<?xml version="1.0"?>
<?xml-stylesheet type="text/css" href="http://sw.gospeltranslations.org/w/skins/common/feed.css?239"?>
<rss version="2.0" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/">
	<channel>
		<title>Gospel Translations Swahili - Michango ya watumiaji [sw]</title>
		<link>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Maalum:Michango/JoyaTeemer</link>
		<description>Kutoka Gospel Translations Swahili</description>
		<language>sw</language>
		<generator>MediaWiki 1.16alpha</generator>
		<lastBuildDate>Fri, 10 Apr 2026 22:57:24 GMT</lastBuildDate>
		<item>
			<title>Huduma kwa mchungaji wako</title>
			<link>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Huduma_kwa_mchungaji_wako</link>
			<description>&lt;p&gt;JoyaTeemer: Created page with '{{info|Ministering to Your Pastor}}  The Bible Friend (Sehemu ya 75, Nambari 8), Minneapolis, MN  Hebu tuanze na kifungu cha Maandiko kutoka Warumi 1:8-12. Paulo anaiambia kanisa...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Ministering to Your Pastor}}&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
The Bible Friend (Sehemu ya 75, Nambari 8), Minneapolis, MN&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hebu tuanze na kifungu cha Maandiko kutoka Warumi 1:8-12. Paulo anaiambia kanisa:&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
''Kwanza, ninamshukuru Mungu kwa kupitia Yesu Kristo kwa ajili yenu nyote, kwa kuwa imani yenu imetangazwa duniani kote. Mungu ninayemtumikia kwa roho yangu katika injili ya Mwanawe, ni shahidi yangu kuwa siku zote ninawataja katika maombi yangu bila kukoma, nikiomba ya kuwa kwa njia moja au nyingine, kwa mapenzi yake Mungu, nitaweza kufaulu kuja kwenu. Kwa kuwa nina hamu ya kuwaona, ili niweze kuwagawia kipaji cha kiroho kitakachowapa nguvu- ili tuweze kutiana moyo kwa kupitia imani ya kila mmoja wetu, imani yenu na yangu.''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ningependa tujadiliane kuhusu jukumu letu la kumhudumia mchungaji wetu. Tumesikia mara nyingi ya kuwa Wakristo ni wahudumu, kulingana na kitabu cha Waefeso 4:12. Katika mafunzo ya Jumapili kwa watoto wadogo, tunasisitiza umuhimu wa kuombeana na kutiana moyo katika imani, lakini mara nyingi tuna mazoea ya kusahau ya kuwa mchungaji ni mmoja wetu. Kwa hivyo, ningependa kutukumbusha sababu zinazofanya tupaswe kumhudumia mchungaji wetu, namna tunavyoweza kuifanya kwa njia bora zaidi, na matokeo tunayoweza kuyatarajia. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kwanza kabisa, kuna umuhimu gani wa kumhudumia mchungaji wetu? Sababu ni kuwa yeye ni binadamu na ni muumini kama sisi. Kwa kuwa yeye ni binadamu, anapata majaribu kama sisi sote. Imani haimjii bila pingamizi eti kwa kuwa yeye ni mchungaji. Pia si rahisi zaidi kwake kuwa mwenye upendo na mwenye matumaini kuliko ilivyo kwetu. Raslimali zake katika vita vya imani sio nyingi zaidi kuliko zetu. Yeye ni mmoja wetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Zaidi ya hayo, mizigo ya kipekee inayohusiana na wito wake inahitaji msaada wetu wa kiroho kwake, kwa mfano, mzigo wa kiutawala wa kuhakikisha ya kuwa mambo yote yameshughulikiwa ipasavyo. Mara nyingi huwa hata hatujui mengi kati ya mambo haya. Kisha kuna mzigo wa kusikiliza na kuwasilisha ujumbe kutoka kwa Mungu wiki baada ya wiki. Usidanganyike ya kuwa ujumbe huu humjia mchungaji kwa urahisi. Ili kuhakikisha ya kuwa ujumbe unaambatana na mafunzo ya Bibilia, mchungaji anapaswa kutia bidii. Machozi mengi hutiririka wakati mchungaji anaposhindwa kupata ujumbe. Wakati tunapokaukiwa kiroho, tunaweza kukosa kuja kanisani au tunaweza kuhuduria maombi ya kututia moyo, lakini je mchungaji anaweza kuenda wapi?&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Kisha kuna ule mzigo wa kuwataka wafuasi wake kuiga mfano wa Yesu na kuwa mwanga wa dunia. Paulo aliwaambia Wagalatia (4:19), “Niko tena katika uchungu wa kuzaa hadi pale ambapo Kristo ataumbwa ndani yenu!” Hakuna kinachomtatiza roho mchungaji kuliko pale ambapo watu hawakui katika imani, upendo, na uadilifu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Unaweza kuunda orodha ndefu zaidi ya matatizo yanayowakumba wachungaji, lakini kwa sasa, tutaangalia namna ambavyo tunaweza kumhudumia mchungaji wetu.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Njia mwafaka ya kubeba mzigo wa mchungaji wako ni kuwa Mkristo. Paulo alisema katika Wafilipo 2:2-3, “Timiza furaha yangu kwa kuwa watu wenye moyo sawa, kwa kuwa na upendo sawa, kwa kuishi kwa amani kamili na kwa kuwa na mtazamo mmoja. Usifanye lolote kutokana na ubinafsi au majivuno bali katika unyenyekevu, waone wengine kuwa ni wa maana kukuliko wewe.” Kwa maneno mengine, hakuna kitakachomtia moyo mchungaji wetu kama waumini walionyenyekea, wenye upendo na wanaoiga mfano wa Kristo. Paulo aliliambia kanisa la Warumi, “Ninatamani kuwaona...ili tuweze kutiana moyo kwa kupitia imani ya kila mmoja wetu” (1:11-12). Imani yetu ni chanzo cha faraja kuu kwa mchungaji wetu. Kwa hivyo tunapaswa tuwe watu wenye imani.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Bali na haya, nina pendekezo tatu dhahiri ya mambo tunayoweza kuyafanya ili kumjenga mchungaji wetu na kuhakikisha ya kuwa huduma yake inazaa matunda zaidi.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
#Mwombee kila siku. Iandike chini ili usisahau. Na usiseme tu “Mungu mbariki mchungaji.” Ombea mambo maalumu. Ombea afya yake, mahubiri yake, familia yake, matembezi yake, kasoro na udhaifu wake. Jiweke pahala pake na ujaribu kuhisi anvyohisi wakati unapomwombea.&lt;br /&gt;
#Pili, jitolee kumwambia maneno yanayotia moyo. Mwandikie waraka katika kadi ya kujiandikisha, mtumie barua mara kwa mara nyumbani kwake; mpigie simu. Mtafute akiwa peke yake wakati mwingine, mtazame usoni na useme, “Ninathamini kazi yako, mchungaji, na ninakuombea kila siku.” Usitosheke na salamu za juu juu zinazotolewa mlangoni baada ya ibada ya Jumapili.&lt;br /&gt;
#Tatu, mkosoe kwa roho wa msamaha. Sijawahi kuzungumza na yeyote maishani mwangu aliyefurahishwa kitimilifu na mchungaji wake. Na sababu ni rahisi sana: Binadamu wote wana kasoro. Inaonekana ya kuwa kuna watu ambao hawajajifunza jambo hili, na wanaruka kutoka kanisa moja hadi lingine wakimtafuta mchungaji asiye na kasoro. Hiyo ni kazi bure. Ni bora zaidi kutafuta kanisa unakojihisi kuwa nyumbani na uchukue jukumu la kumsaidia mchungaji kukua. Kila mtu angependa kubadili jambo moja au lingine kuhusu mchungaji wake, lakini ni wangapi kati yetu waliojitolea kumuombea? Na ni wangapi wamekaa chini naye na kwa moyo mkunjufu na wenye msamaha wamemwambia abadilike? Kama tunampenda, tutafanya hivi... kwani atutishi kiasi cha sisi kutoweza kuzungumza naye.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hizo ni baadhi ya njia za kumhudumia mchungaji wako. Unaweza kufikiria njia zingine.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Swali la mwisho nililoliuliza lilikuwa, ni nini ambayo tunaweza kutarajia kutokana na huduma yetu? Kwa ufupi, tunaweza kutarajia kuwa na mchungaji aliyetiwa moyo, mwenye matumaini na aliye imara. Kwa hivyo, huduma yetu kwake itaturudia kama rada na itawafanya waumini kuwa wenye nguvu, matumaini na walio imara. Kisha dunia itatambua ya kuwa Kristo yuko kwa kweli na anafanya kazi kati yetu.&lt;/div&gt;</description>
			<pubDate>Wed, 10 Feb 2010 17:34:12 GMT</pubDate>			<dc:creator>JoyaTeemer</dc:creator>			<comments>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Majadiliano:Huduma_kwa_mchungaji_wako</comments>		</item>
		<item>
			<title>Kan de förlossade bli strukna ur Livets Bok</title>
			<link>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kan_de_f%C3%B6rlossade_bli_strukna_ur_Livets_Bok</link>
			<description>&lt;p&gt;JoyaTeemer: Kan de förlossade bli strukna ur Livets Bok umesogezwa hapa Kan de förlossade bli strukna ur Livets Bok?&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;#REDIRECT [[Kan de förlossade bli strukna ur Livets Bok?]]&lt;/div&gt;</description>
			<pubDate>Tue, 09 Feb 2010 19:34:07 GMT</pubDate>			<dc:creator>JoyaTeemer</dc:creator>			<comments>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Majadiliano:Kan_de_f%C3%B6rlossade_bli_strukna_ur_Livets_Bok</comments>		</item>
		<item>
			<title>Kan de förlossade bli strukna ur Livets Bok?</title>
			<link>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kan_de_f%C3%B6rlossade_bli_strukna_ur_Livets_Bok%3F</link>
			<description>&lt;p&gt;JoyaTeemer: Kan de förlossade bli strukna ur Livets Bok umesogezwa hapa Kan de förlossade bli strukna ur Livets Bok?&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Can the Regenerate Be Erased From the Book of Life?}}&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hi Anna,&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Thank you so much for your help. Here is the page where you can post your translation.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Blessings!&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Joya&lt;/div&gt;</description>
			<pubDate>Tue, 09 Feb 2010 19:34:07 GMT</pubDate>			<dc:creator>JoyaTeemer</dc:creator>			<comments>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Majadiliano:Kan_de_f%C3%B6rlossade_bli_strukna_ur_Livets_Bok%3F</comments>		</item>
		<item>
			<title>Kan de förlossade bli strukna ur Livets Bok?</title>
			<link>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Kan_de_f%C3%B6rlossade_bli_strukna_ur_Livets_Bok%3F</link>
			<description>&lt;p&gt;JoyaTeemer: Created page with '{{info|Can the Regenerate Be Erased From the Book of Life?}}  Hi Anna,  Thank you so much for your help. Here is the page where you can post your translation.  Blessings!  Joya'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Can the Regenerate Be Erased From the Book of Life?}}&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hi Anna,&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Thank you so much for your help. Here is the page where you can post your translation.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Blessings!&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Joya&lt;/div&gt;</description>
			<pubDate>Tue, 09 Feb 2010 19:28:48 GMT</pubDate>			<dc:creator>JoyaTeemer</dc:creator>			<comments>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Majadiliano:Kan_de_f%C3%B6rlossade_bli_strukna_ur_Livets_Bok%3F</comments>		</item>
		<item>
			<title>Sababu 10 maana ninashukuru kwa Biblia ya Mungu</title>
			<link>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Sababu_10_maana_ninashukuru_kwa_Biblia_ya_Mungu</link>
			<description>&lt;p&gt;JoyaTeemer: &lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|10 Reasons Why I Am Thankful for the God-Breathed Bible}}&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1. Biblia inazua imani,  chanzo cha utiifu wote.'''&lt;br /&gt;
         &lt;br /&gt;
:Hivyo, hutoka kwa kusikia, na kusikia huja kwa neno la Kristo. (Warumi 10:17)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2. Biblia inafanya huru kutoka kwa dhambi.'''&lt;br /&gt;
          &lt;br /&gt;
:Utatambua ukweli, na ukweli utakuweka huru (Yohana 8 :32)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3. Biblia inafanya huru kutokana na shetani.'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Mtumishi wa bwana ni sharti asiwe mgomvi, ila awe mnyenyekevu kwa wote, anayeweza kufunza, mvumilivu anapokosewa, kukosoa wasiokubaliana kwa ungwana, ikiwa labda Mungu anaweza kuwasamehe iliwaweze kufahamu ukweli, na waweze kupata fahamu na kuepuka mtego wa shetani, baada ya kushikwa mateka naye ili watende matakwa yake. (2 Timotheo 2:24-26)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''4. Biblia inatakasa. '''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Watakase katika ukweli; Neno lako ni kweli. (Yohanna 17:17)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''5. Biblia inafanya huru kutokana na ufisadi na inawezesha utakatifu.'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Uwezo wake wa Kimungu umetupa kila kitu kihusianacho na uzima na utauwa, kwa kupitia elimu ya kweli, Yeye alitetuita kwa utukufu wake mwenyewe na ubora wake. Maana kwa haya tumepewa ahadi zake za thamani na anacho, ili kwa hayo mpate kuwa washiriki wa hali ya Uungu, baada ya kuepuka ufisadi ulioko ulimwenguni kutokana na tamaa. (2. Petero 1:3-4)    &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''6. Biblia inatumikia upendo'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Na hili naomba, ya kwamba upendo wenu uwe tele, tena kwa wingi ndani ya elimu ya kweli na ujuzi wote. (Wafilipi 1:9)&lt;br /&gt;
Ila madhumuni ya mafunzo yetu ni upendo kutoka kwa moyo safi na dhamiri njema na imani ya kweli. (1 Timotheo 1:5) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''7. Biblia inaokoa. '''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Wekeni maanani ndani yenu wenyewe na kwenye mafunzo yenu; vumilieni katika mambo haya, maana mnapofanya hivyo, mtahakikisha wokovu kwenu na pia kwa wale wanaowasikia. (1Timotheo 4:16)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Kwa hivyo, ninawashuhudieni siku ya leo, ya kwamba sina hatia kwa damu ya binadamu wote. Kwa maana sikunyauka kwa kuwatangazieni azma yote ya Mungu.( Matendo 20:26-27) Wataangamia, kwa sababu hawakupokea upendo wa ukweli ili waokoke. (2 Wathesalonike 2:10)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''8. Biblia inaleta furaha'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Haya mambo nimewazungumzia, ili furaha yangu iwe ndani yenu, na ili furaha yenu iwe tele. (Yohana 15:11)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''9. Biblia hufunua Bwana. '''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Na Bwana akaonekana tena Shilo, kwa maana Bwana alijitokeza kwa Samweli huko Shiloh kwa neon Lake. (1 Samweli 3:21)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''10. Kwa hivyo, Biblia ndio msingi wa furaha nyumbani na maishani mwangu na ushiriki na tumaini la maisha ya milele na Mungu. '''&lt;/div&gt;</description>
			<pubDate>Sun, 31 Jan 2010 01:12:48 GMT</pubDate>			<dc:creator>JoyaTeemer</dc:creator>			<comments>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Majadiliano:Sababu_10_maana_ninashukuru_kwa_Biblia_ya_Mungu</comments>		</item>
		<item>
			<title>Sababu 10 maana ninashukuru kwa Biblia ya Mungu</title>
			<link>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Sababu_10_maana_ninashukuru_kwa_Biblia_ya_Mungu</link>
			<description>&lt;p&gt;JoyaTeemer: Created page with '{{info|Editing 10 Reasons Why I Am Thankful for the God-Breathed Bible}}  '''1. Biblia inazua imani,  chanzo cha utiifu wote.'''           :Hivyo, hutoka kwa kusikia, na kusikia ...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|Editing 10 Reasons Why I Am Thankful for the God-Breathed Bible}}&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''1. Biblia inazua imani,  chanzo cha utiifu wote.'''&lt;br /&gt;
         &lt;br /&gt;
:Hivyo, hutoka kwa kusikia, na kusikia huja kwa neno la Kristo. (Warumi 10:17)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''2. Biblia inafanya huru kutoka kwa dhambi.'''&lt;br /&gt;
          &lt;br /&gt;
:Utatambua ukweli, na ukweli utakuweka huru (Yohana 8 :32)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''3. Biblia inafanya huru kutokana na shetani.'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Mtumishi wa bwana ni sharti asiwe mgomvi, ila awe mnyenyekevu kwa wote, anayeweza kufunza, mvumilivu anapokosewa, kukosoa wasiokubaliana kwa ungwana, ikiwa labda Mungu anaweza kuwasamehe iliwaweze kufahamu ukweli, na waweze kupata fahamu na kuepuka mtego wa shetani, baada ya kushikwa mateka naye ili watende matakwa yake. (2 Timotheo 2:24-26)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''4. Biblia inatakasa. '''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Watakase katika ukweli; Neno lako ni kweli. (Yohanna 17:17)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''5. Biblia inafanya huru kutokana na ufisadi na inawezesha utakatifu.'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Uwezo wake wa Kimungu umetupa kila kitu kihusianacho na uzima na utauwa, kwa kupitia elimu ya kweli, Yeye alitetuita kwa utukufu wake mwenyewe na ubora wake. Maana kwa haya tumepewa ahadi zake za thamani na anacho, ili kwa hayo mpate kuwa washiriki wa hali ya Uungu, baada ya kuepuka ufisadi ulioko ulimwenguni kutokana na tamaa. (2. Petero 1:3-4)    &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''6. Biblia inatumikia upendo'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Na hili naomba, ya kwamba upendo wenu uwe tele, tena kwa wingi ndani ya elimu ya kweli na ujuzi wote. (Wafilipi 1:9)&lt;br /&gt;
Ila madhumuni ya mafunzo yetu ni upendo kutoka kwa moyo safi na dhamiri njema na imani ya kweli. (1 Timotheo 1:5) &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''7. Biblia inaokoa. '''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Wekeni maanani ndani yenu wenyewe na kwenye mafunzo yenu; vumilieni katika mambo haya, maana mnapofanya hivyo, mtahakikisha wokovu kwenu na pia kwa wale wanaowasikia. (1Timotheo 4:16)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Kwa hivyo, ninawashuhudieni siku ya leo, ya kwamba sina hatia kwa damu ya binadamu wote. Kwa maana sikunyauka kwa kuwatangazieni azma yote ya Mungu.( Matendo 20:26-27) Wataangamia, kwa sababu hawakupokea upendo wa ukweli ili waokoke. (2 Wathesalonike 2:10)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''8. Biblia inaleta furaha'''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Haya mambo nimewazungumzia, ili furaha yangu iwe ndani yenu, na ili furaha yenu iwe tele. (Yohana 15:11)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''9. Biblia hufunua Bwana. '''&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
:Na Bwana akaonekana tena Shilo, kwa maana Bwana alijitokeza kwa Samweli huko Shiloh kwa neon Lake. (1 Samweli 3:21)&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
'''10. Kwa hivyo, Biblia ndio msingi wa furaha nyumbani na maishani mwangu na ushiriki na tumaini la maisha ya milele na Mungu. '''&lt;/div&gt;</description>
			<pubDate>Sun, 31 Jan 2010 01:12:28 GMT</pubDate>			<dc:creator>JoyaTeemer</dc:creator>			<comments>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Majadiliano:Sababu_10_maana_ninashukuru_kwa_Biblia_ya_Mungu</comments>		</item>
		<item>
			<title>&quot;Askari Walio Umia Tu Ndio Huhudumu&quot;</title>
			<link>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/%22Askari_Walio_Umia_Tu_Ndio_Huhudumu%22</link>
			<description>&lt;p&gt;JoyaTeemer: &lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|&amp;quot;Only Wounded Soldiers Can Serve&amp;quot;}}&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wengine wenu mnapitia  vitu wakati huu ambavyo ni vichungu ili kuwatayarisha kwa utumishi bora wa Bwana. Mtu afikapo mwisho hata kuhisi ni kama amegonga mwamba, wakati mwingine huwa ameugonga Mwamba Imara.&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nakumbuka mstari mmoja kutoka Zaburi 138:8 ambayo tulisoma Jumamosi katika ibada yetu ya asubuhi inayosema “Ee BWANA, upendo wako wadumu milele, usiziache kazi za mikono yako.”  Naam, hata Musa anavyosema katika Kumbukumbu za Torati 33:27 “27Mungu wa milele ni kimbilio lako,na chini kuna mikono ya milele.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Ndio, Yeye anakuona hata unapotetemeka na kuteleza. Ana uwezo (na mara nyingi amefanya hivo) wa kukushika kabla ya kuanguka kwako. Lakini wakati huu ana mafunzo mapya. Zaburi 119:71 yasema, “Ilikuwa vyema mimi kupata shida ili nipate kujifunza amri zako.” Hatuambiwi kuwa shida hizo zilikuwa rahisi au raha bali. “Ilikuwa vyema.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Wiki jana nilikuwa nikisoma kitabu kilichoandikwa na James Stewart ambaye ni mhubiri kutoka Uskoti. James alisema katika utumishi wa upendo, ni askari walioumia tu ndio huhudumu. Ni kwa sababu hii na amini wengine wenu mnatayarishwa kwa huduma hii. Unapoumia usije ukafikiri kuwa maumivu yako yamekujia kinyume na mpango wa Mungu. Tena katika kumbukumbu la torati 32:29 asema. “Hakuna Mungu mwingine ila Mimi…..Mimi nimejeruhi na Mimi nitaponya.”&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Nawaombea ninyi nyote mlio na maumivu. Zaidi ya hayo nangoja kwa hamu wororo upya wa Upendo mtakao funzwa katika maumivu haya.&lt;/div&gt;</description>
			<pubDate>Mon, 05 Oct 2009 22:55:31 GMT</pubDate>			<dc:creator>JoyaTeemer</dc:creator>			<comments>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Majadiliano:%22Askari_Walio_Umia_Tu_Ndio_Huhudumu%22</comments>		</item>
		<item>
			<title>&quot;Askari Walio Umia Tu Ndio Huhudumu&quot;</title>
			<link>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/%22Askari_Walio_Umia_Tu_Ndio_Huhudumu%22</link>
			<description>&lt;p&gt;JoyaTeemer: Created page with '{{info|&amp;quot;Only Wounded Soldiers Can Serve&amp;quot;}}  Hi May,  Here is the page for your translation. Please delete my note, but leave the code at the top of the box.   Thank you so much!!...'&lt;/p&gt;
&lt;hr /&gt;
&lt;div&gt;{{info|&amp;quot;Only Wounded Soldiers Can Serve&amp;quot;}}&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Hi May,&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Here is the page for your translation. Please delete my note, but leave the code at the top of the box. &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Thank you so much!! &lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Blessings,&lt;br /&gt;
&lt;br /&gt;
Joya&lt;/div&gt;</description>
			<pubDate>Mon, 28 Sep 2009 19:02:55 GMT</pubDate>			<dc:creator>JoyaTeemer</dc:creator>			<comments>http://sw.gospeltranslations.org/wiki/Majadiliano:%22Askari_Walio_Umia_Tu_Ndio_Huhudumu%22</comments>		</item>
	</channel>
</rss>