Je, Kwa Nini Kristo Alikufa Msalabani?

Kutoka Gospel Translations Swahili

Sahihisho ya 14:36, 11 Agosti 2011 aliyefanya Pcain (Majadiliano | michango)
(tofauti) ←Sahihisho lililotangulia | Toleo la sasa (tofauti) | Sahihisho linalofuata → (tofauti)

Related resources
More By John Piper
Author Index
More About The Death of Christ
Topic Index
About this resource
English: Fifty Reasons Why Jesus Came to Die

© Desiring God

Share this
Our Mission
This resource is published by Gospel Translations, an online ministry that exists to make gospel-centered books and articles available for free in every nation and language.

Learn more (English).
How You Can Help
If you speak English well, you can volunteer with us as a translator.

Learn more (English).

By John Piper About The Death of Christ

Translation by Desiring God

Table of contents

Introduction: The Christ, the Crucifixion, and the Concentration Camps
  1. Kristo alikufa kuondoa ghadhabu ya Mungu
  2. Kristo alikufa amfurahishe Mungu Baba
  3. Kristo alikufa kujifunza kutii na kukamilishwa
  4. Kristo alikufa aweze kupata kufufuka kwake kutoka kwa wafu
  5. Kristo alikufa kuonyesha upendo na neema ya Mungu kwa watenda dhambi
  6. Kristo alikufa kuonyesha upendo wake kwetu
  7. Kristo alikufa ili atimize kile sheria ya Musa ilihitaji kwetu
  8. Kristo alikufa ili awe fidia ya wengi
  9. Kristo alikufa ili tusamehewe dhambi zetu
  10. Kristo alikufa ili tuhesabiwe haki
  11. Kristo alikufa ili amalize kutii sheria ili watu wake wawe wenye haki
  12. Kristo alikufa ili aondoe hukumu yetu
  13. Kristo alikufa ili aonyeshe kwamba kutahiriwa na kanuni zingine zote siyo njia ya wokovu
  14. Kristo alikufa ili atuokoe na atulinde tuwe waaminifu
  15. Kristo alikufa ili atufanye watakatifu, bila lawama na wakamilifu
  16. Kristo alikufa ili atusafishe dhamira zetu
  17. Kristo alikufa ili atupatie kila kitu ambacho ni kizuri kwetu
  18. Kristo alikufa ili atuponye kutokana na ugonjwa wa dhambi na ule wa kawaida
  19. Kristo alikufa ili awapatie uzima wa milele wote ambao wanamwamini
  20. Kristo alikufa ili atuokoe na dunia hii mbovu
  21. Kristo alikufa ili atupatanishe na Mungu
  22. Kristo alikufa ili atulete kwa Mungu
  23. Kristo alikufa ili tuwe mali yake
  24. Kristo alikufa ili tuweze kuwa na ujasiri wa kuja kwa Mungu
  25. Kristo alikufa ili awe kwetu mahali ambapo tunakutana na Mungu
  26. Kristo alikufa ili ukuhani wa Agano la Kale ukomeshwe na Yeye awe Kuhani wa milele
  27. Kristo alikufa ili awe kuhani mwenye huruma na mwenye usaidizi
  28. Kristo alikufa kutukomboa kutokana na mwenendo wa mababu wetu
  29. Kristo alikufa kutuondoa kwa utumwa wa dhambi
  30. Kristo alikufa ili tuweze kufa kwa dhambi na tuishi kwa utakatifu
  31. Kristo alikufa ili tukufe kwa Sheria na tuzae matunda kwa Mungu
  32. Kristo alikufa ili atuwezeshe kuishi kwa ajili Yake bali siyo kwa ajili yetu
  33. Kristo alikufa ili msalaba wake uwe majivuno yetu
  34. Kristo alikufa kutuwezesha kuishi kwa imani ndani Yake
  35. Kristo alikufa kupatia ndoa maana yake halali
  36. Kristo alikufa kukomboa watu ambao wako na hamu ya kufanya kazi ya Mungu
  37. Kristo alikufa kutuita tufuate mfano wake wa upole na upendo wenye gharama kubwa sana
  38. Kristo alikufa kuumba jamii moja ya wafuasi ambao wanajitolea kwake
  39. Kristo alikufa kutukomboa kutoka kwa uoga wa kifo
  40. Kristo alikufa ili tuweze kuwa naye baada ya kufa kwetu
  41. Kristo alikufa kuhakikisha kufufuka kwetu kutokak wa wafu
  42. Kristo alikufa kuzivua enzi na mamlaka
  43. Kristo alikufa ili aachilie nguvu za Mungu katika injili
  44. Kristo alikufa kuharibu uadui kati ya makabila za ulimwengu
  45. Kristo alikufa kuwa fidia ya watu kutoka kila kabila, rangi na taifa
  46. Kristo alikufa kukusanya kondoo wake kutoka kwa kila pembe la ulimwengu
  47. Kristo alikufa ili atuondoe katika hukumu wa mwisho
  48. Kristo alikufa kupata furaha yake na yetu
  49. Kristo alikufa ili aweze kuvikwa taji la utukufu na heshima
  50. Kristo alikufa kuonyesha kwamba uovu mbaya sana umekusudiwa na Mungu kwa manufaa ya watu wake
A Prayer
Resources from Desiring God Ministries