Je, Kwa Nini Kristo Alikufa Msalabani?/Kristo alikufa ili atuponye kutokana na ugonjwa wa dhambi na ule wa kawaida

Kutoka Gospel Translations Swahili

(Tofauti baina ya masahihisho)
(Created page with '{{info|Fifty Reasons Why Jesus Came to Die/To Heal Us from Moral and Physical Sickness}}<br> <blockquote> ''“Ikiwa Mungu hakumhurumia Mwanawe, gali alimtoa kwa ajili<br> yetu ...')
Mstari 1: Mstari 1:
{{info|Fifty Reasons Why Jesus Came to Die/To Heal Us from Moral and Physical Sickness}}<br>  
{{info|Fifty Reasons Why Jesus Came to Die/To Heal Us from Moral and Physical Sickness}}<br>  
<blockquote>
<blockquote>
-
''“Ikiwa Mungu hakumhurumia Mwanawe, gali alimtoa kwa ajili<br> yetu sote, atakosage basi kutupatia vitu vyote kwa ukarimu<br> pamoja Naye?” (Warumi 8:32).''
+
''“Adhabu iliyotuletea sis amani ilikuwa juu yake, na kwa<br> majeraha yake sisi tumepona” (Isaya 53:5).''
 +
</blockquote><blockquote>
 +
''“Jioni ile, wakamletea watu wengi waliopagwa na peop, naye<br> akawatoa wale pepo kwa neno lake, na kuponya wagonjwa<br> wote” (Mathayo 8:16).''
</blockquote>
</blockquote>
-
Katika mstari huu, tunaambiwa kwamba mahitaji yetu yote yanapeanwa katika Kristo Yesu. Kile Biblia inasema ni: Mungu ametupatia zawadi kuu ambayo ni Mwanawe. Je, atawezaje kukosa kutupatia mambo mengine ambayo ni ya manufaa kwetu? Ikiwa ametupatia kile ambacho ni cha muhimu sana, basi hawezi kukosa kutupatia mambo ambayo ni madogo.  
+
Kwa sababu Bwana Yesu Kristo aliteswa na kufa, siku moja ugonjwa wote utaisha katika ulimwengu. Wakati Mungu alipoumba ulimwengu hakukuwa na kifo au magonjwa, yote yalikuja kwa sababu ya hukumu wa Mungu ambao ulikuja kwa sababu ya dhambi ya Adamu. Biblia inasema, kwa maana “Viumbe vyote viliwekwa chini ya ubatili, si kwa chaguo lao, bali kwa mapenzi Yake Yeye aliyecitiisha katika tumaini” (Warumi 8:20). Mungu alihukumu ulimwengu kuonyesha kwamba dhambi ni kitu hatari sana.  
-
Kile mstari huu unafunza ni kwamba Mungu hatatunyima chochote ambacho anajua kwamba ni kizuri kwetu. Ikiwa anajua kwamba kuna kitu ambacho kitakuwa cha manufaa kwa maisha yako ya kiroho, basi atapeana kitu hicho.  
+
Kwa kuanguka kwa mwanadamu, kifo kiliingia ulimwenguni: “Kwa hiyo, kama vile dhambi ilivyoingia ulimwenguni kupitia dhambi hii, mauti ikawafikia watu wote” (Warumi 5:12). Pia Biblia inatuambia kwamba matokeo ya dhambi yanawadhuru hata wale ambao wameokoka: “Wala si hivyo viumbe peke yao, bali hata sisi ambao ndio matunda ya kwanza ya Roho, kwa ndani tunalia kwa uchungu tukisubiri kwa shauku kufanywa wana wa Mungu, yaano, ukombozi wa miili yetu” (Warumi 8:23).  
-
Swali ambalo tunafaa kujiuliza ni, “Je, Biblia inamaanisha nini wakati inasema kila kitu?” Biblia haimaanishi kwamba Mungu atatupatia maisha yenye starehe hapa ulimwenguni. Pia haimaanishi kwamba hatutakuwa na maadui. Tunajua hivi kwa sababu katika kifungu hicho hicho Paulo anasema, “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, tunahesabiwa kuwa kama kondoo wa kuchinjwa” (Warumi 8:36). Kuna wakristo wengi katika ulimwengu leo ambao wanapitia mambo magumu sana ambayo yanasababishwa na maadui wa Mungu. Lakini wanafaa kuhimizwa kutokana maneno haya, “Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je, ni shida au taabu au mateso au njaa au uchi au hatari au upanga?” (Warumi 8:35). Biblia inazungumza kuhusu mambo haya yote katika mstari huu kwa sababu Mungu anajua kwamba mambo haya yatawafikia wakristo wote. Tunakumbana na majaribu haya, “Lakini katika mambo hayo yote tunashinda, naam na zaidi ya kushinda, kwa Yeye aliyetupenda” (Warumi 8:37).  
+
Mambo haya yote tunaona leo ni ya muda mfupi siyo ya milele. Tunatazamia wakati ambapo uchungu wa mwili hautakuwa tena. Laana ya Mungu juu ya viumbe siyo laana ya milele. Mungu alipanga kwamba siku moja laana hii itaondolewa kwa viumbe vyote: “Viumbe vyote vipate kuwekwa huru kutoka katika utumwa wa kuharibika na kupewa uhuru wa utukufu wa watoto wa Mungu” (Warumi 8:21).  
-
Je, Biblia inamaanisha nini wakati inasema kwamba kwa sababu ya kifo cha Bwana Yesu Kristo, Mungu atatupatia kila kitu? Inamaanisha kwamba Mungu atatupatia kila kitu ambacho ni kizuri kwetu. Inamaanisha kwamba atatupatia kila kitu ambacho kitatusaidia kukamilika katika mfano wa Kristo Yesu (Warumi 8:29). Inamaanisha kwamba atatupatia kile ambacho kitatuwezesha kuingia mbinguni.  
+
Kristo alikuja katika ulimwengu kukomboa ulimwengu kutoka katika laana hii. Hii ndiyo sababu wakati alikuwa hapa aliwaponya watu wengi. Kulikuwa na wakati ambapo watu walikusanyika kwake na akawaponya wote (Mathayo 8:16; Luka 6:19). Kwa kuwaponya watu alikuwa akionyesha kwamba siku moja ataondoa laana ambayo iko juu ya viumbe. “Atafuta kila chozi, kutoka katika macho yao. Mauti haitakuwepo tena, wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu, kwa maana mambo ya kwanza yamekwisha kupita” (Ufunuo 21:4).  
-
Biblia inatufunza jambo hili wazi wakati inasema, “Naye Mungu wangu atawajaza ninyi kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri Wake katika utukufu ndani ya Kristo Yesu” (Wafilipi 4:19). Katika kifungu hicho hicho tunasoma, “Ninajua kupungukiwa, pia ninajua kuwa vingi. Nimejifunza siri ya kuridhika katika kila hali, wakati wa kushiba na wakati wa kuona njaa, wakati wakuwa na vingi na wakati kupungukiwa. Naweza kuyafanya mambo yote katika Yeye anitiaye nguvu” (Wafilipi 4:12-13).  
+
Bwana Yesu alichukua kifo juu yake, na kwa njia hii aliweza kushinda kifo. Wakati alipokuwa msalabani Mungu alimhukumu; kwa hivyo alishinda kifo na magonjwa. Hii ndiyo sababu nabii Isaya anasema, “Alitobolewa kwa ajili ya makosa yetu, alichubuliwa kwa maovu yetu, adhabu iliyotuletea sis amani ilikuwa juu yake, na kwa majeraha yake sisi tumepona” (Isaya 53:5). Bwana Yesu Kristo kwa kifo chake alikomboa viumbe kutokana na laana vilivyokuwamo.  
-
Paulo katika kifungu hiki anasema kwamba anaweza kufanya kila kitu katika Kristo. Kuwa mwangalifu sana kwa sababu katika maneno haya anazungumza kuhusu kuvumilia katika kila hali, kama hali ya njaa au wakati ako na hitaji lolote. Kwa maneno haya anamaanisha Mungu atatosheleza kila hali kwa mapenzi yake. Hiyo haimaanishi kwamba atatupatia chakula, mavazi, afya njema, na utajiri kila wakati. Bali inamaanisha kwamba atatuwezesha kuvumilia wakati wa njaa, umaskini na wakati tuko na hitaji lolote ambalo tunaweza kuwa nalo. Kupitia kwa mateso na kifo cha Bwana Yesu Kristo, Mungu atatupatia kila kitu ambacho kitamletea utukufu.
+
Siku moja kila ugonjwa utaondolewa katika ulimwengu huu. Kutakuwapo na ulimwengu mpya, tutakuwa na miili mipya na hakutakuwa na kifo tena (1 Wakorintho 15:54; 2 Wakorintho 5:4). Biblia inasema, “Mbwa mwitu na mwanakondoo watalisha pamoja, naye simba atakula nyasi kama maksai” (Isaya 65:25). Wale wote ambao wanampenda Kristo wataimba nyimbo za kumshukuru mwana-kondoo ambaye alikufa kwa ajili ya kutukomboa kutoka kwa dhambi, kifo na magonjwa.

Sahihisho kutoka 15:47, 11 Agosti 2011

Related resources
More By John Piper
Author Index
More About The Death of Christ
Topic Index
About this resource
English: Fifty Reasons Why Jesus Came to Die/To Heal Us from Moral and Physical Sickness

© Desiring God

Share this
Our Mission
This resource is published by Gospel Translations, an online ministry that exists to make gospel-centered books and articles available for free in every nation and language.

Learn more (English).
How You Can Help
If you speak English well, you can volunteer with us as a translator.

Learn more (English).

By John Piper About The Death of Christ
Chapter 18 of the book Je, Kwa Nini Kristo Alikufa Msalabani?

Translation by Desiring God


“Adhabu iliyotuletea sis amani ilikuwa juu yake, na kwa
majeraha yake sisi tumepona” (Isaya 53:5).

“Jioni ile, wakamletea watu wengi waliopagwa na peop, naye
akawatoa wale pepo kwa neno lake, na kuponya wagonjwa
wote” (Mathayo 8:16).

Kwa sababu Bwana Yesu Kristo aliteswa na kufa, siku moja ugonjwa wote utaisha katika ulimwengu. Wakati Mungu alipoumba ulimwengu hakukuwa na kifo au magonjwa, yote yalikuja kwa sababu ya hukumu wa Mungu ambao ulikuja kwa sababu ya dhambi ya Adamu. Biblia inasema, kwa maana “Viumbe vyote viliwekwa chini ya ubatili, si kwa chaguo lao, bali kwa mapenzi Yake Yeye aliyecitiisha katika tumaini” (Warumi 8:20). Mungu alihukumu ulimwengu kuonyesha kwamba dhambi ni kitu hatari sana.

Kwa kuanguka kwa mwanadamu, kifo kiliingia ulimwenguni: “Kwa hiyo, kama vile dhambi ilivyoingia ulimwenguni kupitia dhambi hii, mauti ikawafikia watu wote” (Warumi 5:12). Pia Biblia inatuambia kwamba matokeo ya dhambi yanawadhuru hata wale ambao wameokoka: “Wala si hivyo viumbe peke yao, bali hata sisi ambao ndio matunda ya kwanza ya Roho, kwa ndani tunalia kwa uchungu tukisubiri kwa shauku kufanywa wana wa Mungu, yaano, ukombozi wa miili yetu” (Warumi 8:23).

Mambo haya yote tunaona leo ni ya muda mfupi siyo ya milele. Tunatazamia wakati ambapo uchungu wa mwili hautakuwa tena. Laana ya Mungu juu ya viumbe siyo laana ya milele. Mungu alipanga kwamba siku moja laana hii itaondolewa kwa viumbe vyote: “Viumbe vyote vipate kuwekwa huru kutoka katika utumwa wa kuharibika na kupewa uhuru wa utukufu wa watoto wa Mungu” (Warumi 8:21).

Kristo alikuja katika ulimwengu kukomboa ulimwengu kutoka katika laana hii. Hii ndiyo sababu wakati alikuwa hapa aliwaponya watu wengi. Kulikuwa na wakati ambapo watu walikusanyika kwake na akawaponya wote (Mathayo 8:16; Luka 6:19). Kwa kuwaponya watu alikuwa akionyesha kwamba siku moja ataondoa laana ambayo iko juu ya viumbe. “Atafuta kila chozi, kutoka katika macho yao. Mauti haitakuwepo tena, wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu, kwa maana mambo ya kwanza yamekwisha kupita” (Ufunuo 21:4).

Bwana Yesu alichukua kifo juu yake, na kwa njia hii aliweza kushinda kifo. Wakati alipokuwa msalabani Mungu alimhukumu; kwa hivyo alishinda kifo na magonjwa. Hii ndiyo sababu nabii Isaya anasema, “Alitobolewa kwa ajili ya makosa yetu, alichubuliwa kwa maovu yetu, adhabu iliyotuletea sis amani ilikuwa juu yake, na kwa majeraha yake sisi tumepona” (Isaya 53:5). Bwana Yesu Kristo kwa kifo chake alikomboa viumbe kutokana na laana vilivyokuwamo.

Siku moja kila ugonjwa utaondolewa katika ulimwengu huu. Kutakuwapo na ulimwengu mpya, tutakuwa na miili mipya na hakutakuwa na kifo tena (1 Wakorintho 15:54; 2 Wakorintho 5:4). Biblia inasema, “Mbwa mwitu na mwanakondoo watalisha pamoja, naye simba atakula nyasi kama maksai” (Isaya 65:25). Wale wote ambao wanampenda Kristo wataimba nyimbo za kumshukuru mwana-kondoo ambaye alikufa kwa ajili ya kutukomboa kutoka kwa dhambi, kifo na magonjwa.