kwa hoja wa ajabu: Mwishoni mwa kitabu hiki, vile Paulo anavyoweka mdomoni maneno yake kwenye mfumo wa sifa, kile anachokichagua kumrudishia Mungu ni kwamba Mungu ana uwezo wa kukutia mvuto kwa utukufu wa Mungu, nafanya hivyo kwa njia inayofanya utkufu ung’ae zaidi kwa Mungu kuwaimarisha watu wake wanaoiamini injili.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mungu anayeimarisha kwa utukufu wake  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa kuna jambo hapa la ajabu sitaki kulipita kwa haraka huenda ukalikosa. Basi wacha niseme kinacho julikana na kisichojulikana kinachojulikana ni kuwa kwa vitu vyote angesema kuhusu kile Mungu anafanya au kutenda ambavyo vyavutia kwa utukufu wake, kwa yote thenashara ya makuu ya matendo ya Mungu na uweza mkuu wake anachagua kuangazia kimoja: “''Sasa kwake awezaye kukuimarisha'' . . . utukufu una yeye milele na milele . . . ” anasema kuwa Mungu mwenye hekjima aliuficha kitu kwa miaka mingi na aliufichua kwa ajili ya mataifa na aliyafanya yote kwa amri yake ya milele. Ndiyo, lakini vile Paulo alivyounda mfumo wake wa sifa, kwa yote yanayosaidia na kutoa maelezo juu ya jambo lili moja ni: Mungu ana uwezo wa kukuimarisha. “Sasa kwa yeye awezaye kukufanya imara . . . Utukufu una yeye milele hata milele . . .”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa hii ndiyo hoja inayojulikana: Hii ndiyo isiyojulikana lakini ya muhimu wazi ikiwa mtu ataitambulisha kwetu. Wafalme wengi katika historian a watawala wa kiimla wa leo wanataka wapokee utukufu. Wanataka wajulikane kuwa ni wenye nguvu, matajiri na wenye hekima. Wameifanya vipi? Kwa kuwaweka raia kuwa dhaifu maskini na kutoelimika. Aliyeelimika hatari kwa muimla watu aliostawi kiasi ni kikwazo kwa muimla. Watu wenye nguvu ni kiwewe kwa nguvu za muimla. Basi wao hufanya nini. “Wanalinda nguvu zao wenyewe kwa kuwaweka raia wao dhaifu. Wanapokea utukufu wao kwa kusimama mgongoni mwa waliovunjika. Hebu tazama utawala wa Islom Karimov katika nchi ya Uzbekistani. Na tunaweza kuwataja wengi—wafalme wadogo wanaofanya watu wao dhaifu ili wawe na utajiri na nguvu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Utukufu wa Mungu Katika Injili huimarisha ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini sasa tofautiana na njia Paulo avutia kwa Utukufu wa Mungu. Kama kuna mfalme aliye na haki ya kuonyesha utukufu wake wote kwa kukanyaga migongo ya watu waasi na Mungu. Lakini ni nini anachokifanya? Anadhihirisha utukufu wake kwa kufanya watu wake wawena nguvu. “Sasa kwake yeye aliye na uwezo wa kuimarisha . . . uwe utukufu hata milele na milele . . . ” Mungu hudhihirisha utukufu wake kwa kuwafanya imara katika injili yake. Mungu hana hisia za hatari kamwe kutokana na nguvu zako. Kwa uhakika, kadiriunaimarika kwa imani, tumaini na upendo kupitia injili ya Yesu Kristo ndivyo anavyonekana mkuu zaidi. Munu halindi nguvu zake kwa kuwaweka watu wake dhaifu. Huinua utukufu wa nguvu zake kwa kuwafanya watu wake wenye nguvu. “Sasa kwake aliye na uwezo wa kuwafanya imara . . . atukuzwa.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi Paulo anapofanya utukufu wa Mungu kuwa malengo makuu ya Injili . . . anapomalizia barua yake kuu zaidi kwa kuvutia kwake ukuu wa thamani wa utukufu wa Mungu. Hii si habari mbaya kwetu. Iwe tu kama twahitaji utukufu huo sisi wenyewe. Kwa nini hii isiwe habari mbaya kwetu. Iwe tu kama twahitaji utukufu huo sisi wenyewe. Kwa nini hii isiwe habari mbaya kwetu? Kwa sababu Mungu wetu huvutia kwa utukufu wake kwa kufanya watu wake wasiostahili kuwa na nguvu. Kadiri utukufu wa Mungu unavyokuwa kubwa ndivyo chanzo chetu cha kutiwa nguvu zaidi. Kadiri utele na maajabu ya utrukufu wa Mungu, ndivyo utele na maajabu wa chanzo cha nguvu zetu. “Sasa kwake yeye aliye na uwezo wa kuwafanya imara . . . Utukufu una yeye milele na milele.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nguvu katika injili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni nguvu za aina gani Paulo ana maanisha kuwa Mungu anaweza kutupatia? Hakika mungu anaweza kupeana aina zozote za nguvu ambazo anataka—“Kwa Mungu wangu naruka ukuta.” (Zaburi 18:29) Hapa an maanisha nguvu ya aina moja katika Warumi 1:11-12. “Kwa maana ninatamani sana kuwaona, niwape kuwapa karama ya rohoni, ili mfanywe imara (''ste’rikthe’nai ''neno sawa na mstari wa 16:25)—Yaani ili tufarijiane, kila mtu kwa imaniya mwenzake, yenu na yangu? Bayana ya nguvu hii ni Imani kwake Yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nguvu za akina mama katika injili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Si nguvu ulimwengu unafahamu wala kupeana. Wanawake, vigoi mnafikiria nini mkiwa mnatafakari kuwa mama mwenye nguvu? Au msichana mdogo unapofikiria kukua mzima mama mwenye nguvu unaota vipi? Kupata ubayana ni muhimu kwa kuwa Mungu anakutaka kuwa na nguvu na zote mbili kibibilia na kiujuzi zinakueleza kwamba kwa hisia moja kuwa wewe ni chombo kidhaifu (1 Petero 3:7) asilimia tisini na tano ya mwanaume aliyekomaa ulimwenguni wa nguvu zaidi kuliko asilimia tisini na tano ya wanawake waliokomaa. Unapoota kuwa mwanamke mwenye nguvu inafaa uotaje.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ulimwengu utakuelekeza katika njia tatu za kutafuta nguvu zako (1) Kwa kuwa na mahaba, kujivaa kimahaba, kuwa na tabia za kimahaba, kwa sababu wanaume wanawapenda, unaweza kuwazidi nguvu kwa njia hiyo. (2) kuwa na msimamo mkali, mwenye nguvu, mkwenye mabavu na kujiamini. (3) Kuwa nadhifu na kupitia zote zinazokuelekeza katika nafasi ya Utawala. Hakuna hata moja Paulo anaongea juu yake anaposema. “Sasa kwake yeye alioye na uwezo wa kuwatia nguvu . . .”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mawazoni Paulo ana uwezo wa ndani ambao Petero anautaja kwa wanawake. Katrika (1 Petero 3:6) Mahali Petero anasema kwa wanawake kuwa kama Sara na wanawake watakatifu kwa wakati huo: “Nanyi ni watoto wake, mfanyapo mema wala hamtishiki kwa hofu yoyote,” na aina ya nguvu ambao Methali 31:25 inaongea kuhusu inaposema, “Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake na anaucheka wakati ujao.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa maneno mengine, lwanawake, vigoli na wasichana wadogo huwa na ndoto kuwa wajasiri kwa Mungu, na ambao wako ndani ya Mungu kama mabanati wa mfalme wa mbingu na nchi na katika alichotenda kwenu na ahadi za kufanya kwako na kuwa yako ndani ya yesu Kristo, kwamba haugopi chochote ila Mungu cheka wakati ujao—Bila kujali umebeba nini. Mahaba kwayo nakuahidi utakosa na kupoteza—mwanamume atakayempata kwa mahabasi anayemtaka. Msimamo mkali utawafukuza wao hao ambao unawahitaji kando yako. Nafasi ya uongozi ni kama nyasi, upepo huivumia na hutoweka. Lakini nguvu Mungu hutupa kupitia Injili hudumu milele. “Sasa kwake yeye aliye na uwezo wa kufanya imara kulingana na Injili yangu . . . utukufu una yeye milele hata milele.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nguvu za Wanaume katika Injili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wanaume, ghulamu je nyinyi? Mnapoota kuwa na nguvu, mwaota nini? Ambayo kwa siku moja mshikilie mkebe wa altoid na kuutazama kwa tamaa kubwa “Kwa nguvu”? Au kluiwa mchezaji bora kwenye mchezo Au kuwa kama mdudu (kiwavi shina) na kutumia mamlaka ya pesa? Au kuelimika na kusoma Atlantiki kila mwezi aidha kusizika NPR na kutaja majina yasiyoeleweka katika mdahalo wa sherehe ya mvinyo?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapana! Hasha! Wapumbavu ndio watakao nguvu zinazofifia, nguvu za kupeana wakati tu unapohitaji zaidi. Nitakueleza aina ya nguvu Mungu ana uwezo wa kukupatia kwa njia ya injili. Ni nguvu za kuongoza mke wako na familia katika kuabudu: nguvu za kusema maneno rahisi ya ukweli kama hata umeilimika zaidi kwa mambo ya kiulimwengu, au mwenye daraja ya juu. Nguvu za kusimama imara na kusema hapana kwa tabia za dhambi hata kama unaitwa dhaifu. Nguvu za kupenya na kuendelea dhidi ya kila vikwazo ili kuleta haki, huruma na ukweli ukihisia kuwa hakuna tena himizo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nguvu kwa wote katika Injili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu ana uwezo wa kuwaimarisha nyinyi nyote, wake kwa waume kwa nguvu za ndani ya nafsi kupitia imani ndani ya Yesu ambayo inakutia nguvu katika machela kuliko samaki (taa) elfu kumi wanaoogelea kwa miguu miwili kwenye upepo wa bahari wenye asili ya kisasa. Tunachohitaji ni aina ya nguvu ambazo zitakuwepo hapa ulemazwapo na kuweza tu kujibu maswali kwa ukope wa macho yetu. Tunafahamu zinatoka wapi: “Sasa, kwake yeye aliye na uwezo wa kuwafanya imara . . . Utukufu una yeye milele na milele.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hatuibui mahitaji yetu katika Injili ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na mtazamo muhimu wa mwisho ambao tutakuwa nao imekuwa ikifunuliwa kwa miaka saba na utakuwa ukifunuliwa kwa mafunzo manne zaidi kutoka kwa Warumi na ninaomba kila funzo hadi yesu arudi kuwa—“Mungu atutie nguvu kupitia injili.” “Sasa, kwake yeye aliye na uwezo wa kuwafanya Imara . . . kulingana na injili yangu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kiini cha injili ni kuwa Yesu Kristo, mwenye haki alikufa kwa ajili ya dhambi zetu na akafufuka tena akawa na ushindi wa milele dhidi ya adui zake, ili kwamba sasa hakuna hukumu bali furaha ya milele kwa wale wanaomtumaini. Sasa basi kamwe usiibue mahitaji kwa injili hii. Usianze mwendo wa ukristo hivi halafubaadaye uiache nyuma na kujengeka katika jambo jingine. Mungu hutafanya imara kwa injili hadi siku ya kufa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nguvu ya injili dhidi ya Saratani ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nitawapa kielelezo bayana kutokana na maisha yangu, na wengi wana hadithi kubwa kubwa ya kusimulia kuliko mimi kwa kuwa nguvu zenu zimejaribiwa kwa undani zaidi. Bali nitawakumbusha kwa kile Mungu alinitendea hapo nyuma Febuari wakati utafiti wa saratani ulipoletwa. Mungu alinitia nguvu kupita injili. Unaweza kuyambuka maandiko ambayo aliyatumia. Hakuna yaliyokuwa ya muhimu kwangu. 1 Wathesolonia 5:9-10, “Kwa kuwa Mungu hakutuweka kwa hasira yake, bali tupate wokovu, kwa bwana wetu Yesu Kristo ambaye alikufa kwa ajili yetu ili tuishi pamoja naye, kwamba twakesha au kwamba twalala.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa kila kitu ndani yangu kinasema na kutumaini kusema wakati uchunguzi wa mwisho utakapokuja, “Sasa kwake yeye aliye na uwezo wa kunifanya imara kulingana na Injili yangu . . . Utukufu una yeye milele na milele kwa Yesu Kristo!” Amina.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu wetu ametenda kazi katika historia kushinda dhambi na Shetani, jehanamu na mauti. Alifanya haya kupitiaInjili ya Yesu Kristo kumbatia Injili hii kama hazina kuu katika maisha yako. Mungu atadhihirisha utukufu wake kwa kukufanya Imara.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Nia_yangu:_Kuhubiri_mahali_Kristo_hajatajwa</id>
		<title>Nia yangu: Kuhubiri mahali Kristo hajatajwa</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Nia_yangu:_Kuhubiri_mahali_Kristo_hajatajwa"/>
				<updated>2018-02-13T20:20:31Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Nia yangu: Kuhubiri mahali Kristo hajatajwa&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Holy Ambition: To Preach Where Christ Has Not Been Named}}&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Kwa maana sitadhubutu kusema kitu chochote zaidi ya kile ambacho Kristo amefanya kwa kunitumkiia mimi katika kuwaongoza watu mataifa wamtii Mungu kwa yale nilivyosema na kufanya, kwa nguvu za ishara na muijiza, kwa uwezo wa Roho wa Mungu, ili kuanzia Yerusalemu hadi maeneoyote ya kando kando yake, mpaka //iriko nimekwisha kulihubiri Habari njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kujulikana, ili nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine. Lakini kama ilivyoandikwa: “Wale ambao hawajahubiriwa habari zake wataona, nao wale hawajaziskia watafahmu.” Hii ndiyo sababu nimezuyiliwa mara nyinginisiweze kuja kwenu. Lakini sas kjwa kuwa hakuna nafasi zaidi kwa ajili yangu katika sehemu ninatamani kuja kwenu kama ambavyo nimekuwa na shauku kwa miaka mingi, nimekusudia kufanya hivyo nitakapokuwa njiani kwenda Hispania. Natarajia kuwaona katika safari yangu na kusafirishwa nanyi mpaka huko, baada ya kufurahia ushirika wenu kwa kitambo kidogo.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Kuna mambo matatu katika andiko hili ambayo nafikiri yafaa tuyaangazie. Yote yanaguza maisha yako moja kwa moja (hata kama hufahamu hayo), na yote yalingana moja kwa moja kwa Mungu na lengo lake katika karne la ishirini na moja. Naona, kwanza, nia takatifu. La pili, hitaji isiyo na kipimo. Tatu, mpango wa ulimwengu. Basi wacha tuyachukue moja baada ya nyingine na kwetu sisi ni ulimwenguni wetu wa leo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1. Nia Takatifu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari 20: “Hivyo ni nia yangu kuhubiri Habari Njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kujulikana, ili nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo alitawaliwa na nia takatifu. Nasema alitawaliwa kwa sababu anasema katika mstari 22, “Hii ndiyo sababu nimezuiliwa mara nyingi nisiweze kuja k, wenu.” Na anasema mwishoni mwa mstari wa 23, “Nimekuwa na shauku kwa miaka mingi kuwajia.” Ukiwa na shauku ya kutenda kitu kwa miaka na mikaka, na ukose kukitenda, kitu kinatawala. Na kile kilikuwa kikirtawala Paulo na kumfanya kwenda Roma ni kuwa hakuwa amemalizana na nia yake katika maeneo ya Yerusalem hadi Uirikamu (Albani wakati huu), na hangeweza kugeukia kutoka kwa nia hii hadi itimizwe. Lakini sasa kazi tayari imefanyika katika maeneo haya, na nia yake inamwelekeza Uhispania. Hiyo hatimaye inamruhusu kufanya yalke alitaka kuyatenda kwa miaka, yaitwayo, kutembelea kanisa la Roma na kufurahi kujumuika nao kwa muda mfupi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni jambojema kutawaliwa nania takatifu. Je, unatawaliwa na nia takatifu? Naiita “takatifu” kwa sababu lengo lake ni takatifu—kuona watu kutoka kwa mataifa yote ambao hawajasikia juu ya Yesu wakimwamini na kumcha na kuokolewa naye kutokana na dhambi zao na ghadhabu za Mungu. Na ninaiita nia hii “takatifu” kwa sababu inatoka kwa Mungu na neno lake takatifu, vile tutaona baada ya muda mfupi. Ni haki na ni vyema kutawaliwa na nia tukufu. Je, una nia tukufu? Si kila mmoja anafaa kuwa na nia ya Paulo. Moja apanda na mwingine atia maji (1 Wakorintho 3:6-8). Kila mmmoja ana karama yake (1 Wakorintho 7:7) Kwa bwana wake tu Anasimama na kuanguka (Warumi 14:4). Lakini nafikiri Mungu angefurahi kama wanawe wote wangekuwa na nia takatifu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nia takatifu kwa wasichana na wanaume ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wana wadogo, mnisikilize kwa makini, kwa muda. Nayajua maneno, “Nia takatifu”, si ya kawaida na hayatumii kila siku. “Nia takatifu”inamaanisha kitu ambacho unataka kufanya kewa hakika ambacho Mungu anataka ukifanye. Kile unataka kukifanya sana kwa kiasi kwamba kinakuzuilia kufanya vitu vingine ambavyo kwa hakika ungependa kufanya. Paulo kwa hakika alitaka kwenda Roma kwa miaka. Lakini hakuenda kwa sababu alikuwa anataka kitu kingine zaidi. Alikuwa antaka kuhubiri injili Asia na Ughiriki mahali watu hawakuwa wamejua kuhusu Yesu. Kwa hakika zaidi alitaka kuifanmya hii. Tunauita aina ya shauku hii”nia” Na tunauita “nia takatifu” kama ni kitu Mungu antaka ukitende. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je unayo yoyote? Labda bado. Wewe ni mtoto tu. Hiyo ndiyo unastahili uwe. Lakini wakati moja hatakuwa mtoto tena. Na mojawapo kati ya tofauti kati ya kuwa na mtoto na kua ni kwamba kua kama mkristo kunamaanisha unapokea nia takatifu. Wengi wa wasichana wachanga, Tabitha wangu akiwa moja wao, wanahitaji kumiliki na kucheza na vikaragosi. Ni kitu kizuri. Lakini siku itawadia, wasichana wadogo, mtakapoweka kando raha ya kucheza na vikaragosi na mkue katika furaha kubwa na vyema ya kuwalea watoto wa kweli katika shule za Chekechea. Na labda mtaongoza huduma ya kuwalea watoto walio na njaa mahali mbali siku moja, ama watoto pweke ambao hawana mama wala baba. Na kwa wengine wenu hii itakuwa nia takatifu na kwa wengine wenu nia yenu takatifu itakuwa kitu kingine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na wanaume, msikize. Kama mko vile nilivyokuwa, kile mnahitaji ni mpira, gari, na bunduki na mtu wa kucheza nayo. Sijawahi kuwa na bunduki ya kweli (isipokuwa bunduki la chembe) Lakini nilifyatua watu wengi wabaya na bastola yangu ya Matt Dillon, na bunduki langu lenye mkono mduara linalofanana na bunduki aina ya Lucas Mc Cain. Nilipenda kucheza kabumbu na marafiki yangu na kuchimba barabara njiani kwa ajili ya magari yangu na kuchomoa bastola yangu kwa kasi sana hungeweza kuiona. Ilikuwa raha. Na hiyo ilikuwa nzuri.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini siku mmoja hautakuwa mvulana mdogo tena. Na mojawapo ya tofauti kati ya kuwa mvulana mdogo na kua ni kwamba kua kama Mkristo kunamaanisha kuwa unapokea nia takatifu. Na hiyo inamaanisha furaha ya bunduki na magari na mipira inadidimia na furaha ya kupigania haki na wokovu inakuwa kubwa. Kua kunamaanisha kupata nia mtakatifuya kubeba panga la Roho kwa ukuu na kuendesha gari lililojaa upendo kwa walio na hitaji na kupiga teke matako ya shetani katika jina la Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mama na baba, makpera, wazee kwa wachanga,Wakristo wanafaa kuwa na nia takatifu. Kitu ambacho hakika unataka kufanya kwa utukufu wa Mungu. Kitu ambacho kinakutawala. Inakusaidia kutoenda Roma kwanza. Inakupa mtazamo wa milele na arikatika maisha yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Chanzo cha Nia Takatifu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Inakuja kutoka wapi? Sehemu muhimu la jibu limepeanwa katika kiunganisho kati ya mistari 20 na 21.” Hivyo ni nia yangu kuhubiri Habari njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kujulikana, ili nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine. Lakini kama ilivyoandikwa, [halafu Paulo ananukuu Isaya 52:15] ‘wale ambao hawajahubiriwa habari zake wataona, nao wale hawajaziskia watafahamu.’”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa huu hapa ni jambo la ajabu na yenye maana kuhusu hii kwa ajili yetu.Tunajua kutoka kwa Matendo 9 na 22 na 26 kuwa Paulo aliitwa na Kristo aliyefufuka njiani ya kuelekea Damaski. Yesu alimpa Paulo huduma zake katika Matendo 26:18, “Nakutuma [kwa watu wako na watu Mataifa], uyafunge macho yao ili wageuke kutoka gizani waingie nuruni na kutoka kwenye nguvu za shetani, wamgeukie Mungu ili wapate msamaha wa dhambi na sehemu miongoni mwa wale waliotakaswa kwa kuniamini Mimi.” Basi alipokea mwito kutoka kwa Kristo mwenyewe aliyefufuka, anayeishi, na tukufu kuwa nuru kwa watu Mataifa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini hiyo si kile anasema katika Warumi 15:21. Hasemi, “Nikaona nia hii kuwa nuru kwa mataifa wasiomjua Kristo kwa sababu Yesu aliniita njiani ya kuelekea Damaski. Anasema, “Hivyo ni nia yangu—Ninatawalwa na shauku ya kuhubiri pahali Kristo hajatajwakwa sababu Isaya 52:15 inasema,”Wale ambao hawajahubiriwa habari zake wataona, nao wale ambao hawajazisikia watafahamu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je unaelewaje hiyo? Hili ndilo ninalifahamu kwalo. Wakati Yesu alipoita Paulo njiani ya kuelekea Damaski ili apeleke Injili kwa watu Mataifa ambao hawakuwa wamesikia, Paulo alienda kwa Agano la kale na akatafuta dhibitisho na sababu ya mwito huu ili kuona vile inaambatana na lengo la kuunganisha la Mungu. Na akaipata. Na Kwa ajili yetu ananena kwa njia hii. Haneni tu kuhusu tukio lake njiani ya kuelekea Damaski ambalo hatutakuwa nalo. Anaongea kulihusu neno la Mungu ambalo limeandikwa an ambalo tunalo. Na ametilia mkazo nia yake hapo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi jibu langu la swali ‘Je nia yako takatifu yatokea wapi? Ni hili: Inakuja kutoka kwa mkutano wako wa moja kwa moja na Kristo aishiye (Si lazima kimatukio kama ilivyo katika njia ya Damaski) ikiwa imeundwa na kuelimishwa na kuhimizwa na neno lililoandikwa la Mungu. Unapotafakari juu ya amri ya Bwana usiku na mchana (Zaburi 1:2)—Unapojitumbukiza katika neno la Mungu—anakuja na kuuchukua ukweli mwingine juu ya neno hilo na kuuchomelea rohoni mwako mpaka lifanyike nia takatifu. Kama halijatendeka bado, jitie zaidi ndani ya neno la Mungu na ukamwombe kwayo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2. Hitaji lisiloweza kupimika ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu hatuelekezi katika nia isiyo na maana—ambayo utajutia mwishoni mwa maisha yako. Kila mara kuna hitaji la kutimizwa—si hitaji katikaMungu, lakini ulimwenguni—na nia takatifu. Nia takatifu si juu ya kujitukuza wewe mwenyewe. Huwa ni aina ya upendo. Huwa hukutana na hitaji la mtu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa ni nini hitaji lisiloweza kupimika ambalo Paulo aongea kwalo katika andiko hili? Mstari 20: “Hivyo ni nia yangu kuhubiri habari Njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kujulikana.” Hiyo inamaanisha kwamba Paulo ameelekeza mtazamo wake kama nuru unaong’aa kuhubiri Injili kwa wale ambao hawajasikia juu ya Kristo. Hawamjui hata kwa jina lake&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mataifa Hawana Udhuru (Kijisababu) ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa hapa ni swali. kama hawa watu hawajui hata jina la Yesu, je basi wana sababu ya kumwamini kwa ajili ya wokovu? Na kama sivyo, basi si ingekuwa shwari kwao kuwaacha tu katika hali yao ya kutomjua na kutoamini kuwa Mungu atawarehemu na wataokolewa kwa kuwa hawajasikia habari kumhusu Yesu? Kwa nini, Paulo, unateseka sana kuhubiri Injili kwa watu ambao hawajasikia jina la Yesu?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo alipeana jibu katika Warumi 1:18-23. Isome nami taratibu na bila fikira yoyote na usikie uzito wake vile Paulo yawezekana aliusikia. Maneno haya yameandikwa juu ya watu na mataifa yote ambao hawajasikia jina la Yesu na nia ya Paulo inalenga kuwafikia.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni dhidi ya uasi wote na uovu na wanadamu ambao huipinga kweli kwa uovu wao, 19 kwa maana yote yanayoweza kujulikana kumhusu Mungu ni dhahiri kwao, kwa sababu Mungu mwenyewe ameliweka wazi kwao. 20 Kwa maana tangu kuumbwa kwa uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, umeonekana waziwazi ukitambuliwa kutokana na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwe na udhuru. [hayo ni maneno yaliyo na athari ya kifo ambayo yanaeleza hitaji lisilokuwa na kipimo Paulo aonayo; mataifa ambayo hawajasikia juu ya Yesu hawatakuwa na udhuru katika siku ya hukumu.] 21 Kwa maana ingawa walimjua Mungu hawakumtukuza yeye kama ndiye Mungu wala hawakumshukuru bali fikira zao zimekuwa batili na mioyo ya ujinga ikatiwa giza. 22 Ingawa wakijidai kuwa wenye hekima, wakawa wajinga 23 na kubadili utukufu wa Mungu aishiye milele kwa sanamu zilizofanywa zifanane na mwanadamu ambaye hufa, ndege, wanyama na viumbe vitambaavyo.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Paulo anasema katika Warumi 2:12, “Watu wote waliotenda dhambi pasipo sheria wataangamia pasipo sheria, nao wote waliotenda dhambi chini ya sheria watahukumiwa na sheria.” Kila mtu atahukumiwa kulingana na yale waliyoyapokea. Na watu wote wataangamia yule hajasikia Injili, kwa sababu watu wote wanapinga ukweli walio nayo na kuishi wakimuasi Mungu. Kuna tumaini moja tu: Kuisikia na kuamini injili ya Yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hitaji la mataifa ambao hawajasikia jina la Yesu ni hitaji isiyo na kipimo. Ni hitaji isiyo koma milele. Hitaji kuu ambalo laweza kufikiriwa ni hitaji la mataifa kuisikia Injili ya Yesu Kristo na kuiamini. Kwa maana aaminiye, kwanza kwa Myahudi pia kwa Myunani.” (Warumi 1:16). Na hakuna anayeokolewa isipokuwa kwalo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Si kila mmoja wenu anaitwa kuenenda kama Paulo. Lakini huwezi kuwa mtu wa upendo na usitake maisha yako ihesabike kukutana na hitaji hili.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 3. Mikakati ya Ulimwenguni kote  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini wengine wenu Mungu anawaita ili muungane na Paulo mwenyewe na kwa likizo katika mikakati hii ya kipekee ya ulimwenguni kote. Huu hapa ndipo mikakati. Na ni ya ajabu. Kama wewe ni mgeni Bethlehemu, sikiza kwa makini vile tunavyoelewa miito. Hapa ni matamshi ya ajabu ya Paulo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwanza mstari 19b, “Kuanzia Yerusalemu hadi maeneo yote ya kando kando yake mpaka Ihiriko nimekwisha kuihubiri Injili ya Kristo kwa ukamilifu .” Ni kusema kutokea Yerusalemu hadi juu Siria kupitia Asia ndogo (Uturuki), hadi chini kupitia Ugiriki kaskazini mwa Italia pahali Albania ipo leo. Paulo anasema amekamilisha Injili huko. Na anahitimiza jambo hili la ajabu katika mstari 23 kwa kusema, “Kwa kuwa hakuna nafasi zaidi kwa ajili yangu katika sehemu hii.” Na baadaye katika mstari 24 anasema, “Naenda Hispania.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Alimaanishaje kuwa hakuwa na nafasi zaidi ya kufanya kazi Yereusalemu hadi Iliriko? Si hatari kusema kwamba kulikuwa na watu zaidi ya kumi elfu ambao walikuwa hawajahubiriwa katika maeneo hayo. Tunajua hili kwa sababu Paulo anamwandikia Timotheo huko Efeso (katika eneo hili) na kumuamuru “kufanya kazi ya mhubiri (2 Timotheo 4:5). Kwa maneno mengine, kuna watu wanaohitaji kuhubiriwa. Na Paulo anasema kazi yake imekamilika katika eneo hili. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunachukua hili kumaanisha: Paulo si muhubiri wa kitaifa; Yeye ni mhudumu wa kupita mipaka, mhudumu mwanzilishi. Ni kusema, mwito na nia yake si kuhubiri pahali ambapo tayari ushajengwa. Kanisa linafaa kufanya hilo. Mwito na nia ya Paulo ni kuhubiri injili pahali hakuna kanisa la kuhubiri. Pahali hakuna Wakristo. Hawajawahi kulisikia jina la Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Huduma, kuhubiri, na Nia Takatifu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Msamiati si kile cha muhimu. Kile muhimu ni tofauti. Kuna wahudumu waanzilishi na wanaopita mipaka, na kuna wahubiri. Wahudumu wanapitia tamaduni na kujifunza lugha. Na wahudumu wa kupita mipaka wanamwagilia maisha yao kupitia neno na vitendo, kupitia uweza wa ishara na maajabu, kupitia uweza wa Roho wa Mungu ”Kuvunja maelfu ya miaka ya giza na utawala wa shetani juu ya watu ambao hawamjui mfalme wa wafalme na mwokozi wa ulimwengu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ndio ilikuwa nia ya Paulo. Na ikiwa bado mwito mkuu wa kufanya wanafunzi kutoka ulimwenguni kote bado ipo na kuna watu hivi leo ambao hawajui Habari Njema, basi kila kanisa lastahili liombe kuwa Mungu aweze kuwainua wahudumu wa kupita mpaka wengi, na kutufanya wote kuwa wahubiri. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Naweza kutafakari—hakika naomba –kuwa miaka kumi kutoka sasa mtu fulani—labda kumi miongoni mwenu—wataandika barua nyumbani kwa watu ambao hawajafikiwa na kusema, “Niko hapa kuwahubiria Injili wale ambao hawajaiskia, kwa vile ilivyoandikwa katika Warumi 15:20 “Hivyo ni nia yangu kuhubiri Habari Njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kujulikana, ili nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine.” Mungu alichomelea neno hilo moyoni mwangu na akaligeuza kuwa nia takatifu katika Kanisa la Ubatizo wa Bethlehemu, Agosti, 2006. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Bwana, tafadhali, tenda hilo. Amina.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;br&amp;gt;&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Nia_yangu:_Kuhubiri_mahali_Kristo_hajatajwa</id>
		<title>Nia yangu: Kuhubiri mahali Kristo hajatajwa</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Nia_yangu:_Kuhubiri_mahali_Kristo_hajatajwa"/>
				<updated>2018-02-13T20:20:18Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|Holy Ambition: To Preach Where Christ Has Not Been Named}}&amp;lt;br&amp;gt;  &amp;lt;blockquote&amp;gt; Kwa maana sitadhubutu kusema kitu chochote zaidi ya kile ambacho Kristo amefanya kwa kunitumki...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Holy Ambition: To Preach Where Christ Has Not Been Named}}&amp;lt;br&amp;gt; &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Kwa maana sitadhubutu kusema kitu chochote zaidi ya kile ambacho Kristo amefanya kwa kunitumkiia mimi katika kuwaongoza watu mataifa wamtii Mungu kwa yale nilivyosema na kufanya, kwa nguvu za ishara na muijiza, kwa uwezo wa Roho wa Mungu, ili kuanzia Yerusalemu hadi maeneoyote ya kando kando yake, mpaka //iriko nimekwisha kulihubiri Habari njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kujulikana, ili nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine. Lakini kama ilivyoandikwa: “Wale ambao hawajahubiriwa habari zake wataona, nao wale hawajaziskia watafahmu.” Hii ndiyo sababu nimezuyiliwa mara nyinginisiweze kuja kwenu. Lakini sas kjwa kuwa hakuna nafasi zaidi kwa ajili yangu katika sehemu ninatamani kuja kwenu kama ambavyo nimekuwa na shauku kwa miaka mingi, nimekusudia kufanya hivyo nitakapokuwa njiani kwenda Hispania. Natarajia kuwaona katika safari yangu na kusafirishwa nanyi mpaka huko, baada ya kufurahia ushirika wenu kwa kitambo kidogo.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Kuna mambo matatu katika andiko hili ambayo nafikiri yafaa tuyaangazie. Yote yanaguza maisha yako moja kwa moja (hata kama hufahamu hayo), na yote yalingana moja kwa moja kwa Mungu na lengo lake katika karne la ishirini na moja. Naona, kwanza, nia takatifu. La pili, hitaji isiyo na kipimo. Tatu, mpango wa ulimwengu. Basi wacha tuyachukue moja baada ya nyingine na kwetu sisi ni ulimwenguni wetu wa leo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1. Nia Takatifu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari 20: “Hivyo ni nia yangu kuhubiri Habari Njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kujulikana, ili nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo alitawaliwa na nia takatifu. Nasema alitawaliwa kwa sababu anasema katika mstari 22, “Hii ndiyo sababu nimezuiliwa mara nyingi nisiweze kuja k, wenu.” Na anasema mwishoni mwa mstari wa 23, “Nimekuwa na shauku kwa miaka mingi kuwajia.” Ukiwa na shauku ya kutenda kitu kwa miaka na mikaka, na ukose kukitenda, kitu kinatawala. Na kile kilikuwa kikirtawala Paulo na kumfanya kwenda Roma ni kuwa hakuwa amemalizana na nia yake katika maeneo ya Yerusalem hadi Uirikamu (Albani wakati huu), na hangeweza kugeukia kutoka kwa nia hii hadi itimizwe. Lakini sasa kazi tayari imefanyika katika maeneo haya, na nia yake inamwelekeza Uhispania. Hiyo hatimaye inamruhusu kufanya yalke alitaka kuyatenda kwa miaka, yaitwayo, kutembelea kanisa la Roma na kufurahi kujumuika nao kwa muda mfupi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni jambojema kutawaliwa nania takatifu. Je, unatawaliwa na nia takatifu? Naiita “takatifu” kwa sababu lengo lake ni takatifu—kuona watu kutoka kwa mataifa yote ambao hawajasikia juu ya Yesu wakimwamini na kumcha na kuokolewa naye kutokana na dhambi zao na ghadhabu za Mungu. Na ninaiita nia hii “takatifu” kwa sababu inatoka kwa Mungu na neno lake takatifu, vile tutaona baada ya muda mfupi. Ni haki na ni vyema kutawaliwa na nia tukufu. Je, una nia tukufu? Si kila mmoja anafaa kuwa na nia ya Paulo. Moja apanda na mwingine atia maji (1 Wakorintho 3:6-8). Kila mmmoja ana karama yake (1 Wakorintho 7:7) Kwa bwana wake tu Anasimama na kuanguka (Warumi 14:4). Lakini nafikiri Mungu angefurahi kama wanawe wote wangekuwa na nia takatifu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Nia takatifu kwa wasichana na wanaume ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wana wadogo, mnisikilize kwa makini, kwa muda. Nayajua maneno, “Nia takatifu”, si ya kawaida na hayatumii kila siku. “Nia takatifu”inamaanisha kitu ambacho unataka kufanya kewa hakika ambacho Mungu anataka ukifanye. Kile unataka kukifanya sana kwa kiasi kwamba kinakuzuilia kufanya vitu vingine ambavyo kwa hakika ungependa kufanya. Paulo kwa hakika alitaka kwenda Roma kwa miaka. Lakini hakuenda kwa sababu alikuwa anataka kitu kingine zaidi. Alikuwa antaka kuhubiri injili Asia na Ughiriki mahali watu hawakuwa wamejua kuhusu Yesu. Kwa hakika zaidi alitaka kuifanmya hii. Tunauita aina ya shauku hii”nia” Na tunauita “nia takatifu” kama ni kitu Mungu antaka ukitende. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je unayo yoyote? Labda bado. Wewe ni mtoto tu. Hiyo ndiyo unastahili uwe. Lakini wakati moja hatakuwa mtoto tena. Na mojawapo kati ya tofauti kati ya kuwa na mtoto na kua ni kwamba kua kama mkristo kunamaanisha unapokea nia takatifu. Wengi wa wasichana wachanga, Tabitha wangu akiwa moja wao, wanahitaji kumiliki na kucheza na vikaragosi. Ni kitu kizuri. Lakini siku itawadia, wasichana wadogo, mtakapoweka kando raha ya kucheza na vikaragosi na mkue katika furaha kubwa na vyema ya kuwalea watoto wa kweli katika shule za Chekechea. Na labda mtaongoza huduma ya kuwalea watoto walio na njaa mahali mbali siku moja, ama watoto pweke ambao hawana mama wala baba. Na kwa wengine wenu hii itakuwa nia takatifu na kwa wengine wenu nia yenu takatifu itakuwa kitu kingine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na wanaume, msikize. Kama mko vile nilivyokuwa, kile mnahitaji ni mpira, gari, na bunduki na mtu wa kucheza nayo. Sijawahi kuwa na bunduki ya kweli (isipokuwa bunduki la chembe) Lakini nilifyatua watu wengi wabaya na bastola yangu ya Matt Dillon, na bunduki langu lenye mkono mduara linalofanana na bunduki aina ya Lucas Mc Cain. Nilipenda kucheza kabumbu na marafiki yangu na kuchimba barabara njiani kwa ajili ya magari yangu na kuchomoa bastola yangu kwa kasi sana hungeweza kuiona. Ilikuwa raha. Na hiyo ilikuwa nzuri.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini siku mmoja hautakuwa mvulana mdogo tena. Na mojawapo ya tofauti kati ya kuwa mvulana mdogo na kua ni kwamba kua kama Mkristo kunamaanisha kuwa unapokea nia takatifu. Na hiyo inamaanisha furaha ya bunduki na magari na mipira inadidimia na furaha ya kupigania haki na wokovu inakuwa kubwa. Kua kunamaanisha kupata nia mtakatifuya kubeba panga la Roho kwa ukuu na kuendesha gari lililojaa upendo kwa walio na hitaji na kupiga teke matako ya shetani katika jina la Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mama na baba, makpera, wazee kwa wachanga,Wakristo wanafaa kuwa na nia takatifu. Kitu ambacho hakika unataka kufanya kwa utukufu wa Mungu. Kitu ambacho kinakutawala. Inakusaidia kutoenda Roma kwanza. Inakupa mtazamo wa milele na arikatika maisha yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Chanzo cha Nia Takatifu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Inakuja kutoka wapi? Sehemu muhimu la jibu limepeanwa katika kiunganisho kati ya mistari 20 na 21.” Hivyo ni nia yangu kuhubiri Habari njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kujulikana, ili nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine. Lakini kama ilivyoandikwa, [halafu Paulo ananukuu Isaya 52:15] ‘wale ambao hawajahubiriwa habari zake wataona, nao wale hawajaziskia watafahamu.’”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa huu hapa ni jambo la ajabu na yenye maana kuhusu hii kwa ajili yetu.Tunajua kutoka kwa Matendo 9 na 22 na 26 kuwa Paulo aliitwa na Kristo aliyefufuka njiani ya kuelekea Damaski. Yesu alimpa Paulo huduma zake katika Matendo 26:18, “Nakutuma [kwa watu wako na watu Mataifa], uyafunge macho yao ili wageuke kutoka gizani waingie nuruni na kutoka kwenye nguvu za shetani, wamgeukie Mungu ili wapate msamaha wa dhambi na sehemu miongoni mwa wale waliotakaswa kwa kuniamini Mimi.” Basi alipokea mwito kutoka kwa Kristo mwenyewe aliyefufuka, anayeishi, na tukufu kuwa nuru kwa watu Mataifa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini hiyo si kile anasema katika Warumi 15:21. Hasemi, “Nikaona nia hii kuwa nuru kwa mataifa wasiomjua Kristo kwa sababu Yesu aliniita njiani ya kuelekea Damaski. Anasema, “Hivyo ni nia yangu—Ninatawalwa na shauku ya kuhubiri pahali Kristo hajatajwakwa sababu Isaya 52:15 inasema,”Wale ambao hawajahubiriwa habari zake wataona, nao wale ambao hawajazisikia watafahamu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je unaelewaje hiyo? Hili ndilo ninalifahamu kwalo. Wakati Yesu alipoita Paulo njiani ya kuelekea Damaski ili apeleke Injili kwa watu Mataifa ambao hawakuwa wamesikia, Paulo alienda kwa Agano la kale na akatafuta dhibitisho na sababu ya mwito huu ili kuona vile inaambatana na lengo la kuunganisha la Mungu. Na akaipata. Na Kwa ajili yetu ananena kwa njia hii. Haneni tu kuhusu tukio lake njiani ya kuelekea Damaski ambalo hatutakuwa nalo. Anaongea kulihusu neno la Mungu ambalo limeandikwa an ambalo tunalo. Na ametilia mkazo nia yake hapo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi jibu langu la swali ‘Je nia yako takatifu yatokea wapi? Ni hili: Inakuja kutoka kwa mkutano wako wa moja kwa moja na Kristo aishiye (Si lazima kimatukio kama ilivyo katika njia ya Damaski) ikiwa imeundwa na kuelimishwa na kuhimizwa na neno lililoandikwa la Mungu. Unapotafakari juu ya amri ya Bwana usiku na mchana (Zaburi 1:2)—Unapojitumbukiza katika neno la Mungu—anakuja na kuuchukua ukweli mwingine juu ya neno hilo na kuuchomelea rohoni mwako mpaka lifanyike nia takatifu. Kama halijatendeka bado, jitie zaidi ndani ya neno la Mungu na ukamwombe kwayo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2. Hitaji lisiloweza kupimika ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu hatuelekezi katika nia isiyo na maana—ambayo utajutia mwishoni mwa maisha yako. Kila mara kuna hitaji la kutimizwa—si hitaji katikaMungu, lakini ulimwenguni—na nia takatifu. Nia takatifu si juu ya kujitukuza wewe mwenyewe. Huwa ni aina ya upendo. Huwa hukutana na hitaji la mtu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa ni nini hitaji lisiloweza kupimika ambalo Paulo aongea kwalo katika andiko hili? Mstari 20: “Hivyo ni nia yangu kuhubiri habari Njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kujulikana.” Hiyo inamaanisha kwamba Paulo ameelekeza mtazamo wake kama nuru unaong’aa kuhubiri Injili kwa wale ambao hawajasikia juu ya Kristo. Hawamjui hata kwa jina lake&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mataifa Hawana Udhuru (Kijisababu) ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa hapa ni swali. kama hawa watu hawajui hata jina la Yesu, je basi wana sababu ya kumwamini kwa ajili ya wokovu? Na kama sivyo, basi si ingekuwa shwari kwao kuwaacha tu katika hali yao ya kutomjua na kutoamini kuwa Mungu atawarehemu na wataokolewa kwa kuwa hawajasikia habari kumhusu Yesu? Kwa nini, Paulo, unateseka sana kuhubiri Injili kwa watu ambao hawajasikia jina la Yesu?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo alipeana jibu katika Warumi 1:18-23. Isome nami taratibu na bila fikira yoyote na usikie uzito wake vile Paulo yawezekana aliusikia. Maneno haya yameandikwa juu ya watu na mataifa yote ambao hawajasikia jina la Yesu na nia ya Paulo inalenga kuwafikia.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni dhidi ya uasi wote na uovu na wanadamu ambao huipinga kweli kwa uovu wao, 19 kwa maana yote yanayoweza kujulikana kumhusu Mungu ni dhahiri kwao, kwa sababu Mungu mwenyewe ameliweka wazi kwao. 20 Kwa maana tangu kuumbwa kwa uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, umeonekana waziwazi ukitambuliwa kutokana na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwe na udhuru. [hayo ni maneno yaliyo na athari ya kifo ambayo yanaeleza hitaji lisilokuwa na kipimo Paulo aonayo; mataifa ambayo hawajasikia juu ya Yesu hawatakuwa na udhuru katika siku ya hukumu.] 21 Kwa maana ingawa walimjua Mungu hawakumtukuza yeye kama ndiye Mungu wala hawakumshukuru bali fikira zao zimekuwa batili na mioyo ya ujinga ikatiwa giza. 22 Ingawa wakijidai kuwa wenye hekima, wakawa wajinga 23 na kubadili utukufu wa Mungu aishiye milele kwa sanamu zilizofanywa zifanane na mwanadamu ambaye hufa, ndege, wanyama na viumbe vitambaavyo.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Paulo anasema katika Warumi 2:12, “Watu wote waliotenda dhambi pasipo sheria wataangamia pasipo sheria, nao wote waliotenda dhambi chini ya sheria watahukumiwa na sheria.” Kila mtu atahukumiwa kulingana na yale waliyoyapokea. Na watu wote wataangamia yule hajasikia Injili, kwa sababu watu wote wanapinga ukweli walio nayo na kuishi wakimuasi Mungu. Kuna tumaini moja tu: Kuisikia na kuamini injili ya Yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hitaji la mataifa ambao hawajasikia jina la Yesu ni hitaji isiyo na kipimo. Ni hitaji isiyo koma milele. Hitaji kuu ambalo laweza kufikiriwa ni hitaji la mataifa kuisikia Injili ya Yesu Kristo na kuiamini. Kwa maana aaminiye, kwanza kwa Myahudi pia kwa Myunani.” (Warumi 1:16). Na hakuna anayeokolewa isipokuwa kwalo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Si kila mmoja wenu anaitwa kuenenda kama Paulo. Lakini huwezi kuwa mtu wa upendo na usitake maisha yako ihesabike kukutana na hitaji hili.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 3. Mikakati ya Ulimwenguni kote  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini wengine wenu Mungu anawaita ili muungane na Paulo mwenyewe na kwa likizo katika mikakati hii ya kipekee ya ulimwenguni kote. Huu hapa ndipo mikakati. Na ni ya ajabu. Kama wewe ni mgeni Bethlehemu, sikiza kwa makini vile tunavyoelewa miito. Hapa ni matamshi ya ajabu ya Paulo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwanza mstari 19b, “Kuanzia Yerusalemu hadi maeneo yote ya kando kando yake mpaka Ihiriko nimekwisha kuihubiri Injili ya Kristo kwa ukamilifu .” Ni kusema kutokea Yerusalemu hadi juu Siria kupitia Asia ndogo (Uturuki), hadi chini kupitia Ugiriki kaskazini mwa Italia pahali Albania ipo leo. Paulo anasema amekamilisha Injili huko. Na anahitimiza jambo hili la ajabu katika mstari 23 kwa kusema, “Kwa kuwa hakuna nafasi zaidi kwa ajili yangu katika sehemu hii.” Na baadaye katika mstari 24 anasema, “Naenda Hispania.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Alimaanishaje kuwa hakuwa na nafasi zaidi ya kufanya kazi Yereusalemu hadi Iliriko? Si hatari kusema kwamba kulikuwa na watu zaidi ya kumi elfu ambao walikuwa hawajahubiriwa katika maeneo hayo. Tunajua hili kwa sababu Paulo anamwandikia Timotheo huko Efeso (katika eneo hili) na kumuamuru “kufanya kazi ya mhubiri (2 Timotheo 4:5). Kwa maneno mengine, kuna watu wanaohitaji kuhubiriwa. Na Paulo anasema kazi yake imekamilika katika eneo hili. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunachukua hili kumaanisha: Paulo si muhubiri wa kitaifa; Yeye ni mhudumu wa kupita mipaka, mhudumu mwanzilishi. Ni kusema, mwito na nia yake si kuhubiri pahali ambapo tayari ushajengwa. Kanisa linafaa kufanya hilo. Mwito na nia ya Paulo ni kuhubiri injili pahali hakuna kanisa la kuhubiri. Pahali hakuna Wakristo. Hawajawahi kulisikia jina la Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Huduma, kuhubiri, na Nia Takatifu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Msamiati si kile cha muhimu. Kile muhimu ni tofauti. Kuna wahudumu waanzilishi na wanaopita mipaka, na kuna wahubiri. Wahudumu wanapitia tamaduni na kujifunza lugha. Na wahudumu wa kupita mipaka wanamwagilia maisha yao kupitia neno na vitendo, kupitia uweza wa ishara na maajabu, kupitia uweza wa Roho wa Mungu ”Kuvunja maelfu ya miaka ya giza na utawala wa shetani juu ya watu ambao hawamjui mfalme wa wafalme na mwokozi wa ulimwengu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ndio ilikuwa nia ya Paulo. Na ikiwa bado mwito mkuu wa kufanya wanafunzi kutoka ulimwenguni kote bado ipo na kuna watu hivi leo ambao hawajui Habari Njema, basi kila kanisa lastahili liombe kuwa Mungu aweze kuwainua wahudumu wa kupita mpaka wengi, na kutufanya wote kuwa wahubiri. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Naweza kutafakari—hakika naomba –kuwa miaka kumi kutoka sasa mtu fulani—labda kumi miongoni mwenu—wataandika barua nyumbani kwa watu ambao hawajafikiwa na kusema, “Niko hapa kuwahubiria Injili wale ambao hawajaiskia, kwa vile ilivyoandikwa katika Warumi 15:20 “Hivyo ni nia yangu kuhubiri Habari Njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kujulikana, ili nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine.” Mungu alichomelea neno hilo moyoni mwangu na akaligeuza kuwa nia takatifu katika Kanisa la Ubatizo wa Bethlehemu, Agosti, 2006. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Bwana, tafadhali, tenda hilo. Amina.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;br&amp;gt;&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kwa_nini_na_a_kwa_njia_gani_tunavyosherehekea_meza_ya_Bwana</id>
		<title>Kwa nini na a kwa njia gani tunavyosherehekea meza ya Bwana</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kwa_nini_na_a_kwa_njia_gani_tunavyosherehekea_meza_ya_Bwana"/>
				<updated>2017-08-03T19:45:29Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Kwa nini na a kwa njia gani tunavyosherehekea meza ya Bwana&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Why and How We Celebrate the Lord's Supper}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Lakini katika kuagiza haya siwasifu ya kwamba mnakusanyika, si kwa faida bali kwa hasara. 18 Kwa maana kwanza mkutanikapo kanisani nasikia kuna faraka kwenu; nami nusu nasadiki 19 Kwa maana lazima kuwapo na uzushi kwenu ili waliokubaliwa wawe dhahiri kwenu 20 Basi mkutanikapo pamoja haiwezekani kula chakula cha bwana. 21 Kwa maana kila mmoja hutangulia kutwaa chakula chake katika kule kula: hata huyu ana njaa na huyu amelewa. 22 Je! Hamna nyumba za kulia na kunywea? Au mnalidharau kanisa la Mungu na kuwatahayarisha hao wasio na kitu? Niwaambieni? Niwasifu? La! 23 Kwa maana mimi nalipokea kwa Bwana niliyowapa nanyi, ya kuwa Bwana Yesu usiku ule aliotolewa alitwaa mkate. 24 Naye akiisha kushukuru akaumega akasema, “Huu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.” 25 Na vivi hivi baada ya kula akakitwaa kikombe akisema, “kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu; fanyeni hivi kila mnywapo kwa ukumbusho wangu.” 26 Maana kila mwalapo mkate huu na kukinywea kikombe hiki, mwaitangaza mauti ya Bwana hata ajapo. 27 Basi kila aulaye mkate huo au kukinywea kikombe hicho cha Bwana isivyostahili atakuwa amejipatia hatia ya mwili na damu ya Bwana. 28 Lakini mtu ajihoji mwenyewe ni hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe. 29 Maana alaye na kunywa, hula na kunywa hukumu ya nafsi yake, kwa kutokuupambanua ule mwili. 30 Kwa sababu hiyo wako wengi kwenu walio hawawezi na dhaifu, na watu kadha wa kadha wamelala. 31 Lakini kama tungejipambanua nafsi zetu, tusingehukumiwa. 32 Ila tuhukumiwapotwarudiwa na Bwana, isije ikatupasa adhabu pammoja na dunia. 33 Kwa hivyo, ndugu zangu mkutanikapo mpate kula, mngojaneni. 34 Mtu akiwa na njaa, na ale nyumbani kwake, msipate kukutanika kwa hukumu. Na hayo yaliosalia nijapo nitayatengeneza.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Kabla ya kurejea Warumi wiki ijayo (Bwana akipenda) nafikiri ni vyema kwetu tuweke chakula cha Bwana Kibibilia na kuelekeza mtazamo wetu kwa nini na jinsi gani tunavyohifadhi utawazo huu. Leo tutaweka ujumbe kwanza hatimaye kuwaelekeza kwenye chakula cha Bwana kwa mafundisho.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Baada ya Bibilia, ambayo ni msingi wenye hakika katika maisha yetu na kanisa letu; mmoja ya stakabadhi muhimu katika maisha ya kanisa letu ni ''(Bethlehem Baptist Church Elder Affirmation of Faith)'''.'''''Ninahimiza kila mmoja wenu kuisome. Unaweza kuiona katika Mtandao wa kanisa au mtandao wa ''Desiring God''. Aya ya 12.4 inapeana muhtasari ya mafundisho wa kile tunacho amini na kufunza kuhusu chakula cha Bwana.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
''Tunaamini kuwa chakula cha Bwana kimetawazwa na Bwana ambacho mkusanyiko wa Waumini hula mkate, kufananisha mwili wa Kristo uliopewa kwa watu wake, na kunywa kwa kikombe cha Bwana, kufananisha agano jipya katika damu ya Kristo. Tunafanya haya kama ukumbusho wa Bwana, na hivyo kutangaza kifo chake hadi atakaporudi. Wanaokula na kunywa kwa njia inayostahili hushiriki mwili wa Kristo na damu yake, sio kimwili bali kiroho, ili kwamba kwa imani, wanastawishwa kwa fadhili alizopokea kupitia kifo chake na hivyo kukua kwa neema''.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Nitajaribu kupeana msingi wa kibibilia kwa ajili ya kufahamu chakula cha Bwana kwa vichwa sita: 1) Asili ya kihistoria; 2) Wanaoshiriki wanaoamini; 3) Tendo la kimwili; 4) Tendo la kimawazo; 5) Tendo la kiroho; 6) Maanani kiwakfu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1) Asili ya kihistoria ya karamu ya Bwana ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;amp;lt;p&amp;amp;gt;Injili ya Mathayo (26:26ff), Mariko (14:22ff) Na Luka (22:14ff) zinatoa habari kuhusu Karamu ya Mwisho ambayo Yesu alikula pamoja na wanafunzi wake usiku kabla ya kifo chake. Yote inaeleza Yesu kushukuru au kubariki mkate na kikombe, na kuwapa wanafunzi akisema kuwa mkate ni mwili na kikombe ni damu ya agano au agano jipya katika damu yake. Katika Luka 22:19 Yesu anasema, “fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.” Injili ya Yohana haijatoa habari kuhusu kukula na kunywa bali mafundizo na matendo ambayo yalijawa kwenye jioni hiyo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ijapokuwa umbali gani tunaweza sema kwa rekodi za kale kanisa lilifanya kile Yesu alisema: waliitekeleza karamu kama ukumbusho wa Yesu na kifo chake. Nyaraka za Paulo ndizo ushuhuda wa kwanza kabisa tulizo nazo na katika I Wakorintho 11:20 anamaanisha tukio katika uzima wa kanisa liitwalo “Karamu ya Bwana.” huitwa “Karamu ya Bwana.” kwa sababu ulianzishwa na kutawazwa na Bwana Yesu na aana yake halisi ni kusherehekea ukumbusho wa kifo cha Bwana. Paulo anasema kwenye I Wakorintho 11:23-24 “Kwa maana mimi nalipokea kwa Bwana niliowapa nanyi ya kuwa Bwana Yesu usiku ule aliyosalitiwa alitoa mkate, naye akisha kushukuru akaumega, akasema “Huu ndio mwili wangu uliyo kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu” “Mimi nalipokea kwa Bwana . . . ” Pengine inamaanisha kwamba Bwana mwenyewe alimdhibitishia Paulo (ambaye hakuwa mmoja wa wanafunzi siku hiyo ya Pasaka) kwamba kile wengine waliripoti kuhusu Pasaka hakika kilitendeka.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo asili ya historia ya Karamu ya Bwana ni hicho chakula cha mwisho ambayo Yesu na wanafunzi walikula usiku kabla ya kusulubishwa. Maana na kitendo hiki kina shina kwa kile Yesu alisema na kufanya katika usiku huo wa mwisho. Yesu mwenyewe ndiye chimbuko cha chakula cha Bwana. Aliamuru kwamba kiendelee na yeye ndiye tegemeo na muhusika ndani yake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2) Washiriki wanachokiamini chakula cha Bwana ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Chakula cha Bwana ni kitendo cha mkusanyiko wa familia ya walioamini Yesu, yaani Kanisa. Si kitendo cha wasioamini. Wasioamini wanaweza kuwepo—kwa kweli, tunawakaribisha—hakika hakuna kilichositirika kuhusu chakula cha Bwana. Hufanyika hadharani. Ina maana dhahiri. Si la siri, tambiko uliojawa nguvu za uganga. Ni kitendo cha hadharani cha kuabudu kwa mkusanyiko wa kanisa. Hakika katika I Wakorintho 11:26 Paulo anasema, “Maana kila mlapo mkate huu na kukinywea kikombe hiki mwaitangaza mauti ya Bwana hata ajapo.” Sasa basi kuna hali ya kutangaza hadharani kwa chakula hicho. Kutangaza hadharani, si kwa siri ni barua ya onyesho.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hatukatazi kushikiri chakula cha Bwana kwa mtu yeyote kwenye chumba cha uuguzi au hospitalini lakini sherehe hiyo ya ubinafsi ni ya aina yake, si maadili ya kibibilia. Mara tano katika I Wakorintho 11, Paulo ananena kwa kanisa, “Kujumuika pamoja” wanaposhiriki meza ya Bwana. Mstari wa 17b “Mnapokusanyika si kwa faida bali kwa hasara.” Mstari wa 18: “Kwa maana kwanza mkutanikapo kama kanisa nasikia kuwa kuna faraka kati yenu.” Mstari wa 20 “Basi mkutakinapo haiwezekani kula chakula cha Bwana” Mstari wa 33 “basi mkutanikapo kula mngojane.” Mstari wa 34 “Mtu akiwa na nja na ale nyumbani mwake,msipatane kukutana kwa hukumu.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa maneno mengine ni ya kuwa walikuwa wakidunisha chakula cha Bwana kwa kukiunganisha kwa Karibu na chakula chao cha kawaida. Wengine walikuwa na chakula kingi bali wengine hawakuwa nacho. Basi akasema Kuleni chakula chenu nyumbani na mje pamoja kula chakula cha Bwana. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tazama neno &amp;quot;Kanisa&amp;quot; katika mstari wa 18: “Kwa maana mkutanikapo kama kanisa.&amp;quot; yaani mwili wa Kristo mkutano wa wafwasi wa Yesu. Walioacha na vinyago na kumtumaini Kristo pekee yake, kwa msamaha wa dhambi, tumaini la uzima wa milele na faraja ya nafsi zao. Wao ndio Wakristo. Basi washirikio chakula cha Bwana ni waumini waliokusanyika katika Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 3) Matendo ya kimwili ya Chakula cha Bwana ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tendo la kimwili la chakula cha Bwana si kula Chakula aina ya nyingi. Ni rahisi sana. Ni kula mkate na kunywea kikombe mstari wa 23b-25. “Alitwaa mkate naye akisha kushukuru akaumega akasema.“ huu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.” Vile vile akakitwaa kikombe akasema kikombe hiki ni agano jipya katika damu fanyeni hivi kila mnywapo kwa ukumbusho wangu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hakuna kitu kilichotengwa maalum kuhusu aina ya mkate au jinsi ya kuumega. Maelezo ya pekee kuhusu kilichokuwa kwenye kikombe yapatikana katika kila mstari mmoja wa Mathayo, Mariko na Luka “nawaambieni sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa upya, pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu” (Mathayo 26:29); cf. Mariko 14:25; Luka 22:18). Basi unaitwa (uzao wa mzabibu). Sidhani yafa a kushughulika kuwa ilikuwa sharubati au kileo kilichotumika. Hakuna chochote kwenye aya hii kinachoamrisha au kukataza kimoja au kingine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kinachofaa kushughulikiwa ni kuhusu mabadiliko ya kimzaha—tuseme mkate umbo pete na kinywaji cha (coke) Kando ya moto uliowashwa kambini. Chakula cha Bwana si cha kuchezea. Yafaa kuisherehekea kwa hisia dhabiti ambayo—ambayo tutanena kwayo hivi punde.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Naweza pia kutaja tu kwa kupitia kwamba hakuna chochote katika agano jipya kuhusu mara ngapi yafaa chakula cha Bwana. Wengine huamini ni vyema kushiriki kila wiki, wengine washiriki katika robo ya mwaka, n. k. Sisi kwetu tu katikati na kwa kawaida tunasherehekea katika Jumapili ya kwanza ya kila mwezi. Nafikiri tuko huru katika jambo hili; na swali linaloibuka ni mojawapo 1) Je mara ngapi yalengana na umuhimu wake hasa kwa uhusiano katika huduma ya neno la Mungu? 2) Mara ngapi hutusaidia tuhisi umuhimu wake kwetu bila kutukwaza kwa kukosa maana? Haya si maamuzi rahisi kufanya na makanisa tofauti tofauti hufanya kwa njia tofauti tofauti.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 4) Tendo la kufikiria (Hisia) la chakula cha Bwana ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mawazo ya wanaoshirikli chakula cha Bwana ni kulenga fikira za kwa Yesu na haswa kazi yake ya kihistoria kwa kutufia dhambi zetu. Mistari ya 24 na 25: “Yafanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.” Tunavyotenda tendo la kimwili ya kula na kunywa lazima pia kufanyike tendo la kufikiria. Yaani kihisia, yafaa tutafakari kwa urazini mawazoni mwetu utu wa Yesu kama vile alivyoishi, na kazi yake, alivyokufa na kufufuka tena, na kile kazi yake inamaanisha katika msamaha wa dhambi zetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Chakula cha Bwana ni ukumbusho dhabiti kila wakati kwamba ukristo si roho wa kisasa. Haipatani na utu wako wa ndani. Si dhamani ya kiroho. Shina yake ni katika uhakika wa kihistoria kuwa Yesu aliishi, akawa na mwili, na moyo wa kupiga damu na ngozi ya kufunika. Alikufa hadharani kwa msalaba wa Waroma kwa ajili ya wenye dhambi. Yeyote amwaminiye aokolewe kutokana na ghadhabu ya Mungu. Hii ilitendeka mara moja tu katika Historia&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi tendo la kifikira ya chakula cha Bwana ni kumbukumbu la kimsingi bali si kwa ubunifu tu wala ndoto, wala kuelekeza, wala kusikia wala bila kuwa na msimamo. Ni ya kuelekeza mawazo nyuma kwenye historia ya Yesu na tunachokifahamu kumhusu katika Bibilia. Chakula cha Bwana kinatudhibitisha kila wakati kwenye uhakika wa kimsingi kihistoria. Mkate na kikombe. Mwili na Damu. Mateso na Kifo&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 5) Tendo la Kiroho ya chakula cha Bwana ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiki ni cha muhimu. Sababu ni kwamba wasioamini wanaweza fanya kila kitu nilichofafanua hadi sasa. Kwa kweli kama shetani angevaa mwili angeweza fanya. Kula, kunywa na kumbuka. Hakuna chochote kinachohusiana na rohokuhusu hayo. Basi kwa chakula cha Bwana kuwa vile Yesu alivyokusudia, jambo la ziada lazima liwe likitendeka kuliko tu kula, kunywa na kukumbuka. Jambo ambalo haliewezi kutendwa na wasioamini wala shetani.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha nisome sentensi ya maelezo katika (''Elders Affirmation of Faith'' ). Baadaye niwaonyeshe katika bibilia mahali uliotolewa, “''Wanaokula na kunywa kwa njia inayostahili hushiriki mwili wa Kristo na damu Yake, si kimwili bali kiroho kwa hiyo imani wanastawishwa kwa fadhili alizopokea kwenye kifo chake na hivyo kukua na kuimarika kwa imani.”''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mawazo haya ya “Kushiriki mwili wa Kristo na damu . . . kiroho . . . kwa imani” yametoka wapi? Kifungu cha karibu zaidi kuhimiza haya ni katika sura inayotangulia: I Wakorintho 10:16-18 Ninapokisoma jiulize “Ni nini maana ya ‘kushiriki’?” “Kikombe cha baraka tukibarikicho, Je! Si ushirika wa damu ya Kristo?&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
''(koinonia estin tou haimatos tou Christou)? ''mkate ule tuumegao si ushirika wa mwili wa Kristo?''(Ouchi koinonia tou somatos tou Christou estin)?'' Kwa kuwa mkate ni mmmoja sisi tulio wengi tuu mwili mmoja kwa maana sisi sote twapokea sehemu ya ule mkate mmoja. Zingatieni wana wa Israeli, si ni waulao madhabihu ya washiriki kwenye madhabahu? (''Koinonia tou thusiasteriou'')?&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Hapa pana jambo la ndani kuliko ukumbusho. Hapa pana waaminio—wanaotumaini na kuthamini Yesu Kristo-Na Paulo anasema kwamba wanashiriki mwili wa Kristo na damu yake. Kiwazi wanapitia ushirika (koinonia) kwa mwili wake na damu yake wanashuhudia ushirika katika kifoo chake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kushiriki katika damu na mwili wa Kristo kiroho kwa imani ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Naje ushirika huu una maana gani? Kushiriki, kugawana, na ushiririkiano yana maana gani? Nafikiri mstari wa 18 unatupa fikira kwa sababu unatumia neno sawa lakini analilenganisha na ninachotendeka katika dhabibu ya Wayahudi. “Waangalieni hao waisraeli: si wale wanaokula dhabibu Washirika ni kama kisawe kwenye madhabahu?” Nini maana ya washirika/washiriki, wanaoshiriki kwenye madhabahu? Ina maana kuwa wanashirikiana katika au wanafaidika kwa kile kinachoendelea katika madhabahuni. Wanafurahia, kwa mfano, msamaha na urejesho wa ushirika pamoja na Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi naichukua mstari wa 16 na 17 kumaanisha kwamba waumini wanapokula mkate na kunywea kikombe kimwili tunatenda aina nyingine ya kula na kunywa kiroho. Tunala na kunywa—yaani tunaingiza katika maisha yetu—Kilichotendeka kwa msalaba. Kwa Imani—kwa kutumaini ndani ya yote ambayo Mungu yu kwa ajili yetu ndani ya Yesu—tunajistawisha kwa fadhili ambazo Yesu aliyotupokeza kwetu alipotiririsha damu na kufa msalabani.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ndiyo sababu tunawaongoza kwa mtazamo tofauti tofauti kwenye meza la Bwana kila mwezi (amani na Mungu, furaha kwa Yesu, tumaini la usoni, uhuru kutokana na uoga, usalama wakati wa mabaya, muelekeo wakati tumekwama, uponyaji wa magonjwa, ushindi wakati wa majiribio n. k). Kwa kuwa Yesu alipokufa damu yake iliyomwagika na mwili uliovunjika; uliotolewa kwenye kifo chake kwa niaba yetu, alizinunua kila ahadiza mungu. Paulo anasema, “Maana ahadi zote za Mungu zilipo katika yeye ni ndiyo” (2 Wakorintho 1:20) kila kipawa cha Mungu na furaha ya ushirika wetu pamoja na Mungu, tuliupokea kwa damu ya Yesu. Paulo anaposema, “Kikombe kile cha baraka tukibarikicho, si ushirika wa damu ya Kristo? Mkate ule tuuegemeao si ushirika wa mwili wa Kristo? Anaamanisha: Je, si tunashiriki kwenye meza ya Bwana kiroho kupitia imani kila Baraka ya kiroho uliogharamiwa kwa mwili na damu ya Yesu? Hakuna asiyeamini awezaye kufanya hivyo. Shetani hawezi. Ni karama kwa familia. Tunaposherehekea meza ya Bwana, tunasheherekea kiroho kwa imani katika kila ahadi za Mungu zilizonunuliwa kwa damu ya Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 6) Maanani ya kiwakfu kwa Chakula cha Bwana ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Naliunga mkono kile Paulo anasema katika 1 Wakorintho 11: Anawaonya kuwa mkija kwenye Chakula cha Bwana kama shabiki, kwa ghadhabu na bila kujali hii haidhihirishi maanani ya kilichofanyika msalabani. Unaweza ukiwa mwamini kupoteza maisha yako si kwa ghadhabu bali kama tabia ya Mungu Baba ya kutiwa nidhamu. Wacha nisome polepole 1 Wakorintho 11:27-32 tunavyosogea kwa furaha na kumaanisha meza ya Bwana.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Basi kila aulaye mkate huo na kukinywea kikombe hiki cha Bwana isivyostahili atakuwa amejipatia hatia (''kutotumaini na kuweka hazina kwa kipawa cha thamani cha Kristo)'' ya mwili na damu ya Bwana. 28 Lakini mtu ajihoji alafu (''Si kuangalia kama mnastahili bali kuona kama unahiari kughairi ubinafsi na kumtumaini Yesu kwa kile unachohitaji.)'' hivyo aule mkate na kukinywea kikombe. 29 Maana alaye na kunywa, hula na kunywa bila ya kujipambanua (''yaani, bila kuwa mwangalifu kwa mkate huu si kama samaki na keki vile wengine walivyokuwa katika Wakorintho'') hula na hunywa hukumu ya nafsi yake. 30 (''hapa ndipo kuna maana) ''Kwa sababu hiyo wako wengi kwenu walio hawawezi na dhaifu, na watu kadha wa kadha wamelala (''Si kupelekwa jehanamu) mstari ufuatao unaeleza. ''31 Lakini kama tungejipambanua nafsi zetu tusingehukumiwa. 32 Ila kukihukumiwa na Bwana twarudiwa (''Yaani wengineni dhaifu, wagonjwa na wanakufa) ''isije ikatupasa adhabu pamoja na dunia (''Yaani kuenda Jehanamu'')&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Usichukulie chakula cha Bwana kiurahisi. Ni mojawapo wa karama za thamani Kristo ameipatia kanisa. Wacha na tule pamoja.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kwa_nini_na_a_kwa_njia_gani_tunavyosherehekea_meza_ya_Bwana</id>
		<title>Kwa nini na a kwa njia gani tunavyosherehekea meza ya Bwana</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kwa_nini_na_a_kwa_njia_gani_tunavyosherehekea_meza_ya_Bwana"/>
				<updated>2017-08-03T19:45:18Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|Why and How We Celebrate the Lord's Supper}}  &amp;lt;blockquote&amp;gt; Lakini katika kuagiza haya siwasifu ya kwamba mnakusanyika, si kwa faida bali kwa hasara. 18 Kwa maana kwanza mk...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Why and How We Celebrate the Lord's Supper}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Lakini katika kuagiza haya siwasifu ya kwamba mnakusanyika, si kwa faida bali kwa hasara. 18 Kwa maana kwanza mkutanikapo kanisani nasikia kuna faraka kwenu; nami nusu nasadiki 19 Kwa maana lazima kuwapo na uzushi kwenu ili waliokubaliwa wawe dhahiri kwenu 20 Basi mkutanikapo pamoja haiwezekani kula chakula cha bwana. 21 Kwa maana kila mmoja hutangulia kutwaa chakula chake katika kule kula: hata huyu ana njaa na huyu amelewa. 22 Je! Hamna nyumba za kulia na kunywea? Au mnalidharau kanisa la Mungu na kuwatahayarisha hao wasio na kitu? Niwaambieni? Niwasifu? La! 23 Kwa maana mimi nalipokea kwa Bwana niliyowapa nanyi, ya kuwa Bwana Yesu usiku ule aliotolewa alitwaa mkate. 24 Naye akiisha kushukuru akaumega akasema, “Huu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.” 25 Na vivi hivi baada ya kula akakitwaa kikombe akisema, “kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu; fanyeni hivi kila mnywapo kwa ukumbusho wangu.” 26 Maana kila mwalapo mkate huu na kukinywea kikombe hiki, mwaitangaza mauti ya Bwana hata ajapo. 27 Basi kila aulaye mkate huo au kukinywea kikombe hicho cha Bwana isivyostahili atakuwa amejipatia hatia ya mwili na damu ya Bwana. 28 Lakini mtu ajihoji mwenyewe ni hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe. 29 Maana alaye na kunywa, hula na kunywa hukumu ya nafsi yake, kwa kutokuupambanua ule mwili. 30 Kwa sababu hiyo wako wengi kwenu walio hawawezi na dhaifu, na watu kadha wa kadha wamelala. 31 Lakini kama tungejipambanua nafsi zetu, tusingehukumiwa. 32 Ila tuhukumiwapotwarudiwa na Bwana, isije ikatupasa adhabu pammoja na dunia. 33 Kwa hivyo, ndugu zangu mkutanikapo mpate kula, mngojaneni. 34 Mtu akiwa na njaa, na ale nyumbani kwake, msipate kukutanika kwa hukumu. Na hayo yaliosalia nijapo nitayatengeneza.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Kabla ya kurejea Warumi wiki ijayo (Bwana akipenda) nafikiri ni vyema kwetu tuweke chakula cha Bwana Kibibilia na kuelekeza mtazamo wetu kwa nini na jinsi gani tunavyohifadhi utawazo huu. Leo tutaweka ujumbe kwanza hatimaye kuwaelekeza kwenye chakula cha Bwana kwa mafundisho.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Baada ya Bibilia, ambayo ni msingi wenye hakika katika maisha yetu na kanisa letu; mmoja ya stakabadhi muhimu katika maisha ya kanisa letu ni ''(Bethlehem Baptist Church Elder Affirmation of Faith)'''.'''''Ninahimiza kila mmoja wenu kuisome. Unaweza kuiona katika Mtandao wa kanisa au mtandao wa ''Desiring God''. Aya ya 12.4 inapeana muhtasari ya mafundisho wa kile tunacho amini na kufunza kuhusu chakula cha Bwana.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
''Tunaamini kuwa chakula cha Bwana kimetawazwa na Bwana ambacho mkusanyiko wa Waumini hula mkate, kufananisha mwili wa Kristo uliopewa kwa watu wake, na kunywa kwa kikombe cha Bwana, kufananisha agano jipya katika damu ya Kristo. Tunafanya haya kama ukumbusho wa Bwana, na hivyo kutangaza kifo chake hadi atakaporudi. Wanaokula na kunywa kwa njia inayostahili hushiriki mwili wa Kristo na damu yake, sio kimwili bali kiroho, ili kwamba kwa imani, wanastawishwa kwa fadhili alizopokea kupitia kifo chake na hivyo kukua kwa neema''.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Nitajaribu kupeana msingi wa kibibilia kwa ajili ya kufahamu chakula cha Bwana kwa vichwa sita: 1) Asili ya kihistoria; 2) Wanaoshiriki wanaoamini; 3) Tendo la kimwili; 4) Tendo la kimawazo; 5) Tendo la kiroho; 6) Maanani kiwakfu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1) Asili ya kihistoria ya karamu ya Bwana ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;amp;lt;p&amp;amp;gt;Injili ya Mathayo (26:26ff), Mariko (14:22ff) Na Luka (22:14ff) zinatoa habari kuhusu Karamu ya Mwisho ambayo Yesu alikula pamoja na wanafunzi wake usiku kabla ya kifo chake. Yote inaeleza Yesu kushukuru au kubariki mkate na kikombe, na kuwapa wanafunzi akisema kuwa mkate ni mwili na kikombe ni damu ya agano au agano jipya katika damu yake. Katika Luka 22:19 Yesu anasema, “fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.” Injili ya Yohana haijatoa habari kuhusu kukula na kunywa bali mafundizo na matendo ambayo yalijawa kwenye jioni hiyo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ijapokuwa umbali gani tunaweza sema kwa rekodi za kale kanisa lilifanya kile Yesu alisema: waliitekeleza karamu kama ukumbusho wa Yesu na kifo chake. Nyaraka za Paulo ndizo ushuhuda wa kwanza kabisa tulizo nazo na katika I Wakorintho 11:20 anamaanisha tukio katika uzima wa kanisa liitwalo “Karamu ya Bwana.” huitwa “Karamu ya Bwana.” kwa sababu ulianzishwa na kutawazwa na Bwana Yesu na aana yake halisi ni kusherehekea ukumbusho wa kifo cha Bwana. Paulo anasema kwenye I Wakorintho 11:23-24 “Kwa maana mimi nalipokea kwa Bwana niliowapa nanyi ya kuwa Bwana Yesu usiku ule aliyosalitiwa alitoa mkate, naye akisha kushukuru akaumega, akasema “Huu ndio mwili wangu uliyo kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu” “Mimi nalipokea kwa Bwana . . . ” Pengine inamaanisha kwamba Bwana mwenyewe alimdhibitishia Paulo (ambaye hakuwa mmoja wa wanafunzi siku hiyo ya Pasaka) kwamba kile wengine waliripoti kuhusu Pasaka hakika kilitendeka.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo asili ya historia ya Karamu ya Bwana ni hicho chakula cha mwisho ambayo Yesu na wanafunzi walikula usiku kabla ya kusulubishwa. Maana na kitendo hiki kina shina kwa kile Yesu alisema na kufanya katika usiku huo wa mwisho. Yesu mwenyewe ndiye chimbuko cha chakula cha Bwana. Aliamuru kwamba kiendelee na yeye ndiye tegemeo na muhusika ndani yake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2) Washiriki wanachokiamini chakula cha Bwana ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Chakula cha Bwana ni kitendo cha mkusanyiko wa familia ya walioamini Yesu, yaani Kanisa. Si kitendo cha wasioamini. Wasioamini wanaweza kuwepo—kwa kweli, tunawakaribisha—hakika hakuna kilichositirika kuhusu chakula cha Bwana. Hufanyika hadharani. Ina maana dhahiri. Si la siri, tambiko uliojawa nguvu za uganga. Ni kitendo cha hadharani cha kuabudu kwa mkusanyiko wa kanisa. Hakika katika I Wakorintho 11:26 Paulo anasema, “Maana kila mlapo mkate huu na kukinywea kikombe hiki mwaitangaza mauti ya Bwana hata ajapo.” Sasa basi kuna hali ya kutangaza hadharani kwa chakula hicho. Kutangaza hadharani, si kwa siri ni barua ya onyesho.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hatukatazi kushikiri chakula cha Bwana kwa mtu yeyote kwenye chumba cha uuguzi au hospitalini lakini sherehe hiyo ya ubinafsi ni ya aina yake, si maadili ya kibibilia. Mara tano katika I Wakorintho 11, Paulo ananena kwa kanisa, “Kujumuika pamoja” wanaposhiriki meza ya Bwana. Mstari wa 17b “Mnapokusanyika si kwa faida bali kwa hasara.” Mstari wa 18: “Kwa maana kwanza mkutanikapo kama kanisa nasikia kuwa kuna faraka kati yenu.” Mstari wa 20 “Basi mkutakinapo haiwezekani kula chakula cha Bwana” Mstari wa 33 “basi mkutanikapo kula mngojane.” Mstari wa 34 “Mtu akiwa na nja na ale nyumbani mwake,msipatane kukutana kwa hukumu.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa maneno mengine ni ya kuwa walikuwa wakidunisha chakula cha Bwana kwa kukiunganisha kwa Karibu na chakula chao cha kawaida. Wengine walikuwa na chakula kingi bali wengine hawakuwa nacho. Basi akasema Kuleni chakula chenu nyumbani na mje pamoja kula chakula cha Bwana. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tazama neno &amp;quot;Kanisa&amp;quot; katika mstari wa 18: “Kwa maana mkutanikapo kama kanisa.&amp;quot; yaani mwili wa Kristo mkutano wa wafwasi wa Yesu. Walioacha na vinyago na kumtumaini Kristo pekee yake, kwa msamaha wa dhambi, tumaini la uzima wa milele na faraja ya nafsi zao. Wao ndio Wakristo. Basi washirikio chakula cha Bwana ni waumini waliokusanyika katika Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 3) Matendo ya kimwili ya Chakula cha Bwana ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tendo la kimwili la chakula cha Bwana si kula Chakula aina ya nyingi. Ni rahisi sana. Ni kula mkate na kunywea kikombe mstari wa 23b-25. “Alitwaa mkate naye akisha kushukuru akaumega akasema.“ huu ndio mwili wangu ulio kwa ajili yenu, fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.” Vile vile akakitwaa kikombe akasema kikombe hiki ni agano jipya katika damu fanyeni hivi kila mnywapo kwa ukumbusho wangu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hakuna kitu kilichotengwa maalum kuhusu aina ya mkate au jinsi ya kuumega. Maelezo ya pekee kuhusu kilichokuwa kwenye kikombe yapatikana katika kila mstari mmoja wa Mathayo, Mariko na Luka “nawaambieni sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa upya, pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu” (Mathayo 26:29); cf. Mariko 14:25; Luka 22:18). Basi unaitwa (uzao wa mzabibu). Sidhani yafa a kushughulika kuwa ilikuwa sharubati au kileo kilichotumika. Hakuna chochote kwenye aya hii kinachoamrisha au kukataza kimoja au kingine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kinachofaa kushughulikiwa ni kuhusu mabadiliko ya kimzaha—tuseme mkate umbo pete na kinywaji cha (coke) Kando ya moto uliowashwa kambini. Chakula cha Bwana si cha kuchezea. Yafaa kuisherehekea kwa hisia dhabiti ambayo—ambayo tutanena kwayo hivi punde.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Naweza pia kutaja tu kwa kupitia kwamba hakuna chochote katika agano jipya kuhusu mara ngapi yafaa chakula cha Bwana. Wengine huamini ni vyema kushiriki kila wiki, wengine washiriki katika robo ya mwaka, n. k. Sisi kwetu tu katikati na kwa kawaida tunasherehekea katika Jumapili ya kwanza ya kila mwezi. Nafikiri tuko huru katika jambo hili; na swali linaloibuka ni mojawapo 1) Je mara ngapi yalengana na umuhimu wake hasa kwa uhusiano katika huduma ya neno la Mungu? 2) Mara ngapi hutusaidia tuhisi umuhimu wake kwetu bila kutukwaza kwa kukosa maana? Haya si maamuzi rahisi kufanya na makanisa tofauti tofauti hufanya kwa njia tofauti tofauti.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 4) Tendo la kufikiria (Hisia) la chakula cha Bwana ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mawazo ya wanaoshirikli chakula cha Bwana ni kulenga fikira za kwa Yesu na haswa kazi yake ya kihistoria kwa kutufia dhambi zetu. Mistari ya 24 na 25: “Yafanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.” Tunavyotenda tendo la kimwili ya kula na kunywa lazima pia kufanyike tendo la kufikiria. Yaani kihisia, yafaa tutafakari kwa urazini mawazoni mwetu utu wa Yesu kama vile alivyoishi, na kazi yake, alivyokufa na kufufuka tena, na kile kazi yake inamaanisha katika msamaha wa dhambi zetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Chakula cha Bwana ni ukumbusho dhabiti kila wakati kwamba ukristo si roho wa kisasa. Haipatani na utu wako wa ndani. Si dhamani ya kiroho. Shina yake ni katika uhakika wa kihistoria kuwa Yesu aliishi, akawa na mwili, na moyo wa kupiga damu na ngozi ya kufunika. Alikufa hadharani kwa msalaba wa Waroma kwa ajili ya wenye dhambi. Yeyote amwaminiye aokolewe kutokana na ghadhabu ya Mungu. Hii ilitendeka mara moja tu katika Historia&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi tendo la kifikira ya chakula cha Bwana ni kumbukumbu la kimsingi bali si kwa ubunifu tu wala ndoto, wala kuelekeza, wala kusikia wala bila kuwa na msimamo. Ni ya kuelekeza mawazo nyuma kwenye historia ya Yesu na tunachokifahamu kumhusu katika Bibilia. Chakula cha Bwana kinatudhibitisha kila wakati kwenye uhakika wa kimsingi kihistoria. Mkate na kikombe. Mwili na Damu. Mateso na Kifo&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 5) Tendo la Kiroho ya chakula cha Bwana ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiki ni cha muhimu. Sababu ni kwamba wasioamini wanaweza fanya kila kitu nilichofafanua hadi sasa. Kwa kweli kama shetani angevaa mwili angeweza fanya. Kula, kunywa na kumbuka. Hakuna chochote kinachohusiana na rohokuhusu hayo. Basi kwa chakula cha Bwana kuwa vile Yesu alivyokusudia, jambo la ziada lazima liwe likitendeka kuliko tu kula, kunywa na kukumbuka. Jambo ambalo haliewezi kutendwa na wasioamini wala shetani.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha nisome sentensi ya maelezo katika (''Elders Affirmation of Faith'' ). Baadaye niwaonyeshe katika bibilia mahali uliotolewa, “''Wanaokula na kunywa kwa njia inayostahili hushiriki mwili wa Kristo na damu Yake, si kimwili bali kiroho kwa hiyo imani wanastawishwa kwa fadhili alizopokea kwenye kifo chake na hivyo kukua na kuimarika kwa imani.”''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mawazo haya ya “Kushiriki mwili wa Kristo na damu . . . kiroho . . . kwa imani” yametoka wapi? Kifungu cha karibu zaidi kuhimiza haya ni katika sura inayotangulia: I Wakorintho 10:16-18 Ninapokisoma jiulize “Ni nini maana ya ‘kushiriki’?” “Kikombe cha baraka tukibarikicho, Je! Si ushirika wa damu ya Kristo?&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
''(koinonia estin tou haimatos tou Christou)? ''mkate ule tuumegao si ushirika wa mwili wa Kristo?''(Ouchi koinonia tou somatos tou Christou estin)?'' Kwa kuwa mkate ni mmmoja sisi tulio wengi tuu mwili mmoja kwa maana sisi sote twapokea sehemu ya ule mkate mmoja. Zingatieni wana wa Israeli, si ni waulao madhabihu ya washiriki kwenye madhabahu? (''Koinonia tou thusiasteriou'')?&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Hapa pana jambo la ndani kuliko ukumbusho. Hapa pana waaminio—wanaotumaini na kuthamini Yesu Kristo-Na Paulo anasema kwamba wanashiriki mwili wa Kristo na damu yake. Kiwazi wanapitia ushirika (koinonia) kwa mwili wake na damu yake wanashuhudia ushirika katika kifoo chake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kushiriki katika damu na mwili wa Kristo kiroho kwa imani ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Naje ushirika huu una maana gani? Kushiriki, kugawana, na ushiririkiano yana maana gani? Nafikiri mstari wa 18 unatupa fikira kwa sababu unatumia neno sawa lakini analilenganisha na ninachotendeka katika dhabibu ya Wayahudi. “Waangalieni hao waisraeli: si wale wanaokula dhabibu Washirika ni kama kisawe kwenye madhabahu?” Nini maana ya washirika/washiriki, wanaoshiriki kwenye madhabahu? Ina maana kuwa wanashirikiana katika au wanafaidika kwa kile kinachoendelea katika madhabahuni. Wanafurahia, kwa mfano, msamaha na urejesho wa ushirika pamoja na Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi naichukua mstari wa 16 na 17 kumaanisha kwamba waumini wanapokula mkate na kunywea kikombe kimwili tunatenda aina nyingine ya kula na kunywa kiroho. Tunala na kunywa—yaani tunaingiza katika maisha yetu—Kilichotendeka kwa msalaba. Kwa Imani—kwa kutumaini ndani ya yote ambayo Mungu yu kwa ajili yetu ndani ya Yesu—tunajistawisha kwa fadhili ambazo Yesu aliyotupokeza kwetu alipotiririsha damu na kufa msalabani.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ndiyo sababu tunawaongoza kwa mtazamo tofauti tofauti kwenye meza la Bwana kila mwezi (amani na Mungu, furaha kwa Yesu, tumaini la usoni, uhuru kutokana na uoga, usalama wakati wa mabaya, muelekeo wakati tumekwama, uponyaji wa magonjwa, ushindi wakati wa majiribio n. k). Kwa kuwa Yesu alipokufa damu yake iliyomwagika na mwili uliovunjika; uliotolewa kwenye kifo chake kwa niaba yetu, alizinunua kila ahadiza mungu. Paulo anasema, “Maana ahadi zote za Mungu zilipo katika yeye ni ndiyo” (2 Wakorintho 1:20) kila kipawa cha Mungu na furaha ya ushirika wetu pamoja na Mungu, tuliupokea kwa damu ya Yesu. Paulo anaposema, “Kikombe kile cha baraka tukibarikicho, si ushirika wa damu ya Kristo? Mkate ule tuuegemeao si ushirika wa mwili wa Kristo? Anaamanisha: Je, si tunashiriki kwenye meza ya Bwana kiroho kupitia imani kila Baraka ya kiroho uliogharamiwa kwa mwili na damu ya Yesu? Hakuna asiyeamini awezaye kufanya hivyo. Shetani hawezi. Ni karama kwa familia. Tunaposherehekea meza ya Bwana, tunasheherekea kiroho kwa imani katika kila ahadi za Mungu zilizonunuliwa kwa damu ya Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 6) Maanani ya kiwakfu kwa Chakula cha Bwana ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Naliunga mkono kile Paulo anasema katika 1 Wakorintho 11: Anawaonya kuwa mkija kwenye Chakula cha Bwana kama shabiki, kwa ghadhabu na bila kujali hii haidhihirishi maanani ya kilichofanyika msalabani. Unaweza ukiwa mwamini kupoteza maisha yako si kwa ghadhabu bali kama tabia ya Mungu Baba ya kutiwa nidhamu. Wacha nisome polepole 1 Wakorintho 11:27-32 tunavyosogea kwa furaha na kumaanisha meza ya Bwana.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Basi kila aulaye mkate huo na kukinywea kikombe hiki cha Bwana isivyostahili atakuwa amejipatia hatia (''kutotumaini na kuweka hazina kwa kipawa cha thamani cha Kristo)'' ya mwili na damu ya Bwana. 28 Lakini mtu ajihoji alafu (''Si kuangalia kama mnastahili bali kuona kama unahiari kughairi ubinafsi na kumtumaini Yesu kwa kile unachohitaji.)'' hivyo aule mkate na kukinywea kikombe. 29 Maana alaye na kunywa, hula na kunywa bila ya kujipambanua (''yaani, bila kuwa mwangalifu kwa mkate huu si kama samaki na keki vile wengine walivyokuwa katika Wakorintho'') hula na hunywa hukumu ya nafsi yake. 30 (''hapa ndipo kuna maana) ''Kwa sababu hiyo wako wengi kwenu walio hawawezi na dhaifu, na watu kadha wa kadha wamelala (''Si kupelekwa jehanamu) mstari ufuatao unaeleza. ''31 Lakini kama tungejipambanua nafsi zetu tusingehukumiwa. 32 Ila kukihukumiwa na Bwana twarudiwa (''Yaani wengineni dhaifu, wagonjwa na wanakufa) ''isije ikatupasa adhabu pamoja na dunia (''Yaani kuenda Jehanamu'')&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Usichukulie chakula cha Bwana kiurahisi. Ni mojawapo wa karama za thamani Kristo ameipatia kanisa. Wacha na tule pamoja.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kwa_nini_mahubiri_ya_ufafanuzi_inamtukuza_Mungu_hasa</id>
		<title>Kwa nini mahubiri ya ufafanuzi inamtukuza Mungu hasa</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kwa_nini_mahubiri_ya_ufafanuzi_inamtukuza_Mungu_hasa"/>
				<updated>2017-08-02T19:55:20Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Kwa nini mahubiri ya ufafanuzi inamtukuza Mungu hasa&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Why Expositional Preaching Is Particularly Glorifying to God}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna sehemu nne wa ujumbe huu. Kwanza nitatafakari juu ya aina ya mahubiri ambaye natumahi kuona Mungu akiinua wakati huu—aina ambayo umeumbwa kwa uzito wa utukufu wa Mungu. Pili, nitajaribu kuonyesha utukufu wa Mungu, ambayo huakikisha kuhubiri kwa njia hii. Tatu, nitatoa ufahamu wangu wa bibilia jinsi watu huamkia kwa utukufu huu na jinsi wanavyobadilishwa kuipitia. Hatimaye, nitaeleza jinsi hayo yote hutoa mwito kwa aina ya mahubiri ninayoita ufafanuzi wa shangwe. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tafakari juu ya aina ya mahubiri iliyotolewa na uzito wa utukufu wa Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
George Whitefield aliamini katika kuhubiri na alitoa maisha yake kwa hiyo. Kwa mahubiri aina hii Mungu alifanya kazi kuu yawokovu kwa pande zote za Atlantiki. Mwandishi wa habari ya maisha yake, Arnold Dallimore, alitunga matokeo ya kushangaza na ambazo mahubiri ya Whitefield yaliweza kutekeleza nchini Uingereza na Marekani katika karne ya kumi na nane. Ilikuja kama mvua juu ya nchi kavu na kufanya jangwa kuinuka na maua ya haki. Dallimore aliinua mayo yake katika nyika yaliogeuzwa katika nyakati za Whitefield na kudhihirisha hamu yake kuwa Mungu atafanya hivyo tena. Maneno yake yananisaidia kueleza yale ninayotamani katika vizazi zijazo vya wahubiri nchini Marekani na katika dunia kote. Alisema, &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;amp;gt; Naam . . . kwamba tutaona mkuu mkubwa wa Kanisa mara nyingine tena . . . akiinua kwake vijana Fulani ambao atawatumia katika huu jukumu wenye utukufu. Na hao watakuwa watu wa aina gani? Mashujaa katika maandiko, ambao maisha yao yanaongozwa na hisia ya ukuu, utukufu na utakatifu wa Mungu, na akili zao na mioyo zinan’gaa kwa ukweli mkubwa wa mafundisho ya neema. Nao watakuwa watu ambao wamejifunza nini maana ya kufa kwa ubinafsi, kwa malengo ya binadamu na matarajio ya binafsi; watu ambao wako tayari kuwa ‘wapumbavu kwa ajili ya Kristo’, ambao watabeba [na kuvumilia] lawama na uwongo, ambao watafanya kazi na kuteseka, ambao hamu yao kuu itakuwa, si kwa ajili ya kupata sifa za dunia, lakini kushinda kibali ya Bwana wakati watakapojitokeza mbele ya kiti cha hukumu ambayo inatisha. Watakuwa watu ambao wanahubiri kwa mioyo iliyovunjika na macho yalijawa na machozi, na mbao katika huduma wao Mungu atatoa mwagiko wa ajabu wa Rogo Mtakatifu, na ambao watashudia ‘ishara na maajabu zikifuata’ katika ubadilishwaji wa umati wa maisha ya binadamu.&amp;lt;sup&amp;gt;1&amp;lt;/sup&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hodari katika maandiko, kun’gaa katika ukweli mkubwa wa mafundisho wa neema, kifo kwa ubinafsi, ambao wana nia ya kufanya kazi na hata kuteseka, wasiopenda heshima za binadamu, kuvunjika kwa ajili ya dhambi, na ''kuongozwa kwa hisia za ukuu, na uwezo mkuu, na utakatifu wa Mungu.'' Dallimore, kama Whitefield, aliamini kwamba kuhubiri ni kueneza neon la Mungu kupitia katika moyo wa aina hiyo. Kuhubiri sio mazungumzo. Kuhubiri sio mjadala. Kuhubiri sio majadiliano wa kawaida kuhusu mambo ya dini. Kuhubiri sio tu kufundisha. Kuhubiri ni uenezo wa ujumbe iliyopenywa na hisia ya ukuu na utukufu na utakatifu wa Mungu. Mada inaweza kuwa chochote chini ya jua, lakini daima inaletwa katika mwanga mkali wa ukuu wa Mungu na utukufu wa neon lake. Hivyo ndivyo Whitefield alivyohubiri. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Katika karne iliyopita hakuna aliyekuwa na mtazamo huo bora kuliko Martin Lloyd-Jones, ambaye alihudumu katika Chapel ya Westminster kule London kwa miaka 30. Wakati J.I. Packer alipokuwa mwanafunzi mwenye miaka ishirini—na—miwili, alimsikia Lloyd-Jones akihubiri kila jioni ya Jumapili katika London wakati wa mwaka wa shule wa 1948-1949. Alisema kwamba “kamwe hakuwa amewahi sikia mahubiri kama hayo.” (Hiyo ndio maana watu wengi husema mambo mengi yanayokanusha na wenye ujinga mwingi kuhusu kuhubiri—maanake hawajawahi sikia mahubiri ya ukweli. Hawana msingi wa kufanya uamuzi kuhusu umuhimu wa mahubiri ya ukweli) Packer alisema ilikuja kwake “kwa nguvu ya mshtuko wa umeme, ikileta . . . zaidi ya hisia ya Mungu kulik mtu mwingne yeyote” aliyekuwa amejua.&amp;lt;sup&amp;gt;2&amp;lt;/sup&amp;gt; Hiyo ndio Whitefield alimaanisha. Oh, kwamba Mungu atainua wahubiri wachanga ambao watawaacha wasikilizaji wao na hisia ya mshtuko wa kiroho kwa kuhisi Mungu—kiasi cha hisia wa uzito wa ukweli wa Mungu usiopimika. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiyo ndiyo hamu yangu kwa siku zetu—na kwenu pia. Kwamba Mungu atainua maelfu ya mahubiri waliovunjika moyo, walioloweka na bibilia na utakatifu wa Mungu, uliofunuliwa katika injili ya Kristo aliyesulubiwa na kufufuka na anatawala kwa mamlaka kamili juu ya kila taifa na kila jeshi na kila dini na kila gaidi na kila tsunami na kila kiini cha saratani, na kila 'galaxy' katika ulimwengu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu hakuagiza msalaba wa Kristo au kuunda ziwa la moto&amp;lt;sup&amp;gt;3&amp;lt;/sup&amp;gt; ili kuwasilisha udhaifu wa kumwasi utukufu wake. Mauti wa Mwana wa Mungu na hukumu wa wale wasiotubu ndio sauti kubwa zaidi chini ya mbingu kwamba Mungu ni takatifu, na dhambi ina vikwaso mengi, na gadhabu ni haki, na neema ni ya thamani kubwa, na maisha yetu fupi—na maisha ya kila mtu katika kanisa au jamii yako—inaelekeza katika furaha ya milele au mateso ya milele. Ikiwa mahubiri yetu hayabebi uzito wa mambo hayo kwa watu wetu, ni nini itazibeba? Veggie tales? Redio? Televisheni? Vikundi vya majadiliano? Mazungumzo yanayoibuka? &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu alipanga kusulubishwa kwa Mwana wake (Ufunuo 13:8; 2 Timotheo 1:9) na jehanamu kuwa mbaya (Matayo 25:41) ili kwamba tuwe na ushahidi wazi uwezekanavyo ya yaliyo hatarini tunapo hubiri. Kinachopatia mahubiri uzito wake ni kwamba vazi ya mhubiri imeloweka katika damu ya Yesu na kutoteketezwa na moto wa Jehanamu. Huo ndio joho ambao hubalisha waongeaji kuwa wahubiri. Hata hivyo inasikitisha kwamba baadhi ya sauti ya wainjilisti maarufu wa wakati huu hupunguza hofu wa msalaba na hofu wa Jehanamu—mojawapo ambao umeviliwa uwezo wake wa kubeba adhabu yetu, na wengine hudanganywa katika mambo maovu na taabu za kijamii katika dunia hii.&amp;lt;sup&amp;gt;4&amp;lt;/sup&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Oh kwamba vizazi vijavyo viweze kuona kwamba dunia haujapitwa na hisia za uzito kuhusu Mungu. Hakuna mfuririko wa hali ya utukufu wa Mungu kanisani. Hakuna ziada ya bidii kanisani kuhusu bingu, na jehanamu, na dhambi na wokovy. Hivyo basi furaha ya wakristo wengi una wembamba wa karatasi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mamilioni ya watu wanajifurahisha hadi kifo kupitia DVD, televisheni wenye skirini wa inchi 107, na michezo katika simu za rununu, na ibada wenye umbo wa michezo wa kuigiza, wakati wasemaji wa dini kubwa duniani wanaandika mabarua Magharibi katika machapisho makuu wakisema, “Jambo la kwanza tunalowaitia ni Uislamu . . . ndio dini ya kuunganisha mema na kupiga marufuku maovu kwa mkono, ulimi na moyo. Ni dini ya jihadi katika njia za Allah, ili Neno la Allah na dini utawale zaidi.” &amp;lt;sup&amp;gt;5&amp;lt;/sup&amp;gt;Na kisha wasemaji hao huwabariki hadharani walipuaji wa kujiua ambao hulipua watoto mbele ya maduka ya Falafel na kuiita njia ya paradise. Hiyo ndiyo dunia ambayo tunahubiri ndani yake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na bado, kwa njia isiyoeleweka, katika huu enzi wa udunishaji wa Kristo, uharibifu wa mioyo, vitabu na semina na shule za uungu na wataalamu wa ukuaji wa kanisa wanazidi kuambia wachungaji wachanga, “jifurahishe.” “Chekesha watu.” “furahisha watu.” Kwa hayo ninauliza, Wapi roho ya Yesu? “Mtu ye yote akitaka kunifuata, ni lazima ajikane mwenyewe na auchukue msalaba wake, anifuate. Kwa maana ye yote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata” (Matayo 16:24-25). “Jicho lako la kuume likikufanya utende dhambi, ling'oe ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima utupwe jehanam” (Matayo 5:29). “Vivyo hivyo, ye yote miongoni mwenu ambaye hawezi kuacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi Wangu” (Luka 14:33). “Mtu ye yote anayekuja kwangu hawezi kuwa mwanafunzi wangu kama hatanipenda mimi zaidi ya baba yake na mama yake, mke wake na watoto, ndugu zake na dada zake, naam, hata maisha yake mwenyewe” (Luka 14:26). “Nifuate, nawe waache wafu wazike wafu wao.” (Matayo 8:22). “Na ye yote anayetaka kuwa wa kwanza, hana budi kuwa mtumwa wa wote” (Mariko 10:44). “Mwogopeni yeye awezaye kuiangamiza roho na mwili katika jehanam” (Matayo 10:28). “Mtasalitiwa hata na wazazi, ndugu, jamaa na marafiki na baadhi yenu watawaua. Mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya Jina langu. Lakini hapatakuwa na unywele mmoja wa kichwa chenu utakaoangamia. Kwa kuvumilia mtaokoa roho zenu” (Luka 21:16-19). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je shauri kwa Yesu kuhusu ukuaji wa kanisa inaweza kuwa, “jifurahishe, Yesu. Fanya mambo yenye vichekesho.” Na kwako wewe mchungaji mchanga: “Lolote ufanyalo, usiwe kama Yesu wa Injili. Jifurahishe.” Kwa mtazamo wangu, ambao unajiskia kuwa karibu na milele siku hizi, ujumbe huo kwa wachungaji inazidi kuonekana kama wazimu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Dhihirisho wa utukufu wa Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Unachoamini juu ya umuhimu wa kuhubiri na asili ya kuhubiri unaongozwa na hisia wako kuhusu ukuu na utukufu wa Mungu na unachoamini kuhusu jinsi watu huamshwa kwa huo utukufu na kuiishia huo utukufu. Hivyo sehemu inayofuata inatoa igizo ya utukufu wa Mungu, na wa tatu utashughulikia jinsi watu huamkia utukufu huo na kabadilishwa nayo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuanzia mwanzo hadi mwisho hakuna chochote katika Biblia ambayo imo katika mawazo na moyo wa Mungu kuliko utukufu wa Mungu—uzuri wa Mungu, mng’ao mbalimbali wa ukamilifu wake. Kwa kila hatua katika matendo ya Mungu uliofunuliwa, popote anapobainisha kwa wazi lengo lake kuu wa tendo huo, lengo huo huwa sawa: kuzingatia na kuonyesha utukufu wake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Alituteua awali kwa ajili ya utukufu wake (Waefeso 1:6).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Alituumba kwa ajili ya utukufu wake (Isaya 43:7).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Alichagua Israeli kwa ajili ya utukufu wake (Yeremia 13:11).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Aliwaokoa watu wake kutoka Misri kwa ajili ya utukufu wake (Zaburi 106:8).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Aliwaokoa kutoka uhamishoni kwa ajili ya utukufu wake (Isaya 48:9-11).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Alimtuma Kristo ulimwenguni, ili watu wa mataifa mengine wangemsifu Mungu kwa ajili ya utukufu wake (Warumi 15:9).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Anaamuru watu wake, wawe wanakunywa au kula, kufanya mambo yote kwa ajili ya utukufu wake (1 Corinthians 10:31).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Atamtuma Yesu mara ya pili ili kwamba wote waliokombolewa watastaajabishwa na utukufu wake (2 Wathesalonika 1:9-10).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo basi utume wa kanisa ni: “Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa, matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote&amp;quot; (Zaburi 96:3). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Haya na maeneo mengine zaidi ya mia hutuelekeza hadi ukingoni mwa utii kwa Mungu. Hakuna chochote kinachoathiri kuhubiri kwa undani kuliko karibu kuwa bubu—karibu —kwa shauku ya Mungu kwa ajili ya utukufu wa Mungu. Ilioko wazi katika uzima wa ufunuo mbalimbali wa biblia ni kwamba hatimaye utii wa Mungu ni kujijua mwenyewe kikamilifu, na kujipenda mwenyewe bila kikomo, na kushirikishana uzoefu huu, jinsi inavyowezekana, pamoja na watu wake. Juu ya kila tendo la Mungu kunapepea bendera huu: “Kwa ajili yangu mwenyewe, kwa ajili yangu mwenyewe, nafanya hili. Kwa jinsi gani niliache jina langu lichafuliwe? Sitautoa utukufu wangu kwa mwingine&amp;quot; (Isaya 48:11; cf. 42:8). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tangu milele yote, Mungu aishie milele, ambaye kamwe hakuwi, na ambaye daima ni kamilifu, amejijua na kupenda kile ambacho ajuayo. Milele ameuona uzuri wake na kuonja yale aonayo. Kuelewa kwake kwa kuwepo kwake ni kamili na uchangamfu wake katika kufurahia haina kipimo. Yeye hana mahitaji, maanake hana dosari. Hana upendeleo kwa maovu kwa sababu hana upungufu ambao unaweza kumletea jaribio la kutenda uovu. Yeye basi ni umbe kilicho takatifu sana na chenye furaha zaidi ambayo inaweza kufikiriwa. Hatuwezi fahamu juu ya furaha ulio kuu kuliko furaha ya uweza usiokoma unaofurahisha bila kikomo katika uzuri wa ushirika wa kibinafsi ya utatu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kushiriki katika hali hii—hali ya kufahamu na kufurahia utukufu wake—ndiyo sababu Mungu aliuumba dunia. Atatufanya tumjue na kumfurahia jinsi alivyojijua na vile anavyojifurahia. Kwa kweli lengo lake ni kuwa huo ufahamu aliyo nayo kwaye na furaha aliyo nayo ndani mwake itakuwa ufahamu wetu na furaha yetu, ndipo tumjue kwa ufahamu wake na tumfurahie katika furaha yake. Hii ndio maana kamili ya ombi la Yesu katika Yohana 17:26 pahali anamuuliza Babake “ili upendo ule unaonipenda Mimi uwe ndani yao na Mimi mwenyewe nipate kuwa ndani yao.” Ufahamu wa Baba na furaha katika mng’ao wa utukufu wa Mwana—ambaye Jina Lake na Yesu Kristo (Waebrania 1:3)—atakuwa ndani yetu kwa sababu Yesu yu ndani mwetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na ukiuliza, Mungu anapanga kushiriki aje hali hii (ya kujifahamu na kujifurahisha), linganisha na ''upendo ''wa Mungu, jibu ni: Lengo lake la kushiriki tukio hilo ni upendo Wake. Upendo wa Mungu ni juhudi yake ya kushiriki ufahamu na furaha ya utukufu wake pamoja nasi. Yohana anaposema Mungu ni upendo (Yohana 4:8, 16), anamaanisha kuwa ni umbile wa Mungu kushiriki furaha ya utukufu wake, hata kama inamgharimu uhai wa Mwanawe. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii inamaanisha kwamba kusudio la Mungu kuonyesha utukufu wake na furaha yetu katika utukufu huo yanaambatana. Huwezi kumcha kabisa kile ambacho hukifurahii. Mungu hatukuzwi kwa yote kwa kujulikana tu; anatukuzwa kwa kujulikana na kufurahiwa kwa undani sana mpaka maisha yetu inakuwa onyesho la thamani yake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu alisema vitu viwili ili kisisitiza jukumu lake katika kutupatia ufahamu na furaha ya Mungu. Alisema “Hakuna amjuaye Baba ila Mwana na yeyote ambaye Mwana anampenda kumdhihirishia Baba kwake” (Mathayo 11:27). Na akasema, “Nimewaambia mambo haya ili furaha yangu iwe ndani yenu na furaha yenu iwe kamili” (Yohana 15:11) kwa maneno mengine tunamjua Baba ''kupitia ufahamu wa Mwana'', na tunafurahia Baba ''kupitia furaha ya Mwana''. Yesu alitufanya washiriki wa ufahamu na furaha wake kwa Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
 Njia hii inadhihirika katika dunia si tu sana kupitia matendo ya ukakamavu ya ibada ya kijumla ya Jumapili asubuhi—vile nyakati hizo ni za thamani—lakini kupitia mabadiliko zinazoleta maishani mwetu. Yesu alisema, “Vivyo hivyo, nuru yenu iangaze mbele za wa watu, ili wapate kuona matendo yenu mema wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni” (Mathayo 5:16). Nuru inaoangaza kupitia matendo yetu na kufanya watu kumwona Mungu wala si sisi, ndiyo thamani itosheleshayo ya utukufu wake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Inafanya kama hii: Wakati utukufu wa Mungu ni hazina ya maisha yetu, hatutahifadhi hazina katika dunia, lakini kuzitumia kwa kueneza utukufu wake. Hatutakuwa na tamaa, lakini kutiririshwa na uhuru. Hatutatamani sifa za wanadamu, bali kujisahau tukimsifu Mungu. Hatutashikwa na uzuri wa kihisia yenye dhambi, lakini kung’oa mizizi yao kwa nguvu ya ahadi ishindayo yote. Hatutauguza tamaa iliyo na vidonda ama kushiriki kinyongo ama kuwa na roho ya kulipiza kisasi, bali tutayaachilia yote kwa Mungu na kubariki wote wanaotuchukia. ''Dhambi yoyote inatiririka kutoka kwa kukosa kuuthamini utukufu wa Mungu juu ya vyote''. Basi njia mojawapo muhimu na inayoonekana ya kuonyesha ukweli na thamani ya utukufu wa Mungu ni kupitia maisha ya unyenyekevu na kujikana ya huduma inayotiririka tu kutoka kwa kidimbwi cha utukufu wa Mungu unaotoshelesha yote. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Jinsi watu wanavyoinukia utukufu huu na kubadilishwa nayo ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunageukia sasa kwa swali la vile watu wanainukia katika utukufu wa Mungu na kubadilishwa nao. Pande mmoja muhimu la jibu limepeanwa na mtume Paulo katika 2 Wakorintho 3:18-4:6. Anasema, “Nasi sote, tukiwa na nyuso zilizotiwa utaji tunaakisi utukufu wa Bwana, kama kwenye kioo. Nasi tunabadilishwa ili tufanane naye, toka utukufu hadi utukufu mkuu zaidi, utokao kwa Bwana, ambaye ndiye Roho.” Tukiakisi utukufu wa Bwana, tunabadilishwa toka utukufu hadi utukufu. Hii ni njia ya Mungu ya kubadilisha watu katika mfano wa Mwanawe ndipo wang’ae nuru ya utukufu wa Bwana. Kubadilishwa katika njia inayotukuza Mungu, tunaweka macho yetu kwa utukufu wa Bwana.&amp;lt;sup&amp;gt;6&amp;lt;/sup&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii inafanyika kwa njia gani? (Na hapa tunasogea karibu kwa athari za mahubiri). Paulo anaeleza katika 2 Wakorintho 4:3-4 vile tunaakisi utukufu wa Bwana. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;amp;gt; Na hata kama Injili yetu imefunikwa, inafunikwa tu kwa wale wanaoangamia. Katika hali yao mungu wa ulimwengu huu amepofusha fikira za wasioamini, ili kuwazuia kuona [hapa ni timilizo ya 2 Wakorintho 3:18] nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano wa Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunaakisi utukufu wa Bwana kwa uwazi zaidi na kwa umuhimu kuu katika Injili. Kwa wingi mpaka Paulo anaiita “Injili ya utukufu wa Kristo.” Ambayo inamaanisha—ni hii ina athari kubwa kwa mahubiri—kuwa katika hali hii, hatuwezi kuona utukufu wa Bwana moja kwa moja kama vile tutauona wakati atakaporudi mawinguni, tutauona kwa wazi sana kwa njia ya Neno Lake. Kuwa Injili ni ''ujumbe'' kwa maneno. Kwa kawaida, maneno ''husikizwa'' na utukufu ''huonekana.'' Hivyo basi Paulo anasema kwamba tunaona utukufu wa Kristo si mara mingi kupitia macho yetu bali kupitia masikio yetu. “Imani yaja kwa kusikia na kwa kusikia tu neno la Kristo” (Warumi 10:17), kwa sababu kuona utukufu wa Kristo huja tu kwa kusikia na kusikia tu Injili ya Kristo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tafakari vile hii ilidhihirishwa katika maisha ya nabii Samueli. Wakati wa Samueli hapakuwa na maono nyingi ya bwana (1 Samueli 3:1)—vile tu sasa wakati ambapo kuna ukame wa kuona na kutamani utukufu wa Mungu. Lakini Mungu alimwinua nabii mpya. Na Mungu alijitokeza kwake kwa njia ipi? Vile atakavyojitokeza kwako na kwa watu wako. 1 Samueli 3:21, “Bwana akaenmdelea kutokea huko Shilo na huko kujidhirisha kwa Samueli ''kwa njia ya neno lake.''” Alijidhihirisha kwa njia ya ''neno.'' Hivi ndivyo watu wetu wataakisi utukufu wa Bwana, na kubadilishwa kama aina ya watu wanaofanya utukufu wake kujulikana. Na Paulo anatuambia sasa kuwa neno ambalo ladhihirisha utukufu wa Mungu kwwa uwazi zaidi na kwa kina ni Injili (2 Wakorintho 4:4). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mwito wa dharura wa hitapo la kudhihirisha ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii hatimaye inanileta kwa hoja ya kutamatisha juu ya mahubiri kama ''hitapo la kudhihirisha.'' Kama ni kusudio la Mungu kuwa tudhihirishe utukufu wake kwa ulimwengu, na tukiudhihirisha kwa sababu tumebadilishwa kwa kujua na kuufurahia kwa kuuakisi utukufu wa bwana, na tukiuakisi huo utukufu kwa uwazi na kwa kina katika Injili ya utukufu wa Kristo, na kama Injili ni ujumbe uliopelekwa kwa njia ya maneno kwa ulimwengu, basi kile kinachofuata ni kuwa Mungu anakusudia ili wahubiri wafunue maneno haya na kuyatukuza—ndicho ninachokiita ''hitapo la kudhihirisha.'' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Maneno yote yana umuhimu. Ni ya ''kudhihirisha'' kwa sababu kuna mengi katika Injili yanayohitaji kudhihirishwa (kufunguliwa, kufunuliwa, kufanywa wazi, kufafanuliwa, kuelezwa, kuonyeshwa). Tutaona hii tunapoangazia pande tano muhimu ya ujumbe wa Injili. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Injili ni ujumbe kuhusu matukio ya ''kihistoria:'' maisha na kifo na kufufuka kwa Kristo—unatuamrisha kuyafungua kwa dhihirisho sahihi ya maandiko.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Injili ni ujumbe kuhusu matukio hayo ''yaliyoafikiwa'' kabla tuhisi chochote ama hata kuwa: ukamilifu wa utiifu kamili, malipo ya dhambi zetu, kutolewa kwa ghadhabu ya Mungu, kuitwa kwa Yesu kama Masiya na mfalme wa Mbingu na nchi aliyesulubishwa na kufufuka, kuwanyang’anya silaha watawala na mamlaka yote, kuharibu kifo—haya yote yanatuamrisha kuyafungua kwa dhihirisho sahihi ya maandiko.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Injili ni ujmbe kuhusu kutoa haya mapokezi kutoka kwa Kristo hadi kwa watu fulani kupitia muungano wetu na Kristo kupitia imani pekee mbali na kazi—ambayo inatuamrisha kufungulia watu wetu umbile na njia za imani kwa dhihirisho sahihi ya maandiko kadha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Injili ni ujumbe kuhusu ''vitu vyema ambavyo sasa ni kweli kutuhusu'' kama vile mapokeo ya msalaba yanatumika kwetu kupitia Kristo: kuwa Mungu anatuneemesha tu sasa badala ya kuwa mwenye ghadhabu, ndiyo maana tunahesabiwa haki katika Kristo sasa, tumewekwa huru kutokana na maovu na nguvu za dhambi (kukombolewa), kwa kuwekwa kwa nafasi, na kwa hatua tumefanywa takatifu (kutakaswa)—yote yanatuamrisha tuufungue hakika hizi tukufu kwa watu wiki baada ya wiki kwa dhihirisho sahihi ya maandiko kadha wa kadha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Na ya mwisho Injili ni ujumbe kuhusu Mungu mwenye utukufu mwenyewe kama ya mwisho, milele, hazina itosheleshayo yote. “Tuna . . .fyurahi katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa kupitia kwake tumepata upatanisho” (Warumi 5:11). Injili tunaohubiri ni “injili ya ''utukufu wa Kristo ambaye ni mfano wa Mungu”''. Injili yetu isipofikia lengo hili—kumfurahia Mungu mwenyewe, si tu thawabu zake za msamaha na kuokolewa kutoka jehanamu na uzima wa milele—basi hatuhubiri “Injili ya utukufu wa Mungu usoni mwa Kristo” (2 Wakorintho 4:6). Lengo letu kuu ni kujua na kumfurahia Mungu. Vile tulivyoona mwanzoni mwa sura hii, hiyo ndiyo sababu tuliumbwa—kuwa Mungu atashiriki nasi ufahamu na kufurahi kwake mwenyewe. Hii ndiyo inamaanisha kwake kutupenda. Huu ndio msalaba ulitimiliza kwa ajili yetu. Na hii pia, kutoka kwa kila neno la andiko—yote yametiwa nguvu na Mungu ili iamshe tumaini katika utukufu wake&amp;lt;sup&amp;gt;7&amp;lt;/sup&amp;gt;—lahitaji dhihirisho lenye rotuba ndipo watu wetu wakalishwe vyakula vizuri zaidi na vya juu zaidi vya mbingu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ufafnuzi wa maandiko ni muhimu kwa sababu injili ni ujumbe ujao kwetu kwa maneno na Mungu ameteua kwamba watu wauone utukufu wa Kristo—utajiri usiopimika wa Kristo (Waefeso 3:8)—katika maneno hayo ya Injili. Huu ni mwito wetu: kuyafungua maneno na sentensi na aya ya andiko na kuonyesha “utukufu wa Kristo ambaye ni mfano wa Mungu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ambayo inatuelekeza hatimaye hadi kwa neno la pili katika tamshi ''ufafanuzi wa kujitapa''. Ole wetu tunapofanya dhihirisho yetu ya Injili kama hii bila ''hitapo''—ni kusema, bila kusherekea juu ya ukweli tuufunuao. Paulo anaposema katika 2 Wakorintho 4:5, “Kwa maana hatujihubirii sisi wenyewe ila tunamhubiri Yesu Kristo kuwa ni Bwana.” Neno ambalo analitumia kwa “kutangaza” ni ''kerussomen''—tunamhubiri Kristo kuwa ni Bwana, tunamtangaza Kristo kuwa ni Bwana. Mhubiri—mtangazaji, “mhubiri” (1 Timotheo 2:7); 2 Timotheo 1:11)—itapaswa kueleza yale anayoyasema watu wasipoelewa (mafundisho yaweza kuhitajika). Yanayotenganisha mhubiri kando na mwanafalsafa, na mwandishi na mwalimu ni kuwa yeye ni mtangazaji wa habari—na katika hali yetu, habari njema zizisokoma. Habari zenye thamani zisizokoma. Habari kuu zaidi kuliko zote ulimwenguni. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Muumba wa mbingu na nchi, ambaye ni mtukufu sana na wa kutamaniwa sana kuliko hazina yoyote ulimwenguni, amejidhihirisha kupitia Yesu Kristo ili ajulikane na kufurahiwa milele na mtu yeyote ulimwenguni ambaye ataweka chini silaha za uasi, na kupokea msamaha wake ulionunuliwa kwa damu, na kukumbatia Mwanawe kama Mwokozi, Bwana na hazina ya maisha yao. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ewe ndugu, usidanganye juu ya thamani ya Injili kwa uhayawani/ubutu wa mwenendo wako. Ufafanuzi wa utukufu hakika zaidi ni hakika tukufu. Ikiwa si ufafanuzi wa kujitapa—halisi litokalo moyoni—uwongo unasemwa kuhusu thamani ya Injili. Usiseme kwa uso wako ama kwa sauti yako ama kwa maisha yako kuwa Injili si Injili ya utukufu wa Kristo utosheleshayo yote. Na Mungu na akawainue kati yenu vizazi vya wahubiri ambao ufafanuzi wao ina thamani ya ukweli wa Mungu na ambao hitapo lao linafaa utukufu wa Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
----&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;sup&amp;gt;1&amp;lt;/sup&amp;gt; Arnold Dallimore,''George Whitefield,'' Vol. 1 (London: Banner of Truth Trust, 1970), p. 16. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;sup&amp;gt;2&amp;lt;/sup&amp;gt; Christopher Catherwood, ''Five Evangelical Leaders''(Wheaton: Harold Shaw Publishers, 1985), p. 170. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;sup&amp;gt;3&amp;lt;/sup&amp;gt; Yesu alisema katika Luka 22:22 kwamba msalaba u”uliamuliwa” [''horismenon''] na Mungu,” na katika Mathayo 25:41 kwamba mioto za jehanamu vilitayarishwa na Mungu. “Kisha atawaambia wale walio upande Wake wa kushoto, ‘Ondokeni kwangu, ninyi mliolaaniwa, nendeni kwenye moto wa milele ilioandaliwa kwa ajili ya ibilisi na malaika zake.’” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;sup&amp;gt;4&amp;lt;/sup&amp;gt; Kutoka eneo Marekani zingatia maoni ya kusisimua ya Joel Green ambayo inapuuza yale ambayo kanisa imeaamini kuwa ni kiini cha injili na imedhubutiwa wazi katika maandiko (Isaya 53:4-6, 8-10; Wagalatia 3:13; Warumi 8:3): “Chochote kinachomaanishwa na upatanisho, itakuwa kosa kubwa kufikiri kwamba inalenga kutuliza hasira ya Mungu au kushindia tahadhari ya huruma ya Mungu. . . . Maandiko kwa ujumla hautoi msingi wa picha ya Mungu mwenye hasira anayehitaji shiba katika dhabihu ya upatanisho . . .. Chochote uwezayo kusemwa kuhusu jinsi Paulo aelewavyo kifo cha Kristo, theolojia yake kuhusu msalaba haina kamwe maana yeyote ya uendeleshaji wa adhabu ya Mungu.” Joel Green, Recovering the Scandal of the Cross: Atonement in New Testament &amp;amp;amp; Contemporary Context (Downers Grove: Intervarsity Pres, 2000), pp. 51, 56. Kutoka eneo la Uingereza Steve Chalke anaita mafunzo ya kuwa Kristo aliubeba gadhabu ya Mungu kwa ajili yetu “unyanyasaji wa kiulimwengu wa mtoto”: Ukweli ni kwamba msalaba si aina ya unyanyasaji wa kiulimwnefu wa watoto—Baba anayelipa kisasi, kwa kumadhiby Mwanawe kwa kosa ambayo hajatenda. Hakika, watu nje na ndani ya kanisa wamegundua huu toleo la tukio uliosongwa kuwa yenye kimaadili ya kutatanisha na pia kikwazo kikubwa kwa imani. Ndani zaidi, hata hivyo, ni kwamba dhana hiyo inasimama kinyume na taarifa kuwa ‘Mungu ni upendo’. Ikiwa msalaba ni kitendo binafsi ya unyanyasaji unaofanywa na Mungu kwa binadamu lakini kubebwa na Mwanawe, basi inafanya kejeli kwa mafundisho ya Yesu mwenyewe kuwapenda adui zenu na kukataa kulipa maovu kwa uovu. The Lost Message of Jesus (Grand Rapids: Zondervan Publishing Company, 2004), pp. 182-183. N.T. Wright anasema kuwa “wingi” (je anaaanisha “wote”?) wa kumbukumbu wa kuzimu katika Agano Jipya hayazungumzi kuhusu pahali pa mateso ya milele katika hali ya ufahamu, lakini kwamba tunahitaji a’ujenzi” au “marudio” ya mafundisho ya kuzimu “katika nyakati za kisasa” 1) Kwa upande wa binadamu kwa kutumia “zawadi yao ya uhuru” “kuharibu uutu wao kabisa,” na 2) katika suala la haki ya kijamii na taabu: “Kuna swala jingine sahihi na ambaye pia ni muhimu zaidi kuhusu mafundisho ya kuzini katika biblia kwa suala la maisha ya binadamu ya kijamii maisha ya kijami ya mashirika katika dunia hii. ''Following Jesus: Biblical Reflections on Discipleship'' (Grand Rapids: William B. Eerdmans Publishing Company, 1994), pp. 95-96. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;sup&amp;gt;5&amp;lt;/sup&amp;gt; Quoted from ''The Islam/West Debate: Documents from a Global Debate on Terrorism, U. S. Policy and the Middle East'', edited by David Blankenhorn in ''First Things,'' March 2006, #161, p. 71. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;sup&amp;gt;6&amp;lt;/sup&amp;gt; Jihadhari katika kusema: “Haifanyi” na kisha kugeukia mbinu nyingine na kuwacha nyuma njia ya Mungu ya kubadilisha watu. Unaweza kuwa na uwezo wa kubadilisha watu kwa njia na mbinu tofauti na utaratibu huu wa kuona utukufu wa Bwana katika ujumbe wa Mungu, lakini, je itakuwa mabadiliko ambayo inatukuza utukufu wa Kristo? Si kwamba mabadiliko yote yanamuheshimu Kristo. Paulo anaonya kwa maneno yaliomo katika 2 Wakorintho 4:3, “Hata nayo Injili yetu kama imetiwa utaji, ni kwa wale tu wanaopotea.” Kwa maneno mengine anakubali kwamba injili yake halibadili kila mtu. “Wa “kuangamia” hawaoni utukufu wa Mungu katika injili. Paulo habadilishi mbinu yake kwa sababu huo. Nasi pia hatufai. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;sup&amp;gt;7&amp;lt;/sup&amp;gt; 2 Timotheo 3:16-17; Warumi 15:4.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kwa_nini_mahubiri_ya_ufafanuzi_inamtukuza_Mungu_hasa</id>
		<title>Kwa nini mahubiri ya ufafanuzi inamtukuza Mungu hasa</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kwa_nini_mahubiri_ya_ufafanuzi_inamtukuza_Mungu_hasa"/>
				<updated>2017-08-02T19:55:11Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|Why Expositional Preaching Is Particularly Glorifying to God}}   Kuna sehemu nne wa ujumbe huu. Kwanza nitatafakari juu ya aina ya mahubiri ambaye natumahi kuona Mungu aki...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Why Expositional Preaching Is Particularly Glorifying to God}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna sehemu nne wa ujumbe huu. Kwanza nitatafakari juu ya aina ya mahubiri ambaye natumahi kuona Mungu akiinua wakati huu—aina ambayo umeumbwa kwa uzito wa utukufu wa Mungu. Pili, nitajaribu kuonyesha utukufu wa Mungu, ambayo huakikisha kuhubiri kwa njia hii. Tatu, nitatoa ufahamu wangu wa bibilia jinsi watu huamkia kwa utukufu huu na jinsi wanavyobadilishwa kuipitia. Hatimaye, nitaeleza jinsi hayo yote hutoa mwito kwa aina ya mahubiri ninayoita ufafanuzi wa shangwe. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tafakari juu ya aina ya mahubiri iliyotolewa na uzito wa utukufu wa Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
George Whitefield aliamini katika kuhubiri na alitoa maisha yake kwa hiyo. Kwa mahubiri aina hii Mungu alifanya kazi kuu yawokovu kwa pande zote za Atlantiki. Mwandishi wa habari ya maisha yake, Arnold Dallimore, alitunga matokeo ya kushangaza na ambazo mahubiri ya Whitefield yaliweza kutekeleza nchini Uingereza na Marekani katika karne ya kumi na nane. Ilikuja kama mvua juu ya nchi kavu na kufanya jangwa kuinuka na maua ya haki. Dallimore aliinua mayo yake katika nyika yaliogeuzwa katika nyakati za Whitefield na kudhihirisha hamu yake kuwa Mungu atafanya hivyo tena. Maneno yake yananisaidia kueleza yale ninayotamani katika vizazi zijazo vya wahubiri nchini Marekani na katika dunia kote. Alisema, &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;amp;gt; Naam . . . kwamba tutaona mkuu mkubwa wa Kanisa mara nyingine tena . . . akiinua kwake vijana Fulani ambao atawatumia katika huu jukumu wenye utukufu. Na hao watakuwa watu wa aina gani? Mashujaa katika maandiko, ambao maisha yao yanaongozwa na hisia ya ukuu, utukufu na utakatifu wa Mungu, na akili zao na mioyo zinan’gaa kwa ukweli mkubwa wa mafundisho ya neema. Nao watakuwa watu ambao wamejifunza nini maana ya kufa kwa ubinafsi, kwa malengo ya binadamu na matarajio ya binafsi; watu ambao wako tayari kuwa ‘wapumbavu kwa ajili ya Kristo’, ambao watabeba [na kuvumilia] lawama na uwongo, ambao watafanya kazi na kuteseka, ambao hamu yao kuu itakuwa, si kwa ajili ya kupata sifa za dunia, lakini kushinda kibali ya Bwana wakati watakapojitokeza mbele ya kiti cha hukumu ambayo inatisha. Watakuwa watu ambao wanahubiri kwa mioyo iliyovunjika na macho yalijawa na machozi, na mbao katika huduma wao Mungu atatoa mwagiko wa ajabu wa Rogo Mtakatifu, na ambao watashudia ‘ishara na maajabu zikifuata’ katika ubadilishwaji wa umati wa maisha ya binadamu.&amp;lt;sup&amp;gt;1&amp;lt;/sup&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hodari katika maandiko, kun’gaa katika ukweli mkubwa wa mafundisho wa neema, kifo kwa ubinafsi, ambao wana nia ya kufanya kazi na hata kuteseka, wasiopenda heshima za binadamu, kuvunjika kwa ajili ya dhambi, na ''kuongozwa kwa hisia za ukuu, na uwezo mkuu, na utakatifu wa Mungu.'' Dallimore, kama Whitefield, aliamini kwamba kuhubiri ni kueneza neon la Mungu kupitia katika moyo wa aina hiyo. Kuhubiri sio mazungumzo. Kuhubiri sio mjadala. Kuhubiri sio majadiliano wa kawaida kuhusu mambo ya dini. Kuhubiri sio tu kufundisha. Kuhubiri ni uenezo wa ujumbe iliyopenywa na hisia ya ukuu na utukufu na utakatifu wa Mungu. Mada inaweza kuwa chochote chini ya jua, lakini daima inaletwa katika mwanga mkali wa ukuu wa Mungu na utukufu wa neon lake. Hivyo ndivyo Whitefield alivyohubiri. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Katika karne iliyopita hakuna aliyekuwa na mtazamo huo bora kuliko Martin Lloyd-Jones, ambaye alihudumu katika Chapel ya Westminster kule London kwa miaka 30. Wakati J.I. Packer alipokuwa mwanafunzi mwenye miaka ishirini—na—miwili, alimsikia Lloyd-Jones akihubiri kila jioni ya Jumapili katika London wakati wa mwaka wa shule wa 1948-1949. Alisema kwamba “kamwe hakuwa amewahi sikia mahubiri kama hayo.” (Hiyo ndio maana watu wengi husema mambo mengi yanayokanusha na wenye ujinga mwingi kuhusu kuhubiri—maanake hawajawahi sikia mahubiri ya ukweli. Hawana msingi wa kufanya uamuzi kuhusu umuhimu wa mahubiri ya ukweli) Packer alisema ilikuja kwake “kwa nguvu ya mshtuko wa umeme, ikileta . . . zaidi ya hisia ya Mungu kulik mtu mwingne yeyote” aliyekuwa amejua.&amp;lt;sup&amp;gt;2&amp;lt;/sup&amp;gt; Hiyo ndio Whitefield alimaanisha. Oh, kwamba Mungu atainua wahubiri wachanga ambao watawaacha wasikilizaji wao na hisia ya mshtuko wa kiroho kwa kuhisi Mungu—kiasi cha hisia wa uzito wa ukweli wa Mungu usiopimika. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiyo ndiyo hamu yangu kwa siku zetu—na kwenu pia. Kwamba Mungu atainua maelfu ya mahubiri waliovunjika moyo, walioloweka na bibilia na utakatifu wa Mungu, uliofunuliwa katika injili ya Kristo aliyesulubiwa na kufufuka na anatawala kwa mamlaka kamili juu ya kila taifa na kila jeshi na kila dini na kila gaidi na kila tsunami na kila kiini cha saratani, na kila 'galaxy' katika ulimwengu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu hakuagiza msalaba wa Kristo au kuunda ziwa la moto&amp;lt;sup&amp;gt;3&amp;lt;/sup&amp;gt; ili kuwasilisha udhaifu wa kumwasi utukufu wake. Mauti wa Mwana wa Mungu na hukumu wa wale wasiotubu ndio sauti kubwa zaidi chini ya mbingu kwamba Mungu ni takatifu, na dhambi ina vikwaso mengi, na gadhabu ni haki, na neema ni ya thamani kubwa, na maisha yetu fupi—na maisha ya kila mtu katika kanisa au jamii yako—inaelekeza katika furaha ya milele au mateso ya milele. Ikiwa mahubiri yetu hayabebi uzito wa mambo hayo kwa watu wetu, ni nini itazibeba? Veggie tales? Redio? Televisheni? Vikundi vya majadiliano? Mazungumzo yanayoibuka? &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu alipanga kusulubishwa kwa Mwana wake (Ufunuo 13:8; 2 Timotheo 1:9) na jehanamu kuwa mbaya (Matayo 25:41) ili kwamba tuwe na ushahidi wazi uwezekanavyo ya yaliyo hatarini tunapo hubiri. Kinachopatia mahubiri uzito wake ni kwamba vazi ya mhubiri imeloweka katika damu ya Yesu na kutoteketezwa na moto wa Jehanamu. Huo ndio joho ambao hubalisha waongeaji kuwa wahubiri. Hata hivyo inasikitisha kwamba baadhi ya sauti ya wainjilisti maarufu wa wakati huu hupunguza hofu wa msalaba na hofu wa Jehanamu—mojawapo ambao umeviliwa uwezo wake wa kubeba adhabu yetu, na wengine hudanganywa katika mambo maovu na taabu za kijamii katika dunia hii.&amp;lt;sup&amp;gt;4&amp;lt;/sup&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Oh kwamba vizazi vijavyo viweze kuona kwamba dunia haujapitwa na hisia za uzito kuhusu Mungu. Hakuna mfuririko wa hali ya utukufu wa Mungu kanisani. Hakuna ziada ya bidii kanisani kuhusu bingu, na jehanamu, na dhambi na wokovy. Hivyo basi furaha ya wakristo wengi una wembamba wa karatasi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mamilioni ya watu wanajifurahisha hadi kifo kupitia DVD, televisheni wenye skirini wa inchi 107, na michezo katika simu za rununu, na ibada wenye umbo wa michezo wa kuigiza, wakati wasemaji wa dini kubwa duniani wanaandika mabarua Magharibi katika machapisho makuu wakisema, “Jambo la kwanza tunalowaitia ni Uislamu . . . ndio dini ya kuunganisha mema na kupiga marufuku maovu kwa mkono, ulimi na moyo. Ni dini ya jihadi katika njia za Allah, ili Neno la Allah na dini utawale zaidi.” &amp;lt;sup&amp;gt;5&amp;lt;/sup&amp;gt;Na kisha wasemaji hao huwabariki hadharani walipuaji wa kujiua ambao hulipua watoto mbele ya maduka ya Falafel na kuiita njia ya paradise. Hiyo ndiyo dunia ambayo tunahubiri ndani yake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na bado, kwa njia isiyoeleweka, katika huu enzi wa udunishaji wa Kristo, uharibifu wa mioyo, vitabu na semina na shule za uungu na wataalamu wa ukuaji wa kanisa wanazidi kuambia wachungaji wachanga, “jifurahishe.” “Chekesha watu.” “furahisha watu.” Kwa hayo ninauliza, Wapi roho ya Yesu? “Mtu ye yote akitaka kunifuata, ni lazima ajikane mwenyewe na auchukue msalaba wake, anifuate. Kwa maana ye yote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata” (Matayo 16:24-25). “Jicho lako la kuume likikufanya utende dhambi, ling'oe ulitupe mbali. Ni afadhali kwako kupoteza kiungo kimoja cha mwili wako kuliko mwili wako mzima utupwe jehanam” (Matayo 5:29). “Vivyo hivyo, ye yote miongoni mwenu ambaye hawezi kuacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi Wangu” (Luka 14:33). “Mtu ye yote anayekuja kwangu hawezi kuwa mwanafunzi wangu kama hatanipenda mimi zaidi ya baba yake na mama yake, mke wake na watoto, ndugu zake na dada zake, naam, hata maisha yake mwenyewe” (Luka 14:26). “Nifuate, nawe waache wafu wazike wafu wao.” (Matayo 8:22). “Na ye yote anayetaka kuwa wa kwanza, hana budi kuwa mtumwa wa wote” (Mariko 10:44). “Mwogopeni yeye awezaye kuiangamiza roho na mwili katika jehanam” (Matayo 10:28). “Mtasalitiwa hata na wazazi, ndugu, jamaa na marafiki na baadhi yenu watawaua. Mtachukiwa na watu wote kwa ajili ya Jina langu. Lakini hapatakuwa na unywele mmoja wa kichwa chenu utakaoangamia. Kwa kuvumilia mtaokoa roho zenu” (Luka 21:16-19). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je shauri kwa Yesu kuhusu ukuaji wa kanisa inaweza kuwa, “jifurahishe, Yesu. Fanya mambo yenye vichekesho.” Na kwako wewe mchungaji mchanga: “Lolote ufanyalo, usiwe kama Yesu wa Injili. Jifurahishe.” Kwa mtazamo wangu, ambao unajiskia kuwa karibu na milele siku hizi, ujumbe huo kwa wachungaji inazidi kuonekana kama wazimu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Dhihirisho wa utukufu wa Mungu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Unachoamini juu ya umuhimu wa kuhubiri na asili ya kuhubiri unaongozwa na hisia wako kuhusu ukuu na utukufu wa Mungu na unachoamini kuhusu jinsi watu huamshwa kwa huo utukufu na kuiishia huo utukufu. Hivyo sehemu inayofuata inatoa igizo ya utukufu wa Mungu, na wa tatu utashughulikia jinsi watu huamkia utukufu huo na kabadilishwa nayo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuanzia mwanzo hadi mwisho hakuna chochote katika Biblia ambayo imo katika mawazo na moyo wa Mungu kuliko utukufu wa Mungu—uzuri wa Mungu, mng’ao mbalimbali wa ukamilifu wake. Kwa kila hatua katika matendo ya Mungu uliofunuliwa, popote anapobainisha kwa wazi lengo lake kuu wa tendo huo, lengo huo huwa sawa: kuzingatia na kuonyesha utukufu wake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Alituteua awali kwa ajili ya utukufu wake (Waefeso 1:6).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Alituumba kwa ajili ya utukufu wake (Isaya 43:7).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Alichagua Israeli kwa ajili ya utukufu wake (Yeremia 13:11).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Aliwaokoa watu wake kutoka Misri kwa ajili ya utukufu wake (Zaburi 106:8).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Aliwaokoa kutoka uhamishoni kwa ajili ya utukufu wake (Isaya 48:9-11).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Alimtuma Kristo ulimwenguni, ili watu wa mataifa mengine wangemsifu Mungu kwa ajili ya utukufu wake (Warumi 15:9).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Anaamuru watu wake, wawe wanakunywa au kula, kufanya mambo yote kwa ajili ya utukufu wake (1 Corinthians 10:31).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Atamtuma Yesu mara ya pili ili kwamba wote waliokombolewa watastaajabishwa na utukufu wake (2 Wathesalonika 1:9-10).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo basi utume wa kanisa ni: “Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa, matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote&amp;quot; (Zaburi 96:3). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Haya na maeneo mengine zaidi ya mia hutuelekeza hadi ukingoni mwa utii kwa Mungu. Hakuna chochote kinachoathiri kuhubiri kwa undani kuliko karibu kuwa bubu—karibu —kwa shauku ya Mungu kwa ajili ya utukufu wa Mungu. Ilioko wazi katika uzima wa ufunuo mbalimbali wa biblia ni kwamba hatimaye utii wa Mungu ni kujijua mwenyewe kikamilifu, na kujipenda mwenyewe bila kikomo, na kushirikishana uzoefu huu, jinsi inavyowezekana, pamoja na watu wake. Juu ya kila tendo la Mungu kunapepea bendera huu: “Kwa ajili yangu mwenyewe, kwa ajili yangu mwenyewe, nafanya hili. Kwa jinsi gani niliache jina langu lichafuliwe? Sitautoa utukufu wangu kwa mwingine&amp;quot; (Isaya 48:11; cf. 42:8). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tangu milele yote, Mungu aishie milele, ambaye kamwe hakuwi, na ambaye daima ni kamilifu, amejijua na kupenda kile ambacho ajuayo. Milele ameuona uzuri wake na kuonja yale aonayo. Kuelewa kwake kwa kuwepo kwake ni kamili na uchangamfu wake katika kufurahia haina kipimo. Yeye hana mahitaji, maanake hana dosari. Hana upendeleo kwa maovu kwa sababu hana upungufu ambao unaweza kumletea jaribio la kutenda uovu. Yeye basi ni umbe kilicho takatifu sana na chenye furaha zaidi ambayo inaweza kufikiriwa. Hatuwezi fahamu juu ya furaha ulio kuu kuliko furaha ya uweza usiokoma unaofurahisha bila kikomo katika uzuri wa ushirika wa kibinafsi ya utatu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kushiriki katika hali hii—hali ya kufahamu na kufurahia utukufu wake—ndiyo sababu Mungu aliuumba dunia. Atatufanya tumjue na kumfurahia jinsi alivyojijua na vile anavyojifurahia. Kwa kweli lengo lake ni kuwa huo ufahamu aliyo nayo kwaye na furaha aliyo nayo ndani mwake itakuwa ufahamu wetu na furaha yetu, ndipo tumjue kwa ufahamu wake na tumfurahie katika furaha yake. Hii ndio maana kamili ya ombi la Yesu katika Yohana 17:26 pahali anamuuliza Babake “ili upendo ule unaonipenda Mimi uwe ndani yao na Mimi mwenyewe nipate kuwa ndani yao.” Ufahamu wa Baba na furaha katika mng’ao wa utukufu wa Mwana—ambaye Jina Lake na Yesu Kristo (Waebrania 1:3)—atakuwa ndani yetu kwa sababu Yesu yu ndani mwetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na ukiuliza, Mungu anapanga kushiriki aje hali hii (ya kujifahamu na kujifurahisha), linganisha na ''upendo ''wa Mungu, jibu ni: Lengo lake la kushiriki tukio hilo ni upendo Wake. Upendo wa Mungu ni juhudi yake ya kushiriki ufahamu na furaha ya utukufu wake pamoja nasi. Yohana anaposema Mungu ni upendo (Yohana 4:8, 16), anamaanisha kuwa ni umbile wa Mungu kushiriki furaha ya utukufu wake, hata kama inamgharimu uhai wa Mwanawe. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii inamaanisha kwamba kusudio la Mungu kuonyesha utukufu wake na furaha yetu katika utukufu huo yanaambatana. Huwezi kumcha kabisa kile ambacho hukifurahii. Mungu hatukuzwi kwa yote kwa kujulikana tu; anatukuzwa kwa kujulikana na kufurahiwa kwa undani sana mpaka maisha yetu inakuwa onyesho la thamani yake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu alisema vitu viwili ili kisisitiza jukumu lake katika kutupatia ufahamu na furaha ya Mungu. Alisema “Hakuna amjuaye Baba ila Mwana na yeyote ambaye Mwana anampenda kumdhihirishia Baba kwake” (Mathayo 11:27). Na akasema, “Nimewaambia mambo haya ili furaha yangu iwe ndani yenu na furaha yenu iwe kamili” (Yohana 15:11) kwa maneno mengine tunamjua Baba ''kupitia ufahamu wa Mwana'', na tunafurahia Baba ''kupitia furaha ya Mwana''. Yesu alitufanya washiriki wa ufahamu na furaha wake kwa Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
 Njia hii inadhihirika katika dunia si tu sana kupitia matendo ya ukakamavu ya ibada ya kijumla ya Jumapili asubuhi—vile nyakati hizo ni za thamani—lakini kupitia mabadiliko zinazoleta maishani mwetu. Yesu alisema, “Vivyo hivyo, nuru yenu iangaze mbele za wa watu, ili wapate kuona matendo yenu mema wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni” (Mathayo 5:16). Nuru inaoangaza kupitia matendo yetu na kufanya watu kumwona Mungu wala si sisi, ndiyo thamani itosheleshayo ya utukufu wake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Inafanya kama hii: Wakati utukufu wa Mungu ni hazina ya maisha yetu, hatutahifadhi hazina katika dunia, lakini kuzitumia kwa kueneza utukufu wake. Hatutakuwa na tamaa, lakini kutiririshwa na uhuru. Hatutatamani sifa za wanadamu, bali kujisahau tukimsifu Mungu. Hatutashikwa na uzuri wa kihisia yenye dhambi, lakini kung’oa mizizi yao kwa nguvu ya ahadi ishindayo yote. Hatutauguza tamaa iliyo na vidonda ama kushiriki kinyongo ama kuwa na roho ya kulipiza kisasi, bali tutayaachilia yote kwa Mungu na kubariki wote wanaotuchukia. ''Dhambi yoyote inatiririka kutoka kwa kukosa kuuthamini utukufu wa Mungu juu ya vyote''. Basi njia mojawapo muhimu na inayoonekana ya kuonyesha ukweli na thamani ya utukufu wa Mungu ni kupitia maisha ya unyenyekevu na kujikana ya huduma inayotiririka tu kutoka kwa kidimbwi cha utukufu wa Mungu unaotoshelesha yote. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Jinsi watu wanavyoinukia utukufu huu na kubadilishwa nayo ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunageukia sasa kwa swali la vile watu wanainukia katika utukufu wa Mungu na kubadilishwa nao. Pande mmoja muhimu la jibu limepeanwa na mtume Paulo katika 2 Wakorintho 3:18-4:6. Anasema, “Nasi sote, tukiwa na nyuso zilizotiwa utaji tunaakisi utukufu wa Bwana, kama kwenye kioo. Nasi tunabadilishwa ili tufanane naye, toka utukufu hadi utukufu mkuu zaidi, utokao kwa Bwana, ambaye ndiye Roho.” Tukiakisi utukufu wa Bwana, tunabadilishwa toka utukufu hadi utukufu. Hii ni njia ya Mungu ya kubadilisha watu katika mfano wa Mwanawe ndipo wang’ae nuru ya utukufu wa Bwana. Kubadilishwa katika njia inayotukuza Mungu, tunaweka macho yetu kwa utukufu wa Bwana.&amp;lt;sup&amp;gt;6&amp;lt;/sup&amp;gt; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii inafanyika kwa njia gani? (Na hapa tunasogea karibu kwa athari za mahubiri). Paulo anaeleza katika 2 Wakorintho 4:3-4 vile tunaakisi utukufu wa Bwana. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;amp;gt; Na hata kama Injili yetu imefunikwa, inafunikwa tu kwa wale wanaoangamia. Katika hali yao mungu wa ulimwengu huu amepofusha fikira za wasioamini, ili kuwazuia kuona [hapa ni timilizo ya 2 Wakorintho 3:18] nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano wa Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunaakisi utukufu wa Bwana kwa uwazi zaidi na kwa umuhimu kuu katika Injili. Kwa wingi mpaka Paulo anaiita “Injili ya utukufu wa Kristo.” Ambayo inamaanisha—ni hii ina athari kubwa kwa mahubiri—kuwa katika hali hii, hatuwezi kuona utukufu wa Bwana moja kwa moja kama vile tutauona wakati atakaporudi mawinguni, tutauona kwa wazi sana kwa njia ya Neno Lake. Kuwa Injili ni ''ujumbe'' kwa maneno. Kwa kawaida, maneno ''husikizwa'' na utukufu ''huonekana.'' Hivyo basi Paulo anasema kwamba tunaona utukufu wa Kristo si mara mingi kupitia macho yetu bali kupitia masikio yetu. “Imani yaja kwa kusikia na kwa kusikia tu neno la Kristo” (Warumi 10:17), kwa sababu kuona utukufu wa Kristo huja tu kwa kusikia na kusikia tu Injili ya Kristo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tafakari vile hii ilidhihirishwa katika maisha ya nabii Samueli. Wakati wa Samueli hapakuwa na maono nyingi ya bwana (1 Samueli 3:1)—vile tu sasa wakati ambapo kuna ukame wa kuona na kutamani utukufu wa Mungu. Lakini Mungu alimwinua nabii mpya. Na Mungu alijitokeza kwake kwa njia ipi? Vile atakavyojitokeza kwako na kwa watu wako. 1 Samueli 3:21, “Bwana akaenmdelea kutokea huko Shilo na huko kujidhirisha kwa Samueli ''kwa njia ya neno lake.''” Alijidhihirisha kwa njia ya ''neno.'' Hivi ndivyo watu wetu wataakisi utukufu wa Bwana, na kubadilishwa kama aina ya watu wanaofanya utukufu wake kujulikana. Na Paulo anatuambia sasa kuwa neno ambalo ladhihirisha utukufu wa Mungu kwwa uwazi zaidi na kwa kina ni Injili (2 Wakorintho 4:4). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mwito wa dharura wa hitapo la kudhihirisha ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii hatimaye inanileta kwa hoja ya kutamatisha juu ya mahubiri kama ''hitapo la kudhihirisha.'' Kama ni kusudio la Mungu kuwa tudhihirishe utukufu wake kwa ulimwengu, na tukiudhihirisha kwa sababu tumebadilishwa kwa kujua na kuufurahia kwa kuuakisi utukufu wa bwana, na tukiuakisi huo utukufu kwa uwazi na kwa kina katika Injili ya utukufu wa Kristo, na kama Injili ni ujumbe uliopelekwa kwa njia ya maneno kwa ulimwengu, basi kile kinachofuata ni kuwa Mungu anakusudia ili wahubiri wafunue maneno haya na kuyatukuza—ndicho ninachokiita ''hitapo la kudhihirisha.'' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Maneno yote yana umuhimu. Ni ya ''kudhihirisha'' kwa sababu kuna mengi katika Injili yanayohitaji kudhihirishwa (kufunguliwa, kufunuliwa, kufanywa wazi, kufafanuliwa, kuelezwa, kuonyeshwa). Tutaona hii tunapoangazia pande tano muhimu ya ujumbe wa Injili. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Injili ni ujumbe kuhusu matukio ya ''kihistoria:'' maisha na kifo na kufufuka kwa Kristo—unatuamrisha kuyafungua kwa dhihirisho sahihi ya maandiko.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Injili ni ujumbe kuhusu matukio hayo ''yaliyoafikiwa'' kabla tuhisi chochote ama hata kuwa: ukamilifu wa utiifu kamili, malipo ya dhambi zetu, kutolewa kwa ghadhabu ya Mungu, kuitwa kwa Yesu kama Masiya na mfalme wa Mbingu na nchi aliyesulubishwa na kufufuka, kuwanyang’anya silaha watawala na mamlaka yote, kuharibu kifo—haya yote yanatuamrisha kuyafungua kwa dhihirisho sahihi ya maandiko.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Injili ni ujmbe kuhusu kutoa haya mapokezi kutoka kwa Kristo hadi kwa watu fulani kupitia muungano wetu na Kristo kupitia imani pekee mbali na kazi—ambayo inatuamrisha kufungulia watu wetu umbile na njia za imani kwa dhihirisho sahihi ya maandiko kadha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Injili ni ujumbe kuhusu ''vitu vyema ambavyo sasa ni kweli kutuhusu'' kama vile mapokeo ya msalaba yanatumika kwetu kupitia Kristo: kuwa Mungu anatuneemesha tu sasa badala ya kuwa mwenye ghadhabu, ndiyo maana tunahesabiwa haki katika Kristo sasa, tumewekwa huru kutokana na maovu na nguvu za dhambi (kukombolewa), kwa kuwekwa kwa nafasi, na kwa hatua tumefanywa takatifu (kutakaswa)—yote yanatuamrisha tuufungue hakika hizi tukufu kwa watu wiki baada ya wiki kwa dhihirisho sahihi ya maandiko kadha wa kadha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Na ya mwisho Injili ni ujumbe kuhusu Mungu mwenye utukufu mwenyewe kama ya mwisho, milele, hazina itosheleshayo yote. “Tuna . . .fyurahi katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa kupitia kwake tumepata upatanisho” (Warumi 5:11). Injili tunaohubiri ni “injili ya ''utukufu wa Kristo ambaye ni mfano wa Mungu”''. Injili yetu isipofikia lengo hili—kumfurahia Mungu mwenyewe, si tu thawabu zake za msamaha na kuokolewa kutoka jehanamu na uzima wa milele—basi hatuhubiri “Injili ya utukufu wa Mungu usoni mwa Kristo” (2 Wakorintho 4:6). Lengo letu kuu ni kujua na kumfurahia Mungu. Vile tulivyoona mwanzoni mwa sura hii, hiyo ndiyo sababu tuliumbwa—kuwa Mungu atashiriki nasi ufahamu na kufurahi kwake mwenyewe. Hii ndiyo inamaanisha kwake kutupenda. Huu ndio msalaba ulitimiliza kwa ajili yetu. Na hii pia, kutoka kwa kila neno la andiko—yote yametiwa nguvu na Mungu ili iamshe tumaini katika utukufu wake&amp;lt;sup&amp;gt;7&amp;lt;/sup&amp;gt;—lahitaji dhihirisho lenye rotuba ndipo watu wetu wakalishwe vyakula vizuri zaidi na vya juu zaidi vya mbingu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ufafnuzi wa maandiko ni muhimu kwa sababu injili ni ujumbe ujao kwetu kwa maneno na Mungu ameteua kwamba watu wauone utukufu wa Kristo—utajiri usiopimika wa Kristo (Waefeso 3:8)—katika maneno hayo ya Injili. Huu ni mwito wetu: kuyafungua maneno na sentensi na aya ya andiko na kuonyesha “utukufu wa Kristo ambaye ni mfano wa Mungu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ambayo inatuelekeza hatimaye hadi kwa neno la pili katika tamshi ''ufafanuzi wa kujitapa''. Ole wetu tunapofanya dhihirisho yetu ya Injili kama hii bila ''hitapo''—ni kusema, bila kusherekea juu ya ukweli tuufunuao. Paulo anaposema katika 2 Wakorintho 4:5, “Kwa maana hatujihubirii sisi wenyewe ila tunamhubiri Yesu Kristo kuwa ni Bwana.” Neno ambalo analitumia kwa “kutangaza” ni ''kerussomen''—tunamhubiri Kristo kuwa ni Bwana, tunamtangaza Kristo kuwa ni Bwana. Mhubiri—mtangazaji, “mhubiri” (1 Timotheo 2:7); 2 Timotheo 1:11)—itapaswa kueleza yale anayoyasema watu wasipoelewa (mafundisho yaweza kuhitajika). Yanayotenganisha mhubiri kando na mwanafalsafa, na mwandishi na mwalimu ni kuwa yeye ni mtangazaji wa habari—na katika hali yetu, habari njema zizisokoma. Habari zenye thamani zisizokoma. Habari kuu zaidi kuliko zote ulimwenguni. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Muumba wa mbingu na nchi, ambaye ni mtukufu sana na wa kutamaniwa sana kuliko hazina yoyote ulimwenguni, amejidhihirisha kupitia Yesu Kristo ili ajulikane na kufurahiwa milele na mtu yeyote ulimwenguni ambaye ataweka chini silaha za uasi, na kupokea msamaha wake ulionunuliwa kwa damu, na kukumbatia Mwanawe kama Mwokozi, Bwana na hazina ya maisha yao. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ewe ndugu, usidanganye juu ya thamani ya Injili kwa uhayawani/ubutu wa mwenendo wako. Ufafanuzi wa utukufu hakika zaidi ni hakika tukufu. Ikiwa si ufafanuzi wa kujitapa—halisi litokalo moyoni—uwongo unasemwa kuhusu thamani ya Injili. Usiseme kwa uso wako ama kwa sauti yako ama kwa maisha yako kuwa Injili si Injili ya utukufu wa Kristo utosheleshayo yote. Na Mungu na akawainue kati yenu vizazi vya wahubiri ambao ufafanuzi wao ina thamani ya ukweli wa Mungu na ambao hitapo lao linafaa utukufu wa Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
----&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;sup&amp;gt;1&amp;lt;/sup&amp;gt; Arnold Dallimore,''George Whitefield,'' Vol. 1 (London: Banner of Truth Trust, 1970), p. 16. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;sup&amp;gt;2&amp;lt;/sup&amp;gt; Christopher Catherwood, ''Five Evangelical Leaders''(Wheaton: Harold Shaw Publishers, 1985), p. 170. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;sup&amp;gt;3&amp;lt;/sup&amp;gt; Yesu alisema katika Luka 22:22 kwamba msalaba u”uliamuliwa” [''horismenon''] na Mungu,” na katika Mathayo 25:41 kwamba mioto za jehanamu vilitayarishwa na Mungu. “Kisha atawaambia wale walio upande Wake wa kushoto, ‘Ondokeni kwangu, ninyi mliolaaniwa, nendeni kwenye moto wa milele ilioandaliwa kwa ajili ya ibilisi na malaika zake.’” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;sup&amp;gt;4&amp;lt;/sup&amp;gt; Kutoka eneo Marekani zingatia maoni ya kusisimua ya Joel Green ambayo inapuuza yale ambayo kanisa imeaamini kuwa ni kiini cha injili na imedhubutiwa wazi katika maandiko (Isaya 53:4-6, 8-10; Wagalatia 3:13; Warumi 8:3): “Chochote kinachomaanishwa na upatanisho, itakuwa kosa kubwa kufikiri kwamba inalenga kutuliza hasira ya Mungu au kushindia tahadhari ya huruma ya Mungu. . . . Maandiko kwa ujumla hautoi msingi wa picha ya Mungu mwenye hasira anayehitaji shiba katika dhabihu ya upatanisho . . .. Chochote uwezayo kusemwa kuhusu jinsi Paulo aelewavyo kifo cha Kristo, theolojia yake kuhusu msalaba haina kamwe maana yeyote ya uendeleshaji wa adhabu ya Mungu.” Joel Green, Recovering the Scandal of the Cross: Atonement in New Testament &amp;amp;amp; Contemporary Context (Downers Grove: Intervarsity Pres, 2000), pp. 51, 56. Kutoka eneo la Uingereza Steve Chalke anaita mafunzo ya kuwa Kristo aliubeba gadhabu ya Mungu kwa ajili yetu “unyanyasaji wa kiulimwengu wa mtoto”: Ukweli ni kwamba msalaba si aina ya unyanyasaji wa kiulimwnefu wa watoto—Baba anayelipa kisasi, kwa kumadhiby Mwanawe kwa kosa ambayo hajatenda. Hakika, watu nje na ndani ya kanisa wamegundua huu toleo la tukio uliosongwa kuwa yenye kimaadili ya kutatanisha na pia kikwazo kikubwa kwa imani. Ndani zaidi, hata hivyo, ni kwamba dhana hiyo inasimama kinyume na taarifa kuwa ‘Mungu ni upendo’. Ikiwa msalaba ni kitendo binafsi ya unyanyasaji unaofanywa na Mungu kwa binadamu lakini kubebwa na Mwanawe, basi inafanya kejeli kwa mafundisho ya Yesu mwenyewe kuwapenda adui zenu na kukataa kulipa maovu kwa uovu. The Lost Message of Jesus (Grand Rapids: Zondervan Publishing Company, 2004), pp. 182-183. N.T. Wright anasema kuwa “wingi” (je anaaanisha “wote”?) wa kumbukumbu wa kuzimu katika Agano Jipya hayazungumzi kuhusu pahali pa mateso ya milele katika hali ya ufahamu, lakini kwamba tunahitaji a’ujenzi” au “marudio” ya mafundisho ya kuzimu “katika nyakati za kisasa” 1) Kwa upande wa binadamu kwa kutumia “zawadi yao ya uhuru” “kuharibu uutu wao kabisa,” na 2) katika suala la haki ya kijamii na taabu: “Kuna swala jingine sahihi na ambaye pia ni muhimu zaidi kuhusu mafundisho ya kuzini katika biblia kwa suala la maisha ya binadamu ya kijamii maisha ya kijami ya mashirika katika dunia hii. ''Following Jesus: Biblical Reflections on Discipleship'' (Grand Rapids: William B. Eerdmans Publishing Company, 1994), pp. 95-96. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;sup&amp;gt;5&amp;lt;/sup&amp;gt; Quoted from ''The Islam/West Debate: Documents from a Global Debate on Terrorism, U. S. Policy and the Middle East'', edited by David Blankenhorn in ''First Things,'' March 2006, #161, p. 71. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;sup&amp;gt;6&amp;lt;/sup&amp;gt; Jihadhari katika kusema: “Haifanyi” na kisha kugeukia mbinu nyingine na kuwacha nyuma njia ya Mungu ya kubadilisha watu. Unaweza kuwa na uwezo wa kubadilisha watu kwa njia na mbinu tofauti na utaratibu huu wa kuona utukufu wa Bwana katika ujumbe wa Mungu, lakini, je itakuwa mabadiliko ambayo inatukuza utukufu wa Kristo? Si kwamba mabadiliko yote yanamuheshimu Kristo. Paulo anaonya kwa maneno yaliomo katika 2 Wakorintho 4:3, “Hata nayo Injili yetu kama imetiwa utaji, ni kwa wale tu wanaopotea.” Kwa maneno mengine anakubali kwamba injili yake halibadili kila mtu. “Wa “kuangamia” hawaoni utukufu wa Mungu katika injili. Paulo habadilishi mbinu yake kwa sababu huo. Nasi pia hatufai. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;sup&amp;gt;7&amp;lt;/sup&amp;gt; 2 Timotheo 3:16-17; Warumi 15:4.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_mapenzi_ya_Mungu_na_tunaijuaje%3F</id>
		<title>Ni nini mapenzi ya Mungu na tunaijuaje?</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_mapenzi_ya_Mungu_na_tunaijuaje%3F"/>
				<updated>2017-07-21T19:29:46Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Ni nini mapenzi ya Mungu na tunaijuaje?&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|What Is the Will of God and How Do We Know It?}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Kwa hiyo, ndugu zangu nawasihi kwa rehema zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu na inayompendeza Mungu, hii ndiyo ibada yenu yenye maana. Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuze kwa kufanya mpya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu. &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Lengo la Warumi 12:1-2 ni kuwa maisha yote yatakuwa “ibada ya kiroho.” Mstari 1, “Itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu na inayompendeza Mungu, hii ndiyo ibada yenu yenye maana.” Lengo la uhai wote wa mwanadamu machoni pa Mungu ni kuwa Kristo akafanywe mwenye thamani vile alivyo. Kuabudu kunamaanisha kutumia mawazo na moyo na miili yetu kuonyesha thamani ya Mungu ni vile alivyo kwa ajili yetu katika Yesu. Kuna njia ya kuishi—njia ya kupenda—inayofanya hiyo. Kuna njia ya kufanya kazi yako ambayo inaonyesha thamani ya kweli ya Mungu. Kama huwezi kuipata, basi inafaa ubadilishe kazi. Ama inaweza maanisha pia kwamba mstari wa 2 haufanyi kazi kwa kiwango inafaa iwe inafanya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari wa 2 ni jibu la Paulo ya vile tunaweza kugeuza maisha yote kuwa ibada. Lazima tufanywe upya. Sio tu tabia zetu za nje, bali vile tunavyohisi na kuwaza—mawazo yetu. Mstari 2: “Mgeuze kwa ''kufanywa upya nia zenu''.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuwa Yule uliye ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wanaoamini Yesu Kristo ni viumbe vipya ambao wamenunuliwa tayari katika Kristo. “Kwa hiyo kama mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya,” Lakini sasa lazima ''tufanyike'' wale tulivyo “Ondoeni chachu ya kale ili mpate kuwa donge jipya, kama vile mlivyo hamkutiwa chachu.” (I Wakorintho 5:7)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nanyi mmeva utu upya unaofanya katika ufahamu sawasawa na mfano wa Mwamba wake.” (Wakolosai 3:10) Mmefanya wapya ndani ya Kristo; na sasa mnafanywa upya siku baada ya siku. Hiyo ndiyo tuliyoyaangazia wiki iliyopita.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa tunaangazia sehemu ya mwisho ya mstari wa 2, uitwayo, lengo la wazo lililiofanywa upya: “Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgheuze kwqa kufanywa upya ni zenu, [Huu hapa ndilo lengo] ''ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema yanayopendeza machoni pake na ukamilifu''.” Basi leo tunaangazia juu ya neno “mapenzi ya Mungu” na vile tunayahakikisha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mapenzi mbili ya Mungu  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna maana mbili wazi na pia tofauti ya neno “mapenzi ya Mungu” katika Bibilia. Tunastahili kuyajua na kujua ni gani inatumiwa hapa katika Warumi 12:2. Yamkini, kujua tofauti ya maana hizi mbili ya “mapenzi ya Mungu” ni muhimi kwa kufahamu mojawapo ya vitu vikuu na vitu vya kushangaza sana katika Bibilia yote, vinavyoitwa, kuwa Mungu ni mkuu kuliko vyote na bado hukubaliana na baadhi ya vitu alivyothibitisha vifanyike. Kusema, anakataza baadhi ya vitu anavyovileta. Na anaamrisha kusema, anakataza baadhi ya vitu anavyovileta. Na anaamrisha vitu vingine anavyovizuia. Ama kuiweka kwa wazi zaidi: Mungu anapendezwa na matukio mnengine kwa njia mmoja na hapendezwi na nyingine kwa njia nyingine. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1. Mapenzi ya Mungu ya Kukiri, ama ya Ukuu.'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha tuone sehemu ya andiko ambazo zinatufanya tufikirie kwa njia hii. Kwanza zingatia sehemu ambazo zinaongea kuhusu “mapenzi ya Mungu” kama utawala wake kuu juu ya yote yanayopita. Mojawapo ya iliyo wazi sana ni vile Yesu aliongea juu ya mapenzi ya Mungu kule Gethsemane alipokuwa akiomba. Alisema katika Mathayo 26:39, “Baba yangu, kama inawezekana kikombe hiki kiniepuke, lakini sasa kama nitakavyo mimi bali kama utakavyo Wewe.” Je Mapenzi ya Mungu yamaanisha nini katika mstari huu? Yamaanisha mpango mkuu wa Mungu ambao utafanyika katika masaa yajayo. Unakumbuka vile Matendo 4:27-28 inasema haya: ‘Ni kweli Herode na Pontio Pilato pamoja na Waisraeli, walikusanyika katika Injili huu dhidi ya Mwanao Yesu uliyemtia mafuta. Wao wakafanya yale ambayo uweza wako na mapenzi yako yamekusudia yatokee tangu zamani.” Sasa “mapenzi ya Mungu” ilikuwa Yesu afe. Huu ndio ulikuwa mpango wake, na amri yake. Haungeweza kuibadilishwa na Yesu alijisalimisha na kusema, “Huu hapa ni ombi langu, lakini fanya yanayofaa kufanyika.” Hiyo ndiyo mapenzi kuu ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na usikose jambo muhimu sana hapa kuwa inajuumlisha dhambi za mwanadamu. Herode Pilato walinzi, viongozi wa kiyahudi—wote walitenda dhambi kwa kutimiza mapenzi ya Mungu kuwa mwanawe asulubishwe (Isaya 53:10) Basi kuwa wazi kabisa kwa hii: Mapenzi ya MUngu huja kupita mambo mengine ambayo anayachukia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Huu hapa ni mfano kutoka Petero wa kwanza. Katika 1 Petero 3:17 Petero anaandika, “kwa maana ni afadhali kupata mateso kwa ajili ya kutenda mema kama kuteseka huko ndiyo mapenzi ya Mungu, kuliko kuteseka kwa kutenda maovu.” Kwa maneno mengine, inaweza kuwa mapenzi ya Mungu kuwa Wakristo wateseke kwa sababu ya kutenda wema. Anayo mawazoni mwake mateso. Lakini kuteseka kwa Wakristo ambao hawastahili kuteswa, ni dhambi. Basi tena, Mungu saa zingine Mungu hupenda kuwa matukio yaje yaliyojumulisha dhambi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo anapeana neno ya kujumulisha na ya kufagilia juu ya ukweli hii katika Waefeso 1:11 “Katika Kristo sisi nasi tumepata urithi, tukisha kuchaguliwa sawasawa na kusudi la Mungu, Yeye ambaye ''hufanya mambo yote kulingana na mapenzi yake''.” Mapenzi ya Mungu ni uongozi wake kiungu juu ya yote yanayo kuja kutimia. Na kuna sehemu nyingine nyingi katika Bibilia zinazofundisha kwamba upeanaji wa Mungu juu ya dunia ni mbingu unaendelea hadi mpaka kwa mambo ya umbile na kauli ndogo za binadamu. “Lakini hakuna hata shomoro mmoja wao atakayeanguka pasipo Baba yenu kujua (Mathayo 10:29). “ Kura hupigwa katika kufunika, lakini kila uamuzi wake hutoka kwa BWANA” (Methali 16:33) “Mipango ya moyoni ni ya mwanadamuj, bali jibu la ulimihutoka kwa Bwana.” (Methali 16:1). “Moyo wa mfalme uko katika mkono wa Bwana, humuongoza kama mkondo wa maji, popote apendapo” (Methali 21:1). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiyo ndiyo maana ya kwanza ya mapenzi ya Mungu: ni uongozi mkuu wa Mungu juu ya vitu vyote. Tutaita huu mapenzi yake kuu ama “mapenzi yake ya kuamrisha.” Hayawezi kuharibiwa. Lazima yatimie. “Hufanya kama atakavyo kwa majeshi ya mbinguni na kwa mataifa ya dunia. Hakuna anayeweza kuuzuia mkono wake au kumwambia, “Umefanya nini Wewe?” (Danieli 4:35)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2. Mapenzi ya Mungu ya kuamrisha'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa maana nyingine ya “mapenzi ya Mungu” katika Bibilia ni ile tunaweza kuita mapenzi yake ya kuamrisha. “Mapenzi yake ni yale anatuamrisha kuyatenda. Hii ndio mapenzi yake ambayo tunaweza kukataa ama kosa kutenda. Kwa mfano, Yesu alisema, “Si kila mtu aniambiaye Bwana, Bwana atakeyeingia katika Ufalme wa Mbinguni bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye Mbinguni.” Si wote wataingia katika Ufalme wa Mbinguni.” Kwa nini? Kwa sababu si wote wanafanya mapenzi ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo anasema katika I Wathesolanika 4:3, “Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu ninyi muwe watakatifu, ili kwamba mjiepushe na usherati.” Hapa tuko na hali ya pekee juu ya yale Mungu anatuimarisha kwayo: utakatifu, utakaso, uadilifu katika hali ya ngono. Haya ni mapenzi yake ya kuamrisha. Lakini, lo, wengi hawatii. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Halafu Paulo anasema katika I Wathesolanika 5:18,” Shukuruni kwa kila jambo, kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Kristo Yesu.” Hapo pia ni hali ya pekee juu ya mapenzi yake ya kuamrisha: Shukrani kwa kila jambo. Lakini wengi hawatendi mapenzi haya ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mfano mwingine mmoja zaidi: “Nao ulimwengu unapita pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu milele.” (1 Yohana 2:17). Si wote wadumu milele. Mapenzi ya Mungu, katika hali hii, huwa mara nyingi hayatendeki.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi natamatisha kutoka kwa haya na sehemu zingine nyingi ya Bibilia kuwa kuna njia ya kuongea juu ya mapenzi ya mungu. Yote ni kweli, na ya muhimu kuelewa na kuyaamini. Moja tunaita mapenzi ya Mungu kukiri (ama mapenzi yake ya ukuu) na nyingine tunaita Mapenzi ya Mungu ya kuamrisha. Mapenzi yake ya kukiri yanakuja kutimia ama tusipoamini. Mapenzi yake ya kuamrisha yanaweza kuharibiwa na hukubaliwa kila siku.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Thamani ya Kweli hii ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kabla nilinganishe hii na Warumi 12:2wacha nitaje juu ya vile ukweli hii miwili ni ya thamani. Yote yanalingana na hitaji ya ndani tulio nalo sisi sote wakati tumejeruhiwa kwa ndani ama wakati tumekumbwa na hasara kuu. Kwa njia moja, tunahitaji hakikisho kwamba Mungu yu ushukani na hivyo basi anaweza kufanya uchungu wangu wote na kupoteza kwangu kwa pamoja kwa ajili ya wema wangu na kwa wema wa wale wanaompenda. Kwa njia nyingine, yafaa tujue kuwa Mungu anasikia yale tunayosikia pamoja nasi na hafurahii katika dhambi na machungu kati na kwao wenyewe. Haya mahitaji mawili yanalingana na mapenzi ya Mungu ya kukiri na kuamrisha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa mfano kama ulidhulumiwa vibaya kama mtoto, na mtu akuulize, “Je unafikiri hiyo ilikuwa mapenzi ya Mungu?” Uko na njia sasa ya kupata ufahamu wa Bibilia katka hii, na upeane jibu isiyo kinyume na Bibilia. Unaweza sema, “La haikuwa mapenzi ya Mungu; kwa sababu anaamrisha wanadamu kutodhulumu, lakini kupendana. Udhalimu ulivunja amri yake na hivyo kufanya moyo wake kuwa na hasira na huzuni (Marko 3:5). Lakini katika njia nyingine, ndio ilikuwa mapenzi ya Mungu (mapenzi yake ya ukuu), Kwa sababu kuna mamia ya njia angeuzuilia. Lakini kwa sababu ambazo sielewi sana, hakuuzuilia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na yanayoambatana na mapenzi haya mawili ni mambo mawili unayohitaji katika hali hii. Moja ni Mungu mwenye nguvu na makuu ya kutosha kuubadilisha kwa wema; na nyingine ni Mungu aliye na uwezo ya kuhisi vile unavyohisi. Kwa upande mwingine, Kristo ni Mfalme mkuu, na hakuna kinachofanyika ila tu mapenzi yake (Mathayo 28:18) Tena, Kristo ni kuhani mkuu mwenye rehema anayeweza kuchukuliana na sisi katika udhaifu na uchungu wetu (Waebrania 4:15). Roho mtakatifu hututawala na kushinda dhambi zetu anapopenda (Yohana 1:13; Warumi 9:15-16), na akijiruhusu kuzimwa na akahuzunishwa na kukasirishwa alipopenda (Waefeso 4:30; 1 Wathesolanika 5:19). Mapenzi yake ya ukuu hauna pingamizi, na mapenzi yake ya kuamrisha yaweza kuharibiwa vibaya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunahitaji ukweli hii yote—ufahamu huu wote kwa mapenzi ya Mungu—si tu kuleta ufahamu kutoka kwa Bibilia, bali pia kushikilia sana kwa mateso katika Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mapenzi gani yanaongelewa katika warumi 12:2? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa, ni gani kati ya haya yamemaanishwa katika Warumi 12:2, “Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuze kwa kufanywa mpya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini ''mapenzi ya Mungu ''yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu. Jibu hakika ni kwamba Paulo anaongea juu ya mapenzi ya Mungu ya kuamrisha. Nasema hili kwa sababu zaidi ya mbili. Mungu hakusudii tujue mapenzi yake ya ukuu mbele ya wakati.” “Mambo ya siri ni ya BWANA Mungu wetu, bali yaliyofunuliwa ni yetu.” (Kumbukumbu laTorati 29:29). Kama unataka kujua mambo ya usoni ya mapenzi ya Mungu ya kukiri, huhitaji wazo lililofanywa mpya, unahitaji mpira wa chembe. Hii haiitwi kufanywa upya na kutii; inaitwa uungu na kutabiriwa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu nasema mapenzi ya Mungu katika Warumi 12:2ni mapenzi ya Mungu ya kuamrisha na si ya kukiri ni kuwa tamshi “ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha” inaonyesha kuwa inafaa tukubali mapenzi ya Mungu na hatimaye kwa utiifu tuyatende. Lakini, yamkini hatufai tukubali dhambi ama tutende dhambi, ingawa ni sehemu ya mapenzi ya Mungu ya ukuu. Maana ya Paulo katika Warumi 12:2 limenukuliwa kwa njia ambayo ni karibu sawa katika Waebrania 5:14, ambayo inasema, Llakini chakula kigumu ni kwa ajili ya watu wazima, ambao kwa kujizoeza wamejifunza kupambanua kati ya mema na mabaya.” (tazama ufananisho mwingine katika Wafilipi 1:9-11). Hilo ndilo lengo la mstari huu “Si kufafanua mapenzi ya Mungu ya ''siri'' ambayo anapanga kutimiliza, lakini kupambanua mapenzi ya Mungu ''yaliyodhihirishwa ''ambayo ''yanatupasa'' tuyatende.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hatua tatu ya kujua na kutenda mapenzi ya Mungu yaliyofunuliwa  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna hatua tatu ya kujua kufanya mapenzi ya Mungu yaliyofunuliwa, hiyo ni kusema, mapenzi yake ya kuamrisha; na hayo yote yanahitaji moyo uliofanywa upya ulio na upambanuzi uliopeanwa na Roho mtakatifu tulio ongea juu yake wakati uliopita.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Hatua ya kwanza'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwanza, mapenzi ya Mungu ya kuamrisha imefunuliwa kwa nguvu ya kutosha na ya mwisho katika Bibilia pekee. Na tunahitaji moyo uliofanywa upya ili kuelewa na kukumbatia yale Mungu anatuamuru katika Andiko. Pasipo Moyo uliofanywa upya, tutaharibu maandiko ili kukwepa amri yao muhimu ya kujinyima, na upendo na usafi na utosheleshaji mkuu katika Kristo pekee. Mapenzi ya Mungu ya kuamrisha yenye nguvu yapatikana tu katika Bibilia. Paulo anasema kuwa maandiko yamevuviwa na Mungu na yanafanya Mkristo awe kamili, aliyekamilishwa ili apate kutenda kila kazi njema. (2 Timotheo 3:16) Si tu baadhi ya kazi nzuri. “Kila kazi njema.” Lo, ni bidii na muda na ukakamavu gani Wakristo wanafaa kuwa nayo kwa kutafakari neno la Mungu lililoandikwa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Hatua ya pili'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hatua ya pili ya mapenzi ya Mungu ya kuamarisha ni vile tunautumia ukweli wa Bibilia katika hali mbaya ambayo yaweza kuwa yameelezwa kinaga ubaga ama kutoelezwa katika Bibilia. Bibilia haikuambii ni mtu wa aina gani inafaa uoe, ama ni gari gani unastahili kuliendesha, ama kama unaweza kumiliki nyumba, pahali pa kujistarehesha, aina ya huduma ya simu ya rununu ya kununua, ama aina ya maji ya machungwa ya kunywa. Ama aina ya hatua ya kuchukua.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kile cha muhimu ni kuwa tuwe na moyo uliofanywa upya, ambao umetengenezwa na kudhibitiwa na mapenzi ya Mungu yaliyofunuliwa katika Bibilia, ili tuweze kuona na kupekua hali yote yanayofaa na moyo wa Kristo na kupambanua yale Mungu anatuita tukayafanye. Hii ni tofauti sana na kujaribu kila mara kusikia sauti ya Mungu akisema fanya hiki ama kile. Watu wanaojaribu kuishi maisha yao kwa kusikia sauti zisizoambatana na Warumi 12:2.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna tofauti ya kilimwengu kati ya kuomba na kutafuta kufanywa upya kwa wazo ambalo hupambanua jinsi ya kutumia Neno la Mungu, kwa upande mwingine, mazoea ya kuomba Mungu ili akupatie ufunuo mpya ya kitu cha kutenda, kwa upande mwingine. Uungu hauhitaji kufanywa upya. Lengo la Mungu ni wazo jipya, njia mpya ya kufikiria na uamuzi, si tu habari mpya. Lengo lake ni kuwa tufanywe upya, tutakaswe, tuwekwe huru na ukweli wa neno lake lililofunuliwa (Yohana 8:32; 17:17). Basi hatua ya pili ya Mapenzi ya Mungu ya kuamrisha ni uwezo wa kupambana kwa maandiko na pia hali mpya katika maisha kwa njia ya kufanywa upya mawazoni.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Hatua ya tatu'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ya mwisho, hatua ya tatu ya mapenzi ya Mungu ya kuamrisha ni sehemu kubwa ya kuishi pahali hakuna ufahamu wa kuonekana kabla tuchukue hatua. Namaanisha kusema asilimia 95 ya matendo yako hufikirii kabla ya kuyatenda. Ni kusema, wingi wa fikira zako, matendo yako na mienendo zako ni ya ghafla. Yatokana na yale yaliyo ndani. Yesu alisema, Yesu alisema, “Kwa maana kinywa cha mtu huyanena yale yaliyoujaza moyo wake. Mtu mwema hutoa yaliyo mema kutoka katika hazina ya mambo mema yaliyo hifadhiwa ndani yake. Lakini nawaambia, katika siku ya hukumu watu watatoa hesabu kuhusu kila neno lisilo kuwa na maana alilonena” (Mathayo 12:34-36).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa nini naliita hili sehemu ya mapenzi ya Mungu ya kuamrisha? Kwa sababu moja. Kwa sababu Mungu anaamuru vitu kama: Usikasirike. Usijawe na Kiburi. Usiwe na tamaa. Usiwe na hila. Usiwe na wivu. Usiwe na chuki. Na hakuna kati ya matendo haya ambayo yanapangwa kabla. Hasira, kiburi, tamaa, hila, wivu, chuki—yote yainuka kutoka kwa roho bila kufahamu ama kusudia . Na tunakuwa na hatia kwa sababu yao. Yanavunja sheria za Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Si ni wazi basi kwamba kuna jukumu moja kuu katika maisha ya Mkristo: Ubadilishwe kwa kufanywa upya mawazoni mwako. Tunahitaji moyo na mawazo mapya. Ufanye mti kuwa mzuri nayo matunda yake yatakuwa mazuri (Mathayo 12:33). Ndiyo changamoto kuu—Mungu anakuita kwayo. Huwezi kufanya kivyako. Unahitaji Kristo, ambaye alifilia dhambi zako. Na mnahitaji Roho mtakatifu kuwaeleza kwa ukweli wa Kristo unaoinua na kufanya kwako katika unyenyekevu ukumbatiayo ukweli.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jisalimishe kwa hii. Jitumbukize kwa neno la Mungu lililoandikwa; jaza mawazo yako nayo. Na uombe kwamba Roho wa Kristo akufanye upya kwa Kiasi kuwa mabara yatakuwa mema, yaliyokubalika na kamilifu—mapenzi ya Mungu.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_mapenzi_ya_Mungu_na_tunaijuaje%3F</id>
		<title>Ni nini mapenzi ya Mungu na tunaijuaje?</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Ni_nini_mapenzi_ya_Mungu_na_tunaijuaje%3F"/>
				<updated>2017-07-21T19:29:29Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|What Is the Will of God and How Do We Know It?}}  &amp;lt;blockquote&amp;gt; Kwa hiyo, ndugu zangu nawasihi kwa rehema zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu na i...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|What Is the Will of God and How Do We Know It?}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Kwa hiyo, ndugu zangu nawasihi kwa rehema zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu na inayompendeza Mungu, hii ndiyo ibada yenu yenye maana. Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuze kwa kufanya mpya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu. &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Lengo la Warumi 12:1-2 ni kuwa maisha yote yatakuwa “ibada ya kiroho.” Mstari 1, “Itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu na inayompendeza Mungu, hii ndiyo ibada yenu yenye maana.” Lengo la uhai wote wa mwanadamu machoni pa Mungu ni kuwa Kristo akafanywe mwenye thamani vile alivyo. Kuabudu kunamaanisha kutumia mawazo na moyo na miili yetu kuonyesha thamani ya Mungu ni vile alivyo kwa ajili yetu katika Yesu. Kuna njia ya kuishi—njia ya kupenda—inayofanya hiyo. Kuna njia ya kufanya kazi yako ambayo inaonyesha thamani ya kweli ya Mungu. Kama huwezi kuipata, basi inafaa ubadilishe kazi. Ama inaweza maanisha pia kwamba mstari wa 2 haufanyi kazi kwa kiwango inafaa iwe inafanya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mstari wa 2 ni jibu la Paulo ya vile tunaweza kugeuza maisha yote kuwa ibada. Lazima tufanywe upya. Sio tu tabia zetu za nje, bali vile tunavyohisi na kuwaza—mawazo yetu. Mstari 2: “Mgeuze kwa ''kufanywa upya nia zenu''.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kuwa Yule uliye ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wanaoamini Yesu Kristo ni viumbe vipya ambao wamenunuliwa tayari katika Kristo. “Kwa hiyo kama mtu akiwa ndani ya Kristo, amekuwa kiumbe kipya,” Lakini sasa lazima ''tufanyike'' wale tulivyo “Ondoeni chachu ya kale ili mpate kuwa donge jipya, kama vile mlivyo hamkutiwa chachu.” (I Wakorintho 5:7)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nanyi mmeva utu upya unaofanya katika ufahamu sawasawa na mfano wa Mwamba wake.” (Wakolosai 3:10) Mmefanya wapya ndani ya Kristo; na sasa mnafanywa upya siku baada ya siku. Hiyo ndiyo tuliyoyaangazia wiki iliyopita.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa tunaangazia sehemu ya mwisho ya mstari wa 2, uitwayo, lengo la wazo lililiofanywa upya: “Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgheuze kwqa kufanywa upya ni zenu, [Huu hapa ndilo lengo] ''ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema yanayopendeza machoni pake na ukamilifu''.” Basi leo tunaangazia juu ya neno “mapenzi ya Mungu” na vile tunayahakikisha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mapenzi mbili ya Mungu  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna maana mbili wazi na pia tofauti ya neno “mapenzi ya Mungu” katika Bibilia. Tunastahili kuyajua na kujua ni gani inatumiwa hapa katika Warumi 12:2. Yamkini, kujua tofauti ya maana hizi mbili ya “mapenzi ya Mungu” ni muhimi kwa kufahamu mojawapo ya vitu vikuu na vitu vya kushangaza sana katika Bibilia yote, vinavyoitwa, kuwa Mungu ni mkuu kuliko vyote na bado hukubaliana na baadhi ya vitu alivyothibitisha vifanyike. Kusema, anakataza baadhi ya vitu anavyovileta. Na anaamrisha kusema, anakataza baadhi ya vitu anavyovileta. Na anaamrisha vitu vingine anavyovizuia. Ama kuiweka kwa wazi zaidi: Mungu anapendezwa na matukio mnengine kwa njia mmoja na hapendezwi na nyingine kwa njia nyingine. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1. Mapenzi ya Mungu ya Kukiri, ama ya Ukuu.'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha tuone sehemu ya andiko ambazo zinatufanya tufikirie kwa njia hii. Kwanza zingatia sehemu ambazo zinaongea kuhusu “mapenzi ya Mungu” kama utawala wake kuu juu ya yote yanayopita. Mojawapo ya iliyo wazi sana ni vile Yesu aliongea juu ya mapenzi ya Mungu kule Gethsemane alipokuwa akiomba. Alisema katika Mathayo 26:39, “Baba yangu, kama inawezekana kikombe hiki kiniepuke, lakini sasa kama nitakavyo mimi bali kama utakavyo Wewe.” Je Mapenzi ya Mungu yamaanisha nini katika mstari huu? Yamaanisha mpango mkuu wa Mungu ambao utafanyika katika masaa yajayo. Unakumbuka vile Matendo 4:27-28 inasema haya: ‘Ni kweli Herode na Pontio Pilato pamoja na Waisraeli, walikusanyika katika Injili huu dhidi ya Mwanao Yesu uliyemtia mafuta. Wao wakafanya yale ambayo uweza wako na mapenzi yako yamekusudia yatokee tangu zamani.” Sasa “mapenzi ya Mungu” ilikuwa Yesu afe. Huu ndio ulikuwa mpango wake, na amri yake. Haungeweza kuibadilishwa na Yesu alijisalimisha na kusema, “Huu hapa ni ombi langu, lakini fanya yanayofaa kufanyika.” Hiyo ndiyo mapenzi kuu ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na usikose jambo muhimu sana hapa kuwa inajuumlisha dhambi za mwanadamu. Herode Pilato walinzi, viongozi wa kiyahudi—wote walitenda dhambi kwa kutimiza mapenzi ya Mungu kuwa mwanawe asulubishwe (Isaya 53:10) Basi kuwa wazi kabisa kwa hii: Mapenzi ya MUngu huja kupita mambo mengine ambayo anayachukia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Huu hapa ni mfano kutoka Petero wa kwanza. Katika 1 Petero 3:17 Petero anaandika, “kwa maana ni afadhali kupata mateso kwa ajili ya kutenda mema kama kuteseka huko ndiyo mapenzi ya Mungu, kuliko kuteseka kwa kutenda maovu.” Kwa maneno mengine, inaweza kuwa mapenzi ya Mungu kuwa Wakristo wateseke kwa sababu ya kutenda wema. Anayo mawazoni mwake mateso. Lakini kuteseka kwa Wakristo ambao hawastahili kuteswa, ni dhambi. Basi tena, Mungu saa zingine Mungu hupenda kuwa matukio yaje yaliyojumulisha dhambi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo anapeana neno ya kujumulisha na ya kufagilia juu ya ukweli hii katika Waefeso 1:11 “Katika Kristo sisi nasi tumepata urithi, tukisha kuchaguliwa sawasawa na kusudi la Mungu, Yeye ambaye ''hufanya mambo yote kulingana na mapenzi yake''.” Mapenzi ya Mungu ni uongozi wake kiungu juu ya yote yanayo kuja kutimia. Na kuna sehemu nyingine nyingi katika Bibilia zinazofundisha kwamba upeanaji wa Mungu juu ya dunia ni mbingu unaendelea hadi mpaka kwa mambo ya umbile na kauli ndogo za binadamu. “Lakini hakuna hata shomoro mmoja wao atakayeanguka pasipo Baba yenu kujua (Mathayo 10:29). “ Kura hupigwa katika kufunika, lakini kila uamuzi wake hutoka kwa BWANA” (Methali 16:33) “Mipango ya moyoni ni ya mwanadamuj, bali jibu la ulimihutoka kwa Bwana.” (Methali 16:1). “Moyo wa mfalme uko katika mkono wa Bwana, humuongoza kama mkondo wa maji, popote apendapo” (Methali 21:1). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiyo ndiyo maana ya kwanza ya mapenzi ya Mungu: ni uongozi mkuu wa Mungu juu ya vitu vyote. Tutaita huu mapenzi yake kuu ama “mapenzi yake ya kuamrisha.” Hayawezi kuharibiwa. Lazima yatimie. “Hufanya kama atakavyo kwa majeshi ya mbinguni na kwa mataifa ya dunia. Hakuna anayeweza kuuzuia mkono wake au kumwambia, “Umefanya nini Wewe?” (Danieli 4:35)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2. Mapenzi ya Mungu ya kuamrisha'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa maana nyingine ya “mapenzi ya Mungu” katika Bibilia ni ile tunaweza kuita mapenzi yake ya kuamrisha. “Mapenzi yake ni yale anatuamrisha kuyatenda. Hii ndio mapenzi yake ambayo tunaweza kukataa ama kosa kutenda. Kwa mfano, Yesu alisema, “Si kila mtu aniambiaye Bwana, Bwana atakeyeingia katika Ufalme wa Mbinguni bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye Mbinguni.” Si wote wataingia katika Ufalme wa Mbinguni.” Kwa nini? Kwa sababu si wote wanafanya mapenzi ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo anasema katika I Wathesolanika 4:3, “Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu ninyi muwe watakatifu, ili kwamba mjiepushe na usherati.” Hapa tuko na hali ya pekee juu ya yale Mungu anatuimarisha kwayo: utakatifu, utakaso, uadilifu katika hali ya ngono. Haya ni mapenzi yake ya kuamrisha. Lakini, lo, wengi hawatii. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Halafu Paulo anasema katika I Wathesolanika 5:18,” Shukuruni kwa kila jambo, kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Kristo Yesu.” Hapo pia ni hali ya pekee juu ya mapenzi yake ya kuamrisha: Shukrani kwa kila jambo. Lakini wengi hawatendi mapenzi haya ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mfano mwingine mmoja zaidi: “Nao ulimwengu unapita pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu milele.” (1 Yohana 2:17). Si wote wadumu milele. Mapenzi ya Mungu, katika hali hii, huwa mara nyingi hayatendeki.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi natamatisha kutoka kwa haya na sehemu zingine nyingi ya Bibilia kuwa kuna njia ya kuongea juu ya mapenzi ya mungu. Yote ni kweli, na ya muhimu kuelewa na kuyaamini. Moja tunaita mapenzi ya Mungu kukiri (ama mapenzi yake ya ukuu) na nyingine tunaita Mapenzi ya Mungu ya kuamrisha. Mapenzi yake ya kukiri yanakuja kutimia ama tusipoamini. Mapenzi yake ya kuamrisha yanaweza kuharibiwa na hukubaliwa kila siku.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Thamani ya Kweli hii ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kabla nilinganishe hii na Warumi 12:2wacha nitaje juu ya vile ukweli hii miwili ni ya thamani. Yote yanalingana na hitaji ya ndani tulio nalo sisi sote wakati tumejeruhiwa kwa ndani ama wakati tumekumbwa na hasara kuu. Kwa njia moja, tunahitaji hakikisho kwamba Mungu yu ushukani na hivyo basi anaweza kufanya uchungu wangu wote na kupoteza kwangu kwa pamoja kwa ajili ya wema wangu na kwa wema wa wale wanaompenda. Kwa njia nyingine, yafaa tujue kuwa Mungu anasikia yale tunayosikia pamoja nasi na hafurahii katika dhambi na machungu kati na kwao wenyewe. Haya mahitaji mawili yanalingana na mapenzi ya Mungu ya kukiri na kuamrisha.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa mfano kama ulidhulumiwa vibaya kama mtoto, na mtu akuulize, “Je unafikiri hiyo ilikuwa mapenzi ya Mungu?” Uko na njia sasa ya kupata ufahamu wa Bibilia katka hii, na upeane jibu isiyo kinyume na Bibilia. Unaweza sema, “La haikuwa mapenzi ya Mungu; kwa sababu anaamrisha wanadamu kutodhulumu, lakini kupendana. Udhalimu ulivunja amri yake na hivyo kufanya moyo wake kuwa na hasira na huzuni (Marko 3:5). Lakini katika njia nyingine, ndio ilikuwa mapenzi ya Mungu (mapenzi yake ya ukuu), Kwa sababu kuna mamia ya njia angeuzuilia. Lakini kwa sababu ambazo sielewi sana, hakuuzuilia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na yanayoambatana na mapenzi haya mawili ni mambo mawili unayohitaji katika hali hii. Moja ni Mungu mwenye nguvu na makuu ya kutosha kuubadilisha kwa wema; na nyingine ni Mungu aliye na uwezo ya kuhisi vile unavyohisi. Kwa upande mwingine, Kristo ni Mfalme mkuu, na hakuna kinachofanyika ila tu mapenzi yake (Mathayo 28:18) Tena, Kristo ni kuhani mkuu mwenye rehema anayeweza kuchukuliana na sisi katika udhaifu na uchungu wetu (Waebrania 4:15). Roho mtakatifu hututawala na kushinda dhambi zetu anapopenda (Yohana 1:13; Warumi 9:15-16), na akijiruhusu kuzimwa na akahuzunishwa na kukasirishwa alipopenda (Waefeso 4:30; 1 Wathesolanika 5:19). Mapenzi yake ya ukuu hauna pingamizi, na mapenzi yake ya kuamrisha yaweza kuharibiwa vibaya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunahitaji ukweli hii yote—ufahamu huu wote kwa mapenzi ya Mungu—si tu kuleta ufahamu kutoka kwa Bibilia, bali pia kushikilia sana kwa mateso katika Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mapenzi gani yanaongelewa katika warumi 12:2? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa, ni gani kati ya haya yamemaanishwa katika Warumi 12:2, “Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuze kwa kufanywa mpya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini ''mapenzi ya Mungu ''yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu. Jibu hakika ni kwamba Paulo anaongea juu ya mapenzi ya Mungu ya kuamrisha. Nasema hili kwa sababu zaidi ya mbili. Mungu hakusudii tujue mapenzi yake ya ukuu mbele ya wakati.” “Mambo ya siri ni ya BWANA Mungu wetu, bali yaliyofunuliwa ni yetu.” (Kumbukumbu laTorati 29:29). Kama unataka kujua mambo ya usoni ya mapenzi ya Mungu ya kukiri, huhitaji wazo lililofanywa mpya, unahitaji mpira wa chembe. Hii haiitwi kufanywa upya na kutii; inaitwa uungu na kutabiriwa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu nasema mapenzi ya Mungu katika Warumi 12:2ni mapenzi ya Mungu ya kuamrisha na si ya kukiri ni kuwa tamshi “ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha” inaonyesha kuwa inafaa tukubali mapenzi ya Mungu na hatimaye kwa utiifu tuyatende. Lakini, yamkini hatufai tukubali dhambi ama tutende dhambi, ingawa ni sehemu ya mapenzi ya Mungu ya ukuu. Maana ya Paulo katika Warumi 12:2 limenukuliwa kwa njia ambayo ni karibu sawa katika Waebrania 5:14, ambayo inasema, Llakini chakula kigumu ni kwa ajili ya watu wazima, ambao kwa kujizoeza wamejifunza kupambanua kati ya mema na mabaya.” (tazama ufananisho mwingine katika Wafilipi 1:9-11). Hilo ndilo lengo la mstari huu “Si kufafanua mapenzi ya Mungu ya ''siri'' ambayo anapanga kutimiliza, lakini kupambanua mapenzi ya Mungu ''yaliyodhihirishwa ''ambayo ''yanatupasa'' tuyatende.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Hatua tatu ya kujua na kutenda mapenzi ya Mungu yaliyofunuliwa  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna hatua tatu ya kujua kufanya mapenzi ya Mungu yaliyofunuliwa, hiyo ni kusema, mapenzi yake ya kuamrisha; na hayo yote yanahitaji moyo uliofanywa upya ulio na upambanuzi uliopeanwa na Roho mtakatifu tulio ongea juu yake wakati uliopita.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Hatua ya kwanza'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwanza, mapenzi ya Mungu ya kuamrisha imefunuliwa kwa nguvu ya kutosha na ya mwisho katika Bibilia pekee. Na tunahitaji moyo uliofanywa upya ili kuelewa na kukumbatia yale Mungu anatuamuru katika Andiko. Pasipo Moyo uliofanywa upya, tutaharibu maandiko ili kukwepa amri yao muhimu ya kujinyima, na upendo na usafi na utosheleshaji mkuu katika Kristo pekee. Mapenzi ya Mungu ya kuamrisha yenye nguvu yapatikana tu katika Bibilia. Paulo anasema kuwa maandiko yamevuviwa na Mungu na yanafanya Mkristo awe kamili, aliyekamilishwa ili apate kutenda kila kazi njema. (2 Timotheo 3:16) Si tu baadhi ya kazi nzuri. “Kila kazi njema.” Lo, ni bidii na muda na ukakamavu gani Wakristo wanafaa kuwa nayo kwa kutafakari neno la Mungu lililoandikwa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Hatua ya pili'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hatua ya pili ya mapenzi ya Mungu ya kuamarisha ni vile tunautumia ukweli wa Bibilia katika hali mbaya ambayo yaweza kuwa yameelezwa kinaga ubaga ama kutoelezwa katika Bibilia. Bibilia haikuambii ni mtu wa aina gani inafaa uoe, ama ni gari gani unastahili kuliendesha, ama kama unaweza kumiliki nyumba, pahali pa kujistarehesha, aina ya huduma ya simu ya rununu ya kununua, ama aina ya maji ya machungwa ya kunywa. Ama aina ya hatua ya kuchukua.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kile cha muhimu ni kuwa tuwe na moyo uliofanywa upya, ambao umetengenezwa na kudhibitiwa na mapenzi ya Mungu yaliyofunuliwa katika Bibilia, ili tuweze kuona na kupekua hali yote yanayofaa na moyo wa Kristo na kupambanua yale Mungu anatuita tukayafanye. Hii ni tofauti sana na kujaribu kila mara kusikia sauti ya Mungu akisema fanya hiki ama kile. Watu wanaojaribu kuishi maisha yao kwa kusikia sauti zisizoambatana na Warumi 12:2.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna tofauti ya kilimwengu kati ya kuomba na kutafuta kufanywa upya kwa wazo ambalo hupambanua jinsi ya kutumia Neno la Mungu, kwa upande mwingine, mazoea ya kuomba Mungu ili akupatie ufunuo mpya ya kitu cha kutenda, kwa upande mwingine. Uungu hauhitaji kufanywa upya. Lengo la Mungu ni wazo jipya, njia mpya ya kufikiria na uamuzi, si tu habari mpya. Lengo lake ni kuwa tufanywe upya, tutakaswe, tuwekwe huru na ukweli wa neno lake lililofunuliwa (Yohana 8:32; 17:17). Basi hatua ya pili ya Mapenzi ya Mungu ya kuamrisha ni uwezo wa kupambana kwa maandiko na pia hali mpya katika maisha kwa njia ya kufanywa upya mawazoni.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Hatua ya tatu'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ya mwisho, hatua ya tatu ya mapenzi ya Mungu ya kuamrisha ni sehemu kubwa ya kuishi pahali hakuna ufahamu wa kuonekana kabla tuchukue hatua. Namaanisha kusema asilimia 95 ya matendo yako hufikirii kabla ya kuyatenda. Ni kusema, wingi wa fikira zako, matendo yako na mienendo zako ni ya ghafla. Yatokana na yale yaliyo ndani. Yesu alisema, Yesu alisema, “Kwa maana kinywa cha mtu huyanena yale yaliyoujaza moyo wake. Mtu mwema hutoa yaliyo mema kutoka katika hazina ya mambo mema yaliyo hifadhiwa ndani yake. Lakini nawaambia, katika siku ya hukumu watu watatoa hesabu kuhusu kila neno lisilo kuwa na maana alilonena” (Mathayo 12:34-36).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa nini naliita hili sehemu ya mapenzi ya Mungu ya kuamrisha? Kwa sababu moja. Kwa sababu Mungu anaamuru vitu kama: Usikasirike. Usijawe na Kiburi. Usiwe na tamaa. Usiwe na hila. Usiwe na wivu. Usiwe na chuki. Na hakuna kati ya matendo haya ambayo yanapangwa kabla. Hasira, kiburi, tamaa, hila, wivu, chuki—yote yainuka kutoka kwa roho bila kufahamu ama kusudia . Na tunakuwa na hatia kwa sababu yao. Yanavunja sheria za Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Si ni wazi basi kwamba kuna jukumu moja kuu katika maisha ya Mkristo: Ubadilishwe kwa kufanywa upya mawazoni mwako. Tunahitaji moyo na mawazo mapya. Ufanye mti kuwa mzuri nayo matunda yake yatakuwa mazuri (Mathayo 12:33). Ndiyo changamoto kuu—Mungu anakuita kwayo. Huwezi kufanya kivyako. Unahitaji Kristo, ambaye alifilia dhambi zako. Na mnahitaji Roho mtakatifu kuwaeleza kwa ukweli wa Kristo unaoinua na kufanya kwako katika unyenyekevu ukumbatiayo ukweli.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jisalimishe kwa hii. Jitumbukize kwa neno la Mungu lililoandikwa; jaza mawazo yako nayo. Na uombe kwamba Roho wa Kristo akufanye upya kwa Kiasi kuwa mabara yatakuwa mema, yaliyokubalika na kamilifu—mapenzi ya Mungu.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Mawazo_ya_Uchungaji_kuhusu_mafunzo_ya_kidini_kuhusu_Uchaguzi</id>
		<title>Mawazo ya Uchungaji kuhusu mafunzo ya kidini kuhusu Uchaguzi</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Mawazo_ya_Uchungaji_kuhusu_mafunzo_ya_kidini_kuhusu_Uchaguzi"/>
				<updated>2017-07-11T19:45:25Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Mawazo ya Uchungaji kuhusu mafunzo ya kidini kuhusu Uchaguzi&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Pastoral Thoughts on the Doctrine of Election}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;Basi ni vivi hivi wakati huu wa sasa, kunao mabaki waliyochaguliwa kwa neema. 6 Lakini ikiwa ni kwa neema, haiwi kwa matendo tena, au hapo neema isingekuwa neema tena. 7 Imekuaje basi? Kitu kile ambacho Israeli alikuwa akikitafuta hakukipata. Lakini wale wateule walikipata na wengine walitiwa ugumu. &amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Ni navyo waza kuhusu athari ya uchungaji ya kuhubiri kupitia mafunzo ya kidini nzito hivi kama Warumi 11, ilionekana nzuri kwangu kuwa pengine kila wiki chache hivi tungetulia ndani ya mtiririko wa uchambuzi, tufikirie na tuzungumuze kuhusu athari ya wazi kwa yale tumekuwa tukiona. Yale tumekuwa tukiona wiki chache hivi karibuni kutoka Warumi 11:1-10 (Jinsi tulivyofanya kwa Warumi 8:29-33 na Warumi 9:10-24) ni mafunzo ya dini ya kibibilia kuhusu uchaguzi bila vikwazo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ndiyo mafunzo ambayo Mngu aliuchagua, Kabla ya msingi ya dunia (Waefeso 1:4). Nani angeamini na basi kuokolewa bila kustahili bila kuzingatia dhambi zao, na ninani angeendelea katika uasi na basi kustahili kuangamia kwasababu ya dhambi zao. Kwa maneno mengine, hekima na haki na neema ya mapenzi ya Mungu ndio ufafanuzi wa mwisho ya yale yanayo tendeka ulimwenguni kwa ujumla. Wanadamu si Mungu. Hatuwezi sababisha matukio patupu. Sisi viongozi wa Bethlehemu, tushikilie, sana utatanshi na bibilia (sio upingaji) yenye kwa upande mwingine, Mungu ni mtawala pekee na upande huo mwingine sisi wote tumejumuika na tu wenye hatia kwa sababu ya dhambi zetu na tunastahili Hukumu. Ikiwa Mungu alituchagua ili tuje kwa Imani na tuokolewe kutoka kwa hali ya hatia, haitugharimu chochote. Hii ndio tumeona katika Warumi 8 na 9 na sasa tena kwa Warumi 11:1-10. Hiyo ndio na maanisha kwa kusema uchaguzi bila vikwazo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi leo tunageuka mafikira ya kichungaji kuhusu sheria ya uchaguzi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1''. Sio vitu zote nzuri kwetu kujua, na basi Mungu hajatuonyesha; na kuna vitu vingine vizuri kwetu kujua. Hata kama hatuwezi kuyafafanua kikamilifu. ''  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Naweka msingi huu kidogo kwa Kumbukumbu la torati 29:29. Mahali Musa alisema. “Mambo ya siri ni ya Bwana Mungu wetu; Lakini mambo yaliyofunuliwa ni yetu sisi na watoto wetu milele.” Kunayo vitu Mungu hajapanga ili sisi kuya kujua. Huenda ikawa sio nzuri kwetu. Mfano katika Matendo ya mitume 1:7, Yesu anasema “Si kazi yenu kujua misimu au majira ambayo Baba aliyoweka katika mamlaka yake mwenyewe.” Kujua zaidi kuhusu mambo ya usoni hauwezi kuwa nzuri kwetu. Kwa hakika huenda hatujui chochote au twajua kidogo sana kuhusu yatakayo tendeka kesho. Waraka wa Yakobo 4:14 yasema, “Walakini hamjui yatakayo kuwa kesho.” Mfano mwingine utakuwa Zaburi 131 mahali Daudi akasema “Moyo wangu hauna kiburi, wala macho yangu hayainuki; wala si jishughulishi na mambo makuu, wala na mambo yashindayo nguvu zangu.” Kuna mambo mengine ambayo yamo mbali nasi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Vitu vingine tunavijua, kwa sababu Mungu ametufunulia sisi, lakini tunavijua tu kwa visehemu. Basi ni vyema kwetu kuvijua. Lakini ni lazima tujitosheleze na kujua tu sehemu kidogo tu, kama Paulo asema katika 1 Wakorintho 13:12 “Maana wakati wa sasa tunaona kwa kioo jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; Wakati wa sasa nafahamu kwa sehemu; Wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana.” Hii ni kweli kabisa kuhusu mafunzo ya uchaguzi. Tunamazoea ya kuuliza maswali mengi sana zaidi ya yale Mungu anachagua kujibu. Kuna hatari kubwa sana kwa kuwa maswali huenda yakapita kuwa lawama. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Madhara moja kuhusu pointi hii ni kuwa hatutakuwa tukijua jinsi mafunzo ya kidini mengine katika Bibilia ni nzuri kwetu. Sisi wa Amerika sana sana huwa watu wa kuchukuwa hatua na kutaka vitu vifanywe kikamilifu. Tusipoona malipo ya mafunzo ya kidini kwa haraka, huwatuna mazoea ya kupuuza. Sisi tuu kama watoto wapumbavu tufanyapo hivyo. Kila mzazi anajua watoto ni lazima wafanywe kujifunza mambo bila kujua jinsi yatakuwa ya maana baadaye. Tunawafunza mambo kuhusu maadili mezani wakiwa wachanga, Kwa mfano. Ili badaye wataweza kupitia kila hali na watu kwa neema. Na hawana fahamu kwa nini unawaambia washike kijiko kwa njia fulani na kutoweka kumbo zao mezani wakila. Ni lazima waliamini neno lako kuwa jua limesimama tisti, Ulimwengu ni mviringo, mboga hukufanya uwe mwenye afya, na begi ndogo ya sumu ya panya huuwa. Kama watoto ni lazima wajue mambo haya kabla wajue kwa nini au kwa njia gani. Basi waza hatua kati yetu na Mungu na kiasi gani tunapaswa kujuwa bila kujuwa ni jinsi gani jambo hilo litatusaidia. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Madhara katika maisha yetu kwa ajili ya yale tunajuwa, huwa ni nyingi kuliko tujuavyo au tunavyo weza kufafanua. Wakati mwingine, ni lazima tujifunze jambo kwa sababu Mungu anasema hio jambo ni kweli kisha hapo baadaye twaweza ona jinsi gani maarifa hiyo imetulinda au imetutia nguvu au imetunyenyekeza, au imetutakasa, au imetuongoza au imetusababisha kuona mambo mengine kwa ukweli. Jambo kuu linatiririka kupitia tumaini. ''Je tunatumaini kuwa Mungu ametufunulia yale mazuri ilitupate kufaham''? &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na mafunzo ya kidini kuhusu uchaguzi, hatujui njia zote zile nzuri kwetu. Lakini twajua mengine baadhi yao. Ambayo inaongoza kwa fikira ya uchungaji ya pili kuhusu madhara ya kujua mafunzo ya kidini kuhusu uchaguzi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2.''Mafunzo ya kidini mara kwa mara ina nguvu ya kufanya kanisa iwe makini kuhusu ukweli na kuhusu maandiko ya Biblia, na basi kulizuia kupotoka na kuingia kwenye mafunzo ya kidini ya kupotosha na kufuata namna ya utamaduni.''  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mafunzo ya kidini mara kwa mara huwapa msimamo dhabiti na mzizi wale wenye akili nyororo. Huwa inatoa rutuba, Wakristo wenye kufikiria na wale wasio enenda na mitindo, mawazo ya ubinafsi. Inayo nguvu ya kutunza ya kushangaza ambayo inafanya kazi ya kuzuia mafunzo mengine ya kidini isichanganywe na kupotea. Kwa ujumla huwa inajaribu kusisitiza akilini mwetu ilituwe na mtazamo wa kiMungu ambayo imejengwa kwa ukweli yenye manufaa. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapa kuna maonyesho kwanini hiyo ina maana. Katika uchapishaji wa hivi karibuni sana, ya ''Ukristo Leo'' Chuk Colson anajadili “maisha baada ya maendeleo ya sasa” — “ Filosofia ambayo inasema kuwa hakuna ukweli usiokuwa na mpaka.&amp;quot; Anapatiana alama nne au tano kutoka kwa utamaduni yakuwa, maisha baada ya maendeleo ya sasa ina ishiwa nguvu na basi itakuwa bila mvutio wa watu mkubwa. Lakini hata hivyo sikiza mwito anayeambia makanisa. &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;Siwezi kufikiria wakati wa dharura sana kwa wachungaji, wasomi, na viongozi wa makanisa kuchunguza na kufundisha ukweli wa Bibilia na kupigania kwa usawa ili kusaidia walio na njaa ya kujua ukweli. Lakini, je tuko tayari kwa changamoto kiasi hii? George Barna karibuni alimaliza safari ya makanisa ya Amerika na akaja na ripoti inayo huzunisha yakwamba, makanisa mengi na viongozi wa makanisa—asilimia 90, kulingana na utafiti moja—hawana ufahamu na mtazamo wa ulimwengu. Je, tutabishanaje na filosofia ambazo tunapingana nazo ikiwa sisi hatuja imarika katika njia ya ukweli yetu sisi wenyewe? Chakushangaza ni hili, panapo kuwa na dalili ya kutia moyo katika utamaduni, kunayo pia dalili ya kuwa, kanisa ina kosa nguvu ya ushawishi, na kusonga kutoka kwa ujumbe ambao una msukumo wa neno hadi kwenye ujumbe unao lenga urembo na umbo la mtu na hisia za watu (chunguza, ni redio stesheni ngapi hivi karibuni zimegeuka kutoka kwa mazungumuzo na mahubiri hadi kucheza tu mziki pekee). Itakuwa kejeli kwa kiwango kikubwa—na ajali mbaya zaidi—ikiwa tumejipata tukitekeleza ndani ya maisha baada ya maendeleo ya sasa na tupate kuwa watu na mitindo ya sasa wamegunduwa kuwa hapo mbele ni ukingo. (“Ufa unajitokeza kwa maisha baada ya mendeleo ya sasa,” ndani ya ''Ukristo leo'' Desemba, 2003 toleo la 47 nambari 12 kurasa la 72). &amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Mafunzo ya dini kuhusu uchaguzi ni ya kupendeza na iko na athari ya kuamsha watu ambao wamesongelea mto wa upuuzi waliorithi bila ya kuhusisha akili. Kwa ghafla wanaumizwa nyoyo na ubinafsi wa mungu na ukamilifu wa Bibilia na ubinafsi wa mwanadamu inayo shtua ambayo imo ndani ya moyo zao. Kwa hali ya kutafuta njia ya kuwa na hali ya kufikiria kibiblia kumhusu Mungu na ulimwengu iliwapate kuhepuka ajali. Colson aonya kuhusu: mfano, Dunia kuvumba hatimaye ya kuwa, ukweli ni ya umuhimu sana, wakati tu kanisa imeamua katika jina la utamaduni wa kisasa na mafunzo hayo ya kidini haina umuhimu. Mafunzo ya kidini kuhusu uchaguzi ni nzuri kwetu na pia kuna wajukuu wetu kwa njia yenye hatuwezi kueleza. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 3. Mawazo ya tatu ya uchungaji kuhusu mafunzo ya dini kuhusu uchaguzi ni kwamba ''ni njia moja nzuri zaidi ya kubaini ikiwa tumebadilisha sehemu yetu na Mungu.''  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ni shida isiyo kuwa na wakati, lakini zaidi kwa ulimwengu wa sasa ambayo umechukuwa mkondo wa kuto taka uongozi kwa wanadamu na kushuku mamlaka yote na kuchukuwa kiti cha hukumu kutathmini iwapo Mungu yupo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo alisuluhisha jambo hili kwa kutumia nguvu sana katika Warumi 9:6-23. Alipokuwa akifanya hayo, alisikia upingaji wa wakati wa kale na wa sasa, “Kwa nini (Mungu) bado anapata kosa? Kwani nani awezaye kuzia mapenzi yake? Jibu lake kwa hayo ilikuwa, “Lakini wewe ni nani, E mwanadamu, kumjibu Mungu? Je kinacho finyangwa kinaweza ambia mfinyanzi, “kwanini umenifinyanga hivi?” (Warumi 9:19-20). Aidha, sio vizuri kwako kubadilisha sehemu yako na Mungu. Yeye ni mfinyanzi. Mafunzo chache ya kidini yanajaribu kwa usawa ikiwa tunamhukumu Mungu au Mungu anatuhukumu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wakati kitabu cha ayubu kinamalizika na kinga yote ya Ayubu kukamilika, na ushauri unaopotosha wa Elifazi, Bildadi, na safari kugonga mwamba. Hesabu ya jambo hili ni, “kisha Ayubu akamjibu mungu na kusema: 2 'Najua kwamba waweza yote na hakuna sababu yako yoyote yaweza kuzuiwa . . .. Nimesema yale ambayo sikuelewa, mambo makuu kwangu, yale sikuyajua.“ Mungu anajibu, “sikiza na nitanena; Nitakuuliza maswali, na unifahamishe.” Aidha chukua sehemu yako inayostahili Ayubu, na unisikize. Jifunze kutoka kwangu; usinifunze mimi. Nitumaini mimi, usinilaumu mimi. Kuhusu haya, Ayubu anasema mwishowe, “Nilikuwa nimekusikia tu kwa kusikia kwa sikio, lakini sasa macho yangu yame kuona; kwa hivyo najidharau, na natubu kwa vumbi na majivu.” (Ayubu 42:1-6). Mafunzo ya kidini kuhusu uchaguzi yatuweka kwa majaribu kama mengine machache ili kuona kama tuko kwa hali ya Ayubu anaye laumu, au Ayubu aliyevunjika na kunyenyekea na kutumaini Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni vigumu kwa samaki kujua kwamba amelowa maji. Samaki yu majini. Basi hata afikiri kuhusu kuwa baridi. Kwa hivyo ni vigumu kwa mtu wa kisasa—Mtu anayeishi katika miaka mia mbili za mwisho—kujua kuwa yeye ni shingo ngumu kwake Mungu. Ushingo ngumu kwake Mungu imo ndani ya mtu wa ulimwengu wa sasa. Ndio bahari ambayo tunapiga mbizi kwayo—hewa ambayo tunapumua. Imesukwa kwa mishipa ya akili yetu. Hatujui hata kama ipo hapo. Hatuwezi kuuona, kwa sababu tunautazama ili kuona mambo mengine yote. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivi ndivyo C.S. Lewis anaiweka: &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;Mtu wa kale aliendea kwa Mungu . . . kama mtu aliyestakiwa anavyo songea mhukumu wake. Kwa mtu wa sasa sehemu yao imebadilishwa. Yeye ndiye hakimu: Mungu kizimbani. Yeye ni hakimu mwema: Kama Mungu atakuwa na ushaidi wa kutosha kumkinga kwa sababu ya kuwa Mungu anaye ruhusu vita, ufukara na magonjwa, yeye yuko tayari kusikia. Kesi hiyo dhidi ya Mungu yaweza malizika kwa kutupiliwa mbali. Lakini cha muhimu ni kwamba binadamu ndie hakimu na Mungu yuko kizimbani. ( “Mungu kizimbani,” katika maandishi ya ed., C.S. Lewis: ''mkusanyiko wa insha na maandishi'' ''mengine fupi'' [London: Harper Collins mchapishaji, 2000], Ukurasa 36) &amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Hiyo ndio maana hasa ya kuwa wa kisasa: Hali ambayo hatuwezi hisi—Kiwango ya ubaya hatujui hata kama tunayo—Ambayo inatosha sisi kumshuku na hata kumhukumu Mungu. Mafunzo ya kidini kuhusu uchaguzi ni njia moja yenye manufaa ya kujua kama unakombolewa kutoka kwa bahari la sasa la shingo ngumu katika ulimwengu wa sasa au bado umelowa mpaka kwenye mfupa. Ni vyema kwetu kujaribiwa katika hali fulani ya utawala wa Mungu, ili tuweze kusema pamoja na Ayubu: “Nalikusikia kwa masikio, lakini sasa macho yangu yanakuona; Kwahivyo najidharau, na natubu kwa vumbi na majivu” (Ayubu 42:6). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 4. Mawazo yauchungaji ya nne kuhusu mafunzo ya kidini juu ya uchaguzi ni hili:''kuukumbatia kwa unyenyekevu—sio kuujadili; sio hata imani ya wasomi katika, lakini kukumbatia kwa unyenyekevu—ukweli yenye thamani juu ya uchaguzi na neema yenye utawala wa Mungu, kuzalisha msimamo mkali, upendo, huduma bila uwoga na huduma wa nje.''  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mfano mmoja, (Na kuna uwezekano wa kuwa na mengine kutoka kwa William Carey na Adoniram Judson na David Livingstone and John Patton na George Mueller na Charles Spurgeon na Johnathan Edwards na zaidi): Kristine Clarson amekuweko kule Zambia kwa karibu miaka mmoja akifanya kazi na chokoraa na action international. (Pata kuwa juwa; ningeweza kunakili mkurugenzi, Doug Nicholas, miongoni mwa wakristo wenye msimamo mkali walioenda kule Rwanda akiugua saratani ya matumbo kwa sababu yeye kwa unyenyekevu wake alikumbatia ukweli wa uchaguzi). Haya ndio yale Kristin alitutumia kwa mtandao asubuhi ya kutoa shukrani: &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;Kwanza kabisa, nashukuru Mungu kwa neema yake isiyo na kipimo kwa kunichagua mimi. Sijafanya lolote kustahili hii, na kila mara na shangazwa na uzuri wa baba yangu kwangu. Sababu ya kuwa mwenye shukrani kwa kuchaguliwa ni kwa sababu na juwa ni kwa kazi gani nimechaguliwa. Nimechaguliwa ili nieneze uzuri usiokuwa na kipimo wa Mungu: Nimechaguliwa ili nitosheleke milele ndani ya Mungu kupitia Yesu; Nimechaguliwa ili niishi ndani ya nuru na sio gizani;Nimechaguliwa ili nionje ili nione kuwa yeye yumwema. &amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Usikose haya. Wengine wenyu hawana ufahamu ya yale Kristin asemalo, kwa maana mmefunzwa ya kuwa mafunzo ya dini kuhusu uchaguzi aidha si ukweli au si yenye manufaa. Kila wakati umesimama nje ukiangalia ndani na kushuku au kukashifu. Sasa unausikia katika barua pepe hili barua kutoka ndani—kutoka kwa mtu anyejua jinsi inavyo hisi kukumbatia na kukumbtiwa ndani ya mafunzo ya kidini kuhusu uchaguzi bila vikwazo. Athari sio yale huwenda umefunzwa. Sikiza athari ya yale umefunzwa. Anaendelea kusema: &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;Ninashukran kuwa Mungu alimchagua Vasco, mtu mgumu, asiye elimika, chokoraa aliyemuasi, kutoka gizani hadi kwenye mwangaza wake nzuri zaidi. Na matunda tayari na uona katika maisha ya Vasco ni ushuhuda kwa Vasco kubaki kushikilia ndani ya Yesu, ambaye ni mzabibu. Ninashukran kwa uzuri wa Mungu uliobubujika mwak uliopita . . . Ni kazi nzuri ilioje kuwa mmoja wapo—kuwa marafiki na chokoraa na kushiriki tumaini la milele nao. Na kwa kuongoza hapa, Nina shukran kwa moyo ambayo Munguamenipa kwa watoto hawa. Kwa hakika, najua sio “kawaida” KU PENDA kupitia juu ya taka na kukalia mbao iliyo sitiriwa na chuma pamoja na watoto wachafu na wenye uvundo, lakini hivi ndivyo ipo na naupenda. &amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Kukumbatia na kukumbatiwa na mafunzo ya kidini ya neema huru—Kuanzia uchaguzi bila vikwazo—Kwanza ina zaa aina hiyo ya msimamo mkali, hali ya kutochukua tahadhari na dhabihu ya upendo; na baadaye inatu nyenyekeza kufurahia katika ukweli ya kuwa hatukuzalisha urembo huu ndani yetu, Mungu aliufanya. Kisha tunampa utukufu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ukiuliza; Je huu ndio njia ya bibilia ya kufikiria? Je bibilia kwa kweli unafundisha ya kuwa ukweli wa uchaguzi ni uamuzi wa Mungu ili uwe na athari hizi? Jibu ni ndio. Kwanza zingatia maneno ya Wakolosai 3:12-13, ”Basi kwa kuwa mmekuwa ''wateule'' wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu, mkichukuliana na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; Kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo nanyi.” Hapo kuna unganisho. Niya kueleweka na wazi katika akili ya Paulo, ili kujua umechaguliwa kwa neema, yakuwa umetengwa kando kwa ajili ya Mungu, yakuwa umependwa, yakupasa uwe mmoja wa wavumilivu duniani tayari kupitia hali ya kudharauliwa na tayari kusamehe. Kupenda wasio pendeza—kule Zambia na kwengineko. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapa kuna ujumbe mwingine jinsi inafanya kazi. Katika Warumi 8:33 Paulo asema “Ni nani atakayewashtaki ''wateule wa Mungu''? Mungu ndiye mwenye kuwahesabia haki.” Jibu ni: Hakuna anayeweza kufanya shtaka ibakie dhidi yako ukiwa umechaguliwa na Mungu. Yeye yu upande wako milele. Ni kwa uwazi yakuwa Paulo asema hili kwa sababu anatarajia iwe na athari ya kuonekana kwetu. Anatarajia tuhisi ahadi na furaha na baadaye tuwe wajasiri na wasio waoga. Utakapokuwa unasimama mbele ya uamuzi inayoonekana kuwa nzuri na yenye upend leo, lakini hatari, Je wa hisi athari ya swali: “Ni nani atakaye washtaki wateule wa Mungu?” Je wa hisi hakikisho inayozalisha nguvu ya injili katika neno “wateule”? &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiyo sio mafunzo ya dini hasa ya kuvutania, lakini funzo ya dini ya kufurahiwa. Haujaundwa ya mzozano; Imeundwa utumishi. Hailengi kugawanya watu (Ingawa ita gawanya); Inafaa Iwafanye wawe na rehema, utu wema wanyenyekevu na wenye msamaha. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 5. Nafunga na mawazo ya kichungaji moja ya mwisho.''Usiwaze kuhusu uchaguzi pasipo na Yesu Kristo.''  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Waefeso 1:3 inasema, “(Mungu) alituchagua ndani ya (Kristo) kabla ya msingi ya ulimwengu.” Kwa njia nyingine, Mungu alipoupanga tangu milele kututoa kwenye mzigo ya dhambi zetu. Alikuwa na kristo mawazoni jinsi atakavyo fanya. Mungu aliupanga kabla ya msingi ya ulimwengu kutu okowa kupitia kifo na kufufuka kwa Kristo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivyo yale Mungu amefanya ili kutuokowa na kutuita kwake, sio kutueleza kabla ya wakati ikiwa tumeteuliwa. Mungu hatufunulii hili ila kwa kupitia uhusiano na Kristo Yesu, ili Kristo awe katikati ya kuchaguliwa kwetu. Badala ya kutueleza ikiwa sisi ni wateule, aliyo ifanya Mungu ni kumtuma mwanawe na kusema “Yeyote amwaminie (Yesu) anauzima wa milele” (Yohana 3:16) “Yeyote amwaminie mwana wa Mungu anaushuhuda ndani yake” (1 Yohana 5:10). Anajua kuwa yeye ni mteule. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivyo kwa jina la Kristo nakuita; njoo, mchukue kama mokozi na bwana wako na mwenye hazina ya maisha yako. Hamtupi nje yeyote ajae kwa imani. Anasamehe dhambi. Ana vishana utakatifu. Anapeana Roho mtakatifu. Ata kutunza. “Kondoo wangu husikia sauti yangu, na nawajua, na wananifuata. Nawapa uzima wa milele, na hawata angamia kamwe, na hakuna atakae wachukua mikononi mwangu” (Yohana 10:27). Sikia sauti ya mchungaji mwema na uje.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Mawazo_ya_Uchungaji_kuhusu_mafunzo_ya_kidini_kuhusu_Uchaguzi</id>
		<title>Mawazo ya Uchungaji kuhusu mafunzo ya kidini kuhusu Uchaguzi</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Mawazo_ya_Uchungaji_kuhusu_mafunzo_ya_kidini_kuhusu_Uchaguzi"/>
				<updated>2017-07-11T19:45:12Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|Pastoral Thoughts on the Doctrine of Election}}  &amp;lt;blockquote&amp;gt;Basi ni vivi hivi wakati huu wa sasa, kunao mabaki waliyochaguliwa kwa neema. 6 Lakini ikiwa ni kwa neema, hai...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Pastoral Thoughts on the Doctrine of Election}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;Basi ni vivi hivi wakati huu wa sasa, kunao mabaki waliyochaguliwa kwa neema. 6 Lakini ikiwa ni kwa neema, haiwi kwa matendo tena, au hapo neema isingekuwa neema tena. 7 Imekuaje basi? Kitu kile ambacho Israeli alikuwa akikitafuta hakukipata. Lakini wale wateule walikipata na wengine walitiwa ugumu. &amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Ni navyo waza kuhusu athari ya uchungaji ya kuhubiri kupitia mafunzo ya kidini nzito hivi kama Warumi 11, ilionekana nzuri kwangu kuwa pengine kila wiki chache hivi tungetulia ndani ya mtiririko wa uchambuzi, tufikirie na tuzungumuze kuhusu athari ya wazi kwa yale tumekuwa tukiona. Yale tumekuwa tukiona wiki chache hivi karibuni kutoka Warumi 11:1-10 (Jinsi tulivyofanya kwa Warumi 8:29-33 na Warumi 9:10-24) ni mafunzo ya dini ya kibibilia kuhusu uchaguzi bila vikwazo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ndiyo mafunzo ambayo Mngu aliuchagua, Kabla ya msingi ya dunia (Waefeso 1:4). Nani angeamini na basi kuokolewa bila kustahili bila kuzingatia dhambi zao, na ninani angeendelea katika uasi na basi kustahili kuangamia kwasababu ya dhambi zao. Kwa maneno mengine, hekima na haki na neema ya mapenzi ya Mungu ndio ufafanuzi wa mwisho ya yale yanayo tendeka ulimwenguni kwa ujumla. Wanadamu si Mungu. Hatuwezi sababisha matukio patupu. Sisi viongozi wa Bethlehemu, tushikilie, sana utatanshi na bibilia (sio upingaji) yenye kwa upande mwingine, Mungu ni mtawala pekee na upande huo mwingine sisi wote tumejumuika na tu wenye hatia kwa sababu ya dhambi zetu na tunastahili Hukumu. Ikiwa Mungu alituchagua ili tuje kwa Imani na tuokolewe kutoka kwa hali ya hatia, haitugharimu chochote. Hii ndio tumeona katika Warumi 8 na 9 na sasa tena kwa Warumi 11:1-10. Hiyo ndio na maanisha kwa kusema uchaguzi bila vikwazo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi leo tunageuka mafikira ya kichungaji kuhusu sheria ya uchaguzi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1''. Sio vitu zote nzuri kwetu kujua, na basi Mungu hajatuonyesha; na kuna vitu vingine vizuri kwetu kujua. Hata kama hatuwezi kuyafafanua kikamilifu. ''  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Naweka msingi huu kidogo kwa Kumbukumbu la torati 29:29. Mahali Musa alisema. “Mambo ya siri ni ya Bwana Mungu wetu; Lakini mambo yaliyofunuliwa ni yetu sisi na watoto wetu milele.” Kunayo vitu Mungu hajapanga ili sisi kuya kujua. Huenda ikawa sio nzuri kwetu. Mfano katika Matendo ya mitume 1:7, Yesu anasema “Si kazi yenu kujua misimu au majira ambayo Baba aliyoweka katika mamlaka yake mwenyewe.” Kujua zaidi kuhusu mambo ya usoni hauwezi kuwa nzuri kwetu. Kwa hakika huenda hatujui chochote au twajua kidogo sana kuhusu yatakayo tendeka kesho. Waraka wa Yakobo 4:14 yasema, “Walakini hamjui yatakayo kuwa kesho.” Mfano mwingine utakuwa Zaburi 131 mahali Daudi akasema “Moyo wangu hauna kiburi, wala macho yangu hayainuki; wala si jishughulishi na mambo makuu, wala na mambo yashindayo nguvu zangu.” Kuna mambo mengine ambayo yamo mbali nasi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Vitu vingine tunavijua, kwa sababu Mungu ametufunulia sisi, lakini tunavijua tu kwa visehemu. Basi ni vyema kwetu kuvijua. Lakini ni lazima tujitosheleze na kujua tu sehemu kidogo tu, kama Paulo asema katika 1 Wakorintho 13:12 “Maana wakati wa sasa tunaona kwa kioo jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; Wakati wa sasa nafahamu kwa sehemu; Wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana.” Hii ni kweli kabisa kuhusu mafunzo ya uchaguzi. Tunamazoea ya kuuliza maswali mengi sana zaidi ya yale Mungu anachagua kujibu. Kuna hatari kubwa sana kwa kuwa maswali huenda yakapita kuwa lawama. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Madhara moja kuhusu pointi hii ni kuwa hatutakuwa tukijua jinsi mafunzo ya kidini mengine katika Bibilia ni nzuri kwetu. Sisi wa Amerika sana sana huwa watu wa kuchukuwa hatua na kutaka vitu vifanywe kikamilifu. Tusipoona malipo ya mafunzo ya kidini kwa haraka, huwatuna mazoea ya kupuuza. Sisi tuu kama watoto wapumbavu tufanyapo hivyo. Kila mzazi anajua watoto ni lazima wafanywe kujifunza mambo bila kujua jinsi yatakuwa ya maana baadaye. Tunawafunza mambo kuhusu maadili mezani wakiwa wachanga, Kwa mfano. Ili badaye wataweza kupitia kila hali na watu kwa neema. Na hawana fahamu kwa nini unawaambia washike kijiko kwa njia fulani na kutoweka kumbo zao mezani wakila. Ni lazima waliamini neno lako kuwa jua limesimama tisti, Ulimwengu ni mviringo, mboga hukufanya uwe mwenye afya, na begi ndogo ya sumu ya panya huuwa. Kama watoto ni lazima wajue mambo haya kabla wajue kwa nini au kwa njia gani. Basi waza hatua kati yetu na Mungu na kiasi gani tunapaswa kujuwa bila kujuwa ni jinsi gani jambo hilo litatusaidia. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Madhara katika maisha yetu kwa ajili ya yale tunajuwa, huwa ni nyingi kuliko tujuavyo au tunavyo weza kufafanua. Wakati mwingine, ni lazima tujifunze jambo kwa sababu Mungu anasema hio jambo ni kweli kisha hapo baadaye twaweza ona jinsi gani maarifa hiyo imetulinda au imetutia nguvu au imetunyenyekeza, au imetutakasa, au imetuongoza au imetusababisha kuona mambo mengine kwa ukweli. Jambo kuu linatiririka kupitia tumaini. ''Je tunatumaini kuwa Mungu ametufunulia yale mazuri ilitupate kufaham''? &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na mafunzo ya kidini kuhusu uchaguzi, hatujui njia zote zile nzuri kwetu. Lakini twajua mengine baadhi yao. Ambayo inaongoza kwa fikira ya uchungaji ya pili kuhusu madhara ya kujua mafunzo ya kidini kuhusu uchaguzi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2.''Mafunzo ya kidini mara kwa mara ina nguvu ya kufanya kanisa iwe makini kuhusu ukweli na kuhusu maandiko ya Biblia, na basi kulizuia kupotoka na kuingia kwenye mafunzo ya kidini ya kupotosha na kufuata namna ya utamaduni.''  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mafunzo ya kidini mara kwa mara huwapa msimamo dhabiti na mzizi wale wenye akili nyororo. Huwa inatoa rutuba, Wakristo wenye kufikiria na wale wasio enenda na mitindo, mawazo ya ubinafsi. Inayo nguvu ya kutunza ya kushangaza ambayo inafanya kazi ya kuzuia mafunzo mengine ya kidini isichanganywe na kupotea. Kwa ujumla huwa inajaribu kusisitiza akilini mwetu ilituwe na mtazamo wa kiMungu ambayo imejengwa kwa ukweli yenye manufaa. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapa kuna maonyesho kwanini hiyo ina maana. Katika uchapishaji wa hivi karibuni sana, ya ''Ukristo Leo'' Chuk Colson anajadili “maisha baada ya maendeleo ya sasa” — “ Filosofia ambayo inasema kuwa hakuna ukweli usiokuwa na mpaka.&amp;quot; Anapatiana alama nne au tano kutoka kwa utamaduni yakuwa, maisha baada ya maendeleo ya sasa ina ishiwa nguvu na basi itakuwa bila mvutio wa watu mkubwa. Lakini hata hivyo sikiza mwito anayeambia makanisa. &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;Siwezi kufikiria wakati wa dharura sana kwa wachungaji, wasomi, na viongozi wa makanisa kuchunguza na kufundisha ukweli wa Bibilia na kupigania kwa usawa ili kusaidia walio na njaa ya kujua ukweli. Lakini, je tuko tayari kwa changamoto kiasi hii? George Barna karibuni alimaliza safari ya makanisa ya Amerika na akaja na ripoti inayo huzunisha yakwamba, makanisa mengi na viongozi wa makanisa—asilimia 90, kulingana na utafiti moja—hawana ufahamu na mtazamo wa ulimwengu. Je, tutabishanaje na filosofia ambazo tunapingana nazo ikiwa sisi hatuja imarika katika njia ya ukweli yetu sisi wenyewe? Chakushangaza ni hili, panapo kuwa na dalili ya kutia moyo katika utamaduni, kunayo pia dalili ya kuwa, kanisa ina kosa nguvu ya ushawishi, na kusonga kutoka kwa ujumbe ambao una msukumo wa neno hadi kwenye ujumbe unao lenga urembo na umbo la mtu na hisia za watu (chunguza, ni redio stesheni ngapi hivi karibuni zimegeuka kutoka kwa mazungumuzo na mahubiri hadi kucheza tu mziki pekee). Itakuwa kejeli kwa kiwango kikubwa—na ajali mbaya zaidi—ikiwa tumejipata tukitekeleza ndani ya maisha baada ya maendeleo ya sasa na tupate kuwa watu na mitindo ya sasa wamegunduwa kuwa hapo mbele ni ukingo. (“Ufa unajitokeza kwa maisha baada ya mendeleo ya sasa,” ndani ya ''Ukristo leo'' Desemba, 2003 toleo la 47 nambari 12 kurasa la 72). &amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Mafunzo ya dini kuhusu uchaguzi ni ya kupendeza na iko na athari ya kuamsha watu ambao wamesongelea mto wa upuuzi waliorithi bila ya kuhusisha akili. Kwa ghafla wanaumizwa nyoyo na ubinafsi wa mungu na ukamilifu wa Bibilia na ubinafsi wa mwanadamu inayo shtua ambayo imo ndani ya moyo zao. Kwa hali ya kutafuta njia ya kuwa na hali ya kufikiria kibiblia kumhusu Mungu na ulimwengu iliwapate kuhepuka ajali. Colson aonya kuhusu: mfano, Dunia kuvumba hatimaye ya kuwa, ukweli ni ya umuhimu sana, wakati tu kanisa imeamua katika jina la utamaduni wa kisasa na mafunzo hayo ya kidini haina umuhimu. Mafunzo ya kidini kuhusu uchaguzi ni nzuri kwetu na pia kuna wajukuu wetu kwa njia yenye hatuwezi kueleza. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 3. Mawazo ya tatu ya uchungaji kuhusu mafunzo ya dini kuhusu uchaguzi ni kwamba ''ni njia moja nzuri zaidi ya kubaini ikiwa tumebadilisha sehemu yetu na Mungu.''  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ni shida isiyo kuwa na wakati, lakini zaidi kwa ulimwengu wa sasa ambayo umechukuwa mkondo wa kuto taka uongozi kwa wanadamu na kushuku mamlaka yote na kuchukuwa kiti cha hukumu kutathmini iwapo Mungu yupo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo alisuluhisha jambo hili kwa kutumia nguvu sana katika Warumi 9:6-23. Alipokuwa akifanya hayo, alisikia upingaji wa wakati wa kale na wa sasa, “Kwa nini (Mungu) bado anapata kosa? Kwani nani awezaye kuzia mapenzi yake? Jibu lake kwa hayo ilikuwa, “Lakini wewe ni nani, E mwanadamu, kumjibu Mungu? Je kinacho finyangwa kinaweza ambia mfinyanzi, “kwanini umenifinyanga hivi?” (Warumi 9:19-20). Aidha, sio vizuri kwako kubadilisha sehemu yako na Mungu. Yeye ni mfinyanzi. Mafunzo chache ya kidini yanajaribu kwa usawa ikiwa tunamhukumu Mungu au Mungu anatuhukumu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wakati kitabu cha ayubu kinamalizika na kinga yote ya Ayubu kukamilika, na ushauri unaopotosha wa Elifazi, Bildadi, na safari kugonga mwamba. Hesabu ya jambo hili ni, “kisha Ayubu akamjibu mungu na kusema: 2 'Najua kwamba waweza yote na hakuna sababu yako yoyote yaweza kuzuiwa . . .. Nimesema yale ambayo sikuelewa, mambo makuu kwangu, yale sikuyajua.“ Mungu anajibu, “sikiza na nitanena; Nitakuuliza maswali, na unifahamishe.” Aidha chukua sehemu yako inayostahili Ayubu, na unisikize. Jifunze kutoka kwangu; usinifunze mimi. Nitumaini mimi, usinilaumu mimi. Kuhusu haya, Ayubu anasema mwishowe, “Nilikuwa nimekusikia tu kwa kusikia kwa sikio, lakini sasa macho yangu yame kuona; kwa hivyo najidharau, na natubu kwa vumbi na majivu.” (Ayubu 42:1-6). Mafunzo ya kidini kuhusu uchaguzi yatuweka kwa majaribu kama mengine machache ili kuona kama tuko kwa hali ya Ayubu anaye laumu, au Ayubu aliyevunjika na kunyenyekea na kutumaini Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni vigumu kwa samaki kujua kwamba amelowa maji. Samaki yu majini. Basi hata afikiri kuhusu kuwa baridi. Kwa hivyo ni vigumu kwa mtu wa kisasa—Mtu anayeishi katika miaka mia mbili za mwisho—kujua kuwa yeye ni shingo ngumu kwake Mungu. Ushingo ngumu kwake Mungu imo ndani ya mtu wa ulimwengu wa sasa. Ndio bahari ambayo tunapiga mbizi kwayo—hewa ambayo tunapumua. Imesukwa kwa mishipa ya akili yetu. Hatujui hata kama ipo hapo. Hatuwezi kuuona, kwa sababu tunautazama ili kuona mambo mengine yote. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivi ndivyo C.S. Lewis anaiweka: &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;Mtu wa kale aliendea kwa Mungu . . . kama mtu aliyestakiwa anavyo songea mhukumu wake. Kwa mtu wa sasa sehemu yao imebadilishwa. Yeye ndiye hakimu: Mungu kizimbani. Yeye ni hakimu mwema: Kama Mungu atakuwa na ushaidi wa kutosha kumkinga kwa sababu ya kuwa Mungu anaye ruhusu vita, ufukara na magonjwa, yeye yuko tayari kusikia. Kesi hiyo dhidi ya Mungu yaweza malizika kwa kutupiliwa mbali. Lakini cha muhimu ni kwamba binadamu ndie hakimu na Mungu yuko kizimbani. ( “Mungu kizimbani,” katika maandishi ya ed., C.S. Lewis: ''mkusanyiko wa insha na maandishi'' ''mengine fupi'' [London: Harper Collins mchapishaji, 2000], Ukurasa 36) &amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Hiyo ndio maana hasa ya kuwa wa kisasa: Hali ambayo hatuwezi hisi—Kiwango ya ubaya hatujui hata kama tunayo—Ambayo inatosha sisi kumshuku na hata kumhukumu Mungu. Mafunzo ya kidini kuhusu uchaguzi ni njia moja yenye manufaa ya kujua kama unakombolewa kutoka kwa bahari la sasa la shingo ngumu katika ulimwengu wa sasa au bado umelowa mpaka kwenye mfupa. Ni vyema kwetu kujaribiwa katika hali fulani ya utawala wa Mungu, ili tuweze kusema pamoja na Ayubu: “Nalikusikia kwa masikio, lakini sasa macho yangu yanakuona; Kwahivyo najidharau, na natubu kwa vumbi na majivu” (Ayubu 42:6). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 4. Mawazo yauchungaji ya nne kuhusu mafunzo ya kidini juu ya uchaguzi ni hili:''kuukumbatia kwa unyenyekevu—sio kuujadili; sio hata imani ya wasomi katika, lakini kukumbatia kwa unyenyekevu—ukweli yenye thamani juu ya uchaguzi na neema yenye utawala wa Mungu, kuzalisha msimamo mkali, upendo, huduma bila uwoga na huduma wa nje.''  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mfano mmoja, (Na kuna uwezekano wa kuwa na mengine kutoka kwa William Carey na Adoniram Judson na David Livingstone and John Patton na George Mueller na Charles Spurgeon na Johnathan Edwards na zaidi): Kristine Clarson amekuweko kule Zambia kwa karibu miaka mmoja akifanya kazi na chokoraa na action international. (Pata kuwa juwa; ningeweza kunakili mkurugenzi, Doug Nicholas, miongoni mwa wakristo wenye msimamo mkali walioenda kule Rwanda akiugua saratani ya matumbo kwa sababu yeye kwa unyenyekevu wake alikumbatia ukweli wa uchaguzi). Haya ndio yale Kristin alitutumia kwa mtandao asubuhi ya kutoa shukrani: &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;Kwanza kabisa, nashukuru Mungu kwa neema yake isiyo na kipimo kwa kunichagua mimi. Sijafanya lolote kustahili hii, na kila mara na shangazwa na uzuri wa baba yangu kwangu. Sababu ya kuwa mwenye shukrani kwa kuchaguliwa ni kwa sababu na juwa ni kwa kazi gani nimechaguliwa. Nimechaguliwa ili nieneze uzuri usiokuwa na kipimo wa Mungu: Nimechaguliwa ili nitosheleke milele ndani ya Mungu kupitia Yesu; Nimechaguliwa ili niishi ndani ya nuru na sio gizani;Nimechaguliwa ili nionje ili nione kuwa yeye yumwema. &amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Usikose haya. Wengine wenyu hawana ufahamu ya yale Kristin asemalo, kwa maana mmefunzwa ya kuwa mafunzo ya dini kuhusu uchaguzi aidha si ukweli au si yenye manufaa. Kila wakati umesimama nje ukiangalia ndani na kushuku au kukashifu. Sasa unausikia katika barua pepe hili barua kutoka ndani—kutoka kwa mtu anyejua jinsi inavyo hisi kukumbatia na kukumbtiwa ndani ya mafunzo ya kidini kuhusu uchaguzi bila vikwazo. Athari sio yale huwenda umefunzwa. Sikiza athari ya yale umefunzwa. Anaendelea kusema: &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;Ninashukran kuwa Mungu alimchagua Vasco, mtu mgumu, asiye elimika, chokoraa aliyemuasi, kutoka gizani hadi kwenye mwangaza wake nzuri zaidi. Na matunda tayari na uona katika maisha ya Vasco ni ushuhuda kwa Vasco kubaki kushikilia ndani ya Yesu, ambaye ni mzabibu. Ninashukran kwa uzuri wa Mungu uliobubujika mwak uliopita . . . Ni kazi nzuri ilioje kuwa mmoja wapo—kuwa marafiki na chokoraa na kushiriki tumaini la milele nao. Na kwa kuongoza hapa, Nina shukran kwa moyo ambayo Munguamenipa kwa watoto hawa. Kwa hakika, najua sio “kawaida” KU PENDA kupitia juu ya taka na kukalia mbao iliyo sitiriwa na chuma pamoja na watoto wachafu na wenye uvundo, lakini hivi ndivyo ipo na naupenda. &amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Kukumbatia na kukumbatiwa na mafunzo ya kidini ya neema huru—Kuanzia uchaguzi bila vikwazo—Kwanza ina zaa aina hiyo ya msimamo mkali, hali ya kutochukua tahadhari na dhabihu ya upendo; na baadaye inatu nyenyekeza kufurahia katika ukweli ya kuwa hatukuzalisha urembo huu ndani yetu, Mungu aliufanya. Kisha tunampa utukufu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ukiuliza; Je huu ndio njia ya bibilia ya kufikiria? Je bibilia kwa kweli unafundisha ya kuwa ukweli wa uchaguzi ni uamuzi wa Mungu ili uwe na athari hizi? Jibu ni ndio. Kwanza zingatia maneno ya Wakolosai 3:12-13, ”Basi kwa kuwa mmekuwa ''wateule'' wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu, mkichukuliana na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; Kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo nanyi.” Hapo kuna unganisho. Niya kueleweka na wazi katika akili ya Paulo, ili kujua umechaguliwa kwa neema, yakuwa umetengwa kando kwa ajili ya Mungu, yakuwa umependwa, yakupasa uwe mmoja wa wavumilivu duniani tayari kupitia hali ya kudharauliwa na tayari kusamehe. Kupenda wasio pendeza—kule Zambia na kwengineko. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapa kuna ujumbe mwingine jinsi inafanya kazi. Katika Warumi 8:33 Paulo asema “Ni nani atakayewashtaki ''wateule wa Mungu''? Mungu ndiye mwenye kuwahesabia haki.” Jibu ni: Hakuna anayeweza kufanya shtaka ibakie dhidi yako ukiwa umechaguliwa na Mungu. Yeye yu upande wako milele. Ni kwa uwazi yakuwa Paulo asema hili kwa sababu anatarajia iwe na athari ya kuonekana kwetu. Anatarajia tuhisi ahadi na furaha na baadaye tuwe wajasiri na wasio waoga. Utakapokuwa unasimama mbele ya uamuzi inayoonekana kuwa nzuri na yenye upend leo, lakini hatari, Je wa hisi athari ya swali: “Ni nani atakaye washtaki wateule wa Mungu?” Je wa hisi hakikisho inayozalisha nguvu ya injili katika neno “wateule”? &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiyo sio mafunzo ya dini hasa ya kuvutania, lakini funzo ya dini ya kufurahiwa. Haujaundwa ya mzozano; Imeundwa utumishi. Hailengi kugawanya watu (Ingawa ita gawanya); Inafaa Iwafanye wawe na rehema, utu wema wanyenyekevu na wenye msamaha. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 5. Nafunga na mawazo ya kichungaji moja ya mwisho.''Usiwaze kuhusu uchaguzi pasipo na Yesu Kristo.''  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Waefeso 1:3 inasema, “(Mungu) alituchagua ndani ya (Kristo) kabla ya msingi ya ulimwengu.” Kwa njia nyingine, Mungu alipoupanga tangu milele kututoa kwenye mzigo ya dhambi zetu. Alikuwa na kristo mawazoni jinsi atakavyo fanya. Mungu aliupanga kabla ya msingi ya ulimwengu kutu okowa kupitia kifo na kufufuka kwa Kristo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivyo yale Mungu amefanya ili kutuokowa na kutuita kwake, sio kutueleza kabla ya wakati ikiwa tumeteuliwa. Mungu hatufunulii hili ila kwa kupitia uhusiano na Kristo Yesu, ili Kristo awe katikati ya kuchaguliwa kwetu. Badala ya kutueleza ikiwa sisi ni wateule, aliyo ifanya Mungu ni kumtuma mwanawe na kusema “Yeyote amwaminie (Yesu) anauzima wa milele” (Yohana 3:16) “Yeyote amwaminie mwana wa Mungu anaushuhuda ndani yake” (1 Yohana 5:10). Anajua kuwa yeye ni mteule. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivyo kwa jina la Kristo nakuita; njoo, mchukue kama mokozi na bwana wako na mwenye hazina ya maisha yako. Hamtupi nje yeyote ajae kwa imani. Anasamehe dhambi. Ana vishana utakatifu. Anapeana Roho mtakatifu. Ata kutunza. “Kondoo wangu husikia sauti yangu, na nawajua, na wananifuata. Nawapa uzima wa milele, na hawata angamia kamwe, na hakuna atakae wachukua mikononi mwangu” (Yohana 10:27). Sikia sauti ya mchungaji mwema na uje.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kutafuta:_Furaha!_Umepatikana:_Kristo!</id>
		<title>Kutafuta: Furaha! Umepatikana: Kristo!</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kutafuta:_Furaha!_Umepatikana:_Kristo!"/>
				<updated>2017-06-23T20:13:18Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Kutafuta: Furaha! Umepatikana: Kristo!&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Quest: Joy! Found: Christ!}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Blaise Pascal mtu wa asili ya Ufaransa aliyejua hesabu sana aliyekufa mnamo mwaka 1662. Baada ya kumtoroka Mungu hadi alipofikisha umri wa miaka 31, mnamo tarehe 23, Novemba, 1654 saa nne wa nusu usiku, Pascal alikutana na Mungu na kwa ujasiri na bila kutetetema sawa akamgeukia Kristo. Aliandika katika kipande cha kiraka na kuishona katika koti lake pahali ilipatikana baada ya kifo chake miaka minane baadaye. Ilisema,&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Mwaka wa neema 1654, Jumatatu 23 Novemba, sherehe ya St. Clement . . . kuanzia karibu saa nne nusu usiku hadi karibu saa sita unusu baada ya usiku wa manane, MOTO. Mungu wa Abrahamu, Isaki na Yakobo, si ya wasomi na wanafalsafa. Yaliyoaminiwa kuwa kweli, furaha kutoka kwa moyo, amani. Mungu wa Yesu Kristo. Mungu wa Yesu Kristo. “Mungu wako na wangu.” . . . Furaha, furaha, furaha, machozi ya furaha. . . . Yesu Kristo. Yesu Kristo. Daima nisitenganishwe naye.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Mwaka wa 1968 Pascal na C. S. Lewis na Jonathan Edwards na Dan Fuller na Biblia waliungana na kubadilisha maisha yangu milele na maneno haya, “Furaha, Furaha, Furaha, machozi ya furaha.” Kijitabu hiki, ''Kutafuta Furaha'', ambacho unacho katika kibeti chako cha ibaada kilizaliwa wakti huo. Haki kuandikwa kwa muda wa miaka 15 ama zaidi. Lakini ilizaliwa wakati huo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tazama ndani ya ukurasa wa mbele. Hapa ni ubomoaji wa Pascal dhidi ya uwoga wangu wa furaha. &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Watu wote wanatafuta furaha. Hapa pia hajaacha nyuma. Haijalishi ni njia gani wanatumia yote yapata nyuma. Haijalishi ni njia gani wanatumia, yote yapata kufikia hapa. Sababu ya kufanya baadhi kuenda kwa vita, na wengine kukwepa vita, ni hamu sawa katika yote mbili, iliyofanywa kwa mtizamo miwili. Hii ndio nia ya kila kitendo ya kila mwanadamu, hata wale wanaojinyonga. &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Nilihisi hii ni kweli. Lakini niliogopa kila mara kuwa ni dhambi. Kuwa kutaka kuwa na furaha ilikuwa kasoro ya dhambi. Kuwa kutaka kuwa na furaha ilikuwa kasoro ya dhambi. Kuwa kutaka kuwa na furaha ilikuwa kasoro ya kimaadili. Hiyo hali ya kujinyima ilimaanisha kukataa furaha, si kukatia furaha kidogo kwa ajili ya furaha kuu zaidi. Si kukataa furaha kidogo kwa ajili ya furaha kuu zaidi. Lakini Mungu aliungana na hawa waandishi kunilazimisha kuusoma Bibilia tena. Kuipatia nafasi kuwa na msemo wake wa kweli. Na yale nilipata hapo kuhusu furaha yalinibadilisha milele. Nimejaribu kuielewa na kuliishi na kulifundisha kutokea hapo. Si jipya. Limekuwa kwa maelfu ya miaka.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yale Bibilia inasema kuhusu furaha  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha niwape kionjo kwa yale Bibilia inasema kuhusu furaha. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Lengo la Yesu katika yote aliyoyafundisha ilikuwa furaha ya watu wake.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Yohana 15:11 Nimewaambia mambo haya ili furaha Yangu iwe ndani yenu na furaha yenu iwe kamili&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Furaha ndio Mungu anatujaza nayo tunapomwamini Kristo.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Warumi 15:13 Mungu wa tumaini awajaze ninyi furaha yote na amani katika kumwamini.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Ufalme wa Mungu ni furaha.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Warumi 14:17 Kwa maana ufalme wa Mungu si kula na kunywa bali ni haki, amani na furaha katika Roho mtakatifu. &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Furaha ni tunda la Roho Mtakatify aliye ndani mwetu.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Wagalatia 5:22 Bali tunda la Roho ni upendo, furaha, amani. &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Furaha ndio lengo la vitu vyote watume walitenda na kuandika.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
2 Wakorintho 1:24 Si kwamba tunatuwala imani yenu, bali twatenda kazi pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Kuwa mkristo ni kupata furaha ambayo inakufanya kutaka kuachilie vyote.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Mathayo 13:44 “Ufalme wa Mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena. Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.”&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Furaha unatunzwa na kudumishshwa na neno la Mungu lililomo katika Bibilia.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Zaburi 19:8 Maagizo ya Bwana ni kamili, nayo hufurahisha moyo. &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Furaha itashinda huzuni yote kwa wale wamtumainiyo Kristo.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Zaburi 126:5 Wapendao kwa machozi watavuna kwa nyimbo za shangwe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zaburi 30:5b Inawezekana kilio kikawepo usiku kucha, lakini asubuhi kukawa na furaha.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Mungu mwenyewe ni furaha'''.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Zaburi 43:4 Ndipo nitakwenda madhjabahuni pa Mungu, kwa Mungu, furaha yangu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zaburi 16:11 Umenijulisha njia ya uzima, utanijaza furaha katika uwepo wako, pamoja na furaha za milele katika mkono wako wa kiume.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Furaha katika Mungu Yashinda furaha yote ya dunia'''.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Zaburi 4:7 Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa kuliko watu waliopata ngano na divai kwa wingi.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Ikiwa furaha yako imo ndani ya Mungu, hakuna atakaye chukuwa furaha yako.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Yohana 16:22 Hivyo ninyi mna maumivu sasa, lakini nitawaona tena, nayo mioyo yenu itafurahi na furaha yenu hakuna awaondoleaye.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Mungu anaita mataifa yote na watu wote kuungana pamoja katika furaha apeanayo kwa wanaoamini. Hakuna utu ubaguzi wa rangi. Hakuna jumuiko la kikabila.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Zaburi 67:4 Mataifa yote wa furahi na kuimba kwa shangwe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zaburi 66:1 Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote! &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Habari yote ya Ukristo kwanzia mwanzo hadi mwisho ni habari njema ya furaha kuu.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Luka 2:10 Lakini malaika akawaambia: “Msiogope. Kwa maana tazama nawaletea habari njema za furaha itakayokuwa kwa watu wote.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Isaya 51:11 wale waliolipiwa faida na BWANA watarudi. Wqataingia sayuni wakiimba, furah ya milele itakuwa taji juu ya vichwa vyao. Furaha na shangwe zitawapata, huzuni na kulia kwa uchungu utatoweka.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Tunapokutana na Kristo wakati wa kuja kwake kwa mara ya pili tunaingia kwenye furaha yake isiyo na utata.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Mathayo 25:23 Bwana wake akajibu, “Umefanya vizuri sana mtumishi mwema na mwaminifu, . . . Njoo ushiriki katika furaha ya bwana wako.” &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Yawezekana yaliyonishangaza zaidi katika mwaka wa 1968 ilikuwa rahisi na ya mtazamo wa kawaida kuwa ''furaha hii katika Mungu inaamrishwa''. Unaiona kwenye ukurasa wa pili wa kijitabu:&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Zaburi 37:4 Jifurahishe katika BWANA naye takupa haja mooyo wako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zaburi 33:1 Mwimbieni BWANA kwa furaha, enyi wenye haki.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zaburi 32:11 Shangilieni katika BWANA na mfurahi, enyi wenye haki!&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Inaamrishwa kwa sababu yaliyo hatarini sit u furaha yetu lakini utukufu wa Mungu, heshima na sifa ya Mungu. Tusipofurahi ndani ya Mungu—Kama Mungu si hazina yetu na furaha yetu na kutosheka kwetu, basi anakataliwa. Utukufu wake unadunishwa. Sifa zake zinachafuliwa. Basi Mungu anaimarisha furaha yetu yote kwa wema wetu utukufu wake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Uvumbuzi huu ulimsaidia kuelewa ujumbe wa dhati ya Kristo, ambayo ni injili—habari njema—ya Yesu Kristo. Na hiyo ndiyo kijitabu hiki ndogo, ''Kutafuta Furaha'', imekusudiwa kufanya: kupeana muhktasari ya Injili ya Ukristo na vile inaokoa wenye dhambi na kupeana furaha ya milele.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni hatari kujaribu kuweka bahari katika tone la mvua—kujaribu kuweka haki na upendo wa Mungu katika kijitabu. Lakini nadhani si tu hatari, ni upendo, na inafaa. Mungu alifanya wakati mmoja. Aliuweka ukamilifu wake kwa mwanadamu mmoja, Yesu Kristo (Wakolosai 2:9). Hii ilikuwa ya ajabu sana kuliko kuweka bahari katika tone la mvua. Na ilikuwa upendo. Kwa sababu alikuwa mwanadamu na vile vile Mungu angekufa kwa ajili ya dhambi zetu. Lakini wengi haku tambua uungu ndani yake. Na natahadhari wengi wanaweza kosa kuona injili katika kijitabu hiki. Na tahadhari yangu ni kuu kwa sababu mimi si Mungu na sijakosa dosari. Lakini nawapenda na nataka muone yale Mungu amefanya kuwaokoa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi, utaenenda nami kwa kijitabu hiki? Kama wewe si mwamini katika Yesu, jaribu tu kuwa wazi kwa yale Mungu anaweza kudhihirisha kumhusu na kukuhusu, na umuuliza akadhihirishe kwako yaliyo kweli na akulinde kutokana na yasiyokweli. Kam wewe na mwaminiyo, fanya upya yale uliotengeneza maisha yako kwayo, na uwe tayari kushiriki habari iliyo njema zaidi kote ulimwenguni kupitia kijitabu hiki kama Mungu amekuongoza kukitumia. Na Kristo aliyefufuka katika Jumapili hii ya Pasaka na atukuzwe! &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zingatia ukweli mbili ya kwanza kutoka kwa Bibilia kwa pamoja &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ukweli wa Kibibilia #1: Mungu alituumba kwa utukufu wake.  ====&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
“Walete wana wangu kutoka mbali na binti zangu kutoka mwisho wa dunia . . . niliyemuumba kwa utukufu wangu.” (Isaya 43:6-7) &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
==== Ukweli wa kibibilia #2: Kila mwanadamu anafaa kuishi kwa ajili ya utukufu wa Mungu. ====&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
“Basi, lolote mfanyalo, kama ni kula au kunywa fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.” (1 Wakorintho 10:31)'''.''' &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Haya ani karibu sawa, ama sivyo? Tofauti ni gani? Kuna haja gani kuwa na ukurasa mbili badala ya kuyajumlisha kuwa moja? Tofauti hii ni kwmba ukweli #1 unaongea juu ya muundo wa Mungu, na ya #2 inaongea kuhusu jukumu letu. Kuziweka tofauti na katika mpangilio huu inasema kitu muhimu kuhusu ukweli. Tusipousikia, hatutauona injili kama habari yenye thamani. Kifo cha kuhuzunisha ya Kristo kutoonekana tu ni kama kujifanya. Hoja muhimu ni kuwa Mungu ndiye chanzo cha vitu vyote na kipimo cha kila kitu na lengo la kila kitu. Na mbingu na nchi yote ni ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Talitha, mwanangu wa miaka misaba na mimi, tulienda katika matembezi yetu ya Jumamosi jana kule Arby ilioko Lake Street kwa mlo wa mchana. Tulipopiga kona kule Hiawatha kukatokea gari yenye rangi ya buluu mbele yetu, na nikamwambia Talitha: “Sipendi hiyo bandiko.” Hakuweza kuuiona kutoka mhali alipokuwa, hivyo nikamsomea: “Yote ni kwa ajili Yangu.” “Y” ikiwa imeandikwa kwa sarufi kubwa. Hii ndio maana injili ya Yesu ni kigumu kwa watu wengi kiasi ya kutoeleweka kwao. Imepandwa katika maono tofauti ya ukweli. Yote si kwa ajili au sababu yetu. Ni kwa ajili ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu alikusudia tuishi kwa utukufu wake. Hili lote liko katika Bibilia yote. Na hivyo basi ni mwito wetu na uhai na jukumu letu kuishi kwa utukufu wake. Jijaribu: Je upendo wa Mungu kwako unamaanisha kuwa anakufanya uwe kati, ama unamaanisha kuwa anakupa furaha ya milele—kwa gharama kuu kwake mwenyewe—ama kumfanya kiini? Hii ndio uliumbwa kwayo. Hiyo itakuwa furaha yako na utakatifu wake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Halafu zingatia ukweli mbili za kibibilia ufuatao kwa pamoja. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ukweli wa kibibilia #3. Wote tumekosa kumpa Mungu vile tunapaswa. ====&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
“Sote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.” (Warumi 3:23)&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
==== Ukweli wa kibibilia #4: Sote tuko chini ya hukumu wa haki wa Mungu.  ====&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
“Mshahara wa dhambi ni mauti . . .&amp;quot; (Warumi 6:23). &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Haya pia yaweza kujumumulishwa kwa ukurasa moja yaweza, kama tu yale ya kwanza mbili? Tungfesesma, “ Kwa sababu sisi sote ni wenye dhambi, tunastahili hukumu ya Mungu—Tunastahili kuadhibiwa.” Lakini kitu muhimu kinaweza kupotezwa tukisema hivyo. Kile kitapotezwa ni mkazo katika ukweli #3 klwa dhambi si tu vile na tumetumikia watu, bali vile tumemtumikia Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kibandiko ya jumla kingekuwa mbaya hata kama ingemaanisha, “ Dhambi zangu ni juu YANGU.” Mungu ni mbele ya mpangilio yake katika uumbaji. Mungu ndiye chanzo ya jukumu letru kama viumbe. Na Mungu ndiye chanzo kwa kile kinamaanisha kuwa wenye dhambi: Inamaanisha, vile Warumi 3:23 inasema, kupungukiwa na utukufu wa Mungu, ni kusema, kupendelea na kufarahi baadhi ya ukuu nyingine za Ukuu wa Mungu. Dhambi kwa kabisa ni kuhusu vile tunamtumikia Mungu, si watu wengine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hatutapata chochote katika uwoga wa kuzimu ama msalaba wa Kristo uliojawa damu kama hatutahisi uzito wa dhambi kama kero kwa Mungu. Dhambi si tu mwanadamu kumtusi mwenzake. Sana sana ni mwanadamu kumtusi Mungu. Hii ndio maudhui makuu katika mbingu na dunia. Lazima tuhisi hii kama hukumu mbaya ya ukweli #4 hautaonekana kama haki.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sote tumemtumikia Mungu kwa dharau, na ghadhabu yake inatujia. Hiyo ndiyo shida yetu kubwa zaidi. Kuibwa kuyliko uchumi. Kubwa kuliko uhusiano wa kitaifa na Iraki ama Korea Kaskazini kubwa kuliko oshida katika njdoa ama saratani chungu. Hii ndio injili ya Wakristo inafaa kutibu kwanza na zaidi. Tunaweza kuokolewaje kutoka kwa hukumu ya Mungu? Kuna madhara mengi pzaidi ya ajabu ya injili! Lakini hii ni muhimu na mengine ni juu yake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa injili. Hebu tutazame ukweli mawili ya mwisho za Biblia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ukweli wa kibibilia #5: Mungu alimtuma Mwanawe wa pekee Yesu kupeana uzima wa milele na furaha. ====&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
“Msemo huu ni wa kweli na unaopstahili kukubalika: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuokoa wenye dhambi . . . ” (1 Timotheo 1:15).&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
==== Ukweli wa kibibilia #6: Faida iliyonunuliwa na kifo cha Kristo ni kwa wale wanaotubu na kumwamini. ====&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
“Tubuni basi mkamgeukie Mungu, ili dhambi zenu zifutwe, ili zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwepo kwake Bwana” (Matendo ya Mitume 3:19).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
“Mwamini Bwana Yesu Kristo, nawe utaokoka” (Matendo ya Mitume 16:31).&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Na tena tunaweza kuunamanisha hizi ukurasa hizi mbili. Tungesema: Ni nini dawa ya dhambi na hatia na hukumu? Jibu: “Mwamini Bwana Yesu Kristo, nawe utaokoka.” Lakini hilo litakuwa jibu lisilo kamili! Kama unazama, dawa si tu kupiga mayowe ili usaidiwe; ni waokoaji wa maisha na laini za waokoaji ( kama yahitajika) chombo cha kupumua. Kelele ya kuitosha usaidizi ina kuunganisha na kazi ya kuokolewa. Kama unakuwa na ugonjwa wa moyo, kupiga kwako siku kwa nambari 911 si dawa yako kuu. Ni ambualansi na matabibu wanaotumia ndege na CPR na wanguzi na wapasuaji na madawa. Simu kwa 911 ni kunganisho kwa kazi ya kuokoa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo ndivyo iilivyo kwa kuungama dhambi zako na kumwamini Yesu (Ukweli #6). Hiyo ni kiunganishi; chako na kazi ya kuokoa katika Kristo. Kristo alitenda kitu ili atuokoe miaka 2000 iliyopita. Alikuja, akaishi maisha kamili kama Mwana wa Mungu. Na alikufa kwa ajili ya wote watakaomwamini. 1 Petero 3:18, “Kwa kuwa Kristo naye aliteswa mara moja tu, mwenye haki, kwa ajili ya wasio na haki ili awalete ninyi kwa Mungu.” Imani yetu sio chanzo cha wokovu wetu. Inatuunganisha na chanzo cha wokovu wetu. ''Kristo'' ndiye chanzo cha wokovu wetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kifo na kuhukumiwa kwake kwa ajili ya hukumu wetu; haki yake kamili kwa ajili ya dhambi zetu na kutokamilika kwetu. Na kufufuka kwake kudhibitisha na kuhakikisha wokovu wetu na furaha yetu milele na milele. Bibilia inasema, “Tena kama Kristo hajafufuka, imani yenu ni batili, nanyi bado mko katika dhambi zenu . . . Lakini kweli&amp;quot; Kristo amefufuka kutoka kwa wafu, tunda la kwanza la wale wote waliolala! (1 Wakorintho 15:17, 20) Kwa sababu alikufa kwa ajili yetu na kufufuka tena, wote wanaomwamini wana uzima wa milele na furaha unaozidi kuongezeka mwanuni na maisha yako. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mwamini na ndoa yako ama ukapera wako. Mwamini na biashara yako na hali yako ya kifedha. Mwamini na afya ayako. Na chini ya yote, mwamini na dhambi zako na hatia zako na uwoga wako. Tayari ameshughulikia kuokoa. Imekwisha. Amekufa na kufufuka. Na wokovu wake waweza kuwa waovu kwa kumwamini. Na kama itakuwa, basi itakuja kutimiliza kwa nini uliumbwa: Na kama itakuwa, basi itakuja kutimiliza kwa nini uliumbwa: Utukufu pwa Mungu uliodhihirishwa katika furaha yako milele.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kutafuta:_Furaha!_Umepatikana:_Kristo!</id>
		<title>Kutafuta: Furaha! Umepatikana: Kristo!</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kutafuta:_Furaha!_Umepatikana:_Kristo!"/>
				<updated>2017-06-23T20:13:10Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|Quest: Joy! Found: Christ!}}   Blaise Pascal mtu wa asili ya Ufaransa aliyejua hesabu sana aliyekufa mnamo mwaka 1662. Baada ya kumtoroka Mungu hadi alipofikisha umri wa m...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Quest: Joy! Found: Christ!}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Blaise Pascal mtu wa asili ya Ufaransa aliyejua hesabu sana aliyekufa mnamo mwaka 1662. Baada ya kumtoroka Mungu hadi alipofikisha umri wa miaka 31, mnamo tarehe 23, Novemba, 1654 saa nne wa nusu usiku, Pascal alikutana na Mungu na kwa ujasiri na bila kutetetema sawa akamgeukia Kristo. Aliandika katika kipande cha kiraka na kuishona katika koti lake pahali ilipatikana baada ya kifo chake miaka minane baadaye. Ilisema,&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Mwaka wa neema 1654, Jumatatu 23 Novemba, sherehe ya St. Clement . . . kuanzia karibu saa nne nusu usiku hadi karibu saa sita unusu baada ya usiku wa manane, MOTO. Mungu wa Abrahamu, Isaki na Yakobo, si ya wasomi na wanafalsafa. Yaliyoaminiwa kuwa kweli, furaha kutoka kwa moyo, amani. Mungu wa Yesu Kristo. Mungu wa Yesu Kristo. “Mungu wako na wangu.” . . . Furaha, furaha, furaha, machozi ya furaha. . . . Yesu Kristo. Yesu Kristo. Daima nisitenganishwe naye.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Mwaka wa 1968 Pascal na C. S. Lewis na Jonathan Edwards na Dan Fuller na Biblia waliungana na kubadilisha maisha yangu milele na maneno haya, “Furaha, Furaha, Furaha, machozi ya furaha.” Kijitabu hiki, ''Kutafuta Furaha'', ambacho unacho katika kibeti chako cha ibaada kilizaliwa wakti huo. Haki kuandikwa kwa muda wa miaka 15 ama zaidi. Lakini ilizaliwa wakati huo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tazama ndani ya ukurasa wa mbele. Hapa ni ubomoaji wa Pascal dhidi ya uwoga wangu wa furaha. &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Watu wote wanatafuta furaha. Hapa pia hajaacha nyuma. Haijalishi ni njia gani wanatumia yote yapata nyuma. Haijalishi ni njia gani wanatumia, yote yapata kufikia hapa. Sababu ya kufanya baadhi kuenda kwa vita, na wengine kukwepa vita, ni hamu sawa katika yote mbili, iliyofanywa kwa mtizamo miwili. Hii ndio nia ya kila kitendo ya kila mwanadamu, hata wale wanaojinyonga. &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Nilihisi hii ni kweli. Lakini niliogopa kila mara kuwa ni dhambi. Kuwa kutaka kuwa na furaha ilikuwa kasoro ya dhambi. Kuwa kutaka kuwa na furaha ilikuwa kasoro ya dhambi. Kuwa kutaka kuwa na furaha ilikuwa kasoro ya kimaadili. Hiyo hali ya kujinyima ilimaanisha kukataa furaha, si kukatia furaha kidogo kwa ajili ya furaha kuu zaidi. Si kukataa furaha kidogo kwa ajili ya furaha kuu zaidi. Lakini Mungu aliungana na hawa waandishi kunilazimisha kuusoma Bibilia tena. Kuipatia nafasi kuwa na msemo wake wa kweli. Na yale nilipata hapo kuhusu furaha yalinibadilisha milele. Nimejaribu kuielewa na kuliishi na kulifundisha kutokea hapo. Si jipya. Limekuwa kwa maelfu ya miaka.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Yale Bibilia inasema kuhusu furaha  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha niwape kionjo kwa yale Bibilia inasema kuhusu furaha. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Lengo la Yesu katika yote aliyoyafundisha ilikuwa furaha ya watu wake.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Yohana 15:11 Nimewaambia mambo haya ili furaha Yangu iwe ndani yenu na furaha yenu iwe kamili&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Furaha ndio Mungu anatujaza nayo tunapomwamini Kristo.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Warumi 15:13 Mungu wa tumaini awajaze ninyi furaha yote na amani katika kumwamini.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Ufalme wa Mungu ni furaha.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Warumi 14:17 Kwa maana ufalme wa Mungu si kula na kunywa bali ni haki, amani na furaha katika Roho mtakatifu. &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Furaha ni tunda la Roho Mtakatify aliye ndani mwetu.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Wagalatia 5:22 Bali tunda la Roho ni upendo, furaha, amani. &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Furaha ndio lengo la vitu vyote watume walitenda na kuandika.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
2 Wakorintho 1:24 Si kwamba tunatuwala imani yenu, bali twatenda kazi pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Kuwa mkristo ni kupata furaha ambayo inakufanya kutaka kuachilie vyote.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Mathayo 13:44 “Ufalme wa Mbinguni unafanana na hazina iliyofichwa shambani, ambayo mtu mmoja alipoiona akaificha tena. Kisha katika furaha yake, akaenda akauza vyote alivyokuwa navyo, akalinunua lile shamba.”&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Furaha unatunzwa na kudumishshwa na neno la Mungu lililomo katika Bibilia.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Zaburi 19:8 Maagizo ya Bwana ni kamili, nayo hufurahisha moyo. &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Furaha itashinda huzuni yote kwa wale wamtumainiyo Kristo.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Zaburi 126:5 Wapendao kwa machozi watavuna kwa nyimbo za shangwe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zaburi 30:5b Inawezekana kilio kikawepo usiku kucha, lakini asubuhi kukawa na furaha.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Mungu mwenyewe ni furaha'''.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Zaburi 43:4 Ndipo nitakwenda madhjabahuni pa Mungu, kwa Mungu, furaha yangu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zaburi 16:11 Umenijulisha njia ya uzima, utanijaza furaha katika uwepo wako, pamoja na furaha za milele katika mkono wako wa kiume.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Furaha katika Mungu Yashinda furaha yote ya dunia'''.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Zaburi 4:7 Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa kuliko watu waliopata ngano na divai kwa wingi.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Ikiwa furaha yako imo ndani ya Mungu, hakuna atakaye chukuwa furaha yako.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Yohana 16:22 Hivyo ninyi mna maumivu sasa, lakini nitawaona tena, nayo mioyo yenu itafurahi na furaha yenu hakuna awaondoleaye.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Mungu anaita mataifa yote na watu wote kuungana pamoja katika furaha apeanayo kwa wanaoamini. Hakuna utu ubaguzi wa rangi. Hakuna jumuiko la kikabila.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Zaburi 67:4 Mataifa yote wa furahi na kuimba kwa shangwe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zaburi 66:1 Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote! &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Habari yote ya Ukristo kwanzia mwanzo hadi mwisho ni habari njema ya furaha kuu.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Luka 2:10 Lakini malaika akawaambia: “Msiogope. Kwa maana tazama nawaletea habari njema za furaha itakayokuwa kwa watu wote.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Isaya 51:11 wale waliolipiwa faida na BWANA watarudi. Wqataingia sayuni wakiimba, furah ya milele itakuwa taji juu ya vichwa vyao. Furaha na shangwe zitawapata, huzuni na kulia kwa uchungu utatoweka.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''Tunapokutana na Kristo wakati wa kuja kwake kwa mara ya pili tunaingia kwenye furaha yake isiyo na utata.'''&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Mathayo 25:23 Bwana wake akajibu, “Umefanya vizuri sana mtumishi mwema na mwaminifu, . . . Njoo ushiriki katika furaha ya bwana wako.” &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Yawezekana yaliyonishangaza zaidi katika mwaka wa 1968 ilikuwa rahisi na ya mtazamo wa kawaida kuwa ''furaha hii katika Mungu inaamrishwa''. Unaiona kwenye ukurasa wa pili wa kijitabu:&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Zaburi 37:4 Jifurahishe katika BWANA naye takupa haja mooyo wako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zaburi 33:1 Mwimbieni BWANA kwa furaha, enyi wenye haki.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zaburi 32:11 Shangilieni katika BWANA na mfurahi, enyi wenye haki!&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Inaamrishwa kwa sababu yaliyo hatarini sit u furaha yetu lakini utukufu wa Mungu, heshima na sifa ya Mungu. Tusipofurahi ndani ya Mungu—Kama Mungu si hazina yetu na furaha yetu na kutosheka kwetu, basi anakataliwa. Utukufu wake unadunishwa. Sifa zake zinachafuliwa. Basi Mungu anaimarisha furaha yetu yote kwa wema wetu utukufu wake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Uvumbuzi huu ulimsaidia kuelewa ujumbe wa dhati ya Kristo, ambayo ni injili—habari njema—ya Yesu Kristo. Na hiyo ndiyo kijitabu hiki ndogo, ''Kutafuta Furaha'', imekusudiwa kufanya: kupeana muhktasari ya Injili ya Ukristo na vile inaokoa wenye dhambi na kupeana furaha ya milele.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni hatari kujaribu kuweka bahari katika tone la mvua—kujaribu kuweka haki na upendo wa Mungu katika kijitabu. Lakini nadhani si tu hatari, ni upendo, na inafaa. Mungu alifanya wakati mmoja. Aliuweka ukamilifu wake kwa mwanadamu mmoja, Yesu Kristo (Wakolosai 2:9). Hii ilikuwa ya ajabu sana kuliko kuweka bahari katika tone la mvua. Na ilikuwa upendo. Kwa sababu alikuwa mwanadamu na vile vile Mungu angekufa kwa ajili ya dhambi zetu. Lakini wengi haku tambua uungu ndani yake. Na natahadhari wengi wanaweza kosa kuona injili katika kijitabu hiki. Na tahadhari yangu ni kuu kwa sababu mimi si Mungu na sijakosa dosari. Lakini nawapenda na nataka muone yale Mungu amefanya kuwaokoa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi, utaenenda nami kwa kijitabu hiki? Kama wewe si mwamini katika Yesu, jaribu tu kuwa wazi kwa yale Mungu anaweza kudhihirisha kumhusu na kukuhusu, na umuuliza akadhihirishe kwako yaliyo kweli na akulinde kutokana na yasiyokweli. Kam wewe na mwaminiyo, fanya upya yale uliotengeneza maisha yako kwayo, na uwe tayari kushiriki habari iliyo njema zaidi kote ulimwenguni kupitia kijitabu hiki kama Mungu amekuongoza kukitumia. Na Kristo aliyefufuka katika Jumapili hii ya Pasaka na atukuzwe! &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zingatia ukweli mbili ya kwanza kutoka kwa Bibilia kwa pamoja &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ukweli wa Kibibilia #1: Mungu alituumba kwa utukufu wake.  ====&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
“Walete wana wangu kutoka mbali na binti zangu kutoka mwisho wa dunia . . . niliyemuumba kwa utukufu wangu.” (Isaya 43:6-7) &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
==== Ukweli wa kibibilia #2: Kila mwanadamu anafaa kuishi kwa ajili ya utukufu wa Mungu. ====&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
“Basi, lolote mfanyalo, kama ni kula au kunywa fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.” (1 Wakorintho 10:31)'''.''' &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Haya ani karibu sawa, ama sivyo? Tofauti ni gani? Kuna haja gani kuwa na ukurasa mbili badala ya kuyajumlisha kuwa moja? Tofauti hii ni kwmba ukweli #1 unaongea juu ya muundo wa Mungu, na ya #2 inaongea kuhusu jukumu letu. Kuziweka tofauti na katika mpangilio huu inasema kitu muhimu kuhusu ukweli. Tusipousikia, hatutauona injili kama habari yenye thamani. Kifo cha kuhuzunisha ya Kristo kutoonekana tu ni kama kujifanya. Hoja muhimu ni kuwa Mungu ndiye chanzo cha vitu vyote na kipimo cha kila kitu na lengo la kila kitu. Na mbingu na nchi yote ni ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Talitha, mwanangu wa miaka misaba na mimi, tulienda katika matembezi yetu ya Jumamosi jana kule Arby ilioko Lake Street kwa mlo wa mchana. Tulipopiga kona kule Hiawatha kukatokea gari yenye rangi ya buluu mbele yetu, na nikamwambia Talitha: “Sipendi hiyo bandiko.” Hakuweza kuuiona kutoka mhali alipokuwa, hivyo nikamsomea: “Yote ni kwa ajili Yangu.” “Y” ikiwa imeandikwa kwa sarufi kubwa. Hii ndio maana injili ya Yesu ni kigumu kwa watu wengi kiasi ya kutoeleweka kwao. Imepandwa katika maono tofauti ya ukweli. Yote si kwa ajili au sababu yetu. Ni kwa ajili ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu alikusudia tuishi kwa utukufu wake. Hili lote liko katika Bibilia yote. Na hivyo basi ni mwito wetu na uhai na jukumu letu kuishi kwa utukufu wake. Jijaribu: Je upendo wa Mungu kwako unamaanisha kuwa anakufanya uwe kati, ama unamaanisha kuwa anakupa furaha ya milele—kwa gharama kuu kwake mwenyewe—ama kumfanya kiini? Hii ndio uliumbwa kwayo. Hiyo itakuwa furaha yako na utakatifu wake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Halafu zingatia ukweli mbili za kibibilia ufuatao kwa pamoja. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ukweli wa kibibilia #3. Wote tumekosa kumpa Mungu vile tunapaswa. ====&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
“Sote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.” (Warumi 3:23)&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
==== Ukweli wa kibibilia #4: Sote tuko chini ya hukumu wa haki wa Mungu.  ====&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
“Mshahara wa dhambi ni mauti . . .&amp;quot; (Warumi 6:23). &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Haya pia yaweza kujumumulishwa kwa ukurasa moja yaweza, kama tu yale ya kwanza mbili? Tungfesesma, “ Kwa sababu sisi sote ni wenye dhambi, tunastahili hukumu ya Mungu—Tunastahili kuadhibiwa.” Lakini kitu muhimu kinaweza kupotezwa tukisema hivyo. Kile kitapotezwa ni mkazo katika ukweli #3 klwa dhambi si tu vile na tumetumikia watu, bali vile tumemtumikia Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kibandiko ya jumla kingekuwa mbaya hata kama ingemaanisha, “ Dhambi zangu ni juu YANGU.” Mungu ni mbele ya mpangilio yake katika uumbaji. Mungu ndiye chanzo ya jukumu letru kama viumbe. Na Mungu ndiye chanzo kwa kile kinamaanisha kuwa wenye dhambi: Inamaanisha, vile Warumi 3:23 inasema, kupungukiwa na utukufu wa Mungu, ni kusema, kupendelea na kufarahi baadhi ya ukuu nyingine za Ukuu wa Mungu. Dhambi kwa kabisa ni kuhusu vile tunamtumikia Mungu, si watu wengine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hatutapata chochote katika uwoga wa kuzimu ama msalaba wa Kristo uliojawa damu kama hatutahisi uzito wa dhambi kama kero kwa Mungu. Dhambi si tu mwanadamu kumtusi mwenzake. Sana sana ni mwanadamu kumtusi Mungu. Hii ndio maudhui makuu katika mbingu na dunia. Lazima tuhisi hii kama hukumu mbaya ya ukweli #4 hautaonekana kama haki.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sote tumemtumikia Mungu kwa dharau, na ghadhabu yake inatujia. Hiyo ndiyo shida yetu kubwa zaidi. Kuibwa kuyliko uchumi. Kubwa kuliko uhusiano wa kitaifa na Iraki ama Korea Kaskazini kubwa kuliko oshida katika njdoa ama saratani chungu. Hii ndio injili ya Wakristo inafaa kutibu kwanza na zaidi. Tunaweza kuokolewaje kutoka kwa hukumu ya Mungu? Kuna madhara mengi pzaidi ya ajabu ya injili! Lakini hii ni muhimu na mengine ni juu yake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa injili. Hebu tutazame ukweli mawili ya mwisho za Biblia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ukweli wa kibibilia #5: Mungu alimtuma Mwanawe wa pekee Yesu kupeana uzima wa milele na furaha. ====&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
“Msemo huu ni wa kweli na unaopstahili kukubalika: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuokoa wenye dhambi . . . ” (1 Timotheo 1:15).&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
==== Ukweli wa kibibilia #6: Faida iliyonunuliwa na kifo cha Kristo ni kwa wale wanaotubu na kumwamini. ====&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
“Tubuni basi mkamgeukie Mungu, ili dhambi zenu zifutwe, ili zipate kuja nyakati za kuburudishwa kwa kuwepo kwake Bwana” (Matendo ya Mitume 3:19).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
“Mwamini Bwana Yesu Kristo, nawe utaokoka” (Matendo ya Mitume 16:31).&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Na tena tunaweza kuunamanisha hizi ukurasa hizi mbili. Tungesema: Ni nini dawa ya dhambi na hatia na hukumu? Jibu: “Mwamini Bwana Yesu Kristo, nawe utaokoka.” Lakini hilo litakuwa jibu lisilo kamili! Kama unazama, dawa si tu kupiga mayowe ili usaidiwe; ni waokoaji wa maisha na laini za waokoaji ( kama yahitajika) chombo cha kupumua. Kelele ya kuitosha usaidizi ina kuunganisha na kazi ya kuokolewa. Kama unakuwa na ugonjwa wa moyo, kupiga kwako siku kwa nambari 911 si dawa yako kuu. Ni ambualansi na matabibu wanaotumia ndege na CPR na wanguzi na wapasuaji na madawa. Simu kwa 911 ni kunganisho kwa kazi ya kuokoa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo ndivyo iilivyo kwa kuungama dhambi zako na kumwamini Yesu (Ukweli #6). Hiyo ni kiunganishi; chako na kazi ya kuokoa katika Kristo. Kristo alitenda kitu ili atuokoe miaka 2000 iliyopita. Alikuja, akaishi maisha kamili kama Mwana wa Mungu. Na alikufa kwa ajili ya wote watakaomwamini. 1 Petero 3:18, “Kwa kuwa Kristo naye aliteswa mara moja tu, mwenye haki, kwa ajili ya wasio na haki ili awalete ninyi kwa Mungu.” Imani yetu sio chanzo cha wokovu wetu. Inatuunganisha na chanzo cha wokovu wetu. ''Kristo'' ndiye chanzo cha wokovu wetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kifo na kuhukumiwa kwake kwa ajili ya hukumu wetu; haki yake kamili kwa ajili ya dhambi zetu na kutokamilika kwetu. Na kufufuka kwake kudhibitisha na kuhakikisha wokovu wetu na furaha yetu milele na milele. Bibilia inasema, “Tena kama Kristo hajafufuka, imani yenu ni batili, nanyi bado mko katika dhambi zenu . . . Lakini kweli&amp;quot; Kristo amefufuka kutoka kwa wafu, tunda la kwanza la wale wote waliolala! (1 Wakorintho 15:17, 20) Kwa sababu alikufa kwa ajili yetu na kufufuka tena, wote wanaomwamini wana uzima wa milele na furaha unaozidi kuongezeka mwanuni na maisha yako. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mwamini na ndoa yako ama ukapera wako. Mwamini na biashara yako na hali yako ya kifedha. Mwamini na afya ayako. Na chini ya yote, mwamini na dhambi zako na hatia zako na uwoga wako. Tayari ameshughulikia kuokoa. Imekwisha. Amekufa na kufufuka. Na wokovu wake waweza kuwa waovu kwa kumwamini. Na kama itakuwa, basi itakuja kutimiliza kwa nini uliumbwa: Na kama itakuwa, basi itakuja kutimiliza kwa nini uliumbwa: Utukufu pwa Mungu uliodhihirishwa katika furaha yako milele.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Jitolee_kwa_maombi</id>
		<title>Jitolee kwa maombi</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Jitolee_kwa_maombi"/>
				<updated>2017-06-22T20:31:53Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Jitolee kwa maombi&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Be Devoted to Prayer}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;amp;gt; . . . iweni na furaha katika tumaini, katika dhiki iweni na saburi, dumuni katika maombi . . . &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lengo langu rahisi na ambalo kwa mwanadamu haliwezekani asubuhi hii katika ujumbe huu ni kuwa ninyi nyote mtadumu katika maombi katika mwaka wa 2003. Hili ndilo lengo langu kwa sababu hili ndilo Bibilia anatuhimiza tufanye. Andiko langu ni Warumi 12:12 ambayo ni sehemu ya msururu mrefu wa himizo. Inasema inafaa “kufurahi katika tuamini katika dhiki, kudumu (proskarterountes) kwa maombi.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tafsiri yako inaweza sema “maombi bila kukoma” ama “mwaminifu katika maombi.” Haya yote yaelekea kwa neno hilo. “ Kudumu “ Nitafsiri mufti. Neno hilo latumika katika Marko 3:9 ambapo linasema, “Kwa sababu ya umati mkubwa wa watu, (Yesu) aliwaambia wanafunzi wake waweke tayari (proskartere) mashua ndogo kwa ajili yake ili kuwazuia watu kumsonga.” Mashua ilitengwa- ya kudumu- kwa ajili ya kumpeleka Yesu mabali ikiwa umati wangemsonga “ya kudumu”-Ilio tengwa kwa jukumu iliyoteuliwa kwake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa, mashua zinakuwa tu pale. Lakini watu hawajajitenga hivyo. Kama neno likitumika kumaanisha mtu linamaanisha kudumu au kutengwa si tu kwa njia ya hadhi ama uteuzi bali ya kitendo katika jukumu lililotendwa na kulisisitiza. Hivyo basi kwa mfano katika Warumi 13:6 Paulo anaongea kuhusu jukumu la Serikali hivi, “Kwa sababu hii mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala.” Ni kusema, si tu eti wameteuliwa na Mungu kwa jukumu, bali wamejitolea kwalo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
La muhimu katika neno hili ni kuwa matumishi matano kati ya kumi ya Agano Jipya yanatumiya maombi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sikiza, ukiacha Warumi 12:12 kunayo: &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
''Matendo ya Mitume 1:14 (Baada ya kupaa kwa Yesu kwenda mbinguni wakati Wanafunzi walikuwa wakiongojea kuvuviwa Roho mtakatifu huko Yerusalemu), “Hao watu wote waliungana pamoja katika maombi. Pamoja nao walikuwa wanawake kadha wa kadha na Maria mama yake Yesu na ndugu zake Yesu.'' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
''Matendo ya Mitume 2:42 (Kwa waliomgeukia Yesu hapo awali jijini Yerusalemu), “Nao wakawa wanadumu katika mafundisho ya Mitume, katika ushirika, katika kumega mkate na katika kusali.”'' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
''Matendo ya Mitume 6:4 (Mitume wansema), “Wakati sisi tutatumia muda wetu mrefu kuomba na kulihudumia lile neno.”'' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
''Wakolosai 4:2 (Paulo anatuambia sisi wote). “Dumuni sana katika maombi, mkikesha katika hayo pamoja na kushukuru.”'' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi tunaweza sema kutoka kwa maandiko ya Agano Jipya kwamba maisha ya Kristo ya kawaida ni maisha ya kudumu katika maombi. Na basi inafaa ujiulize unapotoka kwa mwaka wa 2002 na kuingia katika mwaka wa 2003, “Je ninadumu katika maombi?” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Si kumaanisha kwamba maombi pekee ndicho kitu unachokifanya- kuliko kuwa pamoja na bibi kunamaanisha kuwa kile Bwana anafanya ni kuenenda tu kwa pamoja na bibi yake. Lakini kudumu kwake kunabadilisha vyote maishani mwake na kumfanya kumpeana kwake kwa njia nyingi tofauti. Basi kudumu kwa maombi hakumaanishi kuwa yote ufanyayo ni kuomba (Ingawa Paulo asema katika pahali pengine, “Omba bila kukoma.” 1 Wathesalonika 5:17). Inamaanisha kuwa kutakuwa na mtindo wa kuomba unaokaa kama kudumu katika maombi. Hautakuwa sawa kwa watu wote. Lakini utakuwa kitu chenye umuhimu. Kudumu katika maombi inakaa tofauti na kutodumu katika maombi. Na Mungu anajua tofauti. Atatuita tutoe ushuhuda: Je, tumedumu katika maombi? Je, kuna mtindo maishani mwako ambao unaweza kuitwa, “kudumu katika maombi?” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nadhani wengi wetu wanaweza kukubaliana juu ya baadhi ya aina fulani ya maombi ambayo hayawezi itwa “Kudumu katika maombi.” Kuomba tu wakati shida inapoingia maishani mwako, hautakuwa mtindo wa kudumu katika maombi. Kuomba wakati wa mlo ni mtindo, lakini je inalingana na vile Paulo anavyohimiza Kanisa “kudumu katika maombi?” Changamoto, “Sasa najilaza ili nilale” maombi mwishoni mwa siku yawezakuwa ni “kutodumu katika maombi.” Kulenga na kukosa “Nisaidie, Bwana” ndani ya gari ukihitaji pahali pa kuliegeza si “kudumu katika maombi.” Hayo yote ni mazuri. Lakini sisi sote tutakubaliana kuwa Paulo anahitaji kitu zaidi na tofauti kutoka kwa Wafuasi wa Kristo anaposema “Mdumu katika maombi.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tusije tukasahau katika haya yote, vile tulivyoona wiki uliopita, kuwa msalaba wa Kristo- kifo chake kwa ajili ya wenye dhambi- ni msingi wa maombi yote. Hakungekuwa na jibu mwafaka kama KWA NINI ama VIPI tunaomba kama Kristo hangekufa kwa ajili yetu. Ndio maana tunaomba “katika jina la Yesu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Vile nimepima vizuizi katika maombi naweza kuviongelea, baadhi ya vizuizi vimeandikwa chini ya swali, KWA NINI uombe? Na baadhi yao chini ya swali JINSI ya kuomba. Asubuhi hii nataka kuangazia juu ya JINSI. Si kwamba swala la KWA NINI si muhimu, lakini inaonekana kwamba tunaweza kuwa na jibu lote la kitaaluma la kidini ya KWA NINI inafaa tuombe na bado wapuuzi na wasiojali katika maisha ya maombi. Basi nitawapa jibu fupi kwa swali KWA NINI, na baadaye kuangazia maswali ya kawaida kuhusu kwa njia gani ambayo naomba utakuinuwa kubuni hatua mpya ya “kudumu katika maombi” katika mwaka wa 2003”. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kwa nini kuomba? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Naanza na majibu matatu mafupi juu ya KWA NINI tunafaa kudumu katika maombi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
1) Bibilia inatuambia kuomba na tunafaa kufanya yale Mungu anayoyasema. Andiko hili pamoja na mengine linasema, “Dumu katika maombi.” Tusipofanya hivyo, hatuko watiifu kwa maandiko. Hiyo ni upumbavu na hatari. Kama maombi hayaji kwa urahisi kwako, jichukuwe kama mtu wa kawaida ambaye ameanguka na mtenda dhambi pamoja na wengine wetu. Halafu pigana. Jihubirie. Usiache dhambi zako na udhaifu wako na vitu vya dunia vikutawale. Mungu asema “Dumu katika maombi.” Pigania hii. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
2) Mahitaji maishani mwako, na katika familia yako, na katika Kanisa hili na makanisa mengine, na katika hatima ya huduma ya ulimwengu, na katika utamaduni wetu kiujumla ni kubwa mno na yana hitaji. Katika hali nyingi mbingu na kuzimu yaning’inia, kuamini ama kutoamini, uhai ama mauti. Kumbuka huzuni na hofu wa Paulo kwa ajili ya watu wa ukoo wake wanaoangamia katika Warumi 9:2 na ukumbuke katika Warumi 10:1 anawombea kwa dhati, “Ndugu zangu, shauku ya moyo wangu na maopmbi yangu kwa Mungu ni kwa ajili ya Waisraeli kwamba waokolewe.” Wokovu waning’inia tunapoomba. Hutajua ni nini haja ya maombi hadi utakapojua kuwa maisha ni vita.Mojawapo ya vizuizi kuu kwa maombi ni kuwa maisha kwa kawaida sana sana huwa nyororo kwa wengi wetu. Uwanja wa vita ndiyo njia hapo nje, lakini hapa katika donge langu ndogo la amani na kutosheleka yote ni vyema.Lo! Mungu na atufumbue macho ili toune na kuhisi mahitaji yanayotuzingira na uweza mkuu wa maombi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
3) Sababu ya tatu ya kuomba ni kuwa Mungu anatenda tunapoomba. Na Mungu anaweza kuyatenda mengi katika sekunde tano kuliko yale tunaweza kufanya kwa miaka tano. Na ni vipi nilivyo jivunza hivi kwa miaka. Ni jambo la ajabu kuungama mara kwa mara na kumsihi Mungu wakati wa kutayarisha mafunzo, ama wakati mwingine katika ushauri juu ya shida ama baadhi ya gumzo ya ushuhuda ama baadhi ya mkutano wa mpango, na kuwa na upenyo baada ya upenyo ambao haukuja hadi nilipoomba. Ni funzo muhimu kuhisi ukiwa na uwoga na kuwa na hamu ya kuanza kazi mara moja kwa sababu nina mengi ya kufanya na sijui vile nitayamaliza yote, lakini kujilazimisha kuwa kulingana na Bibilia na kujali na kuchukua muda ya kuungama chini kabla ya kufanya kazi na nikiwa nimeungama chini ili niwe na mawazo akilini ama kutengeneza ujumbe ama kukabiliana na janga ama kusuluhisha shida ya kidini-na hivyo basi kujiokolea masaa kadha wa kadha ya kazi na shida ya kugonga kichwa changu ukutani nikijaribu kufahamu kilichotukia katika sekunde tano ya kuangaziwa! Simaanishi kuwa Mungu anatuondoa katika kazi ngumu. Namaanisha kuwa maombi yanaweza kufanya kazi yako izalishe matunda mara 5000 kuliko vile unaweza kufanya pekee yako. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna mengi, lakini haya ndiyo majibu ya swali KWA NINI kuomba: 1) Mungu anatuamrisha tuombe; 2) Mahitaji ni makuu na vitu vya milele viko taabani: 3) Mungu anatenda tunapoomba na kila mara anatenda mengi zaidi kwa masekunde kuliko vile tungeweza kufanya kwa masaa ama wiki ama wakati mwingine miaka. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna maswali mengine mengi ya kujibiwa kuhusu maombi ambayo sitayashughulikia hapa. Ndio maana kuna sura ndefu juu ya maombi katika Kutamani Mungu na Starehe za Mungu na Wacha Mataifa Wafurahie na sababu ya kuwa na kitabu nzima kiitwacho: Njaa kwa Mungu: Kumtamani Mungu kupitia Kuomba na Kufunga. Sana sana ikiwa unang’ang’ana na vile kuomba kwa wokovu wa watu unavyolingana pamoja na kuchaguliwa bila masharti enda moja kwa moja hadi ukurasa wa 217-220 ama Starehe za Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Jinsi ya kuomba ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini kwa wakati wetu uliobaki asubuhi hii twataka kuongea kuhusu JINSI ya maombi. Nataka kuwapa motisha na mambo yanayoonekana, uweza wa kibibilia ambayo hujawahi kudhani, ama labada kujaribu na baadaye kushindwa kuyastahimili- kukosa “kudumu katika maombi.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ni jitihada yangu kuchora kinachomaanisha kudumu katika maombi bila kufanya njia yangu nyembamba ama fikira kama ya njia kuu. Si sote ni tofauti. Mipangilio yetu ni tofauti. Familia zetu ni tofauti. Tuko katika hatua tofauti za kimaisha zilizoko na mahitaji tofauti za nyakati zetu. Tuko katika viwango tofauti ya ukomavu wa kiroho na hakuna anaye komaa kwa usiku mmoja. Yale ambayo unaweza kuyafanya kwa miaka mitano katika kudumu kwako kwa maombi yaweza kukufanya uwaze nyuma na kushtuka vile ulivyostahimili nyakati za ukavu. Lakini sote twaweza songa mbele. Paulo anapenda kuandikia makanisa yake na kusema, “Mnaendelea vizuri, lakini mkizidi kuyatenda mengi hivyo zaidi” (Wafilipi 1:9; 1 Wathesalonika 4:1, 10). Na kama kuna mahali popote ambapo “kutenda hivyo zaidi na zaidi” pametumika, ni katika kudumu kwetu katika maombi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nitaweza maoni mbili mbili kwa mara tano nikitumia herufi tofati tofauti ambayo kwa pamoja itasomeka kama “FADES.” Hakuna umuhimu kwa neno “fades.” Lakini ni vile tu inavyosomeka. Lakini ukijaribu kuilazimisha, unaweza sema kwamba bila haya , kudumu kwa maombi kunatoweka (fades). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== F - Free and Formed (Huru na yaliyoumbwa) ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapa ninayo mawazoni tofauti kati ya ombi lilopangwa na lisilopangwa. Kudumu katika maombi kutamaanisha kwamba yale unasema katika muda wako wa maombi yatakuwa ya huru na yasiyopangwa na kila mara yaundwa na kupangwa. Unapokuwa huru tu katika maombi yako utakuwa juu juu na bila mpango. Kama umeumbika tu katika maombi yako, labda utakuwa kama mtambo na mviringo. Njia zote za maombi ni muhimu. Si mojawapo, bali yote na. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa kuwa huru namaanisha kila mara utahisi kumwaga roho yako kwa Mungu na utaufanya. Hatuhitaji maandishi ama mwongozo ama jarida ama vitabu. Utakuwa na mahitaji mengi amabayo yatatoka tu kwa huru bila mpangilio wowote wa kabla. Hii ni nzuri. Bila hii ni shaka kwamba tuna uhusiano wa kweli na Kristo. Hebu tafakari juu ya ndoa bila urafiki ambapo mawasiliano yote yatoka kwenye vitabu ama majarida ama yatamkwa kutoka kwa maandiko yaliyotiliwa akilini. Hiyo itakuwa ya kibinadamu sana. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa upande mwingine nakusihi kutodhani kuwa uko ndani ya roho sana ama una njia ama tajiri ama una nidhamu kiasi kwamba unaweza kuendelea bila usaidizi wa miundo. Ninayo akilini aina ya miundo minnne ambayo natumai mtaitumia. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Muundo #1. Bibilia.''' Omba kibibilia. Omba maombi ya kibibilia. Wiki hii tunajenga maombi yetu katika ombi kwenye Waefeso 3:14-19. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;amp;gt; Kwa sababu hii naungama mbele ya Baba, 15 Ambaye kwa yeye ubaba wote wa kila jamaa za mbinguni na za duniani unaitwa. 16. Namwomba Mungu awaimarishe kwa kuwatia nguvu mioyo yenu kwa njia ya roho wake kwa kadiri ya utajiri wa utukufu Wake, 17 Ili kwamba, Kristo apate kukaa mioyoni mwenu kwa njia ya imani. Nami ninaomba kwamba nanyi mkiwa wenye mizizi tena imara katika upendo. 18 muwe na uwezo wa kufahamu pamoja na watakatifu jinsi ulivyo upana na urefu na kimo na kina upendo wa Kristo. 19 Na kujua upendo huu kwamba unapita fahamu ili mpate kujazwa na kufikia kipimo cha ukamilifu wa Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Litafakari na liombe kila mara. Omba ombi la Bwana na unapoomba weka kila sentensi kwa maneno yako na kulitumia kwa watu ambao una mizigo kwao. Omba amri za bibilia: “Nisaidie- msaidie bibi yangu, watoto wangu, wazee, upendo wetu wa huduma wako, ewe Mungu, kwa moyo wangu wote na roho yangu yote na nguvu zangu zote.” Omba ahadi za kibibilia: “Ewe bwana chukua mamlaka yote, iliyo yako juu mbinguni na duniani na uwafanye wahudumu wetu kuhisi utamu wa ahadi ya kuwa utakuwa nao hadi mwisho wa dahari. Omba maonyo ya Bibilia: “ama Bwana ,Ni ruhusu kupigana dhidi ya tamaa kwa njia ya dharura ambayo ulifundisha uliposema, ng’oa jicho lako na upate kuridhi ufalme wa mbingu kuliko kuliacha na kuenda jehanamu.” Fungua Bibilia mbele zako na uweke kiniko kimoja kwa upande mmoja na kingine upande mwingine na kuomba ile aya yake kwa kuabudu ama kusifu ama kwa kushukuru ama kuamrisha. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Muundo #2. Orodha.''' Orodha ya kuomba. Akilini ninayo orodha ya watu ya kuombea na orodha ya mahitaji ya kuombea. Kama unaweza kukumbuka watu wote na mahitaji ya kuombea yafaa uombe bila orodha, wewe ni Mungu. Lazima niwe na orodha zingine akilini mwangu na zingine kwenye karatasi. Nimeweka akilini karibu watu 70 ambao nawaombea kwa majina kila siku. Lakini hiyo haijumulishi orodha ya watu waliokuja kwa huduma katika ukumbi ambao Noeli pamoja nami wanawaombea kila siku kutoka kwa orodha ulioandikwa. Haijumlishi orodha ya wahudumu wetu ninayosoma kutoka kwa orodha. Na hiyo ni watu tu, bila kutaja mahitaji ambayo yabadilika ndani ya moyo wangu na katika familia na kanisa na ulimwengu wiki baada ya wiki. Basi nakuhimiza kutumia orodha ya watu na mahitaji. Hifadhi aina fulani ya mfuko wa maombi ama kijitabu ama hifadhi katika tarakilishi yako ya mkono. Kumbuka naongea tu juu ya nusu moja ya haya mawili: Uhuru na muundo. Usisahau thamani ya uhuru. Ni yote mbili si moja wapo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Muundo #3. Vitabu.''' Omba kupitia vitabu kama Dunia ya Operesheni- taifa tofauti na Nia ya Kristo ndani yake, Kila siku ama kwa siku mbili.Ni njia yenye nguvu ya kupata moyo kiasi cha ulimwengu na maono ya ukuu wa Mungu! Omba kupitia kitabu kama Kudumu kwa Undani- Mtazamo wa haraka wenye ukurasa mmoja kuhusu mateso, kanisa linaloteswa kwa kila siku ya mwaka. Chukua kitabu changu Wacha na Dunia ifurahi, na ufunguwe ukurasa 57-62 na uombe juu ya vitu 36 ambavyo kanisa la kwanza waliviombea moja kwa mwingine. Chukua bonde la maono, Kitabu cha maombi cha Waumini cha wanaofuata mafundisho ya Yesu, na uombe yale wataua wakuu wa zama wameyaombea. Sisi ni wapumbavu kufikiri kuwa tukiwachwa pekee yetu tutaona yote Bibilia inafaa iseme na mahitaji yote ambayo inafaa tuombe bila usaidizi wa vitabu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Muundo #4. Mitindo.''' Tengeneza mitindo ya maombi ambayo inakupatia mwelekeo fulani ya kufanya ya kwanza na ya pili na ya tatu unapoungama chini. Mtindo mmoja vile nimetaja, ni kutengeneza maombi yako kupitia wosia za ombi la Bwana. Mtindo ninaoptumia kila siku ni mtindo wa miduara dufu. Nikiaanza na moyo wangu mwenyewe-ambao unahisi dhambi na mahitaji kwa ustadi sana- na baadaye kwa familia yangu na baadaye kwa wafanyikazi katika kitengo cha uchungaji na wazee, halafu wafanyikazi wote katika kanisa, halafu huduma wetu, halafu mahitaji ya dharura katika mwili wa Kristo na nia ya Kristo katika huduma na tamaduni. Bila muundo au mitindo fulani kama huu nashikwa na baridi na siendi popote. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi mbili za kwanza ni huru na yaliyoumbwa. Yasiyo tengenezwa na yaliyo na mahitaji yatiririkayo na shukrani na sifa; na yaliyotengenezwa na usaidizi kama Bibilia, nakala, vitabu na mitindo. Kama “unadumu katika maombi” utatafuta uhuru na muundo katika maombi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== A - Alone and Assembled (Pekee na ulio kusanywa) ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kudumu katika maombi kutamaanisha kuwa kila mara utaomba pekee yako na kila mara katika mkusanyiko wa Wakristo wengine. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
O! ni muhimu sana tunapokutana na Mungu pekee kupitia kwa Yesu Kristo. Hakuna Ukristo bila kujiamini kwako na kupatana na Mungu kupitia Yesu. Yote ni Sarakasi na mabaki na kujidanganya bila hii. Sussana Wesley pamoja na watoto wake 16 alikuwa anafunika kichwa chake katika chumba cha kupikia na watototo wote walijifunza kuwa hii ilimaanisha kimya katika chumba cha kupikia. Watoto wanafaa kujifunza kuwa Baba na mama wana wakati na Yesu ambayo ni tukufu na ambayo haifai itatanishwe. Pata pahali, panga wakati, fundisha watoto wote nidhamu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini nadhani kuomba katika mkusanyiko wa waumini wengine kunapuuzwa sana kuliko kuomba pekee. Pekee na yaliyokusanywa. Agano Jipya limejawa na mikutano ya jumuiko ya maombi. Yamkini maombi mengi katika Agano jipya yawezekana yamefikiriwa kwa njia ya mkusanyiko wa maombi. Matendo 1:14, “Hawa wote waliungana pamoja katika maombi. Pamoja nao palikuwa wanawake kadha wa kadha na Maria mamake Yesu pamoja na ndugu zake Yesu.” – Hiyo ni mfano ya kile utapata. Matendo 12:12, wakati Petro alipotoka kwenye jela, “alikwenda nyumbani kwa Maria mamake Yohana aliyeitwa pia Mariko, ambako watu wengi walikuwa wamekutana kwa maombi.” Mikutano ya maombi ilikuwa kawaida na nadhani ilikuwa kitendo cha kawaida kwa Kanisa la Kwanza. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kudumu katika maombi katika Agano Jipya ilijumulisha kuomba pamoja na watu wa Mungu. Je, unafanyaje hili? Hii si ukristo ulioendelea sana. Hii ni Ukristo wa kimsingi Wiki hii tuko na mikutano ya maombi 12 ya muda wa dakika 30 iliyopangwa pamoja na maombi ya masaa 8 usiku kucha ya ijumaa. Yote ni kwa ajili ya kukufanya uwe na upenyo mpya. Katika muda uliosalia ya mwaka kuna mikutano ya maombi ya dakika 30 kwa asubuhi 6 kila wiki, Siku ya Jumatano jioni saa 12 na mbili kasorobo kule jijini. Halafu kuna vikundi vidogo wanao kutana kwa maombi na huduma. Halafu kuna Jumapili asubuhi ambayo inajumuisha maombi kupitia nyimbo na njia nyinginezo. Kama kusanyiko ya maombi si pande ya kudumu kwako kwa maombi, fanya mwaka wa 2003 uwe mwaka wa upenyo: Uhuru na Ulioundwa, pekee na ulio wa mkusanyiko. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== D - Desparate and Delighted (Yenye hitaji na furaha) ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kudumu katika maombi kutamaanisha kuwa unamjia Mungu katika maombi kila mara ukiwa na hitaji na kila mara ukiwa na furaha. Kwa urahisi ninamaanisha kuwa ombi ni pahali pa kukutana na Mungu kwa furaha zako kuu zaidi na Shukrani. Kama tandiko ulitumialo kwa kiniko chako unapoungama mbele za Bwana litakuwa tandiko lililorarulika. Na hata hivyo kwa vile Mungu ni Yule asikiaye maombi, Utasema pamoja na mtume Paulo, “Nina huzuni bali kila mara nafurahi.” (2 Wakorintho 6:10) na kila mara nafurahi hiyo itashinda mizigo yote ya Ulimwengu huu iliyoanguka- vile inafaa- na ikufanye utake kuruka kwa furaha. Mungu anataka kukutana nawe hata katika nyakati kama hizo. Dumu katika maombi ya hitaji na kwa furaha- kwa kufunga na kusheherekea. Si kwa mojawapo bali yote na. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== E - Explosive and Extended (Ya kulipuka na kuendelezwa) ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yale ninamaanisha hapa ni fupi na ni refu, ningesema fupi na ndefu, lakini herufi hazingeambatana na tamshi halingemaanisha lolote. Tena ya kulipuka ni wazi mno na ni hakika maombi yanaweza kuwa kutoka muda hadi nyingine. Kama unadumu katika maombi, utalipuka kila mara katika maombi ya sifa na ya shukrani na ya hitaji hayatakuwa kwa nasekunde mengi. Na kama unadumu katika maombi utakuwa na wakati wakening’inia kwa muda mrefu katika maombi kwa Bwana. Saa zingine napiga simu ya haraka kwa Noeli na saa zingine tunakaa pamoja kwa muda wa jioni. Kama unampenda Kristo na kumuegemea kwa vitu vyote na kumthamini kwa vyote vile, utakutana naye kila mara katika maombi ya kulipuka na kila mara kwa maombi ya kuendelezwa. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== S - Sponteneous and Scheduled (Mara mmoja na yaliyo ratibishwa) ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni nini tofauti kati ya hii na “huru na yaliyopangwa” ama “ya kulipuka na yaliyoendelezwa”? Kwa “huru na yaliyopangwa” nilimaanisha yaliyomo katika maombi yetu- yale tunafanya tunapokuja kuomba. Kwa “Yakulipuka na yaliyoendelezwa nilimaanisha muda wa maombi yetu. Kwa mara mmoja na yaliyoratibishwa ninamaanisha tunapoomba. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ikiwa tunadumu kwa maombi tutaomba kwa mara mmoja katika siku- bila kukoma vile Paulo anavyosema- Roho ya umoja kwa pamoja na Kristo, kutembea kwa roho na kumjua kama kitu kinachoishi kwa kuendelea ndani ya maisha yako. Hakuna mpango utakao tawala unapomuongelesha. Itafanyika kwa mara kadhaa katika siku. Hii ni kawaida na vyema. Hii ni kudumu katika maombi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini ukiwa tu na hii, hutakuwa nayo kwa muda mrefu. Tunda nzuri ya kweli ya mara mmoja hukua katika shamba lililotunzwa vizuri kwa nidhamu ya mpango. Basi nawasihi, uwe na wakati wako uliopangwa kwa ajili ya maombi. Uipange kwa mwaka wa 2003. Lini utakutana naye kila mara? Muda gani utatenga. Nakuhimiza uanze kwa njia hii. Je, uko tayari kupanga siku moja ama siku mbili na nusu mbali pekee yako ama pamoja na rafiki ama na mchumba- si kusoma kitabu bali kuomba kwa masaa mannne au manane. Vipi? Kwa kusoma tu Bibilia yako na kuigeuza yote kuwa maombi Noeli pamoja nami tumekuwa na siku zetu zilizo na utajiri mwingi kwa kuchukua kitabu kifupi cha Bibilia na kusoma sura na kutuliza na kuiombea sura hiyo kwa familia na kanisa letu. Halafu kusoma sura nyingine na kuomba na mengine mengi. Lakini hiyo haifanyiki tu. Lazima ipangwe. Si kwa ghafla. Ni ya kujengwa. Na ni takatifu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi unayo hapo. Neno la Mungu kwetu leo ni, “Dumu katika maombi.” Kaa ndani yake. Kuwa mwaminifu kwayo. Kwa nini? Mungu anatuamrisha tuwe; mahitaji ni makuu na uzima wa milele u taabani; na Mungu anasikia na kutenda mengi katika sekunde tano yale ambayo tunaweza kufanya kwa miaka tano. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na je tutadumu aje kwa maombi? Mambo haya. Bila hayo maombi YATOWEKA (FADES). Wacha ombi lako liwe…. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''F - Free and formed (Huru na lililopangwa) A - Alone and Assembled (Pekee na la kusanywa) D - Desparate and delighted (Lenye Hitaji na Furaha) E - Explosive and Extended (La kulipuka na la kuendelezwa) S - Spontenoues and Scheduled (La mara mmoja na lililotayarishwa)'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na Bwana awape roho ya neema na kuzidishiwa kwa wiki hii ya maombi na Mwaka yote.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Jitolee_kwa_maombi</id>
		<title>Jitolee kwa maombi</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Jitolee_kwa_maombi"/>
				<updated>2017-06-22T20:31:33Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|Be Devoted to Prayer}}   &amp;amp;gt; . . . iweni na furaha katika tumaini, katika dhiki iweni na saburi, dumuni katika maombi . . .   Lengo langu rahisi na ambalo kwa mwanadamu h...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Be Devoted to Prayer}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;amp;gt; . . . iweni na furaha katika tumaini, katika dhiki iweni na saburi, dumuni katika maombi . . . &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lengo langu rahisi na ambalo kwa mwanadamu haliwezekani asubuhi hii katika ujumbe huu ni kuwa ninyi nyote mtadumu katika maombi katika mwaka wa 2003. Hili ndilo lengo langu kwa sababu hili ndilo Bibilia anatuhimiza tufanye. Andiko langu ni Warumi 12:12 ambayo ni sehemu ya msururu mrefu wa himizo. Inasema inafaa “kufurahi katika tuamini katika dhiki, kudumu (proskarterountes) kwa maombi.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tafsiri yako inaweza sema “maombi bila kukoma” ama “mwaminifu katika maombi.” Haya yote yaelekea kwa neno hilo. “ Kudumu “ Nitafsiri mufti. Neno hilo latumika katika Marko 3:9 ambapo linasema, “Kwa sababu ya umati mkubwa wa watu, (Yesu) aliwaambia wanafunzi wake waweke tayari (proskartere) mashua ndogo kwa ajili yake ili kuwazuia watu kumsonga.” Mashua ilitengwa- ya kudumu- kwa ajili ya kumpeleka Yesu mabali ikiwa umati wangemsonga “ya kudumu”-Ilio tengwa kwa jukumu iliyoteuliwa kwake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa, mashua zinakuwa tu pale. Lakini watu hawajajitenga hivyo. Kama neno likitumika kumaanisha mtu linamaanisha kudumu au kutengwa si tu kwa njia ya hadhi ama uteuzi bali ya kitendo katika jukumu lililotendwa na kulisisitiza. Hivyo basi kwa mfano katika Warumi 13:6 Paulo anaongea kuhusu jukumu la Serikali hivi, “Kwa sababu hii mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala.” Ni kusema, si tu eti wameteuliwa na Mungu kwa jukumu, bali wamejitolea kwalo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
La muhimu katika neno hili ni kuwa matumishi matano kati ya kumi ya Agano Jipya yanatumiya maombi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sikiza, ukiacha Warumi 12:12 kunayo: &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
''Matendo ya Mitume 1:14 (Baada ya kupaa kwa Yesu kwenda mbinguni wakati Wanafunzi walikuwa wakiongojea kuvuviwa Roho mtakatifu huko Yerusalemu), “Hao watu wote waliungana pamoja katika maombi. Pamoja nao walikuwa wanawake kadha wa kadha na Maria mama yake Yesu na ndugu zake Yesu.'' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
''Matendo ya Mitume 2:42 (Kwa waliomgeukia Yesu hapo awali jijini Yerusalemu), “Nao wakawa wanadumu katika mafundisho ya Mitume, katika ushirika, katika kumega mkate na katika kusali.”'' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
''Matendo ya Mitume 6:4 (Mitume wansema), “Wakati sisi tutatumia muda wetu mrefu kuomba na kulihudumia lile neno.”'' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
''Wakolosai 4:2 (Paulo anatuambia sisi wote). “Dumuni sana katika maombi, mkikesha katika hayo pamoja na kushukuru.”'' &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi tunaweza sema kutoka kwa maandiko ya Agano Jipya kwamba maisha ya Kristo ya kawaida ni maisha ya kudumu katika maombi. Na basi inafaa ujiulize unapotoka kwa mwaka wa 2002 na kuingia katika mwaka wa 2003, “Je ninadumu katika maombi?” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Si kumaanisha kwamba maombi pekee ndicho kitu unachokifanya- kuliko kuwa pamoja na bibi kunamaanisha kuwa kile Bwana anafanya ni kuenenda tu kwa pamoja na bibi yake. Lakini kudumu kwake kunabadilisha vyote maishani mwake na kumfanya kumpeana kwake kwa njia nyingi tofauti. Basi kudumu kwa maombi hakumaanishi kuwa yote ufanyayo ni kuomba (Ingawa Paulo asema katika pahali pengine, “Omba bila kukoma.” 1 Wathesalonika 5:17). Inamaanisha kuwa kutakuwa na mtindo wa kuomba unaokaa kama kudumu katika maombi. Hautakuwa sawa kwa watu wote. Lakini utakuwa kitu chenye umuhimu. Kudumu katika maombi inakaa tofauti na kutodumu katika maombi. Na Mungu anajua tofauti. Atatuita tutoe ushuhuda: Je, tumedumu katika maombi? Je, kuna mtindo maishani mwako ambao unaweza kuitwa, “kudumu katika maombi?” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nadhani wengi wetu wanaweza kukubaliana juu ya baadhi ya aina fulani ya maombi ambayo hayawezi itwa “Kudumu katika maombi.” Kuomba tu wakati shida inapoingia maishani mwako, hautakuwa mtindo wa kudumu katika maombi. Kuomba wakati wa mlo ni mtindo, lakini je inalingana na vile Paulo anavyohimiza Kanisa “kudumu katika maombi?” Changamoto, “Sasa najilaza ili nilale” maombi mwishoni mwa siku yawezakuwa ni “kutodumu katika maombi.” Kulenga na kukosa “Nisaidie, Bwana” ndani ya gari ukihitaji pahali pa kuliegeza si “kudumu katika maombi.” Hayo yote ni mazuri. Lakini sisi sote tutakubaliana kuwa Paulo anahitaji kitu zaidi na tofauti kutoka kwa Wafuasi wa Kristo anaposema “Mdumu katika maombi.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tusije tukasahau katika haya yote, vile tulivyoona wiki uliopita, kuwa msalaba wa Kristo- kifo chake kwa ajili ya wenye dhambi- ni msingi wa maombi yote. Hakungekuwa na jibu mwafaka kama KWA NINI ama VIPI tunaomba kama Kristo hangekufa kwa ajili yetu. Ndio maana tunaomba “katika jina la Yesu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Vile nimepima vizuizi katika maombi naweza kuviongelea, baadhi ya vizuizi vimeandikwa chini ya swali, KWA NINI uombe? Na baadhi yao chini ya swali JINSI ya kuomba. Asubuhi hii nataka kuangazia juu ya JINSI. Si kwamba swala la KWA NINI si muhimu, lakini inaonekana kwamba tunaweza kuwa na jibu lote la kitaaluma la kidini ya KWA NINI inafaa tuombe na bado wapuuzi na wasiojali katika maisha ya maombi. Basi nitawapa jibu fupi kwa swali KWA NINI, na baadaye kuangazia maswali ya kawaida kuhusu kwa njia gani ambayo naomba utakuinuwa kubuni hatua mpya ya “kudumu katika maombi” katika mwaka wa 2003”. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kwa nini kuomba? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Naanza na majibu matatu mafupi juu ya KWA NINI tunafaa kudumu katika maombi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
1) Bibilia inatuambia kuomba na tunafaa kufanya yale Mungu anayoyasema. Andiko hili pamoja na mengine linasema, “Dumu katika maombi.” Tusipofanya hivyo, hatuko watiifu kwa maandiko. Hiyo ni upumbavu na hatari. Kama maombi hayaji kwa urahisi kwako, jichukuwe kama mtu wa kawaida ambaye ameanguka na mtenda dhambi pamoja na wengine wetu. Halafu pigana. Jihubirie. Usiache dhambi zako na udhaifu wako na vitu vya dunia vikutawale. Mungu asema “Dumu katika maombi.” Pigania hii. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
2) Mahitaji maishani mwako, na katika familia yako, na katika Kanisa hili na makanisa mengine, na katika hatima ya huduma ya ulimwengu, na katika utamaduni wetu kiujumla ni kubwa mno na yana hitaji. Katika hali nyingi mbingu na kuzimu yaning’inia, kuamini ama kutoamini, uhai ama mauti. Kumbuka huzuni na hofu wa Paulo kwa ajili ya watu wa ukoo wake wanaoangamia katika Warumi 9:2 na ukumbuke katika Warumi 10:1 anawombea kwa dhati, “Ndugu zangu, shauku ya moyo wangu na maopmbi yangu kwa Mungu ni kwa ajili ya Waisraeli kwamba waokolewe.” Wokovu waning’inia tunapoomba. Hutajua ni nini haja ya maombi hadi utakapojua kuwa maisha ni vita.Mojawapo ya vizuizi kuu kwa maombi ni kuwa maisha kwa kawaida sana sana huwa nyororo kwa wengi wetu. Uwanja wa vita ndiyo njia hapo nje, lakini hapa katika donge langu ndogo la amani na kutosheleka yote ni vyema.Lo! Mungu na atufumbue macho ili toune na kuhisi mahitaji yanayotuzingira na uweza mkuu wa maombi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
3) Sababu ya tatu ya kuomba ni kuwa Mungu anatenda tunapoomba. Na Mungu anaweza kuyatenda mengi katika sekunde tano kuliko yale tunaweza kufanya kwa miaka tano. Na ni vipi nilivyo jivunza hivi kwa miaka. Ni jambo la ajabu kuungama mara kwa mara na kumsihi Mungu wakati wa kutayarisha mafunzo, ama wakati mwingine katika ushauri juu ya shida ama baadhi ya gumzo ya ushuhuda ama baadhi ya mkutano wa mpango, na kuwa na upenyo baada ya upenyo ambao haukuja hadi nilipoomba. Ni funzo muhimu kuhisi ukiwa na uwoga na kuwa na hamu ya kuanza kazi mara moja kwa sababu nina mengi ya kufanya na sijui vile nitayamaliza yote, lakini kujilazimisha kuwa kulingana na Bibilia na kujali na kuchukua muda ya kuungama chini kabla ya kufanya kazi na nikiwa nimeungama chini ili niwe na mawazo akilini ama kutengeneza ujumbe ama kukabiliana na janga ama kusuluhisha shida ya kidini-na hivyo basi kujiokolea masaa kadha wa kadha ya kazi na shida ya kugonga kichwa changu ukutani nikijaribu kufahamu kilichotukia katika sekunde tano ya kuangaziwa! Simaanishi kuwa Mungu anatuondoa katika kazi ngumu. Namaanisha kuwa maombi yanaweza kufanya kazi yako izalishe matunda mara 5000 kuliko vile unaweza kufanya pekee yako. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna mengi, lakini haya ndiyo majibu ya swali KWA NINI kuomba: 1) Mungu anatuamrisha tuombe; 2) Mahitaji ni makuu na vitu vya milele viko taabani: 3) Mungu anatenda tunapoomba na kila mara anatenda mengi zaidi kwa masekunde kuliko vile tungeweza kufanya kwa masaa ama wiki ama wakati mwingine miaka. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna maswali mengine mengi ya kujibiwa kuhusu maombi ambayo sitayashughulikia hapa. Ndio maana kuna sura ndefu juu ya maombi katika Kutamani Mungu na Starehe za Mungu na Wacha Mataifa Wafurahie na sababu ya kuwa na kitabu nzima kiitwacho: Njaa kwa Mungu: Kumtamani Mungu kupitia Kuomba na Kufunga. Sana sana ikiwa unang’ang’ana na vile kuomba kwa wokovu wa watu unavyolingana pamoja na kuchaguliwa bila masharti enda moja kwa moja hadi ukurasa wa 217-220 ama Starehe za Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Jinsi ya kuomba ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini kwa wakati wetu uliobaki asubuhi hii twataka kuongea kuhusu JINSI ya maombi. Nataka kuwapa motisha na mambo yanayoonekana, uweza wa kibibilia ambayo hujawahi kudhani, ama labada kujaribu na baadaye kushindwa kuyastahimili- kukosa “kudumu katika maombi.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ni jitihada yangu kuchora kinachomaanisha kudumu katika maombi bila kufanya njia yangu nyembamba ama fikira kama ya njia kuu. Si sote ni tofauti. Mipangilio yetu ni tofauti. Familia zetu ni tofauti. Tuko katika hatua tofauti za kimaisha zilizoko na mahitaji tofauti za nyakati zetu. Tuko katika viwango tofauti ya ukomavu wa kiroho na hakuna anaye komaa kwa usiku mmoja. Yale ambayo unaweza kuyafanya kwa miaka mitano katika kudumu kwako kwa maombi yaweza kukufanya uwaze nyuma na kushtuka vile ulivyostahimili nyakati za ukavu. Lakini sote twaweza songa mbele. Paulo anapenda kuandikia makanisa yake na kusema, “Mnaendelea vizuri, lakini mkizidi kuyatenda mengi hivyo zaidi” (Wafilipi 1:9; 1 Wathesalonika 4:1, 10). Na kama kuna mahali popote ambapo “kutenda hivyo zaidi na zaidi” pametumika, ni katika kudumu kwetu katika maombi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nitaweza maoni mbili mbili kwa mara tano nikitumia herufi tofati tofauti ambayo kwa pamoja itasomeka kama “FADES.” Hakuna umuhimu kwa neno “fades.” Lakini ni vile tu inavyosomeka. Lakini ukijaribu kuilazimisha, unaweza sema kwamba bila haya , kudumu kwa maombi kunatoweka (fades). &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== F - Free and Formed (Huru na yaliyoumbwa) ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapa ninayo mawazoni tofauti kati ya ombi lilopangwa na lisilopangwa. Kudumu katika maombi kutamaanisha kwamba yale unasema katika muda wako wa maombi yatakuwa ya huru na yasiyopangwa na kila mara yaundwa na kupangwa. Unapokuwa huru tu katika maombi yako utakuwa juu juu na bila mpango. Kama umeumbika tu katika maombi yako, labda utakuwa kama mtambo na mviringo. Njia zote za maombi ni muhimu. Si mojawapo, bali yote na. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa kuwa huru namaanisha kila mara utahisi kumwaga roho yako kwa Mungu na utaufanya. Hatuhitaji maandishi ama mwongozo ama jarida ama vitabu. Utakuwa na mahitaji mengi amabayo yatatoka tu kwa huru bila mpangilio wowote wa kabla. Hii ni nzuri. Bila hii ni shaka kwamba tuna uhusiano wa kweli na Kristo. Hebu tafakari juu ya ndoa bila urafiki ambapo mawasiliano yote yatoka kwenye vitabu ama majarida ama yatamkwa kutoka kwa maandiko yaliyotiliwa akilini. Hiyo itakuwa ya kibinadamu sana. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa upande mwingine nakusihi kutodhani kuwa uko ndani ya roho sana ama una njia ama tajiri ama una nidhamu kiasi kwamba unaweza kuendelea bila usaidizi wa miundo. Ninayo akilini aina ya miundo minnne ambayo natumai mtaitumia. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Muundo #1. Bibilia.''' Omba kibibilia. Omba maombi ya kibibilia. Wiki hii tunajenga maombi yetu katika ombi kwenye Waefeso 3:14-19. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;amp;gt; Kwa sababu hii naungama mbele ya Baba, 15 Ambaye kwa yeye ubaba wote wa kila jamaa za mbinguni na za duniani unaitwa. 16. Namwomba Mungu awaimarishe kwa kuwatia nguvu mioyo yenu kwa njia ya roho wake kwa kadiri ya utajiri wa utukufu Wake, 17 Ili kwamba, Kristo apate kukaa mioyoni mwenu kwa njia ya imani. Nami ninaomba kwamba nanyi mkiwa wenye mizizi tena imara katika upendo. 18 muwe na uwezo wa kufahamu pamoja na watakatifu jinsi ulivyo upana na urefu na kimo na kina upendo wa Kristo. 19 Na kujua upendo huu kwamba unapita fahamu ili mpate kujazwa na kufikia kipimo cha ukamilifu wa Mungu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Litafakari na liombe kila mara. Omba ombi la Bwana na unapoomba weka kila sentensi kwa maneno yako na kulitumia kwa watu ambao una mizigo kwao. Omba amri za bibilia: “Nisaidie- msaidie bibi yangu, watoto wangu, wazee, upendo wetu wa huduma wako, ewe Mungu, kwa moyo wangu wote na roho yangu yote na nguvu zangu zote.” Omba ahadi za kibibilia: “Ewe bwana chukua mamlaka yote, iliyo yako juu mbinguni na duniani na uwafanye wahudumu wetu kuhisi utamu wa ahadi ya kuwa utakuwa nao hadi mwisho wa dahari. Omba maonyo ya Bibilia: “ama Bwana ,Ni ruhusu kupigana dhidi ya tamaa kwa njia ya dharura ambayo ulifundisha uliposema, ng’oa jicho lako na upate kuridhi ufalme wa mbingu kuliko kuliacha na kuenda jehanamu.” Fungua Bibilia mbele zako na uweke kiniko kimoja kwa upande mmoja na kingine upande mwingine na kuomba ile aya yake kwa kuabudu ama kusifu ama kwa kushukuru ama kuamrisha. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Muundo #2. Orodha.''' Orodha ya kuomba. Akilini ninayo orodha ya watu ya kuombea na orodha ya mahitaji ya kuombea. Kama unaweza kukumbuka watu wote na mahitaji ya kuombea yafaa uombe bila orodha, wewe ni Mungu. Lazima niwe na orodha zingine akilini mwangu na zingine kwenye karatasi. Nimeweka akilini karibu watu 70 ambao nawaombea kwa majina kila siku. Lakini hiyo haijumulishi orodha ya watu waliokuja kwa huduma katika ukumbi ambao Noeli pamoja nami wanawaombea kila siku kutoka kwa orodha ulioandikwa. Haijumlishi orodha ya wahudumu wetu ninayosoma kutoka kwa orodha. Na hiyo ni watu tu, bila kutaja mahitaji ambayo yabadilika ndani ya moyo wangu na katika familia na kanisa na ulimwengu wiki baada ya wiki. Basi nakuhimiza kutumia orodha ya watu na mahitaji. Hifadhi aina fulani ya mfuko wa maombi ama kijitabu ama hifadhi katika tarakilishi yako ya mkono. Kumbuka naongea tu juu ya nusu moja ya haya mawili: Uhuru na muundo. Usisahau thamani ya uhuru. Ni yote mbili si moja wapo. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Muundo #3. Vitabu.''' Omba kupitia vitabu kama Dunia ya Operesheni- taifa tofauti na Nia ya Kristo ndani yake, Kila siku ama kwa siku mbili.Ni njia yenye nguvu ya kupata moyo kiasi cha ulimwengu na maono ya ukuu wa Mungu! Omba kupitia kitabu kama Kudumu kwa Undani- Mtazamo wa haraka wenye ukurasa mmoja kuhusu mateso, kanisa linaloteswa kwa kila siku ya mwaka. Chukua kitabu changu Wacha na Dunia ifurahi, na ufunguwe ukurasa 57-62 na uombe juu ya vitu 36 ambavyo kanisa la kwanza waliviombea moja kwa mwingine. Chukua bonde la maono, Kitabu cha maombi cha Waumini cha wanaofuata mafundisho ya Yesu, na uombe yale wataua wakuu wa zama wameyaombea. Sisi ni wapumbavu kufikiri kuwa tukiwachwa pekee yetu tutaona yote Bibilia inafaa iseme na mahitaji yote ambayo inafaa tuombe bila usaidizi wa vitabu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''Muundo #4. Mitindo.''' Tengeneza mitindo ya maombi ambayo inakupatia mwelekeo fulani ya kufanya ya kwanza na ya pili na ya tatu unapoungama chini. Mtindo mmoja vile nimetaja, ni kutengeneza maombi yako kupitia wosia za ombi la Bwana. Mtindo ninaoptumia kila siku ni mtindo wa miduara dufu. Nikiaanza na moyo wangu mwenyewe-ambao unahisi dhambi na mahitaji kwa ustadi sana- na baadaye kwa familia yangu na baadaye kwa wafanyikazi katika kitengo cha uchungaji na wazee, halafu wafanyikazi wote katika kanisa, halafu huduma wetu, halafu mahitaji ya dharura katika mwili wa Kristo na nia ya Kristo katika huduma na tamaduni. Bila muundo au mitindo fulani kama huu nashikwa na baridi na siendi popote. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi mbili za kwanza ni huru na yaliyoumbwa. Yasiyo tengenezwa na yaliyo na mahitaji yatiririkayo na shukrani na sifa; na yaliyotengenezwa na usaidizi kama Bibilia, nakala, vitabu na mitindo. Kama “unadumu katika maombi” utatafuta uhuru na muundo katika maombi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== A - Alone and Assembled (Pekee na ulio kusanywa) ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kudumu katika maombi kutamaanisha kuwa kila mara utaomba pekee yako na kila mara katika mkusanyiko wa Wakristo wengine. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
O! ni muhimu sana tunapokutana na Mungu pekee kupitia kwa Yesu Kristo. Hakuna Ukristo bila kujiamini kwako na kupatana na Mungu kupitia Yesu. Yote ni Sarakasi na mabaki na kujidanganya bila hii. Sussana Wesley pamoja na watoto wake 16 alikuwa anafunika kichwa chake katika chumba cha kupikia na watototo wote walijifunza kuwa hii ilimaanisha kimya katika chumba cha kupikia. Watoto wanafaa kujifunza kuwa Baba na mama wana wakati na Yesu ambayo ni tukufu na ambayo haifai itatanishwe. Pata pahali, panga wakati, fundisha watoto wote nidhamu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini nadhani kuomba katika mkusanyiko wa waumini wengine kunapuuzwa sana kuliko kuomba pekee. Pekee na yaliyokusanywa. Agano Jipya limejawa na mikutano ya jumuiko ya maombi. Yamkini maombi mengi katika Agano jipya yawezekana yamefikiriwa kwa njia ya mkusanyiko wa maombi. Matendo 1:14, “Hawa wote waliungana pamoja katika maombi. Pamoja nao palikuwa wanawake kadha wa kadha na Maria mamake Yesu pamoja na ndugu zake Yesu.” – Hiyo ni mfano ya kile utapata. Matendo 12:12, wakati Petro alipotoka kwenye jela, “alikwenda nyumbani kwa Maria mamake Yohana aliyeitwa pia Mariko, ambako watu wengi walikuwa wamekutana kwa maombi.” Mikutano ya maombi ilikuwa kawaida na nadhani ilikuwa kitendo cha kawaida kwa Kanisa la Kwanza. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kudumu katika maombi katika Agano Jipya ilijumulisha kuomba pamoja na watu wa Mungu. Je, unafanyaje hili? Hii si ukristo ulioendelea sana. Hii ni Ukristo wa kimsingi Wiki hii tuko na mikutano ya maombi 12 ya muda wa dakika 30 iliyopangwa pamoja na maombi ya masaa 8 usiku kucha ya ijumaa. Yote ni kwa ajili ya kukufanya uwe na upenyo mpya. Katika muda uliosalia ya mwaka kuna mikutano ya maombi ya dakika 30 kwa asubuhi 6 kila wiki, Siku ya Jumatano jioni saa 12 na mbili kasorobo kule jijini. Halafu kuna vikundi vidogo wanao kutana kwa maombi na huduma. Halafu kuna Jumapili asubuhi ambayo inajumuisha maombi kupitia nyimbo na njia nyinginezo. Kama kusanyiko ya maombi si pande ya kudumu kwako kwa maombi, fanya mwaka wa 2003 uwe mwaka wa upenyo: Uhuru na Ulioundwa, pekee na ulio wa mkusanyiko. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== D - Desparate and Delighted (Yenye hitaji na furaha) ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kudumu katika maombi kutamaanisha kuwa unamjia Mungu katika maombi kila mara ukiwa na hitaji na kila mara ukiwa na furaha. Kwa urahisi ninamaanisha kuwa ombi ni pahali pa kukutana na Mungu kwa furaha zako kuu zaidi na Shukrani. Kama tandiko ulitumialo kwa kiniko chako unapoungama mbele za Bwana litakuwa tandiko lililorarulika. Na hata hivyo kwa vile Mungu ni Yule asikiaye maombi, Utasema pamoja na mtume Paulo, “Nina huzuni bali kila mara nafurahi.” (2 Wakorintho 6:10) na kila mara nafurahi hiyo itashinda mizigo yote ya Ulimwengu huu iliyoanguka- vile inafaa- na ikufanye utake kuruka kwa furaha. Mungu anataka kukutana nawe hata katika nyakati kama hizo. Dumu katika maombi ya hitaji na kwa furaha- kwa kufunga na kusheherekea. Si kwa mojawapo bali yote na. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== E - Explosive and Extended (Ya kulipuka na kuendelezwa) ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yale ninamaanisha hapa ni fupi na ni refu, ningesema fupi na ndefu, lakini herufi hazingeambatana na tamshi halingemaanisha lolote. Tena ya kulipuka ni wazi mno na ni hakika maombi yanaweza kuwa kutoka muda hadi nyingine. Kama unadumu katika maombi, utalipuka kila mara katika maombi ya sifa na ya shukrani na ya hitaji hayatakuwa kwa nasekunde mengi. Na kama unadumu katika maombi utakuwa na wakati wakening’inia kwa muda mrefu katika maombi kwa Bwana. Saa zingine napiga simu ya haraka kwa Noeli na saa zingine tunakaa pamoja kwa muda wa jioni. Kama unampenda Kristo na kumuegemea kwa vitu vyote na kumthamini kwa vyote vile, utakutana naye kila mara katika maombi ya kulipuka na kila mara kwa maombi ya kuendelezwa. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== S - Sponteneous and Scheduled (Mara mmoja na yaliyo ratibishwa) ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni nini tofauti kati ya hii na “huru na yaliyopangwa” ama “ya kulipuka na yaliyoendelezwa”? Kwa “huru na yaliyopangwa” nilimaanisha yaliyomo katika maombi yetu- yale tunafanya tunapokuja kuomba. Kwa “Yakulipuka na yaliyoendelezwa nilimaanisha muda wa maombi yetu. Kwa mara mmoja na yaliyoratibishwa ninamaanisha tunapoomba. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ikiwa tunadumu kwa maombi tutaomba kwa mara mmoja katika siku- bila kukoma vile Paulo anavyosema- Roho ya umoja kwa pamoja na Kristo, kutembea kwa roho na kumjua kama kitu kinachoishi kwa kuendelea ndani ya maisha yako. Hakuna mpango utakao tawala unapomuongelesha. Itafanyika kwa mara kadhaa katika siku. Hii ni kawaida na vyema. Hii ni kudumu katika maombi. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini ukiwa tu na hii, hutakuwa nayo kwa muda mrefu. Tunda nzuri ya kweli ya mara mmoja hukua katika shamba lililotunzwa vizuri kwa nidhamu ya mpango. Basi nawasihi, uwe na wakati wako uliopangwa kwa ajili ya maombi. Uipange kwa mwaka wa 2003. Lini utakutana naye kila mara? Muda gani utatenga. Nakuhimiza uanze kwa njia hii. Je, uko tayari kupanga siku moja ama siku mbili na nusu mbali pekee yako ama pamoja na rafiki ama na mchumba- si kusoma kitabu bali kuomba kwa masaa mannne au manane. Vipi? Kwa kusoma tu Bibilia yako na kuigeuza yote kuwa maombi Noeli pamoja nami tumekuwa na siku zetu zilizo na utajiri mwingi kwa kuchukua kitabu kifupi cha Bibilia na kusoma sura na kutuliza na kuiombea sura hiyo kwa familia na kanisa letu. Halafu kusoma sura nyingine na kuomba na mengine mengi. Lakini hiyo haifanyiki tu. Lazima ipangwe. Si kwa ghafla. Ni ya kujengwa. Na ni takatifu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi unayo hapo. Neno la Mungu kwetu leo ni, “Dumu katika maombi.” Kaa ndani yake. Kuwa mwaminifu kwayo. Kwa nini? Mungu anatuamrisha tuwe; mahitaji ni makuu na uzima wa milele u taabani; na Mungu anasikia na kutenda mengi katika sekunde tano yale ambayo tunaweza kufanya kwa miaka tano. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na je tutadumu aje kwa maombi? Mambo haya. Bila hayo maombi YATOWEKA (FADES). Wacha ombi lako liwe…. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''F - Free and formed (Huru na lililopangwa) A - Alone and Assembled (Pekee na la kusanywa) D - Desparate and delighted (Lenye Hitaji na Furaha) E - Explosive and Extended (La kulipuka na la kuendelezwa) S - Spontenoues and Scheduled (La mara mmoja na lililotayarishwa)'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na Bwana awape roho ya neema na kuzidishiwa kwa wiki hii ya maombi na Mwaka yote.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kuvumiliana,_kusemesana_ukweli,_urugu,_na_sheria</id>
		<title>Kuvumiliana, kusemesana ukweli, urugu, na sheria</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kuvumiliana,_kusemesana_ukweli,_urugu,_na_sheria"/>
				<updated>2017-06-15T19:48:18Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Kuvumiliana, kusemesana ukweli, urugu, na sheria&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Tolerance, Truth-Telling, Violence, and Law}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tangu Septemba 11, 2001 Swali kuhusu jinsi gani wakristo na Waislamu wanashirikiana imekuwa ya dharura sana. Swali hili limekuwa sehemu ya swala kuu kuhusu jinsi gani Wakristo wameitiwa, Kuishi katika ulimwengu ulio na tabaka na tamaduni tofauti tofauti. Haswa zaidi, vipi Wakristo wa hapa Marekani, tunavyofikiria na kutenda kuhusu uhuru wa dini katika muktadha wa tabaka na tamaduni tofauti, tofauti ikielezwa na maoni ya wanao tuwakilisha ki demokrasia? Hasa, tutashudiaje ukuu wa Kristo ulimwenguni palipo na tamaduni na dini yenye nguvu na ambazo hazishiriki upendo wa uhuru au maoni ya demokrasia?&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
“Wazee wa Kanisa la Bethlehem Baptist, Agosti 26, 2002, walikubaliana juu ya sheria (ishirini) 20 kama mwongozo wa kibibilia kwa Wakristo. Tunawashukuru, kwanza kisha kanisa ilio chini ya ulinzi wetu kwa mwongozo wao. Pia tunawashukuru Wakristo wote kwa ujumla kwa kuwaza kimakini na faida na latatu kwa watu wasio Wakristo kwa kuelewa kwenu. Juhudi zetu kuu ni kusaidia Wakristo kushukuru upekee na ukuu wa Yesu Kristo kwa unyenyekevu na ujasiri ili wengine wapate kumtukuza kwa imani na wapate uzima wa milele.&amp;quot;&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''1.''' Iwe tume kubalika au tumekataliwa na wengine tunafaa kuwa shukran na furaha kushikilia kabisa ukweli wa kuelewa Mungu kibibilia na njia ya wuokovu ambayo amepeana na maisha ya upendo na usafi na haki ambayo Kristo amefanya na kufunza. (1 Wakorintho 15:2; Waebrania 3:6; 4:14; 6:18; 10:23 Ufunuo 2:13, 25; 3:11)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2.''' Kanisani pia ulimwenguni tunafaa kufanya wasia wa Mungu kuonekena wazi na usawa inavyo funuliwa katika neno lake, Biblia—kwa upande zote ambazo wasio Wakristo wana kubali na pande wanazo pinga. Hatufai kuficha ishara ya imani yetu ili kuhepa kukashifiwa na kukataliwa'''.''' (Mathayo 10:27-28: Waefeso 6:19-20; 2 Wakorintho 4:2; Wagalatia 1:10) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3.''' Ni upendo kuonyesha makosa na madhara ya Imani zinazo mkataa Kristo. Madhara inajumuisha sio tu athari ya muda mfupi, lakini sana sana uchungu wa milele inayo sababishwa na kukataa ukweli wa Kristo. Onyo hili linapaswa kupeanwa kwa bidii na kwa kumaanisha na kwa kutamani uzuri kwa wale walio katika hatari ya ghadhabu ya kutomtumaini Kristo. (Luka 6: 31-32; Warumi 13:10; 1Timotheo 4:8; 2 Wathesolanika 1: 8-9; 2 Wakorintho 5:20)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''4.''' Sisi wakristo tunafaa kukubali dhambi zetu na kwa njia yoyote ile wuokovu kupita mokozi aliyesulubiwa na aliye fufuka ili tusijiweke kama wanaostahili wuokovu kanakwamba tuna nguvu kuu ya akili inayo tuwezesha kufikiria na kujifunza au maarifa au uzuri. Sisi ni fukara na waombaji ambao ni kwa neema tu ndio tumepata mkate wa uzima wa ukweli, msamaha, na furaha. Tunakusudia kuipeana yote, ili watuunge kwa kutamani na kufurahia ukuu wa Kristo milele. (1 Wakorintho 1:26-30; 4:7; 1 Petero 5:6; Yakobo 4: 8-10; Luka 18:13-14; Mathayo 10: 8b) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''5.''' Tunafaa kumwonyesha Kristo sio kama aliye shinda ubishi kati ya dini, bali kama mwaminifu na msema kweli sana, Mrembo, muhimu, na mtu mwenye kutamanika katika historia, na kama hitaji letu na upendo mbadala kwa njia mbili''': '''1) Alichukua kwa kuteseka na kwa kifo chake, ghadhabu ya Mungu badala yetu na 2) Alikuwa utakatifu wetu mbele ya Mungu mtakatifu zaidi kwa kuishi maisha bila dhambi iliyo tafsiriwa kama utakatifu kwetu tunapo mwamini Yesu. (1Wakorintho 2:1-2; 2 Wakorintho 4:4; 1 Petero 2:6-7; Warumi 3:24-26; 5: 18-19: Wagalatia 3: 13; 2 Wakorintho 5:21)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''6.''' Inafaa tuweke wazi ya kuwa imani ya Kikristo inayo tupatanisha na Kristo na fadhili zake zote za kutuokoa, ni kama mtoto mchanga, tumaini ipotezayo taraji katika thamani na kazi ya Kristo na sio kazi yetu tuliostahili sisi. Mwito wetu kwa wengine kuwa Wakristo sio mwito wa kufanyia Mungu kazi au kupata kibali chake kwa kufanya matendo ya utakatifu au upendo. Tunawaita watu ili waache kujitegemea na kutegemea maisha ya kufa na kufufuka ya Yesu Kristo inayo okoa. (Waefeso 2:8-9; Tito 3:5; Warumi 4:4-5; Warumi 10:1-4; Wafilipi 3:9) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''7.''' Tunamini ni haki na jambo la upendo kuonyesha makosa ya hayo imani mengine adharani, iwapo tu, hili litafanywa kupitia ushahidi wa kutosha yakuwa maandiko ya kanisa au mwakilishi mnenaji wa imani hizi ameashiria makosa hayo. Na ya dharura tung’ang’ane ili tusije tukaonyesha imani mengine vibaya kwa sababu hayo sio tu kukosa heshima bali pia inashusha ukweli wetu. (Matendo ya Mitume 6:8-7:53; Mariko 12:24; Mariko 8:33; Matendo ya mitume 3:15; 5:30; Kutoka 20:16; Waefeso 4:25) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''8.''' Tunapoweka wazi makosa ya dini mengine, tunafaa kuhisi na kuonyesha huzuni na huruma kwa wale wasio kubali Kristo ili waokoke. (Luka 19:41-42; Wafilipi 3:18; Warumi 9:3; 10:1)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''9.''' Tunafaa kuweka wazi kuwa sisi ni Wakristo kwanza kisha wa Amerikani. Sisi ni wageni hapa ulimwenguni na uraia wetu wa kindani na wa ukweli zaidi uko mbinguni. Bwana wetu mkuu na kiongozi ni Yesu Kristo wala sio rais wa Amerika. Hili kwanza na uhusiano wetu wa kindani sana una tuunganisha na Wakristo wa mataifa tofauti, tofauti kwa nguvu sana kuliko uraia wetu wa kidunia unavyo tuunganisha na wa Amerika wengine.Tukizingatia maadili na tabia za Wa Amerika wengi sisi ni raia walio keuka. Tamaduni ya ki Amerika sio Ukristo. Tunaamini kuwa, sio uzalendo mbaya kukashifu maovu na matendo yasiyo ya ki Mungu katika tamaduni yetu. (Wafilipi 3:20; 1Petero 2:11; Mathayo 22:21; Matendo ya Mitume5:29; 1 Timotheo 6:14-15; Ufunuo 17:14; Waefeso 5:11)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''10.''' Tusitarajie “vita vya adili” katika ulimwengu wa kidunia ambayo ni uadui kwa Mungu na haina starehe karibu na ukweli wa Kristo. Kwa hivyo, majibu yetu kwa matusi au kubadilishwa kwa ukweli, au kusemwa vibaya, haifai kuwa hasira lakini ku shuhudia ukweli wa uvumilivu, kwa tumaini na kwa maombi kwa kurudisha mema kwa mabaya yaweza fungua nyoyo kwa ukweli. Kushuhudia kwetu hautaendelea mbele kwa hasira na kutangaza juu haki yetu. Itaendelezwa na “Mateso lakini tunafurahia kila wakati” na kwa kushinda uovu kwa uzuri na kwa maneno yaliyo dhabiti na kulinda ukweli kwa njia ifaayo. (Matahyo 5:43-45; Warumi 12:17-21; 1Wakorintho 4:12-13; 1 Wathesolanika 5:15; 2 Timotheo 3:12; 1 Petero 2:15, 19-24; 3:9; 4:12)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''11.''' Tunafaa kukataa dhuluma zote kama njia mojawapo ya kueneza imani yetu. Wakristo wa kibiblia hawajaribu kutumia siasa au dhuluma ya kibinafsi ili kueneza imani yao. Wakristo wanaeneza imani yao kwa kuteseka, wala sio kwa kusababisha mateso. Ukristo wa Asili hauwezi kulazimishwa kwa nguvu au kutumiwa kwa njia ya uwongo. (Luka 10:3; 2 Wakorintho 5:11; Wakolosai 2:24; 1Petero 2:19-24; Ufunuo 12:11) '''&amp;amp;nbsp;'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''12.''' Tunafaa kukubali na kutangaza yakuwa, Kristo wakati wake wa kuja, atawaadhibu wale ambao wamemkataa. Atawaamrisha kwa hukumu ya milele jehanamu yenye mateso. Walakini tunapaswa kufanya wazi yakuwa dhuluma ya Kristo wakati wa kiama ni sababu kuu ili tusifanye vita na huenda hatuta fanya dhuluma dhidi ya wengine kwa sababu ya Imani yao. Hii ni haki ya Mungu, sio yetu. (Mathayo 25:46; Warumi 12:19; Wathesolanika 1:7-9; 1 Petero 2:20-23; Ufunuo 6:16)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''13.''' Wakati huu wa sasa kabla ya kuja kwa Kristo, yeye binafsi, mamlaka ya kiraia hawafai kutumia nguvu ya kimabavu au kutumda uweza wa lazima au kukwamilia mapato yaku tunuku au adhibu watu kwa sababu ya imani yao. (Imesemwa kwa mienendo ya kibiblia ya Imani ya kujitenea inayotafutwa na uwezo wa ushawishi na mfano; na mahitaji ya uungu inayowezesha neema ya kubadilisha. (2Wakorintho 5:11; 1Wathesolanika 1:5-6; Waefeso 2:8-9; Matendo ya Mitume 6:14 Wafilipi 1:29; Timotheo 2: 24-26) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''14.''' Hakuna kulazimishwa kwa kutumia mabavu au kutumia uwezo wa lazima au kukwamilia mapato inafaa kutumiwa na mamlaka ya ki raia ku adhibu watu kwa sababu ya maneno yao au maandishi au pia michoro, isipokuwa tu kama mawasiliano yaweza onyeshwa kupitianjia zote za sheria ili kuonyesha nia ya kutenda maovu au kusaidia wengine kutenda maovu. (Tazama usaidizi wa #13)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''15.''' Tunaamini kuwa Mungu amepatia serikali ya raia wala sio watu binafsi au kanisa jukumu ya “kubeba upanga” ya haki na usalama. (Mathayo 26:52; Warumi 13:1-4; Warumi 12:17-21; 1 Petero 2:20-23; 3:9, 14)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''16.''' Tunafaa kufafanua kati ya vita haki ya kujikinga dhidi ya uadui, na vita vya kidini dhidi ya watu kwa sababu ya yale wanayo amini. Tunafaa ku kubali yakuwa, tofauti hizi huenda hazita tambuliwa na dini zengine ambazo zinaendeleza imani yao kujumuisha haki ya kutawala tamaduni kupitia nguvu. Lakini tunafaa kusisitiza utofauti huu kuliko kukubali madai ya mchokozi ya kuwa, kujilinda kwetu dhidi ya uchokozi wao ni uvamizi wa kidini dhidi ya imani yao. Tutatetea kwamba msingi ya ulinzi wa kitaifa kama hiyo ni haki ya raia kupata uhuru (wa dini na kuongea na utangazaji na mikutano) sio kutokubali hilo dini ambayo inasababisha uvamizi. Hatutakubaliana na dini mengine lakini kutokubaliana huo sio msingi wa upande wa ulinzi wa kitaifa uliojiami. Tunafaa kutofautisha kati ya kundi ya kijeshi isiyo halali inayopigana dhidi ya kundi halali ya kidini, Kwa upande mmoja na kutiwa moyo kwa upingaji wetu kwa upande mwingine, ambao sio kukataa dini lolote lakini huru wa dini zote kupata waamini kwa njia isiyo ya dhuluma ya kushawishi na kuwavutia. (Imechangiwa katika maoni iliyopita)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''17.''' Tunafaa kujua yakuwa imani na tabia haina msimamo sawa mbele ya sheria. Hakuna imani inayofaa kuadhibiwa na mamlaka ya kiraia. Lakini tabia zingine, zilizo na mizizi katika imani, yaweza kuwa nje ya sheria na kwa hivyo yaweza kuadhibiwa na mamlaka ya kiraia. Tabia hizi zaweza kuwa kama kuuwa watu wengine, kuvamia na kupiga watu wengine vibaya, kuiba, aina tofauti ya kukandamiza. Tabia hiz ambazo zimepigwa marufuku kisheria katika makaazi ya watu wakizingatia uhuru wa imani na uhuru wa dini zitaamuliwa katika hali na wakati wa ushawishi wa mjadala na uchaguzi wa wanasheria wanaowakilisha, na wakitazamwa kwa makini na watawala na tawi za mahakama na walindao sheria ili kulinda haki ya walio wachache. Kutoeleweka vizuri umetambulika. (Angalia kiunga mkono ya #13 na maadhara ya maoni mengine yakichukuliwa pamoja) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''18.''' Tunafaa kutofautisha kati ya haki ya kukashifu imani potovu na tabia za dhambi, kwa mkono mmoja, na maoni ya uwongo ambayo wengine huwa nayo kuhusu hili kukashifu yakuwa wanao unga mkono imani inayo kashifiwa wanaweza dhulumiwa kwa haki bila tatizo. Hatufai kukubali madai yakuwa kukashifiwa au kukataliwa kama walio kosewa au kama watenda dhambi ni njia mojawapo ya “kudhulumiwa&amp;quot;. Sio uhalifu (Uhalifu wa chuki au chochote kile) Kuwita imani ya mtu adharani kuwa mbaya na hatari, au kuita tabia ya mtu hadharani kuwa dhambi na ya kuangamiza. Sehemu muhimu katika mjadala yote kuhusu imani na tabia na maoni na ubishi yakuwa mengine na mbaya, yamejengwa kwa ila, na yana madhara ya kufufua ukweli. Hivi ndivyo mijadala yote ya wabunge huendelea. Hii ni halali katika ulingo wa dini. Kwa mfano, ikiwa mbunge wa Amerikani amedhulumiwa kwa kutumia mabavu na mtubarabarani baada ya kukashifiwa bungeni kwa sababu hoja yake ilikuwa na makosa na kwa sababu hakuwa ameshauriwa vizuri na hoja lile linge umiza maskini aidha hatuwezi laumu mbunge aliye kashifu mwenzake kwa sababu ya dhuluma aliyetendewa mbunge Yule na kumshtaki kwa kuchochea dhuluma. Basi ni lazima tu tofautishe kati ya kukashifiwa adharani juu ya dini na tabia kwa upande moja na maoni isiyo halali kuhusu imani na matendo ya dhambi imetosha kudhulumiwa. (Angalia kiunga mkono katika #3 na #7)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''19.''' Tunaamini kuwa imani tofauti, tofauti ya badilisha maana ya ndani ya kuhukumiwa na tabia, lakini hayabadili aina yote ya kuhukumika na tabia. Basi kwamfano, watu wawili waweza kuwa na imani tofauti, lakini wanashikilia hukumu sawa na tabia sawa kuhusu uavyaji wa mimba. Tunatamani kuwa watu wote wangeshiriki imani ya Kristo na wawe na hukumu na tabia ambayo maana yao ya ndani ni yakuwa, Kristo ni Bwana na zawadi ya maisha. Lakin hata hivyo tunafuraha wakati aina ya hukumu yetu na tabia zetu zinashirikwa na wale wana tofautiana nasi katika imani. Tunaamini inawezekana kuwa pamoja nao kwa mambo ya kijamii mradi tu hayo matendo tunayo shiriki pamoja hayadhuru maoni yetu ya hukumu inayo tukuza Kristo. (1 Wakorintho 10:31; Wakolosai 3:17; Warumi 14:23)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''20.''' Tunaamini kuwa kila dini, maono ya ulimwengu, au filosofia ya maisha yaweza kazana zaidi kutushawishi na kujenga tamaduni yetu. Tunapinga utumizi wa mabavu au hongo au udanganyifu katika hii nia ya kujenga tamaduni. Tunasisitiza kuhubiri injili, uchapishaji wa ukweli, ufinyanzi wa upendo na haki, nguvu ya maombi, utumizi wa ushawishi, na kushiriki katika siasa. Tunatambuwa yakuwa sheria zote “Imesababisha” tabia ya hukumu ya vikundi vingine. Basi sio ukashifu inayopendeza kusema yakuwa sheria inayolinda tabia ni mbaya kwa sababu ina “tawala&amp;quot; utu wa mtu kuhusu uma. Hata hivyo, hii inaifanya muhimu zaidi yakuwa tunaunga mkono maadili, sheria, na aina ya tabia inayo linda uhuru halali ya wachache wasiyo na wakilishi mkubwa wa kubadilisha hatuwa ya kujenga sheria. Kiwango ya uhuru haya unapimwa na sheria yanayo ashiriwa hapo juu sana sana #17. (Imezingatiwa katika sheria na kiunga mkono za hapo awali)&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kuvumiliana,_kusemesana_ukweli,_urugu,_na_sheria</id>
		<title>Kuvumiliana, kusemesana ukweli, urugu, na sheria</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kuvumiliana,_kusemesana_ukweli,_urugu,_na_sheria"/>
				<updated>2017-06-15T19:48:07Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|Tolerance, Truth-Telling, Violence, and Law}}   Tangu Septemba 11, 2001 Swali kuhusu jinsi gani wakristo na Waislamu wanashirikiana imekuwa ya dharura sana. Swali hili lim...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Tolerance, Truth-Telling, Violence, and Law}} &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tangu Septemba 11, 2001 Swali kuhusu jinsi gani wakristo na Waislamu wanashirikiana imekuwa ya dharura sana. Swali hili limekuwa sehemu ya swala kuu kuhusu jinsi gani Wakristo wameitiwa, Kuishi katika ulimwengu ulio na tabaka na tamaduni tofauti tofauti. Haswa zaidi, vipi Wakristo wa hapa Marekani, tunavyofikiria na kutenda kuhusu uhuru wa dini katika muktadha wa tabaka na tamaduni tofauti, tofauti ikielezwa na maoni ya wanao tuwakilisha ki demokrasia? Hasa, tutashudiaje ukuu wa Kristo ulimwenguni palipo na tamaduni na dini yenye nguvu na ambazo hazishiriki upendo wa uhuru au maoni ya demokrasia?&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
“Wazee wa Kanisa la Bethlehem Baptist, Agosti 26, 2002, walikubaliana juu ya sheria (ishirini) 20 kama mwongozo wa kibibilia kwa Wakristo. Tunawashukuru, kwanza kisha kanisa ilio chini ya ulinzi wetu kwa mwongozo wao. Pia tunawashukuru Wakristo wote kwa ujumla kwa kuwaza kimakini na faida na latatu kwa watu wasio Wakristo kwa kuelewa kwenu. Juhudi zetu kuu ni kusaidia Wakristo kushukuru upekee na ukuu wa Yesu Kristo kwa unyenyekevu na ujasiri ili wengine wapate kumtukuza kwa imani na wapate uzima wa milele.&amp;quot;&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
'''1.''' Iwe tume kubalika au tumekataliwa na wengine tunafaa kuwa shukran na furaha kushikilia kabisa ukweli wa kuelewa Mungu kibibilia na njia ya wuokovu ambayo amepeana na maisha ya upendo na usafi na haki ambayo Kristo amefanya na kufunza. (1 Wakorintho 15:2; Waebrania 3:6; 4:14; 6:18; 10:23 Ufunuo 2:13, 25; 3:11)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2.''' Kanisani pia ulimwenguni tunafaa kufanya wasia wa Mungu kuonekena wazi na usawa inavyo funuliwa katika neno lake, Biblia—kwa upande zote ambazo wasio Wakristo wana kubali na pande wanazo pinga. Hatufai kuficha ishara ya imani yetu ili kuhepa kukashifiwa na kukataliwa'''.''' (Mathayo 10:27-28: Waefeso 6:19-20; 2 Wakorintho 4:2; Wagalatia 1:10) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3.''' Ni upendo kuonyesha makosa na madhara ya Imani zinazo mkataa Kristo. Madhara inajumuisha sio tu athari ya muda mfupi, lakini sana sana uchungu wa milele inayo sababishwa na kukataa ukweli wa Kristo. Onyo hili linapaswa kupeanwa kwa bidii na kwa kumaanisha na kwa kutamani uzuri kwa wale walio katika hatari ya ghadhabu ya kutomtumaini Kristo. (Luka 6: 31-32; Warumi 13:10; 1Timotheo 4:8; 2 Wathesolanika 1: 8-9; 2 Wakorintho 5:20)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''4.''' Sisi wakristo tunafaa kukubali dhambi zetu na kwa njia yoyote ile wuokovu kupita mokozi aliyesulubiwa na aliye fufuka ili tusijiweke kama wanaostahili wuokovu kanakwamba tuna nguvu kuu ya akili inayo tuwezesha kufikiria na kujifunza au maarifa au uzuri. Sisi ni fukara na waombaji ambao ni kwa neema tu ndio tumepata mkate wa uzima wa ukweli, msamaha, na furaha. Tunakusudia kuipeana yote, ili watuunge kwa kutamani na kufurahia ukuu wa Kristo milele. (1 Wakorintho 1:26-30; 4:7; 1 Petero 5:6; Yakobo 4: 8-10; Luka 18:13-14; Mathayo 10: 8b) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''5.''' Tunafaa kumwonyesha Kristo sio kama aliye shinda ubishi kati ya dini, bali kama mwaminifu na msema kweli sana, Mrembo, muhimu, na mtu mwenye kutamanika katika historia, na kama hitaji letu na upendo mbadala kwa njia mbili''': '''1) Alichukua kwa kuteseka na kwa kifo chake, ghadhabu ya Mungu badala yetu na 2) Alikuwa utakatifu wetu mbele ya Mungu mtakatifu zaidi kwa kuishi maisha bila dhambi iliyo tafsiriwa kama utakatifu kwetu tunapo mwamini Yesu. (1Wakorintho 2:1-2; 2 Wakorintho 4:4; 1 Petero 2:6-7; Warumi 3:24-26; 5: 18-19: Wagalatia 3: 13; 2 Wakorintho 5:21)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''6.''' Inafaa tuweke wazi ya kuwa imani ya Kikristo inayo tupatanisha na Kristo na fadhili zake zote za kutuokoa, ni kama mtoto mchanga, tumaini ipotezayo taraji katika thamani na kazi ya Kristo na sio kazi yetu tuliostahili sisi. Mwito wetu kwa wengine kuwa Wakristo sio mwito wa kufanyia Mungu kazi au kupata kibali chake kwa kufanya matendo ya utakatifu au upendo. Tunawaita watu ili waache kujitegemea na kutegemea maisha ya kufa na kufufuka ya Yesu Kristo inayo okoa. (Waefeso 2:8-9; Tito 3:5; Warumi 4:4-5; Warumi 10:1-4; Wafilipi 3:9) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''7.''' Tunamini ni haki na jambo la upendo kuonyesha makosa ya hayo imani mengine adharani, iwapo tu, hili litafanywa kupitia ushahidi wa kutosha yakuwa maandiko ya kanisa au mwakilishi mnenaji wa imani hizi ameashiria makosa hayo. Na ya dharura tung’ang’ane ili tusije tukaonyesha imani mengine vibaya kwa sababu hayo sio tu kukosa heshima bali pia inashusha ukweli wetu. (Matendo ya Mitume 6:8-7:53; Mariko 12:24; Mariko 8:33; Matendo ya mitume 3:15; 5:30; Kutoka 20:16; Waefeso 4:25) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''8.''' Tunapoweka wazi makosa ya dini mengine, tunafaa kuhisi na kuonyesha huzuni na huruma kwa wale wasio kubali Kristo ili waokoke. (Luka 19:41-42; Wafilipi 3:18; Warumi 9:3; 10:1)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''9.''' Tunafaa kuweka wazi kuwa sisi ni Wakristo kwanza kisha wa Amerikani. Sisi ni wageni hapa ulimwenguni na uraia wetu wa kindani na wa ukweli zaidi uko mbinguni. Bwana wetu mkuu na kiongozi ni Yesu Kristo wala sio rais wa Amerika. Hili kwanza na uhusiano wetu wa kindani sana una tuunganisha na Wakristo wa mataifa tofauti, tofauti kwa nguvu sana kuliko uraia wetu wa kidunia unavyo tuunganisha na wa Amerika wengine.Tukizingatia maadili na tabia za Wa Amerika wengi sisi ni raia walio keuka. Tamaduni ya ki Amerika sio Ukristo. Tunaamini kuwa, sio uzalendo mbaya kukashifu maovu na matendo yasiyo ya ki Mungu katika tamaduni yetu. (Wafilipi 3:20; 1Petero 2:11; Mathayo 22:21; Matendo ya Mitume5:29; 1 Timotheo 6:14-15; Ufunuo 17:14; Waefeso 5:11)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''10.''' Tusitarajie “vita vya adili” katika ulimwengu wa kidunia ambayo ni uadui kwa Mungu na haina starehe karibu na ukweli wa Kristo. Kwa hivyo, majibu yetu kwa matusi au kubadilishwa kwa ukweli, au kusemwa vibaya, haifai kuwa hasira lakini ku shuhudia ukweli wa uvumilivu, kwa tumaini na kwa maombi kwa kurudisha mema kwa mabaya yaweza fungua nyoyo kwa ukweli. Kushuhudia kwetu hautaendelea mbele kwa hasira na kutangaza juu haki yetu. Itaendelezwa na “Mateso lakini tunafurahia kila wakati” na kwa kushinda uovu kwa uzuri na kwa maneno yaliyo dhabiti na kulinda ukweli kwa njia ifaayo. (Matahyo 5:43-45; Warumi 12:17-21; 1Wakorintho 4:12-13; 1 Wathesolanika 5:15; 2 Timotheo 3:12; 1 Petero 2:15, 19-24; 3:9; 4:12)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''11.''' Tunafaa kukataa dhuluma zote kama njia mojawapo ya kueneza imani yetu. Wakristo wa kibiblia hawajaribu kutumia siasa au dhuluma ya kibinafsi ili kueneza imani yao. Wakristo wanaeneza imani yao kwa kuteseka, wala sio kwa kusababisha mateso. Ukristo wa Asili hauwezi kulazimishwa kwa nguvu au kutumiwa kwa njia ya uwongo. (Luka 10:3; 2 Wakorintho 5:11; Wakolosai 2:24; 1Petero 2:19-24; Ufunuo 12:11) '''&amp;amp;nbsp;'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''12.''' Tunafaa kukubali na kutangaza yakuwa, Kristo wakati wake wa kuja, atawaadhibu wale ambao wamemkataa. Atawaamrisha kwa hukumu ya milele jehanamu yenye mateso. Walakini tunapaswa kufanya wazi yakuwa dhuluma ya Kristo wakati wa kiama ni sababu kuu ili tusifanye vita na huenda hatuta fanya dhuluma dhidi ya wengine kwa sababu ya Imani yao. Hii ni haki ya Mungu, sio yetu. (Mathayo 25:46; Warumi 12:19; Wathesolanika 1:7-9; 1 Petero 2:20-23; Ufunuo 6:16)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''13.''' Wakati huu wa sasa kabla ya kuja kwa Kristo, yeye binafsi, mamlaka ya kiraia hawafai kutumia nguvu ya kimabavu au kutumda uweza wa lazima au kukwamilia mapato yaku tunuku au adhibu watu kwa sababu ya imani yao. (Imesemwa kwa mienendo ya kibiblia ya Imani ya kujitenea inayotafutwa na uwezo wa ushawishi na mfano; na mahitaji ya uungu inayowezesha neema ya kubadilisha. (2Wakorintho 5:11; 1Wathesolanika 1:5-6; Waefeso 2:8-9; Matendo ya Mitume 6:14 Wafilipi 1:29; Timotheo 2: 24-26) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''14.''' Hakuna kulazimishwa kwa kutumia mabavu au kutumia uwezo wa lazima au kukwamilia mapato inafaa kutumiwa na mamlaka ya ki raia ku adhibu watu kwa sababu ya maneno yao au maandishi au pia michoro, isipokuwa tu kama mawasiliano yaweza onyeshwa kupitianjia zote za sheria ili kuonyesha nia ya kutenda maovu au kusaidia wengine kutenda maovu. (Tazama usaidizi wa #13)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''15.''' Tunaamini kuwa Mungu amepatia serikali ya raia wala sio watu binafsi au kanisa jukumu ya “kubeba upanga” ya haki na usalama. (Mathayo 26:52; Warumi 13:1-4; Warumi 12:17-21; 1 Petero 2:20-23; 3:9, 14)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''16.''' Tunafaa kufafanua kati ya vita haki ya kujikinga dhidi ya uadui, na vita vya kidini dhidi ya watu kwa sababu ya yale wanayo amini. Tunafaa ku kubali yakuwa, tofauti hizi huenda hazita tambuliwa na dini zengine ambazo zinaendeleza imani yao kujumuisha haki ya kutawala tamaduni kupitia nguvu. Lakini tunafaa kusisitiza utofauti huu kuliko kukubali madai ya mchokozi ya kuwa, kujilinda kwetu dhidi ya uchokozi wao ni uvamizi wa kidini dhidi ya imani yao. Tutatetea kwamba msingi ya ulinzi wa kitaifa kama hiyo ni haki ya raia kupata uhuru (wa dini na kuongea na utangazaji na mikutano) sio kutokubali hilo dini ambayo inasababisha uvamizi. Hatutakubaliana na dini mengine lakini kutokubaliana huo sio msingi wa upande wa ulinzi wa kitaifa uliojiami. Tunafaa kutofautisha kati ya kundi ya kijeshi isiyo halali inayopigana dhidi ya kundi halali ya kidini, Kwa upande mmoja na kutiwa moyo kwa upingaji wetu kwa upande mwingine, ambao sio kukataa dini lolote lakini huru wa dini zote kupata waamini kwa njia isiyo ya dhuluma ya kushawishi na kuwavutia. (Imechangiwa katika maoni iliyopita)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''17.''' Tunafaa kujua yakuwa imani na tabia haina msimamo sawa mbele ya sheria. Hakuna imani inayofaa kuadhibiwa na mamlaka ya kiraia. Lakini tabia zingine, zilizo na mizizi katika imani, yaweza kuwa nje ya sheria na kwa hivyo yaweza kuadhibiwa na mamlaka ya kiraia. Tabia hizi zaweza kuwa kama kuuwa watu wengine, kuvamia na kupiga watu wengine vibaya, kuiba, aina tofauti ya kukandamiza. Tabia hiz ambazo zimepigwa marufuku kisheria katika makaazi ya watu wakizingatia uhuru wa imani na uhuru wa dini zitaamuliwa katika hali na wakati wa ushawishi wa mjadala na uchaguzi wa wanasheria wanaowakilisha, na wakitazamwa kwa makini na watawala na tawi za mahakama na walindao sheria ili kulinda haki ya walio wachache. Kutoeleweka vizuri umetambulika. (Angalia kiunga mkono ya #13 na maadhara ya maoni mengine yakichukuliwa pamoja) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''18.''' Tunafaa kutofautisha kati ya haki ya kukashifu imani potovu na tabia za dhambi, kwa mkono mmoja, na maoni ya uwongo ambayo wengine huwa nayo kuhusu hili kukashifu yakuwa wanao unga mkono imani inayo kashifiwa wanaweza dhulumiwa kwa haki bila tatizo. Hatufai kukubali madai yakuwa kukashifiwa au kukataliwa kama walio kosewa au kama watenda dhambi ni njia mojawapo ya “kudhulumiwa&amp;quot;. Sio uhalifu (Uhalifu wa chuki au chochote kile) Kuwita imani ya mtu adharani kuwa mbaya na hatari, au kuita tabia ya mtu hadharani kuwa dhambi na ya kuangamiza. Sehemu muhimu katika mjadala yote kuhusu imani na tabia na maoni na ubishi yakuwa mengine na mbaya, yamejengwa kwa ila, na yana madhara ya kufufua ukweli. Hivi ndivyo mijadala yote ya wabunge huendelea. Hii ni halali katika ulingo wa dini. Kwa mfano, ikiwa mbunge wa Amerikani amedhulumiwa kwa kutumia mabavu na mtubarabarani baada ya kukashifiwa bungeni kwa sababu hoja yake ilikuwa na makosa na kwa sababu hakuwa ameshauriwa vizuri na hoja lile linge umiza maskini aidha hatuwezi laumu mbunge aliye kashifu mwenzake kwa sababu ya dhuluma aliyetendewa mbunge Yule na kumshtaki kwa kuchochea dhuluma. Basi ni lazima tu tofautishe kati ya kukashifiwa adharani juu ya dini na tabia kwa upande moja na maoni isiyo halali kuhusu imani na matendo ya dhambi imetosha kudhulumiwa. (Angalia kiunga mkono katika #3 na #7)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''19.''' Tunaamini kuwa imani tofauti, tofauti ya badilisha maana ya ndani ya kuhukumiwa na tabia, lakini hayabadili aina yote ya kuhukumika na tabia. Basi kwamfano, watu wawili waweza kuwa na imani tofauti, lakini wanashikilia hukumu sawa na tabia sawa kuhusu uavyaji wa mimba. Tunatamani kuwa watu wote wangeshiriki imani ya Kristo na wawe na hukumu na tabia ambayo maana yao ya ndani ni yakuwa, Kristo ni Bwana na zawadi ya maisha. Lakin hata hivyo tunafuraha wakati aina ya hukumu yetu na tabia zetu zinashirikwa na wale wana tofautiana nasi katika imani. Tunaamini inawezekana kuwa pamoja nao kwa mambo ya kijamii mradi tu hayo matendo tunayo shiriki pamoja hayadhuru maoni yetu ya hukumu inayo tukuza Kristo. (1 Wakorintho 10:31; Wakolosai 3:17; Warumi 14:23)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''20.''' Tunaamini kuwa kila dini, maono ya ulimwengu, au filosofia ya maisha yaweza kazana zaidi kutushawishi na kujenga tamaduni yetu. Tunapinga utumizi wa mabavu au hongo au udanganyifu katika hii nia ya kujenga tamaduni. Tunasisitiza kuhubiri injili, uchapishaji wa ukweli, ufinyanzi wa upendo na haki, nguvu ya maombi, utumizi wa ushawishi, na kushiriki katika siasa. Tunatambuwa yakuwa sheria zote “Imesababisha” tabia ya hukumu ya vikundi vingine. Basi sio ukashifu inayopendeza kusema yakuwa sheria inayolinda tabia ni mbaya kwa sababu ina “tawala&amp;quot; utu wa mtu kuhusu uma. Hata hivyo, hii inaifanya muhimu zaidi yakuwa tunaunga mkono maadili, sheria, na aina ya tabia inayo linda uhuru halali ya wachache wasiyo na wakilishi mkubwa wa kubadilisha hatuwa ya kujenga sheria. Kiwango ya uhuru haya unapimwa na sheria yanayo ashiriwa hapo juu sana sana #17. (Imezingatiwa katika sheria na kiunga mkono za hapo awali)&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Yesu_ndiye_kikomo_cha_Jumuiko_la_Kikabila</id>
		<title>Yesu ndiye kikomo cha Jumuiko la Kikabila</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Yesu_ndiye_kikomo_cha_Jumuiko_la_Kikabila"/>
				<updated>2017-05-25T20:31:56Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Yesu ndiye kikomo cha Jumuiko la Kikabila&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Jesus Is the End of Ethnocentrism}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Yesu akarudi kwa nguvu za roho, akaenda Galilaya; habari zake zikaenea katika nchi zote za kandokando. 15 Naye alikuwa akifundisha kwa masinagogi kama ilivyokuwa desturi Yake, akitukuzwa na watu wote. 16 Akaenda Nazareti, hapo alipotelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome. 17 Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa, 18 Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiria maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, na vipofu kupata kuona tena, kuwaacha huru waliosetwa, 19 na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa. 20 Akakifunga chuo, akamrudishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho. 21 Akaanza kuwaambia, Leo maandiko haya yametimia masikioni mwenu. 22 Wakamshuhudia wote, wakiyastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake, wakasema, Huyu siye mwana wa Yusufu? 23 Akawaambia, Hapana shaka mithali hii, Tabibu, jiponye nafsi yako; mambo yote tuliyosikia kwamba yametendeka Kapernaumu, yatende na hapa pia katika nchi yako mwenyewe. 24 Akasema, Amin, nawaambia ya kwamba, Hakuna nabii mwenye kukubaliwa katika nchi yake mwenyewe. 25 Lakini, kwa hakika nawaambia,, palikuwa na wajane wengi katika nchi ya Israeli zamani za Eliya, wakati mbingu zilipofungwa miaka mitatu na miezi sita, njaa kuu ikaingia nchi nzima; 26 wala Eliya hakutumwa kwa mmojawapo, ila kwa mjane mmoja wa Sarepta katika nchi ya Sidoni.'''27''' Tena, palikuwa na wenye ukoma wengi katika Israeli zamani za nabii Elisha, wala hapana aliyetakaswa ila Naamani, mtu wa Shamu. 28 Wakajaa ghadhabu wote waliokuwa katika sinagogi walipoyasikia hayo. 29 Wakaondoka wakamtoa nje ya mji, wakampeleka mpaka ukingo wa kilima ambacho mji wao umejengwa juu yake, wapate kumtupa chini; 30 lakini yeye alipita katikati yao akaenda zake.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Jumapili uliopita nilijaribu kupuliza baragumu kwa ono nililoliita kupanda Ari. Je tunaweza kuja pamoja kama washirika na kujumuisha kengele pamoja katika ndoto na kuweka kanisa katika mwaka wa 2002 pahali pengine katika mji wa Twin Cities—ama mbali zaidi (kama Charlotte, NC ili iwe sawia na kuenda kwa BGEA huko)? Niliita kupanda Ari ndipo iwe wazi kuwa hili ni lengo la kipekee la neno la huduma ya kanisa letu: ''Tupo kueneza Ari kwa ajili ya ukuu wa Mungu juu ya vitu vyote kwa furaha ya watu wote kupitia Yesu Kristo. ''Lakini niliiweka wazi kuwa lengo si tu kuanzisha kanisa ya aina yoyote. Niliweka mambo ya kipekee kulihusu. Lililozungukiwa na Mungu, linaloinua Kristo, lililojawa Bibilia linaloeneza huduma, lavuta moyo, linalotafuta haki, n. k.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Harakati za kufuata haki ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nilipotumia neno “ufuataji wa haki,” mawazoni nilikuwa na hoja zaidi ya mbili: Mtazamo wa jumapili hii ni ''utangamano wa tabaka'' na wa Jumapili ujao na ''utakatifu wa Uzima.'' Maswala mawili makuu yanayohusu nchi yetu hapa mwanzoni mwa karne ya 21 ni maswala ya ''haki ya kitabaka ''na''haki ya wasiozaliwa''. Ninaamini kuna uhusiano kati ya kuwa Kanisa linalotafuta haki na kudumu ndani ya Mungu, kuinua Kristo, na lililojawa Bibilia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tunahitajika kuwa wanaodumu ndani ya Mungu, kutukuza Kristo na waliojawa Bibilia zaidi. ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu mojawapo kanisa ya kievanjelisti—hasa kanisa ya Evanjelisti ya Uzungu (hata hilo jina halifai kama vile jina “Kanisa la Weusi”) — Sababu mojawapo ya kutotafuta haki ya kitabaka na ya wasiozaliwa kwa ari zaidi jinsi tunapaswa ni kuwa hatujadumu ndani ya Mungu na kutukuza Kristo na kujawa kibibilia jinsi tunavyofikiri tumekuwa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunaposema'',”''''Tunaendelea kueneza shauku kwa ajili ya ukuu wa Mungu katika mambo yote kwa ajili ya furaha ya watu wote.” ''Je, tushafikiria kwa undani vile Mungu anafanywa kuwa mkuu katika ushirikiano wa Tabaka? Je, tumeuliza vile Bibilia inajawa katika fikira mwetu, na hisia na matendo yetu juu ya uhusiano ya kikabila na maswala ya tabaka katika masomo, na kuishi, na uchumi, na uwepo wa mwili wa Kristo? Je ukuu wa Mungu na utukufu wa Kristo na ujumbe muhimu wa Bibilia unatengeneza fikira na hisia na matendo yetu katika “vitu vyote kwa ajili ya furaha ya watu wote?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kupooza wa kutokamilika ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi tunapowaza juu ya upandaji wa kanisa, si kwamba tumewasili na hivyo basi tuko tayari kujizalisha wenyewe. Tukingojea hadi tukiwa tumewasili ndipo tujaribu kitu kama hicho, hatutaifanya—na hutaoa hata, ama kubaki kama uko katika ndoa, ama kuchukua kazi yako ya kwanza ama kuihifadhi, ama kuenda katika huduma ama kuishi huko ama kuamua kuwa na watoto ama kuanzisha huduma. Mambo machache yanalemeza watu wazuri zaidi ya kutokamilika kwao. O kuwa Mungu atawainua watu ambao watasikiza na kuelimika na kuachilia ukashifu unaolemeza wa watu wanaoonge kando kando. Hatulengi kupanda kanisa kwa sababu tumekamilika bali kwa sababu tuko na ndoto au nia: Kuwa kanisa jipya, katika mahali mpya na viongozi tofauti watafanya mambo mengine vizuri sana kuliko vile tunayafanya hapa, wakivutwa na maono hilo sawa ya kibibilia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ishi kwa ajili ya sababu kuu, sio starehe kuu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Njia mojawapo ninavyofikiri kuhusu kupanda Ari ni kuwa tunapanda watu ambao wamejiweka kuishi kwa ''nia'' kuu, wala si starehe kuu. Nimehubiri hapo mbeleni chini ya kibango: ''Kuwa, Mkristo ni kusogelea kwa hitaji wala si atarehe''. Kuamka asubuhi na kujilaza kitandani usiku bila kuota vile ninavyoweza kuendelea kwa starehe zangu, bali jinsi ya kuendeleza nia ya kuzingirwa na Mungu iliyo kuu. Kupanda Ari kuna maanisha kupanda watu ambao hawashughuliki usiku na mchana wakitafuta kujihifadhi kwao na kujitukuza kwao na kujivinjari kwao, bali wanaotafuta kitu kikubwa na kikuu kuwaliko ama kuliko familia zao ama kanisa lao.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni nini nia kuu unayoishia? Jumapili huu na ule ujao nauliza, Je, kutakuwa na baadhi yenu—mamia kati yenu—wanaosema, ‘Ni nia kuu ya maisha yangu kumtukuza Kristo Yesu kupitia kuzingirwa na Mungu, haki na utangamano wa kutabaka iliyojawa Bibilia?” Ama Yule asemaye, “Ni nia kuu ya maisha yangu kumtukuza Yesu Krsito kupitia kuzungukwa na Mungu, haki ya asiyezaliwa iliyojawa Bibilia.” Na Mungu akawainua, dhidi ya kujipendekeza yote na unyenyekevu ya muda na kujikabidhi usio na nidhamu, wake kwa waume ambao wanahifadhi nia kuu, sio vile pumzi inavyofanya bali vile moyo hufanya! Pumzi huleta kiwango cha nguvu inayoitajika halafu hufanya mwili kuanguka. Moyo huendelea kuleta uhai mwilini katika nyakati nzuri na nyakati ngumu, msimu wa baridi ama kiangazi, kwa furaha ama huzuni, kwa udhaifu na kukiwa na nguvu, kwa furaha ama huzuni, kwa udhaifu na kukiwa na nguvu, ugonjwa na uzima! Lo! Kwa Wakristo wenye mioyo sana katika nia ya haki ya kitabaka, Si tu Wakristo wa pumzi!&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tunawahitaji William Wilberforces ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na kina nani kati yenu ambao ni William Willberforces kwa wakati wetu? Alikuwa Mkristo wa ndani, mhubiri ambaye sifa zake zilienea na mwenye ari katika safari ndefu katika nia ya haki ya kitabaka kule Uingereza. Mnamo Oktoba 28, 1787, akiwa na umri wa miaka 28 aliandika katika kitabu chake cha kumbukumbu,” “Mungu mkuu ameniweka mbele ya vitu viwili vikuu, kumalizwa kwa Biashara ya Watumwa na Mageuzi ya [maadili]” (John Pullock, ''Willberforce, p. 69'') Vita baada ya vita katika Bunge alishindwa kwa sababu Biashara ya Watumwa kutoka Afrika ilikuwa imekita mizizi sana katika mambo ya kifedha ya taifa. Lakini hakukata tamaa wala kukaa chini. Hakuwa Mkristo wa Pumzi, bali Mkristo wa Moyo. Mnamo Febuari 24, 1800 saa kumi alfajiri, miaka ishirini baada ya kuandika katika jarida lake, kura ya uamuzi ukafanywa na Biashara ya Watumwa ukapigwa marufuku. Bado kazi haikukamilka baada ya miaka 20 ya uvumilivu. Je, inakuwaje mtumwa akijishikanisha? Mnamo Julai 26,1833, miaka 16 baadaye, na siku tatu kabla afe, kura ukapigwa na utumwa ukapigwa marufuku nchini Uingereza na katika nchi zote chini ya Ukoloni wake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi ninapofikiri juu ya kupanda Ari, nafikiri juu ya kupanda au kuanzisha kanisa ya kukuza ari ya aina hii—Ari kama ya moyo, si kama ya pumzi. Iliyozungukwa na Mungu, unaotukuza Kristo, iliyojawa Bibilia, inayotafuta haki, kutia bidii usiokata tamaa kwa nia kuu, wala si starehe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi tunapotaka kuweka Mungu katikati na kumwinua Kristo na tujawe Bibilia, wacha tuende katika Injili na tumsikize na kumtazama Yesu anapomaliza jumuiko la kikabila—Jumuiko la kikabila—shauku ama hisia kwamba kundi langu la kikabila linafa litumikiwe ama kuchukuliwa kama ya juu ama waliojaliwa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Luka 4:16-30: Ufalme ni tofauti sana kikabila kuliko vile unavyofikiri  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunaanza katika Luka 4:16-30'''.''' Hapa ni kijana aliyekuzwa nyumbani anayerudi jijini mwake, Nazareti, baada ya kuwa maarafu Kapenaumu. Anaenda katika Sinagogi siku ya Sabato na umati wa watu unamkaribia. Na yale anatenda katika ujumbe huu ni karibu na yasiyo ya kujulikana. Karibu anachochea ghasia. Na analitenda kimakusudii kwanza wakampa kitabu cha nabii Isaya ili apate kusoma kwacho, anachagua mlango wa 61. Ni juu ya mkombozi ajaye ambaye atafungua waliofungwa na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubalika (Mistari 18b-19); na anasema kuwa inatimia wakisikia. Mstari 21: “Na ndipo akaanza kuwaambia, “ Leo maandiko haya yametimia mkiwa mnasikia.” Hiyo ilikuwa ya kustajaabisha. Kilichogonga habari: “Kijana aliyelelewa nyumbani anadai kuwa Masia.” Lakini hii haingezua ghasia. Mstari 22: “Wote waliokuwako wakimsifu na kuyastajaabia maneno yake yaliyojaa neema.” Hadi hapo ni vyema.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini tazama kile anasema baadaye. Yasiyotarajika kabisa! Yasioelezeka kama kile unataka ni ufuasi. Yasiyoelezeka kama kile unataka ni kua kwa Kanisa. Anaamua kusimulia hadithi kutoka kwa Agano la kale unaoenda kinyume na kusanyiko la kikabila la jiji lake. Hangeweza kuepuka maudhi zaidi. Anajua vile jibu lao litakavyokuwa kwa sababu anasema katika mkstari wa 24, “Amin, nawaambia, hakuna nabii anayekubalika kwenye mji wake mwenyewe.” Kwa maneno mengine, Kweli mnaongea vyema juu yangu sasa (mstari 22) Bali mna hisia yenu wenyewe vile Masiya atakayoyatenda, na vile uifalme wake utakavyokuwa. Lakini ngojeni hadi niwaambie kile niko karibu kukifanya na vile ufalme wangu utakavyokuwa. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Halafu anawasimulia hadithi ya kwanza. Mistari 25-26, iliyotolewa kutoka kwa 1 Wafalme 17: “Lakini ukweli ni kwamba palikuwa na wajane wengi katika Israeli wakati Eliya, mbingu zilipofungwa kwa miaka mitatu na miezi sita pakawa na njaa kuu katika nch nzima. (26) Lakini Eliya hakutumwa hata kwa mmoja wao, bali kwa mjane mmoja wa Sarapeta katika nchi ya Sidoni (Fonekia) “Bila kutarajiwa anasimulia hadithi vile Mungu anapita juu ya kabila yote ya Wayahudi kuleta Baraka ya kimiujuiza kwa Myunani mgeni kutoka kwa nchi ya Sidoni (Fonekia). Na anafanya hii kwa uwazi na kwa nguvu na bila ulegevu ama masimulizi: Kulikuwa na wajane wengi katika Israeli, Na mungu alibariki mgeni.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na kama hiyo haikutosha anasimulia hadithi ya pili katika mstari wa 27 kutoka 2 Wafalme 5: “Pia palikuwa na wengi wenye ukoma katika Israeli katika siku za nabii Elisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa, isipokuwa Naamani mtu wa shamu.” Tena hoja ni kati ya watu wote ambao Mungu angechagua kuwatakasa kutokana na ukoma alichagua mfalme mgeni, mtu wa Shamu, si Myahudi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hizi hadithi mbili hazikuepuka ukabila wa Galilaya. Mstari wa 28 “Watu wote katika Sinagogi waliposikia maneno haya, wakakasirika sana. 29 Wakasimama, wakamtoa nje ya mji, wakamchukua hadi kwenye kilele cha mlima mahali ambapo mji huo ulikuwa umejengwa ili wamtupe chini kutoka kwenye mteremko mkali. 30 Lakini Yeye akipita papo hapo katikati ya huo umati wa watu akaenda zake.” Wanaipata, na hawakupendezwa nayo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa ni nini hoja katika hadithi hii? Hoja ni ufalme auletao Yesu asema ni tofauti kikabila kuliko jinsi mnavyofikiria. Pahali penu palipoteuliwa kama Israeli hapajaleta unyenyekevu na huruma, bali kiburi na kejeli. Yesu ndiye mwisho wa kusanyiko la kikabila. Mnitazame. Mjifunze kutoka kwangu, anasema nimekuja kuwakomboa watu kutoka makabila yote, Si mmoja ama wachache tu. Ole wenu kwa kukosa kwenu kuona katika haki na rehema ya Mungu, shauku yake ya kukusanya kutoka kwa watu ufalme wa makuhani na marafiki.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mathayo 8:5-13 Imani katika Yesu inaharibu ukabila ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je, nimeenda mbali sana na kutamka ole kwa watu hawa wa Galilaya? Amua unapozingatia hadithi nyingine, mara hii ni katika Mathayo 8:5-13'''.''' Yesu anatamatisha mahubiri milimani katika Mathayo 5-7na baadaye, katika Mathayo 8:1-4, anamgusa mwenye ukoma, yule aliyechukiwa na kutengwa kati ya watu wote katika Israeli, na kumtakasa. Halafu katika Mathayo 8:5 anaingia Kapernaumu anakutana na aina ya mtu wa pili anayechukiwa na wa kuudhi—Jemedari Mrumi. Vile mwanajeshi Mmarekani alivyo kwa mpiganaji wa Taliban. Hoja kuwa huyu jemedari ni mashuhuri kati ya Wayahudi (Luka 7:3-5) umeachwa na Mathayo. Hauhusiki hapa. Mtu huyu ni mgeni, si Myahudi. Hilo ndilo hoja Mathayo anatilia mkazo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni nini hoja katika hadithi hii? Jemedari anamsihii Yesu akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani amepooza tena ana maumivu makali ya kutisha.” Bila maswali ama kusita Yesu asema katika mstari 7, “Nitakuja na kumponya.” Halafu jemedari anasema kitu ambacho Yesu anapata ni ya kustaajabisha. Mstari 8: “Bwana, mimi sistahili. Wewe uingie chini ya dari yangu. Lakini sema neno tu, naye mtumishi wangu atapona. (9) Kwa kuwa mimi nami niko chini ya mamlaka, nikiwa na askari chini yangu. Nikimwambia huyu ‘Nenda’, naye huenda, na mwingine, ‘Njoo’, huja. Nami nikimwambia mtumishi wangu, ‘Fanya hivi’ hufanya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu aliposikia maneno haya, Mstari wa 10 inasema, akashangaa. Halafu na kuichukua hali yote hii ambayo kila mtu alifikiri ilikuwa kuhusu uponyaji na nguvu na mamlaka, na kuigeuza kuwa kitu ambacho ni tofauti kabisa, kiitwacho, hali kuhusu jumuiko la ufalme kutoka kwa wageni na kuhusu hatari ya kutegemea kitambulisho cha kikabila kupokea baraka. Mstari 10b: “Amin, amin nawaaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii. 11 Ninawaambia kwamba wengi watatoka mashariki na magharibi . . . ” Mashariki na magharibi! Nini hiyo? Ni Fonekia (Ukanda wa Gaza), Misri, Ugiriki, Arabia, Pasia (Yorodani, Iran na Irak, Afghanistani, Pakistani, India na China). Na nini kitatukia watakapokuja—hawa wageni wasiotahiriwa, ambao tabia zao za kigeni si kama ya Wayahudi na umbo zao ni za kigeni? Mstari 11b: “ . . . [nao] wataketi karamuni pamoja na Abrahamu, Isaka na Yakobo katika ufalme wa mbinguni: (12) Lakini warithi wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ambako kutakuwa na kulia na kusaga meno.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa hii inashangaza sana! Lazima uhisi mvuto wa hii. Hapa Yesu anaambia wateule wa Israeli kuwa kwanza Warumi, kama huyu Jemedari aaminiye, na halafu aina yote ya watu. Wa kabila ya Yunani wasio wasafi, wataingia katika ufalme wa mbinguni, lakini ninyi, “Wana wa wafalme,” mtaketi katika giza la nje. Hii ni kama haijasikika, kusema kuongea juu ya kabila teule kwa njia hii. Je anasema nini? Anasema: Yesu ndiye mwisho wa jumuiko ya kikabila.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ama kuiweka kwa njia inayofaa: Yesu anasema kuwa kwa kupitia kuja kwake, njia mpya ya kipekee ya kutambua watu wa Mungu iko hapa, inaitwa, imani kwake. Imani kwa Yesu huvunja ukabila. Mara kwa mara katika injili hii hufanyika:&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
#&lt;br /&gt;
Hadithi ya Msamaria Mwema—mgeni ndiye shujaa wa huruma (Luka 10:33).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
#&lt;br /&gt;
Kutakaswa kwa wakoma kumi, na mmoja tu anarudi; na yeye ni nani? Msamaria, mgeni anang’aa na unyenyekevu na shukrani (Luka 17:16).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
#&lt;br /&gt;
Uponyaji wa binti wa Kisirofainike (Marko 7:26).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
#&lt;br /&gt;
Kuabudu kwa Wataalamu wa nyota kutoka Mashariki, Yawezekana Peresi ama Arabia (Mathayo 2:1).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
#&lt;br /&gt;
Na mwishowe kifo na kufufuka kwa Yesu ambaye Yeye mwenytewe anatafsiri kabla katrika mfano wa wapangaji waovu (Mathayo 21:33-43). Mwenye shamba la mzabibu anatuma mwanawe kukusanya martuunda kutoka kwa watu wake. Wanamuua. Na Yesu anauliza, “atawafanyia nini hao wakulima?” Mungu atafanyaje wakati mwanawe atakataaliwa na wateule wake? Mstari 43 inapeana jibu: “Kwa hivyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na watapewa watu wengine wawezao kuzaa matunda yake.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Si rangi, bali imani katika Kristo  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ndio Martin Lurther King alikuwa akimaanisha katika hotuba yake maarufu aliposema, “Nina ndoto kuwa wanangu wanne wadogo siku moja wataishi katika nchi ambao hawataonekana kwa rangi ya mwili wao lakini kwa yatokayo kwenye matendo yao.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu ndiye mwisho wa kusanyiko la kikabila. Si kwa rangi bali kwa imani katika Kristo, hiyo ndiyo alama ya ufalme. Noeli na mimi walikuwa wakinong’oneza kwenye simu jana tulipokuwa tukiongea na mwana wetu Benjamin akiwa Chicago. Tulikumbuka Uribana katika mwaka wa 1967. Warren Webster aliulizwa mbele ya wanafunzi 15,000, Je, itakuwaje iwapo binti wako ataamua kuolewa na Mpakistani wakati unahudumu huko? Neno lake bado lagonga sikioni mwangu hadi wa leo, vile ninatumai ujumbe huu utafanya kwako: Heri Mkristo Mpakistani maskini kuliko tajiri mzungu Mmarekani anayehudumu katika benki asiyeamini. Kwa maneno mengine, Kristo, si rangi ambayo ni hoja. Yesu ndiye tamati ya jumuiko la kikabila.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kama tutaanzisha kanisa linalozingatiwa na Mungu, linaloinua Kristo, lililojawa Bibilia, na linalotafuta haki lazima lifikie hapa pia. Na jambo la ajabu kiasi gani inapokamilika na kila kabila na tabaka na watu wanatukuza Kristo kwa pamoja.Ewe Bwana, lifanye litendeke!&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Yesu_ndiye_kikomo_cha_Jumuiko_la_Kikabila</id>
		<title>Yesu ndiye kikomo cha Jumuiko la Kikabila</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Yesu_ndiye_kikomo_cha_Jumuiko_la_Kikabila"/>
				<updated>2017-05-25T20:31:46Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|Jesus Is the End of Ethnocentrism}}  &amp;lt;blockquote&amp;gt; Yesu akarudi kwa nguvu za roho, akaenda Galilaya; habari zake zikaenea katika nchi zote za kandokando. 15 Naye alikuwa ak...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Jesus Is the End of Ethnocentrism}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Yesu akarudi kwa nguvu za roho, akaenda Galilaya; habari zake zikaenea katika nchi zote za kandokando. 15 Naye alikuwa akifundisha kwa masinagogi kama ilivyokuwa desturi Yake, akitukuzwa na watu wote. 16 Akaenda Nazareti, hapo alipotelewa; na siku ya sabato akaingia katika sinagogi kama ilivyokuwa desturi yake, akasimama ili asome. 17 Akapewa chuo cha nabii Isaya, akakifungua chuo, akatafuta mahali palipoandikwa, 18 Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiria maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, na vipofu kupata kuona tena, kuwaacha huru waliosetwa, 19 na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa. 20 Akakifunga chuo, akamrudishia mtumishi, akaketi; na watu wote waliokuwamo katika sinagogi wakamkazia macho. 21 Akaanza kuwaambia, Leo maandiko haya yametimia masikioni mwenu. 22 Wakamshuhudia wote, wakiyastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake, wakasema, Huyu siye mwana wa Yusufu? 23 Akawaambia, Hapana shaka mithali hii, Tabibu, jiponye nafsi yako; mambo yote tuliyosikia kwamba yametendeka Kapernaumu, yatende na hapa pia katika nchi yako mwenyewe. 24 Akasema, Amin, nawaambia ya kwamba, Hakuna nabii mwenye kukubaliwa katika nchi yake mwenyewe. 25 Lakini, kwa hakika nawaambia,, palikuwa na wajane wengi katika nchi ya Israeli zamani za Eliya, wakati mbingu zilipofungwa miaka mitatu na miezi sita, njaa kuu ikaingia nchi nzima; 26 wala Eliya hakutumwa kwa mmojawapo, ila kwa mjane mmoja wa Sarepta katika nchi ya Sidoni.'''27''' Tena, palikuwa na wenye ukoma wengi katika Israeli zamani za nabii Elisha, wala hapana aliyetakaswa ila Naamani, mtu wa Shamu. 28 Wakajaa ghadhabu wote waliokuwa katika sinagogi walipoyasikia hayo. 29 Wakaondoka wakamtoa nje ya mji, wakampeleka mpaka ukingo wa kilima ambacho mji wao umejengwa juu yake, wapate kumtupa chini; 30 lakini yeye alipita katikati yao akaenda zake.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Jumapili uliopita nilijaribu kupuliza baragumu kwa ono nililoliita kupanda Ari. Je tunaweza kuja pamoja kama washirika na kujumuisha kengele pamoja katika ndoto na kuweka kanisa katika mwaka wa 2002 pahali pengine katika mji wa Twin Cities—ama mbali zaidi (kama Charlotte, NC ili iwe sawia na kuenda kwa BGEA huko)? Niliita kupanda Ari ndipo iwe wazi kuwa hili ni lengo la kipekee la neno la huduma ya kanisa letu: ''Tupo kueneza Ari kwa ajili ya ukuu wa Mungu juu ya vitu vyote kwa furaha ya watu wote kupitia Yesu Kristo. ''Lakini niliiweka wazi kuwa lengo si tu kuanzisha kanisa ya aina yoyote. Niliweka mambo ya kipekee kulihusu. Lililozungukiwa na Mungu, linaloinua Kristo, lililojawa Bibilia linaloeneza huduma, lavuta moyo, linalotafuta haki, n. k.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Harakati za kufuata haki ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nilipotumia neno “ufuataji wa haki,” mawazoni nilikuwa na hoja zaidi ya mbili: Mtazamo wa jumapili hii ni ''utangamano wa tabaka'' na wa Jumapili ujao na ''utakatifu wa Uzima.'' Maswala mawili makuu yanayohusu nchi yetu hapa mwanzoni mwa karne ya 21 ni maswala ya ''haki ya kitabaka ''na''haki ya wasiozaliwa''. Ninaamini kuna uhusiano kati ya kuwa Kanisa linalotafuta haki na kudumu ndani ya Mungu, kuinua Kristo, na lililojawa Bibilia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tunahitajika kuwa wanaodumu ndani ya Mungu, kutukuza Kristo na waliojawa Bibilia zaidi. ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu mojawapo kanisa ya kievanjelisti—hasa kanisa ya Evanjelisti ya Uzungu (hata hilo jina halifai kama vile jina “Kanisa la Weusi”) — Sababu mojawapo ya kutotafuta haki ya kitabaka na ya wasiozaliwa kwa ari zaidi jinsi tunapaswa ni kuwa hatujadumu ndani ya Mungu na kutukuza Kristo na kujawa kibibilia jinsi tunavyofikiri tumekuwa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunaposema'',”''''Tunaendelea kueneza shauku kwa ajili ya ukuu wa Mungu katika mambo yote kwa ajili ya furaha ya watu wote.” ''Je, tushafikiria kwa undani vile Mungu anafanywa kuwa mkuu katika ushirikiano wa Tabaka? Je, tumeuliza vile Bibilia inajawa katika fikira mwetu, na hisia na matendo yetu juu ya uhusiano ya kikabila na maswala ya tabaka katika masomo, na kuishi, na uchumi, na uwepo wa mwili wa Kristo? Je ukuu wa Mungu na utukufu wa Kristo na ujumbe muhimu wa Bibilia unatengeneza fikira na hisia na matendo yetu katika “vitu vyote kwa ajili ya furaha ya watu wote?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kupooza wa kutokamilika ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi tunapowaza juu ya upandaji wa kanisa, si kwamba tumewasili na hivyo basi tuko tayari kujizalisha wenyewe. Tukingojea hadi tukiwa tumewasili ndipo tujaribu kitu kama hicho, hatutaifanya—na hutaoa hata, ama kubaki kama uko katika ndoa, ama kuchukua kazi yako ya kwanza ama kuihifadhi, ama kuenda katika huduma ama kuishi huko ama kuamua kuwa na watoto ama kuanzisha huduma. Mambo machache yanalemeza watu wazuri zaidi ya kutokamilika kwao. O kuwa Mungu atawainua watu ambao watasikiza na kuelimika na kuachilia ukashifu unaolemeza wa watu wanaoonge kando kando. Hatulengi kupanda kanisa kwa sababu tumekamilika bali kwa sababu tuko na ndoto au nia: Kuwa kanisa jipya, katika mahali mpya na viongozi tofauti watafanya mambo mengine vizuri sana kuliko vile tunayafanya hapa, wakivutwa na maono hilo sawa ya kibibilia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ishi kwa ajili ya sababu kuu, sio starehe kuu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Njia mojawapo ninavyofikiri kuhusu kupanda Ari ni kuwa tunapanda watu ambao wamejiweka kuishi kwa ''nia'' kuu, wala si starehe kuu. Nimehubiri hapo mbeleni chini ya kibango: ''Kuwa, Mkristo ni kusogelea kwa hitaji wala si atarehe''. Kuamka asubuhi na kujilaza kitandani usiku bila kuota vile ninavyoweza kuendelea kwa starehe zangu, bali jinsi ya kuendeleza nia ya kuzingirwa na Mungu iliyo kuu. Kupanda Ari kuna maanisha kupanda watu ambao hawashughuliki usiku na mchana wakitafuta kujihifadhi kwao na kujitukuza kwao na kujivinjari kwao, bali wanaotafuta kitu kikubwa na kikuu kuwaliko ama kuliko familia zao ama kanisa lao.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni nini nia kuu unayoishia? Jumapili huu na ule ujao nauliza, Je, kutakuwa na baadhi yenu—mamia kati yenu—wanaosema, ‘Ni nia kuu ya maisha yangu kumtukuza Kristo Yesu kupitia kuzingirwa na Mungu, haki na utangamano wa kutabaka iliyojawa Bibilia?” Ama Yule asemaye, “Ni nia kuu ya maisha yangu kumtukuza Yesu Krsito kupitia kuzungukwa na Mungu, haki ya asiyezaliwa iliyojawa Bibilia.” Na Mungu akawainua, dhidi ya kujipendekeza yote na unyenyekevu ya muda na kujikabidhi usio na nidhamu, wake kwa waume ambao wanahifadhi nia kuu, sio vile pumzi inavyofanya bali vile moyo hufanya! Pumzi huleta kiwango cha nguvu inayoitajika halafu hufanya mwili kuanguka. Moyo huendelea kuleta uhai mwilini katika nyakati nzuri na nyakati ngumu, msimu wa baridi ama kiangazi, kwa furaha ama huzuni, kwa udhaifu na kukiwa na nguvu, kwa furaha ama huzuni, kwa udhaifu na kukiwa na nguvu, ugonjwa na uzima! Lo! Kwa Wakristo wenye mioyo sana katika nia ya haki ya kitabaka, Si tu Wakristo wa pumzi!&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Tunawahitaji William Wilberforces ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na kina nani kati yenu ambao ni William Willberforces kwa wakati wetu? Alikuwa Mkristo wa ndani, mhubiri ambaye sifa zake zilienea na mwenye ari katika safari ndefu katika nia ya haki ya kitabaka kule Uingereza. Mnamo Oktoba 28, 1787, akiwa na umri wa miaka 28 aliandika katika kitabu chake cha kumbukumbu,” “Mungu mkuu ameniweka mbele ya vitu viwili vikuu, kumalizwa kwa Biashara ya Watumwa na Mageuzi ya [maadili]” (John Pullock, ''Willberforce, p. 69'') Vita baada ya vita katika Bunge alishindwa kwa sababu Biashara ya Watumwa kutoka Afrika ilikuwa imekita mizizi sana katika mambo ya kifedha ya taifa. Lakini hakukata tamaa wala kukaa chini. Hakuwa Mkristo wa Pumzi, bali Mkristo wa Moyo. Mnamo Febuari 24, 1800 saa kumi alfajiri, miaka ishirini baada ya kuandika katika jarida lake, kura ya uamuzi ukafanywa na Biashara ya Watumwa ukapigwa marufuku. Bado kazi haikukamilka baada ya miaka 20 ya uvumilivu. Je, inakuwaje mtumwa akijishikanisha? Mnamo Julai 26,1833, miaka 16 baadaye, na siku tatu kabla afe, kura ukapigwa na utumwa ukapigwa marufuku nchini Uingereza na katika nchi zote chini ya Ukoloni wake. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi ninapofikiri juu ya kupanda Ari, nafikiri juu ya kupanda au kuanzisha kanisa ya kukuza ari ya aina hii—Ari kama ya moyo, si kama ya pumzi. Iliyozungukwa na Mungu, unaotukuza Kristo, iliyojawa Bibilia, inayotafuta haki, kutia bidii usiokata tamaa kwa nia kuu, wala si starehe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi tunapotaka kuweka Mungu katikati na kumwinua Kristo na tujawe Bibilia, wacha tuende katika Injili na tumsikize na kumtazama Yesu anapomaliza jumuiko la kikabila—Jumuiko la kikabila—shauku ama hisia kwamba kundi langu la kikabila linafa litumikiwe ama kuchukuliwa kama ya juu ama waliojaliwa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Luka 4:16-30: Ufalme ni tofauti sana kikabila kuliko vile unavyofikiri  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunaanza katika Luka 4:16-30'''.''' Hapa ni kijana aliyekuzwa nyumbani anayerudi jijini mwake, Nazareti, baada ya kuwa maarafu Kapenaumu. Anaenda katika Sinagogi siku ya Sabato na umati wa watu unamkaribia. Na yale anatenda katika ujumbe huu ni karibu na yasiyo ya kujulikana. Karibu anachochea ghasia. Na analitenda kimakusudii kwanza wakampa kitabu cha nabii Isaya ili apate kusoma kwacho, anachagua mlango wa 61. Ni juu ya mkombozi ajaye ambaye atafungua waliofungwa na kutangaza mwaka wa Bwana uliokubalika (Mistari 18b-19); na anasema kuwa inatimia wakisikia. Mstari 21: “Na ndipo akaanza kuwaambia, “ Leo maandiko haya yametimia mkiwa mnasikia.” Hiyo ilikuwa ya kustajaabisha. Kilichogonga habari: “Kijana aliyelelewa nyumbani anadai kuwa Masia.” Lakini hii haingezua ghasia. Mstari 22: “Wote waliokuwako wakimsifu na kuyastajaabia maneno yake yaliyojaa neema.” Hadi hapo ni vyema.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini tazama kile anasema baadaye. Yasiyotarajika kabisa! Yasioelezeka kama kile unataka ni ufuasi. Yasiyoelezeka kama kile unataka ni kua kwa Kanisa. Anaamua kusimulia hadithi kutoka kwa Agano la kale unaoenda kinyume na kusanyiko la kikabila la jiji lake. Hangeweza kuepuka maudhi zaidi. Anajua vile jibu lao litakavyokuwa kwa sababu anasema katika mkstari wa 24, “Amin, nawaambia, hakuna nabii anayekubalika kwenye mji wake mwenyewe.” Kwa maneno mengine, Kweli mnaongea vyema juu yangu sasa (mstari 22) Bali mna hisia yenu wenyewe vile Masiya atakayoyatenda, na vile uifalme wake utakavyokuwa. Lakini ngojeni hadi niwaambie kile niko karibu kukifanya na vile ufalme wangu utakavyokuwa. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Halafu anawasimulia hadithi ya kwanza. Mistari 25-26, iliyotolewa kutoka kwa 1 Wafalme 17: “Lakini ukweli ni kwamba palikuwa na wajane wengi katika Israeli wakati Eliya, mbingu zilipofungwa kwa miaka mitatu na miezi sita pakawa na njaa kuu katika nch nzima. (26) Lakini Eliya hakutumwa hata kwa mmoja wao, bali kwa mjane mmoja wa Sarapeta katika nchi ya Sidoni (Fonekia) “Bila kutarajiwa anasimulia hadithi vile Mungu anapita juu ya kabila yote ya Wayahudi kuleta Baraka ya kimiujuiza kwa Myunani mgeni kutoka kwa nchi ya Sidoni (Fonekia). Na anafanya hii kwa uwazi na kwa nguvu na bila ulegevu ama masimulizi: Kulikuwa na wajane wengi katika Israeli, Na mungu alibariki mgeni.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na kama hiyo haikutosha anasimulia hadithi ya pili katika mstari wa 27 kutoka 2 Wafalme 5: “Pia palikuwa na wengi wenye ukoma katika Israeli katika siku za nabii Elisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyetakaswa, isipokuwa Naamani mtu wa shamu.” Tena hoja ni kati ya watu wote ambao Mungu angechagua kuwatakasa kutokana na ukoma alichagua mfalme mgeni, mtu wa Shamu, si Myahudi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hizi hadithi mbili hazikuepuka ukabila wa Galilaya. Mstari wa 28 “Watu wote katika Sinagogi waliposikia maneno haya, wakakasirika sana. 29 Wakasimama, wakamtoa nje ya mji, wakamchukua hadi kwenye kilele cha mlima mahali ambapo mji huo ulikuwa umejengwa ili wamtupe chini kutoka kwenye mteremko mkali. 30 Lakini Yeye akipita papo hapo katikati ya huo umati wa watu akaenda zake.” Wanaipata, na hawakupendezwa nayo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa ni nini hoja katika hadithi hii? Hoja ni ufalme auletao Yesu asema ni tofauti kikabila kuliko jinsi mnavyofikiria. Pahali penu palipoteuliwa kama Israeli hapajaleta unyenyekevu na huruma, bali kiburi na kejeli. Yesu ndiye mwisho wa kusanyiko la kikabila. Mnitazame. Mjifunze kutoka kwangu, anasema nimekuja kuwakomboa watu kutoka makabila yote, Si mmoja ama wachache tu. Ole wenu kwa kukosa kwenu kuona katika haki na rehema ya Mungu, shauku yake ya kukusanya kutoka kwa watu ufalme wa makuhani na marafiki.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mathayo 8:5-13 Imani katika Yesu inaharibu ukabila ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Je, nimeenda mbali sana na kutamka ole kwa watu hawa wa Galilaya? Amua unapozingatia hadithi nyingine, mara hii ni katika Mathayo 8:5-13'''.''' Yesu anatamatisha mahubiri milimani katika Mathayo 5-7na baadaye, katika Mathayo 8:1-4, anamgusa mwenye ukoma, yule aliyechukiwa na kutengwa kati ya watu wote katika Israeli, na kumtakasa. Halafu katika Mathayo 8:5 anaingia Kapernaumu anakutana na aina ya mtu wa pili anayechukiwa na wa kuudhi—Jemedari Mrumi. Vile mwanajeshi Mmarekani alivyo kwa mpiganaji wa Taliban. Hoja kuwa huyu jemedari ni mashuhuri kati ya Wayahudi (Luka 7:3-5) umeachwa na Mathayo. Hauhusiki hapa. Mtu huyu ni mgeni, si Myahudi. Hilo ndilo hoja Mathayo anatilia mkazo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni nini hoja katika hadithi hii? Jemedari anamsihii Yesu akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani amepooza tena ana maumivu makali ya kutisha.” Bila maswali ama kusita Yesu asema katika mstari 7, “Nitakuja na kumponya.” Halafu jemedari anasema kitu ambacho Yesu anapata ni ya kustaajabisha. Mstari 8: “Bwana, mimi sistahili. Wewe uingie chini ya dari yangu. Lakini sema neno tu, naye mtumishi wangu atapona. (9) Kwa kuwa mimi nami niko chini ya mamlaka, nikiwa na askari chini yangu. Nikimwambia huyu ‘Nenda’, naye huenda, na mwingine, ‘Njoo’, huja. Nami nikimwambia mtumishi wangu, ‘Fanya hivi’ hufanya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu aliposikia maneno haya, Mstari wa 10 inasema, akashangaa. Halafu na kuichukua hali yote hii ambayo kila mtu alifikiri ilikuwa kuhusu uponyaji na nguvu na mamlaka, na kuigeuza kuwa kitu ambacho ni tofauti kabisa, kiitwacho, hali kuhusu jumuiko la ufalme kutoka kwa wageni na kuhusu hatari ya kutegemea kitambulisho cha kikabila kupokea baraka. Mstari 10b: “Amin, amin nawaaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii. 11 Ninawaambia kwamba wengi watatoka mashariki na magharibi . . . ” Mashariki na magharibi! Nini hiyo? Ni Fonekia (Ukanda wa Gaza), Misri, Ugiriki, Arabia, Pasia (Yorodani, Iran na Irak, Afghanistani, Pakistani, India na China). Na nini kitatukia watakapokuja—hawa wageni wasiotahiriwa, ambao tabia zao za kigeni si kama ya Wayahudi na umbo zao ni za kigeni? Mstari 11b: “ . . . [nao] wataketi karamuni pamoja na Abrahamu, Isaka na Yakobo katika ufalme wa mbinguni: (12) Lakini warithi wa ufalme watatupwa katika giza la nje, ambako kutakuwa na kulia na kusaga meno.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa hii inashangaza sana! Lazima uhisi mvuto wa hii. Hapa Yesu anaambia wateule wa Israeli kuwa kwanza Warumi, kama huyu Jemedari aaminiye, na halafu aina yote ya watu. Wa kabila ya Yunani wasio wasafi, wataingia katika ufalme wa mbinguni, lakini ninyi, “Wana wa wafalme,” mtaketi katika giza la nje. Hii ni kama haijasikika, kusema kuongea juu ya kabila teule kwa njia hii. Je anasema nini? Anasema: Yesu ndiye mwisho wa jumuiko ya kikabila.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ama kuiweka kwa njia inayofaa: Yesu anasema kuwa kwa kupitia kuja kwake, njia mpya ya kipekee ya kutambua watu wa Mungu iko hapa, inaitwa, imani kwake. Imani kwa Yesu huvunja ukabila. Mara kwa mara katika injili hii hufanyika:&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
#&lt;br /&gt;
Hadithi ya Msamaria Mwema—mgeni ndiye shujaa wa huruma (Luka 10:33).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
#&lt;br /&gt;
Kutakaswa kwa wakoma kumi, na mmoja tu anarudi; na yeye ni nani? Msamaria, mgeni anang’aa na unyenyekevu na shukrani (Luka 17:16).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
#&lt;br /&gt;
Uponyaji wa binti wa Kisirofainike (Marko 7:26).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
#&lt;br /&gt;
Kuabudu kwa Wataalamu wa nyota kutoka Mashariki, Yawezekana Peresi ama Arabia (Mathayo 2:1).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
#&lt;br /&gt;
Na mwishowe kifo na kufufuka kwa Yesu ambaye Yeye mwenytewe anatafsiri kabla katrika mfano wa wapangaji waovu (Mathayo 21:33-43). Mwenye shamba la mzabibu anatuma mwanawe kukusanya martuunda kutoka kwa watu wake. Wanamuua. Na Yesu anauliza, “atawafanyia nini hao wakulima?” Mungu atafanyaje wakati mwanawe atakataaliwa na wateule wake? Mstari 43 inapeana jibu: “Kwa hivyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na watapewa watu wengine wawezao kuzaa matunda yake.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Si rangi, bali imani katika Kristo  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ndio Martin Lurther King alikuwa akimaanisha katika hotuba yake maarufu aliposema, “Nina ndoto kuwa wanangu wanne wadogo siku moja wataishi katika nchi ambao hawataonekana kwa rangi ya mwili wao lakini kwa yatokayo kwenye matendo yao.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu ndiye mwisho wa kusanyiko la kikabila. Si kwa rangi bali kwa imani katika Kristo, hiyo ndiyo alama ya ufalme. Noeli na mimi walikuwa wakinong’oneza kwenye simu jana tulipokuwa tukiongea na mwana wetu Benjamin akiwa Chicago. Tulikumbuka Uribana katika mwaka wa 1967. Warren Webster aliulizwa mbele ya wanafunzi 15,000, Je, itakuwaje iwapo binti wako ataamua kuolewa na Mpakistani wakati unahudumu huko? Neno lake bado lagonga sikioni mwangu hadi wa leo, vile ninatumai ujumbe huu utafanya kwako: Heri Mkristo Mpakistani maskini kuliko tajiri mzungu Mmarekani anayehudumu katika benki asiyeamini. Kwa maneno mengine, Kristo, si rangi ambayo ni hoja. Yesu ndiye tamati ya jumuiko la kikabila.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kama tutaanzisha kanisa linalozingatiwa na Mungu, linaloinua Kristo, lililojawa Bibilia, na linalotafuta haki lazima lifikie hapa pia. Na jambo la ajabu kiasi gani inapokamilika na kila kabila na tabaka na watu wanatukuza Kristo kwa pamoja.Ewe Bwana, lifanye litendeke!&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kujivunia_tu_katika_msalaba</id>
		<title>Kujivunia tu katika msalaba</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kujivunia_tu_katika_msalaba"/>
				<updated>2017-03-30T20:07:58Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Kujivunia tu katika msalaba&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Boasting Only in the Cross}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Mungu apishie mbali nisije nikajivunia kitu chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa Yeye ulimwengu umesulibiwa kwangu, nami nimesulibiwa kwa ulimwengu&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Hauhitaji kujua mambo mengi kuhusu maisha yako ili kuwa na utofauti wa milele ulimwenguni lakini ni sharti uyajue machache makuu yenye maana, kisha uwe tayari kuyaishia na kuyafilia. Watu wanaosababisha utofauti wenye kudumu ulimwenguni sio wale walionakili mengi akilini, bali wale walionakiliwa na machache akilinii yenye ukuu. Ukitaka maisha yako iwe ya kuhesabika, ukitaka athari za kipekee ya mambo uyafanyayo yawe kama mawimbi kutoka mwisho hadi mwisho wa ulimwengu kwa miaka au jadi na jadi hadi milele yote, hauhitaji kuwa na uerevu wa hali ya juu; hauhitaji kuwa na umbo nzuri au mali; hauhitaji kuwa wa familia bora au shule bora. Unastahili kujua machacahe makuu, yenye ustawi, yasiyo badilika yenye uwazi, rahisi na yenye utukufu, kisha hayo yakutie moto.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini nafahamu kwamba sio kila mtu katika umati huu anataka maisha yako yawe yenye kusababisha utofauti. Kunao mamia kati yenu—hamjali kama mtasababisha utofauti wa kudumu kwa ajili ya kitu kikuu, mnataka tu watu wawapende. Kama watu wangewapenda tu, mungetosheka. Au kama tu mwaweza kuwa na kazi nzuri, mke mzuri na watoto kadhaa na gari nzuri na wikendi ndefu pamoja na marafiki wachache wema, ustaafu wa furaha kisha kifo cha haraka na isiyo na ugumu na pasipokuwepo jehanamu—ikiwa mungekuwa na hayo (lakini bila Mungu)—Mungalitosheleka. HIYO ni janga mpangoni.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Majuma matatu yaliyopita tulipata ujumbe kuwa Rubi Eliason na Laura Edwards waliuwawa Kameruni. Rubi alikuwa na umri uliozidi miaka 80. Akiwa pweke maisha yake yote, aliyatoa kikamilifu kwa ajili ya kitu kimoja kikuu: Kumjulisha miongoni mwa wasiofikiwa, walio masikini, na wagonjwa. Laura naye mjane, daktari wa matibabu aliyekaribia miaka 80 akihudumu pamoja na Ruby huko Kameruni. Breki zilikataa kushika, na hatimaye gari lao kuruka bonde na kuanguka, nao wakafa wawili palepale. Nami nikauliza watu wangu: Je, lile lilikuwa janga? Maisha mawili yenye msukumo mmoja kimaono, yakitumika bila kutambuliwa au kusifiwa kwa masikini wanaoangamia kwa utukufu wa Yesu Kristo—miaka ishirini baada ya karibu wenzao wote kiumri wa Marekani kustaafau na kutupa maisha yao kwa anasa kule Florida au New Mexico. La. Hio sio janga. Bali ni utukufu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nikueleze janga ni nini. Nitakusomea kutoka kwa Readers Digest (Feb 2000, ukurasa. 98) janga. “Bob na Penny . . . Walistaafu mapema kutoka ma kazini kwao kule kaskazini mashariki miaka mitano imepita mwanaume akiwa na miaka 59 na mwanamke 51. Sasa waliishi Punta Gorda, Florida ambako walisafiri katika chombo chao cha futi 30, kucheza softi boli na kukusanya magovu kwenye maji.” Ndoto ya amerika: Fikia mwisho wa maisha yako—maisha yako ile tu ya pekee—halafu kazi kuu yako ya mwisho kabla ya kutoa hesabu kwa muumba wako, ikawe “Nilikusanya magovu. Ona magovu yangu.” Hilo ni janga. Na watu leo wanatuma mabillioni ya madola kukushawishi ili ukumbatie ndoto hilo lenye janga. Nami Napata dakika arobaini ili kukusihi: Usishawishiwe Usitupe maisha yako. Ni mafupi zaidi na ya thamani. Nililelewa kwa nyumba ambayo babangu alijitolea kama mwinjilisti ili awaletee injili ya Yesu waliopotea. Alikuwa na maono moja ya kuteketeza: Kuhubiri injili. Kulikuwa na bango kwenye jikoni yetu kwa maisha yangu yote nikiendelea kua. Sasa liko katika sebule yetu. Nimekuwa nikiliangalia karibu kila siku kwa miaka 48. Inasema “Ni maisha moja tu, na karibuni itapita. Alichofanyiwa Kristo tu ndicho cha kudumu.” Niko hapa siku moja katika hali kama baba. Nina miaka 54. Ninao wana wa kiume wanne na binti mmoja, Karsten ni mwenye umri 27, Benjamin 24 Abraham 20, Barnabas 17 naye Tabitha ana miaka minne. Machache, kama yapo, yananijaza na tamaa zaidi hizi miezi na miaka kushinda tamaa kuwa wanangu ambao wamekuwa wakubwa wasiharibu maisha yao kwa ufanisi wenye janga.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivyo nawatazameni ninyi kama wana na mabinti na kuwaomba kama baba—huenda baba ambaye haukuwahi kuwa naye. Au baba ambaye hakuwahi kuwa na maono kwako kama jinsi nilivyo nayo kwako na Mungu vilevile. Au baba aliye na maono kwako, lakini yake yote ni kuhusu pesa na hadhi. Ninawatazamieni kama wana na mabinti na kuwaomba. Takeni maisha yenu yatoe hesabu kwa jambo kuu na la milele. Taka hili. Msinende maishani bila ya shauku.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu mojawapo ambayo imenisababisha kupenda maono ya Shauku 99 na Siku moja ni kwamba tangazo 268 ni kuhusu yote ambayo ni kusudi ya maisha yangu kwa wazi. Tangazo hili lina msingi wa Isaya 26:8— “Naam, katika njia ya hukumu zako sisi tumekungoja, Ee BWANA: Shauku ya nafsi zetu inaelekea; Jina lako na ukumbusho wako.” Hapa sio nafasi pekee, bali nafsi yenye shauku na tamaaa. Hapa sio tu tamaa ya kupendwa au softboli na makovu, hapa ni tamaa ya kitu kikuu cha kukosa kifani na cha kutosheleza zaidi ya kukosa kifani—Jina na utukufu wa Mungu— “Jina lako na sifa yako ndio tamaa ya nafsi zetu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hili ndilo jambo ninaloishi kufahamu na pia ninakumbana nayo. Habari ya huduma maishani mwangu na Kanisa ninayohudumia: “Tupo—Nipo—ili kusambaza shauku kwa ajili ya utawala mkuu wa Mungu kwa vyote kwa ajili ya furaha ya watu wote.”&amp;lt;br&amp;gt; Sio lazima uliseme jinsi ninavyolisema. Sio lazima uliseme jinsi Louie Giglio anavyolisema (au jinsi Beth Moore anavyolisema au kama Voddie Baucham.)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini chochote ufanyacho tafuta Shauku lako kisha na njia yako yakulisema na uiishie na ulifilie. Na utafanya utofauti unaodumu. Utakuwa kama mtume Paulo. Hakuna aliyekuwa na maono ya wazo moja kwa maisha yake zaidi ya Paulo au jinsi ya Paulo. Alilisema kwa njia tofauti tofauti.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Matendo ya Mitume 20:24: “Lakini sijahesabu maisha yangu kuwa kitu cha thamani kwangu kama kumaliza mwendo wangu na huduma ile niliyoipokea kwa Bwana Yesu, Kuishihudia Habari njema ya neema ya Mungu.&amp;quot;&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Jambo mmoja ilijalisha: Maliza kozi langu, kimbia mbio langu.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Wafilipi 3:7-8: &amp;quot;Lakini mambo yale yaliyokuwa faida kwangu naliyahesabu hasara kwa sababu ya Kristo. Naam, zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kwa ajili ya uzuri usio na kasi wa kumjua Kristo Yesu. Bwana wangu; ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nipate Kristo.&amp;quot;&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Nitawasaidiaje? Nitatumiwaje na Mungu wakati huu katika Siku moja ili kuamsha ndani yenu shauku moja kwa ajili ya kweli moja kuu ambayo itakuachilia na kukuweka huru kutoka kwa ndoto ndogo na kukutumia mpaka mwisho wa dahari?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jawabu nikifikiri ambalo Bwana alinipa ilikuwa: Wapeleke kwa kifungu kimoja cha maandiko ambacho ni karibu iwezekanavyo na kati jinsi uwezavyo kufikia na waonyeshe kwanini Paulo anasema pale kile asemacho.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kifungu hicho ni Wagalatia 6:14: “Lakini mimi hasha nisione fahari juu ya kitu chochote ila msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambao kwa huo ulimwengu umesulubishwwa kwangu, na mimi kwa ulimwengu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Au kuiweka kwa ubora: Onea fahari tu kwa msalaba wa Yesu Kristo. Ni wazo moja. Lengo moja. Shauku moja. Onea fahari msalaba tu. Neno linaweza kutafsiriwa kuwa, “Tukuka kwa” au “furahia kwa.” Tukuza tu kwa msalaba wa Kristo. Furahia tu kwa msalaba wa Kristo. Paulo anasemana ikawe Shauku lako la kipekee, ona fahari tu na furaha na kutukuza. Kwa wakati huuu mkuu uitwao SIKU MOJA acha hicho KITU KIMOJA ukipendacho kitu kimoja unacho dhamini, kitu kimoja unachokisherehekea na kutukuka kwa sababu yake uwe ni msalaba wa Yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ni ya kushtua kwa sababu mbili.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
1) Moja ni kwamba ni kama kusema: Onea fahari tu kiti kile cha umeme: Onea fahari chumba kile cha gesi ya kunyongea. Onea fahari kuchagua sindano ya sumu ya kjufisha. Kwamba na fahari yako na utukufu iwe ni kitanzi unachotiliwa. “Lakini mimi, hasha, nisione fahari juu ya kitu chochote ila msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo.” Hakuna aina ya kunyonywa ambao umebuniwa ambao ulikuwa wa uchungu kushinda kupigwa misumari msalabani. Ilikuwa ni jambo la kushtua. Hamungeweza kutazama—bila wewe kupiga kamsa na kuvuta nyele zako na kurarua mavazi yako. Hebu hii ikawe mojawapo ya shauku ya maisha yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
2) Hiyo ni kitu kimoja ambacho ni cha kushtua kuhusu maisha ya Paulo. Lingine ni kwamaba anasema ua hili ndilo liwe fahari pekee la maisha yako. Furaha ya pekee. Sifa ya pekee. “Mimi hasha nisione fahari juu ya kitu chochote, ila msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo.” Anamaanishaje? Kweli? Hapana fahari lingine? Hapana kusifika kwingine? Hapana furaha nyingine isipokuwa msalaba wa Yesu—kifo cvha Yesu? &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Je nini kuhusu sehemu zingine ambapo Paulo mwenyewe anatumia neno lile lile kwa “Kuona fahari” au “Kusifu (ka)” katika mambo mengine? Mfano:&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Warumi 5:2: “NA kufurahi katika tumaini la utukufu wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Warumi 5:3: “Wala si hivyo tu, ila na mfurahi katika dhiki pia; mkijua ya kuwa dhiki kazi yake ni kuleta saburi na kazi ya saburi ni kuleta uthabiti wa moyo na tumaini.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
2 Wakorintho 12:9: “Basi nitasifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
1 Wathesolanike 2:19: “Maana tumaini letu, au furaha yetu, au taji ya kujionea fahari, ni nini? Je! Si ninyi?” &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Kwa hivyo, kama Paulo anaweza kufurahia na kuona fahari katika mambo haya yote, Paulo basi anamaanisha nini—Kwamba asione “fahari, ila katika msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini maanake ni nini? Je, hiyo sio kukosa msimamo? Unafurahia kitu kimoja na kusema kuwa unafurahia kingine? La. Kuna sababu kubwa sana ya kusema hivi—kwamba, furaha yote, na kuona fahari kwote katika chochote kunastahili kuwa furaha kwa sababu ya msalaba wa Yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Anamanisha kwamba kwa Wakristo, kila fahari yoyote, inastahili kuwa fahari katika msalaba. Kujisifu kwote katika chochote kunastahili kujisifu katika msalaba w a Kristo. Ukifurahia matumaini ya utukufu unastahili kuwa unafurahia msalaba wa Kristo. Ukifurahia dhiki kwa sababu dhiki kazi yake ni kuleta tumaini, unastahili kujisifia msalaba wa Kristo. Ukifurahi kwa sababu ya udhaifu wako au kwa watu wa Mungu, unastahili kuwa unafurahia Msalaba wa Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa nini hii ndio hali? Kwa ajili hii: Kwa wenye dhambi waliokombolewa, kila chema—naam kila kiovu ambacho Mungu angeuza kuwa chema—Kilikombolewa kwetu sisi kupitia msalaba wa Kristo. Kando na kifo cha Kristo, wenye dhambi hawapati chochote bali hukumu. Kando na msalaba wake Kristo kuna hukumu tu. Basi kila kitu ambacho unafurahia katika Kristo—kama Mkristo kama mtu anayemwamini Kristo—una deni kwa kifo cha Kristo. Na kufurahi kwenu katika yote kunafaa basi kuwe kufurahia msalaba ambapo baraka zenu zote zilinunuliwa kwa gharama ya kifo cha Mwana wa Mungu, Yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu mojawapo kwanini sisi hatujajiekelea na kujihusisha kwa mambo ya Kristo zaidi na kujizamisha ndani ya Kristo jinsi tunavyostahili ni kwa sababu hatujagundua kuwa kila kitu—kila kitu chema na kila kitu kiovu ambacho Mungu anageuza kuwa chema kwa ajili ya wanawe waliokombolewa kulinunuliwa kwa kifo cha Kristo kwetu. Sisi kwa urahisi tu tunachukua maisha na pumzi na afya na marafiki na kila kitu kwa mzaha. Tunafikiria ni vyetu kwa haki lakini kweli ni kuwa sio haki yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sisi hatuistahili mara dufu.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Na ni nani aliyetununulia thawabu hizi? Yesu Kristo. Na alizununuaje? Kwa damu yake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kila baraka maishani imeundwa ili kuinuwa msalaba wa Kristo, au kusema kwa njia nyingine, kila kitu chema maishani kinastahili kuinua Kristo na akiwa amesulubishwa. Kwa hivyo, kwa mafano tulimaliza Dodge Spirit yetu ya miaka 1991 juma lililopita, lakini hakuna aliyeumia. Na katika salama hio ninafurahi. Ninatukuka kwa hio. Lakini kwa nini hakuna aliyeumia? Hio ilikuwa ni dhawabu kwangu na familia yangu. Kwamba hakuna aliye stahili. Sisi tu watenda dhambi na kwa asili wana wa ghadhabu bila Kristo. Hivi tulifikiaje kuwa na thawabu kama hii kwa ajili ya wema wetu? Jawabu: Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu msalabani na akatuondolea ghadhabu ya Mungu, na kutuhifadhi, hata ingawa hatukustahili, neema ya Mungu iliyo na uwezo wote ambayo inafanya yote kwa wema wetu. Kwa hivyo tunapofurahi kwa usalama wetu, tunafurahia msalaba wa Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na bima ilitulipa dola 2800 ya gari naye Noel alichukua pesa hizo na kuenda Iowa akanunua gari aina ya Chevy Lumina akaliendesha kwenda nyumbani kwenye theluji. Na sasa tuna gari tena. Nafurahia neema ya Mungu ya kushangaza kwa wingi vile. Hivyo tu unaharibu gari lako. Uondoke bila kuumia. Bima ilipie. Upate gari lingine. Na uendelee kana kwamba hapana lililotendeka. Kwa shukrani nainamisha kichwa changu na kufurahia rehema zilizofichika hata za vitu hivi vidogo vya asili. Rehema hizi zote zinatoka wapi? Kama wewe ni mtenda dhambi aliyeokolewa, anayeaamini Yesu, zinakuja kupitia msalabani. Mbali na msalaba, kunayo tu hukumu—uvumilivu na rehema kwa msimu, lakini kisha, ikitibuliwa, hayo yote rehema inaleta ongezeko la uzito wa hukumu. Basi kila dhawabu ni ile ya kununuliwa kwa damu. Na kila kuwa na fahari—kila furaha—ni kuwa na fahari kwa Msalaba.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ole wangu mimi nikufurahia baraka zozote isipokuwa tu furaha yangu ni furaha kwa Msalaba wa Yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Njia nyingine ya kusema hili ni kuwa muundo wa msalaba ni utukufu wa Kristo. Lengo la Mungu ya msalaba ni kuwa Kristo aheshimiwe Paulo anaposema katika Wagalatia 6:14, “Lakini mimi, hasha, nisione fahari kwa kitu chochote ila msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo,” Anasema kuwa mapenzi ya Mungu ni kwa amsalaba uinuliwe—kwamba Kristo aliyesulubiwa daima awe ndio fahari yetu na furaha na shangwe na sifa zetu—kwamba Kristo apate utukufu na shukran na heshima kwa kila chema maishani mwetu—na kila kiovu Mungu anachogeuza na kuwa chema.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini sasa hapa kwa swali: Kama ni lengo la Mungu kuwa kifo cha Kristo—jina, kule “Kusulubiwa Kriisto” kuheshimiwe na kutukuzwe kwa mambo yote basi je, itakuwaje Kristo akapate utukufu anayostahili? Jawabu ni kwamba watoto wa ujana na watu wazima lazima wafundishwe kwamba mambo haya ni vile. Au tuseme tofauti: Chanzo cha furaha kwa msalaba wa Kristo ni elimu kuhusu msalaba wa Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiyo ndio kazi yangu: kutafutia Yesu utukufu kwa kuwafundisha mambo haya. Kisha ndipo kazi yenu ni kutafuta uutukufu zaidi kwa Yesu kwa kuyatenda na kufundisha watu zaidi kuyahusu. Elimu kumhusu Yesu ni kwa kufurahia Yesu. Na tukitaka furaha isipatikane isipokuwa kwa msalaba, basi lazima tufuate elimu kuhusu msalaba—na chini ya msalaba.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Au huenda twafaa kusema, “kwenye msalaba.” Elimu kuhusu msalaba kwa furaha ya msalaba. Namaanisha nini?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hebu angalia mlango wa 14 uliosalia: “Lakini mimi, hasha nisione fahari cho chote ila msalaba wa Bwana Yesu ambao kwa huo ulimwengu umesababishwa kwangu, na mimi kwa ulimwengu.” Fahari kwa msalaba hutendeka wakati upo msalabani. Je, si hivyo inavyosema mlango wa 14? Ulimwengu umesulubishwa kwangu, nami nimesulubishwa kwa ulimwengu. Ulimwengu kwangu umekufa nami kwa ulimwengu nimekufa. Kwa nini? Kwa sababu nimesulubiwa. Tunajifunza kuona fahari kwa msalaba wa kufurahia msalaba wakati tukiwa msalabani.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa nini maana ya hayo? Yalitendeka lini? Je ulisulubiwa lini? Jibu li katika Wagalatia 2:20, “Nimesulubiwa na Kristo; Lakini ni hai; wala si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu; na uhai nilio nao sasa katika mwili, ninao katika imani ya mwana wa Mungu, ambaye alinipenda akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu.” Kristo alipokufa, tulikufa maana utukufu wa kifo cha Kristo ni kuwa alipokufa, wote wake wakafa pia ndani yake. Kifo hicho, alichotufilia sote, inakuwa kifo chetu tukiunganika na Kristo kwa imani. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini unasema, “Si nihai? Najihisi kwa hai.” Sawa hapa kuna haja ya elimu. Lazima tujifunze kilichotutendekea. Lazima tufundishwe mambo haya. Ndiposa Wagalatia 2:20 na 6:14 ziko kwenye Bibilia. Mungu anatufundisha kilichotutendekea, ili tuweze kufahamu wenyewe na tufahamu njia yake ya kutenda kazi nasi na kufurahi ndani yake na mwanaye na katika msalaba tunavyopaswa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivyo tunasoma Wagalatia 2:20 tena ili tuone hayo, Naam tu wafu na ndio tu hai. “Nimesulubiwa pamoja na Kristo [Hivyo mimi ni mfu, naye anaendelea]; Wala si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu [kwa nini? Kwa sababu nilikufa, kwamba, utu wangu wa kale wenye uasi, usio amini ulikufa, na kisha anaendelea]; na maisha ninayoishi sasa katika mwili &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivyo, ndio, ni hai, bali sio “mimi” wa kale yaani “mimi” aliyekufa] Naishi kwa imani ndani ya Mwana wa Mungu, aliyenipenda na kutoa uhai wake kwa ajili yangu. Ama tuseme “mimi” aishiye ni “mimi” mpya wa imani. Kiumbe kipya anaishi. Anayeamini anaishi. Utu wangu wa kale ulikufa msalabani na Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na ukiniuliza, “Wapi funguo za kuunganisha na kweli huu? Haya yatakuwaje yangu? Jibu limeonyeshwa katika maneno ya imani katika Wagalatia 2:20, “Na uhai nilio nao sasa katika mwili, ninao katika imani ya Mwana wa Mungu. Hiyo ndio unganisho. Mungu anakuunganisha na Mwanaye kwa imani. Na afanyapo vile kuna umoja na mwana wa Mungu kwamba sasa kifo chake kinafanyika kuwa kifo chako na uhai wake kuwa wako. Sasa beba hayo yote mpaka kwa Wagalatia 6:14, “Lakini mimi hasha, nisione fahari juu ya kitu cho chote ila msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambao kwa huo ulimwengu umesulubiwa kwangu, na mimi kwa ulimwengu. Usionee chochote fahari ila tu msalaba.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na sasa nawezaje kufikia kuwa kwamba ni wa kuvutiwa kabisa na msalaba—ili kwamba furaha yangu yote inaweza kufuatiwa na kurejea msalabani? Jibu: tambua kuwa Krsito alipokufa msalabani hata nawe ulikufa; Na ulipomwamini, kifo hicho kikaiathiri maisha yako. Paulo anasema, ni maisha yako kwa ulimwengu na cha ulimwengu kwako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Maanake: unapoweka imani yako yako kwa Kristo, ufungwa wako kwa ulimwengu nao unavunjika. Wewe ni kiwiliwili kwa ulimwengu na ulimwengu kwako vile vile kiwiliwili. Au kwa njia bora, kulingana na mlango wa 15, wewe ni “kiumbe kipya.” Wewe wa kale ni mfu. Wewe mpya uhai. Na wewe mpya ni wewe wa imani. Na imani inafurahia kisicho cha ulimwengu, bali Kristo, na sana sana Kristo aliyesulubiwa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni hivi ndivo unafanyika kuwa unavutiwa zaidi na msalaba. Kiwango cha kusema pamoja na Paulo, “Hasha sitaonea fahari chochote, isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo.” Ulimwengu sio tena hazina yangu. Sio tena chanzo cha maisha yangu na kutosheleka kwangu na furaha yangu. Ni Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini nini kuhusu usalama katika ajali ya gari? Nini kuhusu malipo ya bima? Si ulisema ulifurahia hayo? Si hayo ni ya ulimwengu? Kwa hivyo je, umefia ulimwengu?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yawezekana. Ninatumaini hivyo. Kwa sababu kufia ulimwengu haimaanishi kuondolea ulimwenguni. Na haimaanishi kutohisi mambo ya Ulimwengu. Mengine maovu mengine bora (Waraka wa kwanza na Yohana 2:15; 1 Timotheo 4:3). Maanake ni kwamba kila raha halali ulimwenguni inakuwa ushahidi wa pendo la Kristo ulionunuliwa kwa damu, na fursa ya kuonea, fahari msalaba. Tumekufia malipo ya bima kama pesa hizo hazitutoshelezi, lakini Kristo aliyesulubiwa, mpaji, anatosheleza mioyo yetu inapokimbia katika mwale wa baraka mpaka kwa chanzo chake msalabani, kisha ule uulimwengu wa baraka hizo umekufa, naye Krsito aliyesulubiwa ni vyote. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ndilo hilo lengo la elimu kwa furaha. Kwa msalaba. O naye Mungu akapate kututimizia kuota ndoto na kupanga na kufanya kazi na kupeana na kufundisha na kuishi kwa ajili ya utukufu wa Kristo naye amesulubiwa!&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kujivunia_tu_katika_msalaba</id>
		<title>Kujivunia tu katika msalaba</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kujivunia_tu_katika_msalaba"/>
				<updated>2017-03-30T20:07:48Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|Boasting Only in the Cross}}  &amp;lt;blockquote&amp;gt; Mungu apishie mbali nisije nikajivunia kitu chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa Yeye ulimwengu umes...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Boasting Only in the Cross}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Mungu apishie mbali nisije nikajivunia kitu chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa Yeye ulimwengu umesulibiwa kwangu, nami nimesulibiwa kwa ulimwengu&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Hauhitaji kujua mambo mengi kuhusu maisha yako ili kuwa na utofauti wa milele ulimwenguni lakini ni sharti uyajue machache makuu yenye maana, kisha uwe tayari kuyaishia na kuyafilia. Watu wanaosababisha utofauti wenye kudumu ulimwenguni sio wale walionakili mengi akilini, bali wale walionakiliwa na machache akilinii yenye ukuu. Ukitaka maisha yako iwe ya kuhesabika, ukitaka athari za kipekee ya mambo uyafanyayo yawe kama mawimbi kutoka mwisho hadi mwisho wa ulimwengu kwa miaka au jadi na jadi hadi milele yote, hauhitaji kuwa na uerevu wa hali ya juu; hauhitaji kuwa na umbo nzuri au mali; hauhitaji kuwa wa familia bora au shule bora. Unastahili kujua machacahe makuu, yenye ustawi, yasiyo badilika yenye uwazi, rahisi na yenye utukufu, kisha hayo yakutie moto.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini nafahamu kwamba sio kila mtu katika umati huu anataka maisha yako yawe yenye kusababisha utofauti. Kunao mamia kati yenu—hamjali kama mtasababisha utofauti wa kudumu kwa ajili ya kitu kikuu, mnataka tu watu wawapende. Kama watu wangewapenda tu, mungetosheka. Au kama tu mwaweza kuwa na kazi nzuri, mke mzuri na watoto kadhaa na gari nzuri na wikendi ndefu pamoja na marafiki wachache wema, ustaafu wa furaha kisha kifo cha haraka na isiyo na ugumu na pasipokuwepo jehanamu—ikiwa mungekuwa na hayo (lakini bila Mungu)—Mungalitosheleka. HIYO ni janga mpangoni.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Majuma matatu yaliyopita tulipata ujumbe kuwa Rubi Eliason na Laura Edwards waliuwawa Kameruni. Rubi alikuwa na umri uliozidi miaka 80. Akiwa pweke maisha yake yote, aliyatoa kikamilifu kwa ajili ya kitu kimoja kikuu: Kumjulisha miongoni mwa wasiofikiwa, walio masikini, na wagonjwa. Laura naye mjane, daktari wa matibabu aliyekaribia miaka 80 akihudumu pamoja na Ruby huko Kameruni. Breki zilikataa kushika, na hatimaye gari lao kuruka bonde na kuanguka, nao wakafa wawili palepale. Nami nikauliza watu wangu: Je, lile lilikuwa janga? Maisha mawili yenye msukumo mmoja kimaono, yakitumika bila kutambuliwa au kusifiwa kwa masikini wanaoangamia kwa utukufu wa Yesu Kristo—miaka ishirini baada ya karibu wenzao wote kiumri wa Marekani kustaafau na kutupa maisha yao kwa anasa kule Florida au New Mexico. La. Hio sio janga. Bali ni utukufu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nikueleze janga ni nini. Nitakusomea kutoka kwa Readers Digest (Feb 2000, ukurasa. 98) janga. “Bob na Penny . . . Walistaafu mapema kutoka ma kazini kwao kule kaskazini mashariki miaka mitano imepita mwanaume akiwa na miaka 59 na mwanamke 51. Sasa waliishi Punta Gorda, Florida ambako walisafiri katika chombo chao cha futi 30, kucheza softi boli na kukusanya magovu kwenye maji.” Ndoto ya amerika: Fikia mwisho wa maisha yako—maisha yako ile tu ya pekee—halafu kazi kuu yako ya mwisho kabla ya kutoa hesabu kwa muumba wako, ikawe “Nilikusanya magovu. Ona magovu yangu.” Hilo ni janga. Na watu leo wanatuma mabillioni ya madola kukushawishi ili ukumbatie ndoto hilo lenye janga. Nami Napata dakika arobaini ili kukusihi: Usishawishiwe Usitupe maisha yako. Ni mafupi zaidi na ya thamani. Nililelewa kwa nyumba ambayo babangu alijitolea kama mwinjilisti ili awaletee injili ya Yesu waliopotea. Alikuwa na maono moja ya kuteketeza: Kuhubiri injili. Kulikuwa na bango kwenye jikoni yetu kwa maisha yangu yote nikiendelea kua. Sasa liko katika sebule yetu. Nimekuwa nikiliangalia karibu kila siku kwa miaka 48. Inasema “Ni maisha moja tu, na karibuni itapita. Alichofanyiwa Kristo tu ndicho cha kudumu.” Niko hapa siku moja katika hali kama baba. Nina miaka 54. Ninao wana wa kiume wanne na binti mmoja, Karsten ni mwenye umri 27, Benjamin 24 Abraham 20, Barnabas 17 naye Tabitha ana miaka minne. Machache, kama yapo, yananijaza na tamaa zaidi hizi miezi na miaka kushinda tamaa kuwa wanangu ambao wamekuwa wakubwa wasiharibu maisha yao kwa ufanisi wenye janga.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivyo nawatazameni ninyi kama wana na mabinti na kuwaomba kama baba—huenda baba ambaye haukuwahi kuwa naye. Au baba ambaye hakuwahi kuwa na maono kwako kama jinsi nilivyo nayo kwako na Mungu vilevile. Au baba aliye na maono kwako, lakini yake yote ni kuhusu pesa na hadhi. Ninawatazamieni kama wana na mabinti na kuwaomba. Takeni maisha yenu yatoe hesabu kwa jambo kuu na la milele. Taka hili. Msinende maishani bila ya shauku.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu mojawapo ambayo imenisababisha kupenda maono ya Shauku 99 na Siku moja ni kwamba tangazo 268 ni kuhusu yote ambayo ni kusudi ya maisha yangu kwa wazi. Tangazo hili lina msingi wa Isaya 26:8— “Naam, katika njia ya hukumu zako sisi tumekungoja, Ee BWANA: Shauku ya nafsi zetu inaelekea; Jina lako na ukumbusho wako.” Hapa sio nafasi pekee, bali nafsi yenye shauku na tamaaa. Hapa sio tu tamaa ya kupendwa au softboli na makovu, hapa ni tamaa ya kitu kikuu cha kukosa kifani na cha kutosheleza zaidi ya kukosa kifani—Jina na utukufu wa Mungu— “Jina lako na sifa yako ndio tamaa ya nafsi zetu.” &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hili ndilo jambo ninaloishi kufahamu na pia ninakumbana nayo. Habari ya huduma maishani mwangu na Kanisa ninayohudumia: “Tupo—Nipo—ili kusambaza shauku kwa ajili ya utawala mkuu wa Mungu kwa vyote kwa ajili ya furaha ya watu wote.”&amp;lt;br&amp;gt; Sio lazima uliseme jinsi ninavyolisema. Sio lazima uliseme jinsi Louie Giglio anavyolisema (au jinsi Beth Moore anavyolisema au kama Voddie Baucham.)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini chochote ufanyacho tafuta Shauku lako kisha na njia yako yakulisema na uiishie na ulifilie. Na utafanya utofauti unaodumu. Utakuwa kama mtume Paulo. Hakuna aliyekuwa na maono ya wazo moja kwa maisha yake zaidi ya Paulo au jinsi ya Paulo. Alilisema kwa njia tofauti tofauti.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Matendo ya Mitume 20:24: “Lakini sijahesabu maisha yangu kuwa kitu cha thamani kwangu kama kumaliza mwendo wangu na huduma ile niliyoipokea kwa Bwana Yesu, Kuishihudia Habari njema ya neema ya Mungu.&amp;quot;&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Jambo mmoja ilijalisha: Maliza kozi langu, kimbia mbio langu.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Wafilipi 3:7-8: &amp;quot;Lakini mambo yale yaliyokuwa faida kwangu naliyahesabu hasara kwa sababu ya Kristo. Naam, zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara kwa ajili ya uzuri usio na kasi wa kumjua Kristo Yesu. Bwana wangu; ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nipate Kristo.&amp;quot;&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Nitawasaidiaje? Nitatumiwaje na Mungu wakati huu katika Siku moja ili kuamsha ndani yenu shauku moja kwa ajili ya kweli moja kuu ambayo itakuachilia na kukuweka huru kutoka kwa ndoto ndogo na kukutumia mpaka mwisho wa dahari?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jawabu nikifikiri ambalo Bwana alinipa ilikuwa: Wapeleke kwa kifungu kimoja cha maandiko ambacho ni karibu iwezekanavyo na kati jinsi uwezavyo kufikia na waonyeshe kwanini Paulo anasema pale kile asemacho.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kifungu hicho ni Wagalatia 6:14: “Lakini mimi hasha nisione fahari juu ya kitu chochote ila msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambao kwa huo ulimwengu umesulubishwwa kwangu, na mimi kwa ulimwengu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Au kuiweka kwa ubora: Onea fahari tu kwa msalaba wa Yesu Kristo. Ni wazo moja. Lengo moja. Shauku moja. Onea fahari msalaba tu. Neno linaweza kutafsiriwa kuwa, “Tukuka kwa” au “furahia kwa.” Tukuza tu kwa msalaba wa Kristo. Furahia tu kwa msalaba wa Kristo. Paulo anasemana ikawe Shauku lako la kipekee, ona fahari tu na furaha na kutukuza. Kwa wakati huuu mkuu uitwao SIKU MOJA acha hicho KITU KIMOJA ukipendacho kitu kimoja unacho dhamini, kitu kimoja unachokisherehekea na kutukuka kwa sababu yake uwe ni msalaba wa Yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hii ni ya kushtua kwa sababu mbili.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
1) Moja ni kwamba ni kama kusema: Onea fahari tu kiti kile cha umeme: Onea fahari chumba kile cha gesi ya kunyongea. Onea fahari kuchagua sindano ya sumu ya kjufisha. Kwamba na fahari yako na utukufu iwe ni kitanzi unachotiliwa. “Lakini mimi, hasha, nisione fahari juu ya kitu chochote ila msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo.” Hakuna aina ya kunyonywa ambao umebuniwa ambao ulikuwa wa uchungu kushinda kupigwa misumari msalabani. Ilikuwa ni jambo la kushtua. Hamungeweza kutazama—bila wewe kupiga kamsa na kuvuta nyele zako na kurarua mavazi yako. Hebu hii ikawe mojawapo ya shauku ya maisha yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
2) Hiyo ni kitu kimoja ambacho ni cha kushtua kuhusu maisha ya Paulo. Lingine ni kwamaba anasema ua hili ndilo liwe fahari pekee la maisha yako. Furaha ya pekee. Sifa ya pekee. “Mimi hasha nisione fahari juu ya kitu chochote, ila msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo.” Anamaanishaje? Kweli? Hapana fahari lingine? Hapana kusifika kwingine? Hapana furaha nyingine isipokuwa msalaba wa Yesu—kifo cvha Yesu? &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Je nini kuhusu sehemu zingine ambapo Paulo mwenyewe anatumia neno lile lile kwa “Kuona fahari” au “Kusifu (ka)” katika mambo mengine? Mfano:&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Warumi 5:2: “NA kufurahi katika tumaini la utukufu wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Warumi 5:3: “Wala si hivyo tu, ila na mfurahi katika dhiki pia; mkijua ya kuwa dhiki kazi yake ni kuleta saburi na kazi ya saburi ni kuleta uthabiti wa moyo na tumaini.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
2 Wakorintho 12:9: “Basi nitasifia udhaifu wangu kwa furaha nyingi.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
1 Wathesolanike 2:19: “Maana tumaini letu, au furaha yetu, au taji ya kujionea fahari, ni nini? Je! Si ninyi?” &lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Kwa hivyo, kama Paulo anaweza kufurahia na kuona fahari katika mambo haya yote, Paulo basi anamaanisha nini—Kwamba asione “fahari, ila katika msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini maanake ni nini? Je, hiyo sio kukosa msimamo? Unafurahia kitu kimoja na kusema kuwa unafurahia kingine? La. Kuna sababu kubwa sana ya kusema hivi—kwamba, furaha yote, na kuona fahari kwote katika chochote kunastahili kuwa furaha kwa sababu ya msalaba wa Yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Anamanisha kwamba kwa Wakristo, kila fahari yoyote, inastahili kuwa fahari katika msalaba. Kujisifu kwote katika chochote kunastahili kujisifu katika msalaba w a Kristo. Ukifurahia matumaini ya utukufu unastahili kuwa unafurahia msalaba wa Kristo. Ukifurahia dhiki kwa sababu dhiki kazi yake ni kuleta tumaini, unastahili kujisifia msalaba wa Kristo. Ukifurahi kwa sababu ya udhaifu wako au kwa watu wa Mungu, unastahili kuwa unafurahia Msalaba wa Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa nini hii ndio hali? Kwa ajili hii: Kwa wenye dhambi waliokombolewa, kila chema—naam kila kiovu ambacho Mungu angeuza kuwa chema—Kilikombolewa kwetu sisi kupitia msalaba wa Kristo. Kando na kifo cha Kristo, wenye dhambi hawapati chochote bali hukumu. Kando na msalaba wake Kristo kuna hukumu tu. Basi kila kitu ambacho unafurahia katika Kristo—kama Mkristo kama mtu anayemwamini Kristo—una deni kwa kifo cha Kristo. Na kufurahi kwenu katika yote kunafaa basi kuwe kufurahia msalaba ambapo baraka zenu zote zilinunuliwa kwa gharama ya kifo cha Mwana wa Mungu, Yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu mojawapo kwanini sisi hatujajiekelea na kujihusisha kwa mambo ya Kristo zaidi na kujizamisha ndani ya Kristo jinsi tunavyostahili ni kwa sababu hatujagundua kuwa kila kitu—kila kitu chema na kila kitu kiovu ambacho Mungu anageuza kuwa chema kwa ajili ya wanawe waliokombolewa kulinunuliwa kwa kifo cha Kristo kwetu. Sisi kwa urahisi tu tunachukua maisha na pumzi na afya na marafiki na kila kitu kwa mzaha. Tunafikiria ni vyetu kwa haki lakini kweli ni kuwa sio haki yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sisi hatuistahili mara dufu.&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Na ni nani aliyetununulia thawabu hizi? Yesu Kristo. Na alizununuaje? Kwa damu yake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kila baraka maishani imeundwa ili kuinuwa msalaba wa Kristo, au kusema kwa njia nyingine, kila kitu chema maishani kinastahili kuinua Kristo na akiwa amesulubishwa. Kwa hivyo, kwa mafano tulimaliza Dodge Spirit yetu ya miaka 1991 juma lililopita, lakini hakuna aliyeumia. Na katika salama hio ninafurahi. Ninatukuka kwa hio. Lakini kwa nini hakuna aliyeumia? Hio ilikuwa ni dhawabu kwangu na familia yangu. Kwamba hakuna aliye stahili. Sisi tu watenda dhambi na kwa asili wana wa ghadhabu bila Kristo. Hivi tulifikiaje kuwa na thawabu kama hii kwa ajili ya wema wetu? Jawabu: Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu msalabani na akatuondolea ghadhabu ya Mungu, na kutuhifadhi, hata ingawa hatukustahili, neema ya Mungu iliyo na uwezo wote ambayo inafanya yote kwa wema wetu. Kwa hivyo tunapofurahi kwa usalama wetu, tunafurahia msalaba wa Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na bima ilitulipa dola 2800 ya gari naye Noel alichukua pesa hizo na kuenda Iowa akanunua gari aina ya Chevy Lumina akaliendesha kwenda nyumbani kwenye theluji. Na sasa tuna gari tena. Nafurahia neema ya Mungu ya kushangaza kwa wingi vile. Hivyo tu unaharibu gari lako. Uondoke bila kuumia. Bima ilipie. Upate gari lingine. Na uendelee kana kwamba hapana lililotendeka. Kwa shukrani nainamisha kichwa changu na kufurahia rehema zilizofichika hata za vitu hivi vidogo vya asili. Rehema hizi zote zinatoka wapi? Kama wewe ni mtenda dhambi aliyeokolewa, anayeaamini Yesu, zinakuja kupitia msalabani. Mbali na msalaba, kunayo tu hukumu—uvumilivu na rehema kwa msimu, lakini kisha, ikitibuliwa, hayo yote rehema inaleta ongezeko la uzito wa hukumu. Basi kila dhawabu ni ile ya kununuliwa kwa damu. Na kila kuwa na fahari—kila furaha—ni kuwa na fahari kwa Msalaba.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ole wangu mimi nikufurahia baraka zozote isipokuwa tu furaha yangu ni furaha kwa Msalaba wa Yesu Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Njia nyingine ya kusema hili ni kuwa muundo wa msalaba ni utukufu wa Kristo. Lengo la Mungu ya msalaba ni kuwa Kristo aheshimiwe Paulo anaposema katika Wagalatia 6:14, “Lakini mimi, hasha, nisione fahari kwa kitu chochote ila msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo,” Anasema kuwa mapenzi ya Mungu ni kwa amsalaba uinuliwe—kwamba Kristo aliyesulubiwa daima awe ndio fahari yetu na furaha na shangwe na sifa zetu—kwamba Kristo apate utukufu na shukran na heshima kwa kila chema maishani mwetu—na kila kiovu Mungu anachogeuza na kuwa chema.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini sasa hapa kwa swali: Kama ni lengo la Mungu kuwa kifo cha Kristo—jina, kule “Kusulubiwa Kriisto” kuheshimiwe na kutukuzwe kwa mambo yote basi je, itakuwaje Kristo akapate utukufu anayostahili? Jawabu ni kwamba watoto wa ujana na watu wazima lazima wafundishwe kwamba mambo haya ni vile. Au tuseme tofauti: Chanzo cha furaha kwa msalaba wa Kristo ni elimu kuhusu msalaba wa Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hiyo ndio kazi yangu: kutafutia Yesu utukufu kwa kuwafundisha mambo haya. Kisha ndipo kazi yenu ni kutafuta uutukufu zaidi kwa Yesu kwa kuyatenda na kufundisha watu zaidi kuyahusu. Elimu kumhusu Yesu ni kwa kufurahia Yesu. Na tukitaka furaha isipatikane isipokuwa kwa msalaba, basi lazima tufuate elimu kuhusu msalaba—na chini ya msalaba.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Au huenda twafaa kusema, “kwenye msalaba.” Elimu kuhusu msalaba kwa furaha ya msalaba. Namaanisha nini?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hebu angalia mlango wa 14 uliosalia: “Lakini mimi, hasha nisione fahari cho chote ila msalaba wa Bwana Yesu ambao kwa huo ulimwengu umesababishwa kwangu, na mimi kwa ulimwengu.” Fahari kwa msalaba hutendeka wakati upo msalabani. Je, si hivyo inavyosema mlango wa 14? Ulimwengu umesulubishwa kwangu, nami nimesulubishwa kwa ulimwengu. Ulimwengu kwangu umekufa nami kwa ulimwengu nimekufa. Kwa nini? Kwa sababu nimesulubiwa. Tunajifunza kuona fahari kwa msalaba wa kufurahia msalaba wakati tukiwa msalabani.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa nini maana ya hayo? Yalitendeka lini? Je ulisulubiwa lini? Jibu li katika Wagalatia 2:20, “Nimesulubiwa na Kristo; Lakini ni hai; wala si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu; na uhai nilio nao sasa katika mwili, ninao katika imani ya mwana wa Mungu, ambaye alinipenda akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu.” Kristo alipokufa, tulikufa maana utukufu wa kifo cha Kristo ni kuwa alipokufa, wote wake wakafa pia ndani yake. Kifo hicho, alichotufilia sote, inakuwa kifo chetu tukiunganika na Kristo kwa imani. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini unasema, “Si nihai? Najihisi kwa hai.” Sawa hapa kuna haja ya elimu. Lazima tujifunze kilichotutendekea. Lazima tufundishwe mambo haya. Ndiposa Wagalatia 2:20 na 6:14 ziko kwenye Bibilia. Mungu anatufundisha kilichotutendekea, ili tuweze kufahamu wenyewe na tufahamu njia yake ya kutenda kazi nasi na kufurahi ndani yake na mwanaye na katika msalaba tunavyopaswa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivyo tunasoma Wagalatia 2:20 tena ili tuone hayo, Naam tu wafu na ndio tu hai. “Nimesulubiwa pamoja na Kristo [Hivyo mimi ni mfu, naye anaendelea]; Wala si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu [kwa nini? Kwa sababu nilikufa, kwamba, utu wangu wa kale wenye uasi, usio amini ulikufa, na kisha anaendelea]; na maisha ninayoishi sasa katika mwili &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivyo, ndio, ni hai, bali sio “mimi” wa kale yaani “mimi” aliyekufa] Naishi kwa imani ndani ya Mwana wa Mungu, aliyenipenda na kutoa uhai wake kwa ajili yangu. Ama tuseme “mimi” aishiye ni “mimi” mpya wa imani. Kiumbe kipya anaishi. Anayeamini anaishi. Utu wangu wa kale ulikufa msalabani na Yesu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na ukiniuliza, “Wapi funguo za kuunganisha na kweli huu? Haya yatakuwaje yangu? Jibu limeonyeshwa katika maneno ya imani katika Wagalatia 2:20, “Na uhai nilio nao sasa katika mwili, ninao katika imani ya Mwana wa Mungu. Hiyo ndio unganisho. Mungu anakuunganisha na Mwanaye kwa imani. Na afanyapo vile kuna umoja na mwana wa Mungu kwamba sasa kifo chake kinafanyika kuwa kifo chako na uhai wake kuwa wako. Sasa beba hayo yote mpaka kwa Wagalatia 6:14, “Lakini mimi hasha, nisione fahari juu ya kitu cho chote ila msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambao kwa huo ulimwengu umesulubiwa kwangu, na mimi kwa ulimwengu. Usionee chochote fahari ila tu msalaba.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na sasa nawezaje kufikia kuwa kwamba ni wa kuvutiwa kabisa na msalaba—ili kwamba furaha yangu yote inaweza kufuatiwa na kurejea msalabani? Jibu: tambua kuwa Krsito alipokufa msalabani hata nawe ulikufa; Na ulipomwamini, kifo hicho kikaiathiri maisha yako. Paulo anasema, ni maisha yako kwa ulimwengu na cha ulimwengu kwako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Maanake: unapoweka imani yako yako kwa Kristo, ufungwa wako kwa ulimwengu nao unavunjika. Wewe ni kiwiliwili kwa ulimwengu na ulimwengu kwako vile vile kiwiliwili. Au kwa njia bora, kulingana na mlango wa 15, wewe ni “kiumbe kipya.” Wewe wa kale ni mfu. Wewe mpya uhai. Na wewe mpya ni wewe wa imani. Na imani inafurahia kisicho cha ulimwengu, bali Kristo, na sana sana Kristo aliyesulubiwa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ni hivi ndivo unafanyika kuwa unavutiwa zaidi na msalaba. Kiwango cha kusema pamoja na Paulo, “Hasha sitaonea fahari chochote, isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo.” Ulimwengu sio tena hazina yangu. Sio tena chanzo cha maisha yangu na kutosheleka kwangu na furaha yangu. Ni Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lakini nini kuhusu usalama katika ajali ya gari? Nini kuhusu malipo ya bima? Si ulisema ulifurahia hayo? Si hayo ni ya ulimwengu? Kwa hivyo je, umefia ulimwengu?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yawezekana. Ninatumaini hivyo. Kwa sababu kufia ulimwengu haimaanishi kuondolea ulimwenguni. Na haimaanishi kutohisi mambo ya Ulimwengu. Mengine maovu mengine bora (Waraka wa kwanza na Yohana 2:15; 1 Timotheo 4:3). Maanake ni kwamba kila raha halali ulimwenguni inakuwa ushahidi wa pendo la Kristo ulionunuliwa kwa damu, na fursa ya kuonea, fahari msalaba. Tumekufia malipo ya bima kama pesa hizo hazitutoshelezi, lakini Kristo aliyesulubiwa, mpaji, anatosheleza mioyo yetu inapokimbia katika mwale wa baraka mpaka kwa chanzo chake msalabani, kisha ule uulimwengu wa baraka hizo umekufa, naye Krsito aliyesulubiwa ni vyote. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ndilo hilo lengo la elimu kwa furaha. Kwa msalaba. O naye Mungu akapate kututimizia kuota ndoto na kupanga na kufanya kazi na kupeana na kufundisha na kuishi kwa ajili ya utukufu wa Kristo naye amesulubiwa!&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kwa_Nini_Yesu_Aliwawa_na_Kufufuka_Tena%3F</id>
		<title>Kwa Nini Yesu Aliwawa na Kufufuka Tena?</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kwa_Nini_Yesu_Aliwawa_na_Kufufuka_Tena%3F"/>
				<updated>2017-03-10T20:39:55Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Kwa Nini Yesu Aliwawa na Kufufuka Tena?&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Why Was Jesus Put to Death and Raised Again?}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwa haki.” 23 Maneno haya, “Ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake, 24 bali kwa ajili yetu sisi pia, ambao Mungu atatupa haki, kwa ajili yetu tunaomwamini Yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu. 25 Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu, naye alifufuka kwa ajili yetu ili tuhesabiwe haki.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
==== Maswali Matatu za Wiki Ijayo ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapo awali nilipanga kuhubiri ujumbe mmoja katika haya mistari nne ndogo, 22-25. Lakini nilipotafakari zaidi, hata katika uhusiano na Jumapili ya ushirika, hasa katika mtazamo wa kuja kwa aina ya kilele katika mwisho wa sura hii, niliona ni vyema tu tumie Jumapili miwili katika nakala huu muhimu. Hivi ndivyo maswali ningependa kuuliza, moja leo na tatu Jumapili ijayo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
1) Kwa nini imani imehesabiwa kwa Abrahamu na sis kama haki? Ni nini maana ya &amp;quot;kwa sababu hiyo&amp;quot; katika mwanzo wa sungu la 22: &amp;quot;Hii ndio sababu, “ilihesabiwa [imani] kwake [Abrahamu] kuwa haki.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
2) Ni aina gani ya imani iliyohesabiwa kwa Abrahamu na sisi kama haki? Je, ilikuwa tendo ya kwanza ya imani wakati Mungu alimwongelesha [Abrahamu] mara ya kwanza na kumwambia kuondoka Uru wa Wakaldayo, au ni imani ya Mwanzo 15:6 wakati Mungu aliahidi kufanya vizazi wa Abrahamu kama nyota, au ni imani ya Mwanzo 17 wakati Mungu aliahidi [Abrahamu] mwana katika mwaka ujao licha ya umri wake na utasa wa Sara, au imani wa Mwanzo 22 wakati Abrahamu alitoa mwanawe Isaka? Je, tunafanyika wenye haki katika ufumbo wa kwanza kabisa ya imani au kwa maisha ya imani?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
3) Ni jinsi ipi Abrahamu [pamoja na sisi] anahesabiwa mwenye haki? Je, kuhesabu imani kama haki inamaanisha kuwa imani yenyewe ndio aina ya haki tufanyalo na ambao Mungu anaihesabu kama nzuri ya kutosha usahihi wa haki—ni kama kuhesabiwa haki ina gharimu dola milioni tano na ninaweza kuja na dola milioni moja, kwa hivyo Mungu kwa rehema husema atahesabu hiyo milioni moja kama milioni tano na kufuta hizo zingine? Au kuhesabiwa haki, kweli, ni kuwekwa kwangu haki ya Mungu mwenyewe katika Kristo, na kama hivyo, ina maana gani kusema kwamba imani inahesabiwa kama haki?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hayo yote ni ya wiki ijayo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ni Nani au Nini Tunapasa Kuamini ili Tuhesabiwe Haki? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lengo langu la wiki hii ni kuuliza: Ni nani au nini tunapasa kuamini ili tuhesabiwe haki? Hivyo tutaanzia katikati wa mstari 24. Mistari 23-14 husema kuwa sababu imeandikwa katika Mwanzo 15:6 kwamba imani ya Abrahamu ilihesabiwa haki ilikuwa kwa ajili yetu, si tu kwa ajili yake. &amp;quot;Hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake, bali kwa ajili yetu sisi pia.&amp;quot; Usikose hii. Huyu ni mtume wa Yesu Kristo anayetuambia kuwa Mungu alikuwa nasi katika fikira zake wakati alipo mwongoza Musa kuandika maneno &amp;quot;Ilihesabiwa kwake kuwa haki.&amp;quot; Mungu anataka uyachukuwe maneno haya kama yako binafsi. Anataka uyasome na usikie, na ujue kwamba anakuhutubia wewe mwenyewe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu anakuambia hivi sasa: &amp;quot;Imani itakuweka haki na mimi. Niamini. Nitahesabu imani yako kama haki. Je unamsikiza? &amp;quot;Niamini. Nitegemee. Itakuwa sawa. Nina haki kwa ajili yako. Hauna lolote kwa ajili yangu. Nina yangu kwa ajili yako. Niamini. Itahesabiwa kama haki yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kisha katikati wa mstari 24 yeye huanza kutuambia ni nani lazima tumwamini. &amp;quot; . . . Yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu. 25Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu, naye alifufuka kwa ajili yetu ili tuhesabiwe haki.&amp;quot; Huyu ndiye ambaye tuna imani ya kufanyiwa haki ndani mwake. Paulo anamtambulisha Mungu tunaye tumaini kwa yale [Mungu] aliyoyafanya. Hivyo anaposema, Imani inahesabika [na Mungu] kama haki,&amp;quot; na kusema hayo yaliandikiwa sisi tulio na imani, alafu anatuambia yale ambayo Mungu amefanya, tunahitajika kujifunza misingi na maudhui ya imani yetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi wacha tuijumuishe pamoja katika kauli tatu kuhusu Mungu. 1) Mungu ambaye tunamtumaini hufanya nguvu usizoweza kueleweka . 2) Mungu ambaye tunamtumaini hufanya ukombozi wa rehema. 3) Mungu ambaye tunamtumaini hufanya haki ya ushindi. Huu sura wote umekuwa juu ya njia [maana] ya kuhesabiwa haki, si msingi wa kuhesabiwa haki kwa imani. Lakini sasa, katika sentensi ya mwisho katika sura huu, Paulo anarudi kwenye msingi (ambapo alikuwa awali katika Warumi 3:24-26) wa kuhesabiwa haki kwa imani. Msingi wa kuhesabiwa haki ndio Mungu alifanya katika kazi ya Kristo katika historia. Njia ya kuhesabiwa haki ni vile tunaunganishwa na huo kazi kubwa kupitia imani. Zote ni muhimu mno ingawaje msingi ni muhimu zaidi ya yote.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
John Murray, ambayo yuko na Bwana sasa, lakini ambaye alikuwa mkufunzi katika Westminster Seminari, aliandika kitabu ndogo muhimu ambayo inaitwa Ukombozi: Yametimia na Kutumika [''Redemption: Accomplished and Applied'']. Nili isoma miaka 25 iliyopita. Natamani kila mtu aisome. Itaweka kitembwe ya nguvu katika mti wa imani wako. hayo maneno mawili, &amp;quot;yametimia na kutumika,&amp;quot; yana rejea kwa msingi na njia [maana] ambazo ninaongea kuhusu hapa. Ukombozi yametimia—huo ndio msingi wa yale ambaye Mungu alifanya katika Kristo; imekamilishwa, mbali na sisi na nje yetu. Ukombozi kutumiwa huo ndio Mungu hufanya kutuunganisha na kazi kubwa, na uliokamilika wa ukombozi—kitu yeye hufanya kwetu na ndani yetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo anamaliza sura huu na taarifa kali kuhusu ukamilifu wa ukombozi—asili, msingi wa sura nzima, ambayo imekuwa kuhusu utumiaji wa ukombozi katika imani. Yule tunayemwamini ndiye aliyetimiza ukombozi kwa ajili yetu hata kabla ya kuwepo kwetu. yeye ndiye tunayemwamini, tunayeweka tumaini yetu kwake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivyo huu ndo tutauangalia kwa ufupi: Yeye ndiye afanyaye nguvu tusizoweza kuelewa, ukombozi wa rehema na haki ya ushindi. Wacha tuziangalie moja kwa moja na kuzitazama katika maandishi na kupendezwa nazo katika akili na mioyo yetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1. Tunamwamini Yule Ambaye Hufanya Nguvu Tusizoweza Kuelewa  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Msitari wa 24b inasema kwamba “tunaomwamini Yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.” Sababu ya kuweka ufufuo wa Yesu mbeleni ni kwamba inaungana na nguvu ilitumiwa kuzalisha Isaka katika mstari 17. Tazama tena maneno haya: “ . . .ambaye [Abrahamu] alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na kuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.” Abrahamu alimwamini yule ambaye huwapa wafu uzima na kuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha kuwako. Kwa Abrahamu, lengo kuu ilikuwa katika ahadi ya Mungu kuzalisha Isaka wakati Abrahamu alikuwa na umri wa miaka 100 na mkewe akiwa tasa. Hii ilikuwa jambo lisilowezekana. Na hiyo ndiyo ilifanya imani ya Abrahamu iwe mfano. Mstari wa 19: &amp;quot;hakuwa dhaifu katika imani hata alipofikiri juu ya mwili wake, ambao ulikuwa kama uliokufa, kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia moja, au alipofikiiri juu ya ufu wa tumbo la Sara.&amp;quot;&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo sasa, Paulo asema, leo tunamtumaini huo mungu mmoja, na imani ambao Mungu amekubali kuwa haki ni imani katika Mungu mwenye kuwafufua wafu, yaani Bwana wetu Yesu Kristo. Ndiye tunaye amini, yeye aliyemfufua Bwana wetu Yesu kutoka wafu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ninaiita &amp;quot;nguvu isiyowezakueleweka,&amp;quot; si kwa sababu hamuwezi kuielewa, lakini ni kwa sababu tunakariabia mwisho wa karne ambayo imekuwa ikiendeshwa na filosofia ya kiulimwengu—maoni, au imani, ya kwamba hakuna ukweli ambayo si sehemu ya maumbile—imani kwamba hakuna ukweli kawaida. Wanasema haieleweki. Imani hii imeenea zaidi katika fomu ya mageuzi ya kiulimwengu—jitihada za kueleza asili ya mambo yote bila kuwa na imani katika Muumba asiyeonekana nje ya maumbile.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jambo nyingine ambayo imeenea katika karne hii ni usomaji wa historia kwa njia ya kimaumbile. Katika masomo ya Biblia, imanii hii ina uharibifu mno. Moja ya kauli maarufu wa imani hiyo ilitolewa na Rudolf Bultmann ambaye alisema, &amp;quot;Ukweli wa kihistoria ambayo inahusisha ufufuo kutoka kwa wafu haieleweki kamwe&amp;quot; (Imenukuliwa katika Carl F.H. Henry, God, Revelation, And Authority, Vol. IV [Wheaton: Crossway Books, 1999, orig. 1979], p. 333). Hapo ndipo nimetoa neno &amp;quot;haieleweki.&amp;quot;&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Imani ambayo Mungu anatuhesabia kama haki ni imani katika yule ambayo anafanya nguvu usioeleweka. Anafanya tu yale ambayo Bultmann alisema kwamba &amp;quot;haieleweki&amp;quot;—anafufua wafu. Anafanya mambo ambayo watu wanasema haiwezekani kufanyika. Alileta Isaka kutoka tumbo iliokufa la mwanamke wa miaka 90. Naye akamleta Kristo kutoka kaburini siku ya tatu na kumfanya Bwana wa ulimwengu. Hivyo Mungu anaweza kutimiza kila ahadi. Ndio maana tunamwamini.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2. Tunamwamini Anayefanya Ukombozi wa Rehema  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tazama sehemu ya kwanza ya mstari wa 25: &amp;quot;Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu.&amp;quot; Jambo la kuzingatia hapa ni kwamba kifo cha yule Mungu alimfufua ilikuwa katika mipango. Mungu hakunuia tu kuonyesha nguvu yake isioeleweka hivyo akampata tu mto mmoja aliyeuawa ili amfufue kutoka wafu. Mungu mwenyewe alipanga kifo hiki na pia kupanga sababu yake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Waweza kuona hili katika maneno mawili muhimu za mstariwa 25a: &amp;quot;(1) Alitolewa afe (2) kwa ajili ya dhambi zetu.&amp;quot; Yesu &amp;quot;alitolewa afe&amp;quot;—na nani? Na maaskari? Na Pilato? Na Herode? Na kundi ya Wayahudi? La, hatimaye, si yeyote kati yao maanake inasema alipeanwa afe &amp;quot;kwa ajilu ya dhambi zetu. &amp;quot;Maaskari na Pilato na Herode na Wayahudi hawakumpeana Yesu &amp;quot;kwa ajili ya dhambi zetu.&amp;quot;&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Matendo ya Mitume 2:23 inatupa jawabu wazi ambaye pia ni kweli: &amp;quot;Huyu mtu akiisha kutolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa kwa kujua kwake Mungu tangu zamani. &amp;quot; Mungu alimpa kwa kifo. Warumi 8:3 inasema, &amp;quot;Mungu alimtuma Mwanawe mwenyewe kwa mfano wa mwanadamu mwenye mwili ulio wa dhambi na kwa ajili ya dhambi.&amp;quot; Warumi 8:32 inasema, &amp;quot;. . . Mungu hakumhurumia Mwanawe, bali alimtoa kwa ajili yetu sote.&amp;quot; Hivy kifo cha Yesu Kristo ilikuwa katika mpango wa Mungu. Mungu alipanga kifo chake. Haakufa tu hivyo. Alipeanwa mikononi mwa kifo na Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na huo mpango ulikuwa na nia (msitari wa 25a): “kwa ajili ya dhambi zetu.” Mpango wa Mungu ilikuwa kukabiliana na uhalifu wetu. Alitaka kufanya kitu kuhusu uhalifu wetu. Nini? Alitaka kufa badala yetu ili tusije kufa kwa ajili ya uhalifu wetu. Na kifo ambacho kinge fanya hiyo ni kifo cha Mwanawe. Hivyo Warumi 8:23 inasema, &amp;quot;Mungu kamtuma Mwanawe mwenyewe kwa mfano wa mwanadamu mwenye mwili ulio wa dhambi na kwa ajili ya dhambi, Yeye aliihukumu dhambi katika mwili.&amp;quot; Hivyo uhalifu [dhambi] wetu hazifagiliwi chini ya mkeka, wala kupuuzwa. Zina hukumiwa. Zinasababisha unyongwaji.Lakini si kwetu, bali ni kwa kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa njia hii tunakombolewa kwa kifo cha Kristo. Yaani, tunaokolewa kutoka katika dhambi zetu. Tunaokolewa kutoka kwa adhabu ya jahannamu. Tumelipiwa fidia kutokana na hukumu ya Mungu. Na huu ukombozi wote hatukustahili. Tunastahili kufa na kwenda kuzimu na kuvumilia hukumu wa Mungu. Lakini huu ni ukombozi wa rehema. Huyu ndiye Mungu ambayo tunamwamini ili kufanyiwa haki—Mungu afanyaye ukombozi wa rehema. Alipanga kutuokoa kutoka kwa uhalifu wetu katika kifo cha Mwanawe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 3. Hatimaye, Tunamtumaini Yule Ambaye Hufanya Haki ya Ushindi  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunamtumaini Yule ambaye hufanya nguvu usioeleweka, ukombozi wa rehema na sasa haki ya ushindi. Nina maana gani kusema hivyo, na ninaipata wapi? Nimeipata kutoka katika sehemu ya mwisho wa msitari wa 25. Ni nani huyu Mungu tunayemwamini? Ni Yule aliyemfufua Yesu “kwa sababu ya kutufanyisha wenye haki.” Nitaichukua kama kumaanisha wakati yesu alikufia dhambi zetu, malipo kamili na za kutosha iliwekwa kwa msamaha wetu na hakikisho. Kwa hivyo, haingeuwa haki kumwacha Kristo Kaburini, kwa sababu alikwisha lipa dhambi zetu kwa ukamilifu. Ufufuo wa Yesu ilikuwa azimio kwamba yale aliyetimiza ilikuwa na mafanikio bila tashwishi, yaani, ya ununuzi wa kuhesabiwa haki kwetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Pengine tunaweza kusema hivi: Wakati Kristo alikufa na kumwaga damu yake kwa ajili ya uhalifu wetu alifanya upatanisho kwa ajili ya dhambi zilizomuua. Kwa vile dhambi hizo zimefunikwa na kulipwa, hakuna haja ya Kristo kubaki katika wafu. Kifo chake ilikuwa tu ya kulipia dhambi zetu. Hakuna kibali cha kifo kilichobaki baada ya Kristo kulipa dhambi zetu kwa kikamilifu. Ingekuwa dhuluma kubaki kaburini. Hangeisha kaburini, &amp;quot;haikuwezekana yeye kushikiliwa na nguvu za mauti&amp;quot; (Matendo ya Mitume 2:24).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo Mungu tunaye amini ndiyo yule afanyaye haki ya ushindi. Ufufuo wa Yesu ni ushindi maanake ina shinda kifo. Ni haki ya ushindi kwa sababu haki ilihitaji kuwa Yesu afufuke kutoka kwenye wafu. Alikuwa amelipia dhambi kamili, yaani dhambi zilizomsababishia maafa. Ikiwa dhambi zilizomeletea kifo—dhambi zetu—zililipiwa kabisa na kwa ukamilifu msalabani, basi sababu pekee ya kifo chake imepita. Tumekwisha hifadhiwa haki kamili (bado haija timizwa kupitia imani, lakini imehifadhiwa na kulipiwa). Hivyo ingekuwa maovu kama Kristo angebaki kwenye wafu. Ingekuwa adhabu bila sababu. Basi, ilikwa sawa na haki kuwa Mungu alimfufua kutoka wafu. Ilikuwa haki ya ushindi. (Tazama Waebrania 13:20).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ni Nani Ambaye Lazima Tumwamini Ili Kuhesabiwa Haki? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo ninafunga na swali nililouliza mwanzoni: Ni nani au nini tunapasa kuamini ili tuhesabiwe haki? Jawabi ni kwamba lazima tumwamini Mungu – 1) kwamba alifanya nguvu tusizoweza kuelewa kwa kumfufua Mwanawe kutoka kwenye wafu, 2) alifanya ukombozi wa rehema kwa kupanga kifo cha Mwanawe ili kutuokoa kutoka mautini, na 3) alifanya haki ya ushindi kwa kumfufua Yesu kutoka mautini kuonyesha kwamba msingi wa kuhesabiwa kwetu kuwa wenye haki ilitimizwa kwa kikamilifu kupitia kifo cha Mwanawe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo mwamini leo. Fungua roho yako na upokee utukufu wa ukombozi huu: nguvu usizoweza kueleweka, ukombozi wa rehema, haki ya ushindi. Amini haya na Mungu atahesabu imani yako kama haki. Utakuwa salama pamoja naye. Utakuwa na haki ambayo si wako mwenyewe na pia isiyo tingisika, mwamba wa milele wa kusimamia.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kwa_Nini_Yesu_Aliwawa_na_Kufufuka_Tena%3F</id>
		<title>Kwa Nini Yesu Aliwawa na Kufufuka Tena?</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kwa_Nini_Yesu_Aliwawa_na_Kufufuka_Tena%3F"/>
				<updated>2017-03-10T20:39:43Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|Why Was Jesus Put to Death and Raised Again?}}  &amp;lt;blockquote&amp;gt; Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwa haki.” 23 Maneno haya, “Ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakua...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Why Was Jesus Put to Death and Raised Again?}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwa haki.” 23 Maneno haya, “Ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake, 24 bali kwa ajili yetu sisi pia, ambao Mungu atatupa haki, kwa ajili yetu tunaomwamini Yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu. 25 Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu, naye alifufuka kwa ajili yetu ili tuhesabiwe haki.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
==== Maswali Matatu za Wiki Ijayo ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hapo awali nilipanga kuhubiri ujumbe mmoja katika haya mistari nne ndogo, 22-25. Lakini nilipotafakari zaidi, hata katika uhusiano na Jumapili ya ushirika, hasa katika mtazamo wa kuja kwa aina ya kilele katika mwisho wa sura hii, niliona ni vyema tu tumie Jumapili miwili katika nakala huu muhimu. Hivi ndivyo maswali ningependa kuuliza, moja leo na tatu Jumapili ijayo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
1) Kwa nini imani imehesabiwa kwa Abrahamu na sis kama haki? Ni nini maana ya &amp;quot;kwa sababu hiyo&amp;quot; katika mwanzo wa sungu la 22: &amp;quot;Hii ndio sababu, “ilihesabiwa [imani] kwake [Abrahamu] kuwa haki.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
2) Ni aina gani ya imani iliyohesabiwa kwa Abrahamu na sisi kama haki? Je, ilikuwa tendo ya kwanza ya imani wakati Mungu alimwongelesha [Abrahamu] mara ya kwanza na kumwambia kuondoka Uru wa Wakaldayo, au ni imani ya Mwanzo 15:6 wakati Mungu aliahidi kufanya vizazi wa Abrahamu kama nyota, au ni imani ya Mwanzo 17 wakati Mungu aliahidi [Abrahamu] mwana katika mwaka ujao licha ya umri wake na utasa wa Sara, au imani wa Mwanzo 22 wakati Abrahamu alitoa mwanawe Isaka? Je, tunafanyika wenye haki katika ufumbo wa kwanza kabisa ya imani au kwa maisha ya imani?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
3) Ni jinsi ipi Abrahamu [pamoja na sisi] anahesabiwa mwenye haki? Je, kuhesabu imani kama haki inamaanisha kuwa imani yenyewe ndio aina ya haki tufanyalo na ambao Mungu anaihesabu kama nzuri ya kutosha usahihi wa haki—ni kama kuhesabiwa haki ina gharimu dola milioni tano na ninaweza kuja na dola milioni moja, kwa hivyo Mungu kwa rehema husema atahesabu hiyo milioni moja kama milioni tano na kufuta hizo zingine? Au kuhesabiwa haki, kweli, ni kuwekwa kwangu haki ya Mungu mwenyewe katika Kristo, na kama hivyo, ina maana gani kusema kwamba imani inahesabiwa kama haki?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hayo yote ni ya wiki ijayo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ni Nani au Nini Tunapasa Kuamini ili Tuhesabiwe Haki? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Lengo langu la wiki hii ni kuuliza: Ni nani au nini tunapasa kuamini ili tuhesabiwe haki? Hivyo tutaanzia katikati wa mstari 24. Mistari 23-14 husema kuwa sababu imeandikwa katika Mwanzo 15:6 kwamba imani ya Abrahamu ilihesabiwa haki ilikuwa kwa ajili yetu, si tu kwa ajili yake. &amp;quot;Hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake, bali kwa ajili yetu sisi pia.&amp;quot; Usikose hii. Huyu ni mtume wa Yesu Kristo anayetuambia kuwa Mungu alikuwa nasi katika fikira zake wakati alipo mwongoza Musa kuandika maneno &amp;quot;Ilihesabiwa kwake kuwa haki.&amp;quot; Mungu anataka uyachukuwe maneno haya kama yako binafsi. Anataka uyasome na usikie, na ujue kwamba anakuhutubia wewe mwenyewe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mungu anakuambia hivi sasa: &amp;quot;Imani itakuweka haki na mimi. Niamini. Nitahesabu imani yako kama haki. Je unamsikiza? &amp;quot;Niamini. Nitegemee. Itakuwa sawa. Nina haki kwa ajili yako. Hauna lolote kwa ajili yangu. Nina yangu kwa ajili yako. Niamini. Itahesabiwa kama haki yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kisha katikati wa mstari 24 yeye huanza kutuambia ni nani lazima tumwamini. &amp;quot; . . . Yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu. 25Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu, naye alifufuka kwa ajili yetu ili tuhesabiwe haki.&amp;quot; Huyu ndiye ambaye tuna imani ya kufanyiwa haki ndani mwake. Paulo anamtambulisha Mungu tunaye tumaini kwa yale [Mungu] aliyoyafanya. Hivyo anaposema, Imani inahesabika [na Mungu] kama haki,&amp;quot; na kusema hayo yaliandikiwa sisi tulio na imani, alafu anatuambia yale ambayo Mungu amefanya, tunahitajika kujifunza misingi na maudhui ya imani yetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi wacha tuijumuishe pamoja katika kauli tatu kuhusu Mungu. 1) Mungu ambaye tunamtumaini hufanya nguvu usizoweza kueleweka . 2) Mungu ambaye tunamtumaini hufanya ukombozi wa rehema. 3) Mungu ambaye tunamtumaini hufanya haki ya ushindi. Huu sura wote umekuwa juu ya njia [maana] ya kuhesabiwa haki, si msingi wa kuhesabiwa haki kwa imani. Lakini sasa, katika sentensi ya mwisho katika sura huu, Paulo anarudi kwenye msingi (ambapo alikuwa awali katika Warumi 3:24-26) wa kuhesabiwa haki kwa imani. Msingi wa kuhesabiwa haki ndio Mungu alifanya katika kazi ya Kristo katika historia. Njia ya kuhesabiwa haki ni vile tunaunganishwa na huo kazi kubwa kupitia imani. Zote ni muhimu mno ingawaje msingi ni muhimu zaidi ya yote.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
John Murray, ambayo yuko na Bwana sasa, lakini ambaye alikuwa mkufunzi katika Westminster Seminari, aliandika kitabu ndogo muhimu ambayo inaitwa Ukombozi: Yametimia na Kutumika [''Redemption: Accomplished and Applied'']. Nili isoma miaka 25 iliyopita. Natamani kila mtu aisome. Itaweka kitembwe ya nguvu katika mti wa imani wako. hayo maneno mawili, &amp;quot;yametimia na kutumika,&amp;quot; yana rejea kwa msingi na njia [maana] ambazo ninaongea kuhusu hapa. Ukombozi yametimia—huo ndio msingi wa yale ambaye Mungu alifanya katika Kristo; imekamilishwa, mbali na sisi na nje yetu. Ukombozi kutumiwa huo ndio Mungu hufanya kutuunganisha na kazi kubwa, na uliokamilika wa ukombozi—kitu yeye hufanya kwetu na ndani yetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Paulo anamaliza sura huu na taarifa kali kuhusu ukamilifu wa ukombozi—asili, msingi wa sura nzima, ambayo imekuwa kuhusu utumiaji wa ukombozi katika imani. Yule tunayemwamini ndiye aliyetimiza ukombozi kwa ajili yetu hata kabla ya kuwepo kwetu. yeye ndiye tunayemwamini, tunayeweka tumaini yetu kwake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa hivyo huu ndo tutauangalia kwa ufupi: Yeye ndiye afanyaye nguvu tusizoweza kuelewa, ukombozi wa rehema na haki ya ushindi. Wacha tuziangalie moja kwa moja na kuzitazama katika maandishi na kupendezwa nazo katika akili na mioyo yetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 1. Tunamwamini Yule Ambaye Hufanya Nguvu Tusizoweza Kuelewa  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Msitari wa 24b inasema kwamba “tunaomwamini Yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.” Sababu ya kuweka ufufuo wa Yesu mbeleni ni kwamba inaungana na nguvu ilitumiwa kuzalisha Isaka katika mstari 17. Tazama tena maneno haya: “ . . .ambaye [Abrahamu] alimwamini, Mungu awapaye ahadi waliokufa na kuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.” Abrahamu alimwamini yule ambaye huwapa wafu uzima na kuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha kuwako. Kwa Abrahamu, lengo kuu ilikuwa katika ahadi ya Mungu kuzalisha Isaka wakati Abrahamu alikuwa na umri wa miaka 100 na mkewe akiwa tasa. Hii ilikuwa jambo lisilowezekana. Na hiyo ndiyo ilifanya imani ya Abrahamu iwe mfano. Mstari wa 19: &amp;quot;hakuwa dhaifu katika imani hata alipofikiri juu ya mwili wake, ambao ulikuwa kama uliokufa, kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia moja, au alipofikiiri juu ya ufu wa tumbo la Sara.&amp;quot;&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo sasa, Paulo asema, leo tunamtumaini huo mungu mmoja, na imani ambao Mungu amekubali kuwa haki ni imani katika Mungu mwenye kuwafufua wafu, yaani Bwana wetu Yesu Kristo. Ndiye tunaye amini, yeye aliyemfufua Bwana wetu Yesu kutoka wafu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ninaiita &amp;quot;nguvu isiyowezakueleweka,&amp;quot; si kwa sababu hamuwezi kuielewa, lakini ni kwa sababu tunakariabia mwisho wa karne ambayo imekuwa ikiendeshwa na filosofia ya kiulimwengu—maoni, au imani, ya kwamba hakuna ukweli ambayo si sehemu ya maumbile—imani kwamba hakuna ukweli kawaida. Wanasema haieleweki. Imani hii imeenea zaidi katika fomu ya mageuzi ya kiulimwengu—jitihada za kueleza asili ya mambo yote bila kuwa na imani katika Muumba asiyeonekana nje ya maumbile.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jambo nyingine ambayo imeenea katika karne hii ni usomaji wa historia kwa njia ya kimaumbile. Katika masomo ya Biblia, imanii hii ina uharibifu mno. Moja ya kauli maarufu wa imani hiyo ilitolewa na Rudolf Bultmann ambaye alisema, &amp;quot;Ukweli wa kihistoria ambayo inahusisha ufufuo kutoka kwa wafu haieleweki kamwe&amp;quot; (Imenukuliwa katika Carl F.H. Henry, God, Revelation, And Authority, Vol. IV [Wheaton: Crossway Books, 1999, orig. 1979], p. 333). Hapo ndipo nimetoa neno &amp;quot;haieleweki.&amp;quot;&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Imani ambayo Mungu anatuhesabia kama haki ni imani katika yule ambayo anafanya nguvu usioeleweka. Anafanya tu yale ambayo Bultmann alisema kwamba &amp;quot;haieleweki&amp;quot;—anafufua wafu. Anafanya mambo ambayo watu wanasema haiwezekani kufanyika. Alileta Isaka kutoka tumbo iliokufa la mwanamke wa miaka 90. Naye akamleta Kristo kutoka kaburini siku ya tatu na kumfanya Bwana wa ulimwengu. Hivyo Mungu anaweza kutimiza kila ahadi. Ndio maana tunamwamini.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 2. Tunamwamini Anayefanya Ukombozi wa Rehema  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tazama sehemu ya kwanza ya mstari wa 25: &amp;quot;Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu.&amp;quot; Jambo la kuzingatia hapa ni kwamba kifo cha yule Mungu alimfufua ilikuwa katika mipango. Mungu hakunuia tu kuonyesha nguvu yake isioeleweka hivyo akampata tu mto mmoja aliyeuawa ili amfufue kutoka wafu. Mungu mwenyewe alipanga kifo hiki na pia kupanga sababu yake.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Waweza kuona hili katika maneno mawili muhimu za mstariwa 25a: &amp;quot;(1) Alitolewa afe (2) kwa ajili ya dhambi zetu.&amp;quot; Yesu &amp;quot;alitolewa afe&amp;quot;—na nani? Na maaskari? Na Pilato? Na Herode? Na kundi ya Wayahudi? La, hatimaye, si yeyote kati yao maanake inasema alipeanwa afe &amp;quot;kwa ajilu ya dhambi zetu. &amp;quot;Maaskari na Pilato na Herode na Wayahudi hawakumpeana Yesu &amp;quot;kwa ajili ya dhambi zetu.&amp;quot;&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Matendo ya Mitume 2:23 inatupa jawabu wazi ambaye pia ni kweli: &amp;quot;Huyu mtu akiisha kutolewa kwa shauri la Mungu lililokusudiwa kwa kujua kwake Mungu tangu zamani. &amp;quot; Mungu alimpa kwa kifo. Warumi 8:3 inasema, &amp;quot;Mungu alimtuma Mwanawe mwenyewe kwa mfano wa mwanadamu mwenye mwili ulio wa dhambi na kwa ajili ya dhambi.&amp;quot; Warumi 8:32 inasema, &amp;quot;. . . Mungu hakumhurumia Mwanawe, bali alimtoa kwa ajili yetu sote.&amp;quot; Hivy kifo cha Yesu Kristo ilikuwa katika mpango wa Mungu. Mungu alipanga kifo chake. Haakufa tu hivyo. Alipeanwa mikononi mwa kifo na Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Na huo mpango ulikuwa na nia (msitari wa 25a): “kwa ajili ya dhambi zetu.” Mpango wa Mungu ilikuwa kukabiliana na uhalifu wetu. Alitaka kufanya kitu kuhusu uhalifu wetu. Nini? Alitaka kufa badala yetu ili tusije kufa kwa ajili ya uhalifu wetu. Na kifo ambacho kinge fanya hiyo ni kifo cha Mwanawe. Hivyo Warumi 8:23 inasema, &amp;quot;Mungu kamtuma Mwanawe mwenyewe kwa mfano wa mwanadamu mwenye mwili ulio wa dhambi na kwa ajili ya dhambi, Yeye aliihukumu dhambi katika mwili.&amp;quot; Hivyo uhalifu [dhambi] wetu hazifagiliwi chini ya mkeka, wala kupuuzwa. Zina hukumiwa. Zinasababisha unyongwaji.Lakini si kwetu, bali ni kwa kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa njia hii tunakombolewa kwa kifo cha Kristo. Yaani, tunaokolewa kutoka katika dhambi zetu. Tunaokolewa kutoka kwa adhabu ya jahannamu. Tumelipiwa fidia kutokana na hukumu ya Mungu. Na huu ukombozi wote hatukustahili. Tunastahili kufa na kwenda kuzimu na kuvumilia hukumu wa Mungu. Lakini huu ni ukombozi wa rehema. Huyu ndiye Mungu ambayo tunamwamini ili kufanyiwa haki—Mungu afanyaye ukombozi wa rehema. Alipanga kutuokoa kutoka kwa uhalifu wetu katika kifo cha Mwanawe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== 3. Hatimaye, Tunamtumaini Yule Ambaye Hufanya Haki ya Ushindi  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunamtumaini Yule ambaye hufanya nguvu usioeleweka, ukombozi wa rehema na sasa haki ya ushindi. Nina maana gani kusema hivyo, na ninaipata wapi? Nimeipata kutoka katika sehemu ya mwisho wa msitari wa 25. Ni nani huyu Mungu tunayemwamini? Ni Yule aliyemfufua Yesu “kwa sababu ya kutufanyisha wenye haki.” Nitaichukua kama kumaanisha wakati yesu alikufia dhambi zetu, malipo kamili na za kutosha iliwekwa kwa msamaha wetu na hakikisho. Kwa hivyo, haingeuwa haki kumwacha Kristo Kaburini, kwa sababu alikwisha lipa dhambi zetu kwa ukamilifu. Ufufuo wa Yesu ilikuwa azimio kwamba yale aliyetimiza ilikuwa na mafanikio bila tashwishi, yaani, ya ununuzi wa kuhesabiwa haki kwetu. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Pengine tunaweza kusema hivi: Wakati Kristo alikufa na kumwaga damu yake kwa ajili ya uhalifu wetu alifanya upatanisho kwa ajili ya dhambi zilizomuua. Kwa vile dhambi hizo zimefunikwa na kulipwa, hakuna haja ya Kristo kubaki katika wafu. Kifo chake ilikuwa tu ya kulipia dhambi zetu. Hakuna kibali cha kifo kilichobaki baada ya Kristo kulipa dhambi zetu kwa kikamilifu. Ingekuwa dhuluma kubaki kaburini. Hangeisha kaburini, &amp;quot;haikuwezekana yeye kushikiliwa na nguvu za mauti&amp;quot; (Matendo ya Mitume 2:24).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo Mungu tunaye amini ndiyo yule afanyaye haki ya ushindi. Ufufuo wa Yesu ni ushindi maanake ina shinda kifo. Ni haki ya ushindi kwa sababu haki ilihitaji kuwa Yesu afufuke kutoka kwenye wafu. Alikuwa amelipia dhambi kamili, yaani dhambi zilizomsababishia maafa. Ikiwa dhambi zilizomeletea kifo—dhambi zetu—zililipiwa kabisa na kwa ukamilifu msalabani, basi sababu pekee ya kifo chake imepita. Tumekwisha hifadhiwa haki kamili (bado haija timizwa kupitia imani, lakini imehifadhiwa na kulipiwa). Hivyo ingekuwa maovu kama Kristo angebaki kwenye wafu. Ingekuwa adhabu bila sababu. Basi, ilikwa sawa na haki kuwa Mungu alimfufua kutoka wafu. Ilikuwa haki ya ushindi. (Tazama Waebrania 13:20).&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ni Nani Ambaye Lazima Tumwamini Ili Kuhesabiwa Haki? ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo ninafunga na swali nililouliza mwanzoni: Ni nani au nini tunapasa kuamini ili tuhesabiwe haki? Jawabi ni kwamba lazima tumwamini Mungu – 1) kwamba alifanya nguvu tusizoweza kuelewa kwa kumfufua Mwanawe kutoka kwenye wafu, 2) alifanya ukombozi wa rehema kwa kupanga kifo cha Mwanawe ili kutuokoa kutoka mautini, na 3) alifanya haki ya ushindi kwa kumfufua Yesu kutoka mautini kuonyesha kwamba msingi wa kuhesabiwa kwetu kuwa wenye haki ilitimizwa kwa kikamilifu kupitia kifo cha Mwanawe.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hivyo mwamini leo. Fungua roho yako na upokee utukufu wa ukombozi huu: nguvu usizoweza kueleweka, ukombozi wa rehema, haki ya ushindi. Amini haya na Mungu atahesabu imani yako kama haki. Utakuwa salama pamoja naye. Utakuwa na haki ambayo si wako mwenyewe na pia isiyo tingisika, mwamba wa milele wa kusimamia.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Yafungue_macho_yangu_nipate_kuona</id>
		<title>Yafungue macho yangu nipate kuona</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Yafungue_macho_yangu_nipate_kuona"/>
				<updated>2017-01-19T20:55:34Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Yafungue macho yangu nipate kuona&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Open My Eyes That I May See}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Mtendee mema mtumishi wako, nami nitaishi, nitalitii neno lako. 18 Yafungue macho yangu nipate kuona mambo ya ajabu katika sheria yako. 19 Mimi ni mgeni duniani, usinifiche maagizo yako. 20 Nafsi yangu inalika kwa shauku kubwa juu ya sheria zako wakati wote. 21 Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa waendao mbali na amri zako. 22 Niondolee dharau na dhihaka, kwa kuwa ninazishika shuhuda zako. 23 Ingawa watawala huketi pamoja na kunisingizia, mtumishi wako atatafakari juu ya maagizo yako. 24 Shuhuda zako ni furaha yangu, nazo ni washauri wangu.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
==== Reli sambamba na njia za nafsi zetu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunapoanza mwaka wa 1998, lengo la mungu kwetu sisi ni tutayarishwe katika njia mbili ya gari la moshi ya kuelekea katika utukufu na upendo na huduma na mbingu. Njia hizi mbili ni maombi mbele cha kiti cha enzi cha Mungu na tafakari juu ya neno la Mungu. Wengine wenu wanaweza kumbuka nakala ya pili ya kitjitabu juu ya malengo yetu, “ The Spiritual Dynamics (Njia za kiroho)” inasema,&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Tunaungana na Mungu baba kupanua ukuu wa utukufu wake kupitia Bwana wetu Yesu Kristo, kupitia nguvu za Roho Mtakatifu, kwa kuthamini yale yaliyo ya Mungu, kupenda wote anaowapenda, kuombea makusudio yake yote , kutafakari neno lake lote, kudumishwa na neema yake yote.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Kuomba mbele ya kiti cha enzi cha Mungu na kutafakari Neno la Mungu ni kama reli sambamba linalowezesha gari la nafsi zetu kudumu katika njia itupelekayo kwa utukufu na mbingu. Inatupasa tufanye upya ari yetu ya kuomba na kutafakari juu ya Bilblia kuanzia mwanzoni mwa mwaka. Kila kitu kinazeeka, na kuisha, na kuwa dhaifu bila ya kutoamshwa tena na kufanywa upya na kurudishwa katika hali yake ya zamani. Basi katika wiki ya maombi ya kila mwaka tunatilia mkazo mambo haya makuu na yenye thamani kwa ajili ya kurudisha tena ari ya maombi na neno.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mambo matatu yakujifunza kutoka Zaburi 119:8 ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mwaka huu mambo mawili yanayozingira wiki wa maombi yanaota kutoka kwenye Zaburi 119:18. “Yafungue macho yangu nipate kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.” Mstari huu unajumulisha maombi na Neno, na inatupasa tuone vile, ndipo tuyaunganishe kwa njia hii katika maisha yetu na katika kanisa letu. Kuna mambo matatu tunayojifunza kutoka mstari huu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Kwanza, ni kwamba kuna mambo ya ajabu katika Neno la Mungu. “Yafungue macho yangu nipate kuona mambo ya ajabu katika sheria yako. “Neno Sheria” ni “Torah” na maana yake ni “agizo” ama “funzo” katika zaburi hii. Kuna mambo ya ajabu katika mafundisho ya Mungu kwetu sisi. Yamkini, ni ya ajabu mno ambapo ukiyaona, yanaweza kukubadilisha na kuinua utakatifu na upendo na malengo yako (2 Wakorintho 3:18). Ndilo sababu kusoma na kujua na kutafakari na kuweka akilini neno la Mungu linakuwa muhimu sana. &lt;br /&gt;
*Jambo la pili tunalojifunza katika mstari huu ni kuwa hakuna anayeweza kuona haya mambo ya ajabu pasipo usaidizi kutoka kwa Mungu. “Yafungue macho yangu nipate kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.” Mungu asipofungua macho yetu, hatuwezi kuyaona maajabu ya Neno.hatuwezi kuona urembo wa kiroho vile tulivyo. Tunaposoma biblia bila usaidizi kutoka kwa Mungu, utukufu wa Mungu katika mafundisho na matukio katika Biblia ni kama jua imulikayo usoni mwa kipofu. Sio eti kwamba huwezi kufasiri maana yake ya kawaida, lakini huwezi kuona ajabu, urembo, na utukufu wake kiasi cha kushawishi moyo wako. &lt;br /&gt;
*Ambacho kinatupeleka kwa jambo la tatu tunalojifunza katika mstari huu, nalo ni, lazima tuombe kwa Mungu kupokea mwangaza wake tunaposoma Biblia. “Yafungue macho yangu nipate kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.” Kwa kuwa hatuna uwezo wa kuona urembo wa kiroho na maajabu ya Mungu katika mafundisho na matukio ya Biblia bila mwangaza wa neema wa Mungu, tunastahili kumwomba. “Yafungue macho yangu.”  &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ukweli yenye hatua tatu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wiki ujao nina mpango ya kutilia mkazo mambo ya ajabu katika Neno la Mungu na jinsi ya kuyatia akilini mwetu na moyoni mwetu. Lakini leo nitatilia mkazo maombi. Nataka tuyaone hatua hizi tatu za dharura: Neno ni muhimu kwa kuishi maisha ya kuegemea Mungu ituelekezayo mbinguni na pia ina nguvu na maana duniani. Hatuwezi kuona jinsi Neno lilivyo bila usaidizi kutoka kwa Mungu. Basi inatupasa tuwe watu wa kuomba kila siku ili Mungu akafanye chochote awezayo kutia maajabu ya Neno moyoni mwetu na maishani mwetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha tukachukue hatua hizi tatu moja baada ya nyingine na tuzione vile zimethibitishwa na kuonyeshwa kwenye sehemu zingine za Biblia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1. Neno ni muhimu katika maisha ya utakatifu'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jambo la kwanza ni kwamba kuona Neno na kulijua na kuliweka ndani yetu ni muhimu katika maisha yetu ya utakatifu na upendo na nguvu kwa ajili ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tazama tena katika mstari 11, “Nimelificha Neno lako moyoni mwangu ili nisikutende dhambi.” Ni vipi basi tunaweza kuepuka dhambi maishani mwetu? Kwa kuficha Neno la Mungu moyoni mwetu. Ni wangapi wanaharibu maisha yao kwa kutotafakari na kupenda kutii Neno la Mungu? Je, unataka kuwa mtakatifu, yaani ,unataka nguvu ya kushinda dhambi na kuishi maisha ya kiungu na upendo wa dhabihu na kudumu kabisa katika njia ya Kristo? Basi shika njia. Mungu ametengeneza njia ya uungu na nguvu: na ni njia ya kuficha biblia moyoni mwetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Naisema kwa wakongwe na wazazi wa wachanga. Tafakari na ukariri na ulinde sheria na maonyo na ahadi za Mungu katika maandiko. La, sisemi kuwa ni rahisi, hasa ukiwa ume. Lakini vitu vinavyofaa kutendwa si rahisi kuvitenda. Kutengeneza vifaa vya mbao vinavyong’aa, kutunga shairi nzuri, kutunga wimbo mzuri, kutayarisha mlo mzuri ama kuandaa sherehe-hakuna ile ambayo ni rahisi. Lakini yafaa kufanywa. Je maisha mema ni muhimu na lafaa kufanywa?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Talitha ana umri wa miaka miwili sasa. Anaanza kujifunza aya za biblia moyoni mwake. Anjifunza pia aina tofauti ya maombi. Kwa nini? Haja gani kujitaabisha akichukua muda na jitihada ya kurudia rudia Biblia kwake? Ni rahisi sana-wakati atakuwa katika ujana nataka afuate njia za Mungu na kuwa msafi na takatifu na mwenye upendo na mnyenyekevu na mwenye huruma na hekima. Na Biblia inasema wazi, kama mchana, hii huja kwa kuficha Neno la Mungu moyoni mwako. “Nimeficha Neno lako moyoni mwangu ili nisikutende dhambi.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu analiweka hivi katika ombi lake kuu kwetu katika Yohana 17:17, “Uwatakase kwa ile kweli; Neno lako ndilo kweli.” “Takasa” ni Neno la Biblia ya kufanya mtu takatifu ama kiungu, kwa upendo ama msafi ama kuwa na utu wema ama kumakinika kiroho. Na mambo haya nayahitaji kwangu miye na kwa ajili ya watoto wangu na kwa ajili yako.Ni nini basi inafaa tufanye mwaka huu? Kama tumetakaswa kwa kweli, na Neno la Mungu ndilo kweli, tufanye nini basi?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Daktari anaposema, “Wewe ni mgonjwa sana na unaweza kufa kwa sababu ya ugonjwa wako, lakini ukimeza dawa hili, utapona na kuishi,” na ukatae kumeza dawa – unashughuli nyingi , madawa ni makubwa mno na vigumu kuyameza, unasahau – utabaki ukiwa mgonjwa na waweza kufa. Hivyo ndivyo ilivyokatika dhambi na kutokomaa kiroho. Ukipuuza yale Mungu anakuambia yatakutakasa na kukufanya ukomee na kuwa mwenye nguvu na mtakatifu, basi hutakomaa, na kuwa na nguvu na utakatifu. Kusoma, na kutafakari na kutia akilini na kutii Neno la Mungu ni njia iliyochaguliwa na Mungu ya kushinda dhambi na kuwa mjasiri, kiungu, mkomavu, mwenye upendo na mwenye hekima.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna mambo ya ajabu ya kuonekana katika Neno la Mungu ambayo yatakubadilisha sana ukiyaona na kuyaficha ndani mwako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2. Hatuwezi kuona bila usaidizi wa Mungu'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jambo la pili katika andiko hili ni kwamba hatuwezi kuyaona mambo haya ya ajabu katika Neno vile yalivyo bila usaidizi kutoka kwa Mungu&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu ni kwamba tumeanguka na kuwa wafisadi na kufa katika dhambi na hivyo basi tumefanyika vipofu, wapuuzi na wagumu. Paulo anaeleza juu yetu hivi katika Waefeso 4:18 – “Akili zetu zimetiwa giza, na tumetengwa mbali na uzima wa Mungu kwa sababu ya ujinga na ugumu wa mioyo yetu.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Huu hapa ni jinsi Musa alivyoandika kuhusu shida hii katika Kumbukumbu la Torati 29:2-4 , “Musa akawaita waisraeli wote akawaambia: macho yenu yameona yale yote BWANA aliyofanya kwa Mfalme farao huko misri … ishara zile za miujiza na maajabu makubwa [yaani, mambo ya ajabu]. Lakini hadi leo BWANA hajawapa akili ya kuelewa au macho yanayo ona au masikio yanayosikia” Tazama: Umeona ... lakini huwezi kuona bila kazi kuu ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hayo ndiyo mapito yetu. Sisi ni wenye dhambi na wafisadi na wagumu na wa kutoelewa na vipofu bila mwamsho, uisho, urahisi, unyenyekevu, usafi, na kurahisisha kazi ya Mungu maishani mwetu. Hatuwezi kuona uzuri wa ukweli wa roho bila mwangaza wa Mungu. Hatuwezi kuona maajabu na utukufu wa yale Neno linatufundisha bila Mungu kuyafungua macho ya mioyo yetu na kutupa ufahamu wa kiroho juu ya mambo haya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu ya kufundisha na kujua haya ni kutufanya kuwa na shauku na njaa ya kujua Mungu na kutufanya kusihi na kulilia Mungu atupe usaidizi wake wa kusoma Biblia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
(Juu ya jambo la pili angalia pia Mathayo 16:17 na pia 11:4, na Luka 24:45&amp;amp;nbsp;; 1 Wakorintho 2:14-16; Yohana 3:6-8; Warumi 8:5-8)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3. Inatupasa tuombe ili Mungu atusaidie tukaone'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Inatuelekeza kwa jambo la mwisho: ikiwa kujua na kuficha ukweli wa Neno la Mungu moyoni ni muhimu katika kuwa takatifu na kupenda na kukomaa na kuelekeza mbinguni, na kama sisi kwa kawaida hatuwezi kuona maajabu ya Neno la Mungu na kuhisi mvuto wa utakatifu wake,basi tuko katika hali mbaya na tunahitaji kuomba Mungu ili atusaidie kuona. “Yafungue macho yangu kupata kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa maneno mengine, maombi ni muhimu katika maisha ya mkristo, kwa sababu ndiyo ufunguo wa kufungua nguvu za Neno maishani mwetu. Utukufu wa Neno la Mungu ni kama jua unaoangaza machoni mwa kipofu Mungu asipofungua macho yetu kwa utukufu huo.Tusipoona utukufu, hatutabadilika ( 2 Wakorinth3:18&amp;amp;nbsp;; Yohana 17:17 ), na tusipogeuzwa, sisi sio Wakristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Katika Waefeso 1:18 , Paulo aomba kwa njia hii. Anasema, “Ninaomba pia kwamba macho ya mioyo yenu yatiwe nuru ili mpate kujua tumaini mliloitiwa …” Kwa maneno mengine, “Nimewafundisha mambo haya na mmeyapokea kwa ufahamu wenu wa nje, lakini iwapo tu mtatambua utukufu kupitia ufahamu wenu wa kiroho (“macho ya mioyo yenu”) hamtabadilika. (Tazama pia Waefeso 3:14-19&amp;amp;nbsp;; Wakolosai 1:9 na pia 3:16). Hawa ni Wakristo ambao anawaandikia, ambayo inatuonyesha kuwa yafaa tuendelee kuomba hadi tufike mbinguni ili mioyo ya kiroho yapate kuona.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Aina saba ya maombi ya kuloweza kusoma Biblia kwetu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa kuwa ujumbe wetu ni Zaburi 119:18 ,“Yafungue macho yangu kupata kuona mambo ya ajabu katika sheria Yako.” Turuhusu mwombaji huyu kutuonyesha vile anaomba kwa kawaida kuhusu kusoma kwake Neno la Mungu. Basi wacha nifunge kwa safari ndogo ya zaburi 119, na nikuonyeshe aina saba ya maombi ambayo unaweza kuloweza Biblia yako unapousoma mwaka huu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yafaa tuombe …&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
#Kuwa Mungu atatufunza Neno lake. Zaburi 119:12b, “Nifundishe amri zako” (Tazama pia mstari 33,64b, 66, 68b, 135). Masomo ya kweli la Neno la Mungu inawezakana tu kama Mungu mwenyewe anakuwa mwalimu ndani na pia kupitia njia zingineza mafundisho. &lt;br /&gt;
#Kuwa Mungu hataficha maagizo yake kwetu sisi. Zaburi 119:19b , “Usinifiche maagizo yako.” Biblia inaonya kuhusu njaa ya kusikia maneno ya BWANA (Amos 8:11). (Tazama pia mstari 43). &lt;br /&gt;
#Kuwa Mungu atatufanya kuelewa Neno lake. Zaburi 119:27 , “Nieleweshe mafundisho ya mausia yako” (mistari 34,73b, 144b, 169). Hapa tunauliza Mungu kutuelewesha – kufanya yale awezavyo kutuwezesha kuelewa Neno lake. &lt;br /&gt;
#Kuwa Mungu atageuza mioyo yetu kwa Neno lake. Zaburi 119:36, “Ugeuze moyo wangu kuelekea sheria zako, na sio kwenye mambo ya ubinafsi.” Shida tuliyo nayo sio sababu zetu, lakini uwezo wetu – tumeguzwa vibaya na hali ya maumbile, kusoma, kutafakari na kutia akilini Neno lake. Basi ni lazima tuombe ili Mungu ageuze uwezo wetu. &lt;br /&gt;
#Kuwa Mungu atatupa uhai wa kuhifadhi Neno lake. Zaburi 119:88. “Yahifadhi maisha yangu sawasawa na upendo wako, nami nitatii sheria ya kinywa chako.” Anajua kuwa tunahitaji uhai na nguvu ya kujipa kwa Neno na utiifu wake. Basi anauliza Mungu kumpa mahitaji yake muhimu. (Tazama pia mstari 154b) &lt;br /&gt;
#Kuwa Mungu ataongoza hatua zetu katika Neno lake. Zaburi 119:133 , “Ongoza hatua zangu kulingana na Neno lako.” Tunategemea Mungu sio tu kwa kuelewa na uhai, bali pia kwa utendaji wa Neno. Kuwa litaongoza katika maisha yetu. Hatuwezi kufanya haya pekee yetu. &lt;br /&gt;
#Kuwa Mungu atatutafuta tunapotangatanga kutoka kwa Neno lake. Zaburi 119:176 , “Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea. Mtafute; mtumishi wako.” Ni ajabu kuwa huyu mtumishi wa Mungu anatamatisha zaburi kwa kukiri dhambi na haja ya Mungu kumtafuta na kumrudisha. Hivi kwetu inafaa tuombee tena na tena. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Neno, hazina yetu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Natamatisha kuwa tunapoingia katika mwaka wa 1998 na kuwa na shauku ya kuwa takatifu na kupenda na kudumu katika njia za Mungu katika mji na mataifa, lazima tuwe watu wa kuficha Neno la Mungu moyoni mwetu, lakini zaidi – watu wanaojua juu ya hali yetu ya kuhitaji isipokuwa Mungu na kuwa ameteua maombi kama njia ya macho yetu kufunguliwa ili tuone maajabu katika Neno na kubadilishwa. “Yafungue macho yangu kupata kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Alikuwa na juhudi ya kiwango gani katika aina hizi za maombi? Inatupasa tuwe na juhudi gani? Jibu mmoja limepeanwa katika Zaburi 119:147 , “Ninaamka asubuhi na mapema na kukuomba msaada, nimeweka tumaini langu katika Neno lako.” Anaamka asubuhi na mapema! Ni jukumu kuu. Unaweza kulifanya liwe hilo?&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Yafungue_macho_yangu_nipate_kuona</id>
		<title>Yafungue macho yangu nipate kuona</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Yafungue_macho_yangu_nipate_kuona"/>
				<updated>2017-01-19T20:55:04Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Created page with '{{info|Open My Eyes That I May See}}  &amp;lt;blockquote&amp;gt; Mtendee mema mtumishi wako, nami nitaishi, nitalitii neno lako. 18 Yafungue macho yangu nipate kuona mambo ya ajabu katika sher...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Open My Eyes That I May See}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Mtendee mema mtumishi wako, nami nitaishi, nitalitii neno lako. 18 Yafungue macho yangu nipate kuona mambo ya ajabu katika sheria yako. 19 Mimi ni mgeni duniani, usinifiche maagizo yako. 20 Nafsi yangu inalika kwa shauku kubwa juu ya sheria zako wakati wote. 21 Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa waendao mbali na amri zako. 22 Niondolee dharau na dhihaka, kwa kuwa ninazishika shuhuda zako. 23 Ingawa watawala huketi pamoja na kunisingizia, mtumishi wako atatafakari juu ya maagizo yako. 24 Shuhuda zako ni furaha yangu, nazo ni washauri wangu.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
==== Reli sambamba na njia za nafsi zetu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tunapoanza mwaka wa 1998, lengo la mungu kwetu sisi ni tutayarishwe katika njia mbili ya gari la moshi ya kuelekea katika utukufu na upendo na huduma na mbingu. Njia hizi mbili ni maombi mbele cha kiti cha enzi cha Mungu na tafakari juu ya neno la Mungu. Wengine wenu wanaweza kumbuka nakala ya pili ya kitjitabu juu ya malengo yetu, “ The Spiritual Dynamics (Njia za kiroho)” inasema,&lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Tunaungana na Mungu baba kupanua ukuu wa utukufu wake kupitia Bwana wetu Yesu Kristo, kupitia nguvu za Roho Mtakatifu, kwa kuthamini yale yaliyo ya Mungu, kupenda wote anaowapenda, kuombea makusudio yake yote , kutafakari neno lake lote, kudumishwa na neema yake yote.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Kuomba mbele ya kiti cha enzi cha Mungu na kutafakari Neno la Mungu ni kama reli sambamba linalowezesha gari la nafsi zetu kudumu katika njia itupelekayo kwa utukufu na mbingu. Inatupasa tufanye upya ari yetu ya kuomba na kutafakari juu ya Bilblia kuanzia mwanzoni mwa mwaka. Kila kitu kinazeeka, na kuisha, na kuwa dhaifu bila ya kutoamshwa tena na kufanywa upya na kurudishwa katika hali yake ya zamani. Basi katika wiki ya maombi ya kila mwaka tunatilia mkazo mambo haya makuu na yenye thamani kwa ajili ya kurudisha tena ari ya maombi na neno.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mambo matatu yakujifunza kutoka Zaburi 119:8 ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mwaka huu mambo mawili yanayozingira wiki wa maombi yanaota kutoka kwenye Zaburi 119:18. “Yafungue macho yangu nipate kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.” Mstari huu unajumulisha maombi na Neno, na inatupasa tuone vile, ndipo tuyaunganishe kwa njia hii katika maisha yetu na katika kanisa letu. Kuna mambo matatu tunayojifunza kutoka mstari huu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
*Kwanza, ni kwamba kuna mambo ya ajabu katika Neno la Mungu. “Yafungue macho yangu nipate kuona mambo ya ajabu katika sheria yako. “Neno Sheria” ni “Torah” na maana yake ni “agizo” ama “funzo” katika zaburi hii. Kuna mambo ya ajabu katika mafundisho ya Mungu kwetu sisi. Yamkini, ni ya ajabu mno ambapo ukiyaona, yanaweza kukubadilisha na kuinua utakatifu na upendo na malengo yako (2 Wakorintho 3:18). Ndilo sababu kusoma na kujua na kutafakari na kuweka akilini neno la Mungu linakuwa muhimu sana. &lt;br /&gt;
*Jambo la pili tunalojifunza katika mstari huu ni kuwa hakuna anayeweza kuona haya mambo ya ajabu pasipo usaidizi kutoka kwa Mungu. “Yafungue macho yangu nipate kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.” Mungu asipofungua macho yetu, hatuwezi kuyaona maajabu ya Neno.hatuwezi kuona urembo wa kiroho vile tulivyo. Tunaposoma biblia bila usaidizi kutoka kwa Mungu, utukufu wa Mungu katika mafundisho na matukio katika Biblia ni kama jua imulikayo usoni mwa kipofu. Sio eti kwamba huwezi kufasiri maana yake ya kawaida, lakini huwezi kuona ajabu, urembo, na utukufu wake kiasi cha kushawishi moyo wako. &lt;br /&gt;
*Ambacho kinatupeleka kwa jambo la tatu tunalojifunza katika mstari huu, nalo ni, lazima tuombe kwa Mungu kupokea mwangaza wake tunaposoma Biblia. “Yafungue macho yangu nipate kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.” Kwa kuwa hatuna uwezo wa kuona urembo wa kiroho na maajabu ya Mungu katika mafundisho na matukio ya Biblia bila mwangaza wa neema wa Mungu, tunastahili kumwomba. “Yafungue macho yangu.”  &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Ukweli yenye hatua tatu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wiki ujao nina mpango ya kutilia mkazo mambo ya ajabu katika Neno la Mungu na jinsi ya kuyatia akilini mwetu na moyoni mwetu. Lakini leo nitatilia mkazo maombi. Nataka tuyaone hatua hizi tatu za dharura: Neno ni muhimu kwa kuishi maisha ya kuegemea Mungu ituelekezayo mbinguni na pia ina nguvu na maana duniani. Hatuwezi kuona jinsi Neno lilivyo bila usaidizi kutoka kwa Mungu. Basi inatupasa tuwe watu wa kuomba kila siku ili Mungu akafanye chochote awezayo kutia maajabu ya Neno moyoni mwetu na maishani mwetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wacha tukachukue hatua hizi tatu moja baada ya nyingine na tuzione vile zimethibitishwa na kuonyeshwa kwenye sehemu zingine za Biblia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1. Neno ni muhimu katika maisha ya utakatifu'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jambo la kwanza ni kwamba kuona Neno na kulijua na kuliweka ndani yetu ni muhimu katika maisha yetu ya utakatifu na upendo na nguvu kwa ajili ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tazama tena katika mstari 11, “Nimelificha Neno lako moyoni mwangu ili nisikutende dhambi.” Ni vipi basi tunaweza kuepuka dhambi maishani mwetu? Kwa kuficha Neno la Mungu moyoni mwetu. Ni wangapi wanaharibu maisha yao kwa kutotafakari na kupenda kutii Neno la Mungu? Je, unataka kuwa mtakatifu, yaani ,unataka nguvu ya kushinda dhambi na kuishi maisha ya kiungu na upendo wa dhabihu na kudumu kabisa katika njia ya Kristo? Basi shika njia. Mungu ametengeneza njia ya uungu na nguvu: na ni njia ya kuficha biblia moyoni mwetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Naisema kwa wakongwe na wazazi wa wachanga. Tafakari na ukariri na ulinde sheria na maonyo na ahadi za Mungu katika maandiko. La, sisemi kuwa ni rahisi, hasa ukiwa ume. Lakini vitu vinavyofaa kutendwa si rahisi kuvitenda. Kutengeneza vifaa vya mbao vinavyong’aa, kutunga shairi nzuri, kutunga wimbo mzuri, kutayarisha mlo mzuri ama kuandaa sherehe-hakuna ile ambayo ni rahisi. Lakini yafaa kufanywa. Je maisha mema ni muhimu na lafaa kufanywa?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Talitha ana umri wa miaka miwili sasa. Anaanza kujifunza aya za biblia moyoni mwake. Anjifunza pia aina tofauti ya maombi. Kwa nini? Haja gani kujitaabisha akichukua muda na jitihada ya kurudia rudia Biblia kwake? Ni rahisi sana-wakati atakuwa katika ujana nataka afuate njia za Mungu na kuwa msafi na takatifu na mwenye upendo na mnyenyekevu na mwenye huruma na hekima. Na Biblia inasema wazi, kama mchana, hii huja kwa kuficha Neno la Mungu moyoni mwako. “Nimeficha Neno lako moyoni mwangu ili nisikutende dhambi.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yesu analiweka hivi katika ombi lake kuu kwetu katika Yohana 17:17, “Uwatakase kwa ile kweli; Neno lako ndilo kweli.” “Takasa” ni Neno la Biblia ya kufanya mtu takatifu ama kiungu, kwa upendo ama msafi ama kuwa na utu wema ama kumakinika kiroho. Na mambo haya nayahitaji kwangu miye na kwa ajili ya watoto wangu na kwa ajili yako.Ni nini basi inafaa tufanye mwaka huu? Kama tumetakaswa kwa kweli, na Neno la Mungu ndilo kweli, tufanye nini basi?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Daktari anaposema, “Wewe ni mgonjwa sana na unaweza kufa kwa sababu ya ugonjwa wako, lakini ukimeza dawa hili, utapona na kuishi,” na ukatae kumeza dawa – unashughuli nyingi , madawa ni makubwa mno na vigumu kuyameza, unasahau – utabaki ukiwa mgonjwa na waweza kufa. Hivyo ndivyo ilivyokatika dhambi na kutokomaa kiroho. Ukipuuza yale Mungu anakuambia yatakutakasa na kukufanya ukomee na kuwa mwenye nguvu na mtakatifu, basi hutakomaa, na kuwa na nguvu na utakatifu. Kusoma, na kutafakari na kutia akilini na kutii Neno la Mungu ni njia iliyochaguliwa na Mungu ya kushinda dhambi na kuwa mjasiri, kiungu, mkomavu, mwenye upendo na mwenye hekima.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna mambo ya ajabu ya kuonekana katika Neno la Mungu ambayo yatakubadilisha sana ukiyaona na kuyaficha ndani mwako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2. Hatuwezi kuona bila usaidizi wa Mungu'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jambo la pili katika andiko hili ni kwamba hatuwezi kuyaona mambo haya ya ajabu katika Neno vile yalivyo bila usaidizi kutoka kwa Mungu&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu ni kwamba tumeanguka na kuwa wafisadi na kufa katika dhambi na hivyo basi tumefanyika vipofu, wapuuzi na wagumu. Paulo anaeleza juu yetu hivi katika Waefeso 4:18 – “Akili zetu zimetiwa giza, na tumetengwa mbali na uzima wa Mungu kwa sababu ya ujinga na ugumu wa mioyo yetu.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Huu hapa ni jinsi Musa alivyoandika kuhusu shida hii katika Kumbukumbu la Torati 29:2-4 , “Musa akawaita waisraeli wote akawaambia: macho yenu yameona yale yote BWANA aliyofanya kwa Mfalme farao huko misri … ishara zile za miujiza na maajabu makubwa [yaani, mambo ya ajabu]. Lakini hadi leo BWANA hajawapa akili ya kuelewa au macho yanayo ona au masikio yanayosikia” Tazama: Umeona ... lakini huwezi kuona bila kazi kuu ya Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hayo ndiyo mapito yetu. Sisi ni wenye dhambi na wafisadi na wagumu na wa kutoelewa na vipofu bila mwamsho, uisho, urahisi, unyenyekevu, usafi, na kurahisisha kazi ya Mungu maishani mwetu. Hatuwezi kuona uzuri wa ukweli wa roho bila mwangaza wa Mungu. Hatuwezi kuona maajabu na utukufu wa yale Neno linatufundisha bila Mungu kuyafungua macho ya mioyo yetu na kutupa ufahamu wa kiroho juu ya mambo haya.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sababu ya kufundisha na kujua haya ni kutufanya kuwa na shauku na njaa ya kujua Mungu na kutufanya kusihi na kulilia Mungu atupe usaidizi wake wa kusoma Biblia.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
(Juu ya jambo la pili angalia pia Mathayo 16:17 na pia 11:4, na Luka 24:45&amp;amp;nbsp;; 1 Wakorintho 2:14-16; Yohana 3:6-8; Warumi 8:5-8)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3. Inatupasa tuombe ili Mungu atusaidie tukaone'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Inatuelekeza kwa jambo la mwisho: ikiwa kujua na kuficha ukweli wa Neno la Mungu moyoni ni muhimu katika kuwa takatifu na kupenda na kukomaa na kuelekeza mbinguni, na kama sisi kwa kawaida hatuwezi kuona maajabu ya Neno la Mungu na kuhisi mvuto wa utakatifu wake,basi tuko katika hali mbaya na tunahitaji kuomba Mungu ili atusaidie kuona. “Yafungue macho yangu kupata kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa maneno mengine, maombi ni muhimu katika maisha ya mkristo, kwa sababu ndiyo ufunguo wa kufungua nguvu za Neno maishani mwetu. Utukufu wa Neno la Mungu ni kama jua unaoangaza machoni mwa kipofu Mungu asipofungua macho yetu kwa utukufu huo.Tusipoona utukufu, hatutabadilika ( 2 Wakorinth3:18&amp;amp;nbsp;; Yohana 17:17 ), na tusipogeuzwa, sisi sio Wakristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Katika Waefeso 1:18 , Paulo aomba kwa njia hii. Anasema, “Ninaomba pia kwamba macho ya mioyo yenu yatiwe nuru ili mpate kujua tumaini mliloitiwa …” Kwa maneno mengine, “Nimewafundisha mambo haya na mmeyapokea kwa ufahamu wenu wa nje, lakini iwapo tu mtatambua utukufu kupitia ufahamu wenu wa kiroho (“macho ya mioyo yenu”) hamtabadilika. (Tazama pia Waefeso 3:14-19&amp;amp;nbsp;; Wakolosai 1:9 na pia 3:16). Hawa ni Wakristo ambao anawaandikia, ambayo inatuonyesha kuwa yafaa tuendelee kuomba hadi tufike mbinguni ili mioyo ya kiroho yapate kuona.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Aina saba ya maombi ya kuloweza kusoma Biblia kwetu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwa kuwa ujumbe wetu ni Zaburi 119:18 ,“Yafungue macho yangu kupata kuona mambo ya ajabu katika sheria Yako.” Turuhusu mwombaji huyu kutuonyesha vile anaomba kwa kawaida kuhusu kusoma kwake Neno la Mungu. Basi wacha nifunge kwa safari ndogo ya zaburi 119, na nikuonyeshe aina saba ya maombi ambayo unaweza kuloweza Biblia yako unapousoma mwaka huu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Yafaa tuombe …&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
#Kuwa Mungu atatufunza Neno lake. Zaburi 119:12b, “Nifundishe amri zako” (Tazama pia mstari 33,64b, 66, 68b, 135). Masomo ya kweli la Neno la Mungu inawezakana tu kama Mungu mwenyewe anakuwa mwalimu ndani na pia kupitia njia zingineza mafundisho. &lt;br /&gt;
#Kuwa Mungu hataficha maagizo yake kwetu sisi. Zaburi 119:19b , “Usinifiche maagizo yako.” Biblia inaonya kuhusu njaa ya kusikia maneno ya BWANA (Amos 8:11). (Tazama pia mstari 43). &lt;br /&gt;
#Kuwa Mungu atatufanya kuelewa Neno lake. Zaburi 119:27 , “Nieleweshe mafundisho ya mausia yako” (mistari 34,73b, 144b, 169). Hapa tunauliza Mungu kutuelewesha – kufanya yale awezavyo kutuwezesha kuelewa Neno lake. &lt;br /&gt;
#Kuwa Mungu atageuza mioyo yetu kwa Neno lake. Zaburi 119:36, “Ugeuze moyo wangu kuelekea sheria zako, na sio kwenye mambo ya ubinafsi.” Shida tuliyo nayo sio sababu zetu, lakini uwezo wetu – tumeguzwa vibaya na hali ya maumbile, kusoma, kutafakari na kutia akilini Neno lake. Basi ni lazima tuombe ili Mungu ageuze uwezo wetu. &lt;br /&gt;
#Kuwa Mungu atatupa uhai wa kuhifadhi Neno lake. Zaburi 119:88. “Yahifadhi maisha yangu sawasawa na upendo wako, nami nitatii sheria ya kinywa chako.” Anajua kuwa tunahitaji uhai na nguvu ya kujipa kwa Neno na utiifu wake. Basi anauliza Mungu kumpa mahitaji yake muhimu. (Tazama pia mstari 154b) &lt;br /&gt;
#Kuwa Mungu ataongoza hatua zetu katika Neno lake. Zaburi 119:133 , “Ongoza hatua zangu kulingana na Neno lako.” Tunategemea Mungu sio tu kwa kuelewa na uhai, bali pia kwa utendaji wa Neno. Kuwa litaongoza katika maisha yetu. Hatuwezi kufanya haya pekee yetu. &lt;br /&gt;
#Kuwa Mungu atatutafuta tunapotangatanga kutoka kwa Neno lake. Zaburi 119:176 , “Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea. Mtafute; mtumishi wako.” Ni ajabu kuwa huyu mtumishi wa Mungu anatamatisha zaburi kwa kukiri dhambi na haja ya Mungu kumtafuta na kumrudisha. Hivi kwetu inafaa tuombee tena na tena. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Neno, hazina yetu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Natamatisha kuwa tunapoingia katika mwaka wa 1998 na kuwa na shauku ya kuwa takatifu na kupenda na kudumu katika njia za Mungu katika mji na mataifa, lazima tuwe watu wa kuficha Neno la Mungu moyoni mwetu, lakini zaidi – watu wanaojua juu ya hali yetu ya kuhitaji isipokuwa Mungu na kuwa ameteua maombi kama njia ya macho yetu kufunguliwa ili tuone maajabu katika Neno na kubadilishwa. “Yafungue macho yangu kupata kuona mambo ya ajabu katika sheria yako.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Alikuwa na juhudi ya kiwango gani katika aina hizi za maombi? Inatupasa tuwe na juhudi gani? Jibu mmoja limepeanwa katika Zaburi 119:147 , “Ninaamka asubuhi na mapema na kukuomba msaada, nimeweka tumaini langu katika Neno lako.” Anaamka asubuhi na mapema! Ni jukumu kuu. Unaweza kulifanya liwe hilo?&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	<entry>
		<id>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kumtukuza_Mungu_na_fedha</id>
		<title>Kumtukuza Mungu na fedha</title>
		<link rel="alternate" type="text/html" href="http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kumtukuza_Mungu_na_fedha"/>
				<updated>2017-01-18T20:39:43Z</updated>
		
		<summary type="html">&lt;p&gt;Pcain: Aliulinda &amp;quot;Kumtukuza Mungu na fedha&amp;quot; ([edit=sysop] (indefinite) [move=sysop] (indefinite))&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Magnifying God with Money}} &lt;br /&gt;
&amp;lt;blockquote&amp;gt;&lt;br /&gt;
Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana baba yenu ameona vema kuwapa ninyi ufalme. (33) Uzeni mali zenu mkawape masikini. Jifanyeni mfuko isiyochakaa, mkajiwekee hazina mbinguni isiyokwisha, mahali ambapo mwizi hakaribii wala uondo haharibu. (34) Kwa maana hazina yako ilipo, ndipo na moyo wako utakapokuwa pia.&lt;br /&gt;
&amp;lt;/blockquote&amp;gt; &lt;br /&gt;
Kusudi la ndani la kuabudu ni kuthamini Mungu kama aliye na thamani juu ya yote. Aina ya nje ya ibada ni matendo ya kuonyeshavile tunavyomthamini Mungu. Hivyo maisha yote inafaa iwe ya kuabudu kwa sababu Mungu alisema lolote mfanyalo kama ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu (1 Wakorintho 10:31). Fedha na vitu ni sehemu kubwa ya maisha, na hivyo Mungu ananuia ziwe sehemu kubwa ya kuabudu—Kwa kuwa maisha yote inafaa iwe ya kuabudu. Basi vile unaabudu kwa fedha na mali yako ni kuzichukuwa na kuzitumia na kuzipoteza kwa njia ya kuonyesha vile unavyothamini Mungu—si fedha. Hili ndilo jambo katika andiko hili. Na hivyo basi ni andiko kuhusu kuabudu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa kuna nafasi ya kuabudu kama kikundi—Yale tunayasikia kwa pamoja Jumapili asubuhi. Na maelezo yaya haya yana maana sawa hapa vile yalivyo kwingine: Maana ya ibada hapa ni kumthamini Mungu kwa undani kama aliye na thamani isiyokoma. Na njia za ibada ndiyo matendo yanayodhihirisha thamana hii ya ndani ya Mungu (Kuhubiri na kulisikia neno la Mungu, kuomba kuimba, matoleo, kushiriki meza ya Bwana, vingine vingi.) Aina mojawapo ya matendo ya ushirika hapa Bethlehemu ni lile tunaita “toleo”—Jambo lilo karibu na katikati ya ibada yetu ya ushirika ambapo tunaabudu na fedha, kwa kuzitoa mikononi mwetu na katika benki zetu, na katika huduma ya Kristo.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi aina hili la kipekee la tendo la kuabudu katika ibada ya ushirika ni mojawapo ya sehemu ndogo kutoka kwa sehemu kubwa ya kuabudu na fedha zetu ambalo tunalifanya kila siku kupitia kwa njia tupatayo mshahara na kuutumia na kuweka akiba na kupeana fedha zetu. Neno la leo, Luka 12:32-34 ni kuhusu njia kubwa ya vile tunavyoabudu kwa fedha zetu, na hivyo basi kimadili inalingana na yale tunafanya na fedha zetu katika ibada ya ushirika pia. Basi wacha tutazame mambo makuu katika arifa hii, na wacha ifanyike katika maisha yetu ya kawaida na kupeana kwetu kwa ushirika.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Usiogope ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jambo la kwanza katika andiko (katika mstari wa 32) ni kuwa Mungu anatuamuru kuogopa ikifika katika fedha na vitu. Usiwe na shaka, usiogope. “Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana Baba yenu ameona vema kuwapa ninyi ufalme.” Lakini kuna njia nyingine kusema jambo linalopenyeza ndani. Sababu ya Mungu kututaka kutoogopa kuhusu fedha na vitu ni kuwa hiyo itatukuza vitu vitano vikuu kumhusu. Kutoogopa kutaonyesha vile tunathamini vitu hivi vitano kumhusu Mungu. Kwa maneno mengine, kutoogopa kutakuwa tendo la ndani la kuabudu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwanza, kutoogopa kunaonyesha kwamba twathamini Mungu kama mchungaji wetu. “Msiogope enyi kundi dogo.” Sisi ni kundi lake na Yeye ni mchungaji wetu. Na kama yeye ni mchungaji wetu, basi zaburi 23 lafaa, “BWANA ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu.”—Ni kusema, sitapungukiwa na chochote ninachohitaji kwa hakika. Kutoogopa kunatukuza thamani ya mchungaji wetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Pili kutoogopa kunaonyesha kuwa tunamthamini Mungu kama Baba yetu. “Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana Baba yenu ameona vema kuwapa ninyi ufalme. “Sisi si tu kundi lake; bali watoto wake, na yeye ni Baba yetu. Umuhimu wa hiyo ni wazi katika mstari wa 30, “Watu wasiomjua Mungu husumbuka sana kuhusu vitu hivi vyote. Naye baba yenu wa mbinguni anajua kuwa mwavihitaji na atafanya kazi kwenu kuhakikisha kuwa mnavyo vile mnavyohitaji (Jihadhari kumsurutisha Mungu kwa yale unafikiria ni “hitaji” baada ya kufahamu yale anayafikiria kama ni ”hitaji”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tatu, kutoogopa kunaonyesha kuwa tumthamini Mungu kama mfalme. “Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana Baba yenu ameona vema kuwapa ninyi ufalme.” Anaweza kutupatia “ufalme” kwa sababu Yeye ni mfalme. Hili linaongeza sehemu kuu ya nguvu kwa Yule atupaye. “Mchungaji” laonyesha ulinzi na usaidizi. “Baba “linaonyesha upendo na uororo na mamlaka na usaidizi na ulinzi. “Mfalme” linaonyesha nguvu wa aliye mkuu juu ya yote na utajiri. Basi tunapomwamini Mungu kama Mchungaji wa baba na mfalme, na kutoogopa kuhusu fedha na vitu, hivyo basi tunaonyesha vile Mungu ni hakika na wa thamani kwetu sisi katika njia hizi zote. Mungu ataabudiwa.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Cha nne, kutoogopa kunaonyesha vile Mungu ni huru na mkarimu “Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana baba yenu ameona vema kuwapa ninyi ufalme.” Tazama anapeana ufalme. Hauzi wala kukodisha ufalme. Anaupeana. Ana utajir i usiokoma na haitaji malipo yetu. Kila ambacho tungetaka kumpa tayari ni yake. “Ni nini ulicho nacho ambacho haukupokea?” (1 Wakorintho 4:7). Basi Mungu ni mkarimu na huru na mali yake. Na hii ndiyo tunaitukuza kwake bila kuwa na uoga bali tunamwamini na mahitaji yetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Mwisho, kutoogopa kunamaanisha kuwa tunamthamini Mungu kama mwenye furaha. “Msiogope enyi kundi dogo, kwa maana Baba yenu ameona vema kuwapa ninyi ufalme kwa furaha.” Ni “furaha njema.” “Inamfurahisha” kuwapa ninyi ufalme. Anataka kufanya hiki. Inamfurahisha kukifanya. Si sisi wote walio na baba kama huyu—ambaye alipenda kutupa vitu, ambao walifurahi kupeana kuliko kupokea. Lakini hiyo haijalishi, kwa sababu sasa unaweza kuwa na Baba, na Mchungaji na Mfalme kama huyo. Mwamini Baba yako kupitia kazi ya Yesu ya upatanisho, na mtampata kama Baba yako.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi Neno la kwanza kutoka kwa andiko hili ni kwamba inafaa tumthamini Mungu kama mchungaji na Baba na mfalme wetu mkarimu na anayefurahi kutupatia Ufalme wake—kutupa ufalme wa mbingu, uzima wa milele na furaha, na kila kitu ambacho tunahitaji kufika huko mbinguni. Tunapothamini Mungu kwa njia hii—tunapomwamini—hatutaogopa na Mungu ataabudiwa. Hii ndio msingi wa neno lililosalia na funzo hili. Lile linakuja lawezekana kwa sababu ya ahadi hii.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Mchocheo wa urahisi badala ya kusanyiko  ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jambo la pili ni hili: Kumwamini Mungukwa njia hii kunabeba mchocheo mkuu kwa urahiisi badala la kusanyiko. Mstari 33: “Uzeni mali zenu mkawapa masikini. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, mkajiwekee hazina mbinguni isiyokwisha mahali mwivi hakaribii wala nondo haharibu.&amp;quot; &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Tafakari kidogo juu ya maneno, “Uzeni mali zenu.” Alikuwa akinena na nani? Mstari wa 22 unapeana jibu. “Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake. “Sasa hawa watu kwa hatua kuu hawakua matajiri. Hawakuwa na mali nyingi. Lakini bado anawaambia, “Uzeni mali zenu.” Hasemi mali kiasi gani ya kuuzwa. Kwa mtawala tajiri katika Luka 18:22 Yesu alimwambia, “Nenda ukauze kila kitu ulicho nacho, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni. Kisha njoo, unifuate. Uza kila kitu ulicho nacho. Wakati Zakayo alipokutana na Yesu, alimwambia (Luka 19:8), “Tazama, Bwana! Sasa hivi nusu ya mali yangu nawapa maskini, nami kama nimemdhulumu mtu yeyote kitu chochote, nitamrudishia mara nne ya hicho kiwango.” Basi Zakayo alipeana nusu ya mali yake. Katika Matendo ya Mitume 4:37 inasema, “Barnabas aliuza shamba alilokuwa nalo, akaleta hizo fedha alizopata na kuziweka miguuni pa mitume.” Basi aliuza zaidi ya shamba moja.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Basi bibilia haituambi kiasi ya mali ya kuuza. Lakini kwa nini inasema tuuze mali? Kwa nini? Kupeana zaka kuzitumia pesa zako kuonyesha upendo kwa wale hawana mahitaji muhimu ya maisha na bila Injili (hitaji la uzima wa milele)—ni muhimu sana kwa kiasi kwamba kama humiliki kitu cha kuonekana, inafaa uuze kitu fulani ndipo upate kupeana. Lakini sasa tafakari kile hiki kinamaanisha kwa mukhtadha. Hawa wanafunzi si matajiri walioishiwa na pesa ambao pesa zao zimefungwa kwa hisa ama biashara ya ujenzi wa nyumba. Watu wengi kama hao, kwa hakika, huwa na akiba za ndani. Lakini Yesu hakusema, “chukueni kiasi ya akiba yenu na mpeane kama zaka.” Alisema, “muuze kitu, na mkapeana kama zaka.” kwa nini? Jambo la kudhaniwa ni kana kwamba hawakuwa na pesa za kupeanana ikawabidi wakiuze kitu ndipo wapeane. Na Yesu aliwataka watu wake wasogelee urahisi, wala sio kusanyiko.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kuna haja gani? Jambo ni kwamba kuna mchocheo wenye nguvu katika maisha ya Mkristo kuelekea urahisi wala sio mkusanyiko. Mchocheo unaotokana na kumthamini Mungu kama mchungaji na Baba na Mfalme kuliko vile tunazithamini mali zetu zote. Na mchocheo huu una nguvu kwa sababu mbili. Kwanza ni kwa sababu Yesu alisema, “Tazama ni jinsi gani ilivyo vigumu kwa tajiri (Kusema wale wanavimiliki vitu.) Kuingia katika ufalme wa Mungu!” (Luka 18:24). Katika Luka 8:14. Yesu alisema kuwa utariji “hunyonga” neno la Mungu. Lakini tunataka kuingia katika ufalme kwa hali ya juu kuliko vile tunahitaji vitu. Na hatutaki neno la Mungu linyongwe maishani mwetu. Basi kuna mchocheo wa nguvu wa kurahisisha badala ya kukusanya. Sababu nyingine ni kuwa tunataka thamani ya Mungu idhihirike kwa ulimwengu. Na Yesu atuambia hapa kuwa kuuza vitu na kutoa zaka ni njia mojawapo ya kuonyesha kwamba Mungu ni hakika na wa thamani kama Mchungaji, Baba na Mfalme.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jambo la pili ni kwamba kumwaminji Mungu kama Mchungaji, Baba na Mfalme kunabeba mchocheo kwa urahisi badala ya kusanyiko. Na hii inaleta kuabudu kutoka kilindini mwa moyo kilichofichika na kwa matendo yanayoonekana kwa utukufu wa Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Kulihifadhi hazina zetu mbinguni, wala si duniani ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Jambo la tatu kutoka kwa andiko ni kuwa lengo la fedha ni kuhifadhi hazinazetu mbinguni, wala si duniani. Mstari 33 tena: “Uzeni mali zenu mkawapa masikini. Jifanyeni mifuko isiyochakaa, mkajiwekee hazina mbinguni isiyokwisha, mahali ambapo mwivi hakaribi wala nondo huharibu.” Kuna uhusiano gani kati ya kuuza mali hapa ndipo ukatimize mahitaji ya wengine (sehemu ya kwanza ya mstari), na kujiweka hazina mbinguni (mwishoni mwa mstari)?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kiunganisho kinaonekana kuwa: njia upatavyo pesa ni vifungo visivyochakaa na vile unahifadhi hazina mbinguni ambazo mwivi hakaribii ni kwa kuuza mali yako kukimu mahitaji ya wengine. Kwa maneno mengine, kurahisisha kwa ajili ya upendo duniani huhifadhi furaha yako mbinguni. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Usipitwe na jambo hili la muhimu sana. Ndio jinsi Yesu anafikiri na kuongea wakati wote. Kuwa na hisia za mbingu kunaleta tofauti wenye upendo humu duniani. Watu ambao wameshawishika kwa nguvu kwa kile kinafaa na hazina ya mbingu, sio hifadhi kubwa ya pesa hapa duniani, ndio wale kila mara ataota juu ya njia za kurahisisha na kutumika, kurahisisha na kutumika. Watapeana na kupeana na kupeana. Na hakika watafanya kazi na kufanya na kufanya, vile Paulo anasema katika Waefeso 4:28, “ili [wawe] na kitu cha kuwagawia wahitaji.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Uhusiano na kuabudu ni hii. Yesu antuamuru kuhifadhi hazina mbinguni, hivyo ni kusema, kuimarisha furaha yetu katika Mungu. Anasema kuwa njia ya kufanya hii ni kuuza na kurahisisha kwa ajili ya wengine. Basi anahimiza urahisi na huduma kwa tamaa yetu ya kuimarisha furaha yetu katika Mungu. Ambayo unamaanisha matumizi yetu yote ya fedha inakuwa dhihirisho ya vile tunafurahia ndani ya Mungu kuliko fedha na vitu. Na hii ni kuabudu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Moyo wako husogelea kile ukipendacho ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Sasa jambo la mwisho asubuhi hii kutoka kwa andiko hii: moyo wako usogelea kile ukipendacho, na Mungu anataka tumsogelee. Mstari 34: “Kwa maana hazina yako ilipo, ndipo na moyo wako utakapokuwa pia.” Hili ndio sababu ya kutufanya kutafuta hazina ya mbingu iliyo na dosari. “Kwa maana hazina yako ilipo, ndipo na moyo wako utakuwa pia.” Kama kitu ukipendacho ni Mungu aliye mbinguni, moyo wako utakuwa pamoja na Mungu huko mbinguni. Utakuwa pamoja na Mungu. Lakini kama kitu ukipendacho ni pesa na vitu viliyomo duniani, basi moyo wako utakuwa duniani. Utakuwa duniani, utatengwa na Mungu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hili ndilo Yesu alimaanisha katika Luka 16:13 aliposema, “Hakuna mtumishi awezaye kuwatumikia mabwana wawili. Ama atamchukia mmoja na kumpenda mwingine au atamheshimu mmoja na kumdharau mwingine. Hamuwezi kumtumikia Mungu pamoja na mali.” Kuutumikia pesa ni kupenda pesa na kufuata faida zote pesa zinaweza kuleta. Moyo wafuata pesa. Lakini kumtumikia Mungu kunamaanisha kumpenda Mungu na kufuata faida zote anaweza kupeana. Moyo watafuta Mungu. Na hiyo ni kuabudu: moyo unatamani Mungu na unamtafuta kama hazina zaidi ya hazina zote.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
==== Sadaka—njia ya kuabudu ====&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nafunga kwa kulinganisha mambo haya manne na njia ya ibada ya ushirika ambao tunaita “sadaka”. Wakati huu na tendo hili katika ibada yetu itakuwa kuabudu kwako bila kujali kiwango—kutoka kwa kidogo cha mjane hadi maelfu ya bwenyenye mwenye mamilioni kama kwa kutoa unasema kutoka kwa Moyo: 1) Huu hapa nakuamini, Mungu, kama Mchungaji, Baba wa Mfalme wangu mkarimu na mwenye furaha, hivyo basi sitaogopa nikiwa na pesa kidogo kwangu ya kukimu mahitaji ya wengine; 2) Huu hapa nakataa ushawishi katika utamaduni wetu ya kuhifadhi nyingi na nyingi na napeana kwa mchocheo wa urahisi kwa ajili ya wengine; 3) Huu hapa nahifadhi azina mbinguni na sio duniani ndipo furaha yangu katika Mungu utaimarika milele; na 4) Kwa sadaka/toleo hili natangaza kwamba kwa kuwa hazina yangu i mbinguni, moyo wangu utatafuta Mungu.&lt;/div&gt;</summary>
		<author><name>Pcain</name></author>	</entry>

	</feed>