Je, Kwa Nini Kristo Alikufa Msalabani?/Kristo alikufa kutuita tufuate mfano wake wa upole na upendo wenye gharama kubwa sana

Kutoka Gospel Translations Swahili

(Tofauti baina ya masahihisho)
(Created page with '{{info|Fifty Reasons Why Jesus Came to Die/To Call Us to Follow His Example of Lowliness and Costly Love}}<br> <blockquote> ''“Alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukombo...')
 
(Hatuonyeshi masahihisho 2 ya katikati.)
Mstari 1: Mstari 1:
{{info|Fifty Reasons Why Jesus Came to Die/To Call Us to Follow His Example of Lowliness and Costly Love}}<br>  
{{info|Fifty Reasons Why Jesus Came to Die/To Call Us to Follow His Example of Lowliness and Costly Love}}<br>  
<blockquote>
<blockquote>
-
''“Alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe na maasi yote,<br> na kujisafishia watu wawe miliki yake mwenyewe, wale walio na<br> juhudi katika matendo mema” (Tito 2:14).''
+
''“Kwa maana ni jambo la sifa kama mtu akivumilia anapoteswa<br> kwa uonevu kwa ajili ya kumkumbuka Mungu. Kwa kuwa ninyi<br> mliitwa kwa ajili ya hayo, kwa ajili yenu, akiwaachia kielelezo,<br> ili mzifuaye nyayo zako.” (1 Petro 2:19:21).''
 +
</blockquote><blockquote>
 +
''“Mtafakarini sana Yeye aliyestahimili upinzani mkuu namna hii<br> kutoka kwa watu wenye dhambi, ili kwamba msije mkachoka na<br> kukata tamaa. Katika kushindana kwenu dhidi ya dhambi, bado<br> hamjapigana kiasi cha kumwaga damu yenu”<br> (Waebrania 12:3-4)''
 +
</blockquote><blockquote>
 +
''“Tuweni na nia ile ile aliyokuwa nayo Kristo Yesu. Yeye ingawa<br> alikuwa sawa na Mungu, hakuona kule kuwa sawa na Mungu ni<br> kitu cha kushikamana nacho, bali alijifanya si kitu, akajifanya<br> sawa na mtumwa, akazaliwa katika umbo la mwanadamu,. Naye<br> akiwa na umbo la mwanadamu, alijinyenyekeza hata mauti,<br> naam, mauti ya msalaba!” (Wafilipi 2:5-8)''
</blockquote>
</blockquote>
-
Ujumbe wa Biblia ni kwamba tumesamehewa makosa yetu yote na kwamba kumekubalika mbele za Mungu siyo kwa sababu tumefanya kazi mzuri lakini ni kwa imani ndani ya Kristo. Mungu anatuokoa bila malipo ndiyo tuweze kufanya mambo mazuri. Biblia inasema, “Ambaye alituokoa na kutuita katika mwito mtakatifu, si kwa matendo yetu mema” (2 Timotheo 1:9). Kwa hivyo kazi mzuri hazituokoi, tunafanya kazi mzuri baada ya kuokoka. Kazi mzuri ni matunda ya wokovu na siyo mizizi ya wokovu. Yesu Kristo alikufa, “Kujisafishia watu kuwa mali Yake Mwenyewe, yaani, wale walio na bidii katika kutenda mema.” (Tito 2:14).  
+
Tunapookoka, tunaanza kuufuata mfano wa Yesu Kristo. Yesu Kristo ni mwokozi wetu na pia ni mfano wetu. Akiwa mwokozi, anatuokoa kutoka kwa dhambi zetu, na akiwa mfano kwetu hutufundisha jinsi ya kuishi maisha ya kumpendeza Mungu.  
-
Biblia inaeleza wazi kwamba wokovu ni kwa imani, siyo kitu ambacho tunapata kwa sababu tumefanya kazi. Ni zawadi tunapewa bila malipo kutoka kwa Mungu. Hii ndiyo sababu Biblia inasema, “Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani, wala hii si kwa matendo yenu mema. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu, si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu” (Waefeso 2:8-9). Yesu aliteseka na kufa ili kazi mzuri iwe ndiyo matunda ya imani ya ukristo wetu baada ya kuokolewa kwa imani.  
+
Biblia inafundisha wazi kwamba kabla hatujaanza kuufuata mfano wa Kristo ni lazima kwanza tuokolewe naye. Mtu ambaye hajaokoka hawezi akaishi kama Kristo kwa sababu yeye ni mtumwa wa dhambi.  
-
Hii ndiyo sababu Biblia inasema, “Tulioumbwa katika Kristo Yesu, ili tupate kutenda matendo mema” (Waefeso 2:10). Hii inamaanisha tumeokolewa kwa imani ili tutende matendo mema baada ya kuokoka. Hii haimaanishi kwamba matendo mazuri ndiyo yanatuokoa, lakini matendo mazuri yanakuja baada ya kuokoka. Bwana Yesu Kristo hatupatii tu uwezo wa kutenda matendo mazuri, bali anatupatia bidii ya kufanya matendo mazuri. Hii ndiyo sababu Biblia inasema kwamba watu wa Mungu wanapaswa kuwa na juhudi ya kutenda matendo mema. Kuwa na juhudi juu ya jambo inamaanisha kutia bidii sana katika jambo hilo. Yesu alikufa ili tuwe na juhudi sana ya kufanya matendo mema. Yesu Kristo hataki tuwe na mioyo nusu nusu kuhusu matendo mazuri. Wale wameokoka wanapaswa kutia juhudi ya kuwa watakatifu kwa mioyo yao yote.  
+
Tunapookolewa kupitia kwa imani ndani ya Yesu Kristo tunakuwa watu wapya. Biblia inasema tunakuwa viumbe vipya. Tunakombolewa kutoka kwa dhambi zetu na tunapewa uwezo wa kutii na kufuata Kristo. Tunapaswa kwanza kumwamini Yesu Kristo kuwa mwokozi kabla hatujaanza kuufuata mfano wake.  
-
Sababu kuu kwa nini Yesu Kristo anataka tufanye matendo mema ni ili tuweze kumletea utukufu Mungu. Yesu alisema, “Nuru yenu iangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu mema wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.” (Mathayo 5:16). Wakati tunatenda matendo mema huwa tunamletea utukufu Mungu. Ni kwa sababu hii Kristo alikufa msalabani.  
+
Mtume Paulo alisema anatamani kuwa na haki ya Kristo kwa imani na kushiriki katika mateso pamoja na Kristo katika kazi yake. “Nami nionekane mbele Zake nisiwe na haki yangu mwenyewe ipatikanayo kwa sheria, bali ile ipatikanayo kwa imani katika Kristo, haki ile itokayo kwa Mungu kwa njia ya imani. Nataka nimjue Kristo na uweza wa kufufuka Kwake na ushirika ya mateso Yake, ili nifanane naye katika mauti Yake.” (Wafilipi 3:9- 10). Mpangilio huu uko wazi: kwamba unaokolewa kwanza halafu tunafuata mfano wa Kristo.  
-
Wakati watu wa Mungu wanatenda matendo mazuri humu duniani, dunia huwa inayaona. Watu wa dunia ni watu wachoyo, hawafanyii wenzao matendo mazuri bali wanajifikiria tu wenyewe. Wakati wakristo wanawashughulikia wengine na kuwafanyia matendo mazuri Mungu huwa anatukuzwa.  
+
Biblia inatuamru “Ninavumilia mambo yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele” (2 Timotheo 2:10). Hii inamaanisha tunapovumilia matatizo na shida za maisha, tunawaelekeza watu kwa Kristo. Jinsi tunavyovumilia shida kwa uvumilivi tunaonyesha ulimwengu jinsi tunaye mwokozi mkuu.
-
 
+
-
Wakati Biblia inaongea kuhusu matendo mema, inamaanisha kuwasaidia wale wako na shida na mahitaji. Kwa mfano Biblia inasema, “Watu wetu hawana budi kujifunza kujitoa kutenda mema, ili waweze kuwasaidia watu wenye mahitaji ya lazima ya kila siku, wasije wakaishi maisha yasiyokuwa na matunda.” (Tito 3:14). Hii ndiyo sababu Kristo alikufa, ajisafishie watu wake wenye juhudi ya kutenda matendo mazuri, hasa hasa kuwasaidia maskini na wale wote ambao wako na mahitaji.
+

Toleo lililopo 17:27, 11 Agosti 2011

Related resources
More By John Piper
Author Index
More About The Death of Christ
Topic Index
About this resource
English: Fifty Reasons Why Jesus Came to Die/To Call Us to Follow His Example of Lowliness and Costly Love

© Desiring God

Share this
Our Mission
This resource is published by Gospel Translations, an online ministry that exists to make gospel-centered books and articles available for free in every nation and language.

Learn more (English).
How You Can Help
If you speak English well, you can volunteer with us as a translator.

Learn more (English).

By John Piper About The Death of Christ
Chapter 37 of the book Je, Kwa Nini Kristo Alikufa Msalabani?

Translation by Desiring God


“Kwa maana ni jambo la sifa kama mtu akivumilia anapoteswa
kwa uonevu kwa ajili ya kumkumbuka Mungu. Kwa kuwa ninyi
mliitwa kwa ajili ya hayo, kwa ajili yenu, akiwaachia kielelezo,
ili mzifuaye nyayo zako.” (1 Petro 2:19:21).

“Mtafakarini sana Yeye aliyestahimili upinzani mkuu namna hii
kutoka kwa watu wenye dhambi, ili kwamba msije mkachoka na
kukata tamaa. Katika kushindana kwenu dhidi ya dhambi, bado
hamjapigana kiasi cha kumwaga damu yenu”
(Waebrania 12:3-4)

“Tuweni na nia ile ile aliyokuwa nayo Kristo Yesu. Yeye ingawa
alikuwa sawa na Mungu, hakuona kule kuwa sawa na Mungu ni
kitu cha kushikamana nacho, bali alijifanya si kitu, akajifanya
sawa na mtumwa, akazaliwa katika umbo la mwanadamu,. Naye
akiwa na umbo la mwanadamu, alijinyenyekeza hata mauti,
naam, mauti ya msalaba!” (Wafilipi 2:5-8)

Tunapookoka, tunaanza kuufuata mfano wa Yesu Kristo. Yesu Kristo ni mwokozi wetu na pia ni mfano wetu. Akiwa mwokozi, anatuokoa kutoka kwa dhambi zetu, na akiwa mfano kwetu hutufundisha jinsi ya kuishi maisha ya kumpendeza Mungu.

Biblia inafundisha wazi kwamba kabla hatujaanza kuufuata mfano wa Kristo ni lazima kwanza tuokolewe naye. Mtu ambaye hajaokoka hawezi akaishi kama Kristo kwa sababu yeye ni mtumwa wa dhambi.

Tunapookolewa kupitia kwa imani ndani ya Yesu Kristo tunakuwa watu wapya. Biblia inasema tunakuwa viumbe vipya. Tunakombolewa kutoka kwa dhambi zetu na tunapewa uwezo wa kutii na kufuata Kristo. Tunapaswa kwanza kumwamini Yesu Kristo kuwa mwokozi kabla hatujaanza kuufuata mfano wake.

Mtume Paulo alisema anatamani kuwa na haki ya Kristo kwa imani na kushiriki katika mateso pamoja na Kristo katika kazi yake. “Nami nionekane mbele Zake nisiwe na haki yangu mwenyewe ipatikanayo kwa sheria, bali ile ipatikanayo kwa imani katika Kristo, haki ile itokayo kwa Mungu kwa njia ya imani. Nataka nimjue Kristo na uweza wa kufufuka Kwake na ushirika ya mateso Yake, ili nifanane naye katika mauti Yake.” (Wafilipi 3:9- 10). Mpangilio huu uko wazi: kwamba unaokolewa kwanza halafu tunafuata mfano wa Kristo.

Biblia inatuamru “Ninavumilia mambo yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele” (2 Timotheo 2:10). Hii inamaanisha tunapovumilia matatizo na shida za maisha, tunawaelekeza watu kwa Kristo. Jinsi tunavyovumilia shida kwa uvumilivi tunaonyesha ulimwengu jinsi tunaye mwokozi mkuu.